Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

NIPE BHANA - 5

   


Chombezo : Nipe Bhana 

Sehemu Ya: Tano (5)


Mbaya zaidi hata wasimamizi waliokuwa wakifanya kazi pale hawakuruhusiwa kutoka. Walitakiwa kukaa pale mpaka watakapofikia umri wa kushindwa kufanya kazi. Hapo ndipo walipodungwa sindano iliyokuwa na dawa yenye uwezo wa kuharibu kumbukumbu zao. Wengi walitoka pale wakiwa wamechanganyikiwa.

Siku moja wakati wa usiku nikiwa katika mipango yangu ya kupeleleza ili kuvumbua njia ya kutoka nje ya eneo lile, niliona watu wawili wakitembea harakaharaka huku sura zao wakizifunika na kofia zilizoweka ugumu kwao kutambuliwa.

Nilimtaka mzee Suleimani, mtumwa mwenzangu ambaye aliungana nami katika kutafuta njia ya kutoroka ajifiche pahali na kunisubiri kisha nikatoka nikinyata kuwafuata wanaume wale.

Hatimaye nilifika mpaka lilipokuwa eneo la wazi nikaona wanaume wale wakitoa mashine fulani hivi katika makoti yao na kuanza kutoboa mwamba. Walifanya hivyo kwa takribani nusu saa kisha kama walivyokuja wakaondoka kwa tahadhari. Hapo nilijificha ili wasinione, walipopita nilivuta hatua mpaka eneo walipokuwa wakitoboa mwamba na kuangalia. Niliona sehemu kubwa ya mwamba mkubwa ikiwa imetobolewa tundu kubwa ambalo halikufika upande wa pili. Hapo nikajiapiza kuwatafuta watu hao niungane nao katika kusuka mpango wa kutoroka.

Nilirudi kwa mzee Sulimani na kumueleza kila kitu ambapo aliniambia kuwa ni mzoefu eneo lile na alijuana na wasimamizi wengi katikaeneo hilo hivyo isingekuwa ngumu kuwatambua watu hao. Niliachana na mzee huyo kila mtu akielekea katika sehemu yake ya kulala.

Asubuhi ya siku iliyofuata niliishiwa nguvu baada ya kuushuhudia mwili wa mzee Suleimani ukitolewa nje ya uzio mkubwa wa umeme wa eneo lile na kutupwa korongoni.

Nilipofuatilia kwa undani niliambiwa alipokea kipigo kutoka kwa wasimamizi baada ya kuonekana akitokea kusikojulikana katika muda ambao alitakiwa kuwa katika sehemu ya kulala.

Moyo uliniuma kupitiliza, nilikumbuka maneno aliyokuwa akinambia mzee huyo siku chache zilizopita wakati tukipambana na zile kazi za kitumwa, kuwa alikuwa na familia ya mke na watoto wanne wadogo ambao wote walimtegemea hivyo kurudi kwake kungekuwa faraja tosha kwa familia hiyo aliyoielezea kama iliyokata tamaa.

Niliapa kabla sijaondoka eneo lile lazima ningelipa kisasi kwa kifo cha mzee huyo kwani damu yake ilimwagwa bila hatia.


Yote hayo yalikuwa ndani ya kichwa changu lakini je, ningewezaje kutoka katika eneo lile lililokuwa na ulinzi wa kila aina.


Usikose muendelezo.




Moyo uliniuma kupitiliza, nilikumbuka maneno aliyokuwa akinambia mzee huyo siku chache zilizopita wakati tukipasua miamba kuwa alikuwa na familia ya mke na watoto wanne wadogo ambao wote walimtegemea hivyo kurudi kwake kungekuwa faraja tosha kwa familia hiyo aliyoielezea kama iliyokata tamaa.

Niliapa kabla sijaondoka eneo lile lazima ningelipa kisasi kwa kifo cha mzee huyo kwani damu yake ilimwagwa bila hatia.


Yote hayo yalikuwa ndani ya kichwa changu lakini je, ningewezaje kutoka katika eneo lile lililokuwa na ulinzi wa kila aina.


Endelea..


Usiku wa siku hiyo nilirudi tena katika lile neo la siri ambapo wale watu wasiojulikana walifanya taratibu za kutoboa mwamba waweze kutoroka. Lengo langu lilikuwa kukutana nao na kufahamiana nao.

Baada ya kusubiri kwa takribani nusu saa, katikati ya giza nene niliona vivuli vya watu wawili waliokuwa wakijongea sehemu ilipokuwa miamba.

Nikajinyanyua taratibu na kuwafuata mbele yao. Waliponiona kwa haraka walichomoa bastola viunoni mwao na kuninyooshea wakitaka nitulie.

"Wewe ni nani na umefuata nini huku ?, sema haraka la sivyo tunakutoa ubongo"alisema mmoja wa wanaume wale ambaye aliificha vizuri sura yake.

Mwenzake akatoa tochi iliyokuwa na mwanga mkali na kunimulika usoni.

"Mimi ni mtumwa niliye na mawazo sawa na nyinyi nahitaji kutoroka eneo hili"niliwaambia kwa kujiamini nikitumia kiingereza.

"Ohoo !! Wewe ndiye yule mtumwa uliyepatikana kwenye ajali, si ndiyo ? " mmoja wao aliniuliza kwa kauli ya kejeli.

"Kwahiyo umekuja kutudai pesa zako au ? " alifuatia mwingine.

"Hapana mnanielewa vibaya, ninachohitaji ni kutoka katika eneo hili la kitumwa pekee sihitaji chochote kwa kuwa sikuja na chochote"niliwajibu kistaarabu.

Hapo kidogo niliwashawishi. Taratibu wakazishusha silaha zao na kuzirudisha kiunoni kisha wakafunua sura zao nikaweza kuwatambua.

Naam, walikuwa wale wazungu wawili waliochukua kiasi kikubwa cha fedha kilichokuwa katika Taxi niliyopata nayo ajali.

Kuanzia hapo undugu ukajengeka na wazungu wale waliojitambulia kwa majina Tim Cahil na Mathew Pince. Walinieleza kila kitu kuhusu mpango wao wa kutoroka wakiniweka wazi kuwa waliamua kufanya hivyo baada ya kuona wanalipwa pesa ndogo huku matajiri wao wakivuna mabilioni ya dola. Mbali na yote kiasi kikubwa cha fedha za kampuni ile zilizokuwa zikihifadhiwa katika mitambo maalumu iliyokuwa chini ya ardhi, walinipa siri kuwa tayari waliweza kuiteka na kufanikiwa kuhamisha pesa hizo nje ya ngome ile hivyo kitendo cha kupata zile dola kadhaa zilizokuwa katika begi kingewawezesha kupata fedha kwa ajili ya usafiri mpaka nchini Jamaika ambako huko ndiyo mabilioni ya dola waliyoiba yalihifadhiwa.

Walinitahadhari kushirikiana nao kwa umakini na usiri mkubwa kwani iwapo jambo lile lingevuja basi hakuna ambaye angeachwa hai, kutokana na sheria kali za eneo lile zilizoruhusu adhabu ya kifo kwa yeyote aliyekwenda kinyume.

Siku zilikatika kila siku tukiwa na ratiba ya kuhudhuria eneo la miamba na kuicharanga kwa mashine, jambo hilo likifanyika kwa siri mno bila kugundulika na yeyote. Hatimaye ulifika wakati tulipofikia karibu kutoboa upande wa pili wa jiwe lile. Ni wakati huo tuliopanga kutoroka. Mbali na kutoroka tuliweka mipango mingine ya kuharibu kila kilichokuwa kikifanyika katika eneo lile.

Usiku huo kwa kuwa tulijipanga kwa muda mrefu tulianza kwa kutega mabomu sehemu mbalimbali za eneo hilo hasa ilipokuwa mitambo ya kuyeyusha madini hayo.

Mabomu hayo tukiyawekea muda mrefu wa masaa matatu ambao tuliona ulifaa kutuwezesha kutoa idadi kubwa ya watumwa waliokuwa katika eneo lile. Kisha tukaanza mauaji ya kimyakimya ya walinzi na wasimamizi wa mgodi huo. Ndani ya nusu saa hakukuwa na mlinzi wala msimamizi aliyekuwa hai kwani tulikuwa hatari zaidi ya simba tukivunja shingo zao kama kuni na kumimina risasi zilizotoka katika silaha isiyokuwa na sauti.

Tim Cahil tulimpa kazi ya kuanza kuwatoa watumwa nje kwa kuwa yeye alijua sana maeneo mbalimbali nje ya mgodi ule.

Mimi na Mathew tukaingia ndani ya lango kuu zilipokuwa ofisi kuu za wasimamizi wa mgodi ule huku kukiwekewa ulinzi mkali wa binadamu pamoja na silaha nzito zilizoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta.

Tulipanga kila mmoja achukue njia yake tukutanie ndani ya ofisi kuu ya mkurugenzi na msimamizi mkuu wa mgodi ule.

Nilichukua hatua za haraka mpaka ulipokuwa ukuta nikajinyanyua na kuchungulia upande wa ndani. Huko walionekana walinzi sita wakiwa wamevalia mavazi ya kipolisi yaliyofunika kila sehemu katika miili yao nikimaanisha mpaka sehemu ya kichwani walivalia kofia kubwa zachuma zilizofunika kichwa kizima huku kukiwa na mtungi mdogo wa gesi migongoni mwao. Mtambo maalumu wa risasi ulioendeshwa kwa kutumia kompyuta ulikuwa ukizunguka huku na kule kuhakikisha usalama. Niliujaribu mtambo ule kwa kuchukua jiwe dogo na kulitupa angani ndani ya mipaka hiyo ambapo papohapo lile jiwe lilisagwa kwa risasi kali iliyotolewa katika hali ya ukimya kabisa. Hapo nikaweza kuiona hatari iliyokuwa mbele yangu endapo ningeingia ndani ya ukuta ule kizembe.

Nilichekecha akili kwa haraka na kugundua kitu, mavazi waliyovaa walinzi wale huenda yalikuwa na kifaa maalumu kilichozuia mashine ile yamashambulizi kuwadhuru, hivyo wazo likawa niitoe roho ya mmoja wa walinzi kisha nivae mavazi yake na kuingia kwa urahisi mpaka ndani. Lakini wazo hilo lilipigwa vikali na upande wa pili wa ubongo wangu ulionijulisha kuwa sikuwa na uwezo wa kupenya ndani mpaka kuwafikia walinzi hao.

Wazo jingine lilijijenga baada ya kuutazama mtambo ule kwa makini wakati ukizunguka na kuona taa ndogo nyekundu iliyofunikwa na kioo kilichofanana na lensi ya kamera.

Nipige risasi kioo kile na kuharibu kamera iliyopeleka mawasilino katika mashine za kompyuta.

Nilisubiri mpaka mzunguko mwingine na kuiweka bastola yangu vizuri nikalenga kwa umakini mkubwa. Ilipoonekana ile taa nyekundu niliachia risasi iliyokwenda moja kwa moja na kupasua kioo kilichoifunika ambapo taa ile ndogo ilizima kwa kuharibiwa vibaya na risasi.

Ghafla mtambo ule ulijigeuza na kuanza kuwamiminia risasi za kushitukiza walinzi wale ambao kwa mstuko wengine waliokuwa ndani nao walitoka na kukutana na kizaazaa cha kumiminiwa risasi nyingi ziliyoifanya miili yao chekecheke. Hapo nilijipongeza kwa akili hiyo ingawa ilitokea kama bahati.

Alitoka milinzi mmoja aliyekuwa na mwili mkubwa mno ambaye alibahatika kujikinga na risasi zile kwa kujibanza ukutani huku risasi moja ikifanikiwa kulisurubu bega lake la mkono wa kulia.

Katika hali ya maumivu alitoa kipaza sauti na kuzungumza na upande wa pili akiwataka kuuzima mtambo huo. Sekunde chache baadae kila kitu kilitulia baada ya mtambo huo kuzimwa.

Nikatumia nafasi hiyo kuruka ukuta na kuingia ndani ya mipaka hiyo. Kwa kuwa taa za eneo hilo ziliharibiwa kwa risasi hivyo giza lilitawala. Nilichukua hatua za kunyata huku nimeishika bastola yangu mkononi na kwenda moja kwa moja mpaka alipokuwa yule mlinzi mwenye mwili mkubwa ambaye naye ghafla alianza kunirushia risasi. Nilijibanza ukutani na kutulia kisha haraka nikaachia risasi mbili mfululizo. Hapo ukasikika ukelele wa maumivu kutoka kwa mlinzi yule nilipochungulia nilimuona akigaragara chini. Nikachukua hatua za taratibu mpaka alipokuwa na kuachia risasi iliyotua katika paji lake la uso.

Kwa umakini zaidi nilipiga hatua na kuingia katika mlango ulioelekea katika ofisi za mkurugenzi wa mgodi huo. Walinzi niliokutana nao wote niliwaacha chali kwa risasi za kushitukiza.

Hatimaye nilitazamana na mlango wa ofisi hiyo. Hapo nikaweka silaha yangu kiunoni na kupiga hatua za haraka.

"Tulia hivyohivyo, jiguse tukusindikize ahera." ilisikika sauti ya mwanume nyuma yangu.

Niligeuza shingo yangu na kujikuta katikati ya kundi la walinzi waliokuwa na miili mikubwa kama yule niliyemuulia huko nje. Hawakuwa na silaha lakini walijiamini kupitiliza.

Kwa haraka nilichoma bastola yangu na kutaka kuachia risasi lakini kabla sijafanya hivyo teke kali lilitua katika mkono wangu na kuisambaratisha bastola ile.

Yakafuata mateke matatu kutoka pande zote tatu walizokuwa wanaume wale watatu. Yote yalitua kifuani mwangu.

Kutokana na udhaifu wa mwili wangu, nilijikuta nikitema damu na kuanguka. Wanaume wale wakaanza kunishambulia pale sakafuni kwa kunikanyaga na viatu vyao vikubwa huku mateke mengine yakitua katika uso wangu.

Damu nyingi ilivuja katika mdomo na pua yangu.

Papo hapo ulisikika mlio mkubwa wa risasi uliowaangusha chini wanaume wale. Kisha zikafuata risasi nyingine katika migongo yao.

Alikuwa kijana wa kizungu Mathew, alinipa mkono na kuninyanyua.

"Kaka leo ungekiona cha mtema kuni"alinitania mzungu huyo.

Hapo tukacheka kwa pamoja na kuingia katika ofisi ya mkurugenzi wa mgodi huo bwana Petrison.

Ofisi ilikuwa tupu, hakukuwa na mtu yeyote.

Haraka tulitoka nje ya chumba kile tukikimbia ni baada ya kusikia minong'ono ya watu.




Papo hapo ulisikika mlio mkubwa wa risasi uliowaangusha chini wanaume wale. Kisha zikafuata risasi nyingine katika migongo yao.

Alikuwa kijana wa kizungu Mathew, alinipa mkono na kuninyanyua.

"Kaka leo ungekiona cha mtema kuni"alinitania mzungu huyo.

Hapo tukacheka kwa pamoja na kuingia katika ofisi ya mkurugenzi wa mgodi huo bwana Petrison.

Ofisi ilikuwa tupu, hakukuwa na mtu yeyote.

Haraka tulitoka nje ya chumba kile tukikimbia ni baada ya kusikia minong'ono ya watu.


Endelea..


Tulipofika nje tuliona kundi la watu watano likitokomea gizani. Hatukutaka kuwapoteza. Mathew alinieleza kuwa aliweza kutumia ule mtambo wa risasi hivyo ingekuwa rahisi kuwamaliza iwapo walitaka kutoroka kwa kupanda ndege. Tuliongozana mpaka kilipokuwa chumba kikuu cha mawasiliano cha eneo lile na kuchukua nafasi. Mathew akaanza kucheza na zile kompyuta ambapo aliniambia kuna system alikuwa akijaribu kuirudisha ili kuuboost ule mtambo ambao ulikuwa down.

Alijitahidi kwa dakika kadhaa hatimaye alifanikiwa. Katika sehemu ya dirisha ya ghorofa ile kwa mbali niliweza kumuona bwana Petrison na walinzi wake wakipanda katika helikopta ambapo baada tu ya helikopta ile kuanza kuzungusha mapanga yake Mathew alibonyeza kitufe fulani katika kompyuta ambapo ghafla niliona bomu likiifuata ile helikopta na kuilipua.

"f***k them"alisema Mathew kisha ghafla ilisikika sauti ya ndogo ya kimulimuli pembeni kukionekana bomu lililohesabu dakika moja kusalia.

Hapo tulitoka haraka ndani ya chumba kile na kukimbia kwa kasi kuelekea nje ya eneo la mgodi ule ambapo kila mahali kuliwekwa mabomu ikimaanisha bwana Petrison hakutaka kutuacha hai baada ya kutoroka. Ukichanganya na mabomu mengi tuliyotega, eneo lile lilizidi kuwa hatari zaidi.

Tulikimbia kwa kasi mno ambapo bahati nzuri tuliweza kufika nje ya mgodi ule kwa kupitia njia ya jiwe tulilotoboa. Ndipo uliposikika mlipuko mkubwa uliosababisha tetemeko kubwa la ardhi. Mawe yale yalianza kuaguka na kutufuata sehemu ya chini tulipokuwa tukiendelea kukimbia.

Kwa mbali tulisikia kelele kubwa za vilio. Mawe yale makubwa yalifululiza kuanguka yakishuka eneo lile lililokuwa na mwinuko kwa kasi na kuelekea upande wa chini tuliokuwa. Hapo nikamwambia Mathew tusipokuwa wajanja tutafia kule. Tulishika njia na kuanza kupanda mwinuko ule katika eneo ambalo yalianguka mawe madogo. Huko ilikuwa rahisi kuyakwepa ingawa tulisurubiwa na machache yaliyotupata. Tulijikongoja mpaka sehemu ya juu kabisa ya mwinuko huo mbali na eneo la ule mgodi. Ghafla ukasikika mtetemo mkubwa wa ardhi. Mtetemo huo uliambatana na mlipuko mkubwa ulioturusha mbali sana katika eneo la tambarare. Ni wakati ambao mashine za kusafisha kuyeyushia madini yale hatari ya nyuklia ilipolipuka kwa nguvu ya ajabu. Tetemeko la ardhi liliendelea kwa dakika kadhaa kisha kukatulia. Kwa mbali lilionekana wingu zito angani katika giza nene.

Hali ya hewa katika eneo lile ikaanza kuwa mbaya. Nilianza kukosa uwezo wa kupumua vizuri, hatimaye nilishindwa kabisa. Katika kukabiliana na hali hiyo mwili wangu haukuwa na budi kujizima. Nilipoteza fahamu.

Baridi kali ya asubuhi, ilinitoa katika usingizi ule wa kifo. Nilipiga chafya na kupumua kwa nguvu. Nilijaribu kujinyanyua katika ardhi ile iliyojaa majani mafupi na mawe mengi madogo lakini mwili haukuwa na nguvu. Nilitulia na kuvuta mafundo kadhaa ya hewa, kidogo nguvu zikarejea.

Nikajinyanyua na kukaa, nikaangaza macho huku na kule sikumuona mathew,nikaanza kuita kwa nguvu huku nikipiga hatua za haraka nikitafuta huku na kule. Kwa mbali nikasikia sauti ya mtu akipiga chafya. Nikaita tena kwa nguvu. Kwa mbali ukaonekana mkono wa mtu ukinyooshwa. Nikachukua hatua za haraka na kumkuta Mzungu Mathew akijitahidi kujinyanyua.

"Leo ungekiona cha mtema kuni" nikamwambia kwa lugha ya kiingereza huku nikimpa mkono kumnyanyua hapo tulijikuta tukicheka kwa pamoja.

Tulitazama mbele yetu kwa mbali tukaona moshi mkubwa kifuka. Hapo kumbukumbu zetu zikaturudisha katika matukio ya nyuma. Tukawakumbuka watumwa pamoja na rafiki yetu Tim Cahil.

Ni kama akili zetu zilichanganyikiwa kwani tulijikuta tukitoka nduki huku tukiita kwa sauti. Ulikuwa umbali mrefu mno. Halikusikika jibu kutoka upande wa pili. Hatimaye tulifika eneo ulipokuwa mgodi ule. Hakukuwa na dalili ya chochote kuwepo pale zaidi ya shimo kubwa sana lililokuwa na udongo mweusi mno.

Shimo hilo lilifika mpaka sehemu ya chini kabisa ya lile korongo. Tulijaribu kuita kwa nguvu tukiangaza huku na kule lakini hakukuwa na majibu.

"Tim"alisema mzungu Mathew na kupiga magoti nguvu zikimuishia. Alimpoteza rafiki yake kipenzi waliyejuana tangu utotoni. Upande wangu niliumia sana kwa kupoteza uhai wa mamia ya watumwa ambao katika ukweli na haki hawakustahili kufa kifo kibaya na cha maumivu kiasi kile. Hatukuwa na jinsi ya kuubadili hali ile ila ukweli ulikuwa hivyo. Kilichonishangaza zaidi ni kuwa pamoja na mlipuko ule mkubwa hakukuwa na dalili yoyote ya polisi au vyombo vya habari katika eneo lile.Nilimpa mkono Mathew na kumtaka tuondoke eneo lile tukatafute njia nyingine ya kupata zile fedha zilizokuwa Jamaika, ambazo kwa mahesabu yangu nilijua zingekuwa msaada mkubwa katika kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya kikatili ya wazazi na ndugu zangu.

Tulitembea mpaka ilipokuwa barabara kuu na kuomba lifti gari ndogo ya zamani aina ya Mandolini ambayo kwa bahati nzuri ilielekea kilipokuwa kijiji cha Msombe alichoishi mzee Said. Dereva wa gari ile pamoja na msaidizi wake walitushangaa sana hasa kijana wa kizungu Mathew, kwa jinsi tulivyochafuka miili na mavazi yetu. Pia hali ya kudhohofu sana iliyokuwa imeutafuna mwili wangu, nayo iliwafanya kututupia macho yenye maswali mengi. Uzuri watu hao hawakuwa na maswali. Tulikaa katika bodi la gari hiyo tukipigwa vilivyo na jua la mchana.

Kutokana na mwendo pole wa gari ile jioni majira ya saa kumi na moja ndiyo wakati dereva alipofunga breki tukiwa ndani ya kijiji cha Msombe. Macho ya wakazi wa eneo lile hayakuacha kutushangaa hasahasa wakimshangaa mzungu Mathew.

Kwa kuwa niliishi katika kijiji hicho kwa kipindi fulani, sikuwa mgeni wa eneo hilo. Nilishika njia nikifuatana na Mathew kupitia kichochoro kilichotupeleka moja kwa moja mpaka katika kichochoro kingine ambacho tulinyooka nacho mpaka nyumbani kwa mzee Saidi.

Nilipigwa na butwaa. Nyumbani kwa mzee yule palikuwa tofauti kabisa na nilivyo paacha kipindi cha nyuma. Palibadilika mno.

Ilijengwa nyumba kubwa ya kifahari iliyokuwa na kila kitu uziomkubwa wa ukuta na geti. Vilituzuia kuona yaliyokuwa yakiendelea ndani ya nyumba hiyo. Mshangao wangu Mathew aliuona na kuniuliza kulikoni, nikampa jibu kuwa sehemu ile haikuwa kama nilivyoiacha kipindi cha nyuma.

Mbele ya geti hilo kulijengwa barabara pana ya moramu iliyokuwa ikielekea mbali mno.

Niligonga geti na kusubiri. Akatoka

mlinzi na kutusalimu akihoji juu ya ujio wetu.

"Nina mtafuta mzee Said"

"Yupi huyo, bosi au ? "

"Ndiyo"

"Na nyinyi watu wengine bana inamaana haujui kuwa bosi anakazi nyingi, yupo ofisini kwake huko mjini, au unazani kwa kuwa uko na huyu kapuku wa kizungu atawasaidia mkimwomba msaada ? " aliongea maneno hayo ya kejeli mlinzi yule wa kisambaa na kutaka kufunga geti, nikamzuia.

"Mkewe naye hayupo"

"Cha yupo lakini hawezi kuzungumza na ombaomba kama nyinyi"

"Sawa naomba umuite basi"

"Nimewaambia hamna hadhi ya kuongea naye"aliongea mlinzi yule na kufunga geti lakini sauti laini ya kike ilimfanya atulie.

"We, Rama kuna nini hapo"

"Kuna ombaomba hapa wanaleta vurugu, eti wanataka kuonana na mzee Said"

"Hebu waruhusu labda wana jambo la muhimu"

Hapo mlinzi yule alitupisha tukaingia ndani ya geti. Mbele yangu nilitazamana na mama Zena mke wa mzee Saidi. Hakika alinawiri na kutakata mno. Alionekana kama binti mdogo wa miaka ishirini na saba mpaka thelathini. Umbo pamoja na ngozi yake nyeupe kiasi na angavu vilizidi kuupamba mwili wake uliositiriwa ndani ya dera la rangi ya pinki.

"Sam, ni wewe kweli ? "aliongea mama yule akiwa katika hali ya mshangao.

"Ni mimi mama Zena, ya dunia mengi ila tushukuru kuwa hai" nilimjibu.

"Pole kwa yaliyokukuta, mwaya ni misukosuko ya maisha tu hiyo itapita"

"Nashukuru kusikia hivyo, mpo salama lakini nyinyi"

"Ndiyo kama unavyoona, Alah katubariki

"Karibuni ndani jamani jisikieni mpo nyumbani"

Tulikaribishwa kwa namna hiyo na kuingia ndani katika nyumba ile iliyokuwa na kila kitu ambacho nyumba ya kisasa ilitakiwa kuwa nacho. Kabla ya yote kila mtu aliingia bafuni na kujimwagia maji. Kisha ukafuata msosi wa kutosha uliokuwa na kila aina ya kirutubisho tukimaliza na glasi ya maziwa ya mtindi pamoja na matunda pembeni.

Baada hapo zilifuata simulizi ndefu za maisha kutoka kipindi tumeachana mpaka wakati ule. Ambapo sikumficha kwa chochote mama yule nilimwambia kila kitu mpaka kufikia hatua ya kukutana na mzungu Mathew na kuwa muuaji asiye na huruma. Mama huyo alisikitishwa sana na simulizi yangu lakini akinisifu kwa kuwa mwanaume shupavu na kunitaka kupambana mpaka nitakapo kamilisha mipango yangu.

Naye alinieleza mengi mpaka walivyopata utajiri ule. Ambapo yote ilikuwa baada ya kijana mmoja wa kiingereza kumpenda binti yao Zena alipokuwa katika utalii na kutembelea kijiji hicho. Alizidi kunieleza kuwa kwa sasa Zena alikuwa nchini Italia akisomea maswala ya ulimbwende kama alivyotaka mwanaume wake huyo ambaye hakuwa amefunga naye ndoa. Lengo la mwanaume huyo likiwa kumfanya msichana Zena "Miss World"(mrembo wa dunia) kutokana na uzuri wa kupitiliza aliokuwa ametunukiwa na muumba.

Maneno hayo yaliniingia vizuri na kuuchoma moyo wangu ambao siku zote ulikuwa ukimuwazia msichana huyo kama mwanamke wa maisha yangu. Ila hapo nilizidiwa kete. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuonyesha tabasamu katika uso wangu nikimpongeza mama Zena kwa kufikia hatua hizo , lakini moyoni niliumia kupitiliza.

"Kwa hiyo muda si mrefu utakuwa mama wa miss world"nilimwambia mama Zena kwa kumtania tukajikuta tukicheka kwa pamoja.

"Ila umkonda Sam, mpaka unatisha"alinitania mama Zena.

"Hatari yani nimekuwa kama kijini fulani"niliongezea utani.

"Mzee Saidi yupo wapi siku hizi"

"Dah siku hizi ni mtu wa kazi mara nyingi yupo bize, akisimamia biashara zake, leo unaweza mkuta Dar kesho Dodoma ni hivyo mwisho wa wiki ndiyo anashindaga hapa jumapili. Hivi ninavyoongea na wewe hapa yupo Nairobi kwenye mkutano ambao amesema unaweza kuchukua zaidi ya siku tano mpaka sita"alinijibu mama Zena.

"Oohh !! sawa kwahiyo siku hizi upo mpweke sana,pole."nilimwambia.

"Ndo hivyo nishazoea naona kawaida tu"

Wakati tunaongea hayo ilikuwa majira ya saa tatu usiku ambapo mzungu Mathew aliwahi kulala kutokana na uchovu hivyo nilibaki pale sebuleni nikipiga stori na mama Zena ambaye alinifanya nipoteze stress kabisa.

Alitoka kidogo na kuelekea chumbani akaniacha pale sebuleni nikiangalia Tv.

Haukupita muda mrefu alirudi akiwa amejifunga upande wa Khanga moja, iliyowezesha kuchungulia kichupi chekundu ndani yake.


Nini kitaendelea ? Usikose ijayo.


Like na comment.






Wakati tunaongea hayo ilikuwa majira ya saa tatu usiku.Mzungu Mathew aliwahi kulala kutokana na uchovu hivyo nilibaki pale sebuleni nikipiga stori na mama Zena ambaye alinifanya nipoteze stress kabisa.

Alitoka kidogo na kuelekea chumbani akaniacha pale sebuleni nikiangalia Tv.

Haukupita muda mrefu alirudi akiwa amejifunga upande wa Khanga moja, iliyoniwezesha kuchungulia kichupi chekundu ndani yake.


Endelea..


"Khaa !, siku hizi yani kuna joto, namuimbia baba Zena kila siku anunue AC lakini hatakagi kunielewa.Sam samahani kama joto linakukera mwaya"alisema mama Zena wakati huo akikaa kwenye kochi. Mguu mmoja aliulaza kwenye kochi mwingine akauweka sakafuni kisha akajiegemeza kwenye kona ya kochi. Kitendo hicho kililiacha wazi paja lake lililonawiri vizuri hali iliyomfanya askari wangu aamke kutoka katika usingizi wa muda mrefu.

"Dah, siku hizi unang'aa mwenzangu mpaka nakuonea wivu"nilimwambia kiutani wakati huo tukiendelea kuangalia filamu ya kifilipino taratibu.

"Wala sema maisha tu yamekubali labda"

"Na hilo paja lako ndo nameza mate kabisa natamani ningelitafuna"

"Haha umekuwa mbwa siku hizi ehh !, mali ya watu hii babu, shauri yako"aliniambia huku akicheka.

Hapo nikajinyanyua taratibu na kuifuata rimoti iliyokuwa katika meza iliyokuwa mbali kidogo. Wakati huo mtarimbo wangu ulikuwa umesimama vilivyo, hivyo nilifanya kama makusudi nione huyo mama atafanyaje.

"Khaa! We Sam ndo kutamani wake za watu bado hujaacha ? "

"Kwani vipi nani katamaniwa? "

"Muone na linani lako,sio kila mtu uwe unamsimamishia na wewe"

"Kwa huo mkao wako hata hanithi anasimamisha, ujue unanitega na umenikamata sasa"nilimjibu wakati huo nimeshika rimoti na kwenda kujibwaga katika kochi alilokuwa amekaa.

Nilizima TV tukabaki tunaangaliana na yule mama.

Akaniligezea macho, nikatabasamu.

"Nipe bhana".

Nilimwambia kauli hiyo wakati huo mkono wangu ulishaingia inchi kadhaa ndani ya Khanga laini hivyo ulifanya kazi ya kuyatomasa mapaja yake laini.

"Ashh !! Ooohh !! Jamani..Sam..ujaachaga tu nawewe !!aliniambia kilegevu mama Zena.

Hapo nikavua Bukta langu na vesti harakaharaka na kutupa pembeni.

Ukaonekana mwili wangu uliokonda kupitiliza, isipokuwa mpini wangu ambao ni kama ulinona zaidi. Ulimtazama mama yule ukiwa umekasirika mno maana mishipa yote ya damu ilifura kwa msukumo.

Mama Zena baada ya kuuona mpini wangu aliushika na kuanza kuunyonya kama pipi akilazimisha kuuingiza wote mdomoni ambapo aliishia kukohoa kwa kukusa hewa.

Aliendelea kuulamba kwa mahaba huku nikiendelea kuivua chupi yake baada ya kuitupa ile khanga mbali kabisa.

Kisha nikamuweka katika mkao ambao ungewezesha mimi kumnyonya tompo yake na yeye kuendeleza ufundi wa kumlamba askari wangu ulionipa raha zisizokifani.

"ohhhps !! Tamu kila mtu alifurahia tendo lile kwa namna yake.

Nilizamisha ulimi katika tompo ya mama yule iliyotota kwa nyege nakuanza kulamba kona zote.

"oshhh !!! Tamuu !! Sammm !!!,

Nipe dushelele lako nimelimiss sana"

Alisema mama Zena na kujitoa katika ule mkao kisha akapanda juu yangu na kuukalia mpini kisha nikaanza kulimenya ganda la ndizi la yule mwanamke mtamu kupitiliza.

Mechi ilitawaliwa na ufundi wa kila namna kwani ilikuwa kama watani wajadi waliokutana wakikamiana vilivyo.

"Gusa kila kona mpenzii !!! Jamani raha hizi...!!! "aliongea maneno hayo mama yule wa kitanga na kuzidi kunipandisha mizuka ya kumsurubu.

Tuliamua kuamia chumbani nikatoka nimembeba yule mama huku mpini wangu ukiendelea kumtafuna.

Tulikuja kustuka saa nne asubuhi ya siku nyingine ikiwa ni baada ya mechi ndefu iliyotamatika mishale ya saa kumi asubuhi.

Tulimkuta Mathew sebuleni akiangalia katuni ambapo alipiga makofi huku akitabasamu na kutupa hongera na pole kwa mechi tuliyocheza usiku mzima. Kwa kuwa alizungumza kwa lugha ya kiingereza mama Zena hakuweza kumuelewa. Hivyo ikawa utani kati yetu wawili.

Tulikuta tayari kijana yule wa kizungu alisha tayarisha chai, akatualika tukaenda mezani na kupata kifungua kinywa.

Maisha ya pale kwa mzee Saidi yalikuwa matamu mno kiasi kwamba yakanifanya nisahau machungu yaliyonikuta huko nyuma. Kila siku nilipiga mechi na yule mama tukilala kitanda kimoja kama mume na mke. Kwa kuwa Mathew alikuwa kijana mwenzangu jambo hilo alichukulia poa , ila tulifanya siri huko nje ili mlinzi asijue.

Mzungu Mathew naye alibahatika kupata mrembo wake wa kitanga ambaye naye walikuwa wakikutana pale nyumbani na kupeana utamu bila mtu yoyote kugundua zaidi ya mimi na mama Zena.

"Aisee warembo wa kiafrika hatari, karibu anivuje nyonga huyu"aliniambia mzungu Mathew wakati akiagana na mrembo wake msichana aliyeumbika kuliko kawaida akijaliwa na sura ya kitoto na ngozi yake ya chokoleti aliyeitwa Leylah.

Siku nne zilikatika tukiwa pale kidogo mwili wangu ulianza kunawiri na kurudi katika mvuto wake wazamani. Kwa kuwa hatukufanikiwa kuchukua lile begi la pesa lilipotea na Tim katika ule mlipuko, tulimuomba mama Shaibu kiasi kidogo cha fedha ambapo alitupatia zaidi ya shilingi milioni tatu.

Tulimshukuru tukamuaga na kuondoka, japo tulimuacha mama yule katika huzuni.

Mathew naye alimuaga mrembo wake tukaondoka akimwaidi kuja kumchukua kwa ajili ya ndoa.

Kwa kuwa pesa tuliyokuwa nayo haikutosha kutufikisha nchini Jamaika tulifikiria njia nyingine ambayo ingetuwezesha kupata hela. Mzungu Mathew akatoa wazo lake.

Baada ya kufanikiwa kuingia nchini Kenya kupitia njia za panya tuliweza kupata kadi za kusafiri. Saa nne baadae tulikuwa ndani ya ndege kubwa ya Emirates tukielekea nchini Australia. Saa sita baadae tulikuwa ndani ya jiji la Stockholm. Moja kwa moja tuliingia katika baa fulani na kutulia.

Ndani ya baa hiyo walionekana vijana wengine kama sisi waliokuwa wakizungumza na wanawake wa kizungu walionekana kuwa na umri wa makamo kati ya miaka arobaini mpaka hamsini.

Tuliagiza bia na kuanza kunywa taratibu.

"Akija mwanamke,ondoka naye uhakikishe unampa penzi zito, tukamilishe mpango"aliniambia Mathew kwa kutumia kiingereza.

Nilikubali na kutulia. Kidogo akaja mama wa kizungu mwembamba kiasi mrefu kidogo ingawa alikuwa katika utu uzima lakini usichana haukumpotea.

Alianzisha maongezi na mimi nikajiweka katika hali ya ucheshi nauelewa na kweli kama alivyoniambia Mathew mama yule wa kizungu alinitamkia bila aibu alihitaji mapenzi na mimi usiku ule. Sikuwa na cha kupinga nilichukuana naye tukapanda katika gari ya kifahari aina ya marcedez na kuelekea katika eneo ilipokuwa hoteli kubwa ya kifahari ya nyota tano.

Mzungu Mathew naye alichukuana na jimama wake na kuelekea kusiko julikana. Tulipanga kuwasiliana baada ya mpango huo tulioupa jina la Mission to Stockholm kukamilika.



Mzungu Mathew naye alichukuana na jimama wake na kuelekea kusiko julikana. Tulipanga kuwasiliana baada ya mpango huo tulioupa jina la Mission to Stockholm kukamilika.


Endelea..

Muda mchache baadaye nilikuwa ndani ya gari ya kifahari aina Mercedez iliyokuwa ikikata mitaa mbalimbali katika jiji la kitajiri la Stockholm. Dereva wangu ambaye ndiyo yule mwanamke aliyehitaji huduma kutoka kwangu, aliendesha taratibu kama mwanamwali. Huko ndani ya gari niliendelea kuyachezea mapaje yake laini. Katika umri wa makamo mama yule alionekana kama binti mbichi. Nazani ni kwa sababu ya tabia ya kizungu ya kuijali miili yao kwa kufanya mazoezi na kuwa na nidhamu katika chakula.

Maongezi yaliyotawaliwa na ucheshi wa hapa na pale, yalichukua nafasi.

Gari ilipaki nje ya hoteli kubwa ya nyota tano. Kikaagizwa chakula cha kizungu, nilichokula pamoja na mama yule tukiwa katika huba ya kweli kwa jinsi tulivyogandana.

Saa mbili na nusu usiku. Tulichukua chumba na kuanza sekeseke. Haikuwa vita wala ugomvi. Lilikuwa sekeseke la mahaba.

Mwanamke yule wa kizungu hakutaka nipumue baada tu ya kutia mguu pale chumbani. Aliufuata mdomo wangu na kuanza kupata utamu. Mikono yake haikucheza mbali na duduwasha langu ambalo tayari lilishajua kilichotakiwa kutendeka.

Tukavuana nguo mithili ya vichaa, hatimaye ndani ya sekunde kadhaa, tulikuwa kama tulivyotoka katika matumbo ya uzazi.

Dushelele langu lilianza kunyonywa mithili ya pipi kijiti au ice cream. Hakika mama huyo wa kizungu alijua kucheza na mtarimbo. Kila alivyolamba alinifanya nitoe miguno ya kiume, hapo nikawa na muhimiza zaidi kwani ndio alivyozidisha utundu akilazimisha mpini wangu kuingia mpaka ndani ya koo lake.

Wakati huo niliendelea kucheza na makalio yake ya wastani nikifanya kuyapigapiga.

Akajiweka katika mkao ulioniwezesha kuinyonya vilivyo tompo yake iliyokuwa imepambwa kwa vinywele laini vilivyokatiwa vizuri.

"Ohhh !!! Yess !!!! Lick it babe !! "

Alilalama mama yule huku akiitanua miguu yake vizuri ilikuupa ulimi wangu nafasi ya kupenya ndani zaidi.

Baada ya kuandaana kwa muda mrefu hatimaye mtanange ulianza. Kwakuwa nilikuwa kazini, sikutaka kufanya makosa hata kidogo. Nilihakikisha namsugua mwanamke yule wa kizungu mpaka aombe poo. Mwili wangu mwembamba uliniwezesha kufanya mengi pale sitakwasita kwa kumuweka mwanamke yule katika mikunjo ambayo ingewezesha mpini wangu kugusa mpaka katika uvungu wa pango lake la utamu.

Mama wa watu aligugumia kwa mautamu mwanzo mwisho huku akiachia maji ya utamu mara kadhaa. Wakati huo mpini wangu uliokasirika baada kushuhudia mwili wangu uliokonda,ulikuwa ukimsurubu bila huruma. Mpaka mama wa watu akaomba poo na akichukua glasi ya maji na kunywa. Hakuacha kusifu jinsi mtarimbo huo ulivyomkuna.

Alirudi mchezoni raundi hii sasa nikiwa nimejipanga kutafuta cha nne ambacho kilihitaji safari ndefu.

Ghafla mwanamke yule aliutoa mtarimbo wangu kutoka kwenye tompo yake,akachukua mate na kuupaka vizuri kisha akaanza kuusugulia katika 0714 yake.

Niliushika mkono wake na kuuzuia kwani sikuzoea na wala sikupenda michezo hiyo iliyokuwa kinyume na tamaduni na maadili ya kiafrika.

"I want love, you want money"

Alisema mama yule maneno yaliyonikumbusha kuwa nilikuwa kazini. Wakati huo kichwa cha dushelele langu kilishaingia inchi kadhaa ndani ya 0714 ya yule mzungu iliyokuwa na joto la ajabu.

Nilijikuta nikiusukumiza kwa nguvu mpini wangu katika 0714 hiyo hali iliyomfanya mama yule acharuke kwa kelele za maumivu. Ingawa kichwani nilijilaumu kufanya michezo ile, sikuwa na budi kwani nilihitaji hela. Nilimsugua mama yule aliyekuwa muda wote akilalama kwa utamu huku akinihiza nisugua kila kona katika nyumba choo yake hiyo iliyokuwa ikiubana mpini wangu kupitiliza.

Ni mpaka mama huyo alipovunja dafu katika hali iliyonishangaza kwani nilimsugua sehemu ya nyuma. Hapo nikagundua kumbe kuna wanawake wanafika kileleni kwa kusugulia 0714.

Mwanamke yule aliyekuwa hoi baada ya kusuguliwa ipasavyo, akiwa amejilaza kitandani alishika mpini wangu na kuunyonya huku akiupigisha punyeto hali iliyofanya nihisi utamu kupitiliza. Ujuuji mzito ukapenya moja kwa moja katika koo lake na kumezwa. Mwingine ukamwagika katika mashuka kitandani.

Tuliingia bafu na kuoga kisha mwanamke yule tajiri wa kizungu, akaniandikia cheque iliyosoma dola milioni kumi. Asubuhi saa tatu niliamka ikiwa ni baada ya kumpatia dozi nyingine na kumwacha kapumzika kitandani kwa uchovu.

Nikachukua cheque na kumpigia mzungu Mathew nikamwelekeza mahali pa kukutana.

Nusu saa baadae tulikuwa ndani ya mgahawa fulani tukipata supu ya samaki ambao sikuweza kuwatambua kwa majina.

"Dola milioni saba, inaonekana umefanya kazi kubwa, hongera"nilimwambia mzungu Mathew.

"Wewe ndio nikupongeze dola milioni kumi si mchezo, nahisi kuna mtu katolewa kizazi huko"alitania mzungu Mathew.

Vikafuata vicheko vya pamoja.

"Mission accomplished"aliniambia mzungu Mathew akimaanisha mpango ulikamilika.

Kwa kuwa tulifanya shughuli pevu usiku mzima. Tuliamua kuchukua vyumba vya hoteli kwa ajili ya kupumzika.

Nikiwa ndani ya chumba cha hoteli katikati ya usingizi mzito. Nilishtushwa na sauti ya mlango uliokuwa ukigongwa. Kwa kuwa nilitawaliwa na uchovu, sikutaka usumbufu hivyo niliendelea kulala. Mlango uligongwa tena wakati huu kwa nguvu kabisa.

"Fungua mlango mwenyewe, tukikusaidia, tunaondoka na roho yako"

Ilisikika sauti ya mwanaume ikizungumza kwa lugha ya kiswahili.

Nilijinyanyua pale kitandani kimyakimya nikafungua kabati na kutoa bastola mbili nilizonunua katika nchi hiyo kwa ajili ya ulinzi binafsi.

Nikanyata mpaka mlangoni na kuufungua kwa haraka. Teke zito lilitua katika paji la uso la mwanaume aliyekuwa akihimiza mlango kufunguliwa. Bastola mbili mkononi ziliachia risasi zilizotua katika vifua vya wanaume wawili waliokuwa katika mavazi meupe ya kijeshi. Ukawa mwisho wa uhai wao. Nilimkwida yule mmoja aliyekuwa akigaagaa sakafuni na kuweka bastola kichwani mwake nikimpa amri ya kuniambia aliyemtuma.

"Mkuu sijui chochote mimi"

Nikaachia risasi kadhaa zilizotua katika miguu yake.

"ahhh !!!! Sawa nakuambia mkuu,

Ni mwanamke fulani hivi mtanzania anaishi huku Australi, ametutuma tukuuelakini sijui sababu"

"Anaitwa nani huyo mwanamke na anaishi wapi ? "niliuliza kwa hasira.

"Shalhat anapatikana mitaa ya Princess hill"

Sikutaka kuendelea kumsikiliza mvamizi huyo. Nilikatisha uhai wake.

Nikavua glovu za bandia zilizowezesha kutopatikana kwa alama za vidole vyangu (finger print).

Nikaivuta miili ya wavamizi wale hadi ndani ya hoteli. Nikabeba kila kilicho changu na kuondoka.

Bila kutambuliwa na yeyote. Uzuri ni kwamba kamera za CCTV niliziharibu mapema kabisa.

Nilimpigia simu Mathew na kumweleza kila kitu nikamtaka atoke na kufanya mchakato wa kupata ndege tuondoke mapema kabla mambo hayajaharibika.

Saa kumi jioni tulikuwa ndani ya ndege ya shirika la Qatar tukielekea nchini Jamaika.

Baada ya masaa kadhaa kupita tukiwa safarini. Lilitolewa tangazo lililoonya juu ya uwepo wa muhalifu ndani ya ile ndege.

Hapo nikajua mambo yameharibika..


Je nini kitaendelea ? Usikose mwendelezo..




Baada ya saa kadhaa kupita tukiwa safarini. Lilitolewa tangazo lililoonya juu ya uwepo wa muhalifu ndani ya ile ndege.

Hapo nikajua mambo yameharibika..


Endelea..


Kwa haraka nilijinyanyua pale kweny siti na kuchukua hatua kuelekea ulipokuwa mlango wa chooni.Huko nilikutana na muhudumu wa kike akijisafisha mikono baada ya kumaliza haja zake. Ilikuwa katika vyoo vya wanawake. Kabla hajainuka nilimkaba shingoni kwa nyuma nikimtisha kuitoa roho yake iwapo atajaribu kufanya jambo lolote hivyo hakuwa na budi kufuata maagizo yangu.

"Nataka unipeleke katika chumba ilipo mlango wa kutokea nje"

"Unamaanisha kuruka kutoka kwenye ndege"aliniambia msichana huyo huku akitetemeka

"Hukohuko na tumia njia ambayo hatutaweza kuonekana"

Hapo nikaanza kumkokota yule msichana huku macho yangu yakiweka umakini kupitiliza. Tulivuta hatua katika korido iliyotawaliwa kwa ukimya kisha tukaingia katika chumba kikubwa kilichokuwa na uwazi kidogo.

Tulipita chumba hicho ikiwa tumebakiza hatua kadhaa mpaka kilipokuwa chumba kile maalumu lakini wakati nikiendelea kutembea, nyuma yangu ilisikika sauti ya kiume.

"Mikono juu na tulia kama ulivyo".

Niligeuza shingo yangu wakati huo mikono yangu bado imeikamata vyema shingo nyembamba ya muhudumu wa ile ndege.

Mbele yangu alionekana mwanaume wa kiafrika. Lafudhi ya kizungu chake ilinijulisha asili yake ni Afrika kusini. Mikononi alishikilia bastola ndogo kabisa katika mkono wa kulia iliyokuwa imeninyookea vyema huku pingu ikiwa katika mkono wake wa kushoto.

Alivuta hatua kunifuata huku akiendelea kunisisitiza niweke mikono juu na nimuachie yule muhudumu.Nilihesabu kila hatua aliyopiga kunifuata ambapo zilipobaki hatua tatu kunifikia kwa haraka niligeuka nikamsukuma yule muhudumu pembeni na kurusha teke zito lililotua katika paji la uso la mwanaume yule kibonge. Sekunde chache baadae akiwa sakafuni damu nyingi zilimtoka kichwani baada ya kutokea mpasuko katika fuvu lake la kichwa. Mapovu yalitiririka kutoka katika kinywa chake kikubwa kilichokuwa wazi.

Katika hali ya kushtukiza mwanamke yule alianza kupiga mayowe. Kelele zilizojulisha walinzi wa ndege ile kuwa kuna jambo la hatari liliendelea katika ndege ile.Nilichukua ile bastola ndogo ya marehemu bonge na kupiga hatua za haraka. Nikajibanza katika chumba fulani kilichokuwa wazi.

"Kule"

Alisikika yule msichana akiwapa maelezo walinzi huku akilia.

Kwa haraka walinzi wale walifika katika eneo ulipokuwa mwili wa bonge na kuanza kuukagua kwa umakini. Wakati huo bunduki zao kubwa aina ya Ak 47 ziliwekwa tayari kwa ajili ya kushambulia. Baada ya kuutazama mwili ule kwa nusu dakika, kikosi kile cha watu sita kiligawana majukumu, watatu wakielekea upande wa kulia na watatu kushoto, upande kilipokuwa chumba nilichojibanza.Nilijisogeza kwa umakini na kuingia ndani kabisa ya chumba kile kilichoonekana kujazwa na vifaa mbalimbali.

Nilichezesha akili na kuchukua mtungi wa kuzimia moto. Bahati nzuri mtungi huo ulikuwa na ungaunga hivyo wazo langu likafanya kazi. Nilichomoa safety pin ya mtungi ule nikachukua kamba na kufunga katika kifaa cha kuruhusu ungaunga ule utoke. Papo hapo ungaunga ule ulianza kutoka na kusababisha vumbi lake kusambaa chumba kizima.

Niliiweka bastola yangu ndogo tayari kushambulia na kujibanza mita kadhaa kutoka ulipokuwa mlango.

Haikupita dakika, wakaonekana askari watatu wakiingia katika kile chumba kwa umakini mkubwa. Mikononi silaha zao ziligeuzwa huku na kule. Hali ya vumbi ndani ya kile chumba iliwafanya wapoteze umakini na kuanza kutafuta jinsi ya kujizuia kuvuta vumbi lile. Hiyo ikawa nafasi tosha kwangu kwani niliwamiminia risasi zisizohesabika. Miili yao ikabaki chali sakafuni.

Milio ya risasi iliwazindua wale wengine watatu waliokuwa katika msako upande wa kulia. Kwa pupa wakaingia ndani ya kile chumba. Kama ilivyokuwa kwa wale wa mwanzo, udhaifu wao ndiyo ukawa ushindi wangu.

Kwa kuwa vumbi lile lilisambaa mpaka nje ya milango ya chumba kile. Vifaa maalumu ndani ya ndege viligundua uwepo wa jambo lisilokuwa la kawaida. Sauti za ving'ora vilivyokuwa vikionya juu ya hatari zilisikika ndani ya ndege nzima.Ikatokea tafrani miongoni mwa abiria. Kila mmoja akiongea lake. Moto, ugaidi na ndege kupoteza mwelekeo vilianza kuzungumzwa. Hiyo ikawa kinyume na mpango wa wahudumu wa ndege ile kujaribu kuwaficha abiria juu ya kilichoendelea ili kuepuka kutokea kwa hofu kati ya abiria.

Nilitoka ndani ya kile chumba haraka nikakunja katika korido fulani na kufuata njia yake mpaka nilipokutana na mlango mkubwa tofauti na milango mingine niliyoiona. Nilizungusha kitasa cha mlango ule na kufungua.

Mbele yangu walionekana marubani wawili, waliokuwa bize wakifanya kazi yao. Nilinyoosha bastola yangu na kupiga hatua kuwafuata."Geuzeni hii ndege ipelekeni baharini"niliwaambia wanaume hao waliokuwa katika mshtuko baada ya kuniona.

Uliibuka ubishi lakini kitendo cha kuikoki silaha yangu kilibadili msimamo wao. Ndege ikaongozwa mpaka baharini. Abiria wakapewa taarifa juu ya kutokea hitilafu katika mitambo ya mawasiliano ya ndege hiyo. Kila mtu akashauriwa kutafuta njia ya kujiokoa. Kwa kuwa ndani ya kile chumba kulikuwa na vifaa mbalimbali vya uokozi nilichukua boya mbili na kutoka. Hiyo ni baada ya ndege kuangukia baharini. Nikaanza kuzunguka kumtafuta mzungu Mathew lakini sikufanikiwa. Nikaamua kujitosa peke yangu kwani maji yalianza kuingia ndani ya ndege baada ya kupasua vioo.

Mpaka kiza kinaingia sikuweza kupata msaada. Mbele ya macho yangu hakukuwa na dalili yoyote ya boti ambayo ingeweza kunipatia msaada. Nilikuwa kilomitanyingi kutoka ufukweni. Boya liliendelea kuelea juu ya maji ya bahari na kuniwezesha kubaki hai.

Jua lilizidi kusogea hatimaye likazama kabisa usiku ukachukua nafasi. Saa moja..saa mbili...hatimaye saa tatu.

Hapo nikaona nisipofanya jambo nitapotea katika bahari ile iliyonitazama kwa uchu wa kunimeza.

Nilianza kupiga makasia nia yangu ikiwa kusogea.

Huku nikipiga kelele za kuomba msaada shughuli ile iliendelea.

Mungu si athumani majira ya saa saba usiku kwa mbali niliona mwanga wa taa ya chemli ukimulika. Nilipotazama vizuri ilionekana boti ndogo ya kiasili ikisogea upande niliokuwa.

Nikaendelea kupiga kelele huku nimenyoosha mkono mmoja. Hatimaye boti ile ilinifikia mbele ya macho yangu yaliyokuwa yakitazama juu ndani ya boti alionekana mwanaume mrefu mwenye ngozi yenye rangi ya chokoleti akinipa mkono. Niliupokea mkono wake uliokuwa mgumu kama ukuni nikavuta kutoka majini mpaka ndani ya ile boti ya asili.

Huko nilitazamwa na sura ngumu ambazo sikuwahi kuziona popote. Japo nilikuwa mrefu lakini watu wale walikuwa warefu usisimuliwe. Kwa kusimama niliwafikia mabegani. Kilichozidi kunishangaza ni mavazi waliyokuwa wamevaa watu wale. Mavazi yao hayakuwa tofauti na waliyovaa mababu zetu enzi za zama za mawe. Yalifunika sehemu za siri tu. Sio mimi pekee niliyekuwa nikishangaa hata wao walionekana kunishangaa mno, nazani ni kwa mavazi niliyokuwa nimevaa na muonekano wangu.

"Mugengo na jijo" Huku akinitazama alisema mmoja wa wanaume wale maneno yaliyofanya nibaki nikiwatazama.

Mwanaume huyo akarudia tena maneno yale huku akiongeza mikunjo maradufu katika sura yake. Sikujua kilicho ulizwa hivyo sikuwa na jibu, nilinyamaza.

Kofi zito likatua katika uso wangu na kusababisha shoti kali. Nilipojishika niligundua damudamu zilizosababishwa na kuchanika kwa ngozi ya shavu langu.

Wale wenzake wawili walioonekana wakubwa kiumri kuliko yeye baada ya kuona tukio hilo. Walimtuliza mwanaume yule aliyehitaji kunishambulia tena.

Safari yao iliishia palepale hivyo waligeuza mtumbwi na kuanza kurudi walipotokea.

Safari ya kurudi ilikuwa ndefu sana. Baridi ilinitafuna kupitiliza ikizidi kuongezwa na upepo mkali ulioyapiga mavazi yangu yaliyotota. Hali ilikuwa tofauti kwa watu wale, ingawa upepo mkali wa baridi ulivuma , wanaume wale ingawa hawakuvalia mavazi yoyote ya kuwasitiri baridi wala hawakuonesha kusumbuliwa na hali ile.

Mpaka jua linachomoza, kwa mbali niliona kisiwa kikubwa. Moshi ulionekana kufuka katika baadhi ya sehemu.

Ni wakati wa saa nne ndipo boti ile ndogo ilipotia nanga katika moja ya fukwe za kuvutia kabisa kati ya nyingi nilizowahi kuona maishani. Wanaume waliovalia mavazi kama ya wale niliokuwa nao walionekana wakifanya shughuli za uvuvi lakini baada ya kuiona boti yetu iliyokuwa ikitia nanga waliacha shughuli zao na kujongea wakiifuata.

Baada tu ya kutia nyayo zangu ardhini nilishikwa mikono yangu na wanaume wale. Nikachukuliwa kwa nguvu nikikokotwa kama gari bovu.

Tulifika katika sehemu iliyokuwa na watu wengi nazani huko lilikuwa soko. Watu hao nao mavazi yao yalikuwa ya kizamani. Wanawake walifunika matiti yao kwa vipande vidogo vya ngozi na sehemu za chini wakivaa sketi fupi zilizotengenezwa kwa ngozi.

Macho yote yaliangazwa kwangu. Kila mmoja alishangazwa na jinsi nilivyoonekana, kuanzia mavazi mpaka sura. Niliona wakigeukiana na kuzungumza maneno ambayo sikuweza kuelewa. Tofauti na muonekano mbaya waliokuwa nao wanaume wa eneo lile, wanawake walikuwa wazuri sana. Sio sura mpaka maumbo ya miili yao iliyopambwa kwa rangi ya nyupe ya kiafrika pamoja na nywele laini na ndefu. Hakika walivutia mno.

Safari iliendelea tukikatiza vichochoro vilivyotenganisha vibanda vya fito kulikowekwa bidhaa mbalimbali za chakula na vito vya thamani.Kwakweli nilizidi kushangaa mno hasa baada ya kuona vipande vingi vya dhahabu vikiwa katika moja ya kibanda huku muuzaji akiwa mwanaume aliyeonekana mzee sana.

Akilini nikapata wazo huenda kisiwa kile kilikuwa miongoni mwa visiwa visivyowahi kufikiwa duniani. Hivyo utamaduni wa kale uliendelezwa vizazi hadi vizazi.

Dakika thelathini baadae kulingana na saa yangu ya thamani kabisa aina ya Rolex iliyokuwa bado mkononi mwangu, tulikuwa nje ya jengo kubwa. Huko walisimama wanaume wengi mikononi wakishika mikuki mikubwa. Walikuwa walinzi wa eneo lile. Mmoja kati ya wale wanaume watatu nilioandamana nao ambaye ni yule aliyenipiga kofi zito. Aliondoka na kuingia ndani ya lile jumba kubwa lililojegwa kwa ustadi wa hali ya juu kwa kutumia mawe na kunkshiwa kwa rangi mbalimbali. Ukapita ukimya wa muda kisha mwanaume yule akarejea. Akaongea maneno fulani na wenzie kisha wakaja walinzi wawili warefu sana walionichukua na kunikokota mpaka ndani ya jengo hilo tukiwaacha wale wanaume watatu pale nje.

Ndani ya jengo hilo mwanga wa mishumaa iliyowekwa kila kona iliangaza. Nilipishana na wanaume wengi kwa wanawake waliokuwa katika hekaheka za huku na kule ndani ya jengo lile lililofanana na majumba ya kifalme niliyowahi kuyaona katika jengo lile.

Watu hao pia hawakuacha kunishangaa.

Wakati tukiendelea kutembea mbele yetu alionekana msichana mrembo sana aliyekuwa akifuatwa na kundi la wasichana kumi nyuma yake. Msichana huyo alipambwa kwa mikufu na bangili za dhahabu iliyong'aa sana. Kama ilivyokuwa kwa wenzake sehemu za chini alivaa ngozi fupi iliyofunika maungo yake huku kiuno kiking'arishwa na pamba za dhahabu. Hakika msichana yule aliumbwa akaumbika.

Baada ya umati ule kutufikia msichana yule mrembo aliyevaa vito vya thamani alisimama na kuanza kunizunguka akishangaa huku akiongea maneno fulani ambayo sikuweza kuyaelewa. Aliwatazama wale walinzi na kuongea mambo kadhaa huku amenishika begani, kwa mikono yake iliyokuwa na joto.Kisha akageuza uso wake na kunitazama. Kwa kuwa tulilingana kimo ilikuwa rahisi kutazamana vema usoni hivyo tukawa tunaangaliana. Nilivyoona ananiangalia sana kwa udadisi kama aliyeona kitu cha ajabu sana nilimkonyeza na kuachia tabasamu. Msichana huyo akakunja sura kwa hasira na kunisukuma karibu nianguke. Akaondoka na kundi lake nikapelekwa mpaka mbele ya mzee wa umri wa makamo aliyekuwa amekaa katika kiti kilichotengenezwa kwa madini ya dhahabu. Mwili wake ulifunikwa kwa ngozi ya chui. Pembeni ya kiti chake katika upande wa kulia na kushoto walisimama chui wawili wakubwa. Chui hao baada ya kuniona walinguruma kwa hasira mpaka pale mzee huyo ambaye niliweza kutambua cheo chake cha ufalme aliponyanyua mkono wake mmoja juu.

Walinzi wale waliondoka kisha baada ya dakika kadhaa wakaja wale wanaume watatu. Kila mmoja akaongea lake mbele ya mfalme aliyekuwa akiwasikiliza kwa makini. Kidogo akatokea mwanamke wa umri wa makamo aliyekuwa amepambwa kama ilivyokuwa kwa yule binti. Mwanamke huyo pia alifuatana na kundi kubwa la wasichana. Alikuwa malkia. Naye alinitazama kwa mshangao mkuu kabla ya kwenda kukaa.

Baada ya maongezi ya dakika kadhaa kati ya mfalme na wale wanaume mfalme alinitizama na kuniulizwa swali ambalo sikuweza kulielewa hivyo nikabaki kumtazama. Akatikisa kichwa kwa huzuni kisha akawaambia wale watu maneno fulani.

Katika hali ya kushangaza walinzi waliokuwa pembeni walinishika na kuanza kunivua nguo. Japo nilipambana sana lakini miili ya wanaume wale ilikuwa na nguvu isiyo ya kawaida. Ni mpaka ilipobaki boksa ndipo mfalme alipowaamuru waniache.

Mmoja wao alitaka kuivua ile saa yangu lakini alipoitazama na kuona mshale uliokuwa ukizunguka aliniachia mkono na kusogea pembeni kama aliyestuka.

Mfalme naye baada ya kuona tukio hilo aliamuru nisogezwe karibu ya kiti chake ambapo naye baada ya kuitazama saa alirudisha kichwa nyuma kwa mshtuko. Kisha akaanza kunitazama kwa hofu kubwa mno, hakuwa yeye tu bali hata mkewe, walinzi pamoja na wale wanaume watatu.

Ghafla nikaona sura ya mfalme imebadilika. Sura ya hasira ikamvaa usoni. Hofu ikaanza kunijaa moyoni. Mfalme akazungumza maneno kadhaa kisha akiwa katika ile hali ya kukasirika nikajua mwisho wa uhai wangu umefika.

Kwa haraka nikiwa nimevaa boksa pekee nilichukuliwa mkukumkuku na kupelekwa mpaka lilipokuwa banda fulani kubwa saizi ya chumba kimoja lililojengwa kwa fito nene za miti. Nje ya banda hilo lilionekana kundi kubwa la watu walioanza kupiga kelele baada ya mimi kuingizwa katika lile banda.

Watu hao walikaa katika viti maalumu vilivyokuwa katika mfumo uliofanania na sehemu ya kukalia mashabiki wa mchezo fulani.

Baada ya kuhakikisha nimeingia ndani walinzi wale wakafunga mlango wa lile banda zikasikika kelele za vifijo kutoka kila kona walipokuwa mashabiki wa mchezo ule ambao bado sikuwa nikiufahamu. Nikiwa bado katika mshangao nilimwona mfalme na malikia waliokuwa wakifuatana na ulinzi mkubwa wakiingia na kukaa. Eneo la pembeni yao kidogo nilimwona yule binti mrembo aliyenikasirikia baada ya kumkonyeza akiniangalia kwa kunikazia macho ya hasira. Kwa makusudi nikafanya kumkonyeza tena huku nikitabasamu. Hasira ikazidi kuupamba uso wake ambao nisawa na ulizidi kupendeza.

Sura nzuri za watoto wa kike, mama na bibi zao zilikuwa katika eneo lile kwa wingi huku nazo zile ngumu za kiume zikiwepo. Nderemo na vifijo vilitawala katika eneo lile na kuzidi kuweka alama ya kuuliza katika ubongo wangu.

Mfalme akanyoosha mkono. Ukimya ukatawala. Ndipo nyuma yangu niliposikia mngurumo mkali..


Je nini kitaendelea ? , usikose inayofuata..


Iike na comment.


Sura nzuri za watoto wa kike, mama na bibi zao zilikuwa katika eneo lile kwa wingi huku nazo zile ngumu za kiume zikiwepo. Nderemo na vifijo vilitawala katika eneo lile na kuzidi kuweka alama ya kuuliza katika ubongo wangu.

Mfalme akanyoosha mkono. Ukimya ukatawala. Ndipo nyuma yangu niliposikia mngurumo mkali..


Endelea..

Haraka niligeuza shingo yangu, lakini kabla sijafanya mzunguko kamili nilishuhudia chui mkubwa akiwa hewani mita kadhaa kutoka sehemu niliyokuwa nimesimama.Alitanguliza makucha yake mbele na kuandaa kinywa chake tayari kwa kunishambulia. Niliinama kwa kupinda nyuma ya mgongo mnyama huyo mkali aliyekuwa akiunguruma kwa hasira akanikosa na kuangukia upande wa pili. Zikaibuka mbinja kutoka kwa watazamaji.

Nilijiweka sawa sasa nikawa natazamana na mnyama huyo. Akaunguruma kwa hasira na kuanza kunifuata kwa kasi.Kwa kuwa sikuwa na silaha yeyote niliamua kupambana kiume ilimradi niiokoe roho yangu.Nilisimama kwa kujiamini na kumsubiri kiumbe huyo.

Hatua ya kwanza..pili...tatu.. akaruka juu akijiandaa kunishambulia.Hapo nikakunja ngumi na kukusanya nguvu zote alizowahi kunitunuku maulana mpaka wakati ule.Nikaweka tageti katika sehemu ya juu ya fuvu la kichwa cha mnyama yule.Kwa ghadhabu huku akitoa mngurumo mkali,mnyama huyo alinirukia na kutia makucha yake marefu katika ngozi ya mwili wangu.Kabla hajajizajiweka vizuri kwa shambulizi niliachia ngumi nzito kabisa kati ya nilizowahi kurusha,iliyotua moja kwa moja katika fuvu la mnyama yule.Mnyama yule akatoa mngurumo mkali wa maumivu na kuniachia kwa lazima. Kisha akaanguka chini chali na kujizoazoa akijitahidi kuamka.Hilo likawa kosa kubwa kwake kwani kwa hasira za kuraruliwa nilizokuwa nazo nilirusha teke zito kwa kutumia mguu wangu wa kulia uliokuwa peku,likitua sehemu ya tumboni ya mnyama huyo na kumrusha mita kadhaa mbele. Kwakweli hata sijui zile nguvu nilizitolea wapi kwani baada ya mnyama yule kuanguka nilimfuata na kuishika shingo yake nene, kisha nikaanza kumnyonga.Huwezi amini wala sikuhisi maumivu ya kuparuliwa sehemu mbalimbali za mwili wangu kwa makucha ya mnyama yule.

Nilimuachia baada ya kuona pumzi imemtoka hivyo kelele za kushangilia zikazidi kuongezeka maradufu.Baada ya hapo ndipo nilipojitazama na kuona majeraha makubwa ya kuchanwachanwa sehemu za tumboni na mikononi. Majeraha hayo yalivuja damu nyingi mno.

Cha ajabu watu wale wala hawakujali badala yake mlango mdogo wa upande wa pili wa lile banda ulifunguliwa akaingizwa mnyama mwingine aliyefanana na paka mweusi lakini jamii yake ilikuwa ya simba pori.Mnyama huyo alikuwa zaidi ya hatari kwani hakunipa nafasi ya kupumua.Aliruka kama mshale huku akiunguruma na kutoa nje meno yake marefu kwa hasira, nikawa na kazi ya kumwepa lakini niliambulia kuraruliwa vibaya kwa makucha yake makali.Kutokana na njaa ya muda mrefu pamoja na kiu sekeseke la mnyama yule liliumaliza nguvu mwili wangu hivyo udhaifu ukachukua nafasi.

Baada ya kujitaidi kupambana naye kwa muda mrefu hatimaye mnyama huyo aliyekuwa na nguvu isiyo yakawaida alifanikiwa kuniangusha chini. Huku akinirarua kiasi cha kubandua sehemu kubwa ya ngozi ya kifuani na tumboni, mnyama huyo aliweza kuukamata mkono wangu uliokuwa ukimzuia asiinase shingo yangu na kuanza kuuma kwa meno yake marefu.Mbinja zikaongezeka miongoni mwa washangiliaji.Papo hapo lango likafunguliwa tena akaingizwa chatu mkubwa sana.Hapo nilisali sala zangu za mwisho nikajua mwisho wangu umefika.Chatu huyo akajiburuza mpaka alipokuwa yule simba mweusi aliyekuwa akipambana kuung'ng'ania mkono wangu. Akamdaka simba huyo kwa mdomo wake na kuanza kummezambele ya macho yangu.Huku nikitetemeka nilishuhudia mubashara tukio lile mpaka simba yule aliyekuwa akipambana kujiokoa kwa kunguruma kwa hasira alipotokomea katika kinywa cha lile joka.Baada ya kumalizana na yule mnyama lile joka sasa lilinigeukia na kuanza kunisogelea.Nilijivuta nyuma kwa woga wakati huo mwili umekosa nguvu kwa njaa na maumivu makali.Liliponifikia, joka hilo likaanza kukisogeza kichwa chake taratibu kuelekea ilipokuwa miguu yangu. Kwakuwa lilijiamini halikujisumbua kunikamata kwa kujiviringisha katika mwili wangu.Wakati likizidi kunisogelea ghafla kitu chenye ncha kali king'aacho kama dhahabu kilitua katika shingo ya lile joka.Likaanguka kwa kishindo na kujitupatupa huku na kule.Zile mbinja zikakoma.Ukimya ukatawala.Mshangao nao ulichukua nafasi kwa mfalme mpaka watumwa, kila mmoja alishangazwa na tukio lile kwa namna yake.Kutoka hewani alitua ardhini mbele ya umati ule na nje ya lile banda mwanaume aliyezeeka sana.Kuanzia unywele mpaka unyayo wa mtu yule uzee uliota mizizi.Watu wote wakainama kifudifudi na kutoa heshima isipokuwa mfalme pekee.Kisha mzee huyo akaanza kuzungumza maneno ambayo tafsiri ya mazungumzo ilidhihirisha ghadhabu.Maneno hayo alikuwa akimtupia mfalme.Mfalme naye alijibu kwa hasira.Mwishowe mzee alimzidi ujanja mfalme akaanza kupunguza ukali katika uzungumzaji wake.Kisha akatikisa kichwa kuonesha kukubali.Mbele ya umati huo mzee yule akapotea kimazingara,mpaka leo tukio lile nimeshindwa kulielewa. Ndipo mfalme akazungumza kauli iliyoonyesha mamlaka.Nikaona kundi la walinzi wakija kule bandani na kunitoa nje huku sasa wakionyesha kunijali tofauti na hali ilivyokuwa mwanzo.Nilichukuliwa na kuingizwa katika chumba fulani huko nikakutana na mwanaume mtu mzima wa makamo.Kwa kuwa katika chumba hicho kulikuwa na wahudumu nilichukuliwa na kulazwa katika jiwe kubwa lililochongwa katika muundo wa kitanda.Nikalazwa chali yakaletwa maji ya moto na kutiwa pamba isyochujwa nikaanza kupanguswa zili damudamu.Kisha yaliletwa majani fulani ya manjano yaliyopondwapondwa vizuri nikapakwa katika mwili wangu.Kwakweli niliamini duniani kulikuwa na dawa za uhakika kwani baada tu ya kupakwa ile dawa nilihisi vitu kama siafu vikitembea ndani ya mwili wangu na kunga'ta kila mahali.Hazikupita dakika ishirini maumivu yalipungua na kidogo nguvu zikaurejea mwili.Vidonda viliendelea kutoa majimaji mengi ya njano hatimaye vikakauka.

Siku iliyofuata asubuhi niliamkia palepale katika lile jiwe.Mwili ulijawa na nguvu.Vidonda vilikauka na kuonyesha dalili ya kuanza kupona.Supu ya samaki ambaye sikuwahi kumuona iliiondoa njaa kali iliyokuwa ikinisurubu.Kwa kuwa chumbani kulikuwa kimya niliona nitoke nje nikapunge upepo.Huko nje nilimuona yule mwanaume aliyenitibu akichuma majani fulani katika bustani iliyokuwa nje ya lile jengo.Mwanaume huyo aliponiona alihitaji kusema kitu lakini nikaona amenyamaza.Niliendelea kupiga hatua nikatoka kabisa nje ya lile jengo na kuingia mtaani maeneo ya kule sokoni.Kila niliyekutana naye alinitazama wengine wakinitazama kwa hasira,wengine huruma,wengine woga kila kuendana na mawazo yake juu yangu.Ni mpaka nilipojitazama vizuri niligundua ni kofuli ya ngozi pekee iliyousitiri mwili wangu.

Ili kukwepa kukera watu,kila niliyeona ananitazama sana nilimpungia na kutabasamu.Basi niligeuka staa ndani ya lile eneo, kila mahali nikipita macho yote kwangu.Wakati wote huo huko njiani nilipishana na warembo waliokuwa wamevaa mavazi ambayo kwa maisha niliyozoea kuishi mimi yalikuwa ya mitegi na yasiyo na heshima lakini ndani ya kisiwa kile yakionekana kawaida.

Huko sokoni nilikuwa wakushangaa huku na kule ilimradi nione madhari na maisha ya kisiwa kile.

Mara kwa mbali nilimwona msichna fulani akiwa katika banda la mauzo maarufu kama genge.Msichana huyo alikuwa akiuza viurembo vya kike kama hereni,bangili,na mikufu.

Nilijikuta navutika kusogea eneo lile.Kila hatua niliyopiga ndiyo jinsi nilivyozidi kuongeza kasi.Kufika pale nilipagawa kabisa.Si kwa jinsi zigo lake lilivyokuwa wazi huko nyuma ukichangia kuinama kwake,akichagua mapambo yakuweka mezani kwa ajili ya kuuza.Na ile tompo yake ilivyokuwa imevimbia ndani ya kofuli ya ngozi.Huku kiuno kilichoumbika kikiachwa wazi kuwapa fursa walimwengu kuushuhudia uumbaji usio na dosari uliotendeka katika mwili wa binti yule.

Mzeebaba alianza kufanya yake ndani ya kofuli yangu ya ngozi.Nikaapa lazima nilionje tunda la yule msichana mzuri na aliyenivutia kuliko kawaida..


Je nini kitaendele ? ,Usikose inayofuata.




Nilijikuta navutika kusogea eneo lile.Kila hatua niliyopiga ndiyo jinsi nilivyozidi kuongeza kasi.Kufika pale nilipagawa kabisa.Si kwa jinsi zigo lake lilivyokuwa wazi huko nyuma ukichangia kuinama kwake,akichagua mapambo yakuweka mezani kwa ajili ya kuuza.Na ile tompo yake ilivyokuwa imevimbia ndani ya kofuli ya ngozi.Huku kiuno kilichoumbika kikiachwa wazi kuwapa fursa walimwengu kuushuhudia uumbaji usio na dosari uliotendeka katika mwili wa binti yule.

Mzeebaba alianza kufanya yake ndani ya kofuli yangu ya ngozi.Nikaapa lazima nilionje tunda la yule msichana mzuri na aliyenivutia kuliko kawaida..


Endelea..


Nilipofika kwenye lile genge nikajifanya kuchagua mkufu fulani wa dhahabu uliokuwa ukivutia sana.Wakati huo macho yangu yalikataa kabisa kugeuka. Yaling'ang'ania kutizama kiuno cha msichana yule.Ndizi yangu nayo ilizidi kukakamaa zaidi.Baada ya kumaliza kazi aliyokuwa akiifanya,msichana yule alisiamama na kunikuta nimemtumbulia macho huku mkononi nimeshikilia mkufu.Akatamka maneno fulani huku akionyesha tabasamu.Kisha akaninyang'anya ule mkufu na kuanza kunionyesha urembo wa kuvutia uliokuwa katika kile kidani.Kwa kuwa sikuweza kuelewa chochote alichozungumza,niliinua kichwa kuonyesha kukubaliana na maneno yake.

Baada ya hapo alinyoosha mkono nahisi alihitaji nimpatie hela ambayo kwa kule ilikuwa ni sarafu ndogo ya dhahabu.Hapo nikakumbuka sarafu aliyonipatia yule mzee aliyekuwa akinitibu wakati nikiondoka katika kile chumba cha matibabu.Nilifungua mkunjo wa ile kofuli yangu ya ngozi na kutoa ile sarafu, nikampatia.Akanipa ule mkufu.

Nikauchukua na kumuangalia usoni huku nikitabasamu,na yeye akarudisha tabasamu lililozidi kumpa urembo.

Hapo nilimwonyesha ishara ya kugeuka na kutazama upande mwingine yaani anigeuzie mgongo.Msichana huyo hakuwa na ajizi,alifuata maelekezo yangu huku akisubiri kuona nilipanga kufanya nini.Niliuchukua ule mkufu na kumvalisha shingoni kimahaba huku nikijisogeza karibu yake na kufanya kama kumkumbatia fulani hivi.Mdada wa watu akavuta pumzi ndefu na kutulia,akaniachia shingoye nifanye lolote nitakalo.Wakati huo vidole vyangu vilifanya kazi ya kuitomasa shingo yake kimahaba,iliyozidi kumtuliza binti yule na kumnyima neno ama kitendo cha kusema.Baada ya kuhakikisha ule mkufu umemkaa vema shingoni,niliishusha mikono yangu iliyokuwa na joto taratibu nikaanza kulipapasa tumbo lake kimahaba,nikashuka nikitomasa nyama laini za ubavu wake mpaka kiunoni.Kilichonishangaza ni hali ya watu wa eneo lile kutoshangazwa na tukio lile nililolifanya hadharani.Kila mtu aliendelea na shughuli zake labda wachache ambao hawakuwa wameniona mpaka muda ule ndio walio nishangaa.

Wakati nikiendelea kumlainisha msichana yule,ghafla alijitoa kwenye mikono yangu akihema haraka na kunyaasha kidole eneo la uchochoro wa sokoni uliojaa watu wengi waliokuwa wakikatiza.

Alionekana kijana wa umri wa makamo yangu akija taratibu huku amefuatana na kundi la vijana kadhaa wa makamo yake.Sura ya kijana huyo ilikuwa laini na ya kawaida tofauti na ilivyokuwa kwa wanaume wengine.Kijana huyo alifika mpaka katika lile genge sura yake ikijawa na tabasamu akaenda mpaka alipokuwa yule msichana akachukua mkono wake na kuubusu.Kisha yakafuata maongezi kati yao lakini nilipomtizama msichana yule sura yake ilionesha kutokuwa na ule uchangamfu aliokuwa nao mwanzo.Alijilazimisha kutabasamu huku kila mara akinitupia jicho la kuibia.Baada ya maongezi yao kijana yule aligeuka na kunitazama kwa dharau akinitupia jicho la husuda.Nikajiuliza lipi baya nililomfanyia kijana yule ambaye ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana naye.

Kijana yule aliyeonekana kutokea familia ya kitajiri aliagiza vijana alioandamana nao watoe kapu fulani ambalo alilikabidhi kwa yule msichana huku akitabasamu.Msichana huyo alimrudishia tabasamu la kulazimisha huku akipokea lile kapu.Kijana yule wa kitajiri pamoja na alioambatana nao wakashika njia na kutokomea katikati ya umati mkubwa wa watu.

Wakati nikiendelea kuwashangaa,yule msichana mrembo alinigusa bega.Niligeuka na kukutana na tabasamu pana usoni mwake.Huwezi amini alikuwa akinikabidhi lile kapu alilopewa na yule kijana ambalo ndani yake kulijaa vipande vya madini ya dhahabu na rubi pamoja na mikufu na bangili zilizotengenezwa kwa madini hayo.Nilimtazama mara mbilimbili kwa macho ya kutoamini huku nikijiuliza sababu hasa ya msichana yule kunikabidhi vito vile vya thamani.Tatizo likawa utofauti wa lugha kati yetu.Tulishindwa kuelewana.Nilimrudishia lile kapu nikionyesha kukataa zawadi yake lakini msichana huyo alinisisitiza kuchukua huku akionyesha kuchukizwa na hiyo tabia yangu.Nikawaza kama ningechua lile kapu ningelipeleka wapi maana sikuwa na makazi maalumu wala ndugu.Nilimrudishia lile kapu na kuvuta hatua kuondoka maana nilijua iwapo yule kijana angegundua zawadi aliyompa binti yule nimepewa mimi lazima lingeibuka jipya ambalo huenda lingekuwa zito zaidi ya lile la mwanzo.

Wakati natoka kabla hata sijavuka mlango wa kuingilia lile genge mbele yangu alisimama mtu.Taswira ya mtu huyo haikuwa ngeni machoni mwangu.Nywele, ndevu ndefu nyeupe kabisa na mwili mrefu uliokonda kuliko kawaida vilinikumbusha taswira ya yule mzee wa maajabu aliyeniokoa kutoka kwenye kifo na kupotea ghafla katika mazingira ya kutatanisha.Nilirudi nyuma kwa woga ikawa sasa narejea ndani ya lile genge.Mzee huyo aliendelea kunifuata kia nilivyokuwanikirudi nyuma.Ni mpaka mikono laini ya yule binti ilipougusa mgongo wangu ndipo nilipotia breki katika miguu yangu.Binti huyo akaanza kunicheka.Akaongea maneno kadhaa na yule babu huku wakicheka wakati huo moyo wangu ukidundia tumboni.Nikajitoa katika mikono ya yule msichana na kusogea pembeni.

"Usihofu kijana wangu upo katika mikono salama.Naitwa mzee Mozey ni mkuu wa wazee katika hii falme.Najua utashangaa ni vipi nimeweza kuzungumza lugha yako lakini tambua tu,nina uwezo wa ajabu ndani yangu unaofanya nizungumze lugha zaidi ya miambili kote duniani.Ni kwamba wewe ulipotea na kuingia katika kisiwa hiki kilichopo upande wa kusini kabisa wa uzio wa dunia,huku hakuna kisiwa wala bara lililopo karibu.Ndio maana tamaduni za huku hazijabadilika tofauti na sehemu nyingine duniani.Hii ni sehemu iliyotengwa kabisa katika dunia.Watu waishio hapa wanaasili ya wamoori ambao pia hupatikana katika nchi ya Australia, sema tofauti yao na huku ni kuwa wao wamebadilishwa na ukuaji wa sayansi na teknolojia.Miaka sabini iliyopita niliweza kusafiri mpaka nchini uingereza baada ya kukutana na wafanyabiashara wa kizungu waliokuwa na meli kubwa ikiwa ni baada ya kuomba msaada baada ya mtumbwi wangu kuzamizama baharini kwa upepo mkali.Hivyo niliweza kusafiri sehemu mbalimbali duniani na wafanyabiashara hao ikiwemo sehemu za Kilwa ilipozungumzwa lugha ya Kiswahili na kwa kuwa tulikaa sehemu hizo kwa zaidi ya miezi sita nilijifunza mengi ikiwemo lugha.Baada ya kuishi na wazungua hao kwa miaka mingi niliamua kutafuta njia ya kurudi nyumbani ikiwa ni miaka ya tisini hiyo.Hatimaye nilifanikiwa kutoroka kwa kutumia boti iliyotumia gesi iliyonifikisha salama nyumbani ikiwa ni baada ya miaka hamsini.Hii miujiza ninayofanya ni uchawi niliojifunza katika chuo fulani huko uingereza miaka hiyo nikiishi huko.Unaweza kurudi huko ulipotoka iwapo utakubali kufuata masharti yangu na kunisikiliza.

Sharti la kwanza ni kwamba,nina tabia ya kusaidia watu waaminifu na wasiokuwa na udanganyifu hivyo kama unatabia yeyote ya udanganyifu sidhani kama msaada wangu utaupata.

Sharti la pili ni kwamba huyu msichana unayemuona hapa ni mjukuu wangu ambaye wazazi wake wana asili ya huko Kilwa na alipatikana kupitia mtoto wangu aliyeuawa na wazungu baada ya kugundua alizaa na mwafrika.Hivyo baada ya tukio hili nilifanya siri kumtunza huyu mtoto nikitumia uwezo wangu wa kichawi na ndio maana mpaka leo hii unauona urembo wake na kumtupia macho ya tamaa.Ni kuambie tu huyu binti ni kama mboni ya macho yangu.Kama kweli umempenda na hutaki kumchezea mchukue na uondoke naye mkaishi kama mume na mke,kumbuka hilo ni sharti na sio ombi.

Tatu ni kuwa utajiri wowote utakao ondoka nao hapa usiutumie kunyanyasa watu bali kusaidia watu na kupigania haki.Ila chonde katika yote unayofanya hakikisha mjukuu wangu huyu haguswi hata unywele.

Safari ya kutoka hapa mpaka bara la Australia ni kama siku nzima kwa kutumia boti inayokwenda kwa kasi ambayo ninayo nitakupatia ila jambo hilo si la kufanywa leo itachukua muda kidogo.Sasa twendeni nyumbani mengine yatajulikana huko".

Mzee huyo alimaliza mazungumzo yake ambayo yalinifungua akili kuhusu asili ya eneo lile.Kichwani nilibaki na mawazo kama nitaweza kubadilika na kuwa jinsi yalivyoeleza masharti ya yule mzee ambayo yangeniwezesha kutoka katika ile falme,hasa kitendo cha kumuoa mjuukuu wake ambaye kwakweli nilimtamani tu hakuwa ameniingia moyoni hata kidogo.

Huko nyumbani tulifika kikapikwa chakula kitamu sana na yule msichana ambaye kila aliponitazama hakuacha kuonyesha furaha yake kupitia tabasamu.Mzee huyo alikinisimulia matukio mengi yaliyowahi kumkuta na harakati zake wakati wa ujana wake,yote hayo yakanifanya niizoee nyumba ile kwa haraka.Uzuri ni cheo kikubwa alichokuwa nacho yule mzee ambacho kilinipa uhuru wa kuishi nyumbani kwake bila kusumbuliwa na yeyote kutoka katika jumba la kifalme.

Kila siku asubuhi nilienda gengeni na yule mjuukuu wa yule babu binti mrembo sana ambaye baadae alitambulishwa kwangu kwa jina la Mea, huko tukishirikiana kufanya mauzo ya bidhaa adimu kabisa duniani za madini ya dhahabu na rubi, hali iliyozidi kumfurahisha Mea na kutengeneza ukaribu kati yetu.

Hali hiyo ilizidi kumchukiza yule kijana wa kitajiri ambaye kila alipokuja pale gengeni na kumuona Mea akiwa katika hali ya furaha awapo na mimi.Yote nikiyaona katika macho aliyonitazama kijana huyo.Nazani alipanga kunifanyia mengi mabaya lakini cheo cha babu yake Mea aliyeogopwa na kila mtu katika ile falme kilimzuia kutimiza mipango yake.Kila jioni baada ya kazi nilitoka na Mea na kutembealea sehemu mbalimbali huku tukifundishana lugha kwa kubadilishana maneno hali iliyosaidia kila mmoja kuanza kuielewa lugha ya mwenzake kwa haraka.

Bustani za kuvutia za maua ya asili zilizokuwa katika sehemu za mwinuko wa fukwe za kisiwa kile yalikuwa makao yetu baada ya uchovu wa siku nzima ambapo huko tulitumia kupumzika na kuongea mambo mbalimbali.Ukaribu ulizidi kukua na kukua,hatimaye hisia za mapenzi ya kweli kati yetu zikachipua.Kila mara tulihitaji kuwa pamoja.Kwa mara ya kwanza nilijikuta katikati ya mtego wa mapenzi,hayakuwa mapenzi ya ngono la hasha ! bali upendo uliotoka moyoni.Nilianguka katika penzi la Mea na kufia kabisa,Mea upande wake ilikuwa hivyo tena nazani zaidi.

Ilifika wakati nikitoka nyumbani na babu bila kumuaga tuliporudi Mea alishindwa kujizuia kulia huku akinitupia lawama.Moyo uliniuma sana kila nilipoyaona machozi ya msichana yule mrembo aliyefanikiwa kuuteka mtima.Nilipata kazi nzito ya kumbembeleza mrembo wangu huyo.Hali hiyo kati yetu babu aliiona.Akaamua kutoa la moyoni.

"Nilichokuwa nikikitaka kimekamilika sasa mnaweza kuondoka"

Siku iliyofuata majira ya saa kumi na moja usiku tulifungasha mizigo pamoja na chakula cha kutosha ikiwemo shehena kubwa ya vipande vya dhahabu alivyotupatia babu na vingine vilivyokuwa mali ya Mea.Babu akatupatia nguo za kawaida lakini za zamani kidogo tukavaa na kuelekea ilipokuwa boti ambayo ndiyo aliyotumia babu kurudi katika kile kisiwa baada ya miaka mingi.Bahari nzuri babu alipoichunguza aligundua kila kitu kipo sawa na kulikuwa na gesi ya kutosha ambayo ingetuwezesha kufika nchini Australia bila tatizo.Babu na mjukuu wake Mea walikumbatiana kwa huzuni,nikamuaga babu na kuingia ndani ya boti na kipenzi changu Mea.

Nikawasha boti iliyoanza kukata maji na kukiacha kile kisiwa.

Mpaka jua linachomoza tulikuwa mbali sana kiasi cha kutokiona kile kisiwa.

"Sam,tunaenda kuishi wapi mume wangu"aliniambia Mea akitumia lugha ya Kiswahili hali iliyozidisha furaha katika moyo wangu kwani nilijua itakuwa rahisi kwake kuishi na watu afikapo Tanzania.

"Usijali malkia wangu,popote tu hata huku baharini ilimradi nipo na wewe"Nilimjibu wote tukatabasamu.

Saa kumi na mbili jioni boti yetu ilitia nanga katika pwani ya kusini mashariki mwa nchi ya Australia.Huko tukakutana na maafisa wa uamiaji waliohitaji kadi za usafiri.Niliwatazama na kutabasamu.Nikatoa vipande vitatu vya dhahabu na kuwapa kulingana na idadi yao.Wakashangazwa na zawadi ile harakaharaka wakatuundia vyeti vya uraia pamoja na passport ya usafiri wakatusaidia mizigo mpaka ulipokuwa usafiri uliotufikisha katika jiji la Stockholm nchini Australia.

Huko moja kwa moja tulikwenda na vipande kadhaa vya dhahabu na kuviuza katika sonara kubwa zaidi katika nchi ile.Zikapatikana dola milioni mia nane huku madini yale yakisifiwa kwa kuwa na uhalisia wake (purity).

Tukachukua vyumba vinne katika hotel ya kifahari kabisa pale Australia ya CEVEN.

Kisha nikamchukua mrembo wangu na kwenda katika kampuni kubwa kabisa ya mitindo ya mavazi duniani iliyokuwa pale Australia ya Bostow.

"Nataka uwe mwanamke mrembo zaidi duniani asiwepo yeyote wa kukukaribia"nilimwambia Mea.

Huko ndani ya Bostow nilimchagulia Mea mavazi ambayo baada ya kuyavaa,wahudumu wa ile kampuni walilipuka kwa mshangao.

"Ooh my God !!, what a goddess ! "Mea akachukuliwa picha nyingi sana.

Wakati nikilipia baada ya manunuzi.Alikuja muhudumu wa ile kampuni na kutuita"

"Are you married ?" (nyie ni wanandoa)

Kwa pamoja tukakubali basi muhudumu huyo wa kike na nadhifu akataka tufuatane naye,tukapanda lifti na kwenda ghorofa ya juu kabisa ya lile jengo.

Tukaingia katika moja ya chumba kilichotambulisha uwepo wa mkurugenzi wa ile kampuni.Mzungu mrefu umri wake wa miaka hamsini kwa kukadiria,aliyekuwa katika mavazi ya kimitindo zaidi,taratibu aliitoa miwani machoni mwake na kututazama huku akitabasamu ikiwa ni baada ya sisi kukaa.

"Habari zenu jamani,karibuni sana katika kampuni yetu"

"Nzuri tunashukuru sana,kuwa pahali hapa"

"Ok sawa samahanini kama nimewapotezea muda,ila kilichofanya niwaite hapa ni jambo moja tu.

Aliongea yule mzungu huku akitabasamu kisha akageuka na kunitazama.

"Hongera kaka kwa kupata mke mrembo kama huyu,hakika macho yako hayakukosea"

"Nashukuru mkuu naomba kukusikia"

"Kwa kweli kaka urembo wa mkeo umetutatanisha sana sisi kama kampuni hivyo tuko mbele yenu kuwaombeni kama inawezekana tumuajiri mke kama modo wetu wa kutangaza mavazi.Anakila sifa tunayohitaji.Mengine madogomadogo tutaeleweshana huko mbeleni.

Alisema mzungu huyo wakati huo akituonyesha picha kadhaa alizotoka kupigwa kipenzi changu Mea.Dah kweli mtoto alikamilika.Hilo lilizidi kuongeza chumvi ya penzi langu kwake.

Kampuni hiyo ilitupa ofa ya kufanya manunuzi katika tawi lao popote duniani bure kabisa tukapewa maelezo yaliyoonyesha mkataba ambao kipenzi changu Mea angeingia na kampuni hiyo kubwa.

Siku tatu baadae baada ya kuupitia mkataba huo tukipata ushauri na usimamizi kutoka kwa mwanasheria ambaye tulimlipa kiasi kikubwa cha fedha,Mea alisaini mkataba ambao ulivunja rekodi katika kampuni ile kwa kuwa mkataba uliokuwa na thamani kubwa zaidi.Mkataba huo ulielekeza Mea kulipwa dola milioni kumi kwa kila picha ya tangazo atakayopiga.

Kutokana na umaarufu wa kampuni ile urembo wa Mea ulizidi kuvutia wateja waliokuwa wakichawiwa na kupendeza kwa mrembo huyo.Mauzo katika kampuni yakazidi kuongezeka.Ndani ya wiki tu kampuni hiyo ilitajwa kama kampuni iliyoongoza kwa uuzaji wa mavazi kwa upande wa fashion.Jina la mrembo Mea likazidi kukua,kila mtu akataka kumfahamu.Katika mitandao ya kijamii msichana huyo akapata wafuasi wengi mno.Ustaa ukachukua nafasi katika maisha ya mrembo wangu huyo ambaye siku zote hakuacha kunipenda na kuniheshimu.Kwa kuwa sikuwa mtu wa kuchelewesha tayari nilishakata uzi wa mrembo wangu huyo,hivyo nikawa wa kwanza kula tunda lake.Mapenzi kati yetu yakazidi kushamiri na kukua.Ingawa Mea wangu alikuwa maarufu,sikutaka kuupata huo umaarufu kwani niliofia sababu za kiusalama.Tulitoka pamoja majira ya usiku tukiwa tumevalia mavazi ambayo ni vigumu kutambulika na yeyote hasa mapaparazi ambao katika ile nchi ya Australia walikuwa na kila njia ya kunasa habari pindi watakapo.

Wiki mbili baadae tulinunua jumba la kifahari pale jijini Stockholm ikiwa ni baada ya kuuza vipande kadhaa vya dhahabu na vingene vilivyobaki tulivihifadhi katika handaki maalumu lililojengwa kisasa kwa ajili ya matumizi ya baadae.Maisha kati yangu na Mea yalizidi kutawaliwa na furaha,dili za pesa zikazidi kumjia Mea ambaye alinijulisha kila nilichofanya huku kukiwa na meneja aliyefuatilia kila kitu hivyo pesa zikawa zikiingia katika akaunti ya familia yetu ya watu wawili.

"Love kuna sehemu nataka kwenda nitarudi baada ya muda,kuna jambo ni lazima nilifanye kwa ajili ya maisha yetu ya baadae"

"Jambo gani tena hilo mpenzi la ghafla hivi"

"Usihofu mama nitaondoka kwa wiki kadhaa kisha nitarudi ni ishu ndogo tu"

"Jamani uondoke uniache peke yangu mpenzi afu kwanini imekuwa ghafla hivyo"

"Im sorry mamy ni vigumu kukwambia maana utashindwa kunielewa,please kama unanipenda naomba uniache niende"

My love Mea aliumizwa sana na maneno yangu mtoto wa watu akaanza kulia kiasi cha kukilowanisha kifua changu kwa machozi yake,akinituhumu hasa kutokuwa mkweli na muwazi kwake.Maneno yaliyouchoma vilivyo mtima wangu nikamlaumu sana aliyeiangamiza familia yangu.Nikaapa lazima nimuuwe kwa mkono wangu na kuondoka na kichwa chake.

"Mpenzi naomba usilie,nipo chini ya miguu yako naomba uniruhusu niende kwa roho moja.nakuahidi nitarudi na nitahakikisha nakuwa bora kwako zaidi ya ilivyosasa"Nilimwambia Mea aliyezidi kulia kwani hakuzoea kuishi mbali nami ukichangia nilikuwa kila kitu katika maisha yake.

"Ok, nipo tayari kukuruhusu iwapo utaniambia mahali unapokwenda na sababu ya kwenda huko"

"Naenda nyumbani kuwataarifu juu yako mpenzi wangu kisha ntakuja kukuchukua twende nyumbani pamoja"Nilimdanganya Mea japo aliniongezea maswali kibao ya kunibana lakini nilitumia kila njia kumuaminisha hivyo.

Mrembo wangu mwishowe alinielewa akaniruhusu kuondoka japo kishingo upande mchana wa siku iliyofuata nikaondoka nikiaga kuelekea uwanja wa ndege ambapo yeye alishindwa kunisindikiza kutokana na maswala ya kazi ukiongeza usumbufu ambao angeweza kupata kutoka kwa watu waliomhusudu.

Saa mbili unusu kiza kilitawala nilifika mpaka katika mtaa Stone hill uliosifika kwa uhuni kupitiliza huko nikaingia katika genge fulani la wahuni na kumwaga pesa huko nikafanikiwa kununua silaha kadhaa zikiwemo Bastola tatu ndogo zilizotiwa viwambo vya kuondoa sauti,visu viwili vidogo,mabomu mawili ya machozi na bomu tatu za kurusha.

Nikachukua na pikipiki iliyonifikisha mpaka ulipokuwa mtaa wa kitajiri wa princess hill.

Nilikwenda mita kadhaa mpaka ilipokuwa nyumba namba 0485 kama yalisema maelezo ya yule mvamizi niliyemuua baada ya kunifichulia siri.Nikapaki pikipiki langu kubwa katika eneo lililokuwa mbali kidogo nje ya supermarket ndogo.Nikachukua hatua kuelekea ilipokuwa nyumba ile ambapo muuaji wa wazazi wangu aliweka makazi akipumua kwa raha na kuendelea na maisha bila tatizo lolote.Nilijawa na hasira zaidi ya simba aliyejeruhiwa.Picha za mauaji ya kutisha ya familia yangu zilikuwa zikijirudia katika ubongo wangu..


Je nini kitaendelea.Usikose inayofuata.



Nilikwenda mita kadhaa mpaka ilipokuwa nyumba namba 0485 kama yalivyosema maelezo ya yule mvamizi niliyemuua baada ya kunifichulia siri.Nikapaki pikipiki langu kubwa katika eneo lililokuwa mbali kidogo nje ya supermarket ndogo.Nikachukua hatua kuelekea ilipokuwa nyumba ile ambapo muuaji wa wazazi wangu aliweka makazi akipumua kwa raha na kuendelea na maisha bila tatizo lolote.Nilijawa na hasira zaidi ya simba aliyejeruhiwa.Picha za mauaji ya kutisha ya familia yangu zilikuwa zikijirudia katika ubongo wangu..


Endelea..


Jumba kubwa la kifahari lililindwa kwa ukuta mrefu.Juu ya kuta hizo kuliwekwa nyaya zisizo na magamba za umeme.Hili likanichelewesha kidogo kwani nilitumia nguvu na akili ya ziada mpaka kufanikiwa kuruka ukuta ule.Nilitua ardhini bila kutoa sauti,nikatazama huku na kule na kuona mlinzi mmoja tu getini aliyekuwa katika njozi nzito.Nikatembea kwa kunyata mpaka sehemu aliyokuwa nikamgusa taratibu kumuamsha.Akafumbua macho yake kwa pupa na kukutana na mdomo wa bastola yangu.Nikamuamuru kuweka silaha chini na kufuata masharti yangu,akatii.

Nilichukuana naye huku bastola yangu ikiendelea kugusa utosi wa kichwa chake uliofunikwa kwa nywele nyingi nyeupe.Nilitaka anipeleke katika chumba alichokuwa akiishi binti Shalhalt ambaye ndiye adui yangu mkuu niliyemtafuta kwa miaka kadhaa.

Ndani ya jumba kubwa la kifahari tulipiga hatua katika korido ndefu ukimya ukiendelea kutawala.Mlango ukajifungua tukaingia ndani ya sebule kubwa.Huko akaonekana msichana fulani aliyekuwa akifanya mazoezi.Kilikuwa ni chumba cha mazoezi kikijazwa kwa vifaa vya kisasa vya gym.Msichana huyo alitupa mgongo na alikuwa akifanya mazoezi ya kukimbia katika kifaa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.Alivaa suruali nyepesi iliyombana sana na kuwezesha kuonekana kwa umbo lake matata.Juu alivaa sidiria maalumu kwa ajili ya mazoezi hivyo kiuno chake kilichoumbika vyema kilionekana sawia.

"Where is she ? "(Yuko wapi ?) nilimuuliza yule mlinzi kwa hasira.

"There she is"(Ndo yule pale)

Alinijibu huku akitetemeka.

Nilimchukua mkukumkuku huku nikizidi kuikandamiza bastola kichwani mwake kuelekea alipokuwa yule msichana ambaye hakuonesha kustushwa na lolote akiendelea kufanya zoezi bila hofu yeyote.

Nilipofika hatua kadhaa nyuma yake nilisimama na kwa hasira nikamuamuru kuacha alichokuwa akikifanya la sivyo ningemuua yeye pamoja na yule mlinzi.

Ilikuwa sawa na kupigia mbuzi gitaa kwani msichana huyo wala hata hakugeuka aliendelea na zoezi kama asiyejua kilicho endelea.Hapo hasira ilinipanda nikahisi mpaka mikono ikitetemeka,mpuuzi aniulie familia yangu halafu anionyeshe dharau kiasi hicho.Niliachia risasi mbili zilizoingia vema ndani ya kichwa cha yule mlinzi na kupenya upande wa pili zikienda mpaka katika utosi wa yule msichana.Ghafla msichana huyo aliruka sarakasi za hewani zikasikika sauti za vioo vilivyopasuka baada ya kulengwa na risasi.Msichana huyo akatua sakafuni akiwa bado amenigeuzia mgongo kwa staili ya kutanguliza mikono akaanza kupiga push up.Dharau ilioje hiyo nilijiweka sawa kwa ajili ya kufanya shambulio jingine la risasi lakini ghafla ilisikika sauti laini ya kike ambayo haikuwa ngeni masikioni kwangu.

"Kama ndoto mbaya kabisa naota,kwa kweli ni ngumu kuamini,ingawa sijui sababu lakini ni dhahiri ipo tena yenye mashiko.Najua umekuja kwa ajili ya kuniuwa lakini kabla hujafanya hivyo nakupa mtihani ambao ukiweza kufaulu nitakuruhusu uiakate shingo yangu kwani nimekutenda vibaya mno sistahili kusamehewa"

Ilisema sauti hiyo iliyofanya nimkumbuke mtu fulani ambaye kipindi cha nyuma nilifanya nae mengi kama mtu wa karibu.

Kabla sijajibu lolote,msichana aliyekuwa sakafuni akiendelea na zoezi la push up alijinyanyua na kurusha teke zito lililotua kifuani kwangu na kuniyumbisha huku na kule.Akaja tena kwa kasi akirusha ngumi kama mashine ambazo nilifanikiwa kuzipangua japo baadhi zilinipata vyema na kuniachia maumivu hasa sehemu za usoni.

Kwa kuwa nilikuwa nikirudi nyuma nilisimama na kupanga shambulizi jipya nikatanguliza teke zito ambalo lilipanguliwa vizuri nikagongwa na kiwiko gotini na kuachwa katika maumivu makali.Kabla sijakaa vizuri ngumi kama mvua zilirushwa kwa kasi zikiniachia mchaniko mdomoni pamoja na kujitahidi kuzipangua huku nami nikijibu shambulizi ambalo lilizibitiwa kwa urahisi.Kigoti kikatua katika makao makuu yangu nikunifanya nitoe ukelele wa maumivu.Nilijikaza kiume na kumsoma yule msichana namna alivyopigana.Wakati huo niliendelea kupangua ngumi pamoja na mateke aliyorusha.Mpambano ukaendelea nikagundua kuwa adui yangu hakuwa na mwili wenye nguvu zaidi ya wepesi wa mwili.Niliruhusu ngumi tatu pamoja na teke zito vinipate hatimaye nikafanikiwa kulidaka teke lake.Kwa nguvu nilimzungusha hewani na kumshusha chini haraka.Akatua akiwa ameitanguliza mikono sakafuni huku mguu mmoja nikiwa bado nimeushika.Niliukamata na ule wa pili ambao alijaribu kunipiga nao sehemu za tumboni kisha kwa nguvu nikaruka nikiwa bado nimeishika miguu yake yote na kutua katika mgongo wake.Ukasikika mlio wa mvunjiko wa mfupa.Uti wa mgongo wa msichana yule haukuwa ukifanya kazi tena.Nilimuacha akivuta pumzi ya mwisho nikaangaza macho huku na kule kuona kama yule msichana aliyezungumza katika kipaza sauti atatokeza.

Ghafla nilijikuta katikati ya kundi la wasichana sita waliokuwa wamevalia mavazi meupe yaliyoibana sana miili yao.Walichanganyika weusi na weupe kwa maana ya wazungu.Walinizunguka pande zote nne bila silaha yeyote mkononi.Akili yangu ikafanya kazi haraka nikaingiza mkono katika koti langu kubwa na kutoa bomu mbili za machozi.Nikazirusha kuelekea pande mbili walizokuwa wamenizunguka wasichana wale,kisha nikavaa kidubwasha kilichoniwezesha kutoathiriwa na gesi ya mabomu yale.Nikatoa bastola zangu mbili na kuzishika vema mkononi.Chumba kizima kilijazwa kwa moshi.Wasichana wale wakaanza kuniafuata bila kuonyesha hofu yeyote.Mateke mawili yakatua kifuani kwangu yakitoka kwa wasichana wawili tofauti.Kabla sijatulia mikono yangu yote ilipigwa teke hivyo zile bastola zikaanguka sakafuni.Hilo lilifanywa pia na wasichana wengine wawili.Miguu yangu ikakanyagwa kwa nyuma nikajikuta nikipiga magoti hilo nalo lilifanywa na wengine wawili waliokuwa nyuma yangu.Kisha teke zito likaja usoni kwangu.Nikainama likapita.Nikaona wasichana wale walitaka kunifanya mtoto.Haraka nikatoa ile bastola ya mwisho iliyokuwa mfukoni na kufyatua risasi za kushtukiza.Wasichana watatu wakawa chali sakafuni.Wengine watatu wakafanikiwa kukwepa risasi kwa kuruka sarakasi kama vipepeo.Sikuacha kufyatua risasi.Wakati nikiendelea kufanya hivyo visu vitatu vikarushwa kutoka kwa wale wasichana waliokuwa wakihangaika kukwepa risasi.Nilikwepa viwili lakini kimoja kilitua katika paja la mguu wangu wa kulia.Nikang'aka kwa maumivu na kujikaza kisabuni.Nikatoa moja ya mabomu ya kurusha niliyokuwa nayo.Nikatoa safety pini na kurusha sakafuni katika sehemu ambayo walitakiwa kutua baada ya kuruka hewani.Ukatokea mlipuko mkubwa.Nilirushwa mita kadhaa na mlipuko ule nikalalia kile kisu na kuzidi kukishindilia katika nyama za paja langu.Maumivu makali yakazidi kunisurubu.Ni miili miwili tu iliyoonekana pale sakafuni mmoja ukiwa umekatika mguu mwingine ukiwa hauna kichwa.Nyamanyama pamoja na damu ziliichafua sakafu.Nilifanikiwa kuwaangamiza wasichana wote sita.Taratibu ukuta wa kile chumba ulianza kuachana ukatokea mlango mkubwa.Wakatokea wasichana watatu, waliokuwa wamevalia kama wale sita niliowaua.Wakanivua lile dubwasha la kupumulia wakaninyanyua na kunisaidia kutembea mpaka ndani ya chumba hicho kingine.

Wakanitembeza mpaka sehemu alipokuwa msichana mrembo ambaye alinipa mgongo.Umbo la msichana huyo pamoja na tatoo ua iliyokuwa katika mgongo wake ulioachwa wazi kwa gauni lake refu navyo vilidhihirisha kuwa nilishawahi kukutana na kiumbe huyo.Nilifikishwa mpaka sehemu ya juu ya mahali alipokuwa amesimama ikiwa ni mbele ya kiti kochi kubwa lililopambwa kwa madini ya dhahabu vyote vikidhihirisha maisha ya kitajiri aliyokuwa akiishi binti huyo nikaachiliwa na kuanguka sakafuni kama mzigo.

"Mimi ndiye Shalhat uliyekuwa ukimtafuta kwa muda mrefu ambaye pia ndiyo aliyekuulia familia yako"Ilisikika sauti ya yule msichana akiwa bado kanigeuzia mgongo akitamka maneno yaliyolikaba koo langu kwa hasira.

Nikajinyanyua pale sakafuni kama kichaa na kuchomoa visu viwili vidogo vilivyokuwa katika koti langu.Nikamfuata kwa pupa nikidhamiria kuvizamisha katika moyo wake bila huruma.

Nikiwa hatua chache kabla ya kumfikia msichana huyo aligeuka na kufanya nisimame kwa kuishiwa nguvu za kutembea..

"NARNIA.."

Nilipayuka kama chizi nikiwa katika hali ya kutoamini nilichokiona na kusikia..


Je nini kitaendelea ? ,Usikose ijayo..


Like na comment.




Nikiwa hatua chache kabla ya kumfikia msichana huyo aligeuka na kufanya nisimame kwa kuishiwa nguvu za kutembea..

"NARNIA.."

Nilipayuka kama chizi nikiwa katika hali ya kutoamini nilichokiona na kusikia..


Endelea..


Hakika macho yangu hayakuweza kuamini kile nilichokiona.Narnia msichana mrembo kabisa kuwahi kukutana naye kumbe ndio alikuwa katili aliyeniulia familia yangu kinyama pamoja na watu wangu wa karibu akiwemo Cathy aliyekuwa na ujauzito wangu.Kwakweli nilishindwa la kufanya nikabaki nikimtazama msichana yule kwa hasira huku machozi ya uchungu yakiulowesha uso wangu.Sikutaka kuamini kuwa mtoto mzuri kama yule angeweza kuwa katili kiasi hicho.Yote tuliyowahi kufanya pamoja yalijirudia katika akili yangu na kuongeza machungu ndani ya moyo wangu.Nikajuta kumfahamu msichana huyo,kila nilivyoendelea kumtaza wakati akilia kwa uchungu ndivyo nilivyozidi kukasirika.

"Narnia niambie tu,kwanini umeamua kunitesa hivi ?, kwanini uliua familia yangu ?, kwanini ulimuua mama yangu kikatili kama mnyama asiye na thamani,kwanini uliwauwa ndugu zangu,kwanini ulimuua Cathy akiwa na damu yangu tumboni..Niambie tu nilichowahi kukukosea mpaka unitendee unyama kiasi hicho...Nimesema niambie..!!! "

Niling'aka kwa hasira huku nikimsogelea msichana huyo aliyekuwa akilia kama mtoto.

"Sam niue tu, kwa niliyokutenda sistahili kuishi..ila kabla hujafanya hivyo naomba unisamehe kisha uniambie sababu iliyosababisha ukamuua baba na dada yangu wa damu najua kuna sababu tu,yote yametokea kati yetu kwakuwa hatukujua lolote..Nisamehe Sam roho ya kisasi ndiyo iliyokuwa ikinisukuma..siku zote sikufahamu kuwa wewe ndiyo adui yangu nahisi hata wewe hukutambua kuwa mimi ndiye mkosaji wako,yote yametokea tu kati yetu ila hatukufahamu..nisamehe sana Sam lakini kabla hujaukatisha uhai wangu naomba uniambie sababu iliyosababisha ukafanya mauaji kwa familia yangu"

Alisema msichana Narnia huku akiendelea kulia kwa uchungu na kufikia hatua ya kukaa chini.

Huku nikiwa katika maumivu makali nilimueleza tukio zima msichana huyo kuanzia mwanzo wa uhusiano wangu na dada yake mpaka ukatili aliotaka kunifanyia baba yake uliosababisha nifanye mauaji yale ingawa mpaka siku hiyo nilikuwa nikijuta na kujiona mpumbavu kwa kumwaga damu isiyokuwa na hatia.Nilimwomba Narnia msahama kwa kila nililomtendea na maumivu yoyote aliyowahi kupata baada ya kuipoteza familia yake.Badala yake msichana huyo aliendelea kulia huku akisisitiza nimsamehe na niutoe uhai wake kama nilivyodhamiria kwani aliyonitendea ni mabaya na magumu kuliko kawaida.

"Sam kipindi familia yangu imefariki nilikuwa masomoni China,hivyo habari hizo ziliponifikia niliumia sana..Mbaya zaidi nilisikia waliuwawa kikatili barabarani lakini sikufanikiwa kupata video za hilo tukio.Kuanzia hapo niliachana na masomo ya chuo.Nikatumia urithi wa mali nyingi alizokuwa nazo baba yangu kujiimarisha kwa ajili ya kulipiza kisasi.Kwakuwa baba yangu alikuwa akijihusisha na ulanguzi wa madawa ya kulevya kwa siri,alikuwa na kiasi kikubwa cha fedha katika benki mbalimbali duniani na vyote hivyo nilikabidhiwa umiliki baada ya kifo chake.Hivyo nilitumia fedha hizo kujiunga na genge la wahuni kule China lililokuwa likifundisha Kongfu na mbinu mbalimbali za kufanya mauaji kwa siri.Huko niliweza kukutana na watu wengi ambao niliwalipa na ndio waliotumika kufanya mauaji ya famili yako na wapendwa wengine.Ninaumia sana kuona mtu niliyempenda kwa moyo wangu wote,amekuwa zaidi ya adui kwangu hivyo sioni haja ya kuendelea kuishi nadhani haikupangwa mimi na wewe kuwa pamoja..

Nakupenda sana Sam naomba unisamehe kwa yote.."

Aliongea Narnia na kunisogelea kisha akaishika mikono yangu ambayo ilishika visu na kujidunga visu vile.Damu nyingi zilianza kumtoka mdomoni na tumboni hatimaye msichana huyo alipoteza maisha.Kidogo nilihisi maumivu moyoni baada ya kifo cha msichana huyo aliyekuwa na urembo usiopimika.Nilisaidiana na wale vijakazi tukafanya mpango wa kuuchoma mwili wa msichana huyo pasi na kuupeleka hospitalini kwa kuwa tulikwepa kuhusishwa na uchunguzi wa polisi ambao huenda ungetutia hatiani.Niliagana na wale wasichana na kurudi nyumbani ikiwa ni siku iliyofuata asubuhi.

Nilimkuta Mea kipenzi changu amekaa kwenye kochi kichovu akipata kifungua kinywa na hakuwa amejiandaa kwenda kazini.Aliponiona alinikimbilia na kunikumbatia kwa furaha.

"Jamani mpenzi siamini kama umerudi,ujue nilipata ugonjwa wa ghafla kwa upweke"

"Usijali mpenzi nipo kwa ajili yako,umeamini maneno yangu sasa,nilikwambia ntarudi"

"I'm so happy darling ila hujaenda si ulisema utakaa muda mrefu"

"Dah kiroho kiliniuma,kukuacha mpweke nikaona niahirishe safari..nakuahidi wakati ukifika tutaenda pamoja"

"Mwaaa !! I love u soo much !! "

Aliniambia Mea tukaanza kupigana mabusu motomoto tukatupana kwenye kochi kama mizigo sekeseke likaanza.

Nilifungua mikanda ya pajama yake kwa pupa na kuiweka pembeni tukaingia katika anga nyingine ya mahaba.Kila mmoja alimmisi mwenzake hivyo penzi lilizidi kunoga.Unajua raha ya mpenzi ummiliki yaani awe wakwako ambaye umeridhika naye kwa kila kitu.Yote hayo yalifanya nihakikishe namfikisha mahabuba wangu kila alipohitaji kufika nikimuacha katika raha na tulizo la hamu.

Miezi miwili baadae ulifika ule wakati ambao mwaliko wa kwenda nchini Italia katika maonesho ya mavazi.Mpenzi wangu Mea alikuwa mmoja wa wanamitindo maarufu kutoka bara la Australia waliotakiwa kupita katika jukwaa kuu kuonyesha mavazi.Ni katika siku hiyohiyo shindano la mrembo wa dunia lilitakiwa kufanyika ikiwa ni baada ya onyesho hilo la mavazi.

Kwa kuwa gharama zote za usafiri mavazi na malazi ziligharamiwa na kampuni aliyofanya kazi mpenzi wangu Mea.Tulisafiri bure kabisa mpaka jinini Rome Italia kwa kutumia ndege ya kifahari huku tukifikia katika hoteli ya kifahari.

Usiku wa siku iliyofuata niliambatana na kipenzi changu tukiwa tumependeza kuliko kawaida na kuwaacha watu wakitutupia macho.Siku hiyo Mea aling'aa kama malkia.

Tuliingia mpaka ndani ya ukumbi mkubwa wa kimataifa ulioandaliwa kwa ajili ya shindano la kumtawaza mrembo wa dunia,lililotanguliwa na maonyesho ya kimataifa ya mavazi.

Kwakuwa Mea alitakiwa kujiandaa kwa ajili ya onyesho hilo,aliniacha nikasindikizwa kwa bashasha na mapokezi mpaka katika viti maalumu vilivyokuwa sehemu ya mbele kabisa.Nikakaa kwenye meza na kuanza kupata mvinyo asilia wa kiitaliano taratibu huku mziki laini wa bendi ukiendelea kutumbuiza.Ukumbi ulifurika watu kutoka mataifa mbalimbali ambao kila mmoja alitaka kumshuhudia mlimbwende atakaye tawazwa kama mrembo zaidi duniani.

MC machachari kabisa wa kizungu alipanda jukwaani na kuanza kusherehesha..

Hivyo shughuli nzima ikaanza kama hivyo...


Je nini kitafuata.!? Usikose inayofuata.




Ukumbi ulifurika watu kutoka mataifa mbalimbali, kila mmoja alitaka kumshuhudia mlimbwende atakaye tawazwa kama urembo zaidi duniani.

MC machachari kabisa wa kizungu alipanda jukwaani na kuanza kusherehesha..

Hivyo shughuli nzima ikaanza kama hivyo...


Endelea..


Mshereheshaji (MC) baada ya kufungua rasmi shughuli hiyo kulingana na ratiba alitoa maelezo kuwa ulifika muda wa fashion(maonyesho ya mavazi) ambapo warembo mbalimbali walipita mbele ya jukwaa kwa madaha huku wamevalia mavazi ya kuvutia wakitokea katika mataifa mbalimbali.Makofi na kelele zilitawala baada ya mpenzi wangu Mea kukatiza pale jukwaani kwa madaha akiwa amevaa gauni fupi lililokuwa limeshonwa kwa mtindo wa kuvutia na hivyo kumpendeza kuliko kawaida.Nilinyanyuka kwenye kiti na kumpungia mrembo wangu huyo aliyeniachia tabasamu murua.Na kukatizia upande wa pili wa jukwaa.Nilijisikia amani na furaha moyoni.

Baada ya tukio hilo ulifika wakati wa kutangaza mshindi wa shindano lile la mavazi.Alianza kuitwa mshindi wa tatu ambaye alikuwa mrembo machachari kutoka nchini Thailand.Akafuata wa pili mrembo kutoka nchini Latvia,kisha ukumbi mzima ulitawaliwa na ukimya.MC kwa manjonjo akatia utani uliozidi kuupa umati mkubwa wa watu shauku ya kutaka kujua kinachoendelea.Mwishowe akataja jina la mpenzi wangu Mea.Alikuwa ndiye mshindi wa kwanza.Ukumbi ulilipuka kwa furaha.Makofi yalipigwa pamoja na kelele wakati ambao mpenzi wangu Mea alikuwa akipanda jukwaani kupokea zawadi yake.Kabla ya kukabidhiwa tunzo hiyo ya kimataifa iliyoambatana na hundi nono Mea alipewa kipaza sauti kwa azungumze machache.

"I dedicate this award to my lovely husband Samwel"(Tuzo hii naitoa kwa mume wangu mpenda Samwel).

Aliosema kipenzi changu Mea huku machozi ya furaha yakiulowesha uso wake.Nilipanda jukwaani na kumkumbatia kwa furaha.Meneja pamoja na viongozi kadhaa wa ile kampuni nao walipanda jukwaani kumpongeza Mea.Baada ya Mea kukabidhiwa tunzo yake pamoja na hundi zaidi ya dola milioni moja,tulikumbatiana tena kwa furaha na kupiga picha ya pamoja.

Baada ya zoezi hilo kuisha tulirudi katika sehemu zetu tukiendelea kupata vinywaji taratibu na kuchombezana kwa utani wa hapa na pale nazani unaelewa pindi wapenzi wanapotoka pamoja.

Hatimaye ule muda uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kubwa ulifika.Ni ule wakati wa kumtangaza mlimbwende wa dunia.

Yalitajwa majina ya walimbwende watatu ikisemekana wote walitokea bara ulaya.

Walimbwende hao walipanda jukwaani kwa madaha wakisindikizwa na warembo waliyoshika sehemu ya nyuma ya magauni yao marefu yaliyo wapendeza huku ukipigwa mziki laini pamoja na mokofi kutoka kwa hadhira.

Kati ya warembo hao wawili walikuwa wazungu na mmoja alikuwa na asili ya kiafrika.Katika kuendelea kuwatazama warembo hao waliofanikiwa kufika tatu bora ya dunia kuna taswira fulani ilinijia kichwani ambayo ilinijulisha kuwa sura ya yule msichana mrembo wa kiafrika haikuwa ngeni machoni kwangu.Upande wa pili wa nafsi yangu ukapinga mawazo hayo ukinipatia jibu ya kwamba, huenda nimemfananisha tu msichana huyo.Ila mbona hata majina ni tofauti'nilijiambia.

Niliamua kupotezea na kuendelea kuongea mawili matatu na my love wangu Mea.

Kama ilivyokuwa kwa wanamitindo Mc alianza kwa kumtaja mshindi wa tatu kisha wa pili mwishowe kwa manjonjo akamtaja wa kwanza ambaye ndiye yule msichana niliyemfananisha.

Kelele za kushangilia ziliongezeka.Msichana huyo akalia machozi ya furaha.Akapanda kijana mtanashati wa kizungu wakakumbatiana.Kisha mbele ya jukwaa walionekana mwanamke na mwanaume waliokuwa katika umri wa makamo ambao niliweza kuwatambua fika.Mzee Said na mkewe mama Zena.

Sasa akili yangu iliweza kufunguka,nikagundua kuwa yule binti mrembo aliyeshinda taji la urembo duniani ni Zena mwenyewe wala sikukosea kumfananisha.Lakini kwakweli msichana huyo alibadilika kwani sasa alikuwa mrefu na mwembamba kiasi akiwa ndani ya umbo lililoumbika sawia.Hakukuwa na kigezo cha kumnyima tunzo hiyo kwa habari ya muonekano.

"Bebi,nafahamiana na hii familia.Naomba tupande jukwaani tukawapongeze"

Nilimwambi mpenzi wangu Mea tukapanda jukwaani lengo likiwa kuipongeza familia ya mzee Said haswa binti yao Zena ambaye kwa kipindi kirefu nilitamani kumtia machoni.

Ukumbi mzima ulitutazama wakati tukipanda jukwaani.Mzee Said ndiye alikuwa wa kwanza kutuona ambapo alimwonyesha mkewe.Tulipowafikia nilisalimiana nao kwa ucheshi nikiwasifu kwa jinsi walivyokuwa wamependeza na kuwapongeza sana kwa ushindi aliopata binti yao.Wakati huo Zena alikuwa na mpenzi wake huyo wa kizungu wakipiga picha ikiwa ni baada ya kukabidhiwa zawadi.Niliendelea kuongea na mzee yule pamoja na mkewe ambao pia walinimwagia sifa kwa kupata mwanamke mrembo,mwenye heshima na aliyejua kutafuta hela.Wakati maongezi yakiendelea ghafla macho yangu yalitua katika uso wa mrembo Zena,nikawa natazamana naye.Alikuwa ameshikana mkono na yule kijana wa kizungu.Alinitazama kwa mshangao sana.

"Sam..ni wewe au nakufananisha"

Aliniambia. Nikajikuta naachia tabasamu.

Katika hali ya kushangaza mrembo huyo wa dunia aliuachia mkono wa mwanaume wake akanirukia na kunikumbatia akajilaza kifuani kwangu.

"Sam, kwanini uliamua kuwa kimya hivyo?"

Aliniambia.

Hapo ndipo nikagutuka baada ya kuona mpenzi wangu Mea akiniangalia kwa macho yaliyojaa hasira ya wivu.Nikajitoa katika kumbatio la Zena.

"Ni maisha tu hayo mdogo wangu"nilimwambia wakati huo Mea alishaushika mkono wangu akawa akimpa salamu mrembo Zena ambaye baada ya kumuona Mea karibu yangu raha aliyokuwa nayo ilionesha kupotea.

"Zena hongera sana kwa kutwaa taji la mrembo wa dunia..hakika ni jambo la kushangaza sana..na hongera pia kwa kupata mwanaume anayekupenda na kukujali.Huyu ni mke wangu Mea nadhani unamfahamu kama mshindi wa tuzo ya mwanamitindo bora wa mwaka..Nafurahi kukutana tena na familia yenu mkiwa katika hali ya tofauti kabisa..Hakika mungu ametenda mengi makubwa kwenu,mzee Said na mama Zena hongereni sana kwa kujaliwa mtoto mrembo wa dunia".

Niliongea hayo nia ikiwa ni kuficha hasira ya ghafla iliyokuwa imepata mrembo Zena.

Nilisalimiana na kwa bashasha na yule kijana wa kizungu aliyekuwa akimmiliki Zena ambaye kwa kutumia macho ya kihuni niligundua tabia yake haikuwa tofauti na ya kwangu. Yaani alikuwa playboy lakini kwa mrembo Zena alifika mwisho wa safari yake.Ndani ya muda mfupi tuliweza kujuana na kuongea mengi huku Zena na mpenzi wangu Mea wakibadilishana mawili matatu.Baada ya zoezi la upigaji picha na utoaji wa zawadi kukamilika.Shughuli ile iliiisha ambapo familia za washindi tulialikwa kwa chakula cha usiku katika hoteli ile ya kifahari.

Jambo hilo lilinipa wakati wa kuwa karibu na familia ya mzee Said ambapo kwa sasa mpenzi wangu Mea hakutaka kukaa mbali nami haswa baada ya kuhisi Zena akijaribu kuwa karibu yangu hali ilikuwa hivyohivyo kwa yule kijana wa kizungu ambaye alihakikisha Zena anakuwa karibu naye muda wote huku akimpiga mabusu hadharani, nazani nia yake ilikuwa kunionya nikae mbali na mrembo wake..Story za hapa na pale ziliendelea wakati tukipata chakula pamoja,kufurahia tukio lile.

Ukafika muda nikaaga kwenda kujisaidia.Nilifika mpaka kilipokuwa chumba kilichoelekeza choo na kuingia ndani nikapiga hatua kufuata chumba cha choo kbla sijaingia mlango wa kile chumba ulifunguliwa nikasikia sauti laini ya kike ikilitaja jina langu.

"Sam"

Nilipogeuka nilikutana na mrembo wa dunia Zena.Bila kuchelewa binti huyo alilishika gauni lake huku akinikimbilia,aliponifikia akanikumbatia kwa nguvu na kuibusu midomo yangu.

"Sam i missed you so much..siwezi kujizuia Sam nakupenda sana"

Alinitamkia msichana huyo baada ya busu moto alilonipa.Tukawa tumekumbatiana kwa ukaribu huku tunatazamana usoni.

Harufu nzuri ya marashi ya Zena ilizidi kunipagawisha.Damu ilianza kunichemka nikajikuta narudisha busu kwa msichana huyo ambaye alinipokea kwa mikono miwili.


Je nini kitaendelea?usikose ijayo.



Ilipoishia..

"Sam i missed you so much..siwezi kujizuia Sam nakupenda sana"

Alinitamkia msichana huyo baada ya kunipa busu moto.Tukawa tumekumbatiana kwa ukaribu huku tunatazamana usoni.Damu ilianza kunichemka nikajikuta narudisha busu kwa msichana huyo ambaye alinipokea kwa mikono miwili.


Endelea..


Bila kujali madhari nilimsogeza mrembo Zena ukutani naye alinyanyua mguu mmoja na kupandisha gauni lake refu kisha akauzungusha mguu huo nyuma yangu.

Wakati huo tulikuwa tukila denda miili yetu ikiwa katika hali ya hatari ya kuhitaji kutimiza haja za huba.Ghafla simu yangu iliita nikaingiza mkono mfukoni na kuitoa.Alikuwa Mea aliyekuwa akipiga.Nilimtuliza kwanza Zena ambaye tayari hamu zilishampanda hivyo ikawa ngumu kuniacha.

"Sam mwenzio nipo katika hali mbaya,tufanye japo kidogo bana"

"Ila Zena mazingira tuliyopo siunayaona,kwanini tusitafute sehemu ambayo tutafanya tukiwa huru"

Nilimwambia wakati huo akili yangu ilianza kurudi baada ya kupotelea katika bahari ya huba kwa dakika chache.

Wakati tunaongea hayo mara mlango ulifunguliwa.Mbele yetu akaonekana mwanaume mweusi ambaye baada ya kutuona alipiga makofi huku akipiga hatua akitufuata taratibu.

"Miss world with another man,what a deal"(mrembo wa dunia na mwanaume mwingine,bonge la mchongo).

Alizungumza mwanaume huyo na kumfanya Zena kujitoa kifuani kwangu na kujiweka vizuri akiwa katika mshtuko.

"Basi kwakuwa nimeshuhudia kila kitu,tusiongee mengi,dola milioni moja mezani mkitaka kuzima siri hii"

Hapo tukapigwa na mshtuko kwani mwanaume huyo aliyekuwa muosha vyoo alitaka kutajirika kupitia tukio hilo akitudai kiasi kikubwa cha fedha.

"Ok,sawa umeona lakini kiasi ulichotaja mbona kikubwa mno.Fanya laki tano"

"Halafu nyie hampo serious kabisa yani nichukue dola laki tano wakati huyu mrembo amekabithiwa dola milioni moja.Nataka hizohizo milioni kama hamna mniache niotoke zangu salama"

Alituambia mwanaume huyo kwa madaha.

"Sam tumpe tu kama ni hela ninazo nyingi,hii ishu ikivuja itakuwa hatari sana kwako"

Aliniambia Zena kwa hofu.

"Sasa umesikia we kinyago sikupi hata kumi na kuhusu hii siri labda ukafichue kuzimu"

Nilimwambia na kuikamata shingo yake kwanguvu nikaivunja huku Zena akishuhudia.

"Mungu wangu! Sam umeaua..kwanini umefanya hivyo"aliniambia Zena akionyesha kupaniki.

Sikumjibu chochote niliuchukua mwili wa yule bwana na kuungiza katika chumba kilichokuwa na chemba ya choo nikamuangusha katika shimo la chemba hiyo.

"Usijali yote nimefanya kutulinda,naomba please turudi kule namba yangu hii hapa tutawasiliana baadae sa hivi naona kama mambo yashaharibika"

Nilimwambia Zena na kumtaka atoke wa kwanza maana ile ilikuwa choo ya wanaume hivyo kuonekana kwake tena akitoka na mimi kungezua maneno.

Baada ya Zena kutoka zilipita kama dakika mbili nikijiweka sawa kisha nikatoka nje ya kile chumba cha choo.Bahati mbaya au nzuri hapo mlangoni nilikutana na mzee Said baba yake Zena.

"Ha! Sam mbona umechukua muda mrefu sana uani"

"Wala hata mzee wangu usijali"nilimwambia huku nikipiga hatua za haraka.

"Shauri yako uko shavuni zimebaki love bite na harufu ya pafyumu ya Zena haizuiliki"aliniambia mzee huyo huku akiingia chooni.

Maneno ya mzee huyo yalinistua na kunifanya nisitishe safari,nilirudi chooni na kufungua.

Nikakuta mzee huyo amesimama akinisubiri.

"Sam mbona unapenda kujiingiza matatizoni?.Hivi unamjua vema huyo kijana"

"Kivipi mzee?Kijana yupi"niliuliza nikijifanya kutojua kilichoendelea.

"Huyo mzungu mpenzi wa Zena"

"Ndi..yo mzee"

"Sasa kama ulikuwa hujui ni kwamba huyo kijana ni mtoto wa tajiri mkubwa hapa Italia na inasemekana baba yake ni nguli wa biashara haramu.Huyu kijana anampenda Zena kupitiliza na amemuwekea ulinzi wa kamera ambazo huwekwa kwa siri katika mavazi yake bila yeye kutambua..sasa kama umeonja tunda lake..shauri yako sijui utaepukaje huu msala.Ila nyinyi vijana wa siku hizi bwana sijui kwanini mnafanya mambo bila kufikiria madhara yake baadae.

Alisema mzee Said maneno ambayo yaliniingia vema na kuleta mtihani mpya kichwani kwangu.

"Dah! Nashukuru mzee kwa kuniweka wazi ila nachokuomba tu jaribu kumtuliza huyo kijana..tumia busara zako mzee wangu..hapa nina mke sijui mambo yakiharibika tena itakuaje".

Nilimwambia mzee Said na kutoka nikarudi kule mezani.

Huko mezani kila mtu alikuwa bize na chakula chake isipokuwa mpenzi wangu Mea aliyenitazama kwa hasira sana.Kabla sijakaa alinishika mkono na kunitoa mpaka eneo la nje lililokuwa na uwazi.

"Hivi mpenzi unanipenda kweli?"

"Dear hilo halinahaja ya kutamkwa kwa mdomo,moyo wangu unaujua mwenyewe"

"Mnafiki, hunipendi hata kidogo..leo nimeamini"

"Huko mashavuni na hilo shati ni nini hicho? Ndiyo upendo wenyewe unaozungumza sio?"Aliniambia Mea huku akianza kulia kwa uchungu.

Hapo nikakumbuka nilisahau kufuta zile alama za lipsi za Zena.

"Niamini honey,sijafanya lolote baya.Kuna mwanamke nilipigana nae vikumbo wakati nikitembea"

"Paaah!"

Kofi lilitua shavuni kwangu.Mea alikuwa amekasirika sana.

"Yani unafikia hatua ya kuniona mtoto kiasi hicho..sasa nisikilize..kuanzia leo iwe mwisho na mwanzo wa kunijua..sahau yote uliyowahi kufanya na mimi,rudi kwa huyo mwanamke wako..ingawa nakupenda tena sana..nimeshindwa kuvumilia usaliti huu wa waziwazi"aliniambia Mea akiwa analia kwa uchungu.

Nilijitahidi kutumia kila njia kumuomba msamaha lakini ilishindikana,hakutaka kunisikiliza.Nilipiga mpaka magoti nikilia kwa uchungu lakini yote hayakuwa na faida.Jambo hilo liliniuma sana.Kumkosa Mea niliyeangukia katika penzi lake nikiwa na mipango mingi pamoja lilikuwa pigo kubwa sana kwangu.Sikuwahi kutegemea ningeachana naye tena kizembe hivyo.Nilimkumbusha kuhusu ahadi niliyokuwa nimeweka kwa babu yake ya kumtunza lakini mrembo huyo alikataa kabisa kunisikiliza na kuendelea kulia kwa uchungu.

"Mzee wangu popote ulipo,nadhani yote yanayoendelea umeyaona..nimeshindwa kutimiza ile ahadi niliyoweka..mjukuu wako hanitaki tena,hataki nimtunze kama nilivyo ahidi.Naomba unisamehe kwa yote na umpe ulinzi kwani nimeshindwa.Ni kweli nampenda sana mjukuu wako lakini sina namna,nahitaji kuendelea na maisha yangu."

Niliongea maneno hayo nikiwa nimetazama angani lengo langu likiwa kumjulisha babu yake Mea juu ya kila kitu.

Nilipokuja kugeuka mbele yangu lilisimama kundi la watu sita mzee said na mkwe,mrembo wa dunia Zena na vijana wawili wa kizungu wa mwisho akiwa mume wa Zena Donald kijana mtanashati wa kizungu.

Zena na mama yake walikuwa wakilia sana wakimsisitiza mzungu huyo kutotekeleza alichohitaji kufanya.Mzee Said alikuwa kimya sura yake ikionyesha huzuniko la moyo.

Kijana Donaldo mkononi alishika bastola iliyoninyookea vema.Vijana wake wawili nao walishika bunduki kubwa aina ya Ak 47.

Donald akapiga makofi huku akicheka.

"Hongera sana bro..inaonekana unawajua sana..wanawake..ila nadhani hunizidi.

Siyo mbaya kupiga wakijilengesha,ila unatakiwa uangalie na mazingira na aina ya mwanamke.Sikutegemea kama siku moja sharubu zangu zingechezewa na nyani tena mweusi kama wewe.Eti unakula tunda langu pekee shambani.

Kufanya hivyo sina zawadi nyingine ya kukupatia zaidi ya hii..

Alisema mzungu huyo na kukoki bastola yake kisha ukasikika mlio wa risasi.

Mea akaonekana ardhini akikata pumzi ya mwisho.

"Sam nakupend..a"ni maneno ya mwisho aliyosema Mea akijitahidi kunyanyua mkono.Taratibu akayafunga macho yake.

"Haha!,ni jinsi gani inaonekana mkeo alikuwa akikupenda hata akaamua kufa kwa ajili yako..akakukingia risasi.Binadamu wa aina gani wewe usiyekuwa na moyo.Sasa wasalime huko kuzimu byeee"aliongea tena mzungu Donald na kuachia risasi.

Mama Zena akanisukuma pembeni risasi zile zikatua kifuani kwake.Akaanguka chini na kukata roho.

Zena na baba yake walichanganyikiwa.Mzee Said akamtazama mzungu Donald aliyekuwa amepigwa na butwaa baada ya kuona amemuua mkwe wake.

"Umeniulia mke wangu"

Alisema mzee Said akipiga hatua za haraka akiwa katika ghadhabu kubwa.

"Hapana ni huyo kijana"alijitetea mzungu Donald.

Kauli hiyo ikazidi kumchefua mzee Saidi ambaye alitoka nduki na kumrukia.Lakini kabla hajafanikiwa kumdaka.Nilishuhudia mwili wake ukifanywa chekecheke kwa risasi nyingi mfululizo kutoka kwa wale vijana.

Zena aliyekuwa akilia kwa uchungu akiusukuma mwili wa mama yake huku na kule baada kushuhudia baba yake akiuawa kama mnyama alishindwa kuhimili hali hiyo.Nguvu zilimuisha akaanguka na kupigiza kichwa ardhini.

Yote hayo niliyashuhudia nikishindwa kufanya lolote kutokana na risasi iliyopenya pembeni ya shingo yangu hivyo nilijilaza ardhini bila nguvu.

Mzungu Donald alianza kupiga hatua za taratibu kunifuata baada ya kuona nikijitahidi kunyanyuka.

Alifika mpaka alipokuwa amelala Zena na kumgusa kifuani akisikiliza mapigo yake.Ghafla sura yale ilibadilika na kuonekana ya hasira kupitiliza.

"Wewe mbwa mweusi umegusa kusipo guswa..umeniharibia kila kitu maishani mwanaharamu wewe"

Alisema mzungu huyo na kuninyooshea bastola yake kwa hasira akitaka kuachia risasi lakini kabla hajafanya hivyo.Ulisikika mlio wa risasi nyuma yake nikaona risasi ikitoka katika paji lake la uso na kuelekea kusipojulikana,mzungu huyo akaanguka kama mzigo ardhini, risasi nyingine ziliiharibu vibaya miili ya wale vijana wawili.Mbele yangu akaonekana kijana wa kizungu akipiga hatua.

"Kaka nilikutafuta sana,hivi unazani ingewezekanaje nitumie pesa zote peke yangu..twende tukatumie pesa..ila leo kweli wamekuweza"

Yalikuwa maneno ya mzungu Mathew asiyeishiwa vituko badala ya kunionea huruma kwa matatizo niliyopitia alikuwa akiniambia habari ya kutumia pesa.

Nilinyanyuliwa na vijana walioambatana na Mathew nikapakizwa kwenye kitanda cha wagonjwa na kuanza kupatiwa matibabu na madaktari waliokuwa wakinisubiri wakati huo kitanda kikiendelea kusukumwa.Mbele yetu likaonekana kundi kubwa la polisi wa kiitaliano waliokuwa wametunyooshea mitutu.Mathew akazungumza nao kidogo kwa lugha ya kiitaliano nikaona akitabasamu.Kisha ikaletwa brief case iliyokabidhiwa kwa wale polisi.Njia ikaachiwa kitanda kikasukumwa mpaka upade wa nyuma wa hoteli ile ilipokuwepo helikopta kubwa ya binafsi.Kitanda kikaingizwa helkopta ikapaa angani.Moyoni nilijawa machungu mno kwa kumpoteza my love Mea lakini pia kwa ukatili niliyoifanyia familia ya mzee Said iliyojitolea kunisaidia kipindi cha nyuma wakati nilipopata matatizo.

Tulifika mpaka nchini Ureno ambapo huko tulipanda ndege kubwa iliyotufikisha mpaka nchini Jamaica.

Miezi miwili baadae niliruhusiwa kutoka hospitali baada ya kupata nafuu ya jeraha la risasi lililokuwa shingoni mwangu.Siku hiyo rafiki yangu Mathew alinipokea na kunionyesha nyumba kubwa ya kifahari aliyonunua ikiwa katika fukwe zenye kuvutia nchini Jamaica.

Huko kulijawa watoto wengi wazuri ambao kila nilipowatazama roho yangu ilikataa kwani nilikumbuka chanzo cha matatizo yote niliyokutana nayo maishani kilikuwa tabia yangu ya kupenda wachumba.

"Huyu anaitwa Lucy na huyu Kayla..ila Kayla anadai kavutiwa na wewe"

Aliniambia mzungu Mathew akiwatambulisha watoto wazuri aliokutana nao pale beach.

Kwa kuwa mrembo Kayla alihitaji kampani yangu sikuwa na budi kuwa karibu naye,Mathew akamchukua Lucy.

Siku hiyo tulikula bata katika fukwe hizo na kuchukuana na warembo hao mpaka katika jumba kubwa alilonunua Mathew.

"Chukua hizi, kaka mademu wa huku wahuni"alisema Mathew akinirushia mkanda wa ndom.

Nikapepetana na mrembo Kayla aliyepagawa na mikuno yangu,akadai angetaka kuanzisha uhusiano na mimi lakini nilimkataa kwa kuwa sikutaka tena mazoea ya hovyohovyo na videmu.

Wiki moja baadae baada ya kugawana zile pesa asu kwa pasu na mzungu Mathew tulirudi Australia na kufuata zile dhahabu ambazo sikuzikuta zaidi ya kukuta ujumbe wa babu yake Mea uliokuwa ukinijuza kuwa alimchukua binti yake hivyo hakufa kama nilivyodhania, na sasa alikuwa akiishi maisha ya furaha huko kisiwani kwao ingawa alinikumbuka sana.

Pole lakini, kwa kuwa hutoweza kupata tena hayo madini.

Ulimaliza ujumbe huo.

Hapo sikuwa na lingine tena katika nchi hiyo kwani sikutaka kufuatilia mali wala chochote alichokuwa akimiliki Mea ila moyoni nilifurahi kwa kuwa alikuwa salama.

Kesho yake tulisafiri kurudi Tanzania ambapo nilienda moja kwa moja mpaka lilipokuwa geto langu huko Arusha na kukuta kulishabadilika eneo lile lilijengwa hoteli kubwa ya kifahari.Nikaelekea lilipokuwa duka langu na kumkuta mwanadada akiuza ambapo sasa duka lilibadilika fremu ikiongezwa na kuwa kubwa zaidi.

"Bosi Sam karibu"

"Asante,ila nadhani ni mara ya kwanza kuonana"

"Ndiyo ila nimekufahamu kupitia mume wangu"

"Ahaa! Inamaana wewe ni mke wa Jose "

"Ndiyo,karibu"

Basi ndiyo hivyo kumbe kijana wangu Jose aliliendeleza lile duka na kufanikiwa kuwa mfanya biashara mkubwa.Niliongea mengi na shemeji yangu aliyenijulisha kuwa mumewe alienda China kufuata mzigo hivyo nisingeweza kuonana naye.Kwa kweli nilifurahi kwa kuwa kijana huyo alikuwa na akili ya maisha hivyo nikachukua namba yake na kumpigia,nikampa umiliki wa mali zote na kumuaga shemeji yangu aliyefurahi kupitiliza.

Wakati natoka nje ya duka mara nikakutana na mdada mnene huyo kaumbika balaa alifuatana na mtoto mdogo wa takribani miaka sita.Ila nilipomtaza huyo mtoto mbona sura kama yangu,nilibaki namshangaa.

Mara huyo mdada akanikumbatia nakunipiga mabusu kibao.

"Sam, jamani umekuwa mbaba"

"Kwani we nani, na huyu mtoto vipi"

"Muone yani umeshanisahau, mi Sabra huyu ni mtoto.."lakini alikatisha na kuniambia masikioni.

"Huyu mtoto wako,anaitwa Julian"

Nilijikuta nikicheka na kumnyanyua huyo mtoto ambaye alikuwa mcheshi na kunisalimia.

Siku hiyo niliitumia kufanya matembezi na Sabra pamoja na mwanangu Julian aliyefanana sana na mimi utazani alitolewa kopi.

Tulifanya shopping nikawanunulia vitu vingi,Sabra akanieleza kuwa aliolewa na mwanaume mwingine ambaye mpaka leo hii anaamini Julian ni mtoto wa damu yake lakini siri aliijua mwenyewe.

Sabra hakuacha kuniweka wazi kuwa alilimiss penzi langu ingawa kwa sasa ilikuwa ngumu kulipata.Niliagana naye na kuelekea nyumbani kwa mama Shaibu.Nikamkuta nje ya nyumba akipika.Baada ya kuniona alitoka nduki na kunikimbilia.

"Sam..jamani umekuwa baba"

"Sheila"

"Abee"ilisikika sauti ya kike.

"Njoo huku"

Akatoka msichana mdogo umri wake miaka saba.

"Msalimie baba yako"

Msichana huyo mdogo alinikumbatia na kunisalimia kwa bashasha.Alionekana kunipenda sana.

"Vipi mzee shaibu hayupo"

"Alishatangulia.. chuma iliyokuwa kiunoni mwake ilishika kutu na kusababisha kifo chake"

Aliongea mama huyo.

Siku hiyo msosi wa jioni nilikula kwa mama Shaibu,ambaye kama kawaida yake tabia yake ya kulazimisha ilisababisha nilale kwake hivyo siku hiyo alisugulika kwelikweli lakini kwa kutumia ndom.

Kesho yake ilikuwa ni siku ambayo nilitakiwa kuondoka nielekee Afrika kusini ambapo ningekutana na Mathew.Mwanangu Sheila alilia sana aking'ang'ania aondoke na mimi.Nilimuomba mama yake ambaye alitoa ruhusa kwa shingo upande kwani alikuwa na watoto wengine wakubwa waliokuwa kidato.

Nimfanyia shopping mwanangu Sheila na kumtafutia hati ya usafiri ambapo jioni majira ya saa kumi na mbili tulikuwa ndani ya ndege aina ya Emirates tukielekea jijini Johanesburg Afrika kusini.

Saa tano baadae tulikutana na mzungu Mathew na kufikia hoteli fulani ya kifahari.

Kesho yake tukiwa katika matembezi mwanangu Sheila alionekana kupenda sana madhari ya jiji lile hali iliyonilazimu kununua nyumba kubwa ya kifahari.

Wiki moja baadae niliagana na mzungu Mathew aliyerudi nchini Jamaika akidai alipenda sana maisha ya huko.

"Ok kaka, achana na totozi utapotea"

Nilimwambia kiutani tukacheka nikaondoka eneo la uwanja wa ndege nikiwa na mwanangu Sheila.

Miezi miwili baadae nilifunga ndoa na Tamari msichana mrembo shombeshombe aliyekuwa mwalimu wa mwanangu Sheila aliyekuwa akisoma katika shule ya kimataifa maarufu sana pale Afrika kusini.Nilijenga ukaribu naye kwa kuwa alikuwa rafiki mkubwa wa mwanangu hivyo kila mwanangu alipotoka shule siku zote alihakikisha anamfikisha mpaka nyumbani.

Nilianzisha biashara zangu maisha yakaninyookea.Nikawa nimejiepusha na warembo.Siku moja nilikutana na yule msichana wa kichina Zhing ambapo nilimshukuru mungu kwa kuwa alikuwa ameolewa tena wakifanya shopping pamoja na mtoto wao mdogo aliyekuwa akiendeshwa na kigari.Nilisalimiana nao kwa furaha na kuendelea na mambo yangu.

Miezi kadhaa baadae mke wangu alijifungua mtoto wa kike hivyo familia yetu ikazidi kukuwa.

Maisha yakaendelea mpaka sasa.



______MWISHO_______

Nikupe onyo tu wewe msomaji.

Tabia ya kuendekeza ngono si nzuri sana katika maisha yako kwani ni rahisi kwako kupata magonjwa ya kuambukiza, pia ni chanzo cha kurudi nyuma kimaendeleo.

Ni kama ngekewa tu nilibahatika kufanya yote hayo bila kuibuka na magonjwa,lakini mpaka leo najutia tabia hiyo na nimefunga ndoa baada ya kukiri madhambi yangu kwa mola.

Jaribu kufanya yampendezayo mungu na kama unampenzi kuwa mwaminifu.


Nikushukuru wewe ambaye kwa muda mrefu umekuwa ukifuatilia simulizi hii.

Mwisho wa simulizi hii ndio mwanzo wa nyingine kwahiyo usikae mbali na page yako pendwa.


Kwakuwa huu ndio mwisho basi kama ulikuwa mfuatiliaji usiache #kulike , kutoa #komenti yakona #share kwa wingi.

Nishauri chochote na toa maoni yako juu ya simulizi hii.



MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog