Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

DUNGA DUNGA - 2

   

Chombezo :  Dunga Dunga 

Sehemu Ya Pili (2)


“Aaaaaaaahhhh....iiiiisssshhhhhh....yaaaaalllllllaaaahh......” Aliendelea kulalamika kimahaba.

Akaanza kukipandisha kifua chake juu na kukileta kwangu zaidi, wakati mwingine akikishusha. Vidole vyake vilikuwa vimeshikiria shuka na kuanza kulivutia kwake. Mzuka zaidi ukapanda, nikamwangalia usoni, macho yake yalikuwa yamefumba. Baada ya sekunde chache, akayafumbua . Wala sikuamini macho yangu mara baada ya kumwangalia vizuri na kumuona akianza kulengwa na machozi ambapo baada ya muda fulani, machozi yakaanza kujaa machoni mwake.

“Oooooohhhh....Ahhhhhh...Endeleaaaaa.....” Alilalamika muda wote.

Sikutaka utani wakati huo, alipokuwa akilalamika kwa kuniambia niendelee, niliendelea kweli, tena katika kasi ambayo hadi mimi mwenyewe niliishangaa. Nikamshika kila sehemu na kumnyonya kila sehemu isipokuwa sehemu moja ambayo ilikuwa imefichwa na nguo yake ya ndani.

Nikaanza kuishusha nguo yake ya ndani. Wakati huu wala hakuonyesha jeuri yoyote ile zaidi ya kunipa ushirikiano kwa kunisaidia kuishusha. Ili kumuonyeshea kwamba wala sikuwa na papara, ilipofika magotini, nikatulia na kukirudia kifua chake.

“Mmmmhhh......Mmmmmhhh.....”

Nikaanza tena kushughulika na kifua chake. Nilitaka kumfanyia mambo mengi ili kumfanya aniheshimu katika kila kipindi ambacho angekutana nami baada ya hapo. Mikono yangu ilikuwa na kazi moja ya kuyachezea matiti yake huku mdomo wangu ukifanya kazi ya kuzinyonya chuchu zake tu.

“Ingizaaaaa.......” Aliendelea kulalamika.

Nilimuelewa kile ambacho alikuwa akiniambia ila bado niliona muda kutokuwa tayari. Nilitamani kuendelea kumvunja nguvu zote. Baada ya dakika kumi, nikaendelea na zoezi lile la kuivua chupi yake ambayo ilikuwa magotini. Niliivua chupi yote na kubaki kama alivyozaliwa.

Muda wote macho yake yalikuwa yamefumba huku akionekana dhahiri kuvuta hisia kali za kimapenzi. Nilipoivua chupi ile, kila kitu kilikuwa wazi. Bado sikutaka kuonekana kuwa na haraka, nilihitaji muda zaidi wa kuendelea kumchezea ili ajenge heshima kubwa kwangu.

“Utaniuaaaaaa.....ingizaaaaa.....oooohhhhh.....iiiisssssshhhhhh......” Aliendelea kulalamika.

Nikaanza kuchojoa nguo zangu. Sikuonekana kuwa na wasiwasi, kwa wakati huo, akili yangu ilikuwa ikiifikiria bikira ambayo nilikuwa nikienda kuitoa katika kipindi kichache kijacho. Nilitaka kuwaonyeshea watu wote mtaani pale kwamba nilikuwa kiboko hasa kwa wasichana pasipo kujali kama walikuwa vicheche au watoto wa geti kali ambao wengi wao walikuwa bikira.

Nilibaki mtu, Mariamu akayafumbua macho yake na kuniangalia. Nikashangaa akinivutia kwake na kunikumbatia huku midomo yetu ikiwa bize ikibadilishana mate. Tuliendelea katika zoezi lile kwa muda fulani, nikashangaa kumuona akiupitisha mkono wake chini na kushika moja ya kiungo changu na kuanza kukipeleka sehemu husika.

Sikutaka kitendo kile kifanyike kwa haraka namna ile, nilichokifanya ni kuutoa mkono wake na kuupeleka pembeni na kisha kuendelea na zoezi lile la kumpiga lita. Mariamu akakosa nguvu, kikafika kipindi ambacho akaonekana kukosa nguvu kabisa, kila nilipouinua mkono wake kuupeleka huku, ulikwenda.

Alilegea mpaka kufikia hatua ambayo alionekana kuwa kama mtu ambaye alikuwa amezimia. Nikabaki nikishangilia moyoni mwangu kwa kuona kwamba nilikuwa nimemuweza, sikutaka kuonekana kubahatisha katika kazi ile ambayo nafikiri nililetwa duniani kwa ajili ya kuifanya.

“Ingizaaaaaaa.......aaaahhhhhh...ingizaaaaa....” Mariamu aliendelea kulalamika.

Kwa moyo mkunjufu kabisa. Nikajiandaa kufanya kile ambacho alikuwa akikitaka nikifanye. Nilijiona kuwa kama kwenye ndoto, ingawa nilikuwa nimefanya mapenzi na zaidi ya wanawake hamsini lakini hii ndio ilikuwa mara ya kwanza kuitoa bikira.

Niliambiwa kwamba ilipaswa kuwa makini katika kuzitoa bikira hizi. Sikutakiwa kuwa na presha, ilibidi nianze taratibu mpaka pale ambapo kila kitu kitakapokuwa juu ya mstari. Nikaipanua miguu yake vizuri na kuingia katikati ya mapaja yake, kidume nikaanza kuingiza taratibu huku nikitarajia upinzani wa bikira yake.

“Mhhhhh!” Nilitoa mguno mara baada ya kuona nimeingiza yote pasipo upinzani wowote ule, kwa kifupi ni kwamba Mariamu hakuwa bikira kama nilivyotarajia.


ANGALIZO: Mnaosoma na msipite kimya kimya, Kama umeipenda sema kwani huo ndiyo ujira wangu wala sihitaj pesa yako ili niendelee kuweka hapa mtaji pekee ni comment yako, Share na Like ambapo itasaidia watu wengi kuisoma.


Unajua nini kilitokea?

Hebu bashiri, niambie unahisi nini kitatokea?





Nilibaki nikiwa na mshangao, sikuamini hata mara moja kama msichana kama alivyokuwa Mariamu hakuwa bikira. Msichana huyu ambaye alikuwa mtoto wa ustadhi Hamisi alikuwa mtulivu sana mtaani kiasi ambacho ingekuwa ngumu kujua kama kuna mtu alikuwa amefanya nae mapenzi kabla.

Hamu yote ya kufanya mapenzi ilikuwa imenitoka, nilibaki nikifanya kama kumridhisha tu. Kichwa changu bado kilikuwa kikimfikiria Mariamu ambaye bado alikuwa akitoa miguno ya mahaba. Kila kitu ambacho nilikuwa nikijaribu kukifikiria juu yake nilikosa jibu kabisa.

Nilijiona kuwa mjinga sana kwa kumuamini mtu ambaye wala hakuhitajika kuaminika hata mara moja. Nilifanya nae kwa takribani dakika arobaini, akaonekana kuchoka, jasho lilikuwa likimtoka ingawa feni bado ilikuwa ikiendelea kupuliza.

Tulipomaliza, akainuka, akavaa nguo zake na kuondoka huku ikiwa ni saa tatu kasoro. Nilibaki kitandani huku nikiwa na mawazo mengi. Tayari nikaanza kuuona ugumu wa kumpata msichana bikira ambaye ilitakiwa niwe mtu wa kwanza kumkaribisha katika ulimwengu wa mapenzi.

Nikaamua kuamka kutoka pale kitandani na moja kwa moja kuelekea bafuni ambako nikaoga na kisha kuja kulala.

Kesho asubuhi, nikaanza kupiga hatua kumfuata Kaimu, rafiki yangu mkubwa na kisha kumwambia kile ambacho kilikuwa kimenitokea usiku uliopita. Kaimu hakuonekana kuamini hata kidogo, alikuwa akiniangalia huku akiwa amenikazia macho.

“Acha utani bwana” Aliniambia.

“Ndio hivyo. Yaani ni kama wasichana wengine” Nilimwambia.

“Kwa hiyo patupu?”

“Ndio maana yake. Yaani mpaka najuta kwa nini sikutumia dhana” Nilimwambia.

“Mbona katulia sana”

“Hicho mimi ndicho nakishangaa. Unajua nilikuwa na uhakika asilimia mia moja kwamba ningeikuta”

“Duuuh..! Hiyo kali.”

Mariamu ndiye alikuwa msichana ambaye nilikuwa nikimuamini sana katika mtaa wetu, sikuwa na hamu ya wasichana wengine ambao kwa kuwatazama tu walionekana kutokuwa na kile ambacho nilikuwa nikikihitaji, bikira. Kitu nilichokifanya ni kuamua kwenda katika mitaa mingine kwa ajili ya kuzitafuta bikira tu.

Sikuwa nikishinda mtaani kwetu, mara kwa mara nilikuwa nikitoka na kwenda katika mitaa mingine. Huko nilikutana na wasichana wengi lakini kutokana na uzoefu ambao nilikuwa nao katika mambo ya wasichana, niligundua kwamba hawakuwa na bikira ambazo nilikuwa nikizihitaji.

Katika mitaa ambayo nilikuwa nikienda nikaanza kutengeneza urafiki na watu wengine ambao nilikuwa nikiwakuta huko. Kila siku nilikuwa nikiwatembelea na kuwapa kampani mbalimbali huku nikijaribu kuwaonyeshea uchangamfu mkubwa.

Huko ndiko ambako nikaanza kupata mambo mengi ya wasichana mbalimbali. Msichana Judith ndiye ambaye alikuwa akiogopeka katika mtaa wote wa Mapipa.

Msichana huyu hakuwa kama wasichana wengine. Kila siku alikuwa mkimya kupita kawaida. Kuitikia salamu ilikuwa ni kawaida yake lakini maongezi mengine baada ya salamu, hayakuwa yakipata nafasi yoyote kwake. Kila mvulana alikuwa akimuogopa msichana huyu ambaye mara kwa mara alikuwa akikaa ndani ya nyumba yao tu.

Alionekana kama kuwachukia wavulana bila sababu yoyote ile. Alionekana kutokupenda wavulana kabisa. Muda wote mavazi yake yalikuwa ya kiheshima kuliko msichana yeyote ambaye alikuwa akiishi mahali hapo. Kila siku alikuwa akielekea kanisani, hasa katika siku ambazo alikuwa akihitajika huko.

Toka ahamie katika mtaa huo. Hakuwahi kuwa na skendo za kutembea na mvulana yeyote katika kipindi chote ambacho alikuwa akiishi katika mtaa huo wa Mapipa. Ilipotoke kuguswa na mvulana yeyote, Judith alikuwa akishtuka kana kwamba alikuwa ameguswa na kitu ambacho hakikuwa cha kawaida.

Kwa mara ya kwanza ambayo nilikuwa nimeambiwa mengi kuhusiana na Judith, nilibaki nikimwangalia tu. Ni kweli alinitamanisha sana lakini uzuri wake pamoja na utulivu wake vilikuwa vitu ambavyo vilikuwa vikinivutia kuliko kawaida.

Sikuwa na shaka na Judith. Alionekana kuwa mgeni kabisa katika mambo ya mapenzi. Hali ambayo alikuwa akijiweka kila siku mbele ya wavulana ilinifanya kuwa na uhakika kabisa kwamba Judith alikuwa msichana bikira na si kama Mariamu ambaye alinifanya kushangaa.

“Haumuwezi yule. Judith ni msichana wa tofauti sana” Ezekiel ainiambia.

“Najua simuwezi...ila ninamtaka, ninataka kuwa nae na kufanya nae japo mara moja” Nilimwambia Ezekiel ambaye alionekana kushtuka kupita kiasi.

“Hapo ndio pabaya zaidi. Hivi unajua kama Judith hajawahi kuwa na mwanaume yeyote katika maisha yake?” Ezekiel aliniuliza.

“Hapana”

“Habari ndio hiyo. Judith bado msichana mbichi kabisa” Ezekiel aliniambia.

Nilibaki nikitabasamu tu, maneno ambayo alikuwa ameniambia yalionekana kunifurahisha kupita kawaida. Maishani mwangu nilikuwa nikihitaji bikira tu, sasa kitendo cha kuniambia kwamba Judith hakuwahi kufanya mapenzi na mvulana yeyote, nilifurahia sana.

“Nitataka kuwa wa kwanza kwake” Nilimwambia Ezekiel.

“Utakuwa unajisumbua tu. Kwanza utaanza vipi?”

“Hilo si suala la kuwa na wasiwasi, cha msingi ni kuwa wa kwanza kufanya nae tu” Nilimwambia Ezekiel.

Ezekile aliniangalia mara mbili mbili, uso wake haukuishiwa tabasamu hata kidogo, alikuwa akiniangalia huku macho yake yakinionyeshea kutokuwa na matumaini ya mimi kumpata Judith. Nilitamani kumwambia ni kwa kiasi gani nilikuwamkali hasa kwa wasichana lakini nikajikuta nikibaki kimya.

“Acha niwasafishie njia. Nikitoka mimi, nafikiri hatowakataa” Nilimwambia Ezekiel.

“Jaribu...ila sidhani kama utafanikiwa. Abdul amechemka, Michael amechemka, achana na hao, hadi Barnabas Sallu amechemka. Unafikiri utaweza wewe?” Ezekiel aliniambia.

“Sawa. Ila ni lazima nijaribu. Msichana hawezi kunishinda hata mara moja. Wote wameumbwa kwa ajili yetu....hasa mimi” Nilimwambia Ezekiel.

“Sawa bwana. Jaribu bahati yako” Aliniambia.


KAMA UMEIPENDA SIMULIZI HII UNAWEZA KUISOMA YOTE WHATSAPP, NJOO NAMBA 0712988278.


ANGALIZO: Mnaosoma msipite kimya kimya. Ukimaliza kusoma kama umeipenda sema lolote kwani huo ndiyo ujira wangu wala sihitaji pesa yako ili niendelee kuweka hapa. Mtaji pekee ni Comment yako, Share na Like ambapo itasaidia watu wengi kuweza kuisoma.


Unajua nini kilitokea?

Hebu bashiri, niambie unahisi nini kitatokea?


SHARE KWA MARAFIKI ZAKO TUZIDI KUSONGA MBELE.




Kila siku nilikuwa nikielekea katika mtaa ule wa Mapipa kumtembelea Ezekiel huku lengo langu kubwa likiwa ni kukutana na Judith. Ingawa niliambiwa kwamba Judith alikuwa msichana mgumu sana lakini wala sikuonekana kujali, katika maisha yangu niliwaona wasichana wote kuwa wepesi ila kitu ambacho kilikuwa kikihitajika ni kwenda kwa uangalifu.

Niliendelea kwenda kwenye mtaa ule kwa mwezi mzima lakini wala sikuweza kumuona Judith zaidi ya ile siku ya kwanza. Sikukata tamaa, bado niliendelea kuelekea katika mtaa ule huku lengo langu likiwa lile lile, kuonana na Judith na kumwambia kile ambacho kilikuwa kikiusibu moyo wangu.

Sikutaka kuisahau siku hii, siku ambayo kwa mara ya pili kuonana na Judith tena baada ya mwezi kupita. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa nimekaa nyumbani kwa kina Ezekiel huku nikifikiria ni kwa jinsi gani ningeweza kuonana na Judith.

Nikayainua macho yangu, sikuamini kabisa mara baada ya kumuona Judith mbele yangu akija kwa mwendo wa madaha. Nilijihisi kupigwa na mshtuko, mapigo yangu ya moyo yakaanza kupiga kwa kasi huku mzunguo wangu wa damu ukiwa mkubwa mwilini mwangu.

Nilikuwa nikimwangalia Judith kwa makini, mwendo wake tu ulikuwa ukiniacha hoi, Gauni ambalo alikuwa amelivaa lilikuwa likiuchora vilivyo mwili wake. Mimi nilikuwa miongoni mwa wavulana ambao walikuwa wakimwangalia Judith.

Kila mvulana ambaye alikuwa akimwangalia Judith alikuwa akiogopa kumfuata. Kwa sababu mdomo wangu ulikuwa na uzoefu sana kuongea na wasichana, nikasimama na moja kwa moja kuanza kumfuata Judith ambaye alikuwa ameshika kidumu kidogo akielekea katika kituo cha mafuta kununua mafuta ya taa.

Nilipokuwanikipiga hatua kumfuata, tukagonganisha macho. Mapigo yangu ya moyo yakaanza kudunda zaidi, uzui wa Judith ukanilegeza kupita kawaida. Huku nikiendelea kupiga hatua kumfuata, mawazo yangu yakaanza kuvuta picha ya chumbani. Nikajiona kuwa pamoja na Judith kitandani, nikaanza kumvua nguo zake na kisha kuanza mchezo ule ule ambao katika vitabu vyote vya dini duniani vilikuwa vimekataza, MAPENZI.

Nikamfikia Judith na kuanza kutembea pembeni yake. Judith alibaki akinishangaa, ghafla nikamuona akianza kuelekea pembeni kabisa na mimi, nikaanza kumfuata kule kule. Judith alionekana kuogopa, hapo ndipo nikaamini kwamba Judith alikuwa akiwaogopa wavulana.

“Mbona unanikimbia Judith” Nilimuuliza swali mara baada ya kumfuata kule kule.

Judith hakujibu kitu chochote kile, akabaki kimya. Sikutaka kunyamaza, nikalirudia swali langu, Judith ado alikuwa kimya. Nilipolirudia swali langu kwa mara ya tatu, Judith akasimama na kuanza kuniangalia usoni, bado akili yangu ilikuwa ikiufikiria uzuri wake.

“Wewe mvulana vipi?” Judith aliniuliza huku akiwa amekasirika na uso wake kuukunja.

“Mbona unanikimbia? Ninanuka au?” Nilimuuliza huku nikianza kuinusa fulana yangu.

Maneno yale yalionekana kumuhuzunisha kwa kiasi fulani. Niliyatumia maneno yale makusudi kabisa kwani niliamini ni lazima angehisi kwamba ninamuona msichana mwenye maringo aliyejaa dharau.

“Nafikiri ninakuchafulia hali ya hewa. Naomba unisamehe kwa hilo Judith” Nilimwambia.

“Umelijua vipi jina langu?” Aliniuliza huku akionekana kushangaa.

Hilo lilikuwa swali ambalo kwangu nilimuona kufanya osa kubwa sana. Swali hilo lilitarajiwa kuja na maelezo mafupi ambayo kwa namna moja au nyingine basi ingenifasa kuzoeana nae. Nilimwangalia kwa makini na kuanza kutabasamu.

“Kwa nini unaniuliza hivyo?” Nilimuuliza.

“Sikufahamu na wala sifahamu kama nilikwishawahi kukuona sehemu yoyote ile” Aliniambia maneno ambayo yaliongeza tabasamu langu zaidi.

“Unanidanganya Judith” Nilimwambia

“Kweli. Yaani sikumbuki kabisa” Aliniambia huku vijana wengine wa mtaa ule wakionekana kutushangaa, hawakuamini kama kungekuwa na kijana ambaye angeweza kumsimamisha Judith na kuongea nae kama nilivyofanya.

“Umekwishawahi kuniona ila haukumbuki tu, nafikiri ni muda mrefu umepita” Nilimwambia.

“Kweli?”

“Ndio” Nilijibu huku nikionekana kuwa na uahakika juu ya kile ambach nilikuwa nikikiongea kwa wakati ule.

“Sawa” judith aliitikia na kuendelea na safari ya kuelekea kule alipokuwa ametumwa.

Sikutaka kubaki mahali pale, na mimi nikaanza kupiga hatua kumfuata na kuanza kuongozana nae. Judith alionekana kutokuwa na amani lakini wala hakuniambia kitu zaidi ya kuendelea kuwa kimya. Nilijua kwamba japokuwa tulikuwa tumeongea kwa muda mfupi sana lakini nilikwishajua kwamba Judith alikuwa ameanza kunizoea.

“Ningependa nikusindikize” Nilimwambia Judith.

“Wapi?”

“Unapoelekea. Bia shaka katika kituo cha mafuta” Nilimwambia, tabasamu likaanza kuonekana kwa mbali usoni mwake, kwa asilimia kadhaa nikaanza kujipa ushindi juu ya kile ambacho nilikuwa nikikitaka kwa wakati huo.

Nikaanza kupiga stori na Judith, kila tulipokuwa tukipita, wavulana walikuwa wakituangalia, walionekana kutokuamini kile ambacho walikuwa wakikiona. Judith alionekana kuwa mzuri kweli, uzuri ambao kila mwanaume ambay alikuwa akimtazama basi alikubaliana moja kwa moja na maneno niyasemao.

Tuliongea mengi, tukapata muda wa kuzoeana, tukawa tukiongea huku tukichekeana kana kwamba tulikuwa tumeonana katika kipindi kirefu kilichopita. Sikutaka kuongelea kitu chochote kile zaidi ya stori za kawaida sihusuyo maisha ya kawaida.

“Naomba uishie hapa” Aliniambia mara baada ya kufika karibu na kwao.

“Haina tatizo. Ila ningependa niendelee kuwasiliana nawe baada ya hapa.

“Kuwasiliana na mimi?” Aliniuliza huku akionekana kushtuka.

“Ndio. Kwani kuna tatizo lolote?”

“Hakuna. Ila si tutakuwa tukionana mara moja moja?”

“Nafahamu lakini nafikiri inaweza kuchukua muda mrefu sana”

“Yeah. Huwa ni mara chache sana napata nafasi ya kutoka nje. Nafikiri utaniona hata siku nyingine” Aliniambia.

“Sawa. Ila ningependa unipe namba yako ya simu. Ila kama hautojali”

“Sina simu”


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog