Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

BEPARI TIMOTH - 2

  


Chombezo : Bepari Timoth

Sehemu Ya: Pili (2)


lini wakati anampenda akawa anaingiwa nauoga kwa kuofia beko ataghairi na kuchukua

mwanamke mwingine ila aikuwa hivyo basi Tausi akifikiria alipotoka huwa anajicheka

mwenyewe na kujiona alikuwa tofauti sana basi wakiwa wanaendelea kupiga tory beko alimuona

mkewe akiwa mbali kifikra akajua anawaza juu ya kujinasua kwenye makucha ya bepari timothy

kumbe mwenzake alikuwa mbali sana na sio kuhusu utumwa ye aliwaza mapenzi yake na

beko,beko akamka na kumuinua tausi aliyeshtuka kwenye lindi la mawazo ya maisha yao ya

hapo nyuma na kwamwambia kila kitu kitakuwa sawa tuuu akamvuta karibu na kuanza kukisss




NO 10: - 12 Basi walipo maliza yao waliagana na kisha kila mmoja wao kuelekea kwenye makazi yao

lakini tausi hakumpa asilimia mia Beko kumshinda bepari timoth lakini beko alikuwa na niha

na malengo ambayo alitaka yatimie kukikomboa kijiji chao na ili yatimie alipaswa kuwa

makini na kumtoa bepari Timoth

Basi beko alifika alipotakiwa kufika huku anafuraha lakini tausi naye akiwa njiani mara

alishtuka kuona nyuma yake kunatokea mtu, alipo geuka hamadi huyu hapa bepary timothy

alijawa na ofu kubwa sana kwa kuwa lazima angeulizwa kafwata nini kule, kwenye eneo ilo la

watumwa, Da! tamu lakini fupi, mh! kitatokea, una zani bepari Timoth atamwacha hivi hivi 

 Beko alifika huku hasira zimemja, naye hakuuliza mtu, kilicho endelea na kuanza

kumshushia makonde bepari Timothy. pasipo kujari yeye ninani na atachukuwa uamuzi gani,

Wanakijiji walimshanga sana beko, kwa ujasili aliounyesha hapo kwa muda mfupi, huku

wengine wakionyesha kufurahia kumwona bepari naye anaazibiwa na Kijana wao beko, na

wengine wakimfikiria Kijana wao beko, kwani ukivunja Shelia hazabu yake ni kunyongwa mbele

za wanakijiji. Tausi akiwa pembeni anauguza majeraha naye, alijuwa adhabu itayompata Beko,

hivyo hakupenda beko aingilie kati ugomvi huo, nakumpiga Timoth, kwa kuwa anamjua fika

bepari Timothy akipona atamuondoa mpenzi wake beko , nayeye pengine kumkosa kabisa

mpenziwake, beko alipolizika alimfata Tausi pale alipo kuwa, ili kumwona alivyo haribiwa

uzuri wake dah!fupiii lakini tamu usikonde mdau ilikujuwa uamuzi wa Timoth tuonane kesho,




No13 : Tausi kumwona Beko basi Furaha ikaja, punde si punde Tausi alibadilika, kutokakwenye furaha,nakuja kwenye uzuni, maana alijuwa madhala ya kitendo anacho kifanya Beko, hapo alinyanyuka nakuanza kumfokea beko, kwa lile alilofanya kumhazibu kiongozi aliye ogopeka pale kijijini, basi beko alitulia na kuwa mpole kama maji yaliyo kwenye mtungi, ilikumsikiliza mpenzi wake Tausi, na licha ya Tausi kumfokea sana Beko, pia Tausi alijiwa na huruma, maana alimjuwa Timoth hasinge mwacha mpenzi wake salama, hapo alitulia na kumtia moyo mpenzi wake, kwani alikua anatambua ukolofi wa bepari Timothy. hivyo beko hakuogopa na kujianda na kitakacho tokea, kijana beko kwa muda huo alimchukua mpenzi wake, na kutokomea nae kule wanapo kaaga nakupiga stori Mara kwa mara. Basi bepari Timothy baada ya kupata kaufahamu na kukumbuka kichapo alichokipata, ndipo alichukua vijana wake wengi watiifu, na kuanza kumtafuta beko, walimtafuta usiku kucha. Ilikuwa muda wa usiku siku mmoja, ndipo kijakazi mmoja wa bepari alimwona beko, na kufikisha taharifa, ndipo vijana watiifu wa Timoth walipo jikusanya na kumfuata alipo, na walipofika eneo la tukio walikuta. ilikujuwa ni hadhabu gani ilimpata kijana Beko. tafadhari fwatilia sehemu ya 14 ambayo inafwatia muda mfupi ujao hii nikutokana na shughuli za kiselikari sito weza kuwa hewani kwamuda leo hii kuanzia mchana





No14 : vijana watiifu wa Timoth walimkuta kijana Beko, ambae alikuwa ametulia nampenzi

wake Tausi, licha ya Tausi kuonyesha hofu kubwa, lakini Beko halikuwa na wasiwasi zaidi ya

Tausi, maana aliwaza kitachotokea, endapo jeshi la bepari Timoth litakapo mkamata,

alipokuwa anawaza jinsi gani ataweza kuwatoroka majeshi ya bepari Timothy, ili atokomee

kijiji cha pili ndipo walipomzingira kona zote, na licha ya Beko kupambana na majeshi ya

bepari Timoth nguvu zilimwisha, ndipo alipo jisalimisha kwenye mikono ya huyo katiri lao

bepari Timoth, moja kwa moja kutimiza alicho kusudia, ni kumwondosha Kijana Beko. Asubuhi

ikafika na filimbi ikapigwa, kuashilia kuwa kunamkutano wa kuonana na bepari Timoth. wana

kijiji walifika kwenye uwanja uliozoeleka kwa kumwaga damu za wanakijiji wenzao, punde

siyo punde vijana wa bepari Timoth, walimleta kijana Beko mbele ya umati wa wanakijiji,

kwa ajili ya kunyongwa mbele ya wanakijiji wenzake, ndipo alipotokea Tausi na kulia kilio

kikuu na chakutia huruma, alilia sana akimwomba bepari Timoth asimunyonge mpenzi wake

Beko, huku akisema "nitafanya chochote utacho niamulu, lakini husimnyonge mpenzi wangu"

kusikia hivyo Timoth akatabasamu, tena tabasamu ambalo liliuchafua moyo wakilamtu pale

uwanjani, kisha bepari Timoth akamwambia binti mrembo Tausi, dah!! wasomaji wangu leo

sitokuwa hewani kuanzia saa sita mchana,mpaka kesho asubuhi, jiandae kusoma mkasa mpya wa

SAFARI YA HATARI kutokana na majukumu ya kitaifa, samahani kwausumbufu utakao jitokeza,



No15: kisha Timosi akaongea kwa sauti ya chini "Ili kumwokoa Beko inabidi ufate mashariti

nitakayo kuambia Mimi" hapo macho ya Timoth, yalionyesha wazi kujawa na tamaa, Kumbuka

binti Tausi kijiji kizima alisifika kwa uzuri wake,kila kijana alitamani kuwanae, miongoni

mwawatu waliokuwa wanamtolea macho,ni bepari Timoth, basi akutaka kuipoteza nafasi hiyo,

akamwambia yakuwa inabidi ampe tamu, ilikumwokoa Beko, kiukweli binti Tausi akuwa na njia

nyingine ya kumfanya bepari Timothy kubadilisha alicho sema,na niailikuwa kumwokoa Beko

hasinyongwe, huku Beko akisikia hayo, kweli ilimuuma sana, hasira ziliongezeka nakuanza

kufanya fujo ila walinzi wa bepari Timothy walimzibiti vilivyo kijana huyu, na ukizingatia

tayali alikuwa amefungwa kamba mikononi, Basi Timoth aliongozozana na binti Tausi kwenye

chumba kilicho tazamana na alipowekwa Beko na kwa zarau na jeuri ya bepari Timoth aliacha

mlango wazi ili amuumize Beko. Huku yakiendelea ya ndani Tausi hakupenda wala haku furahia

kitendo kile, huku wasi wasi ukimjia maana, hakujuwa uamuzi atakaouchukua Beko, kama kweli

akihachiwa, lakini bepari Timothy akujali hayoo Alitimiza dah! inasikitisha tuonane mida

ya mchana kwa sehemu ya 16 nashukuru kwa



No 16: Basi Tausi hakuwa na ujanja akatii amri ya bepari Timoth, ili amunusuru mpenzi wake

Beko, bepari Timothy alitimiza lililoandikwa, kuivunja ile amri ya 6, huku Tausi akijutia

kuzalilishwa mbele ya mpenzi wake Beko, na wanakijiji wenzke, na mwisho wa tukio, Beko

akaachiwa huru na bepari Timoth, huku akiwa amezidiwa sana kwakipigo toka kwa vijana wa

Timoth, ndipo Tausi alimkimbilia huku akilia sana, na kuomba msamaha, kuwa alichofanya ni

kwaajili yake. Beko hakuelewa, na alichomwambia Tausi kitendo kibaya zaidi, ni kufanya

mbele za macho yake, tena huku akifikilia haibu ataificha wapi huku kijiji kizima

kilishuhudia tukio zima, basi baada yakuwaza sana, kijana beko hakuwa na jinsi ya kufanya,

kwanza hauguze madonda na majeraha ya mwili wake, na Tausi pia alifikilia sura yake

ataificha wapi huku moyo ukimsonga songa kwa kile alichofanya na katiri lao bepari Timoth.

Ndipo Tausi.. hapo sasa unazani wawili hawa watakuwapamoja tena, vipi beko atafanya nini,




No 17: licha tukio lile, likini bado walikuwa pamoja, na Tausi alimhudimia vizuri ili

kuhakikisha afya ya beko inaludi kama zamani, na kuendelea na kazi vizuri, nikama walisha

amua kusameeana. Zilipita siku kadha tokea tukio lile litokee, Tausi akiwa na wake za

wakubwa zake, ambao walikuwa wanatembea tembea kwenye mashamba makubwa ya miwa, kwa mbali

Tausi alimuona beko akija, alipomkaribia walisalimiana, ila Tausi alimwambia atoweza

kuongea sana, kwa kuwa yupo busy kuwazungusha maboss zake, akiwa amebeba miwa, kwa ajili

ya kupeleka kwenye kiwanda kikubwa cha miwa cha bepari tomoth, walipo maliza kuongea

maneno hayo mafupi Beko alimwaga Tausi na kuelekea kwenye kiwanda cha miwa, wakati wote

mama mmoja kati ya wale wawili, alikuwa akimwangalia sana kijana beko, na Tausi pia

aliludi kujumuika na wake wa maboss wake ... haya jamani tuonane kesho, ilkujuwa ni

kwanini huyu mama alimwangalia sana Beko, chakufanya. endelea ku like na ku comment wakati


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog