Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

KIJANA MZINZI - 4

 


 Chombezo :  Kijana Mzinzi 

Sehemu Ya Nne (4)

unaenda kuniuza?".MAGDA "Weee unanionaje?,Mimi ni MBURUSHI au ni Mbongo? maana maneno yako hayana ukweli me nataji kuburudika na wewe tu kipenzi changu",MATIGA kwa sauti yakilevi akachombeza "jinsi ulivyo nifanya Mungu ndie anaejua,lakini we! mtoto ni mtamu kwa macho na je ukimenywa na kuonjwa? Si ndo Umauti utanukia". MAGDA alicheka sana alipo sikia yale maneno ja kijana wa mzee PANYAKOO na kusema"Unamambo mpaka basi.... aya sasa jengo wana liona nini kitatokea mdau jitokeze kwa comment na like, upate vtu vitamu



SEHEMU YA TISA


MAGDA anaendelea kucheka jinsi, MATIGA alivyo zidi kuzichochea hisia za kijana mzinzi nakumfany kuona kana kwamba wanazidi kuchelewa kulifikia jengo la kifhari aliloanza kuliona kwamaliii machoni mwake,ili akaweze kufanya kile roho inapenda maana alikuwa na muda mrefu sana bila kumenya Ndizi ya kupewa na mpenzi wake maana walisha tibuana na kuamua kija kwa wazazi wake.Hapo hapo bila kuchelewa alimpatia funguo kijana. MATIGA alifungua na wote wakaingia ndani na kufunga mlango wa kuingilia.MAGDA akamkaribisha mgeni wake kwa sauti ya bashasha "karibu sana mpenzi, pole na safari ndefu ya mateso.chukua kinywaji hiki upunguze uchovu mpenzi wangu wangu"

MATIGA huku akipokea kichupa kidogo cha pombe kali ya kizungu ali shukuru "Ahsante,ila umeniumiza shingo,lakina hapana shaka mtoto mrembo mwenye mbwembwe nyingi za kumtoa nyoka pangoni".MAGDA kuambiwa hivyo aliangusha kicheko na na yeye akachukua mvinyo na kuanza kupiga mvinyo na kijana wetu mzinzi tulie tokanae mbali kwenda kutafuta tamu , wote wawili waka nywa mvinyo maana walikuwa wanaondoa uchovu wa safari.Mara kila mmoja pombe ikazidi kukimbilia ikulu, maali zambi iliko zaliwa, taratiiiibu walijikuta wameanza kuimba wimbo wa mwimbaji mashuhuri rangi ya chungwa.kidogo mambo yakazidi ambapo MAGDA akaanza mbwebwe za kushusha gauni lake mpaka.. mmmmhh sehemu ya kumi weka



SEHEMU YA KUMI


.Wakati wana wanaburudika na rangi ya chungwa, wote kwa pamoja kidogo, ndipo MAGDA akaanza vituko vyake za kushusha gauni lake mpaka usawa wa Magoti.Ndipo MATIGA kuona hivyo akachanganyikiwa vibaya sana asa baada ya kuona LIVE kifua cha mtoto wa mzee MALUBALO kilivyo jengeka kwa ufasaa utazani kapaka dawa ya nidndundezzzzzzzz, zilisimamam na kujaa vyema, hata ukiweka kitu kinakaa kama kwenye sofa, akatamani ange kuwa mtoto mchanga na huyu ni mama yake, nijinsi kufua kilivyo jaaliwa wala hakija lambwa na mtoto .MATIGA akajifanya kupotezea,kama vile hajaona kitu chochote kinacho endelea,lakini alishindwa kujizuia kwani alikuwa anajitahidi kukwepesha macho lakini wapi alirudi palepale na kushuka chini ya kifua na kukutana na kidoti cha kitovu ndo akachanganyikiwa zaidi.MATIGA akajisemea kimoyomoyo "Mashaalaah!!,mtoto mzuri jamani leo ni mwisho kula vya wake za watu" aliwaza hivyo.Huku mapigo ya moyo yakaanza kumwendea wa farasi na kumfanya azidi kuongeza kunywa kilaji cha mvinyo,wakati huo akajikuta akianza kusaula (kuvua) kikoti chake taratiiiiibu! Lengo ni kujianda zidi na vita inayo kuja dhidi yake.MAGDA nae alipoona kile kifua cha kijana wa mzee PANYAKOO alianza kuchanganyikiwa na kutamani waanze kuvunja ila Amri ya 6 na ndipo walipo haaaaaaaaaa leo tuimalize story hii tuanze na nyingine ....




SEHEMU YA KUMI NA MOJA


.music uliendelea kama kawaida ndani ya dakika 10 ,ikawa kimya kidogo kumbe kila mtu alikuwa akiwaza namna ya kumuanza mwenzie.katika kujiuliza kijana MATIGA alipo amua kuweka pembeni mvinyo na kuanza kujisogeza taratiiiiibu kwa MALKIA wake.MAGDA akausoma mchezo wakakumbatiana na kuanza kugusana sehemu za kichokozi ,sehemu zinazo hamsha mashetani,ikiwa ni maandalizi ya kulimenya NANASI, maana linaitaji maandalizi lisije kukuchoma wakati wakukulitafuna. Kila mikafikia wakati kila moja aliona ni muda muafaka wa kushika visu pamoja ili wamenye NANASI kwa pamoja.#MAGDA alitegea ili kumpa nafasi #MATIGA ya kumenya mpaka katikati.Kijana alizidi kushika shingo iliyo jaariwa kwa kuwa naapingili itazani ni mtindi, huku mkono moja huku chezea kunde ya mwanadada huyu aliejali kitumbua kilicho jaliwa ulelezi wa mlenda,nakumfanya binti wawatuwa apate utamu na kutoa sauti ya kama mtu anae kula muwa,kodogo akaondoa jani la nanasi.ikaanza kusikika sauti ya mahaba kwa kuwa ilikuwa siyo rahisi kulimenya na kuanza kutokwa na maji utazani ni Mto ruvu, ikasikika sauti "Ayaaaah!! Shiiiiiiiii!! Yeeees! !!!! weeee!!! Mhhh!!juu kidogoooo !!hapo 


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog