Search This Blog

Sunday, February 26, 2023

PAULA MFARANSA MWENYE VISA - 2

   

Chombezo : Paula Mfaransa Mwenye Visa

Sehemu Ya: Pili (2)


Nikaegemeza mkono wangu wa kushoto pembeni ya shingo yake kama nimemkumbatia hv na sapoti nisimlalie jumla, mkono wa kulia ukifanya kazi ya kutalii kutoka kwenye sehemu laini ya nyuma ya goti na kuupandisha juu usawa wa kiuno kupita kwenye paja. Midomo yangu ilikuwa shingoni nikifanya kama namng’ata na kufyonza asali. Nilihisi akianza kupandisha kifua na kukishusha kama pumzi zinaenda mbio. Badi sijafika nafasi ninayoitaka, lazima heshima ya Wazaramo iwepo. Nikisharukwa na akili nikiwa dakika kama hizi sitaki kuruhusu chochote kiharibu mood yangu.


Naye hakubaki nyuma, mkono wake wa kushoto ulikuwa chini ya tumbo langu ukiwa umelikamata tango na kufanya kama unalikagua kwa kutoka chini kwenda juu na kurudi chini huku mkono wake wa kulia ukichezea shingo yangu pana. Nikaachana na shingo nikashuka mpaka kwenye embe bolibo na kuanza kuzifyonza taratibu mno pasi kutumia meno. Wengi tunakosea hapa maana tunakuwa kama tunafyonya Ukwaju ya Azam na meno. Nilikuwa nazifyonza embe bolibo kwenye ncha kisha kama nataka kulizamisha embe kinywani ile sehemu nyeusi yote kisha nalitoa tena na kuzunguusha ulimi kwenye kile ki nipple na kufyonza tena. Wakati huu bolibo zikishughulikiwa mkono wa kulia ukazivuta zile Kamba za washeli nazo zikaitika.


Yeye alishalegeza mkanda wangu kitambo na akahangaika kuishusha kaptula yangu kisha boksa. Nikanyanyua mikono na kukichoropoa kile kiblausi na kila kitu kikawa kweupe sasa. Nikashuka katikati ya embe bolibo na wakati huu nikajiweka sawa kwa mashambulizi ya kijeshi. Nikaingia katikati mikono nikiikamata pembeni ya kifua chake nikiishusha midomo yangu nikitambaa na ulimi mpaka kwenye tumbo. Pale kuna kijishimo cha mdako nikatumbukiza ulimi hapo na kuuzunguusha kidogo wakati mikono yote miwili ikichezea embe bolibo kwa kuzibinya kutoka chini kifuani na kama nazichua kupanda juu kwenye ncha. Pumzi za Rose zikawa zinapaa huku kifua kikipanda na kushuka. Tumbo lake likabonyea kwa ndani na nikaziona mbavu zake zikipanda na kushuka.


Nikashuka chini ya kitovu na kukutana na vimiche vya nyasi vidogo sana nadhani shamba lilisafishwa siku kama mbili zilizopita. Nikatembeza ulimi hapo kwenye shamba kama nazunguusha alama ya kuchora namba nane mikono ikiendelea na kazi ya bolibo. Rose akapiga ukunga na kuanza kuweweseka, “baby co… com... comeon…. Don’t do this to me please….” Yakamtoka maneno bi dada. “gimme dat thing, I cant hold honey…” Nikawaza, hawa vinyamkera wasije wakaua maana kichwa change kikawa kinakandamizwa maeneo yale ya bonde la ufa kana kwamba kipotelee huko. Nikasema kimoyo moyo, “huyu bhana kidogo tu anaita ambulance wakati sijamaliza miye kuandaa mtu. Ila kwa namna hali ilivyo ngoja niweke heshima.


Nikaanza kurudi juu kwa namna nilivyokuwa nashuka nikipanda kwenye kile kijishimo cha mdako tumboni, kisha kwenye mfereji wa maembe bolibo nikaendelea taratibu sana kama sitaki mpaka shingoni. Yeye wakati huu napanda juu taratibu alishaizunguusha miguu yake nyuma yangu kama tunacheza mieleka. Mikono yake yote imenikamatia shingoni utadhani tuna ugomvi. Nikamtazama usoni niakuta michirizi ya machozi imeshuka kwenda masikioni mwake. Kope zake zimeloa kwa machozi. Nikawa nambusu shingoni na kupanda kwenye lips zake nikibusu taratibu sana. Ile kabali ya miguu yake nyuma ya kiuno change akawa anaikandamiza zaidi. Shaft ilikuwa imara na imenyooka hasa, nikafanya kama napinda mgongo kwa juu hivi ili nijinasue na kabali yake ya miguu huku napanda juu.


Shafti ni kama ilitengenezwa kuelekea sehemu husika bila macho. Inajua sehemu yake vizuri sana. Nikapanda kwa juu zaidi nikipita masikio yake na shafti ikakutana na joto pamoja na grisi tayari kwa kuzunguusha diff. Nikaisukuma shafti taratibu sana nikisaidiwa na kabali ya miguu yake. Ukunga ukamtoka Rose baata ya kuhisi tumeweka shafti vizuri na mzunguuko wa propela umekaa vyema sasa. Zikasikia ngonjera za namna mbalimbali nikiisogeza shafti kulia, kushoto, juu na chini. Kuna wakati shafti ilipokuwa kushoto mlio wa sauti ya ingini uliongezeka sana na gari ikawa inadai gia zaidi na kushusha pumzi nzito. Kisha napeleka shafti kulia, juu na chini kisha naipeleka tena kushoto halafu nayonga pedali hapo. Nikawa namuona Rose akijinyonga na kujiachia mara kadhaa.


Nikahisi Wazaramo wanataka kuja kwa speed nikaweka shafti katikati, nikapeleka tena kushoto Rose akaitikia na kuniambia anakaribia kushuka kutoka Mlima Kilimanjaro kwa mara kadhaa sasa. Nikaongeza speed na ukunga ukaendelea kumtoka kwa sauti kuu zaidi. Akaning’ang’ania kwa nguvu nami nikaisukuma shafti kushoto zaidi huku nikiongeza mikito. Tukajikuta tunashuka mlima Kilimanjaro pamoja. Wazaramo wote niliwamimina kule Mwanarumango ndani kabisa. Nikabaki na Wazaramo wangu ndani huku nimemlalia bila kumuumiza kwa kujizuia wakati huo nikizunguusha nyonga taratibu amalizie kuzishusha pumzi zake baada ya safari ya kushuka Kilimanjaro.


Baada ya dakika kama 5 hv nikajiondoa kifuani kwake na kukaa mwisho wa kochi nikimtazama namna machozi yanavyomtoka huku akiwa bado amefumba macho yake na hasemo chochote. Sijui huwa wakati kama huu anawaza nini. Natamani kumuuliza ni nini huwa anakiwaza kiasi hawezi kutamka chochote. Nikajiegemeza ubavuni mwa kochi hivyo hivyo kisha nikawasha TV na kuweka sauti ndogo sana. Yeye punde tu akapitiwa na usingizi mzito sana. Sikutaka kumsumbua, nikamuacha alale tu. Baada ya dakika 47 akazinduka na nikamsaidia kumnyanyua kumpeleka chumbani ili tukaoge. Akanikumbatia akitabasamu tukikokotana mpaka bafuni kuoga.


Tukiwa bafuni akaanza tena uchokozi kwa kuniogesha huku akiisafisha shaft. Nayo bila hiyana ikafura kwa hasira. Nikamuinamisha nikampelekea moto mwingine. Ukelele aliopiga ni kama mtu anayechinjwa. Kichapo juu ya kichapo. Nikamgeuza na kumsimamisha wima kisha nikanyanyua mguu wake mmoja usawa na kiuno changu nikapeleka moto tena. Akanikumbatia tena kwa nguvu wakati Wazungu wakishuka kwa kasi sana ndani ya kisima chenye chemchem ya maji ya uvuguvugu. Akajichomoa mikononi mwangu huku akitetemeka na kuniambia “utaniua wewe muone kwanza” na kukimbilia kitandani akajibwaga kama mzigo. Nikabaki namuangalia tu na kucheka. Hakunisemesha chochote tena. Nikaoga na kwenda kujilaza pembeni yake…



Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507


Tukapitiwa na usingizi na Rose, mimi nikiwa nimelala chali naye amejilaza kifuani kwangu kwa muda mrefu kidogo. Tukaja kushtuka saa 1 jioni jua likiwa limetuama. Rose akarudi tena bafuni na kuoga kisha akaanza kujiandaa kwa safari ya kurudi Mbezi Beach maeneo ya Jogoo. Baada ya kujiandaa tukasogea sebuleni nikiwa nimemshikilia kiuno naye kazunguusha mkono wake begani mwangu. Tukasimama katikati ya sebule, akaweka mikono yake yote shingoni mwangu nami nimeshika kiuno chake kwa mikono miwili, akanitazama kisha akasema, “Kimox, nakupenda mpenzi, asante kwa dozi nzuri mpenzi wangu....wewe ni kiboko yangu unajua?” Aliyasema hayo macho kayaelekeza kwangu.


Nikambusu kwenye paji la uso kisha nikambusu mdomoni na kumwambia, “Najua mpenzi wangu, nakupenda pia baby” Tukakaa kwenye kochi la mtu mmoja nikiwa nimempakata mapajani mwangu. Rose akatoa simu na kubofya program ya UBER ili kuiita gari ije imchukue kumrudisha Mbezi Beach. Akabofya kuchagua gari kisha akasubiri. Simu ikaonesha gari iliyo jirani ikisogea maeneo tulipo.


Uber ikafika getini na mara simu yake ikaita, akanitazama na kunibusu kisha akaniambia, “Uber anapiga” Nikamuuliza bei akaniambia ni 23,000/- tu nikawa naelekea kwenye kochi kubwa kuchukua wallet, akanikamata mkono kama alijua nini nataka kufanya, akanambia, “acha bhanaaaa, sasa pesa gani hiyo mpenzi? Nitalipa we nisindikize nje my love...” alisema wakati anapokea simu na kumwambia dereva anatoka.


Tukatoka mpaka getini akaingia kwenye Uber siti ya mbele akafunga mkanda. Nikamsogelea dirishani nikamuinamia na kumpa kiss na kumwambia, “ufike salama mpenzi wangu, nakupenda.” Akatabasamu na kunirudishia kiss kisha akanijibu kimahaba, “nakupenda pia baby.” Uber ikageuza na kupotea machoni mwangu nikiwa bado nimesimama nje ya geti nikiitazama. Nikarudi sebuleni na kukaa kwenye kochi kuangalia TV.


Nikachukua simu na kuanza kupitia magroup mbalimbali ya whatsapp maana ni kitambo sikushika simu nikiwa na Rose. Nikakutana na ujumbe wa picha wa Paula. Nilipoifungua nikakuta picha ya paka mdogo na caption ikisema, “I gotta new friend...” Na ujumbe wake mwingine akiniambia tukutane Jumanne maana kuna vikao vimembana sana na shughuli nyingine za kiofisi. Aliniomba samahani kwa kutokaa pamoja kuzungumza na ana hamu kubwa ya kusikia stori kutoka kwangu. Nikamjibu msg zake kwamba asijali, kila kitu kitaenda sawa.


Kimoyo moyo nilishukuru ahadi kuwa Jumanne maana nilihitaji muda wa kupumzika na kufanya usafi Jumapili. Mara nyingi usafi huwa nafanya Jumapili kwa kuziweka nguo kwenye mashine ya kufulia na kuzipanga vyema na usafi mdogomdogo wa home nikisaidiana na Kalunga. Kwenye saa mbili hivi Kalunga akarudi akaandaa chakula kilichohifadhiwa na Rose tukala tukabaki sebuleni kucheki TV na stori za hapa na pale.


Kalunga ni kijana mkarimu, mpole na mwenye kuwiwa kujifunza vitu vingi sana. Mara zote amekuwa mdadisi wakutaka kufahamu baadhi ya ambavyo anadhani mimi nafahamu. Kwa hiyo muda mwingi ni kama tuko darasani kufundishana vitu mbalimbali. Nafurahia sana uwepo wake mdogo wangu huyu. Si mtu wa hasira hata kidogo. Kila mmoja aliondoka kwa wakati wake kwenda kulala kimya kimya.


Jumapili tuliamka yeye akiwa amenitangulia kwa mbali sana. Bila shaka nimelala sana kwa sababu ya mtanange na Rose. Tukaingia shughuli za usafi wa weekend na mishe nyingine. Baada ya mikiki mikiki ya usafi nakadhalika tukakaa kwenye bustani kama kawaida yetu tukipiga stori. Hatuishiwi stori sisi kwa kweli. Akanyanyuka kwenda kuleta juice, ghafla nikamkumbuka Nino. Nikawaza, “Hivi huyu mwanamke hata salamu kweli? Au kakereka kwa ile show ya kwenye Mazda?” Nikachukua simu ili nimpigie kumjulia hali lakini nikaghairi. Nikairudisha simu mfukoni nikapotezea. Kalunga akaja na jagi la juice tukaendelea kunywa na kupiga soga.


Asubuhi ya Jumatatu pilika za kuianza siku zinataradadi. Naingia kujiswafi bafuni kisha kupata kifungua kinywa na kurudi kujiandaa kwa kazi za kiofisi. Nachagua suti moja matata sana ya kijivu na shati nyeupe navaa, natupia na tai nyekundu. Najitazama kwenye kioo kikubwa na kuridhika na unadhifu wangu.


Naelekea parking na kuchukua funguo ya Subaru Legacy nyeusi yenye rim za kibabe sana. Kama kawaida naiwasha na kuiacha silence ili kukagua kama iko sawa kwa safari. Nikarudi ndani kuchukua wallet yangu niliyoisahau, nikakutana na Kalunga ndo anatoka kuamka. Tukasalimiana wakati akielekea jikoni, nikamuaga kuwa mi natoka sasa tutaonana baadae. Sikusubiri jawabu lake nikachomoka hadi kwenye gari nikaisogeza kulijongea geti nikapotelea barabarani.


Saa mbili kasoro dakika 12 nikawa naziruka ngazi za ofisi mpaka kwenye sehemu ya kujisajili mahudhurio ya siku kwa alama za vidole (Biometric attendance) nikaelekea kwenye meza yangu kuanza majukumu ya siku. Nilikuta wafanyakazi wachache kwa kuwa ni kawaida yangu kuwahi sana. Nikaanza kazi zangu nikipangua tray in kwenda tray out. Mida ya saa nne hivi nikashuka chini nitoke nje kwenda kununua karanga, huwa napenda kutafuna karanga mbichi mara nyingi nikiwa kazini. Nikazishuka ngazi taratibu kama sitaki kwa mapozi ya suti.


Nikapita ofisini kwa kina Nino nikamuona akiwa busy na kazi. Nikatoa salamu kwa wote, nikamuona kama mwenye mshtuko mkubwa sana pindi macho yetu yalipogongana. Alikuwa kama mtu mwenye hofu hivi, macho yake akiyakwepesha kugongana na yangu kabisa. Nikamuita kipekee, “Nino wa Kimox uko poaaa?” akajibu kwa tabasamu, “Niko poa sijui wewe?” Nikapitiliza zangu nje kununua karanga kisha nikarudi kuendelea na kazi.


Rose akanicheki kwa kunipigia na kuniambia maneno kadhaa ya mahaba kisha tukaagana. Nikachapa kazi mpaka kwenye saa saba hivi muda wa chakula cha mchana Paula akanipigia video call, tukaongea kama dakika 20 hivi akinionesha na rafiki yake mpya (Paka) na kuniambia atanipa stori maana sasa tumekuwa marafiki watatu ahahahaha. Muda wa chakula Nino alikuwa na wenzake wakila leo wakiwa wamewahi sana kuliko kawaida. Hakuwa na habari kabisa na mimi kana kwamba hakuna kitu kilichofanyika kati yetu. Kidogo nikaona kama kitu cha ajabu hivi. Nilitegemea labda sasa kazini ingekuwa balaa na mishe za kurandana kama kumbikumbi zingetaradadi lakini wapiiii, ni kama hakuna kilichofanyika. Nikasema, “this is very interesting kwa kweli.”


Nikiwa mgahawani akaja kukaa mezani kwangu dada mmoja matata sana. Wakati akija mwendo wake kama anaiogopa sakafu namna hii... Nadhani aliichagua meza yangu sababu nilikuwa pekee na niko nadhifu ndani ya suti matata sana. Harufu ya uturi ikahanikiza pua zangu wakati akiketi. Nikapata salamu nzuri kutoka kwa mlimbwende huyu. Nikaitikia na kuendelea na hamsini zangu kana kwamba bado niko peke yangu. Muda mwingi nilikuwa nachezea simu tu sina time. Chakula changu kikaja nikawa busy na msosi. Nikanyanyua macho kuitazama meza ya kina Nino na wenzake nikawaona kama wanazungumza jambo hivi kwa namna walivyokuwa wanaangalia meza yangu.


Nikageuza shingo kutoka kushoto na nikatupa macho kwa huyu binti mbele yangu, tukagongana macho, nikatabasamu kibabe kwa tabasamu la mdomo kwenda pembeni kidogo na jicho kulibinya kidogo sana upande ule nilikobetulia mdomo. Binti akatabasamu pia kisha akadondosha macho yake kwenye sahani akiendelea kula. Mtoto mashaallah kwa kweli, mzuri hasaaaa na anafaa kwa kazi maalumu ila nikajisemea kimoyomoyo, “Nguruwe pita leo sina mkuki...” Nikaendelea na hamsini zangu.


Nikamaliza kula na huyu binti pia akawa amemaliza kula. Niliponyanyuka naye pia akanyanyuka. Ni kama vile tuliambiana tufanye kwa pamoja. Tukajikuta tunatazamani kisha tukatabasamu. Nikaanza kuelekea sehemu ya kulipa na yeye akielekea hapo pia. Ni kama tunaongozana hivi na kwa namna tunavyoonekana ni kama labda tulikuwa wote na tulivyodamshi. Bila shaka macho ya watu mgahawani yalikuwa kwetu. Niliyawaza hayo wakati nimefika kulipia na binti analipia pia. Nikatoka mgahawani bado ni kama tumeongozana na binti yule, tukiwa nje yeye akaenda kulia nami kushoto kuelekea ofisini kwangu.


Nikaingia kazini na kuendelea na majukumu ya siku kama kawaida. Baadae akaja Habiba mezani kwangu na kusimama mbele yangu mikono ameiegemeza kwenye meza na kuniambia, “Kimox hongera bhana...” Nikamtazama nikiwa simuelewi, “hongera? Ya nini Habiba?” Hakunijibu akaondoka zake huyooo. Nikabaki namtazama tu...




Thread starter

#21

CHOMBEZO:

PAULA MFARANSA MWENYE VISA


SEHEMU 7


Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507


Habiba akapotea mbele ya macho yangu akiniacha natafakari, huyu ananipa hongera ya nini hasa, sikupata jawabu. Nikapotezea na kuendelea na kazi zangu. Muda wa kutoka kazini unafika na najitahidi kuzishuka ngazi harakaharaka ili kuwahi niwahi kwanza kupitia kwa John kwa michongo miwili mitatu ya town. Nikapita ofisi ya kina Habiba na Nino lakini hawapo. Nadhani leo wamewahi kutoka sana.


Kwa mwendo wa haraka sana nawahi parking na kujitupia kwenye Subaru. Naitekenya na kuisikilizia kidogo kabla sijairudisha nyuma kupata uelekeo wa kutoka. Ghafla kioo changu cha dirisha kinagongwa kwa ncha ya konzi. Nashusha kioo kidogo na kukutana na sura ya Juma, akaegemea kwenye dirisha kisha akaniuliza, “Kimox, yule mtoto wa mgahawani mwanangu unaruka naye? Chombo kimesimamia kucha kile hatari mwanangu...” Nikamtazama Juma nikiwa nimechanua kwa tabasamu, “Aisee kaka, yule manzi wala simjii kabisa huwezi amini. Nimekutana naye palepale mgahawani na tukaachana palepale kila mmoja na time yake.” Juma akachekaaaa kicha akaniambia, “We acha fix zako bhana, chombo mmeongozana kabisa mpaka mnaenda kulipa na ukatoka nacho nje? Hongera bro, kitu kimesimamia kucha kile.” Nikamwambia aache ufala, aamini ninachomwambia lakini ni kama alikuwa hanielewi vile. Nikamuaga nikapandisha kioo na kuichomoa Subaru.


Nikachoma mafuta kuitafuta Uhasibu kupitia Kurasini ili kukutana na John. Nikamkuta ameshawahi kitambo tu ananisubiri pale Liquid Pub Uhasibu akiwa anapiga vyombo kama kawaida yake Mchaga huyu. Tukachonga deal zetu kisha tukaagana nikarudi zangu Kigamboni kupumzika. Nilipofika home nikamcheki Rose kwa simu na kumtaarifu kuwa nimefika. Tukapiga stori za kimahaba na kuchombezana tukaagana nikimuahidi kumcheki muda wa kulala.


Baadae kwenye saa tatu usiku hivi nikamcheki Nino, simu yake ikaita mara moja tu kisha ikapokelewa, ni kama simu ilikuwa mkononi na inasubiri kupokelewa ama mtumiaji aliisubiri sana simu yabgu. Nikasikia sauti upande wa pili ikihema baada ya mimi kusema neno “Halloo.” Nikaita tena “Hallo!” kwa mara ya pili sauti ikanijibu “Halloooo!!” Ilikuwa sauti ya Rahma Nino wa Kimox.


“Mambo vipi Nino?” nikamuuliza

“Safi tu, vipi wewe?” akajibu

“Kimya sana ujue Nino wangu, nimekukwaza?” nikamuuliza

“Hapana Kimox, mbona niko poa tu, hajambo Jenifer?” alinijibu akisukuma na swali

“Jenifer ndo nani Nino?” nikauliza

“Si yule uliyekuwa naye mgahawani leo!!! Mlipendeza sana yaani, hongera” akachombeza

“Sikia Nino, yule kama ni Jenifer basi ndo unaniambia wewe, mi simjui hata jina na ndo kwanza nalisikia kwako. Nimekutana naye pale pale na wala sina mahusiano naye...” nikaanza kumuelewesha

“Weee!!! Acha uongo wako hapa. Mpaka mmeongozana kaunta na mkasindikizana nje kila mtu anaona!!!! Yaani we una uongo wa kitoto sana ujue...” alinikata kauli huku akitiririka.

“Amini hivyo ninavyokwambia basi!!! Ila kama huamini sina namna nyingine ya kuelezea, isitoshe nimepiga simu kukusalimia tu. Uwe na jioni njema” nikamjibu.

“Kwa hiyo ndo umenuna? Si nimekwambia tu jamani au kosa langu lipi hapo?” akaniambia.

“Usijali, lini una muda tukae tuongee unajua majuzi yale haikuwa poa sana...” nikamwambia kwa upole sana. Nino akashusha pumzi kama katua mzigo mzito hivi kisha akanambia, “Tutapanga basi Kimox wala usijali” Tukaagana nikakata simu.


Kwenye saa nne usiku nikamcheki Rose tukaagana ili nilale. Asubuhi ya Jumanne ikawa kama kawa tena. Nikajiandaa lakini leo nikiwa nimetinga suruali ya Kadeti ya rangi ya brown, shati jeupe na tai nyekundu. Chini nilitinga kiatu simple chenye rangi nyeupe na vijimistari vyekundu. Nikachomoka na Subaru kama jama yake. Nikaingia kazini kama kawa kuchapa kazi. Siku ya leo ni tulivu sana maana kazi si nyingi na hali ya hewa ina mawingu mawingu kiasi. Muda wa kula nikabadili kijiwe leo maana Paula aliniambia nimkute maeneo ya IFM kupata chakula cha mchana.


Nikachomoka na Subaru mpaka jirani na IFM, kwa maelekezo ya Paula nikamkuta akinisubiri kwenye mgahawa. Alikuwa ameagiza maji tu na ameyanywa kiasi kidogo sana. Tukaagiza chakula na tukaanza kula huku tukipiga stori mbili tatu. Akaniambia amepata rafiki mpya kampa jina Simba. Ni kijipaka ambacho amekiokota kikiwa hakina mzazi na anacho kule hotelini. Alihitaji akitunze kwa maana hakina afya kabisa. Nikajiwazia kimoyo moyo, “[hawa wazungu bhana, yaani unaokota kipaka huko unakijali kama sijui kitu gani dah...].” Akaniambia jioni nipitie hotelini nikamuone paka wake mpya na nimsaidie ili tumpeleke kwa daktari wa wanyama akapate chanjo na kuangalia afya yake.


Tukaongea mengi sana na baada ya msosi mimi nikarudi kazini kwangu kwa ahadi ya kwenda Kilimanjaro Hotel Hyatt nikakutane naye. Naye akaelekea lilipo jengo ambalo zamani ilikuwa Embassy Hotel ambako ndiko kiuna ofisi yao hapo. Nikamwambia nitampitia hapo ofisini kwake ili twende wote Hotelini.


Baada ya kazi nilifika nje ya jengo la ofisi ya Paula nikamkuta ananisubiri nje. Akafungua mlango wa kiti cha mbele akachoma ndani mtoto wa kizungu. Akazirusha nywele zake ndefu kwa nyuma na kunisalimu. Nikaitikia na kuisereresha Subaru Nikikunja kulia mtaa wa Ohio kuitafuta Hyatt Hotel “The Kilimanjaro”. Nikaingiza gari moja kwa moja parking kisha mimi na Paula tukaongozana mpaka chumbani kwake. Nikajibwaga kwenye kochi hapa kwenye kisebule wakati yeye akiingia chumbani. Akatoka akiwa ametupia khanga na paka wake mdogo mkononi kampakatia. Akanifikia na kuniambia, “Kimox, meet my new friend Simba, and Simba meet Kimox” akanikabidhi paka wake. Nikampokea na kuanza kumpapasa papasa paka huyu aliyedhoofu kiasi. Bila shaka paka huyu ni wa mtaani kama alivyoniambia kuwa alimuokota jana.


Akalijongea jokofu na kutoa wine, akatenga glass mbili mezani na kumimina kiasi kwenye kila glass. Akanyanyua glass moja na kunikabidhi nami nikaipokea. Nikapiga funda moja na kukunja sura wakati nikiihisi ikishuka kwenye koo langu na kunipa msisimko kama shoti flani hivi. Kibaridi cha AC mule ndani nikaona kama kinayeyuka flani hivi. Paula akakaa kwenye kocho pembeni yangu miguu akiwa ameikunja nne na mkao wa kimiss mkononi akiwa na glass yake akipiga stori. Akanisimulia kazi iliyomleta na mambo mengine tangu tulivyokuwa Ujerumani.


Wakati akinipigisha stori zote hizo mi tayari wine ilishaanza kunitibua. Nikimuangalia mapaja yake yalivyonona na vile kama ananifanyia makusudi basi ikaanza kuniletea shida. Chuchu zake zilizosimama kama zinataka kutoboa khanga zilinipa wehu. Ana umbo la kibantu wakati ni mzungu pure kabisa, sijui kalitoa wapi umbo hili huyu mtoto.


Macho yake malegezu yenye mboni za blue yalivutia kunitazama kama mdoli. Alikuwa na blond hair (nywele za kizungu za dhahabu) ndefu mpaka mgongoni lakini muda huo alizizunguusha fungu kubwa kisogoni kwake kwa juu na kuweka chupio. Nikaanza kuhisi kama joto hivi nadhani sababu ya kinywaji kile. Nikalegeza tai kwa kuivuta usawa wa kifua kisha nikafungua vifungo vya shati mpaka nusu ya kifua. Nina kifua kipana chenye nywele kiasi. Nikaona Paula kama anapoteza umakini hivi (concentration) baada ya kuona kifua cha mwanaume kilichonona.


Kila tukiongea anatazama kifua changu maana alishahama kochi akawa amekaa la mbele yangu aliporudi kutoka uwani. Nikawa nimekaa kwenye kochi huku nimejiegemeza kwa nyuma tukiendelea kupiga soga naye kwa mapozi ya kike akiendelea kuongea lakini nikihisi akiniangalia mara kwa mara kifuani. Akaubetua mguu wake mmoja kwa juu kuikanyaga stuli na khanga ikaachia paja lililonona la Paula. Nadhani wine ilikuwa iko njema, nikahisi tango langu likijaa ndani ya boksa na kusheheni. Mawazo yakanipeleka namna kama ningekuwa naupapasa ule upaja. Mvurugano wa mawazo nikawa kama nimesizi hivi kimtindo. Kumbe Paula alishaona ule mvimbo kwenye suruali kwa juu jirani na kiuno. Aliona namna panavyopumua kama kuna chura kahifadhiwa hapo.


Macho yangu nimeyagandisha maungoni mwa Paula. Hata sijui kama stori nilikuwa napiga sawa sawa ama laa. Nilishahama aisee, mimi kijana wa kiafrika hasa tena nimeenda jando chaji iko ON. Siyo kama hawa wazungu mpaka wafanye boosting zakutosha. Nikawa nawaza hapa naanzaje anzaje kutoka kwenye urafiki kwenda kwenye kile ninachokifikiria kwa muda huu? Sijawahi kula “mbunye” ya kizungu nasikia tu kwamba ni frigid (baridi) na nilitamani kuona kama kweli ni za baridi au ni stori tu. Kila nikipiga hesabu gia ya kuanzia sipati picha. Tatizo mitoto ya kizungu bhana ikishakuchukulia rafiki basi iko hivyo. Pumbavu kabisa!!! Kibongo bongo nshachombeza kitambo tu yaani....


Nikamuuliza kama ana mpenzi akanijibu ndiyo, yupo kwao Ufaransa na wana miaka 4 sasa kwenye uhusiano. Kwa mara ya kwanza akanijibu hivyo maana kule Ujerumani hakunipa nafasi ya hayo mambo kujadiliwa. Akaniuliza kwa nini nimeuliza swala hilo. Nikamjibu nimeona ni vyema tu nijue na wakati huo nikahisi duduwasha yangu ikinywea ndani ya boksa. Nikajisemea hapa hamna kitu ngoja niage nisepe isitoshe hii wine isije ikanichukua nikaitumbukiza Subaru kwenye maji pale kwenye gati la Pantoni.


Nikamuaga ili nisepe maana sikupata gia ya kumuingia kwa kweli ingawa mikao yake ilinipa shida sana. Kama alikuwa ananitega au laa mi sijui lakini hawa wazungu wenyewe huwa hawajali lolote ninavyowasikia stori zao. Anaweza kukaa na bikini tu hapo halafu yeye wala hawazi chochote anaona sawa tu. Sasa hii ilinipa ugumu kujua status yake ni ipi Paula huyu. Nisije nikaingiza machombezo nikaua urafiki wenyewe.


Paula akaniomba jambo moja muhimu sana. Akaniambia nimsaidie kumlea paka wake maana pale hotelini hawaruhusiwi kuishi na wanyama. Yeye alimuomba mhudumu du kwa muda na kwamba nitakuja mimi kumchukua kwa ajili ya matunzo. Mimi si mpenzi wa hivi vimnyama aisee lakini nikikataa nitakuwa nimemuangusha sana. Nikamwambia poa nipatie Simba huyo nitaenda kumtunza na atakuwa salama kabisa. Paula akafurahi sana sana. Akanyanyuka akaja kunikumbatia kwa furaha.


Nilimpokea kifuani kwangu na akanikumbatia kwa nguvu sana. Chuchu zake zilikaribia kutoboa kifua changu. Alizunguusha mikono yake shingoni mwangu akikilaza kichwa chake kwenye bega langu nami nikamkamata kiunoni kwa nguvu nikimkandamiza kwangu. Tango langu likatutumka kwa nguvu sana na kumchoma choma eneo la tumbo na nahisi alilijua hilo kwa maana aliendelea kunikumbatia tu. Nikashusha mikono yangu mpaka kwenye matako yake yaliyojaa kibantu nikayabinya kidogo huku nikimkandamizia kwangu... Wakati nimemkandamiza namna hiyo na tango likimchoma akainua kichwa kuniangalia na kwa mbali nikayaona macho yake ile sehemu nyeupe kama nyekundu flani hv akaniambia, “wait here...” akiwa mikono yake amenishika magega kama anajichomoa hv wakati mi nimemng’ang’ania makalio kumkandamisa kwenye dhakari yangu.


Akatabasamu akajiondoa kwangu kwenda chumbani. Akarudi na kiboksi akakifungua na kunikabidhi saa moja ya mkononi kali sana. Akanivua ile niliyonayo akanivalisha saa hii mpya aliyonipa huku akitabasamu. Saa hii ya Paula inaoneshani ghali sana kwa maana ni Automatic isiyotumia betri, inajijaza yenyewe bila kuhitaji betri na haidhuliki na maji.


Akanishika mkono kunisindikiza kutoka nje kwenda kwenye parking akiwa amemkamatia paka wake mkononi. Akaniaga kwa kunibusu kwenye shavu kisha akamkalisha paka kwenye siti ya mbele akaniaga...




Nikawa wa kwanza kuamka muda ukiwa umeenda kidogo, nikajiondoa pembeni ya Paula na kuelekea bafuni. Nikaoga kisha nikavaa boksa nyingine, singlendi na kaptula nikaelekea sebuleni. Nikamkuta Kalunga anatazama TV yuko na Paka anamzunhuuka tu miguuni.Tukasalimiana kisha akaniambia simu yako imeita sana na nilipokea ya Rose tu nikamwambia umelal.


Nikachukua simu na kuangalia simu kadhaa zilizopigwa, nikabofya namba ya Rose na kuipiga kisha tukaanza kuongea na kuagana. Nikamsogelea Kalunga na kumwambia, “Kaka, Paula yuko ndani huko... hana hali, amechakaa...” Akanitazama na kuniuliza “weeeh!!! Kweli? Duh hatari na nusu.” Nikamuacha Kalunga pale nikarudi chumbani na kukuta bado Paula amelala. Nikamuinamia na kumpa kiss shavuni, akajipindua midomo akiimwemwesa bado akiwa amelala.


Nikamuacha aendelee kulala Nikakaa kwenye kiti cha humu chumbani na kuchukua kitabu nikiwa nasoma. Baadae akaamka na kukaa kitako, akachukua mto na kuuweka mapajani mwake akaweka na viwiko juu ya mtu akiniangalia kwa muda tu wakati mimi nikiwa sina habari mpaka pale nilipogeuka kumuangalia nikakuta ananitazama.


Tulipokutanisha macho akatabasamu nami nikatabasamu pia. Nikampa pole akaitikia na kunyanyuka kunifuata. Akasimama nyuma yangu kwenye kiti mikono yake akiipitisha mbele ya kifua changu mpaka tumboni kisha akanibusu pembeni ya shingo yangu na kuegemeza kidevu chake hapo. Akaninong’oneza, “Umeniingiza dunia mpya leo, asante mpenzi..” akanibusu tena. Nikajisikia fahari na kutabasamu nikimpa asante pi na pole.


Akajiondoa pale nyuma yangu na kuelekea kabatini akavuta mtoto wa kabati na kama vile alipatia kukawa na mashuka mengine nimeyapanga. Akachukua shuka moja na kwenda nalo kitandani, akaliondoa shuka lenye damu na kulitupia kwenye kitenga cha nguo chafu akatandika shuka jipya. Akahakikisha kitanda kiko safi sana akaja kukaa kiti cha pembeni yangu.


Akanitazama na kisha akainuka kuelekea bafuni kuoga. Akajiswafi na kurudi kisha akaniambia. ”Mwenzako nimevimba kweli huku chini, nahisi maumivu..” akideka kwa jicho la kurembua. Nikampa pole nikimfariji. Akajifuta maji na kujiweka vizuri kisha akaniuliza kama anaweza kwenda jikoni nikamwambia anaweza. Akanyanyuka kuufuata mlango nami nikanyanyuka kumfuata na kitabu changu mkononi.


Alipofika mlangoni kama alijua akasimama na kusubiri nimfikia bado akiangalia nje, nikamsogelea na kumshika makalio yake nikiyapiga kigodo kitendo kilichomfanya atabasamu. Tukaongozana yeye mbele mimi nyuma mpaka sebuleni. Akakutana na Kalunga na kusalimiana kwa furaha sana. Paula alikuwa mkarimu mno na mwenye bashasha hasaa. Akaelekea jikoni kutengeneza mayai na vitu alivyoona vinafaa kwa muda ule maana alihisi tumbo linamtetemeka.


Kalunga akanisogelea na kuninong’oneza, “Broh!!! Dadadekiiii hiki kifaa noma sanaaaa. Daaaah kitu kiko mukide hatari, tunasema kimesimamia kuchaaaa” Tukacheka na kugongeshana mikono. Paula akaja na sahani tatu kwenye tray akitukabidhi kila mmoja yake halafu akafuata juice akatuletea. Yaani alishaizoea nyumba kama yake vile. Akakaa pamoja nasi akiwa pembeni yangu kuangalia TV na kupiga story za hapa na pale.


Huyu mtoto yuko very romantic kwa kweli. Ana mahaba tofauti sana na wabongo. Kwanza anaongea point tupu na vitu vyenye logics. Pili anajua ni wakati gani wa kufanya kitu gani. Ingawa ni mzungu lakini aliyajua maadili hasa utadhani kaishi bongo humu humu.


Alipomaliza kula tukaongea mengi tu kisha baadae akaomba kuondoka wakati huo amempakatia paka wake anampapasa. Nikamwambia ajiandae ili nimpeleke hotelini kwake akakubali. Akaenda chumbani kuchukua viatu vyake kisha akaja sebuleni kuupitia mkoba na tukaagana na Kalunga kisha nikamtoa nje parking na kumrudisha hotelini.


Nilihakikisha nampeleka mpaka chumbani kwake tuagane. Kwa kweli mahaba aliyonayo hayaelezeki. Tukiwa chumbani wakati namuaga akanibusu kimahaba mno akiniambia maneno matamu na ya shukran. Nikamvuta na kumpa kumbato safi na tukaanza kudendeka. Paula anajua sana kukiss wenyewe mnaita (good kisser). Nikamwambia nimpe kingine akakataa katakata akisema kwanza pale alipo ametembea kwa shida maana bibi kavimba na anauma.


Nikataka kujua kwa nini hajawahi wakati alisema ana boyfriend Ufaransa kwa miaka minne. Akasema walikuwa wanafanya just kissing na mambo mengine lakini hawajawahi kuingiliana kimwili na hata haelewi mimi ilikuwaje alijisahau mpaka nikaingia. Kama ni romance wamekuwa wanafanya sana na boyfriend wake lakini waliahidiana hawatasex mpaka baadae watakapokubaliana kitu ambacho hawajawahi kukubaliana. Akasita hapa na kunitazama kwa huzuni kidogo. Nikamuuliza, “unajutia kwa ulichofanya na mimi?” akajibu, “Hapana sijutii, nilikupenda tangu tulipokutana Ujerumani lakini kwa sababu ya urafiki wetu sikuwahi kukueleza hili... Nakupenda” akanijibu huku chozi likimtoka.


Nikapeleka mdomo wangu usoni mwake na kuyafuta machozi yake kwa kuyaramba na ulimi wangu kisha nikambusu mdomoni na kumtazama nikimwambia, “Nakupenda pia Paula, nilitamani nikwambie hili tangu mwanzo ila nilisita sana...” Naye akanibusu pia na kunikumbatia.


Tukaachiana na kuagana nikazishuka ngazi na kuondoka kurudi Kigamboni roho ikiwa nyeupeeeeee. Nikamkuta Kalunga bado anatazama movie, nikajiunga naye huku tukipiga stori za Paula akitaka kujua namna nilivyofanikisha kumtia mikononi. Nikamwambia, “dogo ni ufundi wa wazaramo tu aisee na si kingine...” Tukacheka na kugongesheana mikono.




Weekend ikawa njema na mdogo wangu Kalunga tukiimaliza kwa mastori na kula bata home. Jumatatu mishe za kiofisi kama kawa zikanoga. Nikafika ofisini na kukutana na Nino kama hana raha hivi. Siyo Nino niliyemzoea siku zote, nikasimama mbele yake baada ya kumsogelea alipokaa na kumuangalia. Nikamuuliza kama kuna tatizo akabaki kuniangalia tu, halafu akatingisha kichwa kukataa.


Nikamtazama na kumwambia naona kama kuna tatizo na si vyema kunificha kama kuna uwezekano wa kuniambia aniambie. Akasema, “hapana hakuna kitu!” Nikakubaliana naye na kumwambia anione baada ya kazi, nitamsubiri parking.


Kwenye saa tisa jioni Nino akanitumia meseji kuwa muda wa kutoka nitamkuta nje kama naenda mgahawani. Nikamjibu sawa Nino wangu wa Kimox. Baada ya muda wa kazi nikatoka na kumkuta kweli jirani na mgahawa nikamchukua. “Tunaweza kutafuta sehemu tukae tuongee Nino?” Akakubaliana na mimi kwa kutingisha kichwa.


Leo ndani ya Subaru Nino alikuwa katulia sana akinitazama kwa jicho la kuibia lenye aibu. Kwa jicho pembe nilikuwa namcheki tu namna anavyoniangalia wakati mimi macho yako mbele nimekamatia usukani. Kichwani nilikuwa nawaza huyu mwanamke leo nitamdinyaje na jinsi alivyo na nyapu mnato namna ile. Nikitazama namna maziwa yake yalivyojaa kifuani na macho yake malegevu dah sipati picha.


Nikatafuta Lodge kali maeneo ya Gongo la Mboto nikaitumbukiza gari kwenye parking ya hii lodge. Nikamwambia asubiri kwenye gari, nikaingia mapokezi na kulipia chumba, nikaenda kukikagua na kukuta kiko poa kabisa na kila kitu kiko sawa kuanzia AC, taa, na bafuni.


Nikatoka nje kumfuata Nino , nikamshika mkono naye kama kondoo apelekwaye machinjioni akanifuata. Nikamuongoza mpaka chumbani na nikaufunga mlango. Akaenda kuka kitandani moja kwa moja nami nikaenda kukaa kitandani pamoja naye. Nikamuangalia na kumuuliza aniambie kweli nini tatizo. Akanitazama machoni kisha akamwewesa midomo lakini hakuniambia kitu. Lakini ndani ya macho yake ilionesha dhahiri ana kitu kinamsumbua ila hataki kukisema.


Nikanyanyuka na kuvua nguo zangu zote mbele yake kisha nikajifunga taulo na nikamgeukia nikimwambia, “twende tukaoge, amka jiandae tukaoge...” Akaniambia nitangulie anakuja, nikamuona akiwa na aibu za kike. Sikutaka kumsumbua nikaingia bafuni kisha nikawa nimesimama tu namsubiri aje. Baada ya muda akaingia akiwa amejifunga kikoi kifuani juu ya maziwa ikiacha sehemu kubwa ya mapaja yake manono ikiwa wazi.


Nikamsogelea na kukiondoa kikoi maungoni mwake nikakiweka kwenye hanger na taulo langu pia nikaliweka hapo. Nikafungulia maji nikichanganya baridi na moto kidogo nikamvuta Nino tukaanza kuoga. Nywele zake aliziziba na kikofia cha plastiki, sijui alikitoa wapi anajua mwenyewe. Nikamkumbatia na kuacha maji yatumwagikie mwilini nikimbusu shingoni na kuyapapasa matako yake mazuri.


Lakini Nino hakuwa na msisimko sana na ni kama ana mawazo fulani hivi kichwani. Nikamuogesha na kumfuta maji kisha nikamkokota kuelekea kitandani tukiwa uchi kama tulivyozaliwa. Nikamkalisha kitandani nami nikakaa pembeni yake. Nikamlaza kitandani taratibu kama mgonjwa nami nikalala pembeni yake. Nikamgeuza sura yake anitazame, nikamuangalia usoni kwa pozi la kiume nikasogeza mdomo wangu kwenye midomo yake nikambusu. Nikamwambia aniambie kitu kinachomsumbua. Machozi yakaanza kumtoka na asiniambie kitu, nikamsogelea na kumkumbatia nikijiweka sambamba na mwili wake. Nikapanda kigodo kwa juu na kutembeza mikono yangu kwenye mapaja yake manono, nikainama kumbusu shingoni .


Akanishika shingo yangu na kunitazama, akanikazia macho yake yaliyojawa machozi na kuniuliza, “Kimox unanipenda...” Nikamtazama kama kwa dakika 1 nzima bila kusema kitu nikiwa nimemkazia macho halafu nikamjibu, “Rahma, nakupenda ndiyo, nakupenda vizuri tu. Mwanzo nilikuchukulia kama rafiki lakini sasa hivi ni mpenzi wangu. Nakupenda.” Akanitazama sana kisha akanivuta kwake na kunikumbatia kwa nguvu sana akilia. Sikujua analia kwa sababu ipi hasa maana sasa kilio kilikuwa cha kwikwi kwelikweli.


Nikaanza kumpapasa bila kumbembeleza nikitembea na ulimi kutoka kwenye lips zake na kushuka mpaka kwenye chuchu. Hapo nikafanya ufundi wangu wa Kizaramo wakati mkono wa kushoto upo kwenye kitumbua chake. Nikazamisha vidole viwili kile cha kati na kile cha pete kwenyeuke wake na kutoa nikifanya hivyo taratibu wakati nanyonya chuchu. Yeye alikuwa amenishika shingo yangu akiipapasa kama anapapasa mtoto mchanga.


Wakati naingiza vidole viwili Nino akawa anazunguusha kiuno na kutoa miguno laini kupitia puani, miguno iliyonihamasisha kweli kuendelea na uchokozi. Nikapanda juu yake na kushuka mpaka tumboni kisha kuramba ramba kama naramba asali nikamkunja miguu na kushuka kwenye kisimi chake na kuanza kukifyonya kama icecream. Nikamkunja miguu zaidi kiasi cha magoti kugusa kifuani na mbunye ikawa imebinuka vizuri sana pamoja na mtaro wa Suez.


Nikakifyonya kisimi na kuchora namba nane na ulimi halafu nikawa kama nafagia kutoka kwenye shimo la taka kupanda juu kwenye shimo la uke napitiliza mpaka kwenye kisimi na kushuka tena chini. Yaani nikawa napiga deki bahari. Nino akawa anazunguusha nyonga huku amekishikilia kichwa changu kwa mikono yote miwili kana kwamba anataka kichwa kizame chote ukeni. Makelele ya raha yalikuwa yanamtoka huku akijivuta kwa kujipinda kunyanyua kichwa kuangalia nafanya nini hasa kinachotibua ubongo wake.


Nino akajipinda zaidi na kumwaga ute ute mwingi kwenye uke uliofanya mdomo wangu kuloa na kuteleza. Nikapeleka ulimi kwenye shimo la Suez na kuzunguusha hapo huku kidole gumba kikifikicha kisimi taratibu. Hebu fikiria nimempinda miguu mpaka kifuani halafu mzigo wote uko juu yaani. Wadudu wakamvuruga kisawasawa. Akaniita, “Kimox njoo pls...am dying...unaniua ujue” Nikasema kimoyo moyo mbona badooo.


Nikajivuta juu na kuikamata fimbo yangu yenye kirungu kilichovimba zaidi kwa wakati huo. Nikaanza kukisugulisha kirungu kwenye kisimi kama nafagia hivi ila kwa speed kubwa kidogo wanaita Katerero wale wa kule Bukoba. Nikachapa na kirungu huku nakichovya kirungu kidogo kwenye tundu la uke na kukichapa kisimi kwa speed. Mtindo huo nikaona unampa wehu na akaja mara kadhaa akirusha vimaji vya moto moto kwenye kinena changu na huku akinidai niizamishe mashine nisiendelee kumtesa zaidi. Nikasema isiwe shida, nikazamisha mpini wote na kuzunguusha nyonga kama nacheza mayenu ya Kwasa Kwasa.


Nilipiga nje ndani na huku nanyonga kibaskeli akawa anajikunja na kujikunjua mara kadhaa na maneno ya Nakuja yakiwa hayaishi mdomoni mwake. Nikamgeuza na kumlazi kifudi fudi nikimbinua matako na kiuno kukiinamisha kwa chini. Nikaweka mto kifuani kwake aulalie na mzigo wote ukawa kwa nyuma yaani. Nikapiga goti nyuma yake na kuzamisha mpini wote nikiserereka kama winga namba tisa akitafuta cross kali kupata ushindi.


Makende yakawa yanapigapiga kisimi chake huku mpini ukiendelea kupiga nje ndani. Niliyakamata makalio yake na nikawa nayapapasa wakati jogoo akiendelea kufanya vurugu za kufa mtu. Niikapeleka mikono kwenye kiuno nikawa kama namvutia kwangu na machine ikiingia na kuzama yote. Nikahisi kama nagusa vigololi gololi kila ninapopiga machine mpaka shinani.


Nino akawa analalamika kwamba namfanyia uchokozi wa makusudi, “Kimox, mbona mchok...cho...mchokoziii...” Sikumsikiliza na zile kelele zake zilikuwa kama wimbo mzuri sana masikioni mwangu ulioniburudisha na kuniongezea hamasa. Akaniambia anakuja tena. Nikamkamatia kiuno vizuri na kuongeza speed wakati huo Wazaramo wakiwa wanajongea kwa nguvu sana. Alipiga ukelele wakati Wazaramo wakimiminika ndani yake na akajinyoosha kulala kifudifudi nikiwa mgongoni mwake. Nikaigandisha hivyohivyo nikiwa nimemlalia juu.


Bahari huwa haikai na uchafu aisee. Mashine ilipoanza kunywea tu kitumbua chake kikaitema mashine yangu nami nikajibwaga pembeni yake. Yeye akiwa ndembendembe nami nikiwa hoi napumua kama chura kakosa maji mtoni...



Nilipitiwa na usingizi mzito sana pembeni ya Nino, sikumbuki ni muda gani Nino alikuwa ameamka lakini alikuwa amenilaza chali na amekamatia mkujugu kwa mkono mmoja huku akikiramba ramba kichwa cha mkujugu. Na hiko ndicho kilichoniamsha usingizini, ule mtekenyo wa ulimi wake na uvuguvugu wa mdomo. Tayari kirungu cha kimasai kilisha chachamaa na kilihitaji kuchapa kitumbua kilichonona cha Nino lakini hakunipa nafasi hiyo aliendelea na ufundi wake wa kuingiza kirungu mpaka kwenye koo lake kama anataka kutapika hivi halafu anatoa na kufyonza kama pipi. Alikuwa kama ananipigisha punyeto huku kichwa cha nyoka kikiwa mdomoni halafu anakifyonza tena.


Akazishika kende zangu na kuzipapasa kwa mikono laini bila kuzibinya maana wengine wakipapasa kende wanazibinya kama wanatomasa nyanya masalo mpka unahisi stimu zinakata. Nino alikuwa fundi hasa, hakunipa nafasi ya kupumua. Akapeleka mdomo kwpembezoni ya tango langu na kuwa kama analimenya menya hivi namna kama mtu anamenya muwa na kufyonza utamu wa muwa kwa pembeni akipanda juu karibu ya kichwa na kushuka chini mpaka shinani.


Alihakikisha meno yake hayagusi kabisa kichwa cha nyoka wangu wakati akimnyonya kwa staili ya kwenda chini shinani na kupanda juu kichwani. Nilihisi utamu wa ajabu na wadudu wakinivuruga ubongo wangu. Nyoka akakaza zaidi na kututumka wakati huo akitema viuteute vyepesi ambavyo Nino alivifakamia mdomoni vyote huku akijiramba ramba kama anakula asali. Nikatingisha kichwa kwa nguvu na kung’ata meno kama nimevurugwa yaani. Nikajisemea huyu mwehu anataka kupata pointa za bure huyu. Mzaramo nitaaibika sasa hivi. Akiendelea namna hii kwa dakika 5 zaidi Wazaramo wataruka kama Nyoka kifutu akitema mate. Sikutaka Wazaramo watoke nje hawa ni lazima wamiminikie ndani ya kitumbua cha Nino.


Nikajivuta nikiifuata miguu ya Nino na nikampandisha juu bado nikiwa chini, nikawa kati ya miguu yake yeye akihangaika na nyoka wangu nami nikakikamata kitumbua chake. Nikakuta tayari kimeloa ute mwingi tu, “...kumbe akinyonya jogoo wangu naye analoaaaa?” Nikajisemea mwenyewe. Nikakifikia kisimi chake na kuanza kikonyonya kwa kukibugia mdomoni mwangu na kukiachia, nilifanya hivyo kwa utaratibu mno na kisha kukipigapiga kwa ulimi kama napiga vigelegele.


Nino akawa anatoa ukelele na akigugumia lakini hakuacha kuhangaika na tango langu akiutafuta ushindi. Nikayakamata mapaja yake na kuyatanua nikikishughulikia kisimi chake kisawasawa akajipinda kuniletea kitumbua chake kwa kukikandamiza usoni mwangu. Nikasema “yaaap, nakukamata sasa” kitendo ambavyo kilisaidia kufanya Wazaramo wangu wasije na nimshughulikie yeye sasa vizuri. Nikaongeza speed ya kukinyonya kisimi na kukipigapiga na ulimi mpaka Nino akaacha kunyonya tango langu na kupiga ukelele mkali kicha akiwa amekinyanyua juu kama anataka kukitupa nyuma ya mgongo wake na macho kayafumba akiwa amekiweka kwa pembeni. Halafu ukelele ukiendelea akajinyanyua kifua chake na kuinamisha kichwa kuniangalia ni kitu gani namfanyia kwenye kisimi chake.


Akang’ata lips na kuramba midomo wakati nikiingiza ulimi kwenye uke wake na kuuchomoa kwa speed ile ile ya kupiga vigelegele. Kitendo bila kuchelewa akajichomoa midomoni mwangu na kugeuka kichwa chake kikiwa sambamba na kichwa changu akiwa juu bado. Akanikumbatia kwa nguvu na kujipandisha juu kunivuka kichwa changu halafu akajishusha kama anataka kuja kifuani kwangu. Nyoka akalenga kwenye kitumbua cha Nino na wakati huo Nino akaupitisha mkono wake kwa juu ya matako yake akimkamatia nyoka wangu na kumlengesha kwenye kitumbua chako kisha akanikamatia mikono yake mabegani kwangu kama anakuna nazi.


Nino akawa anapanda juu na kushika chini. Alifanya hivi kwa muda wa kama dakika 4 halafu akawa anapanda juu anazunguusha kiuno huku akishuka chini taratibu na kupanda juu tena bado akiendelea kukata kiuno. Halafu anapiga nje ndani kisha anarudia tena kukata kiuno akipanda juu na chini. Nilihisi mapigo yangu ya moyo yakipoteza uelekeo na macho yakipoteza uwezo wa kuona sawa sawa. Nikayafumba macho wakati nyoka wangu akiendelea kusulubiwa na Nino.


Nikapeleka mikono yangu kukikamata kiuno cha Nino nikamsaidia kwenda juu na chini nami sasa nikipandisha kiuno changu juu na chini pia. Nino akipanda juu mimi nashuka chini, yeye akishuka chini mimi napanda juu huku namshindilia tango mpaka mwisho. Nino akapiga ukelele, “Aagh, am oming... uuuuuh whiiiiii aaaagh... https://jamii.app/JFUserGuide” akajibwaga kifuani kwangu kalegea vibaya mno. Bado sikumwacha hata baada ya kujibwaga kifuani kwangu nikaendelea kumpelekea moto nikiongeza speed ya nje ndani mikono yangu sasa nikiwa nimeizunguusha kiunoni kwake mpaka mgongoni kama sina akili nzuri.


Aliendelea kupiga ukelele safari hii sauti yake ikipanda zaidi na zaidi lakini sikumwacha. Akajinyanyua kama anataka kujiondoa kwangu maana alinambia anajisikia kufa kufa wala sikumsikiliza niliongeza speed kama charahani mbovu sasa hivi nikipiga kulia na kushoto kwa speed ile ile. Akapiga kelele tena na kutaka kujichomoa wapiiiii nikaendelea kumshindilia mashine na wakati huo Wazaramo wakikaribia kuja ndani yake.


Nikampindua haraka sana na kuubinua mguu wake mmoja kifuani kwake na mwingine nikiuacha mashine bado ikiwa ndani ya Nino na nikiendelea na mikito. Nikapitisha mkono wa kulia chini ya goti lake nikiwa nimemkandamiza kisawa sawa mguu mmoja kifuani kwake wale watu wa Kusini kwa Wangoni wanaita staili hii Kivoloa ama Kafwembo. Staili matata sana maana mbunye ya Nino inakuwa imekuja juu kupigwa na kinena changu nikikichanganya na kisimi chake. Nino akang’ata meno na macho yake yakiwa yamepotelea juu yakibaki meupe kama anakata roho.


Mbano ule haukumpa nafasi ya kufurukuta na kunipatia mimi nafasi ya kukisugua kitumbua chake kadri nilivyotaka pande zote. Nino akarusha mikono hewani kama anasalimu amri na kuomba huruma yangu lakini sikumpa nafasi hiyo nikijisemea, “Wazaramo lazima wapewe heshima yao leo, mechi hii lazima iwe ya kukumbukwa daima.” Nikainama kunyonya chuchu zake bado nikiwa nimembana na akaendelea kupiga kelele akiomba msamaha.


Nikawasikia Wazaramo wakija kwa speed nikawaambia njooni sasa kwa raha zenu. Nikazidisha kukita pembezoni mashine ikiwa kama inaingia upande upande na Wazaramo walipofika jirani nikaikandamiza mashine yote nao wakataradadi ndani kabisa ya uke wa Nino. Nino akang’ata meno na kutingisha kichwa kulia na kushoto kama mtu mwenye maruhani wakati Wazaramo wa moto wakimmiminikia ndani yake na akanikumbatia kwa nguvu sana.


Akanibusu mfululizo huku machozi yakimtoka kwa fujo akinitazama kila upande wa sura yangu na kunibusu tena. Akaniambia, “Kimox mnakupenda sana mpenzi, nakupenda...” Akalia mtoto wa watu. Nikamchomoa Kimox ndani ya kitumbua cha Nino na kulala pembeni yake, Nino akajipindua na kulala kifuani kwangu akiwa hoi.


Ilishafika saa nne kasorobo usiku, nikamwambia tukaoge ili nimkimbize kwao. Akanyanyuka miguu ikimtetemeka kama mtu mwenye degedege kuelekea bafuni nami nikimfuata kwa nyuma huku nacheka kimoyo moyo jinsi miguu yake inavyogongana. Tukajiandaa, tukatoka na nikamrejesha kwao. Nikamshusha nje ya geti lao safari hii akiwa hajaogopa kisha nikatoa pesa 40,000 kumpatia na leo kama siku ya kwanza akazikataa, nikambusu na tukaagana. Akaingia ndani akinipeperushia busu kwa mkono wake bila kujua kama nimemuona ama sijamuona wakati nageuza gari na kupotea maeneo ya kwao.


Nikapiga mwendo mpaka home nikaingia jikoni kuchukua msosi na kuufakamia maana muda huu nina njaa kama yote. Baada ya kula nikaingia kuoga kisha nikajibwaga kitandani. Nikaitoa simu na kumpigia kwanza Paula halafu Rose ambaye tuliongea kirefu kidogo, tukaagana nikalala nikiwa hoi.





Siku ya tatu Paula akanipigia na kuniomba niende hotelini kwake nikitoka kazini, sikuwa na hiyana nikakubaliana naye. Nikapiga kazi zangu kama kawaida na muda wa kumaliza kazi nikajiandaa kutoka. Wakati nafunga funga droo zangu na computer ikizima akaja Nino na kimfuko mkononi. Akasimama mbele yangu na kutoa kilichomo ndani ya mfuko. Akatoa pafyumu ya kiume na kunikabidhi, akanitazama na kunipiga kibao kidogo cha shavu na kugeuka kuondoka. Nilibaki nimepigwa na butwaa na kushindwa hata kumwambia asante nikawa namtumbulia macho tu.


Nikaikamatia zawadi yangu niliyopewa na Nino na kuzishuka ngazi niende kwa Paula. Nikafika hotelini na kumkuta Paula ndani akinisubiri kwa hamu na punde nilipoingia tu akanikimbilia na kunirukia, nikamdaka juu juu na kubaki tumeng’ang’aniana hivyo kwa dakika kama mbili hivi. Akanibusu mfululizo na kuniachia halafu akanikaribisha kwenye sofa. Akaliendea friji na kutoa chupa ya mvinyo kisha akamimina kidogo kwenye glasi mbili na kunikabidhi moja. Akaja kukaa pembeni yangu akideka na kujiachia kifuani mwangu.


Tukapiga stori mbili tatu akanyanyuka na kunishika mkono akinikokota chumbani nami kama bwege nikamfuata. Akanibwaga kwa kunisukuma kitandani na kunikalia kwa juu akianza visa vyake. Nikatulia kama sina mzuka vile nikimtazama tu. Akakaa kwenye mapaja yangu nikiwa nimelala chali kukikata kitanda akaniinamia na kunibusu, nywele zake ndefu za kiblond zikinimwagikia usoni mwangu. Akazinyonya lips zangu za juu taratibu huku akijipinda pinda juu na chini kama mtu anayejisaga au kama nyoka anayetereza kwenye mchanga bila kwenda popote na miguno ikimtoka.


Nikakimata kiuno chake kwa mikono yenye nguvu kisha nikaipandisha mikono mpaka kifuani kwake nikiyachua maziwa yake kama nayakamua maziwa ila taratibu angali na kitopu chake amekivaa. Kwa fujo kabisa akaanza kunivua shati yangu kama vile anakimbizwa ama ana haraka ya kwenda mahali na anacheleweshwa. Nikamsaidia kukiondoa kitopu chake na maziwa yake msumari yakasimama kama yana hasira na mimi. Chuchu zimemsimama utadhani zikinifikia kifuani zitanitoboa.


Akajiinua na kwa speed ile ile ya haraka sana akanifungua mkanda wa suruali akiwa amejisogeza kidogo kwa chini ya mapaja na kuikamatia nyoka yangu iliyofura tayari halafu akatabasamu. Akajivuta mpaka akashuka chini ya kitanda akawa amepiga magoti na kuanza kukifyonza kichwa cha nyoka huku amemkamatia kwa mkono mmoja na akiwa kama anauzunguusha zunguusha kwenye mwili wa tango langu. Namna anavyonyonya kichwa cha nyoka ilileta msisimko wa ajabu sana na kuanza kunivuruga ubongo. Anazunguusha ulimi kwenye kichwa halafu anakimung’unya kwa kukifyonza kama icecream bila kuyahusisha meno yake. Nilihisi kama sponchi laini likikishughulikia kichwa cha nyoka wangu.


Mkono wake mmoja ulikuwa chini yake na sikujua alikuwa akifanya nini kwa maana nililala chali kukikata kitanda. Nyoka akawa mgumu sana na akicheua sumu nyepesi nyepesi ambazo Paula alizifakamia zote mdomoni mwake. Nadhani alitarajia Wazaramo watamwagika kinywani mwake maana alipoona ute ute akaamua sasa kuizamisha mdomoni yote na kuwa anainyonya kwa nguvu kiasi lakini bado akijihami meno yake yasiniumize. Wazaramo bado waligoma kutoka na nikamsikia akigugumia kwa hisia kali sijui mkono wake mmoja alikuwa anafanya nini huko chini.


Paula akaimalizia kuiondoa suruali yangu yote ikifuatiwa na boxer na akawa katikati ya mapaja yangu maana miguu ilikuwa inaning’inia chini ya kitanda. Paula akaona kama anateseka hivi akasimama haraka na kujivuta juu yangu mguu mmoja kulia na mwingine kushoto kwangu. Akaifikia nyoka yangu na kuielekeza kwenye kitumbua chake akiwa amejiinua kwa juu kama amechuchumaa. Akawa anakisugua kichwa cha nyoka kwenye kisimi chake bila kumtumbukiza ndani.


Akakibinua kichwa chake kwa nyuma nywele zikimwagika mgongoni kwake na kuendelea kunishughulikia kisawa sawa bila kuniingiza ndani wakati mwenzake nyoka amefura kwa hasira na kichwa kimechachamaa. Akaniparaza paraza hapo kwenye kisimi chake kwenda juu na chini mpaka kwenye mlango wa uke akiuchukua utelezi wake wa moto moto kisha ananiparaza kwenye kisimi tena. Hivi visa nikaona sasa vinataka kuniondoa kwenye reli maana huku sasa ni kutesana huku. Mi nataka kulifikia joto la mbunye yake liichome nyoka yangu yote kwa kuzama halafu yeye ananirambisha rambisha tu. Nikajikuta naweweseka na kumwambia, “Baby, give it to me all...keep me inside baby...aaagh.”


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog