Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

PAULA MFARANSA MWENYE VISA - 3

   

Chombezo : Paula Mfaransa Mwenye Visa

Sehemu Ya: Tatu (3)


Yeye wala hakunisikiliza akanilalia kisha nyoka akampitisha kati ya mbunye yake kwenda mfereji wa matakoa mkono wake akiupitisha kwa nyuma ya makalia kama amempatakia nyoka wangu kwa kumkandamiza kwenye huo mfereji wa mbunye mpaka matako. Akawa ananiingiza ulimi sikioni kuuzunguusha kana kwamba kuna kitu kitamu anakitafuta hapo sikioni kwangu. Akanitibua ubongo zaidi aisee. Anakibinua kiuno chake juu na kukirudisha chini wakati bado amempakatia nyoka wangu kwenye mstari wa mbunye na matako huku ananisokora na ulimi kwenye sikio na mkono mmoja ameuzunguusha kwa chini ya shingo yangu.


Sasa hizi chuchu zikawa zinaniletea mushkeri kwenye kifua changu kwa kadiri anavyojinyanyua na kushuka chini, sikio linapata habari yake na nyoka wake kule chini anasuguliwa kwenye nusu utelezi nusu joto kwa kukandamizwa maeneo hatarishi. Nikawa napumua kama bata mzinga alofukuzwa kilometa kadhaa. Nikajikuta nwamwa,bia Paula, “it’s too much baby...” Siyo kwa uchokozi wa aina hii. Akajibinua zaidi kwa kukipinda kiuno chake na kukikandamiza kichwa changu kwenye mlango wa uke wake kiasi cha kichwa cha nyoka kuchungulia kwenye tundu la uke na kunichomoa, yaani kama anaingiza kichwa hivi kisha anakitoa.


Lile joto la uke wake likanipa wehu kabisa. Sasa ni nini ananifanyia huyu mpumbavu? Anataka anikomeshe ama nini? Vilio vyake vya mahaba vikanipa wakati mgumu sana. Nikamkamata kiuno kwa nguvu wakati amenilengesha kichwa kwenye tundu la uke wake nikamkandamiza chini. Akatii amri na kupiga ukelele wakati nyoka akizama ndani ya kitumbua chake. Akawa kama anataka kujitoa nami namkandamiza chini. Misuli ya uume ilikakamaa sana wakati nashindilia naye akitaka kujitoa. Paula akawa anarusha nywele zake kulia na kushoto akigugumia kwa utamu wa mkujugu usio kifani. Jando lilifanya kazi yake.


Nikaachia Wazaramo ndani yake kama wote wakati yeye akipiga kelele za kufika kileleni. Akajibwaga kifuani kwangu na kuwa kama mfu kichwa akikilaza shingoni mwangu akipumua taratibu. Nikamkumbatia kwa mikono miwili n ikimkandamiza kifuani kwangu bado nyoka akiwa ndani yake. Nikawa nampapasa taratibu na kumsemesha maneno matamu ya mapenzi.


Mashine yangu bado ilikuwa imeujaza uke wake na nikawa naitingisha kidogokidogo ili nianze mbio nyingine tena lakini Paula alikuwa hoi sana na hakunipa nafasi, akajichomoa kutoka kwangu na kulala pembeni akisema imetosha. Yaani yeye anachoka wakati mimi ndo kwanza nataka nitafute bao lingine huyu ananizingua sasa nikajisemea. Tukakaa kitandani tukipiga stori mbili tatu. Yaani nilichogundua hawa wazungu hawataki kuchapana mashine kama mnakomoana vile tulivyo wabongo. Wao wakipata hata kimoja tu wameridhika mengine ni mahaba ya kushikana shikana na maneno mazuri.


Kwenye saa nne usiku nikamwambia nahitaji kwenda home tukakubaliana, nikaingia naye bafuni tukiogeshana kama watoto. Nikavaa fasta fasta, Paula akanisindikiza mpaka kwenye gari mabusu kama yote tukiwa tumekumbatiana. Nikawasha ndinga na kusepa kuelekea kwenye kivuko kurudi home.


Ndani ya Pantoni ni lazima ufungue vioo vya gari, mimi nikafungua na kushuka nikasimama pembeni. Macho yangu yakagongana na dada mmoja mbele yangu upande wa pili kwa waliosimama. Oooh ni Semeni yule tunakaa naye jirani. Semeni akatabasamu na kunipungia nami nikamuonesha ishara asogee nilipo. Hakukataa akaja nilipo tukasalimiana.


Tulipovuka nikamwambia naingia kwenye gari akanisubiri kwa mbele ajatii. Baada ya kulitoa gari kwenye Pantoni nikamchukua na safari ya kuelekea home ikasonga tukiichukua njia ya kati Jeshini kuelekea Kibada. Stori za hapa na pale zikanoga na Semeni na mara kwa mara nikamuona anacheka sana huku akinitazama kama kwa macho ya matamanio yenye hisia za huba vile. Unajua mwanamke akikuzimikia utaona dalili tu yaani, atajichekesha hata kwa kitu kidogo kabisa kisichohitaji kucheka.


Katika maongezi nikachomekea kwa kumuuliza, “Kwako ni kabla ya kufika kwangu sivyo? Sasa unaonaje nikapitia kwako nile nishibe halafu niende kwangu au kuna shemeji atamind?” Akanitazama halafu akatabasamu akiangalia chini na kuniambia, “Haina shida, wewe tu mi sikatai wageni bhana, Karibu sana” Nikamuuliza kama ana hakika hakuna shida akajibu hakuna shida.





Nikakanyaga pedali mpaka Mnadani nikakumbukanamna nilivyojuana na Semeni. Ilikuwa siku ya uandikishaji Daftari la Wapiga Kura, nilifika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kisiwani Chama kujiandikisha na wakati huo nilitoroka ofisini na nilitakiwa kurudi ofisini. Hivyo kwa kutumia muonekano wangu na kazi yangu nikawaimbisha wale wasimamizi ili zoezi langu lifanyike kwa urahisi. Semeni alikuwa nafasi ya mbele kabisa akisubiri kuandikishwa na mimi nikaingilia kati kuvuruga utaratibu.


Kitendo hiko kiliwapa ghadhabu wengi wao wakiona kuwa wao wamekaa muda mrefu halafu mtu anatokea huko na kupita mbele kuandikishwa. Nikatumia busara kuwaeleza wale walioko nafasi za nyuma kwa nini nafanya hivyo wakanyamaza. Nikampita semeni na kuandikishwa kisha nikasimama nje ya kituo cha Uandikishaji nikizungumza na simu na mtu aliyenipigia. Semeni naye akawa amemaliza na tukawa tunaongozana njia moja uelekeo ambao nilikuwa naelekea. Ndipo nilipojua kumbe ni jirani yangu maana tulipiga stori mbili tatu nikimpooza kwa kumpita kwenye uandikishaji. Niliongea kwa busara na kwa kweli alinielewa vizuri kiasi tukawa kama tunafahamiana muda mrefu kumbe chanzo ni mkwaruzano wa kwenye uandikishaji.


Ndinga ikakaribia njia panda ya Hospitali nikaichoma kulia kuishika njia ya kwenda Hospitali ya Vijibweni mpaka maeneo ya Chama nikakunja kulia kuutafuta mtaa wa kina Semeni. Ilishatimu saa tano na dakika kadhaa usiku, nikapaki gari barabarani kwenye barabara ya vumbi baada ya kuniambia sehemu ya kusimama. Mtaa huu alipo ni rahisi kufika kwake kuliko mtaa ule wa kwangu ingawa ni majirani. Nikamtazama kwa pozi la kiume na kumuuliza, “Vipi sasa naweza kuja kwako ama jau?” Akanijibu, “Nilikwambia haina shida, karibu, tena na hivi ni usiku sana saa hizi utakuwa umenipa kampani kubwa. Unajua sijawahi kurudi usiku namna hii...” akaongea kwa mitetemo ya kike kweli kweli nikabaki natabasamu.


Nikatoa lock za milango na tukashuka. Nikashuka na kuzunguuka upande wake kisha nikafungua mlango upande wake kwa nje na kumnyooshea mkono ashuke. Akatabasamu na kujiinua taratibu kweli baada ya kunipa mkono wake wa kushoto ukiwa lainiii. Akashuka halafu nikamvuta kidogo kwangu nikimpitisha kama ubavuni kwangu kulia na kuufunga mlango. Kiasi alikuwa kama ananipumulia kwenye bega la kulia hivi. Nikatoa remote na kuilock gari wakati huo nimemuachia mkono tukiongoza kijinjia kwenda kwake yeye akitangulia nami nikiwa nyuma yake.


Tukanyoosha kijinjia na kukata kulia ambako kuna chochoro ndefu ya nyumba zinazojengwa upande wa kulia na kushoto ni uzio mkubwa wa nyumba nyingine. Tukawa tunatembea huku tunachombezana kwa story mbili tatu. Kabla hatujamaliza ile chochoro ndefu ambako si mbali sana baada ya kuimaliza kupafikia kwa Semeni ghafla wakaibuka vijana wanne kutoka kwenye jumba linalojengwa.


Vijana hao waliibuka kwa kuruka dirisha la nyumba inayojengwa na kwa muonekano tu ilitosha kuona kuwa hawa ni vibaka na sasa kazi ishakuwa kazi. Hawa vijana wanne mbele wakawa wanakuja upande wetu. Haraka sana nikamshika Semeni mkono na kumuweka nyuma yangu baada ya wale vijana mbele kusema, “Oyaaaa, simameni na leteni mazaga si hatuna noma wala nini. Tupeni chetu msepe...” Nikasema kimoyo moyo leo hapa kazi ipo kwa kweli. Nilipomuweka Semeni nyuma na kumgeukia nikakuta kuna vijana wengine wawili wako nyuma nasi tupo tumewekwa mtu kati.


Nikasema hapa sasa lazima kiwake kwa namna yoyote ile. Vijana hawa kwa mwanga wa mbalamwezi niliona wameshika silaha kama bisibisi na mmoja ana panga linalong’aa mkononi. Nikamuacha Semeni kama hatua nne hivi nikajisemea, “Ngoja nianze na hawa wa mbele kwanza. Leo wameingia cha kike...” Kitendo bila kutegemea hawa vijana, nilichomoka kwa speed na kumfikia yule mwenye panga ambaye alikuwa ameliinua juu. Sikusubiri alishushe panga, vile vile akiwa amelishikilia panga hewani nikaruka juu na kuzunguuka nyuzi 360 nikafyatua teke la kuzunguuka nikiwa hewani kwa vipimo sahihi kabisa likatua kwenye shingo ya huyu kibaka mwenye panga na kumrusha kiubavu akijipigiza kwenye ukuta wa jumba bovu kama gunia.


Kitendo bila kuchelewa kwa speed ileile nikamtandika ngumi tatu za haraka sana kibaka wa kulia kwangu wakati huo mmoja akiwa kashakuwa nyuma yangu nikamtandika teke la kinyume nyume nyie mnaita Horse kick lililompaisha na kujibwaga mbele ya Semeni kama gunia. Haraka nikamfikia mwingine na kukikamata kichwa chake na kukivurumisha kwenye goti langu nikimtandika kifuti kikali kilichotua moja kwa moja kwenye pua yake na kumrusha kinyumenyume kikimuacha akipiga ukunga wa maumivu makali.


Kwea speed tena nikamzunguuka Semeni na kuruka mateke mawili ya mbele kutua kwa kijana aliyemfukia Semeni yakitua kifuani na kidevuni (double front kicks) na bado nikiwa hewani nikazunguuka teke la upande kutua kwenye mbavu za kijana huyu akayuma akiinama kushika mbavu zake. Mizuka ilishanipanda na ikawa kama tuko kwenye movie za mapambano sasa. Yule kibaka mwenye panga wakati akijizoazoa kunyanyuka nikamkita na teke la kushuka chini lenye kilo nyingi sana lililotua kati ya kisogo chake na shingo akashuka chini kama mzigo na kutulia kimya. Haraka sana nikamfikia mwingine na kumpa ngumi za mfululizo kama mvua nikitandika chini ya kifua na usono akawa anatepeta kama punch bag akarendemka mpaka chini.


Nikazunguuka mateke mengine m,atatu ya hewani nikimzunguuka Semeni ambaye alisimama akishangaa ule mpambano bila kuamini kinachotokea mbele yake yakatua kwa vijana wawili waliotokea nyuma. Semeni alijibana kwenye ukuta wa uzio kama ruba akiukandamiza mgongo wake kwenye ukuta kana kwamba anataka apotelee ukutani akitazama ninavyoshughulika na hawa vijana. Kijana mmoja akapata upenyo na kutoka mbio akielekea upande tulipotokea akiwaacha wenzake watano wakiwa chini hoi na mmoja akiwa katulia kwenye ardhi hatingishiki.


Nikamshika mkono Semeni na tukawaruka vijana hawa ambao walikuwa wameramba ardhi wakigaa gaa kwa maumivu na damu kuwatiririka nikamuongoza Semeni kuelekea kwake yeye akiwa anatetemeka sana. Alinikamatia mkono wangu kana kwamba utamponyoka akijibana ubavuni kwangu hasa. Kwa haraka akawa ananiongoza kama anataka kunivuta kuelekea kwake.


Tukafika mpaka kweke ambako ilikuwa nyumba yenye uzio na geti na vyumba vinavyojitegemea (self-contained house). Akatoa funguo na kufungua geti tukaingia ndani na moja kwa moja akaniongoza kwenye chumba na sebuile anachoishi na kunikaribisha ndani. Nikaingia na kujitupa kwenye kochi nikimuagiza glass ya maji aniletee. Akaniletea glass ya maji nikaisukuma yote kwenye koo langu na kumwambia aongeze nyingine, akanimiminia nayo nikainywa yote. Akakaa kwenye sofa mbele yangu mikono amejikumbatia na kunipa pole ya wale vibaka. Akasema sijui ingekuwaje kama angekuwa peke yake, “Unajua Kimox huku hakuna vibaka kabisa sasa sijui hawa wametokea wapi, bila shaka siyo wakazi wa huku hawa...” Nikamwambia, “Ni kweli kabisa, hawa watakuwa wageni wa maeneo haya lakini naamini hawatarudi tena. Pale wakajitibie tu nina hakika nimewavunja mbavu na maumivu watakayouguza kwa siku kadhaa.”


“Nakushukuru sana kimox, yaani niliona kama sinema vile. Yale ninayoyaonaga kwenye sinema yalikuwa yanafanyika mbele yangu kwa kweli. Sikutegemea kama ungeweza kufanya vile nikajua tumeshakamatika tayari pale. Nakushukuru sana sana.” Akabwabwaja Semeni akiniangalia kwa jicho la mahaba. Nikanyanyuka na kumsogelea kisha nikamuuliza kama ana sehemu kaumia akajibu hapana, “Labda nikuulize wewe kama umeumia mahali...” akaniambia. Nikamjibu mimi niko poa kabisa.


Nikawa nausogelea mlango na kumuaga, “Aisee Semeni acha niende nyumbani sasa isije wale vijana kuna wenzao wakavunja vioo vya gari kama wataikuta pale nilipoiacha. Semeni akaniangalia kwa wasiwasi na kusema, “Sasa kama wapo bado itakuwaje jamani!!!” Nikamwambia, “Usiwe na shaka na mimi. Naweza kujihami mwenyewe hata kama wangekuwa 15” Nikaufikia mlango na kunyonga kitasa nikamgeukia na kumuaga akinitazama na kushukuru.


Nikalifungua geti kwa ndani na kutoka nikilifunga nyuma yangu nikaelekea nilipoacha gari. Eneo lile nililopambana na wale vibaka sikuwakuta. Nikalifikia gari na kuliondoa kuelekea nyumbani. Nilipoingia ndani nikamkuta Rose kajaa tele sebuleni ananisubiri. “Mpenzi mbona simu hupokei muda wote nakupigia...?” aliniuliza Rose. Nikatoa simu na kweli nikakuta missed calls kibao kutoka kwake. Kumbe niliweka simu silent tangu nipo kwa Paula hotelini kitu kilichompa wasiwasi Rose akaamua kuja home moja kwa moja.


“samahani mpenzi wangu, niliweka silent simu tangu nikiwa kazini na nikasahau kuondoa” nilimjibu huku nikimuonesha kioo cha simu kama vile ataweza kuona missed calls . “Nisamehe bure aisee...” nikamwambia, “Sawa mpenzi, nilipata wasiwasi kweli yaani maana bhana mji una matukio kweli. Sikujua nini kimekupata nikaona nije moja kwa moja nijue kulikoni. Japhet naye anakupigia hupokei pia” Nikamjibu, “Aisee poleni sana. Tukakokotana mpaka sehemu ya chakula tukala maana Rose alikuwa hajala akiwa na wasi wasi juu yangu.



Tukala tukaingia bafuni chumbani kuoga kisha tukajibwaga kitandani. Rose akiwa amelala chali nami nimemlalia kwa juu nikiwa na taulo jeupe kiunoni. Tukawa tunapapasana na akaniambia, “Baby, kuna nguo nimeiona kwenye boutique la kule mjini nzuuuuuri sana yaani. Utanipatia hela nikainunue mpenzi?” Hii ilikuwa kawaida ya Rose kuniambia hivi akikuta kitu alichokipenda sehemu. Nikasema hapa sasa mzinga wa maana unakuja. “Inauzwaje hiyo baby?” Nikauliza. “Ni 180,000/- tu nikitupia na viatu virefu na kimkoba weeeee nitadamshi hatari yaani...” aliongea huku akirembua macho kwa maringo ya kike. Nikajisemea hapa sasa lazima si chini ya laki mbili na nusu ama laki tatu zitoke.


Nikamjibu, “sawa haina shida nitakupa ukanunue...” akanikumbatia na kunipa kiss la haja na kuutembeza mkono wake kifuani mwangu. Na vile nilikuwa na mzuka bado wa kigoli kimoja kwa Paula nikaanza uchokozi wangu tena kwa Rose. Nikampa romance ya kibabe kisha nikambinua kama nakuna nazi na kumzamisha mkujugu. Nikawa napiga mashine kulia na kushoto kama sina akili nzuri. Rose akawa anapiga kelele za raha mfululizo. Nikatembeza bakora bila huruma nikikishughulikia kitumbua cha Rose.


Kila nikiwatafuta Wazaramo waje hawataki kuja, niakmkatia viuno na kupiga mikito kwenye kona kali kali nikitafuta ushindi kitu ambacho kilimpa sana raha rose lakini bado Wazaramo hawakuja, yaani walikuwa mbaaaali kweli. Nikampindua na kumuinamisha mbuzi kagoma kwenda nikimkamatia kiuno kwa nyuma na kumpelekea moto kwa mikito ya kulia na kushoto na bado Wazaramo wakawa wako mbali tu. Dakika 25 zilikatika nilipoitazama saa ya ukutani mambo ni bila bila kwangu wakati Rose kashaachia kushuka mlima Kilimanjaro mara kadhaa mpaka akaniambia inatosha.


Akalala kifudifudi wakati nikiendelea kuichapa na Kimox akiwa ndani yake kitendo kilichofanya tango langu liwe bado ndani yake na limefura. Kwa sababu ya ukubwa wa matako yake mashine ikachomoka na nikalala pembeni yake yeye mto ukiwa bado kifuani kwake ameukumbatia nikawa kama nipo kwa nyuma yake kwa pembeni kidogo.


Baada ya muda Rose akaleta mkono kwenye Nyoka wangu na kukuta bado amevimba akiwa usawa wa mfereji wa matako yake, akampapasa na kuachia mguno kama mtu anayeshuka mlima kitonga. Akaniuliza, “Baby hujaja bado unajua jamani? Leo umenisugua mpaka kum.. inawaka moto...” akaibana mashine yangu kwenye mstari wa matako yake na kuanza kuisugua sugua hapo nikiwa nyuma yake tumelala ubavu. Akawa ananipitisha kwenye ute wa kitumbua chake mpaka mlango wa shimo la taka huku akinikatia na viuno. Akanitumbukiza ndani ya kitumbua chake na kuanza kujisukuma mbela na nyuma taratibu na mizuka ikazidi kunipanda namna nikiyatazama matako yake yalivyojaa na kiuno chembamba.


Nikakikamata kiuno chake na kuanza kupika mikito mithili ya sindano ya charahani na mshonaji. Rose aligugumia kwa raha na kitumbua chake kikatoa utelezi tena. Akanichomoa na kujipindua nikaona ananikatisha utamu huyu. Akaja juu yangu ili ajihudumie. Akajinyanyua na kujitumbukiza mashine akaanza kunikatikia viuno mikono ameiweka mabegani kwangu. Akaongeza speed ya nje ndani mpaka mashine ikawa inachomoka mara kadhaa anaikamata na kuitumbukiza tena.


Akajinyanyua juu kidogo akazunguusha mkono kwa nyuma na kuisugulisha kwenye mtaro kati ya matako na kuiingiza kwenye kitumbua chake mchezo ambao ulinipa raha sana. Nikawa nimechanganyikiwa na kana kwamba nimepoteza mawasiliano kati ya kichwa na akili yangu. Rose akajinyanyua na kunikandamiza kichwa cha nyoka wangu kwenye matako yake akipanda juu nusu na kushuka nusu huku ameikamatia nyoka yangu kwa mkono mmoja kwa kuijaza kiganjani mwake. Ni kichwa cha nyoka tu kilichokuwa kinaingia shimoni na kutoka. Nikahisi joto kati na mbano mkubwa kwa namna alivyonikamata nyoka wangu. Kichwa cha nyoka kikaingia zaidi ya nusu n bado ameishikilia mashine yangu kaibana akijipandisha juu na chini akigugumia kwa raha.


Nikamkamata kiuno chake chembamba na kumkandamiza chini kwa nguvu maana alikuwa kama ananitesa kwa kweli. Akashuka taratibu chini na nyoka akazama wote ndani yake akajibinua kama anarudi nyuma na kunikamatia mapaja yangu akipump mwenyewe mnaita kujipimia.Nikahisi kuvurugwa na joto la ndani yake lisilo kifano na mnato kwa mkao aliokaa na jinsi anavyojihudumia (Self Service) ya leo. Nikahisi Wazaramo wakiwa wananikaribia mlangoni na namna nilivyobanwa na Rose nikapagawa kwa kweli. Nikanyanyua kichwa kukikamata kiuno chake nami nikipiga juu china naye akiwa kakamatia mapaja yangu kama kachuchumaa hivi jogoo akiwika ndani yake.Nikamtazama usoni jinsi alivyong’ata meno na jicho kalirembua kwa utamu wa mkujugu na miguno yake ya raha. Nikaongeza speed nikatupa jicho kwenye mashine yangu nione namna inavyoingia vizuri na ilivyochachamaa.


Aiseee, Rose alikuwa amenipeleka Buza kwa Mparange, Mashine ilijaa yote Kwa Mparange na Wazaramo wakaja kwa kasi sana. Nikang’ata meno na kugugumia kwa maraha wakati Wazaramo wakimiminika ndani ya Kwa Mparange alikoniweka Rose naye akapiga ukelele wa utamu wakati Wazaramo wakimiminika kuujaza mtaro wa Rose. Rose akaganda kama kapigwa shoti ya umeme kwa kama dakika hivi halafu akaanza kunichomoa taratibu kutoka kwenye mtaro wake.


Nyoka akatoka akiwa na vijiuchafu hivi vya haja kubwa, akachukua chupi yake na kunifuta halafu akajilaza pembeni yangu nikiwa hoi maana si kwa bao la aina hii la leo. Nikamvuta na kumbusu na kumpa asante, nikamlaza kifuani kwangu tukalala.






Kusema kweli Rose alilala fofofo ila mimi nilikuwa na mang’amung’amu tu. Nikafumbua mho na kuzama kwenye mawazo mazito sana. “Leo kwa mara ya kwanza nimepelekwa Kwampalange na Rose ila inaonesha huyu ni mzoefu huyu... mbonaa...” nikawaza kichwani mwangu. Siyo mara ya kwanza mimi kwenda Kwampalange lakini najua kabisa kwa mwanamke kama ni mara ya kwanza lazima asikie maumivu kwa maana njia haijawahi kupitwa pia uchafu utatoka mwingi kiasi cha kuleta hata hewa chafu chumbani. Kwa ujumla haja kubwa itatoka tu kwa kiasi cha kuchafua tango sio kwa vichembe vichache vya Rose.


Taa ya tahadhari ikawaka kichwani mwangu na alarm zikafululiza kulia kwenye ubongo wangu. Kwa namna Rose alivyokuwa anagugumia kwa raha na mikito ya Kwampalange uhakika wa uzoefu ukawa 99.99%. Nikanyanyuka kitandani Rose akiwa amelala fofofo maana dozi ilikuwa kubwa na vile Wazaramo walivyonigomea kuja mpaka aliponihamishia mtaroni basi hana hali. Nikaifikia simu yangu nikafungua application kadhaa halafu nikaichukua simu ya Rose na kufanya utundu kwa dakika chache sana. Nikairudisha simu ya Rose mahala pake nikachukua taulo na kujifunga kiunoni nikatoka sebuleni simu yangu ikiwa mkononi.


Nikafungua phonebook na kuzitafuta namba za Allen tumezoea kumuita Onyekurum kwa wale wanaojua Kimasai watajua maana yake. Nikabofya kitufe cha kupiga na simu ikaanza kuita. Allen akapokea na nikampa maelekezo machache kisha nikamwambia, “...basi fanya hivyo bro, nakutumia namba kwa sms muda si mrefu nikimaliza kuongea na wewe...” Nikakata simu halafu pale pale nikatuma sms kwa Allen. Kijana huyu ni mtundu sana na fundi wa maswala ya Teknolojia, anajua vitu vingi vya kielektroniki, ana kipaji cha kipekee sana. Kwa sasa anafanya kazi kwenye kampuni ya simu.


Nikarudi chumbani nikalala. Kwa mara ya kwanza leo Rose amelala kwangu mpaka asubuhi. Hata sijui kwao ameagaje mpaka wakamuelewa kwa kuwa alinambia hajawahi kulala nje ya nyumbani kabisa. Nadhani kwa sababu ya wasiwasi wa kutopatikana kwangu kwenye simu kuna namna ametumia kupata ruhusa ya kulala nje ya kwao. Hawa wanawake wana mbinu nyingi sana pale wanapoamua lao, watafanya chochote likamilike tu.


Nikamuamsha Rose mapema sana ili awahi nyumbani akabadili nguo lakini kwa mshangao akaniambia nguo za kubadili anazo kwenye mkoba wake kwa hiyo ataondokea hapa moja kwa moja kwenda kazini kwake. Akaamka na kuanza usafi wa ndani kisha akaenda jikoni kuandaa kifungua kinywa. Kalunga alipoamka akamkuta Rose anajishughulisha jikoni akanifuata na kuninong’oneza, “Bro naona ushaoa kabisa aisee...” akinipiga piga mgongoni. Nikatabasamu na kuelekea nje.


Baada ya kupata staftahi tukaelekea kazini na Rose nikianza kwanza kumpoitisha ofisini kwake halafu nikaelekea kazini kwangu. Sikuwa poa sana na ule uchangamfu umepungua. Kiroho kilikuwa kinanidunda kama nimepatwa na jambo lenye kuogofya hivi. Nikapita kwenye ofisi za kina Nino bila kuwasalimia kitu ambacho si kawaida yangu na kwa hakika hata sikujua kama nimepita pale nikajikuta niko kwenye meza yangu tu. Nikawasha kompyuta yangu na kuyapotezea mawazo yoyote ili kujikita kwenye kazi zangu.


Yaani kwa kifupi nilishapata tahadhari na mara nyingi naiamini sana akili yangu na hisia zangu. Mbele ya meza yangu akasimama mtu na wala sikumuona nikiwa bize na kazi zangu, sikuinua kichwa kujishughulisha kumuangalia nikisubiri kama ana shida anisemeshe. Nikasikia sauti ikiniuliza, “Kimo uko poa lakini?” alikuwa ni Nino. Nikaacha kazi niliyokuwa naifanya nikamtazama na kumjibu, “Niko poa Nino, vipi kwani?” Akaniambia, “Nakuona kama haupo sawa vile...Leo umetupita bila kutusalimia na siyo kawaida yako” Nikakumbuka ni kweli. “Nisamehe tu bure, unajua siku hazifanani Nino. Leo nina mambo mengi kichwani na vitu vingi vya kufikiria nadhani ndo maana..” nikamjibu. Akanitazama na kutabasamu na kuniambia “Huo ndo uanaume, basi nikajua una jambo linakusibu, pole... haya tutaonana baadae” akaniaga na kuondoka.


Muda wa mchana nikampitia Nino na kuelekea kwenye chakula kisha tukarudi kazini. Kiasi fulani story za Nino zikanirudisha kwenye mood yangu na mambo yakaenda vizuri. Nino alinipa vijihadithi kadhaa wa kadhaa na mambo mengi kana kwamba mimi ni shoga yake. Najua wanawake wanapenda kuongea mambo mengi kwa wapenzi wao na leo nililiona hilo kwa Nino. Alikuwa na raha sana muda wote. Nami nikamsapoti katika yale yanayopasa kusapotiwa.


Baada ya kazi nikalifuata gari langu parking ili kurudi home maana leo sikuwa na ratiba zozote zile. Nikaingia ndani ya gari na kukilaza kiti kidogo, nikapumua na kuichukua simu yangu. Nikashusha kioo cha gari kidogo baada ya kuichomeka funguo kwenye switch ya gari na kuzungusha nusu kiasi cha kuwezesha kuwa kwenye standby mode. Nikashusha vioo kidogo ili hewa iingie. Nikafungua simu yangu na moja kwa moja nikaenda kufungua application nilizozifanyia utundu asubuhi.


Nikakutana na lundo la notifications na nikaanza kupitia chat za Rose za whatsapp, facebook messenger na message za kawaida. Nyingi ni msg za kawaida za mashoga na marafiki lakini kuna namba mbili zikafanya ni concentrate nazo. Upande wa whatsapp zilikuwa na jumbe tata na alama za vikopa kopa na mahaba zikimtakia asubuhi njema. Nikazitazama kwenye mitandao kwa njia kama natuma pesa moja ikiwa na jina la Dastan Charles Kimbo na nyingine ni James John Shemiti.


Huyu James ndo alikuwa na chat nyingi zaidi kuanzia asubuhi ya leo na Rose inaonekana anamuita kwa kumfupisha jina la JJ au Jay. Kiroho kikawa kinanidunda kila nikiendelea kusoma hizi chat zao. Nikacheki email yangu na kukuta Allen amenitumia file ya Excel ikiwa na msg za nyuma zote za Rose kama miezi minne iliyopita. Nikasema hizi msg nitazisoma nikifika home. Nikafungua application nyingine na kukuta ujumbe wa sauti zikiwa nane kwa asubuhi hii. Sauti moja ni mama yake akimsalimia na kumuuliza ameamkaje na kama kafika kazini, nyingine ya shoga yake na zilizobaki za Dastan na James. Dastan kapiga mara mbili na wakaongea kwa dakika 2 na nyingine dakika 1:23 lakini James ndo wameongea zaidi. Nikasikiliza maongezi ya Dastan akimjulia hali na maneno kadhaa ya mahaba halafu nikamsikiliza Jame akitiririka.


James ndo inaonekana wamekolezana sana na Rose. Maana wanaongea kwa kirefu na kuchombezana chombezana sana. Nikashusha pumzi nzito na kukilaza kiti cha gari zaidi ili kushusha presha na kuifana akili na nafsi yangu i relax. Nikawa navuta hewa nyingi ndani na kuitoa taratibu ikiwa ni moja ya tiba ya kushusha presha pale ambapo una msongo wa mawazo.


Baada ya kama dakika 45 nikiwa bado kwenye gari nimelaza kiti kushusha presha nikajihisi niko poa kwa safari. Nikawasha gari na kuiondoa kuelekea home. Nikiwa njiani Rose akanipigia kujua kama nimetoka nikamwambia niko njiani naelekea home. “imekuwaje leo umetoka bila kuniambia jamani? Yaani mpaka uko njiani nakupigia mimi ndo unaniambia unarudi kweli mpenzi wangu?” Nikamuomba samahani kwamba nimeghafilika tu na mambo mengi na anisamehe bure. Akaridhika na kupiga story mbili tatu nikamuaga kwa kumwambia niko naendesha hivyo tutaongea baadae. Nikachoma mwendo kupitia barabara ya Daraja la Nyerere kwenda home, leo sikutaka kupitia ya Kivukoni.


Nikafika home nikamcheki Paula na kuongea naye mawili matatu akiniambia siku tatu zijazo anataka kwenda Tanga kuna research wanafanya ya mambo ya familia maskini kwa hiyo atakuwa huko. Nikamwambia ni vyema maana huko kuna ndugu zangu pia. Akanitajia vijiji kadhaa ambavyo watafanya reaserch yao na viwili kati ya hivyo ni maeneo ya ndugu kabisa. Baada ya kumwambia kuwa huko nina ndugu akatamani tungekuwa wote angalau kwa siku mbili tatu hivi. Nikamwambia tutaamgalia itakavyokuwa wala asijali kisha tukaagana na Paula.


Nikajibwaga sebuleni kwenye sofa, nikaivuta laptop yangu na kuanza kupitia file ya Excel aliyonitumia Allen yenye message nyingi sana za Rose. Wapo waliokuwa wanamtongoza sana na wengine akiwa entertain na hiyo haikunipa shida lakini nilijikita zaidi kwenye jumbe za Dastan na James. Kuna ex wake wawili pia walikuwa wakimchombeza lakini hakuwa anarespond kiviiile. James na Dastan ndo walikuwa na msg nyingi mno.


Nikawa makini kusoma msg moja iliyoanzia na mambo ya kupanjuana ikitiririka kama uzi (thread) kwa michombezo ya kitandani na maraha. Mbele ikawa na kutamanishana nakuelezeana jinsi ilivyo tamu kwenda Kwampalange. Wakaahidiana kujaribu Kwampalange thread hii ikiwa ya kama miezi mitatu nyuma. Alikuwa ni Dastan waliyekuwa wakichombezana kwa mahaba mazito na nikitazama muda ilikuwa ni usiku wa saa sita kwenda mpaka saa saba na ushee. Nikashuka chini na kukutana na uzi mwingine wa Dastan akimpa pole kwa maumivu aliyoyapata siku ya kwanza kwenda Kwampalange na akamwambia atazoea tu wakirudia maana atamuingiza polepole zaidi na atanunua KY Gelly siyo kutumia mafuta ya mgando kama siku ile. Rose akadeka deka akisema alisikia kama wembe unachana mkundu wake.


Akamwambia, “wewe unajua mkubwa sana, nanii yako kubwa bhana, umeniingiza kwa nguvu hata huna huruma halafu nakwambia naumia we unaendelea tuu...” Wakajadiliana kisha wakaagana kulala. Msg nyingine wakapanga kwenda kukutana na kubanjuana tena na safari hii Rose akasema hakuumia kama mwanzo na alisikia utamu vizuri tu na kumfanya akojoe mara kadhaa. Nyingine ya mbele yake ikaonesha namna Rose akimwambia jinsi alivyoenjoy Kwampalange na kukojoa mfululizo kila akipewa mikito. Akamwambia kumbe KY ndo nzuri kwa kwenda Kwampalange kuliko mafuta mgando maana inakuwa lainishi mpaka raha.


Nikazipitia pia msg za James naye mara kadhaa amempanjua Rose na akilalamika namna Rose anavyomuonea kitandani. Inaonekana James hajawahi kwenda Kwampalange na Rose lakini kuna kila dalili naye ya kupewa Kwampalange maana kuna msg moja Rose anamwambia JJ kuwa, “...nataka nikupe kitu mnato, kitu cha motoooo mpaka uchanganyikiwe... hapa ndo umefika mpenzi hubanduki...”


Nikarudi kwenye voice calls na kuzikiliza maongezi ya Rose na Dastan kisha James hayo mengine sikuwa interested nayo sana nayasikiliza kidogo nikiona hayana maana nakatisha. Dastan hawana mazoea ya kuongea mara kwa mara maana inaonesha alishamwambia kama yaya Rose ana mtu wake hivyo Dastan alijua kuwa anabanjua demu wa mtu lakini James inaonesha alijua yuko peke yake hivyo anajibebisha kinyama. Nikafuatilia msg sehemu mbalimbali kuanzia whatsapp, messenger na calls na kujiridhisha kabisa. Nikafunga Laptop na kwenda kulala. Rose akanipigia nikiwa kitandani tukaongea kawaida tu kama vile sijui chochote. Nikamwambia maneno mazuri ya mahaba na namna alivyonishughulikia usiku akachekaaaa na kunipa makiss kama yote akisema ananipenda sana.


Asubuhi nikawahi kazini na kujaza likizo ya dharula siku tatu ili nipumzishe akili kwanza. Nilihitaji kupumzika kidogo siyo kwa mchafuko wa Rose alionipa ingawa sikumuonesha chochote na story napiga naye kama kawa. Nino pekee ndiye aliyegundua badiliko kidogo kwangu. Nilihitaji kupumzika kwa siku tatu angalau akili i relax na kuamua lililo jema. Rose nilishamuweka kwenye kumpandisha daraja kutoka girlfriend kuwa mke sasa kwa hizi mambo kashanivuruga kabisa. Kalunga pia alishajiweka hivyo kwamba huyu Rose anafaa kuwa mke kwa maana anajitambua sana. Ki ukweli Rose amekidhi vigezo vyote vya kuwa mke, ni mpole, mkarimu, anajua majukumu kama mama kwa mume, kupenda ndugu nk. Kalunga aliziona traits hizo kwa Rose pia na kunishauri nimpandishe daraja.


Usiku nilipokea simu ya Nino akinijulia hali na kama niko sawa nikamtuliza kuwa niko sawa tu. Nikaongea pia na Rose kwa kirefu sana akinipa maneno ya mahaba nami nikimchombeza kama hakuna kitu chochote wakati kila anachoongea kwa kupiga ama kupigiwa napata, message zake zote nasoma na whatsapp na messenger zote zipo kiganjani kwangu. Hakuna kitu kigumu kama kuona kila kitu kibaya unachotendewa halafu upo cool kama hakuna kitu yaani.


Asubuhi naamka Paula ananipigia kuwa anaenda safari ya Tanga kama alivyonieleza. Nikamwambia aende nami nitakuja mchana kwa basi. Hakuamini kabisa nilichomwambia kama nitamfuata Tanga anapoenda yeye. Nikamwambia nimechukua likizo ya dharula ya siku tatu hivyo tutakuwa wote kwa siku tatu kwenye hizo wilaya za Tanga. Akafurahi sana na nahisi huko aliko anarukaruka kama katoto kwenye mchanga wa ufukweni.


Kusema kweli nilihitaji kupumzika kutokana na mvurugo wa akili uliosababishwa na Rose. Nina uvumilivu sana kwenye kuamua jambo na hiki ni kitu ambacho wengine hawawezi. Sikurupuki kwenye maamuzi, nayafanya nikiwa nimeshapiga hesabu nzuri zaidi njia na wakati ulio sahihi kufanya kitu fulani.




Nikaamka na kupanga nguo zangu chache za siku tatu kwenye begi. Nikatoka sebuleni na kuangalia TV kidogo kwa vipindi vya asubuhi kupata mawili matatu na kuiweka akili sawa. Asikwambie mtu bhana yaani ukivurugwa na mwanamke hata kama uko mgumu namna gani lazima kiasi fulani utetereke tu hasa kama mwanamke huyo umemuwekea malengo ya kumpandisha daraja kuwa mke.


Kalunga akaja na nikamwambia mchana nitasafiri kwenda Tanga kwa mabasi ya saa nane na nimechukua likizo ya dharula ya siku tatu. Akaniuliza kama kuna dharula yoyote nikamwambia ni mapumziko mafupi tu kuweka akili sawa kila siku kazi tu inachosha. Akanitakia safari njema asubuhi hii na tukajumuika kwa staftahi. Kwenye saa sita nikaondoka nyumbani na kupanda bajaj hadi Kigamboni Ferry nikavuka na Pantoni na kuchukua Mwendokasi mpaka Ubungo stendi Kuu ya Mabasi. Wakati naingia wapiga debe wakawa kero kwangu kila mmoja akiniuliza niendako na kunitajia mabasi mbali mbali na bei zake.


Nikatoa simu na kumpigia Paula aniambie yupo Tanga sehemu gani, akani hold kwenye simu ili awe na uhakika wapo sehemu gani kisha akarudi kwangu na kuniuliza, “Kimox. Are you there? This village is called ‘Kamsala’, Handeni... you have to take a mini bus from Handeni Town to Korogwe when you reach Handeni Town...it cost almost 2,000 i think... you know the place?” Paula akanipa maelekezo. Nikamwambia napafahamu maeneo hayo na kunaitwa Komsala. Ananitajia sehemu ambazo kuna washkaji kibao ni kwao kama Kambi Mbwana, Lugendo, Semkiwa nk yaani ni home vile vile.


Nikaona hapa bus zuri ni KSK tu linalopita Bagamoyo kuliko gari za Chalinze maana nitakata kama lisaa limoja na nusu kutokea Msata kama nitapita njia ya Bagamoyo hivyo kupunguza mzunguuko. Nikaelekea mpaka katikati ya stendi na kukuta KSK ya saa nane mchana nikakata tiketi na kukaa pembeni kusubiri watu wamalizie kukata tiketi. Nikakutana na Haji Mwikalo mshkaji wangu mwenyeji wa huko Handeni niendako akiwa mmoja wa makonda wa bus za huko. Tukapiga story mbili tatu na KSK ikapuliza honi kuashiria safari kuanza. Nikachoma ndani kuitafuta siti yangu na safari ikasonga.


Saa 12 jioni nikatinga Stendi Kuu ya mabasi hapa Handeni inaitwa Chogo. Nikashuka na kuchukua bodaboda mpaka maeneo ya Zizini kwa mshkaji wangu Samwesongo. Yeye ana nyumba kubwa na nilishamtaarifu ujio wangu. Sikupenda kufikia kwa ndugu kwa sababu ya mishe zilizonileta huku zingeninyima uhuru na utulivu wa nafsi. Nikamkuta ananisubiri, story mbili tatu kisha nikaacha begi chumbani na kutoka ili kuendelea na ratiba nyingine. Hapa ni kama home kabisa, tuko poa sana na Samwesongo utadhani tumezaliwa tumbo moja. Nikamtonya kibingwa kwamba nimekuja kurefresh akili kwa siku tatu hizi ikianzia leo kisha nitaondoka siku ya tatu jioni kurudi Dar.


Tukatoka mdogomdogo mpaka stendi ya Noah na nikamwambia naelekea Komsala kuna mtu naenda kumuona, sio mbali kutoka hapa maeneo ya Zizini mpaka Komsala, ni mwendo kama wa dk 15 ama 20 hv kwa mwendo mzuri wa gari. Nikapanda kiNoah mpaka Komsala nikampigia Paula akanielekeza mahali alipo. Mdogo mdogo nikawa naelekea na njia nyembamba kiasi yenye vumbi jekundu na nyumba ngogo ndogo pembeni kukiwa na mashamba ya mahindi, mihogo na migomba michache ya hapa na pale. Kwa mbali nikamuona Paula akija mbio uelekeo wangu na aliponifikia akanirukia kama mwanamieleka nikamdaka juu kwa juu na kumkumbatia. Akaning’ang’ania kwa muda kisha nikamshusha taratibu midomo yetu ikiwa imekamatana kwa mabusu.


Akanishika mkono kuniongoza mahali walipofikia kwa mwenyeji wao. Nikawakuta na wazungu wenzake kadhaa wa kike na kiume wakiwa nje wanapiga story na wenyeji pamoja na mkalimani wao mzungu anayejua kiswahili vizuri. Paula alishaanza kuyashika maneno kadhaa ya Kiswahili na akawa anachombeza Kiswahili kidogo tunacheeeeka. Kulikuwa na kikundi cha ngoma cha Kizigua kikitumbuiza nadhani ni kikundi cha Kijiji cha Komsala kilichokuja kwa ajili ya kuwachangamsha hawa wageni. Nikakaa pembeni kuwatazama Wazungu hawa wakijumuika na Wazigua kucheza ngoma za kiasili wakiwa wamejifunga vibwebwe. Muda wote natabasamu tu jinsi wanavyocheza nje ya beat. Yaani wazungu wengi hawajui steps kabisa, ngoma inapiga vingine wao wanadundadunda tu kama vitenesi ahahahaaaaa.


Pembeni kulikuwa na uokaji wa mbuzi na tukapiga nyama mpaka tukatosheka na muda wa kupumzika ukawadia. Nikamcheki mshkaji wangu mmoja anaitwa Mndolwa yuko hapa Komsala anipe direction maana nilishamwambia nitakuwa kwenye mji wao na shemeji yake hivyo aandae maeneo ya kulala. Akanipa mwelekeo nikamchukua Paula na kumwambia tukalale sehemu nyingine. Kwa kuwa alishanitambulisha na wote wakajua mimi na Paula ni nani haikuwa shida. Mahaba yaliyoanza tangu nimefika kutoka kwa Paula na wakati wa ngoma akiwa amenilalia pegani huku amekumbatia mkono wangu kana kwamba nitamkimbia vilithibitisha bila shaka tuko mapenzini sana.


Tukaaga na kuelekea kupumzika tukiahidi kuwahi mapema kwa kazi zao. Nikafika home kwa Mndolwa akatukaribisha na kutuonesha chumba chetu. Kiasi alishangaa kumbe kati ya wale Wazungu waliokuja Kijijini kwao mmoja ni shemeji yake. Nililiona kabisa jicho la kidadisi kutoka kwake. Sikujali nikachoma chumbani na Paula wangu. Kijibaridi cha huku kilishawishi sana kupata kumbatio la Paula naye kama alijua dhamira yangu, nilipourudisha mlango tu akanivamia na mabusu kama yote. Tukawa tunadendeka huku tumesimama wima mikono ikitalii miilini mwetu.


Nikapeleka mikono yangu yote miwili matakoni mwake na kuyabinya kwa nguvu mpaka akajikandamiza kwangu na kukutana na tango langu lililofura likisukuma tumbo lake laini eneo la kitovu. Nikamfungua vishikizo vya blauzi na kuirushia kwenye kiti cha mbao chumbani humo. Nikamfungua na kifungo cha suruali ya jeans nyepesi aliyovaa na kuishusha akabaki na chupi tu. Wakati huo Paula akihangaika kunichojoa na mimi kama ninavyofanya kwake.


Bado tukiwa wima, nikapitisha mkono wangu ndani ya chupi yake kwa mbele na kukifikia kisimi chake na kwa dole langu la kati nikawa nakipangusa kutoka mlango wa uke kuja juu taratibu kama nasugua zeze ama napiga marimba. Mkono mmoja kwenye kifua chake nikipapasa ziwa na kuzitekenya chuchu zake. Pumzi za Paula zikawa zinampaa kadri muda unavyokwenda, akapiga magoti mbele yangu na kuikamata koni yangu akaizamisha kinywani mwake taratibu kwa kuibana vizuri na mdomo. Joto la mdomo wake likafanya uume uchachamae zaidi ukichanganya na kijibaridi hiki daaaah!!! Nikakishika kichwa chake na kumsaidia kupiga nje ndani nikigugumia kwa raha za mnyonyo wa Paula. Mikono yake aliishika kiunoni kwangu akinipigisha nje ndani na wakati mwingine akiyakamata matako yangu na kuyabinya halafu ananikandamizia kwake kana kwamba anataka jogoo wangu azame wote kinywani mwake.


Alipoona misuli ya tango imechachamaa akajiinua na kunikumbatia kwa nguvu nikajua tayari anataka dudu huyu. Nikamshikisha kitanda halafu nikaishusha chupi yake mpaka kwenye mapaja. Wakati naishusha chupi nikaona ute ute wa utamu mwingi ukivutika kutoka kwenye mbunye ya Paula na chupi yake, nikajua mambo yake yashaharibika huyu na hapa anataka dozi tu. Nikamkamata Kimox na kumpeleka kwenye mbunye na kuiparaza kama nafagia kutoka chini kwenda juu bila kuingiza, nilitaka kuupata kwanza ule ute ute ukienee kichwa cha nyoka wangu.


Nikakibonyeza kidogo kiuno cha Paula kwa kuweka mkono wangu kati ya mgongo wake na matako ili akipindishe naye kama alinielewa akakibonyeza kiuno chini na kuifanya mbunye ije nyuma vizuri. Nikaendelea kufagia kwenye mbunye yake kama napiga katarero (wale wa Bukoba wanaijua hii). Paula akageuka kunitazama namna ninavyomchokoa huku ameng’ata meno na jicho limelegea akiiomba huruma yangu. Nikaanza kumzamisha nyoka nikiwa nimemkamatia kiuno kwa mikono yangu yote miwili nikimleta kwangu taratibu sana na nyoka akizama. Alipiga ukelele wa utamu mpaka nywele zikanisisimka.


Nikachochea moto kwa kupiga mikito ya Kimang’ati nikipiga kulia na kushoto, yaani nasugua kuliaaa kisha nahamia kushoto nako nasuguaa full utelezi. Style hii ndugu yangu Michael Laizer alinambia inaitwa Sekeseke yaanu unapiga kende huku matiti yakijipiga piga mbele na nyuma kama yanacheza Kwasakwasa. Nikamuona Paula anajibinua kama anataka kusimama nikajua anataka niisugue vizuri G-Spot yake ili afike kwa maana miguu yake ilishapoteza uwezo wa kusimama vyema akawa kama nusu anainama kukunja magoti nusu anasimama.


Nikainama kidogo ili nyoka aingie vizuri na wakati mwingine nikiinuka juu ili nyoka apige kwa chini hivi. Paula akajipinda kunifuata akiinua mgongo nami nikamkamata shingo kama nimempiga kabali ile ya kijambazi jambazi. Akapiga yowe la utamu wakati anafika kileleni nami nawamwaga Wazaramo wote ndani ya Papuchi yake. Miguu ikamlegea na kupiga magoti nami sikumuacha tukapiga magoti wote nia ikiwa nimalizie kale kautamu wakati bao likimalizikia kumiminika ndani yake na nyoka asichomoke. Nikajikuta namfuata chini nikiwa nimemkamata kiuno kwa nguvu kuhakikisha mashine haichomoki.


Akalaza kifua kwenye kitanda miguu ikiwa chini amepiga magoti nami nikiwa bado ndani yake nikamlalia mgongoni. Ukitutazama kwa haraka unaweza kudhani ni mbwa wameng’ang’aniana vile jinsi tunavyotweta kwa safari ya kushuka Kitonga


Baada ya kama dakika 10 hivi nikampandisha kitandani na kumlaza chali mnaita Kifo cha mende, nikamzamisha tena dyudyu na kulitafuta bao la pili. Kijibaridi cha Komsala kilihamasisha mtanange unoge kwa kweli, yaani ni bandika bandua tu mtoto akilalamika kwa utamu na kuwa kama anapandwa degedege sometimes. Alipiga kelele za maraha yaani mpaka nikawaza ingawa nyumba ziko mbalimbali kidogo huenda tunasikika na fujo zetu hizi za usiku. Bao la pili na la tatu niliunga mumo kwa mumo halafu tukalala kama tumekufa. Alfajiri kwenye adhana hivi kwa mkumbatio wa Paula nikajikuta tayari niko ndani yake nikilifakamia tunda yeye akiwa juu ananipa dozi.


Bao hili la alfajiri lilichukua muda mrefu sana tukibiringishana juu na chini kama wehu ama watu tulio kwenye mashindano ya mieleka. Paula aligeuka na kunipa mgongo mimi nikiwa chali akanishika mapaja na kujipimia mwenyewe. Mimi nilikuwa nayafaidi matako yake kichwa nikiwa nimekiweka kwenye mto nikiitazama nyoka yangu inavyoivurumisha Papuchi ya Paula nje ndani wakati akijipimia mizani kiuno amekipinda nywele zikimwagika mgongoni mwake. Nikamkamata kiuno tena na kuanza kumshindilia kwa nguvu mpaka shinani kabisa maana Wazaramo walishaanza kupiga hodi. Nikawa napata kijimaumivu na raha kwa pamoja kwa kuwa style hii nyoka alizama wote na nikawa nagusa kama vigololi kwa ndani. Wazaramo wakaja kwa speed sana na nikawaacha wailainishe mbunye ya Paula vizuri tu kwa mara nyingine tena.


Akanigeukia na kunipa mabusu kisha akalala pembeni yangu. Kulipokucha tukaingia choonikwenye choo cha nje kujishwafi na uzuri tukakuta maji ya uvuguvugu yaliyoandaliwa na mke wa Mndolwa. Tukaoga pamoja na kurudi ndani kujiandaa ili Paula akakutane na wenzake nami nishike hamsini zangu mpaka baadae tena atakaponiambia kamaliza mizunguuko yake.

ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog