Search This Blog

Tuesday, April 12, 2022

Thursday, April 7, 2022

APPLE LIMEPEVUKA - 1

 





    IMEANDIKWA NA : AHMED JIRIWA



    *********************************************************************************



    Chombezo : Apple Limepevuka

    Sehemu Ya Kwanza (1)



    Nilianza kusikia miluzi ikipigwa kila upande, nderemo na vifijo vikizidi kurindima, sikuwa nikijua ni nini hasa. kilichonivutia ni wingi wa watu waliokuwa wameweka mduara, nikajua pale kuna kitu si bure mwanangu na kama unijuavyo mimi mwanao na mambo kama yale. Nikaacha Sofa ambalo nd'o nilitakiwa kulifanyia kazi, mwanao si nikatimba kwenye kale kamsitu kadogo ka watu. Ile kufika tu, shangwe la nani hiloo! Watu weweeeee! Nikamuuliza mwana mmoja kuna nini? Mwana akaniambia oooh! Na wewe mwanangu unajifanya kama mgeni kwenye huu mtaa, Kimbungumbungu hicho mtoto wa mzee Rama anaolewa na kesho cha ndege uwanjani. (ndugu msomaji kimbungumbungu ni ngoma ya kibondei ambayo hupigwa kwa sherehe maalumu na ngoma hii hupigwa na wanawake watu wazima na pia hucheza watu muhimu, ngoma hii inapopigwa, hakuna mwanaume anayeruhusiwa kusogea kwasababu wamama hapo humwaga radhi).

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Na huyo aliyekuwa akitoa simulizi hiyo alikuwa ni J. Fundi au waweza muita mchawi wa Sofa. Kama ujuavyo ndugu msomaji kila mwanadamu na hobi yake, sasa huyu J fundi alikuwa ni mtu wa vibinti, mabinti hata ma mama yaliyomzidi umri na alizipenda haswa na hapo alikuwa akimpa habari rafiki yake Mbaraka kuhusu shughuli hiyo ya aina yake. Alikuwa akimwambia kuwa watu hao wenye harusi walikuwa wamekamilika kwani usiku hakuta kuwa na kigodoro wala nini, kutakuwa na ngoma ya asili ya kibondei wanaiita Mdumange. Na hakuacha kumwambia kuwa atakayekuja kuharibu usiku wa siku hiyo ni mtaalamu na fundi wa ngoma hizo anayekwenda kwa jina la Kihiyo.



    "usiku hapatoshi ndugu yangu" alisema J.

    "tatizo lako ndiyo hilo Fundi, umesha rukia kwa mbele kama Ngedere arukiavyo matawi ya miti"

    "kivipi tena Muba?"

    "huoni, sasa hujaniambia kule kwenye kimbungumbungu ulikuta nini"

    "aah! Mwanangu nina mzuka si utani we si unajua mambo yangu yale. akasema kisha akaendelea na pale alipoishia.



    " basi yule jamaa niliyemuulizia, alivyoniambia vile, sikutaka stori nyingi. Pale si hawataki wanaume wale ma maza, lakini cha ajabu washkaji walikuwepo kibao mi nikajua ule utakuwa ni mzuka wa ngoma. Basi nikasikia haya ni zamu ya dada, dada aingie kati. Nyimbo za kibondei zikaanza, kidume tayari nilishapata nafasi ya kujichomeka. Ngoma ikapigwa. Mwanangu si akaingia yule mtoto anayeringa yule mtoto wa kwanza wa mzee Rama."

    "ndiyo nampata" akajibu Muba.



    "basi yule akaingia kati halafu ngoma ilipochanganya nd'o ukaja huo wimbo wa mtoto jiachie usione haya, dadio aolewa ya nini kunyongea......sijui nini sijui nini! Mtoto haa! Sikutegeme mwanangu kama ningekuja kuona paja la yule mtoto. Mtoto anabonge la paja kama tairi la shindilia. Sasa siyo paja peke yake unajua nini"

    "niambie mwanangu fundi"

    "mtoto akajifunua chupi nyeupee si mchezo hapo mbele, pamefutuka kama shavu la paka wa mpishi wa hoteli ya mtaani kwetu. Muba mwanangu sikufichi, sikuwahi kujua kama huyu Maimuna anakatika kiasi kile"



    Walizidi kupeana michapo mtu na rafiki yake lakini muda huo huo akaibuka dogo mmoja huyu alikuwa akiitwa Chacha, mtoto mdogo mtukutu. Mtoto wa mzee Marwa. Akaja pale na kujifanya kama mgonjwa kwa jinsi alivyokuwa mnyonge. Muba na J, walizidi kukata stori huku J akiwa anamalizia kufitisha Sofa lake.



    "nyinyi nyote hamjui aisee", alianza yule mtoto.

    " hatujui nini Chacha?" akauliza J.

    "anazingua tu huyo dogo, endelea na stori mwanangu bwana ujue stori tu umeshanipa mzuka hadi dudu langu limedinda" alidakia Muba. Jambo lile lilimkera sana Chacha, akamkata jicho la hasira Muba na kuanza kumshushia maneno ya maudhi.



    "we nini jamaa, we unajua mimi nataka kuongea nini au shobo tu mshkaji wangu. Zako ndiyo hizo hizo wenzako wale mzigo waje wakuhadithie, ukapige nyeto. Domo zege huna jipya mwanangu, we ungekikalisha tu halafu nikupe mambo ili ukajiumize misuli"

    "Chacha ee, kausha mdogo wangu, Muba ni kama mimi tu hivyo hupaswi kumvunjia heshima" ikabidi J aingilie kati maana alimjua Chacha vizuri akiamua kuongea habakishi na huwezi kumfanya kitu dogo ni mtata vibaya. Ukitaka mtaani kwenu pajae kifusi cha mawe, mtibue huyo dogo. Muba alikuwa katulia tuli kama siyo yeye ambaye alikuwa akipelekewa yale madongo lakini aliubwika bwii! Kama mbwa koko anayepita mbele ya madume ya nguvu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mimi mbona namkubali sana bro Muba lakini yeye ndio analeta michongo siyo"

    "basi liuwe Chacha" akazidi kumpoza J. Chacha akapoa na kutulia kidogo huku Muba akisema kwa kusawazisha ule mjadala na kumfanya ChaCha acheke kisha akaendelea na kile ambacho alitaka kukisema.



    "mimi nilitaka kuwaambiaje, huyo Maimuna hana kitu kwa Batuli, aaah! K*m* anina zake yule mtoto. (akatukana Chacha). Yule mtoto anakata nyonga utadhani kile kiuno siyo chake. Broo wewe ulichelewa maana hivyo vituko alivyo vionesha hapo kama kuna kidume haja dindisha atakuwa laki tatu huyo siyo bure. Mtoto unaambiwa alivua nguo ya kwanza watu haa, akasaula ya pili, watu wewee! Alipofika ya tatu hii ilikuwa laana. Alitaka kuvua hadi chupi. Hapo ndio tukatimuliwa mimi ndiyo nilikimbia huku nikiwa nimedinda si mchezo ila sikwenda mbali, nikadandia mti wa karibu ili nione vizuri nikakuta kafunikwa na kanga. Nilimaindi kinoma nikajichenga, sikutaka hata kuangalia tena" alisema Chacha.



    Wote pale walikuwa kimya kabisa ile stori ilikuwa imewagusa nyoyo zao. Muba nd'o alikuwa kila saa anapeleka mkono mbele na kuliweka sawa dudu lake lililokuwa limepindia kwa ndani.



    "huyo mtoto ni yupi Chacha" aliuliza J.

    "nikikuelekeza huwezi kumjua ila we nakuaminia kamanda wangu huwakwepeshi. Yule mtoto mimi nitamshika mkono hadi miguuni kwako najua lazima umle tu. Mtoto mwenyewe atakuwa anakukubali handsome wangu kwani kuna mademu wanapindua hapa mtaani sema we man uko busy kinoma, kanapita sana hapa kakitoka jobu"

    "we anafanya kazi huyo manzi?" akauliza J. Fundi kwa mshangao kidogo.

    "ndiyo kanapiga jobu hako kamanzi si kanesi sijui ka dokta ka Ubwali sijui Teule lakini ni Dokta kaka"

    "daah! Poa sana, fanya mchakato leo usiku tena nakuhakikishia analiwa leo leo. Huyo nd'o atakuwa shemeji yako wa ukweli atakuwa anakupa mkwanja wa school huyo au unasemaje?" aliongea J.

    "kaka J hizi fix, kwaiyo ndio unataka kuniambia hapo utatuliza majeshi au?" alisema Chacha.

    "siyo hivyo Chacha mdogo wangu, we unajua mimi kaka yako bado ninakula ujana, kugonga must ila huyo ndiyo atakuwa mama mjengo si unajua maisha yanahitaji ulenge kwa shabaha kali"

    "nimekunyaka kaka sasa naona mida imekwenda halafu sijafika nyumbani" alisema Chacha.

    "kabla hujaondoka dogo, tuingize kwanza hili Sofa stoo kisha upige usafi hapa pakae powa ndiyo utimke ila mida ya saa mbili usiku uniibukie tukapige msosi kwa mama Joy halafu tujue nini kinafuata"

    "poa kaka" akajibu Chacha.



    Wakaingiza lile Sofa ndani na kumuachia Chacha Usafi, yeye na Muba wakaondoka huku akimwambia kuwa asisahau kufunga Stoo.



    ********************************************

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    J. Fundi ni mkazi wa mji wa Muheza Maeneo ya Masugulu. Baba na mama yake wakiwa ni wenyeji na wazaliwa wa mji huo, lakini hawakuwa wakiishi hapo mjini bali wao walikuwa wakiishi pembeni kidogo ya mji japo si mbali sana na hapo mjini lakini palihitaji nauli pia. J. Ni kifupi cha jina lake alilopewa na wazazi wake ambalo ni Jiriwa Ahmed Isihaka au Ahmed Jiriwa kama linavyoandikwa kwenye cheti chake cha kuzaliwa. alisoma na kukulia katika kijiji cha Mkwajuni ambako ndiko hasa wazazi wake wanapoishi hadi muda huo. Alipohitimu elimu yake ya Sekondari, Baba yake hakusubiri kijana wake asubiri cheti wala matokeo. Alichokifanya ni kumpeleka mjini Tanga, huko alimkabidhi kwa baba yake mdogo na kuingizwa katika masuala ya ufundi. Haikuwa chuoni wala College. Hiyo ilikuwa ni mtaani tu na uzuri ni kwamba Jiriwa mwenyewe alipoulizwa kazi ambayo anataka kujifundisha, akajibu ufundi Sofa. Tofauti na matarajio ya wazazi wake ambao waliamini mwana wao atakwenda kuingizwa katika Gereji na kufundishwa ufundi wa magari. Wazazi hawakuipenda hiyo kazi kwa kuwa haikuwa kazi waliyoamini kama inaweza kuwa na mantiki kwenye maisha yake. Baba mdogo alipopigiwa simu na kuambiwa habari hiyo, akamuita Jiriwa na kumuambia habari hiyo kutoka kwa wazazi wake na kumwambia kuwa walitaka ajifunze ufundi wa magari. Kauli moja nzito ikamtoka kijana huyo, kauli iliyokwenda kunyong'onyeza kabisa misimamo ya wazazi wake, kauli ya kiume.



    "mafundi magari ni wengi sana baba mdogo hivyo najifunza kitu ambacho kama nitapata sehemu nzuri nakuwa ni mimi peke yangu na nitatengeneza mkwanja mzuri" hiyo ndiyo iliyokuwa kauli yake ikikandamiziwa na kusema. waambie nilichokichagua ndicho nilichokipenda na chenye faida kwangu hapo baadae. Ujumbe ule kama ulivyo ukatumwa kijijini na baba mzazi alipo upokea, hakuwa na la kuongeza wala kuuliza maana mdogo wake alijaza na chumvi kwenye ujumbe huo, akabakia kutoa go aheed na baraka chekwaa! Kwa kijana wake. Jiriwa akaanza rasmi mafunzo hayo na kwakuwa baba yake mdogo si kuku mgeni, akampachika kwenye mafundi wenye uweledi wa kazi hiyo. Juhudi za kijana huyo zikaonekana kwa hatua za awali. Alijituma kuliko ilivyotegemewa hadi baba mdogo akakumbuka usemi usemao 'kipendacho roho, hula nyama mbichi. Jiriwa aliipenda kazi ile na alitaka kuwaonesha wazazi wake kuwa kiingilio chao walichompa fundi hakikwenda kwa Abunuasi wala hawakucheza mchezo wa kutupa jiwe gizani, walilenga. hata baada ya miezi mitatu Jiriwa ndiye aliyekuwa akifanya kazi za fundi wake mkuu na kila kazi aliyokuwa akipewa ilikuwa ikisifiwa na wateja hali iliyopelekea fundi amuone jiriwa wa thamani kuliko mtu mwingine. Hata majibu yalipokuja kutoka na kuonekana hakupata nafasi ya kujiunga na masomo ya juu, haikumuuma sana kwani tayari kipindi hicho alishaanza kula bakshishi ya kutoka kwa fundi wake. Ulipofika mwezi wa nne wa mafunzo, Jiriwa akaanza kulipwa mshahara mzuri na fundi wake ikiwa ni kumfunga kabisa kijana huyo asitoke. Kitu ambacho fundi alimkubali Jiriwa ni utundu, Jiriwa alikuwa ni mtundu sana, mitindo mingi na ya kupendeza ilianza kutengenezwa hapo, biashara ikazidi kuwa kubwa zaidi. Lakini Jiririwa ni kama hakupenda kufanya kazi kienyeji zaidi. Hamu yake ikawa ni kusoma ili kufanya kazi zake kwa uhakika na kwa ubora wa hali ya juu. Jiriwa akamueleza baba yake mdogo adhma yake na kumwambia anachohitaji ni shule tu kuhusu ada alikuwa nayo. Baba yake huyo akamwambia asijali ila akamwambia kuwa amwambie fundi wake ili asionekane kama kaondoka kienyeji. Habari zikafika kwa fundi, fundi akafungua moyo na kumruhusu huku akimwambia kuwa akimaliza masomo yake aje ili waweze kutengeneza sehemu kubwa na kufanya kazi zaidi. Jiriwa akaondoka kwa ahadi ya kurudi lakini siku zote moyo wa mtu ni kichaka, hakujua kuwa Jiriwa alikuwa na mipango yake mikubwa ya kuweza kufungua ofisi kubwa. Alipofika nyumbani alimueleza baba yake mdogo na kwa kuwa Jiriwa alionesha nia thabiti ya kutaka kujifunza, akamwambia kuwa atamsomesha kwa muda huo mfupi maana Jiriwa hakutaka kupoteza muda mrefu sana hivyo akaamua kusoma kozi fupi ili tu aweze kupata Cheti. Jiriwa alifurahi sana kusikia hivyo akamuomba baba yake amfungulie akaunti ili aweze kuhifadhi pesa zake. Akafanyiwa hivyo na kuweka benki kiasi cha shilingi Laki nane. Akaanza masomo na hatimae baada ya miezi sita ya mafunzo akahitimu mafunzo yake ya ufundi seremala na kukabidhiwa cheti chake. Akaulizwa nini anataka, kurudi kwa fundi au nini? Akasema kuwa anapenda kuwa na ofisi yake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "wapi?"



    Akajibu Muheza palepale mjini. Aliamini kwa uwezo mkubwa alionao wa kuweza kubuni mitindo na miundo mbali mbali ya Sofa akichanganya na utengenezaji samani nyingine, atakuwa juu sana. Baba mdogo akamuongezea mtaji wa kununua vitendea kazi na vifaa vya awali vya kuanzia kisha akampangishia na chumba cha biashara. Jiriwa akaanza kazi yake mwenyewe rasmi. akafanya kwa shida lakini baada ya mwaka mmoja, Jiriwa alikuwa gumzo mtaani kwa utengenezaji wa Sofa bora na nzuri. Wateja wakamiminika kutoka kila kona kama siyo pembe ya wilaya hiyo ya Muheza. Miaka miwili mingi, Jiriwa akaangusha mjengo wa nguvu maeneo ya Masugulu Shule, nyumba ilipokwisha kwa ubora kabisa, akaweka wapangaji na yeye kujenga nyumba nzuri ya pembeni yenye vyumba vitatu na kila kinachotakiwa kuwapo kwenye nyumba ya kisasa. Mwenyewe alipenda kuiita geto. Hapo ndipo alipokutana na mtoto huyo mtukutu, mtoto ambaye alikuwa akigombana na mama yake kila siku kwa suala la kwenda shule hadi mama yake akachoka kabisa na kuamua kumuachia Mungu. Chacha, mtoto ambaye utundu kwake ni jambo lisilokuwa na dawa na alianza utundu tangu akiwa mdogo kabisa. Yeye ndiye aliyesababisha baba yake kupoteza maisha angali mdogo kabisa. Kifo ambacho kina muumiza mama yake kila siku hasa pale anapomkumbuka mumewe na kila alipokuwa akiangalia utundu wa kijana wake wa kuto kusikia, alizidi kupata majonzi kabisa. Ujio wa Jiriwa mtaa huo wa Masugulu, ukawa ni bahati kubwa sana kwa mama huyo. Kwani Jiriwa alijenga urafiki wa kawaida kabisa hadi pale Chacha alipomchukulia Jiriwa ni kama kaka yake na kutokea kumheshimu sana. Ndipo hapa Jiriwa alipotumia mwanya huo kwa kumbembeleza Chacha arudi shule, alianza kwa kumpa hela ya kwenda kutumia shule na siku za juma mosi na juma pili alikuwa akimchukua na kwenda naye kijiweni kwake. Chacha akarudi shule kama utani na kumaliza darasa la saba huku Jiriwa akiwa ndiye mfuatiliaji mkubwa wa mambo ya shule yanayomhusu kijana huyo. Mama Chacha alitokea kumhusudu sana kijana huyo kwa jinsi alivyoamua kujitolea kumsimamia mwanae ambaye yeye mwenyewe alishanyanyua mikono juu. Hakuja kuamini mama huyo, pale Chacha alipofaulu na kutakiwa kuanza kidato cha kwanza. Jiriwa akafanya kila linalowezekana kwa dogo huyo mwenye mwili mdogo kwenda shule.

    "sina cha kukulipa baba, umefanya kazi kubwa sana hadi nashindwa kukulipa na sijui hata nitakapotaka kukulipa sijui nikulipe nini ili ufikie wema ulionitendea. Nilikuwa nimeshindwa kabisa kumsomesha huyu kijana, asante sana baba" alisema mama Chacha.

    "mama usijali Chacha ni mdogo wangu, ni rafiki yangu pia ni mtoto niliyetokea kumpenda sana tangu siku ya kwanza naingia hapa mtaani hivyo hupaswi kuwaza chochote juu ya nilichoamua kukifanya kwa kijana huyo"

    "mungu akuzidishie sana J Fundi" aliongea mama huyo na hapo hapo jina la J Fundi likazaliwa rasmi. Jiriwa alifurahi sana kuitwa hivyo na alitokea kupenda kuitwa hivyo akajikuta anatabasamu baada ya jina hilo kukita kwenye medula ya kichwa chake.

    "mbona unatabasamu au hukupenda nilivyo kuita J Fundi?" lilikuwa ni swali kutoka kwa mama Chacha.

    "hapana, nimefurahi sana na nimelipenda mno, sikutegemea kama utafikiria kuniita hivyo na kwa kukuonesha kuwa nimelipenda, naliandika kabisa kwenye bango la ofisi yangu" akasema J fundi. Mama huyo akajichekesha huku akimsogelea zaidi kijana huyo tena ilikuwa ni kwenye ofisi kabisa ya kijana huyo machachari. Alipomkaribia karibu zaidi, alimhemea kwa nguvu kabla ya kumwambia.

    "unajua J unafaa kabisa kurithi mikoba ya marehemu mume wangu"

    "kivipi?" J akauliza.

    "mume wangu alikuwa kama wewe hivyo ulivyo, alikuwa mcheshi, mpenda watu na pia alipenda sana maendeleo ya kila mtu hivyo nakuona kama baba Chacha vile" alisema huku akiwa anazidi kuibana sauti yake.

    "J, naomba utoke na mimi siku moja"

    "mbona sikuelewi mama?"

    J unanielewa sema tu unapotezea"

    "kiukweli sijakuelewa na nashindwa kukuelewa na kama ningekuelewa nisingekuuliza"

    "J, na.....na....nataka tu....nakupenda J naomba siku moja tu nifanye japo mapenzi na wewe naa......!"

    "aaaah! Mama, mimi kufanya hivyo na wewe ni ngumu sana na haiwezekani. Chacha namchukulia kama mdogo wangu sasa atakaposikia kuwa natoka na wewe atajisikiaje unafikiri? Atajisikia vibaya sana."

    "najua J lakini nimejikuta tu nikipata msukumo huo wa kutaka kutoka na wewe kimapenzi." alilalama mama huyo huku safari hii akiwa anakishika kifua cha kijana huyo.

    "hapana mama, hebu ngoja kwanza.....hapa ni.....ofisini unafikiri watu wakitokea wataona picha gani?" alijitetea J.

    "acha ujinga wewe hivi huoni huu mzigo nilioubeba huku nyuma? Huoni jinsi nilivyo na umbo linalowatoa watu mate, nataka nikupe utamu J, kubali siku moja tu uone utakavyo nata" alisema mama huyo huku akijigeuza pande zote na kumfanya J awe katika wakati mgumu kabisa. Mama Chacha kweli alikuwa si haba, aliumbika haswa. Mwili wake mnene lakini wenye kueleweka kipi kiuno, upi mgongo. Mama alikuwa jimama kweli. akitembea kawaida waweza kusema akufanyia makusudi, akikufanyia kusudi na kama mwenzangu na mimi ni kama Muba, mdomo umejaa kokoto, utaishia bafuni na kuishia kulitaja jina la mama huyo huku ukiiumiza misuli kwa kuisugua kwa mikono yenye povu la mbuni au mafuta ta Vestline. Mama alikuwa na jicho lililohitaji moyo wa kijasili kulikwepa hasa pale anapokutazama kwa matamanio. J alijikuta akipata tabu kwa mama wa rafiki yake mdogo huyo ambaye alikuwa akitaka mambo. Mikono laini ilikuwa tayari kwenye tumbo la J, jamani na ilikuwa ikizikanyaga nywele za hapo tumboni kwa adabu na utii kabisa.

    "J jamani kumbe una gaden ya kikubwa, mwenzako nikizilalia hizi napagawa kabisa kwa raha please J naomba ukubali kunifanya hata mara moja tu nipate utamu ulionao kisha sitakusumbua tena" sauti, ya kubembeleza ilizidi kumtia nyege kijana huyo.

    "Mama Cha....cha.....!"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "tulia J niitafute ndizi ilipo na niishike tu niridhike kwa leo na wewe lete mkono wako nipeleke kwenye tumbua langu uone jinsi lilivyo na jo........!" alikatishwa alichotaka kukisema J na mama huyo lakini pia mama huyo alikatishwa na J mara baada ya J kumuona Chacha kwa mbali na kumpiagia kelele kuwa Chacha anakuja. mama huyo alipogeuka nyuma kweli alimuona mwanae akija taratibu huku akiwa anatazama chini. Mama chacha akajitoa haraka sana na kukaa mbali na kijana huyo, alikuwa hataki mtoto wake agundue kitu chochote kutoka kwao. hivyo kwa hali aliyokuwa nayo J, mama huyo pia akaona wanaweza kushtukiwa mapema hivyo mama huyo aliaga na kuahidi kuwa hata kubali hadi ampe siku moja kwani ni moyo wake tu umejikuta ukipata tabu juu yake. J akabaki na maswali mengi ya kujiuliza juu ya mama huyo na kwa jinsi anavyo yajua mapenzi yasivyo na siri, ni wazi ipo siku Chacha angegundua na lisingekuwa jambo zuri. Moyoni alikiri kuwa mama huyo si haba, yuko juu kila idara kuanzia sura hadi umbo kwa nyongeza watu wa pwani wanasema 'mtoto mansha allah kaumbika'





    J akabaki na maswali mengi ya kujiuliza juu ya mama huyo na kwa jinsi anavyo yajua mapenzi yasivyo na siri, ni wazi ipo siku Chacha angegundua na lisingemuwa jambo zuri. Moyoni alikiri kuwa mama huyo si haba, yuko juu kila idara kuanzia sura hadi umbo kwa nyongeza watu wa pwani wanasema 'mtoto mansha allah kaumbika'



    SAA MBILI USIKU



    Chereko na nderemo ziliwamba kila upande wa mji huo wa masugulu juu, kila kijana siku hiyo alipania kulala mida mibovu pengine hata kukesha kabisa. Kitendo cha kusikia kuwa Kihiyo mpiga Mdunge maarufu ana kuja kuisherehesha harusi ya mtoto mkubwa wa mzee Rama, hakuna ambaye angependa kuulaza ubavu wake kungali nje kunarindima kia mjamuungwana alipanga kurindimka na ngoma hiyo.

    "mwanangu leo pana watoto hapo juu si utani" alisema kijana mmoja alipokuwa kwenye kiduka fulani hivi cha Sadi.

    "leo hapatoshi mtu wangu ni hadi majogoo hakuna kulala" aliongea mwengine.

    "tena Kihiyo baba na mdumange, hata ningekuwa kitandani hospitali ningepona nakuambia. Kihiyo siyo poa ujue"

    "mwanangu kweli yaani hapo hata wangeweka kigoro kingeingia maji hakuna mtu ambaye angekihusudu"

    "cheki kwanza watoto walivyovaa, kanga moja mwanagu na chupi tu we si unaona mambo hayo, weweeeeeeeeee!!!" walizidi kujadili vijana hao huku wakiwa na furaha kubwa kabisa. Ama kwa hakika kila Mbwa na kwao, nimeamini. Mbondei na Mdumange ni kama Chai na kabila fulani hapo hapo mkoani Tanga kwa jinsi lilnavyokubalika. Utawaambia nini sasa na ukitaka uabike. Lete mdumange na ngoma zenu hizi mpya sijui ndiyo nini sijui, uone utakavyo aibika na kigodoro chako. Walichokuwa wakikisubiri hapo ni muda tu kwa ajili ya kuelekea kwenye ngoma hiyo ya asili.



    "kaka ee!" aliita Chacha.

    "nini mdogo wangu?"

    "unajua huko juu siyo powa leo ujue, nilikuwa nimetega Panzi hapo juu na wana si nikaona utitiri wa watoto siyo mchezo"

    "wacha weee!?"

    "niamini mimi kaka, hebu kwanza funga huo mlango tukapige msosi kisha tuibuke kwenye hiyo harusi" alisema Chacha, wakakubaliana kisha wakatoka hadi kwa mama muuza. Hakukuwa na watu wengi sana happ na si kama ulikuwa ni mgahawa mkubwa sana laa! kuliwekwa benchi moja na kijimeza cha wastani. Wakati Chacha na J. Fundi wanafika hapo, watu wengine wawili ndo walikuwa wanaamka. wakakaa hapo na kuanza utani kwa mama huyo.

    "vipi leo uko peke yako mama nijazie mwanao yuko wapi?" Chacha aliuliza.

    "umefuata kula au umemfuata mwanangu Chacha" aliuliza tena mama nijazie ambae kwa umaarufu wa jina lake alikuwa akiitwa mama Joy. Ni mama maarufu sana wa chakula cha usiku na biashara yake aliifanyia maeneo ya kituo cha magari ya Bombani, Amani na Kicheba hadi Maramba. Mida hiyo ya usiku walifanya kazi zao kwa uhuru sana kwani hakukuwa na heka heka za magari wala nini ma wateja wake wengi walikuwa ni wauza mitumba almaarufu Walumba. Na wengine ambao hawajaoa kama wakina J, ndiyo ilikuwa mahala pao pa kujidai.

    "basi kama vipi atakula kaka hapa mimi sili"

    "sasa Chacha ndiyo nini mwanangu au unataka ugali unidodee leo maana najua wewe na kaka yako ndiyo mnaokula ugali wengi hapa wanakula wali" alilalama mama Joy.

    "mama nijazie, anakuzingua huyo lazima ale tu" alipngea J. Fundi.

    "kaka unadhani nakutania, sili kama Joy leo haniandalii" Chacha alionekana hatanii kabisa hicho alichokuwa akikiongea mahali hapo, alionekana kudhamiria.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Joy yupo bwana nilimtuma hapo dukani kaenda kutafuta chenji"

    "hapo sawa ninakula kwa mbwembwe zote" Ulikuwa ni utani pale huku mama Joy akimuwekea J chakula kisha akamsogezea na kijana huyo akaanza kula. Muda wote huo wakati J anakula, alikuwa haachi kumuangalia mama Joy hata kidogo na kikubwa kilichomfanya kijana huyo kumuangalia huyo mama ni jinsi alinyopendeza siku hiyo. Si kama alikuwa hapendezi siku zote, alikuwa akipendeza sana ila siku hiyo ni kama macho ya J yaliona ajabu hivi. Midomo mizuri ya mama huyo ambayo haikuwa imepakwa rangi ya aina yoyote, midomo mikavu ambayo kwa mtazamo wa J tayari alishaijengea picha mbaya. Mawazo yake yalikuwa ni kama angepata bahati ya kuinyonya midomo hiyo ni wazi asingeiachia hata kidogo. midomo hiyo ilimkumbusha mbali sana, ilimkumbusha kipindi anasoma kidato cha tatu. Kulikuwa na binti mmoja ambaye alikuwa akikaa naye dawati moja naye midomo yake ilikuwa kama ya mama huyo. J. Fundi alijikuta akiangalia hadi ulaji kwake ukapungua. Ndipo mama huyo akamtupia kijana huyo jicho na kumkuta akiwa ameshangaa mshangao ambao ulimpa maswali mengi, hakusita kuuliza.

    "J jamani mbona hivyo?" kijana huyo akashtuka na kuona aibu maana kumbe kwa wakati huo Joy nae alisharudi kutoka kutafuta chenji. Alihisi labda watu wote pale walikuwa wakimsjangaa lakini kumbe haikuwa hivyo. J akamkazia macho mama Joy na kumuuliza kwa ishara kama wale madogo walijua chochote, mama huyo akatikisa kichwa kuwa hakukuwa na chochote walichogundua. Akamkonyeza mama Joy kenyezo la kiutu uzima. Ndugu mpenzi msomaji hakika usishangae mwandishi kusema kuwa J alimkonyeza mama Joy konyezo la ki utu uzima. Ndiyo, kuna konyezo la kumkonyeza mtoto mdogo, konyezo hili linapomkuta mtoto basi hana atakalolifanya zaidi ya kuangua cheko kuubwa la furaha na atafurahi kweli na vilevile kuna hilo konyezo la kiutu uzima. Hili linapomkuta mlengwa ujue ni haya tu ndiyo itakayo ugubika moyo wake na kuanza kujigeuzageuza kama kachomwa na mwiba wa mbigili kwenye makalio. Ubaya unakuja pale mtu mzima akamkonyeza mtoto kwa konyezo la kiutu uzima, hakika ni lazima utamuona mtoto atakavyopoyeza ujasiri na hata kama alikuwa anakimbia basi mwendo utapungua na atajiona kama hajakamilika mwilini mwake. Hapa nawazungumzia watoto wanajitambua. Hivyo ndivyo lilivyomkuta mama Joy. Mara tu alipokumbana na konyezo hilo ambalo ni nadra sana J fundi kulitoa, alichoka na uchovu wake ukaanza kujidhihirisha kwenye macho. Macho yake yalikosa nguvu kabisa kumtazama J, akajikuta akitazama chini. Ilikuwa ni kwa ufundi mkubwa sana maana hapo hakuna Chacha wala Joy ambaye alijua kinachoendelea. Hapo ni mchezo wa kikubwa na uzoefu wa mambo hayo ndiwo uliokuwa ukitumika eneo hilo. Mama Joy hakutaka kumuangalia tena J usoni maana alijua fika kufanya hivyo ni kujibebesha mzigo katika mawazo. akaganda na kutazama chini muda wote. J alidhamiria kumtofya tofya mama wa watu, hivyo hakuacha kupeleka mashambulizi ya kichokozi hata kidogo. Aliupeleka mguu wake chini na kukanyaga mguu wa mama Joy na kuanza kumgusa pasipo kumpa maumivu. Mama Joy alijikuta akifumba macho kwa hisia kali ni wazi J. Fundi alifanya vile ili kumroga mama huyo na ukisikia kutongoza kikubwa ndiyo hapo. Mama Joy asingepiga kelele mahali hapo kwani kila akiangalia pembeni alimuona mwanae hivyo aliamini kupiga kelele ni sawa na kumpa mwanae mwanga wa kuuliza kunani mahali hapo. Akazidi kufumba macho huku akiusogeza mguu wake nyuma lakini J. Fundi hakuacha kuufuata huko huko. mama Joy akakosa uvumilivu na kuamua kumtupia macho kijana huyo ya kumwambia asitishe kile alichokuwa akikifanya kwa majira hayo lakini alipomuangalia tu, ni kama alikuwa akingojewa kwa hamu. Akakutana tena na konyezo lile lile la awali, akayarudisha tena macho yake chini. Lakini pamoja na yote hayo yaliyokuwa yakiendelea mahali hapo, J hakuacha kula na muda huo alikuwa akimalizia msosi wake.

    "kaka mimi tayari nimesha maliza kama vipi faster tukiamshe" alimgutusha J, Chacha.

    "ahaa poa hata mimi nimesha maliza ngoja nilipe tuondoke" alisema J na kutoa noti ya sh. 10,000 na kumkabidhi mama Joy ile noti.

    "jamani J hela yote hii mimi nitapata wapi chenchi usiku huu" alilalamika mama huyo.

    "mwambie Joy akaangalie kule kwa Mgosi kama anaweza kupata"

    "Joy mwanangu, hebu kimbia mara moja kwa mgosi ukalete chenchi kama unaweza kubahatisha."

    bwana mama kila saa tu, nimechoka sasa" alinung'unika Joy.

    "najua mwanangu lakini tutafanyaje sasa mama, kajaribu tu hii mara ya mwisho" alisema mama huyo na Joy akaichukua ile hela na kwenda taratiibu kivivu sana. J fundi akamtazama Chacha na kufikiria ni kitu gani anaweza akamwambia ili aweze kubaki na mama Joy pekee. Lakini penye ukubwa pana ukubwa tu. Akamtazama na kumwambia.

    "dogo ee!"

    "naam kaka!" aliitikia Chacha.

    "we tangulia kati me nitakukuta hata kama nitachelewa lakini najua nitakuja, mimi kuna jamaa hapo inabidi nikamcheki maana nikimkosa muda huu ujue ndiyo basi tena" alisema J na kumtazama Chacha moja kwa moja usoni. Chacha alikuwa ni kama alikuwa akiisubira hiyo kauli kwani alivyogeuka tu akapotea huku akimsisitizia kaka yake asichelewe sana maana huko ni noma. Kitendo tu cha Chacha kuondoka mahali hapo, mama Joy alibadilika gjafla na kumkazia macho J.

    "hivi J ndiyo tabia gani sasa ile kufanya mbele ya watoto?"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "na ndiyo maana nikawaondoa hapa kiakili ili tuyamalize kikubwa" alisema J akiwa mpole kabisa hana hata presha na wala hakujua kuwa mwenzake alikuwa katika hasira kiasi gani.

    "yaani umenikera sana hujui tu, hivi unajua ni kiasi gani mimi nilivyo sina uvumilivu J, ningeweza kupiga kelele pale unafikiri ningejenga picha gani kwa watoto sasa"

    "mamaake acha basi, tufanye hayo yamepita nilifanya vile kwa sababi ya hako kamdomo kako kalivyo kadogo, kamdomo ka kunyonya hako, sasa ukiongea sana utasababisha Joy arudi bure halafu tutakuwa hatujaongea chochote na sio lengo." aliongea J fundi huku akimuinamia mama huyo ambaye baada ya kujua ni nini kilichomdatisha kijana huyo.

    "kwahiyo unatakaje sasa?" akatupa swali mama huyo.

    "enhee! Hayo sasa maneno. Unajua nini mamaake, mwenzako leo nimeshindwa kuzizuia kabisa hisia zangu yaani kila nikikuangalia hapa nakutamani, hebu fanya fanya tukamalizane kikubwa"

    "huna hata aibu yaani unasema kabisa kuwa umenitamani"

    "sasa ulitaka nisemeje? Ulitaka nianze kuimba nyimbo za kina Diamondi huko au kina Kiba eti nikilala naota, naota kama unakuja au zile baby ni kiss kiss. Aaah! Sisi watu wazima





    "enhee! Hayo sasa maneno. Unajua nini mamaake, mwenzako leo nimeshindwa kuzizuia kabisa hisia zangu yaani kila nikikuangalia hapa nakutamani, hebu fanya fanya tukamalizane kikubwa"

    "huna hata aibu yaani unasema kabisa kuwa umenitamani"

    "sasa ulitaka nisemeje? Ulitaka nianze kuimba nyimbo za kina Diamondi huko au kina Kiba eti nikilala naota, naota kama unakuja au zile baby ni kiss kiss. Aaah! Sisi watu wazima bwana lazima tuguse pale ambapo hisia zetu zimegota" alivyosema hivyo mama Joy alikuwa hana mbavu, alikuwa akicheka mtindo mmoja. Hadi pale J alipomkatisha kwa kumwambia kuwa Joy anakuja.

    "poa nimekuelewa J fundi. Hapa pamebakia kama sahani mbili tu za wali ngoja nimuachie huyu akija na nimsaidie kuondoa hivi vyombo nimbakishie hii sufuria tu na vitu vichache wewe tangulia nikukute kwako maana lazima nioge, nitakuja" alisema mama Joy.

    "kweli utakuja?" akauliza J.

    "sasa wewe umesha sema sisi ni watu wazima nikudanganye ili iweje"

    "nahofia usije ukanichomesha mahindi" alisema J tena na kumfanya mama huyo azidi kucheka kisha akamnong'oneza kwani kwa muda huo tayari Joy alisha karibia hapo.

    "lazima nije J fundi ili unifundishe, hapa uliponigusa tu nimepata shoti" alipomaliza kusema hayo alimgeukia mwanae ambae alikuwa kavimba kwa uchovu wa nenda rudi nenda rudi.

    "umepata mama?" alimuuliza mwanae mama huyo.

    "nimekosa, mi si nilikuambia, kwanza Mgosi hana tabia ya kutoa chenchi hadi ununue kitu"

    basi mama. Sasa hapa zimebaki sahani tatu au mbili, kaakaa kidogo lakini siyo lazima ukae sana ukichoka nenda kapumzike mwanangu kesho uwahi shule mimi ngoja nikusaidie kutoa hivi vyombo wewe utaingiza hiyo sufuria na hizo sahani na hiyo ndoo ya maji, nitatoka kidogo" alitoa maagizo mama huyo na kuanza kazi ya kuingiza hivyo vyombo ndani huku J akiwa anaondoka taratibu kwa tambo.

    "kwa mara ya kwanza leo ndani ya mji huu, J naanza mbwembwe zangu. Nina maji sana aisee sipati picha nikimpata huyu mama sijui nitamlaje." aliwaza J fundi akiwa anakata mitaa kurudi nyumbani kwake au geto kama mwenyewe alivyopenda kupaita. Njia nzima alikuwa akiwaza ni jinsi gani ataweza kumfanya mama huyo. Alikuwa na kitu kama hofu moyoni mwake kwani kiukweli kabisa J na mama Joy ki umri, mama Joy alikuwa ni mkubwa. Alifika nyumbani kwake J na moja kwa moja akaenda kuoga tena kwa mara nyingine alijiona kama bado mchafu kila alipokuwa akijiangalia kijana huyo. Jamani si jambo dogo kushiriki mapenzi na mtu aliyekuzidi umri, unaweza hata ukajikuta jogoo hapandi mtungi na akipanda, ukaishia goli moja tu la mkwezi. Kuna kitu kinaitwa hofu na hiyo ndiyo ambayo J alikuwa nayo na si hiyo pekee bali hata paniki alikuwa nayo, alipania sana J kufanya hilo tendo na huyo mama kwani siku hiyo alikuwa amemvutia sana. Alikuwa akimtamani kila siku lakini hakuwa akimwambia sijui ni kwa nini lakini siku hiyo akaona Ah!, ah?, akafunguka na mambo yakawa mepesi kabisa. kumbe kilicchokuwa kikimzorotesha kusema ni woga labda huku ule usemi wa uoga wako ndiyo umaskini wako, akiwa ameusahau. Alisubiri kwa muda wa takriban dakika arobaini na tano ndipo aliposikia mlango ukigongwa. Akanyanyuka kutokea pale kwenye sofa alipokuwa amekaa na kuuendea mlango. Alifungua na kumkaribisha mgongaji.

    "karibu ndani" alizidi kukarbisha.

    "asante, nimechelewa sana" aliitikia ukaribisho huo na kuongea.

    "nilikuwa nakaribia kukata tamaa, naona muda unayoyoma tu nikajua hili sasa ni changa la macho nimepigwa" akasema J.

    "hapana J siwezi kufanya hivyo ndugu yangu, unajua ni bora hata leo ulivyofunguka maana nilikuwa napata shida sana na nilikuwa najiuliza kila siku itakuwaje. Nilikuwa naona aibu kukutamkia nahisi ungeniona kituko"

    "kwahiyo unataka kuniambia hata wewe ulikuwa unafikira juu yan........!"

    "sana J na moyo wangu nahisi leo utapoa maana hata sijui hicho kitanda chako kitasemaje" alikatisha kauli ya J mama Joy na kuongea ya moyoni kwa mkazo mkubwa. J alimuongoza mama huyo hadi chumbani hakutaka kuishilizia sebuleni. Akamkaribisha chumbani humo kwa kumwambia akae kwenye kitanda au kwenye kochi. Mama Joy akachagua kwenye kochi, akakaa na kuyaruhusu macho yake yakikaguea chumba hicho.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "nyumba yako nzuri J kuanzia nje hadi ndani hongera sana" hakuacha kusifia mama huyo.

    "mbona ya kawaida sana"

    "hata kama ni ya kawaida J ni yako kuna vijana wangapi mtaani hapa wenye umri kama wako na wengine wamekuzidi lakini hata chumba cha kupewa hawana"

    " dah! Kweli kabisa, asante sana" alishikuru J fundi na kumkaribia mama huyo ambae ki ukweli kabisa alikuwa si haba nĂ  aliitwa mama kwa sababi tu alkuwa na mtoto lakini mwili wake ulikataa kabisa jina hilo. umbo la kuvutia kulitazama, sura nzuri iliyobeba macho makubwa kiasi, mdomo mdogo wa kunyonya na mashavu yaliyojaa kidogo na kuleta muonekano mzuri wa kuvutia. Mama hakusema kitu na badala yake alitulia tu na kumuangalia kijana huyo ni kitu gani atakachoanza kukifanya. J alimkaribia na kuanza kumsifia kwa jinsi alivyoumbika na kuvutia zaidi kiasi cha kumteka kihisia. Mama Joy kikubwa alichokuwa akikifanya mahali hapo ni kucheka na kuachia tabasamu. Alikuwa amevaa kanga chini na juu alitupia fulana nyeupe isiyo hata na maandishi. J akawa anafunua ile kanga taratibu kama mtu anayeogopa hivi, akaisogeza pembeni. Paja nono la mama huyo likajitokeza na kufanya hadi mfunuaji wa paja hilo kujikuta akimeza mate kwa matamanio ya haja. Akajivuta taratibu hadi akaukuta mdomo wa mama huyo lakini hakumpiga busu wala kuonesha kitu chochote na badala yake, akaanza kumsugua na ndevu zake ndogo kwenye mashavu na kidevu, taratibu alizidi kufanya hivyo hadi shingoni mule ilipoishia kola ya round ya fulana yake. alizidi kumgusa na zile ndevu huku akimhemea kwenye sikio lake la kulia. Wadudu wa nyegezi walianza kumtambaa mama huyo taratibu kuanzia shingoni hadi maeneo ya kifuani. J alijua kuwa kwa kitu hicho kidogo anacho kifanya ni lazima atamtoa kwenye hali ya kawaida na kumuingiza kwenye utayari wa mchezo. Alianza kwa kuhema taratibu mama Joy hadi kifua kikawa kinapanda na kushuka kwa nguvu kuashiria sasa hali imeshakuwa hali. pumzi zilikuwa zikimtoka kwa nguvu sana. huku sauti ndogondogo za raha zikimtoka. J akahamia upande wa mbele na kumfanyia kama alivyomfanyia upande wa nyuma wa shingo, hapa akasimama kwanza na kumuuliza kwa sauti ndogo na nzito iliyosheheni mahaba ya pwani.

    "vipi unaharaka sana" mama Joy akatikisa kichwa kushoto kulia kuwa hakuwa na haraka hivyo ni yeye tu kufanya anavyo weza. J akaikamata ile fulana na kutaka kuivua, mama Joy akamzuia na kumwambia atulie. Akasimama na kuanza kuvua kila nguo taratibu kama hataki vile. Macho ya tamaa yakamtoka J pale mama huyo alipoitoa fulana yake mwilini na kuiweka pembeni. matiti makubwa kiasi yaliyoshiba mithili ya mwanamke anayenyonyesha, yalikuwa yameanguka lakini yanavutia ukiyatazama. Chuchu zake nyeusi zilizotutumka na kumfanya avutie zaidi kifuani, zilikuwa zinanyurutika kwa rangi yake. Hakuwa na papara Mama Joy alijua umbo lake ni zuri hivyo hapo alianza kumjaza kifua kwa pumzi ya tamaa huyo kijana kabla hajajikabidhi mazima. Akaichekecha kanga yake pale mwilini kama vile anaivaaa vizuri kisha akaitoa na kubakiwa na Chupi pekee hii ilikuwa na maana kuwa mama huyo alikuwa yu ndani ya kanga moja. Yale mapaja aliyokuwa akihitaji kuyaona kwa uzuri, sasa yakawa hadharani kwa kumtamanisha. J alitamani amrukie na ayanyonye kwa pupa mapaja yale. Mama huyo akawa ameishika ile kanga akiitafutia pa kuiweka, huku akipiga hatua ndogo mule ndani. mzigo wa tentelente huko nyuma ukawa unatingishwa makusudi J uzalendo ukamshinda akajikuta akisimama na kumfuata hadi alipo na kumnyonya shingoni. Mama huyo akaiachia ile kanga na kuifanya idondokee sakafuni.

    "fundi naomba niokote kanga yangu imedondoka chini." alisema kwa sauti iliyotokea puani.

    "mbona pasafi hapo, haina shida iache tu" alisema J akiwa anaonekana dhahiri yu katika uhitaji wa jambo hilo adimu.

    "uliniuliza kama nina haraka nikakujibu sina lakini naona wewe ndiyo mwenye haraka kuliko mimi. Tulia J huu mchezo ni wa kikubwa hivyo hauhitaji hasira" aliposema maneno hayo, J yalimuingia vizuri tu, akajishtukia kuonekana ana maji sana hivyo ikambidi amruhusu tu huyo mama aokote hiyo kanga. Mama Joy akainama na kuiokota kwa mbwembwe zote huku akichezezesha wezere yake. J akajikuta akipiga kofi la hamu kwenye makalio ya mama huyo. ukelele mdogo unaotia mshawasha ukamtoka. Akasimama na kuiweka kwenye kochi kisha akamgeukia J na kumwambia.

    "naomba uniruhusu nikuvue nguo kama utapenda" J akajifiria kwa muda kama anakasoro yoyote mwilini mwake, akagundua kuwa hana. Akamruhusu tu afanye anavyo jisikia.

    "hii ndiyo raha ya mapenzi J, penda kuwa huru kwa mpenzi wako kwa chochote kile unachoamini kitawapa furaha nyote wawili bora tu isiwe ni ya kuvunja mipaka. Mapenzi yanamambo mengi na mengine ni madogo kuyafanya lakini yanamsingi mkubwa sana kwenye mambo ya huba" alisema Mama Joy huku akiwa anamalizia kumvua nguo kijana huyo, alivua zote na kumbakisha nguo ya ndani tu. Akasimama na kumtazama usoni kisha akamkumbatia kwa nguvu na kumpa joto tamu la kifua chake. Matiti yake yale yakazidi kuleta ashki kwenye kifua cha kijana huyo.

    "fundi unataka nikufanyie nini usiku huu ili ujue kuwa hukunilazimisha bali hata mimi nilikuwa na hitaji na wewe muda mrefu?"

    aliuliza Mama Joy akiwa amezidi kumkumbatia.

    "sina la kusema kwako lakini naamini ni penzi zito utakalonipa usiku wa leo na naamini sitakuwa nimelipata popote pale" alisema J fundi na kumfanya mama huyo kutunga tabasamu tamu usoni mwake.

    "je, kama sina utaalamu wa kukupa mambo hayo?"

    "mkubwa dawa mama Joy na huwezi kukosa ukoko wa enzi yako ya ndoa na baba Joy" akasema J fundi. Ukimya ukatawala kidogo na kila mmoja akawa anazisikiliza pumzi za mwenzake kwa jinsi zinavyotoka, wa kwanza kukata ukimya huo alikuwa ni mama Joy.

    "naomba unisamehe kwa kuto kukuvua boksa, ninasababu zangu za kimsingi na ndiyo maana sijafanya hivyo"

    "sababu gani?" J akauliza.

    "kama ningemuona fundi halisi sidhani kama ningekuwa nimesimama hivi, nakuwa nachanganyikiwa sana ninapouona mtalimbo wa kazi" alisema huku akiwa ametabasamu lakini kabla J hajatia neno, alishtukia ulimi ukitembea kwenye mshipa mkubwa uliotokea ................

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "naomba unisamehe kwa kuto kukuvua boksa, ninasababu zangu za kimsingi na ndiyo maana sijafanya hivyo"

    "sababu gani?" J akauliza.

    "kama ningemuona fundi halisi sidhani kama ningekuwa nimesimama hivi, nakuwa nachanganyikiwa sana ninapouona mtalimbo wa kazi" alisema huku akiwa ametabasamu lakini kabla J hajatia neno, alishtukia ulimi ukitembea kwenye mshipa mkubwa uliotokea kichwani kupitia shingoni wa upande wa kushoto. Ulimi uliopitishwa kitaalamu sana na taratibu mno. J alifumba macho yake kwa kutojielewa na kujikuta akizivuta hisia za mbali sana.



    Somo.

    (punguza papara kila unapojikuta upo na mpenzi wako katika faragha, uharaka au papara itakufanya usijue mpenzi wako anasumbuliwa na ugonjwa gani wa huba, mliwaze kwa maneno ya awali haya yatamfanya ajikute anasahau shida zake na taratibu ukimvuta kwenye mahali anapopaswa kuvutika. Ukisha fika hapo jua ni kipi cha kuanza, chunga sana kumtegea mpenzi wako na usipende kujifanya kila kitu hujui na kusubiri mwanaume wako au mwanamke wako aanze, hiyo itakupelekea kumpa mazoea ya kujua kuwa wanawake wote ni watu wa kufanyiwa kitu fulani na siyo kufanya kwa wapenzi wao)



    Nadhani Mama Joy hilo alilijua na ndiyo maana akawa anamuandaa J kwa kumuondoa hofu kwanza juu ya mtu aliyekuwa naye faragha na akafanikiwa kumvuta kijana huyo hadi kujikuta yuko na utayari wa kufanya kitu chochote. Alizidi kulamba na kuunyonya ule mshipa mkubwa pale shingoni taratibu sana hadi alipoona ametosheka na pia amemleta mpenzi wake alipopataka. J alikuwa taabani kwa raha na pia pamoja na kuwa yeye pia alikuwa fundi lakini alihakikisha anamuachia uwanja mama huyo kwani ndiye aliyelianzisha na hakutaka kumkatia njiani. Mama Joy akazunguuka nyuma na kusimama mgongoni mwa J fundi kisha mikono yake laini ikiwa inapita kwenye kifua cha kijana huyo. Akawa muda mwingine anazipekecha chuchu za J kwa taratibu mno na pia hakuacha kucheza na tundu za sikio za kijana huyo. J alikuwa hana hali muda wote alikuwa akitoa sauti za raha alizokuwa akipokea kwa mama huyo.

    "aaaaaaaa!, yaaaaa!, mmmhu!, mmmhu, asante sana mamaake!" ni sauti zilizokuwa zikitolewa kwa sauti ya chini sana kiasi cha kuto kukera. Ni nani alikwambia mwanaume halii? Si kulia unavyojua wewe ah!, ah!, hapa nazungumzia kulia kwa raha za huba. Nikupe tu somo dogo kama hujui. Mwanaume analia tena inawezekana akawa analia kwa hisia za kweli kuliko wanawake. Ninaposema hivyo nadhani mtakuwa mmenielewa, wanawake wengi sidhani kama wanalia kwa hisia za kweli wengi wao wamekuwa wakilia kwa kuigiza ilimradi tu aonekane naye analia. kama unalia, lia na lia panapopaswa kulia. siyo unalia mwanzo wa mchezo hadi mwisho hadi mwanaume anapokuumiza pia hajui kama anakuumiza, anajua ni kelele zako tu ambazo amesha zizoea. Matokeo yake ukitoka hapo unaibuka na lawama mtindo mmoja. Ooh! Mwanaume gani mimi naumia wala hajui kama naumia, mimi nampigia kelele kuwa ananiumiza lakini wala hata hashtuki. Mwanaume gani anaejali raha zake bila kujua maumivu ya mpenzi wake pale anapoumia. Umesha wahi kujiuliza je, unalia kwa utaratibu? Au je, unalia kwa hisia? kama si hivyo, ujue mpenzi wako hana makosa hata kama utamlaumu. Huwezi kumkuta mwanaume analia kila wakati na anapolia au kulalamika ujue kafikishwa panapomstahiki kufikishwa. J fundi alipatiwa haswa na alijuliwa mahali panapo na maradhi yake na ndiyo maana alilalama.



    Ewe mwanamke, msichana ama binti, kama mnaingia kwenye tendo hadi mnamaliza na kidume chako hakijasema hata 'aaaaaaah' jiulize ni wapi ulikosea.



    "J mpenzi, J eeeh!" aliita kwa sauti tamu na ya mahaba sana na J akaunguruma kama Buma.

    "mmmm!"

    "unakifua kizuri mpenzi wangu hadi natamani nilale hapa hapa kwa jinsi kinavyo nipa raha" alizidi kusema kwa sauti ya uvunguni mwa kabati mama huyo. Lakini wakati anamaliza kuongea hayo, akaujaza mdomo wake kwenye chuchu ndogo za mwanaume huyo hadi jamaa akasimamia vidole kwa raha. Mama huyo hakudumu sana hapo kifuani sasa akawa anashuka taratibu hadi akapiga magoti kabisa. Alipofika chini akaishika boksa ya mwanaume huyo na kuishusha taratibu kama anayeogopa kudondosha vitu. Boksa ikatoka na kuuacha mpingo ukiwa unatikisika na kujinesesha wenyewa kama ndoano inavyolishia kwenye samaki.

    "ooosh!" mama huyo alitamka maneno hayo na huku akiushika kwa mara ya kwanza tangu kuingia ndani ya chumba hicho. akaanza kuusugua kwa kiganja chake cha mkono, hakuwa na haraka wala pupa. Muda wote alifanya mambo yake kwa taratibu sana. Aliusugua vile vile huku akimuangalia kwa macho ya aibu na kutabasamu kwa tabasamu la kuzidi kumchokoza kijana huyo. Akapeleka ulimi na kuaza kulamba kichwa na hatimaye akawa analamba kwa kwenda shinani huku akizisugua baadhi ya sehemu kwa mkono wake. alifanya hivyo hivyo na kuzidi kusafirisha hali ya raha na utamu kutoka kwenye mpingo wa J hadi ubongoni mwake. Akauzamisha mdomoni sasa na kukinyonya kicha cha rungu kama hana akili nzuri. J alikuwa si yeye hapo, hisia, akili, na vyote vinavyolinda taarifa zake za hiyari vilihama kwa muda. Akabakiwa na wazimu wa utamu na raha za aina yake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mama Joy, mama Joy, aaaaaoooo yaaa!" please please Mama Joy nakuja......na nakojoo!" alilalama kweli J fundi si utani, alilalama hadi kweli akafika kwenye kilele cha mshindo kwa kishindo kikubwa. Mama Joy alipoona kijana huyo kamaliza kabisa, alimfuta na kuujaza tena mdomoni hapa ndiyo aliunyonya kwa nguvu sana hadi akawa kama anausugua kidogo kwa meno yake. Kuna wakati alikuwa anausokomeza wote mdomoni na kufanya kama vile anapiga mswaki. J fundi akarudi kwenye pick. Mtambo wa kazi ukapata nguvu yake ile iliyokuwa imepotea baada ya kufika mshindo. Mama Joy akajitupa kitandani na kujiachia mguu huku mguu kule. Hadi hapo ukumbuke kuwa J fundi hajalipata hata joto la mzigo wa mama Joy. Na wala hajajua kitumbua cha mama huyo kinaukubwa gani. Hii inaleta picha gani? Hii inaleta picha ya kwamba si kila unapokuwa na mpenzi wako kwenye faragha ni kufanya mapezi moja kwa moja au mpenzi wako anapovua nguo basi wewe moja kwa moja ni kudili na kitumbua chake tu. Hivi unajua kuwa unaweza ukaridhishwa na mpenzi wako pasipo kugusa hata uke wake? Hapa najua mtashangaa. Ndiyo, inawezekana na inaleta raha sana na inaongeza kujiamini na kukupa au kumpa mpenzi wako imani kuwa kumbe anathamani hata asipokupa penzi lake na badala yake ukaridhika kwa michezo mingine ya kimapenzi.



    Chupi ya mama Joy ilikuwa imelowa sana mbele, hii haikumaanisha kwamba ameshafika kwenye kilele cha raha, bali ilimaanisha kuwa mwili wake ulishabeba utayari wa kuingia katika tendo hilo tamu na adimu. Hayo yalikuwa ni majimaji yamtokayo kila mtu ambaye amefikia balehe na hiyo ni muhimu sana kujua kabla hujamuingilia mkeo. Maji hayo ambayo mara zote ni yenye kubeba uteute, na ninaposema ute ute namaanisha utelezi.



    Inasaidia nini?

    Huu uteute unamsaidi mpenzi wako asisikie maumivu pale unapomuingili na pia inakupa urahisi wewe wa kuweza kulifurahia tendo. Wapo wanawake utakao wasikia wakisema 'jamaa ana dudu kubwa lakini linanipa raha kila akiniingilia.' haimaanishi labda msichana huyo anauke mkubwa au kina kirefu laa hasha! Ni jinsi tu ambavyo mwanaume huyo alivyomuandaa mpenzi wake hadi ute ute huo ukamwagika na kumruhusu jamaa apite kama tonge la ugali na bamia kwenye koo. Lakini wapo wanawake wanalalamika kuwa wanaumizwa kwenye mapenzi hata kama mwanaume hana uume wa kutisha. Tatizo ni hili hili kwamba hakuna maandalizi mazuri wakati wa faragha yenu.



    J alimtazama mama Joy kwa jinsi alivyo jiachia huku mlowano ule wa kwenye chupi pale mbele ukimpa mzuka wa hali ya juu sana. Alimvuta hadi kwenye kingo ya kitanda na kuivuta ile chupi na kuitoa kabisa. Kitumbua safi kilichofanyiwa usafi wa hali ya juu sana huku tumbua hilo likiwa na mlinzi mrefu kiasi aliyekasirika kwa kukosa utamu kwa muda bila shaka. J akapanda juu kama anayetaka kumuingilia na kisha akaaza kutupa ulimi na kumpa mama huyo. Kwa mara ya kwanza tangu wanaingia ndani humo ndiyo wana nyonyana mate. Ladha nzuri ya mate ya kila mmoja ikamfanya mama Joy kugumia kwa ndani ndani. Walizidi kupeana ladha hiyo hadi J akatosheka na kumuachia huyo mama lakini alipomuona macho na jisi alivyoyafumba na kamdomo kake kazuri ka kunyonya, akamparamia tena na kumpiga mabusu mfululizo.

    "una muda gani tangu kufanya mapenzi?" aliuliza J fundi.

    "sijakuelewa mpenzi hebu rudia vizuri swali lako" alisema mama Joy. J. Fundi akarudia kwa taratibu.

    "ni lini ulifanya mapenzi kwa mara ya mwisho?" mama huyo badala ya kujibu hilo swali akatabasamu kisha akasema baada ya kutulia kidogo.

    "yoyote anaeelewa huwa haulizi anafanya na anapata jibu. Unaweza ukapata jibu kuwa ni muda gani tangu nifanye mapenzi lakini kama utataka nikuambie pia nitakuambia, kwanini nisikuambie wakati unaukosha moyo wangu" yalikuwa ni maneno yaliyomfanya J atulie kimya na aendelee na mchezo. Alishuka kwenye matiti ya huyo mama lakini hakuyagusa kwa kuyanyonya na badala yake alitumia kuyashika kwa mikono yake tu huku ulimi wake ukitafuta pozi kwenye kitovu na hatimae ukatuwa kwenye uwanja wa siri wa ndege maalumu na kuanza kufanya usafi wa hali ya juu mno. Alilamba kwa tuo bila kujali ule uteute uliokuwa umetapakaa kwenye tupu ya mwanamke huyo. Mama Joy ilikuwa ni zamu yake kuhaha na kuhangaika kwa kelele mfululizo za huba. J alilamba na kujikuta anatumbukiza kabisa ulimi ndani. mama huyo alipiga kelele hadi akaomba kijana huyo amtibu sasa kwani alishafikia katika hatua mbaya, pia alishavunja dafu zaidi ya moja kwa wakati huo. J akaitazama mashine yake ya kazi na kuiona ipo tayari kwa kazi iliyokusudiwa. Alicho kifanya ni kumlaza mwanamke huyo chali lakini si kwa mtindo wa kifo cha Mende. Huu ulikuwa ni mtindo wa kawaida sana ila wengi hawautumii. Alimsogeza hadi kwenye kichwa cha kitanda na kumuweke mito miwili na kumruhusu ailalie mito hiyo. Akawa ni kama mtu aliyelala kwenye sofa linalobeba watu wawili..........

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    J akaitazama mashine yake ya kazi na kuiona ipo tayari kwa kazi iliyokusudiwa. Alicho kifanya ni kumlaza mwanamke huyo chali lakini si kwa mtindo wa kifo cha Mende. Huu ulikuwa ni mtindo wa kawaida sana ila wengi hawautumii. Alimsogeza hadi kwenye kichwa cha kitanda na kumuweke mito miwili na kumruhusu ailalie mito hiyo. Akawa ni kama mtu aliyelala kwenye sofa linalobeba watu wawili. Miguu ya mama huyo akaikunjia kwa pembeni yaani aliitanua kiasi na kuikunja akaruhusu magoti ya miguu yake yote miwili yailalie juu kisha yeye akakita magoti katikati. Ni kama mzee aliyekaa kwenye kiti cha uvivu. Akajivuta zaidi huku akimtazama mama huyo alivyokuwa tayari kwa kusubiri mashine hiyo ifanye kazi yake kwenye tupu yake. Kidume akajifanya tundu halioni, akapitisha pembeni, mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mama ikabidi aongee na kuomba haki yake. J akamsusia na kumwambia yeye haoni pa kulenga akiwa na maana kuwa tundu la utamu halioni hivyo aingize mwenyewe. Mama Joy akatabasamu kuona kapewa rungu. Akautia mkono wake mate na kuipaka mashine hiyo kisha akaisokomeza taratibu hadi ikapotelea yote ndani. J akapitisha mikono pembeni ya mabega ya mama huyo na kuikita kwenye godoro na kumuinamia huku akiwa ameushindilia kabisa ndani.

    "kumbe ndiyo tundu lako lilipo hapo mimi nilikuwa silioni eti," akasema kwa sauti ya kimahaba huku akimhemea.

    "hebu toka huko" alisema mama Joy huku akimpiga kijikofi cha kichwani na kuanza kujitikisa kwa kumpa jamaa amsha amsha za mchezo.

    "mama Joy, siyo siri kumbe unautamu namna hii,ooh yaa, baby cheki ilivyo tamu fanya kama unakatika basi ili niupate utamu wako wote" maneno yalikuwa hayamuishi J, na wakati huo akiwa ndiyo kazama kabisa ndani na kumsugulia mama huyo kwa kasi ya kawaida.

    "J fundi, J wangu unanitia vizuri J, ooooo baby piga kati.....kati, enhe piga na juu, kidogo. aaaah! tamu, tamu tia kwa nguvu hadi nikojoe huby wangu" hayo yalikuwa ni maneno ya mama Joy. Mama huyo alijua kulalamika kweli. J kama kawaida yake alikuwa akizunguusha mtalimbo ambao ulikuwa unakoroga na kuchanganya huko ndani ya kidude kitamu cha mama Joy na kumpa raha za aina yake. J aliendelea kukata nyuno za jibwa hadi akahisi kama anataka kufika mwisho. Kelele za utamu nazo hazikukoma. J akaona nikikazana nitakojoa haraka na ikiwa bado ndiyo kwanza anataka kujua utamu zaidi wa mama huyo. Akauchomoa na kuuwacha upigwe na baridi kidogo nje huku akiwa ananyonya kiharara cha utamu kwenye mlango wa kidude cha mama huyo mtamu. Mama Joy alijikuta akikibinua kiuno chake kwa mbele na kuufuata mdomo wa J kwa jinsi kijana huyo anavyojua kunyonya.



    "ninyonye hivyo hivyo, ninyonye hadi uninyonyoe nywele zote zinazoota huko. baby ja....jammmmmm! haaaaaaa!, nyonya, baby mbona kama unataka uiache sasa, inyofoe kabisa uende nayo uniache bila utamu maana naona unaninyanyasa na kidude changu mwenyewe." mama Joy kila neno alilitumia mahali hapo ni kama alidata kwa raha za huyo anayejiita J fundi. Mama wa watu kuna kipindi alijishangaa akilikamata godoro la watu na kulifinya kama limefanya makosa kumbeba. Alikuwa akilifinya huku akiwa amejikunja ulimi wa J ukiwa katikati kwenye tundu, ubaridi wa ulimi alihisi kama ukiingia tumboni na kwenda kubarizi kwenye tumbo lake la uzazi. Mama huyo alikuja kuacha kulifinya godoro pale alipokuwa anamaliza hatua ya mwisho ya kufika kileleni. J akiwa tayari ameshautoa ulimi wake na kuukamata mtalimbo wake wa kazi akiwa anaupakapaka ule utelezi wa bao la mama Joy kisha akaanza kuingiza tararibu. Aliingiza hivyo taratibu kama anayeogopa kumuumiza lakini si hivyo ila alikuwa anataka kumpa raha. Na kumrejesha kwenye mudi, ukizingatia hapo alipo mama huyo alikuwa amechoka chokee kwa kushusha bao la tatu wakati kambi ya upinzani ya J fundi ikiwa haijapata kitu baada ya lile la nje. J alifanikiwa kuiingiza nusu na kuanza kuizunguushia palepale kwenye injini. mama Joy akawa kama anayetoka usingizini kwa kugumia tu.

    "aanh!, aanh!, aah!," kila kijana huyo alipokuwa akikata. J hapo ndipo alipoamua kuuzamisa wote ndani hadi mama Joy akabweka kwa sauti ya juu kidogo na kumuangalia kijana huyo kwa jicho la kulala kama anayeomba msaada wa kuachiwa huru.

    "mamaake!" aliita J.

    "niambie mshindi wangu?" aliitika huyo mama kwa sauti iliyojaa huba pwani.

    "huwezi amini yaani sikutegemea kama nitakukuta na utamu wa aina hii, sijui hata umekiandaaje hiki kidude chako."

    "wewe ulitegemea utaikutaje hiyo kitu?"

    "nilijua nitaikuta ya kawaida tu kutokana na umri wako kupiga hatua kidogo lakini si mchezo yaani hapa nikiingiza matamani hata nigande humu humu ya kidude chako, mama utaniuwa ujue wewe" alisema J huku akiongeza mwendo wa kujaza upepo, alipiga kwa kasi hadi akajiona anamwaga na yeye kitu kumwaga kwa haraka alikuwa hapendi. akayabana makalio yake na kuikandamiza ndani hali iliyopelekea kinena chake na cha mama Joy kukumbatiana kwa furaha. Mama Joy hapo naye akaacha kupiga kelele ambazo J alizisabibisha kwa kumuongezea kasi kisha mama huyo akasema.

    "mpenzi nisikilize kwa makini, sisi ambao umri umekwenda kwa kiasi fuani tunajitambua sana na tunajali usafi kuliko kitu kingine. Unajua ni ngumu sana mimi kumshawishi kijana kama wewe anipende, unajua kwa nini?" akauliza swali, J akaongelea kwenye shingo ya mama huyo wakiwa wamekumbatia wakipena Joto.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ndugu msomaji wangu, hakuna raha na penzi tamu kama hili la mama Joy na J fundi. Penzi ambalo muda mwingine wanaipa nafasi miili yao iweze kubadilishana joto.

    "ni vigumu kwa sababu" mama Joy akaendelea kusema kwa sauti ya puani lakini pia akivipitisha vidole vyake vya mikono taratiibu kwenye uti wa mgongo wa kijana huyo kuja hadi kiunoni.

    "J ni wazi wewe unapenda uwe na kijana mwenzio kiasi kwamba hata mkitembea barabarani mnapendezana. Wewe huwezi kujiamini J, ukitoka na mimi out, lazima utakuwa huna amani na moyo wako. Sasa ili ujikute huna jinsi na kuuruhusu moyo wako useme liwalo na liwe ni pale unapokumbuka penzi langu ninalokupa, unapokumbuka jinsi nilivyo msafi kuanzia kifuani hadi kinenani. Ukikumbuka tangu uanze kufanya mapenzi na mimi hujawahi kuona mwele za kinena hata siku moja. Hebu niambie, utaniacha kweli utakapokumbuka mnato pale unapo muingiza jamaa yako kila wakati kwenye kidude changu?"

    J akapumua kwa huba kubwa kwenye shingo ya Mama Joy hadi mama huyo akashtuka kwa mtekenyo alioupata kisha akajibu kuwa hayuko tayari.

    "basi ndiyo ujue sisi usafi ndiyo unaotubeba kwanza kuliko kitu kingine chochote" akamalizia mama huyo.

    "lakini si usafi pekee mama Joy, hata utamu unao na kidude chako kina nata yaani nisipolainisha na mate nahisi kukuumiza kwa jinsi ninavyozivuta nyama na kuziingiza." alisema J. Hapohapo mama huyo aka mminya J kwenye pingili moja ya uti wa mgongo kwa utundu wa hali ya juu, J akapiga kelele na kuzidi kukisogeza kiuno chake mbele zaidi. mtalimbo ukazidi kujisokomeza ndani.

    "aashhh, aaaaa!, J umenigusa patamu hapoo" aliongea mama Joy na kumgeuza J kwa kutumia akili nyingi na nguvu kidogo, J akakubali kugeuzwa. Sasa hapo mama Joy akakaa mtindo wa Chura anarukaruka Chura, Chura ananesanesa Chura. hapo kweli mama alinesa na kuruka. J alikuwa haongei kitu zaidi ya kugumia tu kila mama Joy anavyo nesa naye. Mama Joy alijiweka mkao kama aliyechuchumaa lakini haikuwa hivyo. Magoti yake yalikuja mbele na makalio yote yakarudi nyuma. Kisha akaipeleka mikono yake mabegani mwa J akaanza kunesa nae kwa mtindo huo. Mtindo huo ni mtindo ambao wanawake wajanja wanautumia sana, ni mtindo unaompa mwanamke uhuru wa kujua kiasi anachotaka kimuingie kwenye tundu lake la utamu. Pia inampa raha kwa sababu, anakuwa na uwezo wa kuichungulia inavyoingia na kutoka. Hapa si kwa mwanamke pekee bali hata mwanaume anakuwa na uwezo wa kuangalia mzigo wake unavyopotea kwenye kitumbua cha utamu na kutoka. Ni miongoni mwa mitindo ambayo inaleta hisia kali sana. Hisia hiyo hutokana na kuzitazama sehemu zenu za uzazi jinsi zinavyosuguana. Hapa kelele zilipungua kidogo na kilichokuwa kikisikika ni mihemo na zile sauti za hisia kali. kila mmoja alionekana akipambana na hisia za kupitiliza. J alikuwa ameng'ata meno na mama Joy yeye akiwa ameuma mdomo wake wa juu. wote walikuwa katika hisia za kweli kabisa na hata ile milio ikawa si ya kuigiza tena bali ilikuwa ni ile inayotoka kwenye vungu za mitima yao kabisa. Mama Joy muda wote alikuwa akiingiza nusu na kuitoa lakini mwisho wake akajisahau na kuizamisha yote ndani na kuitoa kwa haraka, yaani anaingiza taratibu na kuitoa kwa haraka, hali iliyopelekea kila mmoja kufumba macho mahali hapo. Mama Joy alikuwa amekunja sura kwa hisia alizokuwa amezipata, aliibana sauti hadi akashangaa ikimponyoka na kuanza kupiga kelele mfululizo, zilikuwa ni kelele mchabango, kelele zisizo na mpangilio, kelele ambazo mwanamke huwa analia pasipo kujua anaongea nini.

    "Jei.....Jei...Jejejejeje, ooooo jamani baby, baby unajua kuniti, tiaaaaaaa, ttuuu.......!" mama Joy ilikuwa ni kama anaimba nyimbo kwa jinsi ambavyo alikuwa akilia kwa sauti zake zisizoeleweka mara akaongeza kasi kabisa. Hapo ndipo J fundi alipojikuta akiliita jina halisi la mtoto wa mama huyo kwa urefu kabisa.

    "mama Joyce, mama Joyce eeh" mama Joy akaitikia kwa kugumia

    "mmm, niambie honey" alijibu huku sura akiwa amekunja vilevile, hata hawakukumbuka kulainisha njia ya kuurusu mtalimbo kusafiri vizuri kutokana na kuzidiwa na raha isiyo na karaha. Kitu hapo kilikuwa kime tight kweli na kutoa milio kama ya kuvunjika kwa vijiti, ni 'ta ta ta ta ta'.

    "sasa nakojoa mpenzi, hapa sina ujanja, nakojoa mwenyewe bila kupenda" akasema J kama mtu aliyechanganyikiwa.

    "vumilia mume wangu tufike wote, mmm vumilia mpenzi hata mimi nakojoa, hata mimi nakojoa, nakojoo. Aaaaaaaa!" alijikuta akipoa mwenyewe na kukaa kabisa na kuufanya mtalimbo wa J kuzama hadi shinani huku mama Joi akijinyonga nyonga kwa raha ya kuvunja dafu la nne kwa kulitafuta kama siyo kulilazimisha. Hapo hapo J fundi naye hakuchelewa akamaliza kazi huku akiunguruma kama kakabwa koo. Kutokana na jinsi ambavyo kitu yake ikiwa imezama hadi ndani, bao lake hadi mama Joy alilisikia likimuunguza. Akajizunguusha pale kiunoni kama vile anayeupaka mtalimbo oili kisha akalala na kumsugua kidume kifua huku bakora ikiwa ndani ya mashine ya kutwanga..................



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    hakuchelewa akamaliza kazi huku akiunguruma kama kakabwa koo. Kutokana na jinsi ambavyo kitu yake ikiwa imezama hadi ndani, bao lake hadi mama Joy alilisikia likimuunguza. Akajizunguusha pale kiunoni kama vile anayeupaka mtalimbo oili kisha akalala na kumsugua kidume kifua huku bakora ikiwa ndani ya mashine ya kutwanga na kupepeta.

    "naona kama vile utaishia leo mwanaume au utakuwa unanipa nikitaka mambo yako mpenzi?" aliuliza swali mama Joy kwa kunung'unika akiwa amelala kabisa juu ya kifua cha kijana huyo.

    "aliyekuzidi kakuzidi tu, leo nimeamini na nakubali pia maneno ya wahenga pale waliposema kuwa 'ya kale ni dhahabu'"

    "kwa nini unasema hivyo?"

    "ndiyo, nasema hivyo kwa sababu uwezo ulionionesha hapa mwishoni mwa mchezo si wa kitoto hata kidogo na sidhanii kama ni wewe ndiyo umenipa yale mambo hee!" baada ya kusema hivyo J, mama Joy akaangua kicheko cha wastani na kujikuta akizidi kumhusudu huyo kijana.

    "J, lakini hata wewe, kwanza hongera kwa kujua kuitumia fimbo yako vema, naweza sema labda umeipaka asali maana kuna muda huwa ilikuwa inanikuna hadi naiyona kama iko mdomoni nami najikuta tu nikijitafuna mwenyewe kama punda aliyezamishiwa dudu lote na mumewe"

    "mmm! Kwani Punda naye anamume?" J aliuliza huku akiwa anamuangalia usoni mama huyo.

    "ndiyo, anamume kwani unafikiri kuna kiumbe anayekosa mume" aliongea mama Joy.

    "siyo kweli Punda hana mume bana mi naona kila kidume huwa kinapanda pale jike linapokuwa na joto" baada ya kusema hivyo wote wakajikuta wakicheka kwa nguvu sana na kupigana vikofi vya kimapenzi. Mara mama Joy akautamani mdomo wa kijana huyo na kuanza kuuvamia mate yakafuata, walinyonyana upya mate hadi walipokuja kuachana ni kama kila mmoja akataka kurudia tena mchezo huo.

    "vipi si tunarudia tena au?" aliuliza J.

    "tungerudia mpenzi lakini hapa ninapoongea na wewe, mwanangu hajalala saa hizi ananisubiri nirudi ndiyo alale ni muoga vibaya sana"

    "basi sawa kama ni hivyo ila sijui ni lini tena utanipa mambo kwa utukivu kama leo mpenzi"

    "usijali J bora unachumba na hujaoa, mimi nitakuja kila wakati ukinihitaji hadi unipe mimba ya ukubwani" aliongea mama Joy akiwa anatoka kitandani hapo na kuyafanya makalio yake yajibinue kwa nyuma, J akayapiga kofi makalio hayo yakawa yanachezacheza kwa utaratibu wa kuvutia. Mama Joy akamuangalia na kumwambia, najua hapo ulipo bado unataka mchezo ila kwa leo utanisamehe. Mama Joy alivaa nguo zake alipomaliza, akasimama akimuangalia kijana huyo ambaye muda wote alikuwa akimuangalia kwa kila hatua aliyokuwa akiifanya.

    "muda umekwenda sana J, naomba unipeleke basi maana hapo naona hutaki kabisa kuamka" alizungumza mama huyo.

    "umeninogesha na mate yako hapa hadi kifaa kimepanda tena hewani, we si unaona kilivyovimba" aliongea J huku akinyanyuka na kumuonesha mama huyo mashine ya kazi. Mama Joy akajikuta akimeza mate ya uchu, ni kweli alikuwa bado anahitaji kifaa hicho kiendelee kumkuna hadi kimtoe ukoko, tatizo ni kwamba uchungu wa mwana na aliona ni kama anamtesa mtoto kwa muda huo. Akaweka dhamira moyoni kuwa atatafuta siku ambayo hapiki chakula cha biashara na kuja kuikalia atakavyo.

    "usijali J hata mimi bado naitamani nataka unikune zaidi ya leo ulivyonikuna." alimwambia huku akiwa anakipiga piga hicho kifaa cha kazi kilichotoka kumpa raha. J akavaa nguo zake nyepesi kisha wakatoka humo ndani, akafunga mlango wake vizuri na kutoka mdogo mdogo hadi mahali anapokaa huyo mama. Hapakuwa mbali hivyo muda uliotumika ukawa ni wa kawaida sana ni kama dakika ishirini au ishirini na tano. Njiani kulikuwa na mishe mishe si kidogo, watu walikuwa wakienda na wengine wakirudi kutokea sehemu ambayo kulikuwa kukisikika sauti ya ngoma. Ngoma ilikuwa ikirindima mwanzo mwisho kelele hizo za hiyo ngoma, zilikuwa zikimpa mzuka J. Fundi. Alitamani hata amuache mama Joy akimbilie huko kunako mishemishe za watu kwenda.

    "baba siyo poa, kuna nyomi ya raia huko usipimie mwanangu" alisema kijana mmoja amabaye alikuwa akitoka kwenye hiyo ngoma.

    "nasikia Kihiyo ndiye anayevurumisha hayo mawe huko Masugulu juu?" aliuliza mama Joy. J alitamani amjibu, kuwa unauliza Viroboto kwenye banda la Mbwa lakini akaona si busara kufanya hivyo.

    "hata mimi nimesikia hivyo hivyo, sijafika huko juu kushuhudia" J akadanganya wazi wazi kuwa eti, hata yeye ndivyo alivyo sikia wakati anajua kabisa. Japo kuwa ni kweli hajafika lakini hata aidia pia hana? Huo ulikuwa ni uwongo. Mama Joy alifikishwa nyumbani salama na kuagwa kwa amani kabisa kisha kijana J akarudisha majeshi nyuma.



    USIKU WA NGOMA.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilikuwa yapata saa sita na dakika zake, ngoma ilikuwa imechanganya haswa. hapo ilikuwa imefikia kwenye ile kitu ambayo, watu na wapenzi wa ngoma hiyo, wanaita 'Kibwagizo'. Hapo ndiyo pale unapomjua Kihio ni nani kwa jinsi anavyozimiliki ngoma kumi na tatu peke yake na kila ngoma moja kuitendea haki. Tukiachilia mbali hizo Tumba, chekeche za kutosha na marimba huku mpiga firimbi akizidi kuinogeza utamu ngoma hiyo. Hapo wimbo wa Halima umemkimbia mumeo, ulikuwa ukiwapagawisha watu si kawaida.



    "Halima umemkimbia mumeo kisa ngomaaaa, Amina ona wakosa mchumba kisa ngomaaaa, wewe ndiyo fundi wa kuingia kati,

    kiuno chako hukati kwa bahati.

    nishike hapa tucheze,

    nishike pale tucheze,

    kata, kata, kata, mama kata.

    kwani kiuno chako mwenyewe kata"



    Ilikuwa ni noma si utani, hapo kwenye kata, ndiyo utapenda hizo ngoma zilivyokuwa zikipigwa kwa ufundi wa hali ya juu mno. Watu walikuwa wamejaa kwenye mstari wa nusu duara uliokuwa umefumwa kinamna yake. Kila mtu mbele yake kulikuwa na mwanamke tena wa saizi yako ni wachache sana utakuta wamekaa na wanawake ambao siyo saizi zao. Hawa ni wale ambao walikuwa wakipenda kucheza na mijimama ya nguvu. Hapo kata ndiyo usinipimie, alikuwepo Maimuna mcharuko na Batuli wa Masuguru, wenyewe walipenda kumuita hivyo. Huwezi kuamini kama alikuwa ni dakitari wa kutegemewa. Mauno yaliyokuwa yanakatwa hapo katikati, ilihitaji ujasiri sana kuyatazama huku ukiwa unacheza.

    "mamaaa! Ha haaa! Kata mama kata, kata nipe kwa huku!" Chacha mtoto mtukutu alikuwa kakamatia goma. mtoto mwembamba mwenye kiuno kama nyigu na makalio mbinuko yaliyo laini kama maharage machanga. Chacha alikuwa kapagawa haswa mtoto huyo alivyokuwa akikizunguusha hicho kiuno chake. Chacha akabakia kumaka tu ha ha huku muda mwingine akiwa anaufuatisha wimbo huo wa kibwagizo uliokuwa unaelekea mwishoni. Chacha alicheza na kiuno hicho hadi akaona kama mtoto huyo anania mbaya na dudu lake. Lakini hakukoma wala nini, alizidi kukimatia hapo na mara chache sana macho yake yakigeukia pale katikati palipokuwa na wajaa lana. Mara ngoma hiyo ikawa inapigwa mipigo ya mwisho ile

    'kanishikaaa, kanishika wapi aaaah!,

    'kanishika pahala padogo tu kanishika wapi aaaah!' Chacha akaijikuta karushwa nyuma kidogo huku ngoma hiyo ikiwa imezima.

    "nini weweeee, unakata utamu, tupe tupe fundiiiii!" zilikuwa ni kelele za haja kutoka kwa wapenzi wa ngoma hiyo.

    "leo hata saka mimba haliingii ndani mwanangu we si umeona jamaa anavyo zigonga hizo ngoma?"

    "nimeona mwanangu, daah! Huyu jamaa ni fundi aisee." vijana wawili walikuwa wanaongea huku wakisogea pembeni kwenye jengo bovu kama si bovu basi lilikuwa halijaisha ujenzi wake.

    "ila yule mtoto uliyekuwa unacheza naye mwanangu balaa, hivi kile kiuno ni chake kweli mwanangu?"

    "ah ah!, siyo chake cha mama yake kile, boya wewe, we unaona hivi hivi mtoto anakatika yeye kama yeye halafu unauliza ujinga, halafu we mwanangu muda mwingine hata siyasomi maswali yako." alijibu huyo kijana mwingine.

    "sasa ndo umevimba au? Mi najua kilichokuvimbisha ni mtoto kukukimbia mara baada ya ngoma kuzimwa"

    "tena mwanangu sikufichi wala nini, ngoma ikipigwa kwa roundi ya pili nakuambia yule mtoto simuachi au nikimuacha, basi niwe nimemchafua kwa madole" waliongea hadi wakacheka vijana hao, kila mmoja akionekana kuwa na hali mbaya kabisa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakati mambo yote hayo yakiwa yanaendelea, ndiyo J, fundi alikuwa ameingia muda siyo mwingi na muda huo alikuwa amepozi mahali alipokuwa amepangana na Chacha kuja kukutania hapo.

    "Saumu unajua ulitaka kunivunja dudu langu siyo kitoto" aliongea Chacha alipokuwa amemshika mkono mtoto yule aliyekuwa anacheza nae.

    "kwani ulikuwa umedindisha pale?" aliuliza Saumu.

    "ndiyo, nilidindisha kinoma hadi ikawa inauma"

    "sasa huku unanipeleka wapi?" aliuliza Saumu baada ya kuona anapelekwa kwenye uchochoro fulani.

    "umeshaanza kuleta ukoko hapa Saumu, kama uanataka kuniudhi, sivyo?"

    "siyo hivyo Chacha lazima niulize, we unafikiri nitakubali vipi kupelekwa tu kama mbuzi" alilalamika mtoto huyo huku akiwa kashikwa mkono kisawasawa.

    "unajua nini Saumu, kama mimi ningekuwa na umri sawa na wewe, vile viuno ulivyonichezea pale, ungekwenda kunimalizia chumbani. Sema wewe ni mkubwa kwangu.



    ITAENDELEA

Blog