Search This Blog

Monday, October 24, 2022

NA MIMI NATAKA - 4

 



    Chombezo : Na Mimi Nataka

    Sehemu Ya Nne (4)

    Niko kwenye korido

    ndani ya boxer. Mawazo lukuki.

    Mara nikasikia sauti ikinisemesha kwa upole toka nyuma yangu. Nikageuka. Sikutegemea kabisa. Nilidhani labda ni mhudumu kumbe siyo. Mawazo yangu yalinidanganya. Macho yangu yakatua kwa mwanadada mrembo. Mwenye shepu ya kuvutia. Iwezayo kusababisha songombingo kwa wanauwe. Weusi wake wa kung'aa, kiuno kilichogawanyika vyema. Changanya kidoti alichojaaliwa. Vilimfanya avutie. Oophs! Nilikuwa nisahau. Dada huyo aliyesimama mita chache mbele yangu, anayo macho ya mduara na yanayoonekana kulegea haswaa. Akifungua kinywa chake, meno meupe yaliyopangana kwa mpangilio mzuri huku

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    yamepambwa kwa mwanya mdogo kwa juu. Kajipigilia kitopu cha pink kinachoendana na simple zake huku kibanio cha nywele zake kikinakshiwa kwa rangi ya bluu sambamba na suruali yake iliyomkaa vyema. "Mh! Wewe ni kama maini. Unatafuna tu bila tabu hata ukitaka kumeza hapahitajiki maji. Unapita tu kooni. Aisee wewe ni mrembo." nilijikuta nikitetemeka midomo huku nikiyatamka maneno hayo. Kweli naapa maumivu ya kupigwa mambata, yaliisha. Asa unakataa nini wakati mimi ndo nakwambia? Yani nilijihisi mpyaaa. Ehee! Kwanini nisikwambie kama ni kweli? Ni muda wako kunizodoa basi.

    "Njoo nikuepushe na aibu maana siwezi kukubali uaibike kipuuzi wakati mimi mwenyewe nimeikubali kazi yako ya kiufundi." hapo mkono ashaushika. Jamani chukueni uzi uuvute ndani ya maji uone ni jinsi gani unakimbia. Basi na mimi ndivyo nilivyogeuka kwa mrembo huyo. Mapigo yangu ya moyo yakiwa yananienda kasi, safari yetu ikakomea chumbani. Yeye akakaa kitandani, mimi kwenye kiti.

    "Mwanaume gani unapigwa na mwanaume mwenziyo tena mbele ya mwanamke uliyemvua chupi??" nilihisi aibu kwa maneno yake na kujikuta nikibaki kimya.

    "Ila unapendezea na hiyo boxer. Tena ukitembe mtaani hivyo lazima wanawake wakutolee macho" hivi huyu dada si ana kaukichaa kanamnyemelea? Maneno gani hayo ya kejeli?

    "Mbona bafuni hukuwa bubu?? Au mimi siwezi kukufanya uwe muongeaji kama huyo aliyesababisha upigwe makofi?? Au mpaka nikwambie na mimi nataka?" maneno yake yalisindikizwa na kuvua suruali pamoja na kitopu chake. Shanga, mapaja na kitovu chake kilichobonyea kwa ndani. Oohh! Nilijikuta nikitoa macho pima nisiamini kinachotokea mbele yangu.

    "Mwenzenu mlinipandisha midadi na burudani yenu ya bafuni mpaka nilijiapiza lazima nikuvizie na mimi unipe. Lakini kwa bahati sijatumia nguvu na upo chumbani kwangu nilikopanga kwa siku tatu ili nikamilishe utafiti wangu wa machimboni. Si bora mgefunga dirisha msinipe tabu kiasi kile?"

    Ili kunitia wazimu zaidi, akanisogelea na mikono yake ikashika kiti na mdomo wake akauweka karibu na sikio. Akaninong'oneza. "Ntaenda kukununulia nguo nyingine lakini naomba kwanza unitoe hii rutuba iliyorundikana mwilini mwangu. Jamani! Jamani! Emma mimi n'na shetani mbaya tena huyu hana hata jicho moja. Ni kipofu. Ule ukaribu pamoja na maneno yake si wale mgambo wakaanza kunitembea kwa kasi. Nikapeleka mikono yangu kiunoni mwake. Nikaanza kuzichezea shanga kwa kuzipandisha na kuzishusha huku nikiwa kama nazisugulia katika nyonga yake. Midomo yetu ikakutana na kuzidi kutuchemsha. A-a-a- tukajikuta tukisimama wima huku nikimvua taiti pamoja na chupi yake. Naye akanitoa boxer.

    Ndugu yangu nduguuu... Ikawa ni akili zetu kuhamia Jupter na na si Earth. Emma nipe tuu nile mpaka nisaze. Hiyo sauti ilitokea puani. Akashika kiti.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kilichofuata nitakusimulia tu. Kijana nikamuinua mguu mmoja wa kulia na kuuweka juu ya kiti, hivyo tamuu yake yote ikawa ikionekana vyema kwa nyuma. Ulimi wangu ukawa ukitambaa taratibu katika mgongo wake huku kidole change kikiwa na kazi ya kukisugua kisimi chake kwa utaratibu ili kumpatia burudani mrembo yule nisiyejua atokako. Yeye pia hakuwa mzembe uwanjani, aliweza kukizungusha vyema kiuno chake na kuzidi kunifanya niongeze kasi kwenye kidole change cha mkono wa kulia.

    Ooohpss! Nakaribia Em-mm-aaaa... Sikutaka kumsikiliza zaidi ya kuendelea kuifaidi tamu yake yenye joto la aina yake. Niseme kwamba yale maswahibu yaliyokuwa yamenipata muda mfupi uliopita wala sikuweza kuyapa nafasi katika fikra zangu. Nilichokiwaza kwa wakati huo ni kujipatia burudani toka kwa mrembo yule aliyekuwa akinionyesha midadi ya hali ya juu mpaka anautua mzigo wa utamu toka katika joint za mwili wake, name nikautua hivyo tukautua kwa pamoja. Nilichokisikia ni kishindo cha mtu akianguka chini baada ya kumuachia. Kumbe waweza muua mtu kisa kumpa utamu tena wa muda mfupi. Nikamuinua akionekana mchovu kwa kiwango kikubwa. Nikambwaga kitandani lakini ile namuweka tu, akanivutia kifuani kwak me.

    "Bado sijatosheka naomba tena" Aliongea katika hali ya kunilegezea macho yake ya mviringo tena yasiyohitaji kungu ili kuyalegeza. Kwa wakati huo nilitamani kupata ladha ya tamu yake kupitia mdomoni mwangu. Basi bila kupoteza muda nikamuomba tuelekee bafuni. Hakuwa na hiyana akakubali na moja kwa moja mikono yetu ikapita viunoni tukaelekea bafuni. Akafungulia bomba la maji na hapo rafiki zangu tukaanza kumiminikiwa na maji vichwani mwetu tokea juu. Kila mmoja wetu akaipakaa vyema mikono yake sabuni na kuifanya iteleze. Pale tulipoanza kupitishana miilini mwetu, hakika wale wadudu walianza kupanda kwa kasi mno na kutufanya tuanze kunyonyana mate. Tukasahau kuoga na kujikuta tukikolea katika tendo lile la kupeana mate.

    "Wewe mwanaume mama yako yuko wapi nikampe sifa zake za kuniletea kijana wa kunipa burudani ambayo sijawahi pewa na mijanaume yote ile niliyoipa mwili wangu wangu?" Aliniuliza lakini badala ya kumpatia jibu kama alivyotaraji, nikamsafisha yale mapovu kasha name nikajisafisha ndipo nikafunga bomba la maji na kumshika mkono kumtoa bafuni. Yani ni kwamba hapo akili yangu ilikuwa ikiwa jambo moja tu! Kumlaza chali kitandani na kumpanua mapaja yake kasha nianze kuinyonya tamu yake kadri nitakavyo ili akienda kukutana tena na hiyo mijanaume anayoisema, basi akili iruke amuwaze Emma pekee. kama akili ilivyokuwa ikiwaza ndivyo nlivyofanya. Nikamfuta maji vyema na kuhakikisha mwili wake umekuwa mkavu kama nilivyotaka, ndipo nikamlaza chali kitandani na kumuwekea mto wa kueegemea ili aone nini ntamfanyia. Sikutaka kumpa utamu nusu ilihali nilishaamua kumpa. Nikampanua mapaja yake ndipo ulimi wangu ukaanza kukifaidi kisimi chake kwa utaratibu. Mwanzo aliona kama nacheza tu lakini muda ulivyokuwa ukizidi kwenda, ndivyo alivyoanza kutoa sauti za miguno kuhashiria tayari mwanaume Emma nimeanza kumpatia. Nikachanganya na kupikicha chuchu zake hali iliyomfanya aanze kuishika shuka iliyotandikwa kitandani kana kwamba imemkosea maana ni kama alikuwa akipambana nayo. "Aaaaaaahhh oooohhpsssss nakufaaaa" Naua tena jamani badala ya raha? Kidume nikaamua kuanza kukivuta kisimi chake kwa lips zangu laini. Dah! Ukimpata anayejua kuaanda utayafaidi mapenzi na utafikia hatua useme kifo hakipo. Ndiyo utasema hivyo wala usikatae maneno yangu! Niliamua kutulia hapo hadi pale alipoanza kuonyesha dalili za kufika mwisho. Nikaingia ulingoni lakini ile naingia tu ndani mwake, akamaliza mchezo kwa kunikumbatia kwa nguvu. Hapo niseme nilimfikisha mwisho kwa kutumia ulimi. Ndugu yangu wewe umewahi kufikishwa mwisho kwa ulimi? Kama hujawahi unakosa vitu vizuri katika suala la mapenzi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Unataka nini toka kwangu ili uwe unanipa raha hizi kila siku?" Aliniuliza swali wakati huo akiuchezea uume wangu kwa kiganja chake na kunifanya nihisi raha ya ajabu. Wakati nataka kumjibu swali lake, akainuka na kunilaza chali kasha kinywa chake kikautumbukiza uume wangu ndani na kuanza kuunyonya mithili ya barafu. Hapo akawa amejibu mapigo. Siyo kama wale pakachapakacha ananyonywa tena wakati mwingine kwa kumlazimisha mwenza wake hasa kwa wanaume wanaojiita wababe lakini wao wala hawana habari za kuwanyonya wenzao. Kiukweli hiyo si sawa. Raha ni kwa pande zote mbili. Kama nilivyofanya kwake naye akahakikisha nafika mwisho tena kinywani mwake. Raha iliyoje?

    "Mwanamke atakayebahatika kuolewa na wewe atafaidi mno" alinambia wakati huo tukiwa bafuni kuisafisha miili yetu kwa mara ya pili. Mapenzi ni usafi. Katu huwezi furahia unabanjuka na mtu kitandani anatoa harufu yenye kukera au mmefanya hamjaoga mnafanya tena na tena. Loh! Hata ladha haipatikani kabisa. Usafi kwanza penzi baadaye.

    "Atafaidi nini wakati kila nilichonacho hata wengine wanacho?" nilijibu.

    "Kila mtu ameumbwa kwa namna ya tofauti na uwezo ulionao si kama wengine japo wapo wenye kama uwezo ulokuwa nao. Ila kifupi wewe ni zaidi ya burudani kwa mwanamke yeyeto hata kama hajui mapenzi."

    "Ngoja nikubali maana hata nikikataa haitaleta maana"

    Tuliendelea na stori nyingine za kawaida pindi tulipotoka bafuni na kujitupa kitandani lakini hakuna aliyemgusia mwenzie maisha yake halisi hadi tukapitiwa na usingizi. Nilikuwa wa kwanza kushtuka usingizi na cha kwanza nikaichukua simu yake na kuangalia muda. Saa yake ilisomeka saa tano na nusu usiku. Mmh! Tumbo langu lilikuwa likikwangua si mchezo na kibaya zaidi sikuwa na fedha ya kuniwezesha kununua chakula ili kuituliza njaa iliyokuwa ikinikabili. Wakati nikiwaza nini nifanye ili kuponesha utumbo wangu, akaamka na kuonekana kama alikuwa kwenye ndoto.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Nipe tena nifaidi" Nilihisi kama kachanganyikiwa maana shughuli iliyotokea mmh si ya kawaida ila bado anataka teana halafu mwenziye nahisi njaa. Nilikuwa na aibu kumwambia tatizo langu lakini nikahisi kuzidiwa ikanibidi kumwambia. Kuonyesha ni mwenye kujali, akaamka na kuvaa nguo kwenda kunichukulia chakula kwakuwa mle chumbani hapakuwemo na simu ili kutuwezesha kupiga na kuletewa moja kwa moja ndani. Hakuchukua dakika mbili akarudi na savanna mbili mkononi pamoja soda ya sprite na kuniambia kaweka oda hivyo niwe mvumilivu kitaletwa muda mfupi ujao. Akanifungulia ile soda na yeye akaanza kutupia savanna taratibu. Sikujua ni kwanini mimi aniletee soda halafu yeye savanna japo situmii kilevi na sijui kama ina kilevi au lah! Na sikutaka kuhoji juu ya hilo. Kama alivyokwishanambia, muda mfupi chakula kililetwa. Alijua vipi napenda ndizi na nyama hiyo tumuachie yeye. Nikaituliza njaa yangu na hapo nikawa tayari kurudi kitandani kupumzika. Kumbe mawazo yangu yalikuwa mrama. Kupumzika ilikuwa ni juu ya kifua chake na siyo kuutafuta usingizi. Nikajivuta kitandani na kumuacha akiendelea na savanna yake ya pili. Kama dakika ishirini za kuwa kitandani, nikaanza kusikia mikono laini ikipita mwilini mwangu. Nikashtuka na kumkuta katika hali yenye kudhihirisha neno nataka. Sikuwa na uchovu sana lakini angalau angeniacha nipumzike hata kidogo. Sikuwa na namna, nikampokea ulimi wake. Nikakutana na harufu isiyopendezea. Sikuona sababu ya kuficha, nikamwambia hilo na kumfanya ateremke kitandani na kwenda kukisafisha kinywa chake. Aliporudi hakika ile harufu haikuwepo tena. Kinywa kilileta hamasa kukiunganisha na cha kwangu. Dakika mbili zilitosha nikahamia kwenye chuchu zake kuzinyonya kasha mgongoni na hatimaye kuyalamba mapaja yake. Ikawa ni kelele za mahaba zinasikika toka kinywani mwake. Nikamlegeza ipasavyo hadi akawa hoi ndipo nikampa shughuli nzito. Tukalala kiubavu na mguu wake ukawa juu ya kiuno changu. Safari hii alipokoma kutoa miguno, aligeukia upande wa pili na kupotelea usingizini. Sikuwa na nguo lakini nilichokifanya ni kuvaa tisheti ya dada yule kasha nikajifunga kitenge chake. Sikutaka kulala pale. Nikanyata na kutoka hadi nje na bahati nzuri geti halikuwa limefungwa. Nikaanza kutembea mwendo wa haraka kuelekea nyumbani. Tatizo likaja pale nilipofika nyumbani. Sikuwa na funguo hii ni baada ya kuziacha katika suruali niliyoambia niivue niondoke na boxer tu. Nikawaza kurudi nilikotoka lakini nikaona huenda nikakuta wamefunga na kuwa kama fisi aliyekosa huku na huku. Nikazunguka upande wa pili na kumgongea mama Zabroni lakini wakati huo moyo unanienda mbio kuliko maelezo. Nashukuru alipoisikia sauti yangu akaamka na kuja kunifungulia. Hapo nikaingia ndani bado kuvunja mlango wangu ili niingie. Nikamuomba kitu cha kuvunjia lakini aliporudi na hicho chuma ilikuwa tofauti. Alikuja katika muashirio wa lazima unipe kile unachoninyima. Nikahisi kudata akili na mwili.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilimtizama mama Zabroni na kumuona kati ya wanadamu wenye upungufu wa akili. Vilevile mwili wangu wote mpaka akili vilikuwa vimechoka kupita maelezo. Kila nilipomuangalia, fikra zangu zilinirejesha kule nitokako. Nilikubaliana na akili yangu kwamba nimetoka katika maswahibu makubwa ukikumbuka nimeponea pafinyu kutembea nikiwa nimevalia boxer pekee.

    “Mbona hivyo”? Niliamua kumtolea uvivu na kumuuliza swali ambalo wala hakushughulika nalo. Akawa fundi wangu kwa kuvunja kitasa cha mlango wangu.

    “Kuna lingine swali uulize ili nikupatie majibu kwa pamoja?” Ni pale alipomaliza kuvunja kitasa ndipo akanichombeza kwa swali lake la kizushi ambalo wala halikuwa na ladha masikioni mwangu japo kwa upande wake sikujua amelichukulia vipi.

    “Hakuna lingine ndugu yangu! Nashukuru kwa msaada wako mkubwa ulionitendea usiku huu.” Nilimjibu lakini nikashuhudia akizama ndani mwangu hata kabla ya mimi mwenyewe kuingia.

    “Acha kuniita ndugu yako wakati mwenziyo nataka shukrani yako iwe ni kunipatia utamu tena muda huu maana ni muda mrefu sasa sijafaidi utamu kama uliompatia mama mwenye nyumba pamoja na Nasra.” Aliyaongea baada ya kuwasha taa ya chumbani mwangu na kunifanya niutalii mwili wake kwa nukta kadhaa lakini nilijikuta nikimuaona mama Zabroni kama muuaji mzoefu. Ni kweli alikuwa ni mwanamke mwenye kuvutia lakini kwa hali niliyokuwa nayo ilipaswa anisome kupitia unyonge wa macho yangu kisha aniache na kunitafuta siku nyingine apate dozi kama wenzake wanavyoipata tena kwa kiwango. Wakati macho yangu yakiwa usoni mwake, nikastaajabu kumuona akiuteremsha mtandio wake mwepesi na sasa mwili wake ukabakiwa na nguo ya ndani peke yake tena ile ndogo ambayo iliyaaacha wazi mapaja yake huku juu ya kifua chake matiti yake ambayo kama humfahamu mama yule hutasita kusema hajawahi kunyonyesha. Titi zake bado zilikuwa zikidai kushikwa na kunyonywa kimahaba kwa kiasi kikubwa. Mwili wake ulitamanisha mno lakini hizo nguvu za kuutumia nizipate wapi? Kiuchokozi kana kwamba ni mtu tuliyezoeana sana, akanisogelea kwa ukaribu na kupitisha mikono shingoni mwangu, kisha ulimi wake ukaanza barizi katika shingo yangu. Hapo ndipo nikatokwa na ule uzabaifu uliokuwa umenikumba. Nikamsukuma na kumfanya aanguke chini. Wakati mwingine hasira zaweza kuwa msaada katika jambo fulani lakini pia kwa wakati mwingine ni hatari mno na zaweza sababisha ulitende lile ambalo hukuwahi kuwa na matarajio nalo. Baada ya kumsukuma na kuanguka chini, akatulia kimya mithili ya mtu aliyepoteza fahamu na kunifanya nipatwe na uoga mkubwa. Nikajaribu kumtikisa lakini wala hakuonyesha mtikisiko. Nikaanza kumpepea kwa shuka kama dakika tano nzima lakini hali ilibaki ileile hakuna matumaini. Nikapiga magoti na kumsogezea kinywa changu kisha nikakikutanisha na cha kwake. Nikaanza kumpulizia hewa. Kama dakika mbili tu, mtu akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kuninyonya mate kwa fujo. Hakukomea tu hapo akaanza kunipapasa mgongoni huku akiwa ananikwaruza kwa kucha zake mgongoni japo si katika hali ya kuniumiza.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ukichanganya hali ya kuchanganyikiwa kutokana na tukio lake la kuigiza kapoteza fahamu, nikajikuta nikibaki kama bua kavu ambalo hata mnyama hulitafuna kwakuwa bichi limekosekana. Basi mama Zabroni akapata mwanya na kuanza kunitumia atakavyo. Sikumbuki kile kitenge nilichokiiba kule guest pamoja na boxer vilitengana muda gani na mwili wangu kwani nilichoshtukia ni mimi kuwa chini na mama Zabroni kuwa juu. Mmh! Nilitaka nisikusimulie pigo za mama yule lakini nahisi na ni uhakika sitakuwa nimekutendea haki. Si kama wale wanaojipimia lakini kazi ni panda shuka tu utadhani Apolo wa Mirerani na ngazi zao migodini. Mama Z alikuwa akiona kapanda na kushuka kama mara tatu, anaushika uume wangu na kuuchomoa kisha anausugulia katika mlango wake wa utamu. Hali ile ikawa ikinitekenya na kunifanya nianze kuufurahia mchezo japo mwanzo nilimuona muuaji. Nikaanza kumpatia ushirikiano. Mkono wangu ukakishika kiuno chake barabara na ikakutana na chachandu. Nikawa nikizipikichia katika kiuno chake kwa staili ya kuzipandisha na kuzishusha hali iliyomfanya aanze kuongea maneno yasiyoeleweka na pia akalala kabisa kifuani mwangu ili aweze kupata raha katika kona tatu. Katika kunyonywa ulimi, katika kupapaswa kiuno na mwisho kabisa katika kusuguliwa na uume imara usiohitaji stendi kusimamishwa. Ni katika hali ya kunishangaza kidogo kwakuwa haikuwahi kunitokea. Ni pale alipozidisha kasi ya kushuka chini na kupanda juu kuashiria anakaribia lakini ghafla akatulia tuli. Mara hii siyo ya kuigiza. Hii ni uhalisia kabisa akazimia. Nikapeleka mkono katika tamu yake na kugundua ameshamaliza mchezo lakini loh! Waweza sema ni kikombe cha uji maana haikuwa mchezo. Kayalimbikiza hayo mavitu mpaka wakati wa kuyatoa ikamchukulia fahamu zake. Nikaona nilikuwa namchukia bure haikuwa akili yake maana haiwezekani mtu akuone unaingia na kitenge huku kifua wazi tena ni mwanaume halafu asiulize lolote akimbilie kuhitaji utamu. Kweli si akili yake. Nikamsamehe! Nikamtoa kifuani mwangu kisha nikachukua taulo langu dogo, nikalilowanisha na maji kisha nikamfuta na mimi nikajifuta. Sikumgusa wala kuhangaika kumpepea. Haukupita muda mrefu akapiga kama chafya tatu mfululizo na kilichofuatia nikasikia akilitamka jina langu. Emma! Emma! Emma! Unipe kila siku. Nikamuangalia tu kisha nikacheka. Ujua kwanini nilicheka? Nasra, Emmy, Edna, mama mwenye nyumba, na hata yule niliyemtoroka guest. Wote hao hawakusita kulitamka hilo kumaanisha iliwanogesha. Niwape pole wengine maana haiwezekani wote wakapewa kila siku kama wanavyosema. Atakayefaidika nayo kila siku ni mmoja tu.

    “Umeridhika?” Nilimuuliza maksudi maana kwa vyovyote vile niliamini hawezi sema karidhika ila tu ni katika hali ya kumchimbua ili aniachie mwanya wa kupumzika.

    “Unadhani naweza ridhika kwa kamoja tu?” Nikajibiwa huku dalili zote zikimuonyesha bado yu katika hali ya matamanio. Yani anataka tena.

    “Unataka tena sahivi au tufanye siku nyingine nikupe kwa ufundi wote?”

    “Nipe tu cha mwisho nikalale” yani nilidhani atachagua ya kupewa kwa ufundi wote kumbe wala anataka muda huohuo tena. Nikaona hili balaa mtu mwenyewe wa kuzimia mara afe kabisa. Majibu yake yaliandamana na kuushika uume wangu kisha akaupikicha kidogo na kuutia kinywani mwake. Mhh! Hana hata kinyaa. Sikuvumilia hilo nikamuuliza lakini wakati huo nikigugumia kwa utamu.

    “Huoni kinyaa kufanya hivyo?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kama ni uchafu umetoka mwilini mwangu kwahiyo acha niusafishe kwa ulimi wangu” sikuongeza neno tena hapo. Nikalala vizuri chali na kuendelea kuusikilizia utamu wa kunyonywa. Mara awe kama kuna kitu anavuta. Mara awe kama anaung’ata kwa lips zake. Yani nikasahau makashikashi yote lakini wakati akiendelea na mbwembwe zake, nikaanza kusikia maumivu ya nyonga na tumbo kuanza kuunguruma. Hali ikabadilika ghafla. Utamu ukageuka uchungu muda huohuo na haukupita muda mrefu, nikakumbwa na kizunguzungu kikali ambacho sikuweza kukihimili. Macho yakaanza kuona maluweluwe na kilichofuatia ni kupoteza fahamu.

    “Pole sana utarudi katika hali yako muda si mrefu.” Sauti hii tamu masikioni. Iliyo nyororo, ikapenya katika ngoma za masikio yangu baada ya kufumbua macho yangu na kujigeuza upande wa pili. Sikuweza kumjibu baada ya kuhisi kinywa changu kizito kufunguka tena kinywani nikihisi uchungu usioelezeka. Lakini macho hayakuweza kujiweka mbali kukitizama kiumbe kile kilichonipatia pole. Mwanadada mrembo akiwa amekaa kwenye kiti mkononi akiwa kashikilia kalamu yake akiandika baadhi ya mambo katika karatasi. Alikuwa ni nesi. Ndipo hapo kumbukumbuku zikanirejea na kukumbuka kilichonitokea nikiwa katika kupewa utamu na mama Zabroni. Nikajiona mtu wa ajabu mno na hapo nikajishusha thamani kwa kujiona mwanaume niliyekosa msimamo. Tena mpuuzi wa mwisho katika ulimwengu huu. Nikiwa naendelea kurudisha kumbukumbuku katika maisha yangu yaliyopita tangu nikiwa nyumbani kwetu mkoani Tanga mpaka siku niliyopoteza fahamu, akaingia daktari. Yeye pia kanipatia pole na kunifanyia vipimo kisha akamuita yule nesi kwa jina la Joan na kumtaka kuniwekea uangalizi mzuri pia kunipatia muda wa kupumzika na vilevile akamkanya kunihojihoji maswali kwakuwa hali yangu haikuridhisha kwa wakati huo. Akaondoka na kutuacha wawili ndani ya chumba. Niliposoma maandishi katika shuka nikagundua pale ni CATHOLIC PRIVATE HOSPITAL. Nikajigeuza upande wa pili kwa kumpa mgongo Joan kisha nikaendelea kuzirudisha kumbukumbu zangu nyuma. Nisifiche hili ndugu zangu mliotenga muda wenu kusoma tungo hii. Machozi yalikuwa yakinitirika kwa kasi. Niliijutia nafsi yangu mno kwa kuyatenda ya kumchukiza MUNGU lakini yakiwafurahisha wanadamu. Ama kwa hakika ni dhambi nilitenda tena nikitambua fiak ni dhambi.

    “Anko!” Ilikuwa ni sauti ya yule nesi. Nikageuka hivyohivyo na machozi yangu ili niweze kumsikiliza.

    “Naam, dada!” Nilimuitikia lakini alipoyaona machozi yangu, alionekana kushtuka lakini wala hakuhoji juu ya hilo badala yake akalenga katika lile lililomsababisha aniite.

    “Amka ule chakula.” Sijui ni wakati gani chakula kililetwa lakini hilo halikuwa na umuhimu kwangu. Ni kweli tumbo langu lilikuwa likidai hivyo nikajitahidi kuinuka na kukaa kitako kitandani. Akanipatia hotpot ndogo ya chakula ambapo ilikuwa ni ndizi na nyama. Nikazifakamia kwa fujo wakati huo yeye akiendelea na yaliyokuwa yakimhusu lakini safari hii akionekana kutumiana meseji na mtu kwa fujo. Vijana wa kileo wakisema anachat. Baada ya kumaliza kula akavichukua vyombo vyake na kutoka navyo nje. Akiwa ameondoka, nikawa najiuliza maswali bila kupata jibu. Ni nani aliyenileta pale? Na mbona sioni hata mmoja anayenifahamu kuja kunijulia hali? Vipi kijana wangu wa kazini hajui yaliyonipata? Ni kama dakika mbili yule nesi akarudi. Nikaona acha nimchokoze kwa maswali ili aniondoshee dukuku moyoni juu ya maswali yangu.

    “Eti dada ni nani alinileta hapa?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mmh! Siwezi fahamu maana mimi nd’o nimeingia leo na kwa taarifa niliyopewa ni kwamba ungemaliza siku ya leo, ungetimiza siku tatu za kupoteza fahamu.” Nilishtuka sana kwa kauli yake. “Inamaana nimepoteza fahamu siku mbili mfululizo?” Nikajitazama na kujionea huruma.

    “Asante lakini naweza ruhusiwa leo?”

    “Hayo ni juu ya dktari mimi siwezi yaingilia, Cha muhimu ni kuomba upatiwe ruhusa leo kama unavyohitaji japo uhakika katika hilo ni asilimia chache mno.” Kwa maneno yake hayo, ni wazi kabisa kuruhusiwa ilikuwa ngumu. Kilichonipa wakati mgumu ni kwamba ile ni private hospital na gharama zake ni kubwa kadri unavyoendelea kuwapo pale. Na kila nilipotafakari suala la pesa nilijawa na mawazo maana kiasi changu cha pesa nilichokuwa nacho kilikuwa nyumbani na sikujua itakuaje katika suala la usalama.

    “Nimekuelewa Joan” Nilipotamka jina lake akatabasamu na kuiweka simu yake mezani kisha akaniuliza, “umewezaji kulikariri jina langu haraka kiasi hicho?”

    “Kama wewe umeweza kuweka uangalizi kwangu kwa umakini mimi nitashindwa vipi kulikariri jina lako tena rahisi hivyo? Tena herufi ya kwanza J inaendana na mdogo wangu anayeitwa Junior. Hivyo si mbaya ili wakati nikihitaji msaada wako nisikuite WEWE bali nikuite kwa jina lako kama nidhamu” Kwa maneno yangu nesi Joan akaonekana kuchangamka na kuongeza ucheshi zaidi. Akainuka na kuanza kutembea kuja kitandani kwangu lakini kabla hajanifikia, mlango ukafunguliwa.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog