Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

NIPE BHANA - 1

  

IMEANDIKWA NA: LAURENT E

*****************************************

Chombezo : Nipe Bhana 

Sehemu Ya: Kwanza (1)


Nikiwa nimejipumzisha katika kitanda changu ndani ya chumba changu cha kupanga kama wengi wa vijana wa siku hizi wanavyoita geto baada ya pilikapilika za siku nzima ikiwa ni baada ya kutoka katika kibarua changu nilicho jiajiri mwenyewe cha kuuza vinyago

Kausingiza kananipitia kidogo lakini ghafla nastushwa na mlio wa aimu yangu unaomeza usingizi wote niliokuwa nao na pokea simu ambapo sauti laini ya mrembo inasikika upande wa pili ikinipa salamu "Sam mambo" na mimi bila hiyana inanibidi kujibu salamu ile

"Powa "nani mwenzangu nauliza upande wa pili

"Mi Jane" inajibu sauti ile iliyoonekana mmiliki alikuwa mrembo sana

"Jane wa wapi tena " namuuliza

"Yani inamaana Sam unijui na kukaa kote mjini "ananijibu mwanamke yule jibu ambalo linaniacha njia panda

"Hebu nielezee vizuri labda ntakujua"namjibu

"Mimi si yule mdada ninaye uza kwenye lile duka la vipodozi karibu na kibanda unachouzia vinyago"

Ahaa !! yule dada mweupe mrefu kidogo mzuri mzuri"najikuta na muuliza huku nikitia utani kidogo

dada yule anacheka na kuniambia "ndiyo

"Sasa namba yangu nani kakupa" namuuuliza dada yule ambaye ananiambia niache maswali mengi nitafute usafiri ni tamkuta Zebra hotel

Kwa kweli mrembo yule nilizoeaga kumuona tu akiuza kwenye duka la vipodozi lililo jirani na kibanda changu cha kuuzia vinyago na hatukuwahi kuzungumza chochote zaidi ya kusalimiana na kuna wakati nilizoea kuomba chenchi katika duka lile

Haraka haraka nafanya kama nilivyoagizwa na toka nje na mkuta mama mwenye nyumba kakaa barazani na muaga natoka kidogo nachukua bodaboda inayo nipeleka mpka Zebra hoteli

Ambapo baada ya kufika naingia ndani ya geti natazama huku na kule kwa mbali namuona Jane kama alivyojitambulisha amekaa mezani kukiwa na vinywaji laini

Jane baada ya kuniona ananiita kwa mkono huku akitabasamu nafika kwa mrembo yule aliye kuwa kavalia kasketi kafupi kaliyo yaacha mapaja yake laini nje

Ambapo ananipokea kwa kumbatio matata linalo nisisimua kwa mbali jogoo wangu alianza kuinuka ananiachia tunakaa ananiambia agiza chochote ambapo naagiza maji na letewa maji yale

Jane anaamua kuvunja ukimya

Najua utashangaa mimi kukuita hapa kwani nimekustukiza sana na hatukuwahi kuzoeana lakini

Kwa muda mrefu tangu nikuone pale kwenye kibanda chako nimekuwa na hisia kali sana na wewe yani nimetokea kukupenda lakini nilijaribu kuficha hisia zangu kwa muda mrefu lakini nimeona kama najiumiza moyo wangu leo nimeona niwemuwazi kwako Sam believe me amini nakupenda najua utashangaa na kuona kama mimi ni malaya kwa sababu nakutongoza lakini ni hisia juu yako ndiyo zinazonisukuma"

Alimaliza kufunguka mrembo yule aliyeumbika vilivyo na mimi nikaona hiyo ni dodo chini ya muanzi bila ajizi nikamuambia nashukuru kuwa muwazi juu ya hisia zako kwangu nipo tayari kuwa na wewe na kamwe hutojutia kunipa moyo wako

Nampa majibu mrembo yule anaingiwa na furaha ananyanyuka alipo kaa na kunivamia mdomoni akianza kujipimia denda mpaka waliokuwa karibu wanaanza kunongona kuona vile namtoa na kumuambia achukue chumba tukazungumzie huko

Tuna toka tumeshikana kama wapenzi wa muda mrefu tunafika kaunta analipia chumba tena VIP tunakabidhiwa funguo na kuelekea vyumba wanavyotumiaga watu wenye pesa ndefu

Tunaingia chumbani Jane anatupa pochi yake kitandani na kunivamia mdomoni tunaanza kunyonyana ndimi nami natumia ufundi wangu kufanya zoezi lile ambapo Jane anapagawa na kuanza kuushika mtarimbo wangu uliokuwa umesimama kwa hasira ndani ya suruali yangu lakini namzuia na kuanza kumchojoa nguo zake mpaka inabaki chupi

Hapo naanza kumnyonya shingo yake kiufundi narudi mdomoni piga mate mtoto anatoa miguno ya kimahaba opppplssssss!!!!!ahhhhhhhhhh ambapo ndo ananizidishia mizuka na amia kwenye papai zake zilizo simama vizuri mtoto anazidisha kelele ambapo ingekuwa ni vigeto vyetu vya mtaani basi walionje wangejua kinachofanyika ndani

Oppppppppppppssaaass!!!!!!!!tamuuuu!!!!!lamba hapa nimaneno yanayomtoka Jeni baada ya kuingiza ulimi kwenye kitiovu chake huku nikiingiza mkono ndani ya chupi yake na kuanza kusugua kisimi chake kwa ncha ya kidole changu

Namvua chupi ile na kukivamia kitumbua chake kilicho kuwa tayari kimelowa nazama chumvi na kuanza kukilamba kisimi pamoja na mashavu yake kwa ufundi huku kidole changu kikitalii ndani ya ikulu yake iliyokuwa na joto kali

Opppppssssssssss!!!!!!!tamuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!ohhhbbbhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!! Sam mpenzi utaniuwa jamaaan "Nipe bhana" ni maneno anayotamka mrembo yule mwenye figa matata huku akiushika muogo wangu uliokuwa umesimama dede nakukasirika ukiwa umetunisha mishipa na kuutumbukkza katika kitumbua chake kilicholowa vyakutosha naanza kuuingiza muogo wangu lakini Jane ana nizuia akidai unamuumiza na kweli kitumbua chake kilikuwa kimebana sana hivyo mtarimbo wangu wa inchi saba

Uliokuwa na unene wakutosha ulipata tabu kuingia lakini nikamtuliza na kuanza kuusukuma taratibu mtoto akaanza kululamika utamu nikaanza kumpampu mpaka ukaingia wote mtoto akaanza kukata mauno hatari huku vikisikika vilio vya utamu chumba kizima nami sikuwa mpole nikaongeza spidi huku nikikata mauno kama feni mtoto akanikumbatia kwangu mpka nikahisi kukosa pumzi akavunja dafu huku akitukana matusi na kutamka maneno yasiyo eleweka

Fu***ohhhhhhhhmy !!!!!!!!!ashanteeeeeeeeeee!!!!!menzi iiii!!!!!!

Anamwaga mtoto na mimi naendeleza mashambulizi mpaka na mwaga ambapo Jeni alikuwa hoi wakati mi ndo nimepiga tu cha kwanza asante mpenzi anatamka maneno hayo huku akibusu lipsi zangu nambinua ili tuendelee anakataa akidai tukiendelaea ntamua

Tangu niyajue mapenzi sijawahi kufika kileni kweli wewe kidume niahidi hutokuja kunisaliti Sam maana kwa raha hizi nimekufa nimeoza

Anatamka mchumba yule ambaye nakubali ahadi yake lakini kakataa kunipa niendelee ambapo ndo kama alinipandisha stimu ila yeye kimlja tu alikuwa hoi tunavaa nguo ananikabdhi kitita cha pesa kinachoniahangaza kwani ni pesa nyingi kama laki tano na ananamia kabla ya kulala nimpigie hawezi kulala bila kuisikia sauti yangu

Tunatoka na kuagana kisha mimi nachukua bodaboda kurudi geto kwangu nikiwa na hamu kubwa ya kufanya mapenzi ...


Ukimaliza kusoma hadithi hii usiache kulike na kucomment..

Je nini kitaendelea usikose kufuatilia sehemu ya pili ya simulizi hii ambayo baada ya kuiandika nita ipost katika page yangu

Ya Hadithi za kusisimua za mzee baba


.......ilipoishia............. Nampa Jane penzi zito ambaye ananimwagia misifa japo nlimpiga kimoja tu ila mtoto alikuwa kachoka chapachapa Namuomba japo cha pili ananikatalia tuna vaa nakuondoka huku akini kabithi kitita takribani laki tano japo inanishangaza ila naona kani saidia mengi hasa kuongeza mtaji wangu wa kuuza vinyago namuaga na kuondoka nikiwa na mihamu kibao... ..................endelea................. Natoka hotelini pale nachukua bodaboda inanifikisha mpaka geto nafika geto nakuta mlango umefungwa na kumbuka funguo nilimuachia funguo mama mwenye nyumba naenda mpaka ulipo mlango wake na kugonga "hodi mama mwenye nyumba "karibu nakuja" anatoka mama yule ambaye kiumri alikuwa na umri kama miaka 32 sema kutokana na kumiliki nyumba ile tuliyo panga tuli mzeesha na kumuita mama mwenye nyumba Anatoka mama au tumite dada yule akiwa amejifunga taulo likiwa limeishia juu kidogo ya magoti ikimaanisha alikuwa bafuni kugonga kwangu mlango ndo kulimfanya asitishe zoezi lile la kujisafisha "karibu ndani Sam " "asante lakini leo sikai nimekuja kuchukua zile funguo samahani pia kama nimekusumbua dada" namjibu "Jamani njoo ukae kidogo funguo nimeziacha chumbani alafu hapa umenitoa bafuni kaa usubiri nikamalizie kisha nikuletee" ananijibu dada mwenye nyumba akitangulia kuingia mi namfuata nyuma ambapo napata wasaa mzuri wa kuyashuhudia maujazo yake yana vyojichezesha kila apigapo hatua dada yule mwenye ngozi ya rangi ya choclate hakika alikuwa na umbo la kuvutia Tunafika sebleni ana niletea juisi na kuwasha tv kisha anaondoka na kuniaga akiniambia anarudi mda si mrefu Naendelea kunywa taratibu juisi ile ya matunda huku nikiburudishwa na tamthilia iliyokuwa ikionyeshwa kwenye televisheni ya mdada yule Baada ya kitambo kifupi anarejea akiwa kavalia kigauni kifupi cha pinki kinacho yaacha mapaja yake wazi anafika mezani na kukaa kwenye kochi linalo angaliana na nililo kalia huku akiziweka funguo mezani na kuchukua remote lakini kitendo cha kuchukua remote ana ipanua miguu yake kwa kweli sijui alifanya makusudi au ilikuwa bahati mbaya na kubadilisha chaneli ambapo anaweka chanel ya miziki ya MTV ambapo tunaona miziki za hiphop marekani huku wadada au wanenguaji wakivaa vichupi na kukata miuno kwa staili mbalimbali lakini mimi wakati huo nimesha changanyikiwa kuona chupi baada ya dada yule kuzidi kuipanua miguu yake kwa kweli siwezi kujua alikuwa anamaanisha nini kwani yeye alikuwa yupo bize kubadili chanell wakati uwo mimi napambana kuuzuia mhogo wangu uliosimama kwa hasira Baada ya kubadili kwa muda anageuka kuniangalia mimi ambapo nazuga kama na kunywa juisi ile Anavunja ukimya ananiambia mbona umeingia kwangu ukawa mkimya hivyo wakati huko nje unajidai unayajua sana maneno au unaniogopa" " Amna bhana si unaona naifaidi juisi yako tamu sana sijui umetia nini huku yani kila nikimeza utamu unazidi" namjibu nikitia viji neno vya utani " "mbona ipo kawaida naona umenogewa ngoja nikuletee jagi kabisa " Anaondoka na kurudi na jagi duh kweli alinishangaza sana "Kwa hiyo ndo umeniletea lote nikimaliza shemeji atakunywa nini" namjibu "Shemeji leo haji anadharula hiyo hapo kazi kwako " " Duhh sa mbona mi ndo naondoka " namjibu kimtego nione atasemaje "kaa bhana tupige pige stori jumba lote mwenyw mi naogopa bora ukae hapa tusogeze muda nikienda kulala nistuke asubuhi" "ila kumbuka usiku huu sijala pia wewe ni mke wa mtu hivi akaja mtu aka tukuta wawili tena hata mume wako hayupo atatufikiriaje " namwambia lakini rohoni nikijisemea huyu akijiloga tu namtafuna ambapo dudu langu lilisha lala "mimi ndo mama mwenye nyumba hapa nawajua wapangaji wangu wote sijapangisha wambea wambea na ni nani wakuanza kunifatilia" anaongea dada mwenye nyumba huku akiyatanua mapaja yake kidogo na kuni mimi nia juisi kitendo cha kuyaachia mapaja yake kidogo kinamuamsha upya muheshiwa ambaye kwa mkao wa kujiachia kidogo niliokuwa nimekaa unampa wakati mzuri dada mwenye nyumba kuuchungulia kwa macho ya kuibia huku akijidai kuangalia remote aliyokuwa ameishika anazidi kuyaachia na kunipa wakati mzuri kuona kitumbua chake kilicho vimba vizuri ndani ya chupi yake kuona hivyo namtaza usoni nakutana na sura inayonitazama kwa macho ya kulegeza huku akingata vikucha vyake Kuona hivyo tayari nautambua ugonjwa uliompata ghafla nanyanyuka na kusogea alipo nazunguka nyuma ya kochi nainama na kumpumulia shingoni kimahaba basi mtoto anapumua kwa nguvu najisogeza na kumnyonya shingo yake kimahaba basi mtoto anaanzisha miguno Ooooppppsssss!!!! Ahaahhhhh!!!! Nautoa ulimi wangu shingo na kuuzamisha katika sikio lake huku nikiuchezesha kimahaba basi hapo ndo na mmaliza anajinyonganyonga huku akijishaka mapapai yake yaliyo iva vizuri Nainama na kushuka mpaka kifuani kwake na kinyanyua kigauni chake naanza kulamba papai zile na shuka na kuzinyonya vizuri dada mwenye nyumba yeye ni kulalama tu yeaaaaaaahhbb!!!!ninyonye samuu wanguuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!! Nakupendaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! Anajikuta ananitamkia maneno asiyo tarajia Nazunguka upande wa pili wa kochi na kumvua kigauni chake chepesi ambapo yeye alikuwa kaishiwa nguvu kabisa kalegea basi kuona hivyo naanza kumnyonya kimahaba kuanzia kwenye titi zake nashuka nikinyonya mpaka kwenye kitovu anazidisha mikelele naona kalegea naipanua miguu yake na kumvua chupi yake ili yotota kwa dafu ambazo alishavunja hata kabla sijamzamisha mwanajeshi wangu ambaye baada ya kukiona kitumbua alizidi kuvimba huku akikasirika huku akisukuma kwa nguvu suruali yangu hapo nikaona nisimtese sana nikavua suruali na boxer yangu na kumuachia mnyama aliye tazama kitumbua cha dada mwenye nyumba kwa hasira ni kashuka na kuanza kunyonya kitumbua cha dada mwenye nyumba lakini ananizuia na kuniambia Sam mpenzi utaniuwa "NIPE BHANA" Kusikia vile naona nisimtese sana dada wa watu na uchukua mhogo wangu na kuuingiza katika pango lenye joto kali na utamu wa kila aina la dada mwenye nyumba hakika dada yule alijaliwa kitumbua kitamu na chenye joto na kama sio kumuandaa vizuri mhogo wangu usinge ingia kutokana na unene uliokuwa nao basi nauingiza na kumlaza kifo cha mende na kuanza kumpapu haraka haraha huku naye akinipa ushirikiano kwa kukichezesha kiuno chake huku miguno ya utamu ikifuata Opppppssss!!!!!!!!!!! Sam.....mumewangu....... ingiza oteeeee!!!!!!!!!!!!! Yeaaaaahhhhhhhhh!!!!!!!! Nazidisha spidi huku nami nikikata mauno kama feni Lakini ghaflaaa pipiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!! Pipiiiiiiiiii!! He Sam tume kwisha mume wangu huyo tuna kurupuka baada ya kusikia honi za gari dada mwenye nyumba analodai nila mume wake Itaendelea................




Pipiiiiiiiiiii!!!!!!!!!pipiiiiiiii!!!!!! inasikika sauti ya honi ya gari nje ya nyumba ya dada mwenye nyumba

"Sam tumekwisha !! Mume wangu huyo" anasema dada mwenye nyumba kwa hofu

Wote tuna kurupuka huku miili yetu ikitiririsha jasho la hofu pamoja na mechi fupi iliyokatishwa kabla ya filimbi ya mwisho nachukua nguo za navaa haraka haraka naye dada mwenye nyumba ana vaa chupi na dela lake ananifungulia natoka nduki nikielekea chumbani kwangu lakini sina bahati kwani napishana na mpangaji mmoja hivi mama wa makamo mama rehema aliye sifika kwa umbea mtaa mzima akielekea chooni ananiangalia ninavyotimua huku nimeshikilia suruali yangu na pia dada mwenye nyumba ambaye naye kwa hofu alikuwa ana lifungua geti

"Haloooo!!!! Mnalo mwenye nacho karudi sasa na kuambia mwaka huu mtanikoma"

Wakati huo nimeufikia mlango wangu naufungua kwa woga naingia ndani naelekea moja kwa moja mpaka kitandani najitupa

"Mungu wangu leo ningekufa mhhh na huyu mama kashajua basi mambo yashaharibika bora nihame huu mtaa kabisa maana kwa ninavyo mjua huyu mzee akigundua ataniuwa"

Najisemea kimoyo moyo huku tumbo likiunguruma kwa njaa natoka moja kwa moja mpaka kwenye kamgahawa kilicho jirani na eneo nililopanga naagiza ugali nyama na kula taratibu na baada ya kumaliza narudi geto kuutafuta usingizi japo inachukua mda lakini nakuja kustuka saa kumi na mbili na nusu

Natoka nje kujisaidia nakutana na dada mwenye nyumba akiwa na mume wake wanapiga mswaki nawasalimia wote wanaitikia lakini dada mwenye nyumba ananikonyeza akiachia tabasamu kwa mbali bila mumewe kugundua mimi namtazama tu na kuingia zangu chooni

Baada ya kumaliza shughuli za nyumbani najiandaa kwenda katika kibiashara changu kidogo kinachoniweka mjini lakini kichwani nikiwa na wazo la kuhama nilipokuwa nimepanga tena ikiwezekana jioni ya siku ile ile

Kabla ya kuingia kazini naenda moja kwa moja kwa mshikaji wangu Abdalla ambaye tulizoea kumuita kwa kifupi '

Dulla'

"oy mambo vp mwana"

"Fresh mishe nini"

"powa tu ndugu yangu"

"vp mbona leo mapema sana kwangu"

"Dah!!! Nahitaji chumba cha kupanga mwanangu kule nilipo nisha yaharibu"

"Duh umetembea na mama mwenye nyumba nini maana kuhama ghafla hivyo si kawaida"

Namweleza Dulla masaibu yote niliyo kutana nayo na kumuomba ahakikishe jioni nahamamia katika chumba hicho ambacho nahitaji kiwe na hadhi kama kilivyo chumba chake, naye ana nihakikishia chumba ntapata na kunitania kwamba na yeye ni mfanyie plan ambapo tayari najua huyu anahitaji pesa na mwambia pesa si tatizo cha muhimi chumba kwanza naondoka mpka kazini kwangu na fungua kibanda changu na weka mambo sawa natoka na kukaa nje kusubiri wateja

Mara anatokea Jeni "waohh mpenzi umeamkaje" anasema huku akinikumbatia.

"salama tu wewe umeshindaje "

"mi niko pw japo nili lala mchovu ila hakuna siku niliyo lala vizuri kama leo kweli wewe kiboko"

"Amna mbona kawaida hata wewe ulinikimbiza sana" tunaongea ilimradi kufurahishana Jane ana nichukua tunaenda kunywa chai lakini wakati wa kurudi tunafika dukani analisimamisha gari tuna shuka Jane ananisogelea na kunibusu shavuni

"baby bye tutaonana baadaye ila naomba tuendelee kuchati " ananiambia Jane lakini tunastushwa na sauti ya mzee wa makamo kama miaka sitini

"Ahhha!!! kumbe wewe Jane ndiyo mambo yako kutembea na vijana wachafu na wasio jielewa kama hawa ndo maana tunakutafutia mchumba unakataa kumbe ni huyu kikaragosi ndo anakuchanganya akili

Sasa wewe kijana nakuuwa na hamna mahali popote nitakapo pelekwa unaniaribia binti yangu niliyemsomesha nje ya nchi kwa gharama mpaka amefika alipo na anakataa kuolewa na vijana matajiri na wenye elimu kwa sababu yako wewe usiye na uwezo wa kumpa chochote maskini mlaaniwa mkubwa"

anaongea mzee yule akitoka dukani huku mkononi ameshikilia bastola na kuninyooshea hakika alionesha kudhamiria kufanya alicho kisema mimi kwa woga nikaanza kumuomba msamaha huku yeye akizidi kusogea karibu na mahali nilipo huku akiikoki kabisa bastola yake na kuninyooshea

"Mzee wangu naomba unisamehe sinta jaribu tena hata kumsogelea binti yako nilisema na wala yeye hakunieleza ukweli wa maisha yake" nilimwambia yule mzee kwa woga huku nikiamini siku yangu ya kufa ndo imefika

Mzee alizidi kunifuata ambapo tayari katika eneo lile tayari watu walisha kusanyika kushuhudia filamu iliyochezwa laivu huku kila mmoja akizungumza la kwake na kama unavyo jua tena Dar mtu unaweza kuibiwa watu wakabaki wakikushangaa na kumwangalia mwizi bila kuchukua hatua yeyote

Kuona vile Jane alikuja na kusimama mbele yangu "baba bora uniuwe mimi huyu kaka hana kosa lolote mimi ndiyo nilimlaghai kwa pesa ili anipende chonde baba naomba umuache kaka wa watu aende "

"Hivi wewe binti umelogwa nini yani umeniudhi na hujui pesa nilizo poteza ili usome leo hii unataka kunitia aibu na hasara uje kuzaa na hii takataka nakuambia sogea hapo nimmalize huyu ms***"

Anaongea mzee yule na kumvuta Jane atoke mbele yangu ili apate upunyo wa kunipiga risasi lakini anakuwa amefanya kosa kubwa kwani tayari niliona hapa ni kifo tu nikizembea cha muhimu nami nijitahidi kuuokoa uhai wangu

basi kwa haraka naushika mkono wa yule mzee aliokuwa kamshika nao mwanaye na mvuta kwanguvu nilipo na kumpiga kichwa cha nguvu kinachotua kwenye pua yake na kusababisha atoe ukelele wa maumivu huku akiiachia bastola inayoa nguka chini na kunipa chansi ya kuikokota ambapo yule mzee anaanguka chini kama gunia naichukua ile bastola na kumnyooshea japo siwahi kushika kifaa kile lakini ilinibidi niwe kama aliyezoea kukitumia

"Sasa nakuuwa kama ulivyotaka kunifanyia " niliongea nikionekana kumaanisha nilichosema

Kuona vile Jane alikuja mbio na kunisukuma ambapo niliangukia uso na kujiburuza kwenye vumbi nikijizuia nisiiachie bastola iliyo kuwa mkononi hakika nilichubuka uso mzima huku sura ikajaa mavumbi hapo ndo nikaamini kuwa mwanamke si mwenzako muda wowote anaweza akakubadilikia nilnyanyuka kwa hasira na kumfuata Jane aliyekuwa akimnyanyua mzee wake akimsaidia kusimama

"kweli nimeamini mwanamke si mwenzako yani wewe ndo umeniingiza kwenye matatizo yote haya alafu unanisaliti na kutaka kuniuwa sasa nimejua wewe na baba yako amna tofauti

Sasa nawauwa wote kwa kuwa mlitaka kuniuwa naongea maneno yale kwa ujasiri bila kujua nilipo utoa

Naachia risasi mbili mfululizo zinazotua katika kifua cha baba yake Jane anayeanguka chini akivuja damu na kufarika papo hapo

Kisha namgeukia aliyekuwa akiniangalia akitetemeka asiamini kilichotokea Jane wewe mwanamke nilikuona mwema na kukubali hisia zako kumbe lako lilikuwa lingine nashukuru kulitambua hilo mapema na kwaheri nafyatua risasi inayo kwenda moja kwa moja hadi kwenye paji la uso la Jane anayeanguka na kupoteza maisha pale pale

"Ameuwa" zinasikika sauti za waliokuwa wakishuhudia tukio lile huku wengine wakipiga picha na kurecord video tukio lile ambapo kama unavyojua wa bongo na mitandao ya kijamii lazima ile video inge sambaa

Kuona vile na weka bastola kiunoni na kulipangua kundi lile la watu na kukimbia katikati ya vichochoro nafika barabarani ambapo na chkua bodaboda anayeonesha kushangazwa na hali yangu

"vipi kaka mbna umeumia sana na unaonekana kuwa na haraka zote hizi"

"nipeleke tabata bonyokwa "

"Endesha haraka kuhusu malipo ntakupa elfu ishirini namwambia bodaboda yule ambaye naye japo kwa kusita anaondoa piki piki kwa kasi mpaka sehemu niliyo panga ambapo namwambia anisubiri naingia ndani ya geti na kuta kina mama wamekaa kibarazani akiwemo yule mama aliyeniona nikitoka kwa dada mwenye nyumba usiku ambapo baada ya kuniona wanacheka

"halooo!!!!! Mwaka huu utauama mji" wanaongea huku wakicheka lakini wanashangaa kuniona nilivyo chafuka mna mchubuko iliyojaa usoni japo wana jaribu kuniita lakini sikuwa na mda nao nafungua mlango wangu nachukua pesa yangu yote ya akiba niliyo hifadhi ikiwemo ile laki tano aliyonipa Jane ambaye kwa sasa ni marehemu nabadili nguo haraka na kunawa uso na kuvaa kofia yangu kubwa iliyoshonwa kwa nyuzi za sueta natoka bila kusahau bastola ambayo tayari nili jimilikisha na kufunga mlango wa chumba changu nikiondoka ila kuwasemesha wanawake wale ambao baada ya kuniona walibaki wananishangaa namkabithi bodaboda elfu hamsini na kumuambia anipeleke kituo cha mabasi ubungo ambaye anashangazwa na kiasi cha fedha nilichompa ila hasemi lolote anaondoa pikipiki namwambia aendeshebkwa mwendo ule ule tunaanza safari ya kuelekea ubungo stendi baada ya masaa kama mawili tunafika naagana na bodaboda ambaye anaondoka kurudi kwenye shughuli zake nami natafuta basi liendalo mkoani Arusha na kuanza safari ya kurudi kijijini kwetu ndani ya wilaya ya Arumeru

Taarifa za mauaji yale zinawafikia polisi wanaokuja na kuichukua miili pamoja na baadhi ya mashuhuda huku waki tumiwa video na picha tukio lote kuanzia mwanzo mpaka mwisho kwa njia ya mtandao wa Watsapp

Wanaondoka na msako unaanza wa kunitafuta wakati uwo nami gari linazidi kuliacha jiji la Dar es salaam...


Nimesha haribu mambo


Je nini kinafuata usiache kufuatilia sehemu ya (04)

Na pia siku hizi watu mmepunguza kiulikena kucomment kwenye hadithi ninazo post ukisoma usiache ku like na kuandika comment yako..





Askari wanafika eneo la tukio na kuchukua miili ya jane pamoja na baba yake huku wakiondoka na baadhi ya mashuhuda wa tukoi lile kwa ajili ya msaada zaidi wakirushiwa video ya tukio zima kupitia mtandao wa Watsapp wakati huo nami nipo kwenye gari kurejea kijijini kwetu Manushi mkoani Arusha kujiokoa na kesi ya mauaji inayo nikabili baada ya kufanya mauaji tena ya kukusudia huku nikishuhudiwa na umati wa watu waliokuwa wakipiga picha na kuchukua video..

Gari nililopanda linazidi kuliacha jiji la Dar es salaam......


......................endelea....................


Hatimaye polisi wana peleka miili ya marehemu katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya mwananyamala huku wengine wakiwafikisha kituoni mashuhuda wa tukio na kuwa hoji ambapo kila aliyeojiwa alithibitisha kuwa mimi ndiye niliyefanya mauaji yale ya baba na mwanaye huku wakiichunguza pia video nzima ya mauaji kila kitu kilidhibitisha mimi ndiye mhusika mkuu

Hivyo picha zangu pamoja na video nzima ya mauaji zili sambazwa katika mitandao ya kijamii pamoja na picha kubandikwa katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar msako wa kunitafuta unaanza


Polisi wanaulizia maeneo ninayoishi na kuelekezwa katika nyumba niliyopanga kwa dada mwenye nyumba wanafika na kumkuta dada mwenye nyumba akifua nguo pamoja na baadhi ya kina mama wapengaji wenzangu ambao kazi yao naweza kusema kila siku ilikuwa kukaa kibarazani kujadili ya watu wakisubiri waume zao kuleta riziki nyumbani wakiwa bado wametia timu huku baadhi yao waki ondoka baada ya waume zao kurudi kutoka kazini


Askari wanaingia na kuwafanya kina mama wale pamoja na dada mwenye nyumba kuacha walichlkuwa wanafanya na kunyanyuka kuwasikiliza askari wale


"Habari zenu hapa"anatoa salamu mmoja wa wale askari

"Salama karibuni na kulikoni" anajibu dada mwenye nyumba kwa kujiamini kwa niaba ya kina mama wale


"asante,, jambo moja tu limetuleta hapa..

...Anatoa picha yangu..

Nazani huyu kijana mnamfahamu na ni mmoja kati ya waliopanga eneo hili

Tumekuja kumkama kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya watu wawili tena akishuhudiwa na umati wa watu sasa tunataka kujua alipo sasa hivi kwani yupo chini ya ulinzi" anaongea mmoja wa askari wale aliye onekana mzee wa umri wa makamo

Maneno ya askari yule yanastua waliokuwemo pale hasa dada mwenye nyumba wasiami kilicho tokea

"eti unasemaje askari Sam huyu ninaye mjua ndio kafanya tukio la mauaji sidhani kama ni yeye labda mtakuwa mmekosea "

anasema dada mwenye nyumba kwa fadhaa na hofu kuu


"hatuna utani we dada tuna uhakika na tuna chokisema na tunachotaka kutoka kwenu ni kujua alipo mtuhumiwa na siyo kuulizwa maswali ya kipuuzi kama haya na mkitaka kuujua ukweli wa tukio ingieni kwenye mitandao ya kijamii" anasema kwa hasira askari mmoja mrefu na mweusi aliye jengeka mwili kwa mazoezi

"masaa kama matatu yaliyo pita Sam alikuja hapa katika hali iliyo tushangaza kwa alikuwa amechafuka sana huku mwili wake umejaa michubuko na tulivyo muuliza kulikoni hakujibu chochote na baada ya muda alitoka akiwa amejisafisha na kubadili nguo akachukua bodaboda na kuondoka"

anatoa ushahidi mmoja wa wanawake waliokuwa kibarazani wakati nilipoingia na kubadili nguo huku akisikilizwa kwa makini na askari wale..


"Asante kwa kutujuza na ni bodaboda gani huyo aliye kuja kumchukua " anaulizwa yule mwanamke aliyetoa ushahidi

"kwa kweli sikumuona sura vizuri labda wenzangu walimuona" anajibu mama yule shuhuda

"ni yule ibra kiduku wa kijiwe cha kwa tembo" anajibu mwanamke mwingine shuhuda


"Asanteni kwa kutujuza sasa mko salama na mkizidi kupata taarifa kuhusu mtuhumiwa msiache kutujuza" anamaliza mmoja wa askari wale ambapo askari wate wanaondoka kuelekea kijiwe cha tembo alipo dereva bodaboda ibra kiduku

Dada mwenye nyumba nguvu zinamuisha baada ya kufungua data kwenye simu yake ambapo zinaingia messege nyingi katika Watsapp yake ikiwemo video nzima ya mauaji


"mungu wangu huyu Sam kafikia hatua ya kuuwa"

anawaonyesha kina mama wale ambapo nao wanapigwa na butwaa kuona video ile wasiamini huku wengine wakiingia facebook na kukuta video na picha zangu zikipambwa kwa vichwa mbalimbali vya habari

"Nilijua tu huyu kijana muuwaji maana alionekana mhuni mpaka kufikia hatua ya ku" anataka kumalizia mama yule lakini anafinywa na mwenzake aliekuwepo pembeni

Maneno ambayo yanasikika vizuri kichwani mwa dada mwenye nyumba lakini hakuelewa kutokana na kukatishwa kwa maneno yale



Upande mwingine askari wale wanafika katika kijiwe cha kwa tembo na kumuulizia dereva bodaboda alietambulika kwa jina la Ibra kiduku ambapo anajitokeza kijana mmoja mrefu ambaye kichwani mwake kama lilivyo jina lake alinyoa mtindo wa kiduku

Wana mwamuru Ibra asogeze pikipiki pembeni kidogo mbali kuwa fuata na walipo wenzake


"kijana tumekuita hapa kwa jambo moja tu huyu mtu nazani una mfahamu" anongea askari mmoja akiimuonyesha ibra picha yangu

"ndiyo ni mteja wangu wa muda mfupi uliopita"

"huyu mteja wako anakabiliwa na kesi ya mauaji sasa tunaomba utujuze ulipomfikisha mara ya mwisho" maneno yatamkwayo na askari yana mtia hofu kubwa Ibra lakini anajikaza kiume na kujibu


"nilimfikisha kituo cha mabasi Ubungo alipopanda basi la hood akielekea Arusha"ana jibu Ibra kwa hofu akimuomba mungu amuepushe na mkasa ulio mbele yake


"asante kwa kutujuza upo huru"


"Nashukuru afande " anaondoka Ibra


Taarifa za mimi kupanda gari aina ya hood nikielekea Arusha zilifikishwa haraka kituo cha polisi na amri kutolewa kwa askari wote wa babarani kwenye barabara ya moshi Dar kuzuia gari yoyote ya kampuni ya hood inayoelekea moshi huku baadhi ya askari wakichukua gari ya doria ya polisi na kuanza safari ya kulifuatilia gari nililo panda


Upande mwingine nikiwa ndani ya basi la kampuni ya hood tukiwa tumefika maeneo ya muheza mkoani tanga nikimshukuru mungu kwa kuniepusha na hukumu ya kifungo cha maisha nikiwa nimekaa siti za katikati ya gari nilikaa na msichana fulani ambaye nilizoeana naye ndani ya muda mfupi tukawa marafiki tuliendelea kupiga stori mbalimbali huku mdada yule akiperuzi kwenye mtandao wa facebook lakini ghafla alinionyesha video ya mauaji niliyo yafanya ambapo mwishoni ilimaliziwa na maneno ya kamanda mkuu wa polisi akisema mtuhumiwa baada ya kufanya tukio alikimbia na inasadikika yupo ndani ya basi la kampuni ya hood akielekea Arusha na pia lilitangazwa dau nono kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwa mtuhumiwa


"yani huu ni mwisho wa dunia mtu anauwa mbele ya umati tena bila woga alafu naskia amepanda gari la kampuni ya hood akielekea Arusha usikute tumekaa na muuaji humu ndani"

Anaongea dada yule maneno yanayozidi kunitisha hasa baada ya kuona video ile pamoja na maneno ya mkuu yule wa jeshi la piolisi yaliyoonyesha kuwa polisi walijua kila kitu kuhusu mimi kilicho baki ni kunikamata na mimi kufia gerezani tuu..

"mhh yani we acha tu dadangu wa siku hizi si binadamu ni wanyama" nilimjibu nikijidai kutazama simu yangu kuficha hofu niliyo kuwa nayo

"ila sizani kama yupo kwenye gari hili tungesha mjua tu maana asinge tulia" naongeza huku dada yule akiwa bize mitandaoni huku masikioni akiweka ear phone hali iliyo nifanya kidogo nipate amani uzuri ni kwamba pamoja na kuangalia video ile pamoja na picha zangu kama muhalifu dada yule hakuweza kunitambua kutokana na kubadili mavazi na pia kofia niliyovaa iliweza kidogo kufunika makovu yangu ya usoni safari inaendelea hatimaye tuna fika sehemu ya kuchimba dawa yaani kujisaidia kukojoa au haja kubwa


Basi waliohitaji kujisaidia wanashuka nikiwa mmoja wao na kuingia katika vichaka vilivyopo maeneo yale tukiwa bado ndani ya wilaya ya muheza mkoani Tanga

Mimi nasogea ndani ya vichaka mbali kidogo na walipo wasafitri wengine waliokuwa wakihitaji kujisaidia


Naanza kukojoa lakini ghafla natazama barabarani na kwa mbali naona difenda ya polisi ikija kwa kasi eneo tulipo huku askari watatu wakiwa nyuma ya gari huku wameinyoosha mitutu yao

Kengele ya hatari inagonga kichwani kwangu ambapo akili inaniambia ndo hivyo usha kamatwa unaenda kufia jela


Basi wazo lina nijia napiga kelele

Nyokaaaa!!!!.....

Nyokaaaaaaa!!!!!!!!...... Nakufaaa jamani .........nisaidieni............

Naanza kukimbia kwa kasi niki tokomea katikati ya vichaka vilivyo ndani ya pori lile nene ... Wakati uwo gari la polisi likikaribia lilipokuwa gari letu.......






Kwakweli nilitimua mbio ambazo tangu nizaliwe sikuwahi kukimbia kiasi kile kila hatua niliyo piga nilikanyaga majani na vichaka ambavo vilitoa sauti iliyoonesha kana kwamba kuna mtu alikuwa nyuma yangu akinifukuzia basi bila kuangalia nyuma kwa woga nilizidi kuongeza kasi nikikukumbana na vichaka vyenye miiba iliyoishia kurarua sehemu mbalimbali za mwili wangu ikiacha michiri ya damu na kuchana nguo nilizokuwa nimevaa


Sikutaka kuangalia nyuma kujua kilicho endelea zaidi nilizidi kutimua mbio kwa kasi muda nao ulizidi kusonga na mwendo wangu ulizidi kupungua huku jua kali likinichoma na kusababisha nihisi kiu


Nilizidi kukimbia lakini ikafika wakati mwili ukakataa pumzi ikapungua njaa na kiu pamoja na jua kali vyote kwa pamoja vikaanza kunisha mbulia, sikuwa na budi kusimama nikatafuta sehemu yenye kivuli ndani ya kichaka kidogo na kutulia


Nikaangalia sehemu niliyotoka hakukuwa na dalili ya kiumbe chochote kunifuata hapo ndo nikaamini ni maruweruwe yaliyonifanya nidhani kuna mtu alinifuata nyuma kwa kasi kwakuwa nilishaiacha mbali barabara kiasi cha kutoiona tena niliona bora nijipumzishe kidogo katika kivuli cha kichaka kile ubaya ni kwamba ndani ya pori lile hakukuwa na miti mikubwa ya kivuli bali vichaka vidogo vya miiba na majani marefu


Nilijilaza chini ya kivuli kile nikiwaza juu ya hatima ya maisha yangu yaliyo haribiwa na mapenzi nikiwaza nimeshakuwa muhalifu kwa kumwaga damu na sasa kila kona natafutwa kama gaidi pia kuhusu kibarua changu cha kuuza vinyago kahela kidogo nilicho kipata sasa itabaki kuwa historia pia wazo kuhusu umaskini ulioitawala familia yangu kijijini kwetu manushi ilizidi kunimaliza nguvu kwani mimi ndiye nilikuwa tegemeo la familia nikiwasomesha wadogo zangu na kumuhudumia mama yangu aliye jihusisha na shughuli za kilimo


Hakika nilizidi kuchoka na kutokana na uchovu niliokuwa nao usingizi ulinipitia


Polisi baada ya kufika eneo lilipo kuwa gari nililopanda nikielekea nyumbani Arusha walimtaka dereva awape taarifa zote kuhusu abiria waliopanda basi lile wakiwataka abiria wote waliotoka kujisaidia kurejea ndani ya gari kila mmoja akitakiwa kukaa kwenye siti yake na kuonesha tiketi yake ambapo abiria walifanya kama walivyoagizwa na baada ya kukaa kulionekana siti moja iliyobaki wazi yaani haikukaliwa ambapo askari mmoja alihoji na kujibiwa na mmoja wa abiria kwamba kuna kijana mmoja alitoka kujisaidia vichakani lakini ghafla alipiga kelele akilalamika nyokaa!!! na kuanza kutimua mbio akitokomea ndani ya vichaka


Polisi nao waliomba kujua jina la mtu huyo na kuambia aliitwa Samweli Joseph

"Ni mrefu wastani na maji ya kunde?" aliuliza mmoja wa askari wale na kujibiwa ndio na msichana aliye kuwa amekaa pembeni yangu


"Sasa huyu ndiyo muhalifu aliye sababisha mauaji ya kikatili ya baba na mwanawe mbele ya hadhara bila woga wowote na alikuwa akijaribu kutorokea kijijini kwao mkoani Arusha" askari anaongea maneno ambayo yanamfanya kila abiria aliye kuwa ndani ya gari lile kubaki mdomo wazi kwa woga wasiamini kama walisafiri na mtu katili aliyefanya mauaji ya kutisha kiasi kile


"Asanteni kwa msaada wenu sasa mnaruhusiwa kuendelea na safari na samahanini kwa kuwachelewesha kwani jukumu letu sisi kupambana na wahalifu kama hawa na kuwafikisha katika vyombo vya dola"


Wasafiri wote wanaitiaki asante askari wanaacha gari liendelee na safari na kufikisha taarifa makao makuu kwamba mtuhumiwa amekimbilia mapori ya muheza baada ya kugundua polisi walilifuata gari alilopanda


Mkuu wa polisi anatuma kikosi cha askari tano kinachoingia ndani ya pori hilo na kuanza msako wa kunitafuta


Nikiwa nimejilaza baada ya kipitiwa na usingizi ghafla nilihisi kitu kizito cha baridi kikinigusa mkono wangu na kuanza kupanda taratibu mpaka kifuani nikasogeza mkono kama nikikisogeza kwa pembeni baada ya kuhisi ni tawi la kichaka kile lilisukumwa na upepo na kunigusa lakini nilipogusa tawi lile nilihisi ulani flani na utelezo hapo ikanibida nifungue macho kutazama kwani nilijizuia kufungua nikiamini iwapo nitafungua nitapoteza usingizi ambao niliufanya kama kitulizo cha mawazo kwa wakati ule


Kwa kweli baada ya kufungua macho nilitaka kuzumia baada ya kuona nyoka mkubwa aina ya black mamba akiwa kifuani kwangu ananitaza huku kakitoa kilimi chake nje nyoka yule baada ya kuona nimefumbua macho na kustuka alinnyanyua kichwa chake tayari kunishambulia, hapo kengere ya hatari ikagonga kichwani mwangu ambapo kwa kasi ya ajabu na ujasiri ambao sikujua nilipoutoa niliishika shingo ya nyoka yule na kunyanyuka naye kwa kasi kisha nikamrusha juu kwa nguvu ambapo alianguka katikati ya majani marefu umbali kama wa mita kumi kutoka nilipo


Basi nami kwa kasi ya ajabu nikatoka nduki kuiokoa roho yangu lakini nilipigwa na butwaa baada ya kugeuka nyoma na kumuona nyoka yule anakuja kwa kasi ya ajabu huku ameinua shingo yake akibakiza mta mbili tu anifikie nilikusanya nguvu zote na kuongeza kasi ambapo niligeuka nyuma na kumuona nyoka yule akipambana kujaribu kuniuma miguuuni lakini alikikosa kutokana na hatua nilizopiga


Nilizidi kuongeza mwendo na kuwa mwangalifu nikimkwepa nyoka yule ambaye hakuchoka kabisa kutaka kuniuma na wala hakuonesha dalili ya kupunguza mwendo kwa kukata tamaa lakini kama unavyojua ujanja wa nyoka nyasi basi ndivyo ilivyo kuwa kwani nyoka yule alizidi kuja kwa kasi na kufika usawa wangu ambapo alinipa kazi ya kumkwepa nikisaidiwa na visiki vilivyo mpunguza mwendo kwa kujigonga kwani aliupimia mguu wanguu wangu tu


Nilizidi kukimbia kwa kasi nikimuomba mungu aniokoe katika masaibu yale lakini ghafla mbele yangu niliona mteremko mkali ambapo chini kulionekana mbali sana kukijaa majabali makubwa


Nilijitajidi kupiga breki kwa nguvu zote nikijishika na vichaka ili kuupunguza mwendo hatimaye nilifanikiwa ikiwa ni baada ya kutegwa na kisiki kilichokuwa mbele yangu na kurushwa pembeni kidogo na mwanzo wa mteremko ule niligugumia kwa maumivu makali ikiwa ni baada ya kucha kadhaa kutoka katika vidole vya miguu yangu lakini cha kumshukuru mungu ni kwamba nyoka yule alipitiliza moja kwa moja na kuangukia katika mteremko mkali ambao sijui kama alipona


Hakika sijui viatu vilinitokaje miguuni na viliangukia wapi lakini maumivu makali ya kutolewa kucha tena bila ganzi ndiyo yaliyo nisurubu kwa wakati ule lakini sikuwa na budi kujikaza kutafuta sehemu yenye makazi kwa ajili ya kujisitiri kwani nisingeweza kulala ndani ya pori lile lanye wanyama hatari ikiwa tayari ilisha timia saa kumi jioni


Nilianza kutembea pekupeku kwa kuchechemea nikitobolwa na miiba midogo midogo ambayo niliichomoa mguuni taratibu na kuendelea na safari


Nilizidi kutembea nikimuomba mungu japo nipate sehemu yenye usalama ya kulala kwa usiku tu asubuhi niendelee na safari nisiyo kuwa nikiujua mwisho wake lakini mungu si athumani


hatimaye ilifika saa kumi na mbili jioni kijua kikimalizia kuzama ambapo kwa mbali niliona mashi ukitoka kwenye vijumba vidogo vilivyo enyekwa kwa nyasi hapo matumaini ya kupata msaada kidogo yakanijia


Nilianza kuongeza mwendo kuelekea zilipo nyumba zile japo niliumia lakini maumivu hayakuwa chochote kwa wakati ule kwani nilitaka niwahi kufika kabla jua alijazama ambapo ingekuwa rahisi kupata msaada kwani kama giza lingeingia basi nisinge pokelewa wakidhani labda ni mwizi au mchawi kutokana na jinsi nilivyoonekana


Nilizidi kuongeza mwendo ambapo kwa mbali nilimuona mtu akipasua kuni.....





Nilianza kuongeza mwendo kuelekea zilipo nyumba zile japo niliumia lakini maumivu hayakuwa chochote kwa wakati ule kwani nilitaka niwahi kufika kabla jua alijazama ambapo ingekuwa rahisi kupata msaada kwani kama giza lingeingia basi nisinge pokelewa wakidhani labda ni mwizi au mchawi kutokana na jinsi nilivyoonekana


Nilizidi kuongeza mwendo ambapo kwa mbali nilimuona mtu akipasua kuni.....


........endelea........


Kwa kweli baada ya kumuona mtu yule kwa mbali ni kama nguvu mpya zilinijia nikajikuta nazidi kuongeza mwendo japo miguu ili andamwa na majeraha


hatimaye nilifika karibu na alipokuwa mtu yule ambapo baada ya kusikia sauti ya nyasi kavu zikikanyagwa aliweka shoka lake nyuma yake na kugeuka akinitazama


Nami kidogo hofu ili nijia kutokana na mwonekano wa mtu yule ambaye sikuweza kuiona sura yake vizuri zaidi ya nguo alizovaa nikajikaza kiume nikijisemea liwalo na liwe bora nifie mikononi mwa binadamu wenzangu kuliko kuliwa na wanyama wa porini


baada ya kufika karibu kabisa na mwanaume yule niliweza kumtazama vizuri usoni na kugundua alikuwa mzee kama wa miaka hamsini na tano kutokana na mikunjo iliyokuwa usoni mwake na nyele nyeupe kiasi zilizochafuka zilizo mjaa kichwani


"Shikamoo babu" nilimpa salamu mzee yule ambapo hakunipa jibu lolote zaidi ya kuchukua shoka lake kwa tahadhari na kubeba baadhi ya vikuni alivyo pasua akianza kupiga hatua kuondoka


kwa kweli baada ya kuona babu anaondoka nilijua nisipofanya jambo la ziada nitafia katikati ya pori lile ukichangia njaa niliyokuwa nayo pamoja na majeraha yaliyo zidi kunipa wakati mgumu kadiri muda ulivyo zidi kwenda nilijikokota mpaka nikafika mbele yake na kusimama nakupiga magoti


" Samahani babu mimi sina ubaya kwako bali ni matatizo tu yamenikuta na kunifanya niwe katika hali hii

najitaji msaada wako babu yangu hapa nilipo nina majeraha makubwa mwilini pamoja na njaa na kiu

nipo tayari kufanya lolote utakalo naomba tu unihifadhi kwa leo hii"


niliongea maneno kwa utulivu na upole wa hali ya juu ambapo mzee yule alinitazama kwa kitambo kidogo na kusema


"unabahati sana kijana nilizani ni hawa wezi wa mazao hapa kijijini nilipanga kukufanyia kitu kibaya sana lakini muonekano wako unaonesha kuna matatizo unapitia


nyanyuka mjukuu wangu twende kwanza ukapumzike mengine tutaongea zaidi kesho" maneno ya babu hakika yalinipa furaha ambayo sikuwi kupata maishani nikajiona kama nimezaliwa upya kwani wakati wote nilijua maisha yangu yalifika mwisho

"nashukuru sana mzee wangu naamini mungu atakurudishia mema mengi maishani mwako"


"usijali mjukuu wangu sisi kama binadamu inatupasa kusaidia mimi natimiza tu"alinijibu mzee yule na kunitaka nifuatane naye


tulianza kutembea katika vichochoro vilivyo katika nyasi ndefu hatimaye tukatokezea nje nyumba kubwa kiasi iliyo ezekwa kwa nyasi


mzee yule akatupa chini kuni alizobeba na kuliegemeza jembe kwenye ukuta nje ya nyumba ile kisha akanitaka nifuatane naye ndani ya nyumba kwa sababu nje tayari kulikuwa na giza nene


tukaingia ndani ya nyumba ile tukifikia katika sebule iliyo katikati ya vichumba viwili vilivyo tazamana


"karibu kijana jisikie huru hapa uko salama japo huku sisi hatunaga umeme jitahidi uzoee "


anaongea mzee yule akinikaribisha kukaa kwenye kigoda sebuleni pale

kisha anaita "We mama Zena uko wapi sa hivi mumeo nimefika hata maji ya kunywa hunipi"


"abee mume wangu nipo huku chumbani na Zena tunamalizia kufunga mboga" inasikika sauti ya mwanamke ikijibu kutoka chumbani

"haya njoo huku na vikombe viwili kuna mgeni"

"sawa mume wangu"


mara pazia chakavu la moja ya chumba linafunguliwa na anaonekana mwanamke wa umri kama miaka arobaini aliye jaliwa umbo la asilia la kiafrika pamoja na sura ya kuvutia akija tulipokaa na babu na akiwa ameshika jagi la plastiki lililo jaa maji pamoja na bilauri mbili zachuma


"karibu mume wangu"anasema mama yule baada ya kumaliza kumimina maji kwenye moja ya glasi na kumkabidhi mume wake huku akinitaza kwa macho yaliyo jaa maswali

ana mimina maji kwenye glasi nyingine na kunikabidhi

kisha naye ana chukua kigoda na kukaa

"mume wangu kulikoni ugeni huu" anasema mama yule akinitazama


"huyu kijana inaonekana ametoka mjini na kuna matatizo yamempata hapa alipo anahitaji msaada"


"inaonekana au ndiyo yaliyo msibu au hebu atueleze mwenyewe maana wewe naona kama unachukulia mzaha swala hili kumkaribisha mtu usiye mjua alafu usiwe na uelewa kuhusu tatizo lake


hebu kijana tueleze"

ndiyo hivyo kama alivyo sema babu mimi nimetoka mjini na nimefika hapa kutokana na matatizo niliyokumbana nayo hapa nilipo nahisi maumivu mwali mzima na njaa kali naomba msaada wenu japo nijisitiri kwa siku kadhaa hali ya ikitengamaa nita tafuta njia nyingine ya kuondoka...


inatosha kijana ... we mwanamke hivi uoni mumeo na mgeni tunahitaji maji ya kuoga hebu nenda haraka katutayarishie


mama zena anaondoka na kuniacha na babu aliye jitambulisha kwa jina la mzee Saidi

"Hivi huyu Zena yuko wapi yani mda wote nimefika mpaka sasa hajani salimia wala kunipa pole

we!! Zena"


"abeee baba!!!" inaitika sauti nyororo ya kike sauti ikitokea chumbani


"njoo hapa"


"sawa baba nakuja"


pazia linafunguliwa ninabaki mdomo wazi baada ya kumuona msichana mwenye uzuri usio elezeka haukuwa wa sura tu bali hata umbo alikuwa ni zaidi ya mwanamke kwa kweli msichana yule alikuwa mzuri sijawahi kuona japo aliishi mazingira ya kijijini lakini haikuwa sababu ya kuuficha urembo wake


aling'aa bila kutumia kipodozi chochote kwenye ngozi yake nyeupe kiasi

hakika kwa uzuri aliokuwa nao akiwa kijijini basi niseme angeingia mjini na kutumia vipodozi vya kisasa pamoja na kuvaa mavazi wanayo vaa dada zetu basi angepanga msururu wa wanaume ambao wange lihitaji penzi lake

" shikamoo baba"inasikika sauti kutoka kwa msichna yule sauti ninayoweza kusema ni ya kumtoa nyoka pangoni kama walivyo zoea kuiita vijana wa mjini


"marahaba mama ina maana siku hizi salamu mpaka nikuombe"


"hapana samahani baba nilikuwa nafunga mafungu ya mbogo chumbani sikujua kama ulishafika" anajibu binti mrembo Zena huku akinitizama kwa vimacho vya kuibia vya aibu


"na huyu mgeni mbona hujamsalimia au hujafunzwa kupokea wageni"


"ahaaa!!! shikamoo kaka" ana kurupuka binti yule akinisalimu na kutazama pembeni kwa aibu akinipa mkono


"marahaba hujambo mwaya"ninaitikia na kuupokea mkono wake uliokuwa mlaini kama pamba


"sijambo kaka.. mi naitwa Zena

wewe unaitwa nani" anasema binti yule sasa akijikaza kunitazama uso akiin'gata midomo yake kwa aibu ikiwa in baada ya baba yake kumtazama kwa jicho kali mara ya kwanza alivyo nisalimia na kuatonitazama


"mbona mi tayari nilishakujua mda mrefu"nilimtania nikionyesha tabasamu


naye alilipokea tabasamu langu na kunirudishia la kwake lililonifanya nizidi kuamini kweli kuna baadhi ya viumbe mungu kawapendelea


ni siseme mengi juu ya vishimo mashavuni, macho ambayo akitabasamu hujiweka katika hali ya kuvuti pamoja na midomo midogo laini iliyo pambwa na meno meupe


"muongo umenijulia wapi"aliniuliza kwa sauti laini ya kudeka


"si hapa hapa au"nina mjibu na kisha wote kwa pamoja tunacheka binti yule akinipasia mkono na kuniambia na mvunja mbavu


"we Zena katayarishe chakula na umuambie mama yako amtayarishie mgeni sehemu ya kulala" tunastushwa na sauti ya mzee Saidi ambaye muda wote tunaongea alikuwa akiibonyeza simu yake aina ya Nokia tochi


"sawa baba ngoja niwaache" anasema Zena na kuondoka akiniacha na mzee Saidi


ninaoga , tunakula cha usiku kisha tunaagana wakinielekeza chumba changu cha kulala......


je nini kita fuata usikose sehemu ya (07)




Alafu naona kama wengi hawasomi hadithi hii kwa kuzani haina maadili lakini ukweli ni kwamba hadithi hii ina mafunzo mengi ambayo tunaweza kukutana nayo katika maisha yetu ya kila siku..


ukisoma kama kawaida like usisaha na kuweka comment yako pia share uwezavyo zawadi ipo kwa atakaye fanya hivyo mara nyingi....





"we Zena katayarishe chakula na umuambie mama yako amtayarishie mgeni sehemu ya kulala" tunastushwa na sauti ya mzee Saidi ambaye muda wote tunaongea alikuwa akiibonyeza simu yake aina ya Nokia tochi


"sawa baba ngoja niwaache" anasema Zena na kuondoka akiniacha na mzee Saidi


nilioga , tukala cha usiku kisha tunaagana wakinielekeza chumba changu cha kulala......




..............endelea...........


Wakati naelekea chumbani kulala nilipishana na Zena akanitazama kwa aibu na kuniachia tabasamu murua


"kaka usiku mwema " aliniambia


"asante na wewe mwaya"nilimjibu nikaingia kitandani kuuchapa usingizi japo ilinichukua muda kuupata


Usiku mida ya saa nane nilistuka nikajikuta nime banwa na mkojo huku chumba kikitawaliwa na giza nene pia hakukuwa na kibatari chumbani kwangu hivyo ilinibidi nianze kupapasa nikiutafuta mlango ili mradi niweze kutoka nje


Kweli baada ya kupapasa kwa muda nilifanikiwa kuushika mlango ikiwa ni baada ya kujigonga kwenye samani mbalimbali zilizo kuwa ndani ya chumba kile


Nilitoka na kufika sebuleni ambapo nilijikuta naparamia meza ndogo iliyokuwepo pale na kugonga goti langu kama unavyojua tena maumivu ya kugonga goti ukichanganya na miguu yangu iliyokuwa mibovu huku baadhi ya kucha zikiwa zimechomoka ,nilijikuta na piga ukelele wa maumivu ambao nahisi hakuna yeyote aliyeusikia kwani chumba kiliendelea kutawaliwa na ukimya ikionesha wote walikuwa wame lala fofofo


Niliamka taratibu nikaanza kujikongoja bado nikiipapasa ardhi lakini ghafla nikajikuta nimeshika ngozi laini yenye joto kwa kweli nilistuka lakini ili kujua nini hasa nilishika nikaunyanyua mkono wa pili na kuanza kupapasa ambapo nilijikuta nimeshika kitu kama kifuu cha nazi kilaini na kilicho jaa vizuri kikiwa ndani ya khanga , hapo ndo nikasikia sauti laini ikivuta pumzi na kutoa ndipo akili akanijia kuwa labda Zena alilala pale kutokana na nyumba yao kuwa na vyumba viwili tu na kutokana na ugeni wangu ili mbidi anipishe chumbani kwake na yeye alale pale sebuleni


Kushika sehemu ya kifuani ya Zena aliye kuwa kalala fofofo nilijikuta naingiwa hamu ya kuendelea kuutalii mwili wake na tayari mhogo wangu ulianza kukakamaa


Niliifungua khanga aliyo vaa taratibu na kuyaacha mapapai yake yote mawili nje yaliyo simama vizuri ikionesha hayakuwahi kuchezewa na yeyote kisha nikaanza kuyapapasa taratibu japo sikuona chochote kutokana na giza lakini nilijidhihirishia urembo wa asili aliokuwa nao binti yule hasa baada ya kuanza kumpapasa nikielekea kiunoni nikakutana na umbo kama walivyo zoea waswahili kuliita namba nane


Niliendelea kupapasa kifua na kiuno cha binti yule kwa hisia akiwa aelewi chochote yaani akiwa kalala fofofo huku nikilifurahia joto la mwili wake na kwa muda mfupi nilijikuta nayasahau maumivu yaliyo sehemu mbalimbali za mwili wangu huku mwili tayari ukinichemka kwa tamaa ya kuvunja amri ya sita na msichana yule


Nikiwa naendelea kumpapasa ghafla Zena alistuka kwa tahamaki japo sikumuona usoni lakini alionesha tahamaki na mimi nikasitisha nilichokuwa nakifanya haraka alinyanyuka akijishikiza ukutani kisha nikaona kibatari kimewashwa na yeye akiwa tayari amejifunga khanga yake vizuri lakini umbo lake bado likionekana vizuri


Aliponiona nimesimama karibu na alipokuwa amelala alionesha kustuka kidogo lakini nilivunja ukimya nikamwambia asiogope nilihitaji kwenda kujisaidia kutokana na giza nikajikuta nimejisogeza mpaka alipo kuwepo


"samahani kaka hatu kukuonesha choo kilipo twende nikupeleke"alisema Zena akachukua kibatari kisha tukatoka nje akitangulia mbele yangu ambapo alinipa wasaa wa kumtazama sehemu yake ya nyuma iliyoumbika vilivyo ilivyo kuwa ikicheza utazani aliyakata mauno hapo nikajikuta hali inazidi kuwa mbaya kwani mhogo ulisimama dede ndani ya bukta niliyokuwa nimevaa ukiitunisha ambapo sikuwa na ujanja wa kuzuia isionekane


Tulipo fika chooni Zena aligeuka na kunitazama akinionesha chumba cha choo lakini baada ya kuangalia chini kwenye bukta yangu hakuweza kumalizia sentensi aliyokuwa akiitamka akabaki ameitumbulia macho sehemu ya bukta yangu iliyo sukumwa mbele ikionesha kuna kitu kilikuwa ndani yake kikihitaji kutoka


Nilizuga kuingia chooni kukojoa nikamuacha Zena nje ambaye naye haraka aliondoka kwa aibu bila hata kuniaga akaniacha gizani peke yangu


Baada ya kumaliza kujisaidia kutokana na giza ilibidi nimuite maana yeye alikuwa na taa ambayo ni kibatari

"Zena"niliita


Kimya


"Dada Zena "niliita tena kwa sauti

lakini nikajibiwa na sauti ya mama yake ambapo alitoka na kuja chooni akiwa naye amevaa kijigauni chepesi kilichoonesha umbo lake la kuvutia la kibantu


Basi kabla hata mama yule hajafika nilipo nilijikuta tayari mashine imesimama kwa hasira karibu iishushe bukta niliyo kuwa nime vaa


Mama Zena baada ya kufika hakusema chochote ikiwa ni baada ya kuiona bukta yangu iliyokuwa imetuna vilivyo

alitabasamu na kusema


"Nyie vijana wa mjini bana sijui mkoje kila kitu mnatamani"

nami sikujibu chochote zaidi ya kutabasamu na kutazama chini kwa aibu


"Zena yuko wapi mbona ameondoka na kuniacha huku bila hata kuniaga" nilimuuliza kuonesha kumpotezea


"yule bado mtoto kakuogopa tayari ameshalala"alijibu mama yule na kunisogelea kisha akaweka mkono juu ya bukta yangu na kuishika mb** yangu na kuachia tabasamu pana


"kumbe na wewe upo vizuri kijana njoo huku nikuoneshe vitu" alinishika mkono tukaelekea katika chumba nilicho kuwa nime lala ambapo mama yule alinihakikishia mumewe wala Zena hawawezi kuamka


Tuliingia chumbani ambapo mama yule alizima kibatari na kunivuta kifuani mwake...


Leo nimepata ka muda kidogo nikaona niwape nipe bhana.


je nini kitafuata usikose sehemu ya (08)






"Zena yuko wapi mbona ameondoka na kuniacha huku bila hata kuniaga" nilimuuliza kuonesha kumpotezea


"yule bado mtoto kakuogopa tayari ameshalala"alijibu mama yule na kunisogelea kisha akaweka mkono juu ya bukta yangu na kuishika mb** yangu na kuachia tabasamu pana


"kumbe na wewe upo vizuri kijana njoo huku nikuoneshe vitu" alinishika mkono tukaelekea katika chumba nilicho kuwa nime lala ambapo mama yule alinihakikishia mumewe wala Zena hawawezi kuamka


Tuliingia chumbani ambapo mama yule alizima kibatari na kunivuta kifuani mwake...



.......endelea.......


Haraka mama yule ambaye kwa umbo na sura aliyojaliwa alionekana kama msichana mbichi alianza kuninyonya ndimi na shingo yangu kimahaba huku bado ame nikumbatia utazani tulikuwa na ugomvi huku muhogo wangu uliokuwa umesimama dede kama msumari ndani ya bukta yangu akiutoa na kuupitisha kimahaba katikati ya mapaja yake laini huku bado tukiendelea kunyonyana ndimi kiufundi


Baada ya kuona mama yule ameanza kuhema kwa kasi ikimaanisha aliisikilizia miguso yangu na ndimi yangu ilivyokuwa ikitalii mdomoni mwake na shingoni niliona nisimchoshe sana na kamuomba aniache niwe dereva atulie nimpe raha za wakubwa


Niliivua bukta yangu haraka na taratibu nikakivua kigauni chepesi alicho kuwa amevaa mama yule karibu nifike mshindo tu kwa kuona umbo la mwili wa mama yule niseme alijaaliwa kila kitu alichopaswa kuwa nacho mwanamke wa kiafrika lakini zaidi zilinichanganya chuchu zake kubwa kiasi na zilizo kuwa zime simama vizuri


"Jamani we mama mbona uko kama mtoto mdogo kweli mungu alikupendelea " nilijikuta nikimtania


Wakati huo dudu langu lilikuwa limesimama kwa nguvu na tamaa kubwa tayari likianza kudondosha vimajimaji laini


Lakini kwa kuwa huwa sipendi kukurupuka nilianza kumnyonya mama yule matiti yake kiufundi nikifanya kuya kwaruza na meno kidogo kama nan'gata basi mama yule akaanza kutoa miguno iliyo nifanya mpka nianze kuogopa huenda mzee Issa ama Zena wangeweza kusikia


"Ohhhppppppss!!!!!! jammmm......w...e..ki!!!!!!!!!na

Uhuuuuu!!!!!!!! ...uaniua....!!!!!..."yalikuwa maneno ya mama yule aliyo yatamka kwa shida huku akijinyonga nyonga


Wakati huo nami nazidi kumgusa sehemu hatari ambazo najua kwa mwanamke yeyote hata awe malaya au mcheza filamu za utupu akimgusa lazima akojoe hata kabla hujazamisha rungu lako


Mama yule alizidi kulia kilio cha raha za kitandani nikaona nisimu hangaishe sana na pia sikutaka akojoe mapema ili nipate muda wa kumpa dozi ya kiutu uzima taratibu nikaingiza kidole changu cha katika katika kitumbua chake kuona kama kumelowa vya kutosha nikagundua tayari kulitota uteute

Nikamvuta kifuani kwangu na tukaanza kunyonyana ndimi tena ili azidi kunipa ashiki


"kijana ingiza bhana nikuoneshe mchezo we si unajifanya mjanja"aliniambia mama yule


Nikamuomba akae staili ya kawaida ya kifo cha mende ambapo japo sikuweza kukiona kitumbua chake kutokana na giza lakini nahisi kilituna sana


Taratibu nikaanza kuuingiza lakini hata kabla ya kuizamisha vizuri nilishangaa mama yule akijipindua na kukaa staili ya kupiga magoti na kuinama yaani 'doggy style' kisha yakafata mauno ambayo sikuwahi kuona wala kuwa na mwanamke aliye jua kuzungusha kiuno kama yule huku akiipa mboo yangu nafasi ya kusugua kuta zote


Alizidi kukikata kiuno kwa kasi ya feni mpaka nikahisi alitaka kuivunja mashine yangu huku akitoa miguno ya mahaba


"ohhhhhhhhh!!!!!!!!!!!! kijaaaaaa!!!!!!! ....we........mtamu.......!!!!!!!oppppppps !!!!!!!!

iingize yote!!!!!!! tamuuuj!!!!!!! simtaki!!!!!!!!!!!!!!opsssss! mzee!!!!!!!!!!!!! sasa!!!!!


Baada ya kuona anazidi kilalamika nami ndivyo nilivyo zidi kuisukuma mashine yangu ndani ya kitumbua kile kwa nguvu mpaka ikazama yote huku nami nikianza kukata mauno kwa hiyo wote tukawa tunasuguana


kwa kweli utamu nilioupata siku ile siwezi kuuelezea kwani raha zilizidi raha japo nilikuwa na majeraha yenye maumivu makali sikuhisi maumivu yoyote yani nilihisi kama nipo dunia nyingine wakati huo mama Zena naye akizidi kelele nahisi ingekuwa mchana basi hata waliokuwa nje wangesikia miguno ile wangejua kilichokuwa kikiendelea hakikuwa cha kitoto na wale wenye tabia za kupiga chabo wangeanza kutafuta viuwazi ili japo waweze kujionea mtanange ule


Ghafla mama yule alizidi kuongeza mwendo na kelele huku nami nikajikuta ndio kama ameniongezea mzuka nikazidi kuizamisha nje ndani kwa kasi ya ajabu , pale pale nikaanza kuhisi kama kitumbua chake kikiubana mhogo wangu kama kinakamua chumba kikizidi kujaa kelele huku nami nilijikuta napiga mikelele ya kiume


"Ooopppssss !!!!!!!!!!!!!!!kijanaaaa!!!!!!!!!!la!!!!!! !zim!!!!!!!!......unioe..........

nakupe...nda!!!!!!!!!!!ohhhpssss

Oshhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!Tamuuuuu!!!!!!!!! "alitamka mama yule maneno ya ajabu ajabu wakati huo spidi zikizidi kuongezeka zaidi


tukajikuta wote tunakojoa kwa pamoja huku mama yule akitamka maneno mengi ya kunishukuru

"Asanteeee kijana, kumbe unaiweza kazi ya mzee Issa mwanzo nilikuona mzembe kimoja tu lakini sasa hivi nguvu sina kabisa ngoja niende kesho tutaendelea"aliniambia mama yule maneno yaliyo nikumbusha msichana Jane ambaye aliniomba tuendelee siku nyingine wakati ndio kwanza nilifunga goli moja


"we uondoke uniache hivi hebu njoo hapa " nilimwambia huku nikimvuta na haraka nikaipanua miguu yake na kuzamisha dude langu sasa nikaanza kumsurubu kigumu zaidi nikipeleka mashambulizi yaliyomfanya atoe miguno na kutamka maneno mengi mengine nahisi yalikuwa ya kilugha nilizidi kumsukumia mashambulizi makali nami nikiyakata mauno kwa kasi ya ajabu ambapo kwa mara nyingine tena wote tulivunja dafu pamoja wakati huu akinikumbatia kwa nguvu na kuzidi kuipanua miguu yake


Kuona hivyo sikutaka kusimama misha gari niliendeleza tena nikiongeza kasi zaidi wakati huo mama yule alikuwa hoi jasho lime mlowa huku akizitoa sauti


"jammmaaa!!!!!!!!!.....LAZIMA.!!!!!! UNIOE!!!!!!!!ohhhhhshhhh

hohoshhhhhh!!!!!! opppppppppsss

tamuuuuuhuuuu!!!!!!!! "alisema huku naye sasa akianza kuyakata mauno kwa kasi ya ajabu akinipa wasaa wa kukipumzisha kiuno changu baada ya shughuli pevu ya kukizungusha kwa muda mrefu


Tulizidi kuviringishana pale kitandani mpaka alipo vunja dafu mara ya tatu nami nikazidi kumshughulikia zaidi nikilitafuta goli la tatu ambapo sasa mama yule alianza kulalamika maumivu akiniomba tusitishe maana ukweli nilichukua muda mrefu bila kumwaga alipoona simsikilizi aliibana miguu yake ghafla na kutanua ambapo nilipata maumivu kidogo nikajikuta nautoa mhogo wangu kwenye kitumbua chake ambapo bado ulikuwa umesimama dede kwa hasira


"Samahani kama nimekuumiza ni raha tu zimezidi nipo kwenye hali mbaya hapa mwili umeishiwa nguvu nikiendelea naweza kuzimia kabisa

kweli tangu anioe Mzee Saidi hajawahi kuniridhisha kiasi hichi pamoja na ufundi wote alionao , sintakaa nikusahau wewe kijana na nipo tayari hata nikuozeshe huyu binti yangu umpe raha kama hizi ili asitoke nje ya ndoa yake, maana siku hizi kupata mwanaume kama wewe ni vigumu sana


njooo nikunyonye umalizie hicho kimoja" alisema mama yule na kulichukua dudu langu akianza kulinyonya kwa ufundi wa ajabu ulionifanya nihisi utamu mpaka kwenye nywele japo haukuzama wote mdomoni mwake lakini alichezea kichwa chake kwa ulimi ndani ya dakika kadhaa nikajikuta namwaga ambapo mbegu zote ziliingia moja kwa moja mdomoni kwake kutoka na giza sikuweza kutambua kama alizimeza


"Usiku mwema kijana "alisema mama yule na kunibusu shavuni kisha akavaa kigauni chake na kutoka kuelekea chumbani

Nami usingizi ulini pitia nakuja kustuka siku nyingine saa mbili asubuhi nikaanza kusikia mzee Saidi aki lalamika


"hivi huyu mama yako leo mbona amelala muda mrefu hivi , kwani jana mlilala saa ngapi"


"mda wa kawaida tu baba labda leo anaumwa"alimjibu Zena


nami nikatoka na kumsalimia mzee Saidi nilipogeuka upande wa pili nikakutana uso kwa uso na Zena ambaye kwa aibu aliangalia chini na kuondoka bila hata kunipa salamu


"dada Zena, ...Zena..." mbona unanikimbia"niliita lakini hakugeuka akaingia moja kwa moja jikoni


Mzee Saidi aliliona tukio hilo akasogea nilipo na kunishika begani kisha akaniambia


"bado katoto haka kakikuwa ruksa kuchumbia tena kwako sihitaji mahari ntakuozea bure"


Wote tulitabasamu kwa furaha nikimsihi sikuwa na mawazo hayo juu ya Zena kwani yule ni kama mdogo wangu


"unajisikiaje sasa kijana majeraha bado yana maumivu makali "aliniuliza mzee Said


"kidogo afadhali naweza hata kutembea kwa kujikongoja"nilimjibu


"vipi mama yupo wapi mbona simuoni nimsalimie "niliuliza kutaka kujua hali ya mama Zena


Hapo ndo ikawa nimemkumbusha kuhusu mke wake akatoka haraka mpaka chumani kwao amabapo alimuamusha mke wake akimhoji kuhusu hali yake hasa baada ya kuchelewa kuamka ikiwa sio kawaida yake kwani alizoea kuamka saa kumi na mbili asubuhi


"ni kauchovu tu mume wangu wala usijali niache nipumzike kidogo"alijibu mama Zena


"sawa mke wangu we pumzika lakini nahisi kuna washenzi wameanza kuiwangia nyumba yangu ngoja niwaendee kwa mzee chuma"alisema mzee Saidi nakumwita Zena akimuagiza ampelekee kifungua kinywa mama yake kisha akanifuata na kuniambia


"kijana wacha niende hapo mbele kwa babu si unajua maisha ya kijijini huku ukikaa bila kujilinda kidogo lazima wakuchezee"


"saaaa..wa mzee mi nipo "


nilimjibu kwa hofu nikijua basi kama ana kwenda kwa mganga nimeanzisha vita mpya ambayo nisingekuwa na uwezo wa kupambana nayo


Kwa mganga tena mhhh nitapona kweli si wataniua hawa!!!!!


usiikose sehemu ya (09)


Ukisoma jamani usiache ku like na ku comment pia share mkishare sana nitakuwa naipost ndani ya muda mfupi zadi




"vipi mama yupo wapi mbona simuoni nimsalimie "niliuliza kutaka kujua hali ya mama Zena

Hapo ndo ikawa nimemkumbusha kuhusu mke wake akatoka haraka mpaka chumani kwao amabapo alimuamusha mke wake akimhoji kuhusu hali yake hasa baada ya kuchelewa kuamka ikiwa sio kawaida yake kwani alizoea kuamka saa kumi na mbili asubuhi


"ni kauchovu tu mume wangu wala usijali niache nipumzike kidogo"alijibu mama Zena


"sawa mke wangu we pumzika lakini nahisi kuna washenzi wameanza kuiwangia nyumba yangu ngoja niwaendee kwa mzee chuma"alisema mzee Saidi nakumwita Zena akimuagiza ampelekee kifungua kinywa mama yake kisha akanifuata na kuniambia


"kijana wacha niende hapo mbele kwa babu si unajua maisha ya kijijini huku ukikaa bila kujilinda kidogo lazima wakuchezee"


"saaaa..wa mzee mi nipo "


nilimjibu kwa hofu nikijua basi kama ana kwenda kwa mganga nimeanzisha vita mpya ambayo nisingekuwa na uwezo wa kupambana nayo..



............endelea.............


Kwa kweli kuondoka kwa mzee Saidi akidai ana kwenda kwa babu ilinimaliza nguvu kabisa na kunifanya nijione kama mmoja wa watu wenye mikosi zaidi kwani kila nilikokwenda lazima kuna baya lilipata, nilijikongoja mpaka taratibu na kuingia ndani ya chumba alicho kuwa ame lala ma Zena nilimkuta ndo anashuka kitandani kichovu na nikamwambia


"Mambo yameshaharibika mama ntafanyaje mimi sasa maana kama ameenda kwa mganga lazima tuumbuke"


Cha ajabu mama yule hakuonyesha hofu yeyote kuhusu jambo hilo badala yake ndo kwanza alikuwa akijinyoosha.


"Jamani mama mbona hivyo inamaana wewe huofii mzee akijua tulicho fanya jana" nilimwambia wakati huo nikimkazia macho kuonesha niko serious

Badala yake alitabasamu na kuniambia


"hivi kijana unacho ogopa nini kwani aliye kupa raha nani? we tulia niachie mimi najua jinsi ya kulimaliza hakuna anayeweza kujua" alisema mama yule maneno yaliyo nifanya nishindwe kabisa kumuelewa kwani nilifikiria ujasiri aliokuwa nao wakati ule na tukio la mzee Saidi kwenda kwa mganga akitaka kuujua ukweli juu ya kubadilika ghafla kwa afya ya mkewe


"Sasa mama wewe utawezaje kulimaliza hili kumbuka ameenda kwa mganga , hata kama hautodhurika wewe kumbuka mimi nitaingia kwenye matatizo mengine ilihali nilipotoka bado hali si shwari na kwa hali niliyo nayo nikifukuzwa hapa au kufanyiwa ushirikina si nitafia huku" nilimwambia huku sasa nikionesha wazi hofu niliyokuwa nayo


"hahaha!!!! kijana nimekuambia ondoa shaka mi ndio mtoto wa mlunguru bhana jambo dogo kama hilo haliwezi kunishinda

kwanza hebu toka huku maana mzee anaweza kuja akikukuta humu sijui utamwambia unafanya nini "

alinijibu mama yule kijasiri huku akitabasamu nami sikuwa mbishi ilibidi nimsikilize japo kwa shingo upande nikatoka ndani ya chumba kile taratibu


"niitie Zena"ilisikika sauti ya mama Zena ikiniambia


Nilitoka nikaelekea mpaka jikoni na kumkuta Zena akikoroga uji huku akiimba nyimbo za kilugha ambazo sikuweza kuzielewa hakika msichana yule wa kijijini alijaliwa sauti nzuri hapo nilijiapiza siku moja lazima nimuweke ndani awe mke kabisa

wakati huo alikuwa ame kaa kwenye kigoda na kuitanua miguu yake ambapo sasa baada ya kuingia ndani ya jiko lile dogo nilibaki nimemtumbulia macho katikati ya miguu yake mapaja laini na kwa mbali nikaona chupi yake nyekundu aliyokuwa amevaa

wakati huo yeye hakuutambua uwepo wangu jikoni pale kwani aliendelea kukoroga uji taratibu huku akiendelea kuimba kwa sauti yake nyororo akiwa ameangalia chini

Nilipiga hatua kidogo mpaka nilipomfikia ndipo akastuka na baada ya kuniona aliibana miguu yake na kuivuta sketi yake vizuri ili kujisitiri


"jamani Zena mbona leo unaninunia hutaki hata kunisalimia au tumegombana mrembo "nilimwambia huku nikitabasamu


"nyooo!! nani mrembo" aliniambia huku akitabasamu kwa aibu


"si wewe hujioni , yani sikutofautishi na malaika "


"na wewe kaka Sam mbona unapenda utani ivyo mimi wa huku kijijini naanzaje kuwa mrembo huko mjini kwenu ndo kuna warembo" alinijibu akitabasamu

"kaone sura yake , nani alikuambia mjini ndio kuna warembo , kijijini ndo kuna watoto wazuri kibao lakini wote wewe umewazidi na tangu nianze kuishi mjini sijawahi kumuona malikia kama wewe

yani wewe nikikupeleka mjini utawaungisha wanaume mstari wakikutolea udenda maana dahh !! sijui nisemeje"


"we Sam nimekutuma nini " sauti ya mama Zena ilikatisha mazungumzo yetu" hapo ndio nikakumbuka kilichoni peleka jikoni nikatazama na mlangoni na kumwana mama Zena amekunja uso kidogo akionyesha kukasirika kidogo


"Zenaa mama anakuita" nilijikuta nikitamka


"Zena na mama yake wakabaki wanani cheka kwa udhaifu niliounesha mbele yao"


"na wewe njoo kazi kukenua tu" alisema mama Zena akimuita Zena wakatoka nje wakifuatana na kuniacha jikoni nami nikatoka lakini bado lengo langu la kumfanya Zena asiniogope likiwa halijatimia kabisa


nilitoka na kuingia chumbani kwangu kuuchapa usingizi ambapo niliamka mida ya saa sita mchana na kukuta tayari mzee Saidi alisharudi wakati huo alikuwa akipata mlo wa mchana

" karibu chakula kijana halafu nime sikia hujala tangu asubuhi"


"kausingizi kalinipitia tu mzee wangu wala usihofu nipo salama, vipi kuhusu ulipotoka umefanikiwa??"nilimuuliza nikiwa na nia ya kujua hatima yangu


"hata sijamkuta mganga wangu nimeambiwa ameenda Nigeria kuchukuwa dawa zake, lakini hata hivyo haina haja tena maana hali ya mke wangu si mbaya labda ni kauchovu tu kalimpata"alisema mzee yule hapo kidogo presha yangu ikapungua wakati huo mama Zena alikuwa akininawisha mkono akatabasamu na kunikonyeza nami nikamrudishia tabasamu


Tulimaliza kula mida ya jioni mzee Saidi aliondoka pale nyumbani tukabaki mimi , Zena na mama yake ambapo Zena alikwenda kujilaza kidogo kutokana na uchovu

"Sam" nikasikia mama Zena akiniita kutoka chumbani kwake nilitoka taratibu na kwenda


" Nime kuambia Zena achana naye huyo mtoto amewekewa tego asifanye mapenzi mpaka atakapoolewa kwa hiyo kwa sasa usimsumbue na wala usiwe na hofu kwani mimi nitahakikisha akifikia umri ana kuwa mkeo muhimu usije kumsaliti na umtunze vizuri" alisema mama yule wakati huo amejalaza kitandani akiukunja mguu mmoja hali iliyosababisha nilione paja lake vizuri


"sawa mama ila una nisisimua"nilimwambia kimtego na kwa hofu kidogo nione atasemaje


"na wewe bhana sasa nifanyaje si unaona kuna joto"


"ila mimi tayari umeshaniumiza ntafanyaje sasa"nilimjibu wakati huo mtarimbo wangu umesimama kwa nguvu na kuisukuma suruali niliyo vaa


"mhhh!!!! hivi wewe unakulaga nini yani kitu kidogo tu ushaanza kutolea udenda"


Alisema mama Zena nikarudishia mlangowa chumba kile alicho tumia yeye na mume wake kichwani sikuwaza kingine tena, nikajua huyu hawezi kuzuia nikamvamia na kupanda juu ya kifua chake kilicho jaa vizuri na kuanza kumlamba shingoni kimahaba nikapitisha ulimi hadi sikioni kwake akaanza kutoa miguno mikali ya kimahaba akijishika shika kwenye matiti yake na kuanza kujinyonga nyonga nikajua hiyo ndio sehemu yake yenye msisimko

nikaona nisipoteze muda maana sauti alizotoa zilionesha tayari alisha lowesha kitumbua chake


Nikamvua dera na chupi yake iliyokuwa tayari imelowa , naye haraka akanivua suruali yangu hadi magotini juu nikabaki na shati kisha akautoa mtalimbo wangu ndani ya boksa yangu na kuanza kuunyonya kiufundi japo ilimuwia vigumu kutokana na unene wa mtalimbo wangu , aliu ramba kiufundi kichwani na kunifanya nihisi raha mpaka miguu ikaanza kukosa nguvu maana nilikuwa nimesimama pembeni ya kitanda, nikaona nisipige bao kabla mechi haijaanza nikamwomba asitishe tuanze mechi lakini alikataa akidai jana nilimuonea sana asinge taka shoo ya kibabe kama ile kwani hali yake bado haikuwa imetengamaa vizuri


Nilimwacha akazidi kuinyonya mboo yangu kiufundi kutokana na utamu nilioupata nikajikuta nami naanza kumpampu kwa nguvu mdomoni na kutokana na ukubwa wa mboo yangu nilijikuta na mzuia kupumua huku nikizidi kuigandamiza japo iingie yote


"ohhhhhh!!!! oppppsaahhhhh!!!!!"sauti za utamu zilinitoka


ghafla alinisukuma "we kijana unataka kuniua na hili dude lako nyoooko!!!" alisema mama Zena


Sikutaka kumjibu chochote nikamvuta na kumbeba nikaizungusha miguu yake nyuma ya kiuno changu na kuuzamisha mtarimbo wangu wote ndani ya kitumbua chake , nikaanza kumkatia mauno ya nguvu nikiwa nime simama nikuhakikisha mohogo wangu ulisugua pande zote wakati huo tukiendelea kunyonyana ndimi kiufundi hakika wote tulijihisi tupo sayari nyingine , nilihamia kwenye yake shingo na kuanza kuinyonya kama pipi huku pia ulimi ukitalii masikioni kwake


" 00hhhhppppssss!!!!!!!!ingiza yote!!!!!!!!!!!!mwangizewe!!!!!!!!!!!tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ohhhwiiii!!!!!!!!!!! neneee!!!!!!!!!!!!!! Mali..ya......!!!!!!kooo!!!!!!!!!nimekupa!!!!!!!!!oshhhhhhhhhh!!!!! utanuiwaa!!!!!!.....kijana!!!!! "


Ni maneno na miguno ya kimahaba aliyotoa mama Zena huku nikimvujia viuno vya mwendo kasi wakati huo nime mbeba na msurubu vilivyo...


ghafla mlango ulifunguliwa....



Mlango umefunguliwa tena duuh!!! Leo nimefumwa



Je nini kitaendelea ?? usikose sehemu ya kumi ..





Ashhhhiii!!!!!!!tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ohhhwiiii!!!!!!!!!!! Opppppppsssss!!!!!!!!!!!!!! Maliya......!!!!!!kooo!!!!!!!!!nimekupa!!!!!!!!!oshhhhhhhhhh!!!!! utanuiwaa!!!!!!.....kijana!!!!! "


Ni maneno na miguno ya kimahaba aliyotoa mama Zena huku nikimvujia viuno vya mwendo kasi wakati huo nime mbeba na msurubu vilivyo...


ghafla mlango ulifunguliwa....



.......endelea.......


Aliingia Zena kwa pupa bila kujua kinachoendelea lakini alipotazama kitandani niliona ameufunika mdomo wake kwa mkono huku akitoa macho ya kutoamini alicho kiona papo hapo bila kusema chochote nguvu zikamuisha akaanguka chini na kuzimia wakati huo mimi nguvu ziliniisha nikajikuta mtarimbo wangu umelala kwa hofu na hamu ya kuendelea na mechi ili niisha kabisa nili mtua kitandani mama Zena na wote tulikuwa tumejifunika na vipande vya shuka sehemu za siri kwa aibu


Nilimtazama mama Zena ambapo baada ya mwanaye kuanguka alianza kutetemeka nikaona ana nyanyuka pale kitandani na bila hata kujisitiri na chochote ikiwa na maana alikuwa uchi akawa anaenda kumnyanyua Zena nikaona nisipotumia akili mambo yataharibika zaidi nikachukua kipande cha khanga nikamrushia ajisitiri , nikavaa suruali yangu haraka na kuchukua shati langu nikatoka nje ya chumba kile na kumwambia mama Zena ajitahidi kumkokotabmpaka sebuleni kwani niliogopa huenda mzee Saidi angerudi na kunikuta chumbani kwake huku mkewe akiwa na khanga moja ange nihisi vibaya


"nenda kavae niache mimi nimpepee"nilimwambia mama Zena baada ya kufanikiwa kumfikisha Zena sebuleni na kumlaza kwenye kitanda alichozoea kulala


"hapana usimpepee ngoja nakuja" alinijibu mama Zena na kuondoka kuelekea chumbani


Baada ya kitambo kidogo aliondoka na kurudi akiwa amevaa mavazi mekundu akionekana kama mganga wa kienyeji huku mkononi ameshikilia kibuyu


Kwa kweli hali ile ilinishitua kidogo lakini yeye akanituliza akiniambia ndiyo njia yakuzuia tulicho fanya kisijulikane na yeyote,sikuwa na la kubisha nilisogea pembeni nimuache afanye alicho hitaji..


Mama Zena alisimama pembeni na alipo lala Zena akanyanyua kibuyu chake juu kwa mikono miwili na kuanza kutamka maneno ambayo sikuweza kuyaelewa kadiri alivyo tamka ndivyo spidi ya utamkaji wa maneno ilivyozidi kuongezeka akiyarudia rudia kisha ghafla alinyamaza na kumimina majimaji kutoka kwenye kibuyu kile akimnynyuzia Zena kichwani alirudia kufanya hivyo mara sita kisha akakifunika kibuyu na kuondoka sebleni pale bila kuongea chochote


Nikiwa pale sebuleni nilimuona Zena akianza kujigeuza nakupumua vizuri hapo nikaamini dawa ya mama yake imefanya kazi lakini bado kichwani nikabaki najiuliza endapo akiamka itakuwaje maana lazima atakumbuka tu..


Mama Zena naye baada ya muda alirejea pale sebuleni akiwa ame vaa khanga moja tena sasa akiikunja ambapo alipoijifunga iliishia juu ya magoti na kunipa nafasi ya kuyaona mapaja yake yaliyo jaa vizuri na umbo lake matata lenye uwezo wa kumsisimua mwanaume yeyote rijali


Mara mama yule akaiangusha khanga aliyokuwa avaa pale pale huku akinitizama kwa macho ya mahaba akaniambia


"jamani Sam uliniacha katika hali mbaya naomba japo kidogo tu nizipunguze yani hapa mwili wote nahisi joto huku chini ndio balaa nipe hata kimoja tu kitanitosha"alisema mama yule na bila aibu na kuwaza kwamba tulikuwa sebuleni na tena alipo lala mwanaye akanivamia na kuishusha suruali yangu akaitoa bunduki yangu ambayo ilikuwa imelala kutokana na hofu niliyo kuwa nayo akaishika ikiwa katika hali hiyo hiyo na kuinama kisha akaigusisha kwenye mashavu ya kitumbua chake, nilihisi kama nimepigwa shoti ambapo

ghafla mtalimbo wangu ulisimama tena kwa nguvu ajabu huku damu ikinichemka kwa hamu ya kufanya ngono..


Mama Zena haraka aliuchukua mtarimbo wangu na kuuingiza kwenye kitumbua chake japo ulizama kwa shida kidogo nilimsapoti kwa kuugandamiza mpaka ulipozama wote kisha kama kawaida yake akaanza kunizungushia viuno huku amejishikiza ukutani kwa mikono yake

ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog