Search This Blog

Monday, October 24, 2022

NITAKUPENDA USIKU TU - 3

 





    Chombezo : Nitakupenda Usiku Tu

    Sehemu Ya Tatu (3)



    Niliondoka uku roho ikiwa inaniuma sana. Iliniuma kwakuwa yule msichana nilikuwa ni kama nimemuandaa mwenyewe na ile yote kuwa na yule mwanaume mwingine ilitokana na kulewa kwake kwa pombe. Hatua kama kumi nilikuwa tayari nimesharejea katika kigodoro kile nikiwa na lengo moja tu. Lengo la kumchukuwa Jof nakurudi naye kwetu Tabata Dampo. Nilizunguka sana kumtafuta bila mafanikio yoyote. Swali lililonijia huenda ameshaondoka lakini kutokana na ile hali yake aliokuwa nayo ya kulewa kupitiliza niliamini wazi atakuwa amezima na huenda amejilaza sehemu.

    Nilendelea kuanza huku na kule kumtafuta. Nikamuona!!

    “Jof, Jof!!” Niliita kwa mshangao.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hakuwa Jof yule ninayemjua mimi. Alikuwa amejikunja kwenye kochi na jimama lile la kwanza. Lile jimama ambalo sikubahatika kulidumbukizia kasuku wangu. Jimama ambalo lilifanya kazi ya kunifungua zipu kisha likaondoka kipindi kile. Sasa Jof alikuwa akineemeka mwenyewe pasipokujitambua. Sikuwa na hamu nalo tena! Nilibaki kuwa na furaha moyoni kwakuwa na Jof naye kapata wake. Nilitamani kumsogelea Jof kumuambia kuwa natangulia lakini ilinibidi kukaa pembeni nikipulizwa na ubaridi kwa kumsubiria uku watu kama wanne tu ndio walikuwa wakiendelea kuucheza muziki wa kigodoro na wengine wale wote waliokuwepo mwanzoni walikuwa wameshatawanyika kwenda makwao.

    Niliendelea kumsubiri sana Jof amalize yake. Nilipigwa na ubaridi bila kukata tamaa. Hatimaye baada ya muda kama wa dakika arobaini usingizi ukaanza kuninyemelea. Mauzauza!! Nikainuka kumuangalia Jof. Jof alikuwa peke yake amezidiwa na usingizi na wala sikujua yule jimama ni muda gani alikuwa ameachana na Jof pale chini. Niliamini moja kwa moja litakuwa ndani. Nilimfuata Jof mpaka karibu yake.

    “Jof! Joof!!”

    Alionesha kuchoka sana. Alikuwa ni kama hajitambui kabisa. Kazi kubwa nikaipata. Kazi ya kumshikiza begani nakuondoka naye mpaka nyumbani Tabata Dampo. Nilijikokota naye hivyo hivyo japokuwa kuna wakati tulikuwa tukipumzika na hata wakati mwingine tukiendelea na safari kwa kujikokota.

    Ndani ya muda tulikuwa tumeshafika nje ya mlango wangu wa getto. Jof bado alikuwa hajiwezi wala hajitambui. Niliamua kumlaza getto kwangu kwa madhumuni kuwa kesho yake asubuhi atarudi kwake. Tukaingia mpaka kitandani tukalala!







    *******





    “Seif? Seif niambie jana ilikuwaje?” Aliongea Jof

    Alikuwa ameshashtuka kutoka usingizini. Wenge!! Aliyatoa sana macho kwa sintofahamu. Hakuwa tena Jof wa jana yake usiku kutokana na zile pombe zote kumuishia kichwani. Alichangamka sana!

    “Hufai wewe, Kumbe Jof wewe mbaya!! yaaani ni balaaaaa!!” Nilimwambia kiutani.

    “Anhhh kwani nilifanyanyeje mbona kumbukumbu kidizaini kama zinakata hivi?”

    “Jimama Jof, Jimama ulilikamatia ilee!!”

    “Anhhh acha zako bwana, ila nakumbuka kama na wewe ulikuwa ukicheza nayo katikati yakiwa tupu?..

    Kabla Jof hajamalizia kuongea na mimi hodi ikabishwa. Mlango wangu ambao huwa nikiutegesha kwa jiwe ukawa umesukumwa kwa pupa.

    “Seif? Seif”

    “Naam!!” Nilishtuka.

    “Jana siku nzima ulikuwa wapi? Na kwanini unitese wewe kijana hapa tu siku ya kwanza je uko mbeleni”

    Alikuwa ni yule jimama wa siku ya kwanza kwenye kigodoro mtaa wa pembeni na kwangu. Mash! ndio alikuwa ni Mash akiongea kwa hasira na sura akiikunja.

    “Mash?”

    “Sema?”

    “Kama unavyojua kazi zangu za kushinda nikiuza kahawa na chai na jana niliuza mpaka usiku...

    “Unasemaje wewe?”

    “Jana niliuza mpaka usiku sana nimerudi saa saba usiku!!” Nilimdanganya.

    Ndio kwanza nikawa kama nimemlisha pili pili mdomoni. Alichukia sana nakufoka kwa hasira. Ikambidi hata Jof achukuwe shati lake avae na kuondoka zake akituacha wawili tu ndani ya chumba.

    “Umesema ulirudi jana usiku enhh?”

    “Ndio kwani vipi? ulikuja kunitafuta kwangu?”

    Mash hakunijibu chochote zaidi ya kuchukua mikono yake nakunivua suruali yangu. Nilionesha kuwa na nguvu kwa kumkatalia lakini mbele ya jimama Mash sikuwa na ujanja. Alinivua suruali na nguo ya ndani kisha akaniacha mtupu. Nilichoshangaa sasa yeye hakuvua hata sidiria. Alibaki na nguo zake zote.

    “Hujakutana na mwanamke yoyote jana usiku?”

    “Si nilishakwambia jinsi ninavyoishi peke yangu. Mwanamke atokee wapi?”

    Mwanzoni nilijua Mash alikuwa akitaka kumchezea kasuku wangu ili amdonoe lakini haikuwa hivyo. Alinikagua kila kitu kisha akamkamua kasuku wangu. Yale matapishi aliokuwa ameyatapika usiku wake yalimtisha. Yalikuwa yamebaki kidogo katika upande wa mdomoni mwake. Hata na ile misuli misuli ya pembeni mwake ilikuwa bado imejichora.

    “Haya niambie mwenyewe nini hiki?”

    “Wewe nielewe sikuwa na mwanamke na hii huwa inanitokea tu mara kwa mara”

    “Mimi siyo binti wa miaka kumi na mbili nisiyejua kuhesabu hata siku zangu. Nimefundwa!! tena kwetu. Licha ya kufundwa nyie wanaume nawajua A to Z hunidanganyi kitu wewe Seif.

    Nilishakwambia jana kuwa ningekuja kwanini hukutaka kunisubiri? au umeshaona hii mashine yako dili sasa?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mash aliendelea kunilalamikia sana. Machozi yalianza kumlenga lenga na hata ile sura yake ya hasira ilibadillika na kuwa ya huruma.

    “Haya uko ulikoenda jana usiku ni kwenye kigodoro?”

    Sikuwa na ujanja. Moyo wangu wa huruma na mie nikausogeza mbele ya macho ya Mash. Nikamuitikia tu kwa kichwa.

    “Unasema?”

    “Ndio nilienda na huyu jamaa aliotoka hapa”

    “Kigodoro cha wapi?”

    “Mbali sana Mash!!”

    “Mbali hakuna jina?”

    “Tandale kwa Tumbo”

    “Najua tabia zote za vigodoro vya Tandale na najua tabia kuanzia za wanaume wa kule hadi wanawake wa kule, Kwanza huwa wana mashauzi na wanajidai wakishua mara wametokea masaki mara wametokea Tanga uko Muheza na wengine watadanganya hata wanaishi Zanzibar wamekuja tu kwenye kigorodo ili mradi wakuteke, vipi hawakukufanya lolote?” Aliongea Mash.

    Nilishusha pumzi kwa muda kisha nikamuangalia Mash mara mbili mbili. Nilihisi huenda na yeye alikuwepo au alituma mtu yoyote. Machale yakanicheza nakunicheza. Yakanikamata nakunikamata!! nikajutia moyoni kutembea na wadanganyifu wa mapenzi kule Tandale. Nikainua kichwa changu kumtazama Mash. Nikamdanganya!!

    “Wala hakukuwa na wanawake wengi, Vijana wengi tu wa mtaani ndio walikuwepo tena wahuni sana walioshindikana”

    “Sawa kama unasema hivyo lakini turudi kwenye mashine yako hapa. Mashine yako inaonesha kabisa imechezewa mpaka imechoka si unaona hata haisimami kabisa!!”

    Aibu kubwa ilinishika. Ni kweli kasuku wangu alikuwa hajiwezi kwa lolote si kwa kusimama wala kutikisika. Alikuwa ni kama nusu rasi nusu majinuni!! NIkavuta taswira hata kipindi natumia Sabuni au mafuta katika kujichua. Nikakumbuka kuwa baada ya kasuku wangu kutapika huwa ana tabia ya kunywea na mishipa kumtoka sana.

    Mash akainuka nakusimama. Akaniangalia kwa kurembua!

    “Leo nitalala hapa hapa ikifika jioni nitaenda kwangu nijiandae kwa kwenda kazini” Aliongea Mash.

    Swali lile lile la kipindi kile lilinijia tena kwa mara ya pili. Iliniuma sana kusikia kuwa anaingia kazini usiku. Kwani niliamini kazi kubwa ifanywayo usiku ni ulizi na ukahaba tu na mbali na hapo ni ujambazi.

    “Kazi gani?” Nikamuuliza kimtego.

    “Inamaana ulinipata wapi Seif? Hujui kazi zangu tu hapa mjini?”

    Nikazungusha kichwa kukumbuka. Hakuna!! nikaunganisha matukio mawili kati ya matatu kuanzia nilipompata kwenye kigodoro mpaka getto kwake. Sikupata jibu.

    “Hapana sikumbuki wewe niambie tu ili iwe rahisi nikutembelee hata kazini kwako siku moja”

    “Utembee kazini kwangu? na hivyo vikahawa vyako? kazini kwetu huwa hatunywi kahawa ila kama utakuwa ukipitisha sigara na kondomu zitanunuliwa sana!!”

    “Unamaana gani sikuelewi Mash”

    “Ndio ujue sasa mimi najiuza na hii yote inanifanya nawalisha wazazi wangu huko Mtwara. Namsomesha mtoto wa marehemu dada yangu na pia najikimu kimaisha kwa biashara hiyo kila siku!!”

    “Unasemaje Mash?”

    “Unachoshangaa mwanaume wewe nini sasa? Na kwa taarifa tu toka nimeanza hii biashara sijawahi hata siku moja kwenda bila kondomu zaidi yako tulipokutana juzi na nilifanya vile kutokana na kuipenda mashine yako kwa jinsi inavyosaga nakukoboa. Nakupenda Seif na usije ukanifanyia mchezo mchafu tu wakutembea na wengine bila kutumia kondomu tena mijimama kama mimi. Kwanza niambie na wewe jana usiku hukulala na mwanamke kwenye kigodoro wewe? na ulitumia kondomu?”



    **********



    Kigugumizi cha ghafla kikaniteka. Kikanivuta nikavutika Khaswaa! Sikuwa na jibu maalum la kumpatia zaidi ya kuinamisha kichwa changu chini kwa muda. Moja haikai mbili inadunda dunda tatu ndio kabisa inaelea. Nikavuta picha ya jana yake usiku. Usiku ule wa kule Tandale kwenye vigodoro! Usiku ule wa yale majimama mawili yalivyokuwa yakinihamasisha. Nikahamasika mtoto wa Iringa vijijini kwa jimama limoja nakulipa kasuku wangu amfanye atakavyo. Picha ikajivuta zaidi kuwa sikutumia kondomu! Nikajutia!! Nikaumia sana tena zaidi ya sana!.

    Kuinua kichwa changu tu machozi malegevu yakanilenga lenga kupitia paji langu la uso. Nikajikaza! kaza!, Kaza tena waaapi!! Sikuweza kuurefusha mkono wangu japo usogee mpaka usoni. Machozi yakaniwahi, Purukuchu!! Yakawa yameshapitiliza katika shavu la kushoto likipokezana na la kulia, Yakadanda nakudondoka.

    “Seif si naongea na wewe? Uko kwenye kigodoro hukulala na mtu?”

    “Hapana sikuwa hata na mwanamke!!” Nilijitetea

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sasa kwanini ukae kimya kwa muda ndio unijibu? na hayo machozi vipi?”

    “Anhh!! mmhh!! mhhh!!, kunakitu nimekikumbuka ghafla uko kijijini nyumbani?”

    “Seif? Seif angalia?”

    Mash alininyooshea kidole kisha akajiweka sawa kwa kurudishia nguo zake nakuufungua mlango kwa kuubamiza. Hakusema kama atarejea. Hakusema neno lolote zaidi ya kuondoka akiwa katika hasira kali ametutumka kwa kuvimba mashavu.

    “Mash atakuja kuniua kwa hali hii? siku ya pili tu yupo hivi?”

    Nilibaki nikijisemea mwenyewe chinichini. Mash aliniacha katika wakati mgumu sana. Maneno yake yalipigana na ngome ya masikio yangu yakashindwa kunitoka. Maneno aliyonitamkia kuhusiana na biashara ya ukahaba anayodai inamuingizia kipato. Hata kama ungelikuwa wewe msomaji kamwe hakuna kitu kama hiki. Eti mpaka sasa hajaenda kavu? Ni mimi tu ndio nilifanya pasipo kondom. Kwa hili nakataa!! hapa tutaandamana kwa kweli!

    Nikiwa katika kuwaza nakuwazua mara mlango wangu ukafunguliwa tena kwa mara nyingine. Nilihisi Mash amerudi tena. Hapana!! Sura ya Jof ndio ilitokelezea!

    “Seif wewe ni noma? Noma tena zaidi ya sana”

    “Kwanini?”

    “Kwanza malizia kulia au futa hiyo michozi yako!”

    Haraka haraka niliyapikicha macho yangu nakusogea mpaka kwenye kitanda nakukaa. Vivyo hivyo na Jof na yeye akakaa pembeni yangu kitandani.

    “Ujue nilikuwa dirishani kwako muda wote ule nilivyotoka hapa nakusikiliza mzee mzima ukibabwaja! ila ujue nini Seif?”

    “Nini?”

    “Umezingua mwana!!”

    “Nimezingua? kwa kipi?”

    “Huwezi ukatoa michozi yote hiyo kwa demu tena ndani ya siku mbili tu? kwanini sasa ulie au ndio limashine lako kama anavyosema Mash nini?? haaa haaa haaa!!”

    Hasira kali zilinishika. Sikupenda utani kabisa katika maisha yangu japo vijiwe vingi nilivyokuwa nikipitisha kahawa na chai vilikuwa vikitaniana sana na hata kunitania kwa kawaida tu. Kwa pale nilikuwa mvumilivu kwa sababu ya kazi niliokuwa nikiifanya.

    “Jof? embu badilisha mada hiyo tupa kule!”

    “Hapana Seif!! wee mwana!! lazima tusemane ukweli. Lile jimama litakuua achana nalo, eti nimesikia likisema halijawahi kuenda kavu kavu na mtu yoyote zaidi yako? haa! haa! haaa!!, Chezea mchuzi wa pweza mjini wewe? huyo keshakutana na mijimashine zaidi ya analosema lako...

    “Joff??” Nilimkatisha maneno yake.

    “Niambie mzee wa majimama? Unasemaje?”

    “Nakuomba uende nyumbani niandae vitu kwa ajili ya kwenda kuuza. Angalia nina kahawa zinanisubiri kutengeneza. Jiko niwashe bado chai na muda unazidi kusonga. Heri yako wewe na kakibanda kako kakuuuza samaki”

    Maneno yale yalimuingia sana Jof. Hakusema neno lolote zaidi ya kukaa kimya. Kimya kama mtu aliong’oa jino la pembeni. Hata ile kuniaga, Hakuniaga!! alifungua mlango wangu na kutoka kimya kimya. Sikuweza kumsemesha kutokana na hasira kali nilizokuwa nazo.





    ******





    Siku nzima sikuweza hata kutengeneza hiyo kahawa wala chai. Jof alikuwa ameniharibia siku. Kitendo cha yeye kuondoka tu, nilisalimiana na kitanda changu nakukipa haki. Cheki ulivyoanza kushangaa!! hapa namaanisha nilipewa haki ya kukilalia. Nikapiga mbonji!! Usingizi ukanimeza. Tukamezana ndotoni!!

    Mpaka inatimia saa kumi na mbili ndio nilikuja kushtuka. Sikuweza kula hata mchana ulinipita nikiwa usingizini. Njaa ilikuwa imenyanyasa tumbo langu. Lilikuwa limedharirishwa na kugalagazwa vilivyo. Tumbo likalegea na kusinyaa. Uvivu ukanivaa. Uvivu wa kuweza kuamka kitandani nakutengeneza chochote. Baada ya muda mrefu nilijinyanyua kwa kujilazimisha. Nikainuka nakukaa kitandani.

    “Hapa nikatafute chakula tu!”

    NIlijisemea mwenyewe nakuinuka. Pesa kidogo ya matumizi yangu nikaivuta nakuingia mtaani kutafuta chochote ili tu tumbo langu lipate kuneemeka!

    Nikaanza kusoma mitaa. Kukata mitaa uku jua nalo likipishana na mwezi. Jua lile likazidiwa na mwezi kukawa giza. Giza gizale!!

    Mpaka nakuja kupata kile nilichokuwa nikikitaka muda ulikuwa umeshakwenda sana.

    Sikuweza kurudi getto kwani nilijua tu lazima Jof atakuja na safari zake za vigodoro au lile Mash atakuja na hivi alivyoondoka na hasira!! ndio sababu ilionifanya nisirudi mapema getto.Nilihitaji akili ikae sawa kwa kudhurula kwani vijiwe vingi nilivyokuwa nikiviuzia chai na kahawa vilipenda kuongelea maneno haya. Maneno ya kuweka akili itulie kwa kutembea na pia kukaa na watu tofauti.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tayari nilikuwa kama muhanga, Muhanga wa Starehe. Unajua ni starehe gani? La hasha!! Nilikuwa mhanga wa starehe ya mapenzi.

    Kiakili ni kama nilikuwa nikihama kutoka hatua fulani kwenda nyingine. Naweza kufafanua vizuri kabisa. Niliweza kutoka hatua ya kutumia sabuni na mafuta mazito kwa kujichua chooni mpaka kuweza kufanya ‘live’ usinicheke!! Vijana sisi wakiume lazima tupitie huko kama hujawahi nina wasiwasi na maumbile yako!

    Lile domo zege niliokuwa nalo kwa muda mrefu. Domo zege la kushindwa kuongea na mwanamke kuhusu mapenzi lilishakwisha kwenye vigodoro viwili mfululizo. Vigodoro vilinifanya nijiamini sana mbele ya msichana yoyote.

    Hatua ndogo ndogo nikazivuta. Nikajikuta nikiwa maeneo ya mbali kidogo na maeneo ya geto kwangu. Nilikuwa maeneo ya buguruni.

    Muziki mkubwa wa kwenye baa moja hivi sikuweza kulijua jina lake kwakuwa sikuweza kujua kusoma. Elimu yangu ya darasa la sita ilinitosha kujua mitaa tu tena ilioandikwa kifupi kwa lugha ya kiswahili.

    Baa ilikuwa imesheheni makelele ya muziki. Haikuwa kama hizi baa nyingine za mitaani. Vijana wengi wakike kwa wakiume walionekana kuranda randa hapa na pale. Kuna vibinti vidogo sana vilikuwa vimejifunika kanga vingine vikiwa katika nguo fupi navyo vilikuwepo.

    “Haaa!! na hivi bado havijalala mpaka sasa? Sasa hapa baa vinakunywa?”

    Nilijisemea mwenyewe baada ya kuviona vitoto vya kike vikiwa vingi kuzunguka ile baa. Kuna ambavyo vilikuwa vimevaa sketi fupi na vingine vikijifunika kanga tu.

    “Au leo kuna disko toto nini hapa?” Nilijiuliza mara mbili mbili pasipo jibu.

    Nikiwa bado katika mshangao wa hapa na pale mara kibinti kimoja kikanisogelea. Kilikuwa kimejifunika kanga. Kikaivua ile kanga nakubakiwa na kinguo cha ndani tu.

    “Unash ngapi?” Aliongea yule binti.

    “Unamaana gani?” Nilimuuliza kwa ukali.

    “Kembe wewe mgeni enhh??. Hapa nauza hii kwa bei nafuu!!” Alinivulia ile nguo ya ndani kabisa. Taharuki!! Macho yangu yakataharikika! yakakutana na vitu tofauti kidogo. Ni nywele nywele chache za kikubwa tu ndizo zilikuwa zikifunika eneo la sehemu zake za siri.

    Mwili wangu ukawa umeshabipiwa. Ukabipwika!! Moyo ukanidunda, kasuku akasisimka. Taratibu akaanza kuchomoa kucha zake. Mkia akatingisha. Akabisha hodi kwenye zipu ya suruali yangu. Nikamzuia kwanza!!. Kila nikikaangalia kale lkabinti usoni nilikaona kama ni katoto kadogo sana kwangu.

    “Unaweza wewe?” Nilikatania uku nikijiondokea zangu eneo lile.

    Kaliendelea kunifuata kwa nyuma nyuma. Nikasimama.

    “Shida yako nini kwani? Wee nipe hela twende pale fasta fasta nikuoneshe mziki wangu!!” Aliongea yule binti kwa mashauzi.

    “Muziki wangu? Unaujua wewe?? Nenda zako nitakuua wewe mie sitaki kesi mwenzako nina mashine kubwa sana nakuonea huruma”

    “Una mashine siyo? Sasa najitolea hela ya chumba pale!! nataka twende na kama ukiushindwa huu muziki unakilipia gharama zote”

    “Dharau! Dharau!! hanijui huyu mtoto enhh” Nilijisemea kimoyomoyo.

    Kila nikitaka kurudi nilisita. Nilikaangalia mara mbili mbili nakukaonea huruma.

    Nikayakumbuka maneno ya Mash na Jof juu ya kutumia kondomu popote pale.

    “Kondomu wanauza wapi” Nikakauliza.

    “Pale Pale tukiingia tu hapo hapo tunapewa chumba na kondomu. Nimeshakwambia ole wako uushindwe muziki huu. Hutoki!! nakwambia tena hutoki. Twende!! Twende” Aliongea yule binti uku akinishika mkono.

    Nilionesha kusita lakini kitendo cha kuniambia kuna kondomu wee unafikiri ningefanyaje muathirika wa mapenzi kama mimi. Muathirika niliokuwa nimezoea mafuta na sabuni kupiga puchu kila siku?

    Hatua kadhaa tulikuwa tayari tumeshafika nje ya lango na yule binti. Kalionesha ni machachari sana. Kalinishika mkono mpaka kaunta kuu ya kulipia chumba.

    “Haya mpe mia tatu ya kondomu!”

    Haraka haraka nilitoa chenji zangu za kuuza kahawa nikampatia yule jamaa. Akatoa kondomu kisha akataja namba ya chumba. Kale kabinti kalikuwa ni kenyeji. Kakanipeleka hadi chumbani. Tukaingia mpaka katika kichumba kidogo kilichokuwa na mwanga wa kutosha. Mwanga wa taa. Kadirisha kadogo sana. Kile kibinti hakikutaka masihara kabisa.

    “Haya changu weka pembeni kabisaa!”

    “Sasa si umeniambia mpaka nikishindwa?”

    “Pumbavu kweli wewe, nani anayetoaga *** bure hapa mjini? Weka changu hapa”

    Kalianza kuvua sidiria uku kakilalamika kwa sauti ya ukali. Matiti yake yalikuwa yamelala sana mithili ya kandambili zilizochoka. Nilibaki nikikashangaa sana kwa umbile lake na matiti yake. Ni wazi kalionekana kama kana watoto kama sio watatu basi wanne. Kakaendelea kuvua nguo zake. Kakatoa kisketi chake nakubakiwa utupu. Shanga nyingi za kiunoni zilikuwa zimekapamba vilivyo. Mapaja ya kuchanika nyama nyama yalikuwa yakikavutia. Kwa nje ukikaona ni kadoogo lakini kwa ndani ni lazima ungetoa mate kwa jinsi kalivyoumbika.

    “Ulisema sh. Ngapi?” Nilikauliza kwa kujiuma uma. Tayari mzuka ulikuwa umenipanda. Ulinipanda hata nikawa nashindwa kuhema vizuri baada ya kuona kile kitu adimu kwa sisi wakware.

    “Bei zetu nilishakwambia nafuu sana, kwa wewe nipe elfu 3 tu?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Elfu 3?”

    “Ndio unashangaa kwani hujui bei zetu? Wewe mgeni mazingira haya au unataka kuniongezea?” Aliongea yule binti.

    Nilibaki njia panda. Mguu nje mguu ndani. Ushamba wangu ulikuwa umepitiliza. Sikuwa natambua kabisa kuwa kumbe kuna vijisichana vilikuwa vikijiuza kwa bei ndogo sana. Bei chee!!

    Nikazitukana sana zile sabuni na mafuta zilizokuwa zikimuonea kasuku wangu kwa kumtapisha kila siku. Nikajutia hata vigodoro na mijimama yake.

    “Kwa hali hii kigorodoro bai bai!!” Nilijisemea mwenyewe uku nikitoa pesa nakukakabidhi kale kabinti tayari kwa kuanza kazi. Kakaichukuwa nakulala kifudi fudi uku kakinitanuliwa mapaja. Mwanuu!!

    “Haya pesa umetoa vaa kondomu tuanze”

    Masikini kidume mimi mjanja wa usiku mjinga wa mchana. Sikujua hata matumizi ya kondomu. Sikuwa najua ikivaliwa wala kuvuliwa zaidi ya kuonaga kiboksi chake tu tena kwa nje au kwenye zile muvi zetu zile za X tena mabandani. Sikutaka kumuonesha yule binti ushamba wangu wa kutokujua kuvaa na kutumia kondomu.



    ********



    Nilichukua hivyo hivyo nakuanza kuivaa uku yule binti akiwa chali akisubiria nimalize kuvaa tuanze kazi. Kazi ya kumdumbukiza kasuku wangu kwa mara ya kwanza akiwa katika magwanda. Kucha kucha zangu ukichanganyia na papara zilizochochewa na kasuku wangu nikajikuta nikishindwa hata kuchana kile kikaratasi.Nakachana vibaya. Kondomu ikararuka !! ikachanika vibaya. Haraka haraka nikaangalia kale kabinti kama kameshtukia kwa kuniangalia. Hapana!! kalikuwa kakiisubiri mashine yangu ianze kazi.

    “Bado tu!!, Muda wote unavaa tuu jamani!”

    “Namalizia nadumbukiza sasa hivi!”

    Sikuwa na ujanja zaidi ya kuivaa vile vile ile kondomu iliokuwa imeraruka vibaya. Kasuku akawa amependeza upande mmoja niliomvalisha ile kondomu. Japokuwa iliingia kwa shida kwa kasuku wangu. Nikalenga shimo nakumdumbukizia yule binti!

    Papara zikaanza sasa!! zikaaendelea na kuendelea!!. Mashine kila ikiingia inagota yenyewe kwenye mkia na miguu. Hakuwa mtoto wala binti kwa jinsi maumbile yake yalivyokuwa. Nilimuingiza kasuku wote kama mara sita saba kwa kuingiza na kutoa, utamu ukaja!!. Ukaja zaidi nikatoa bao. Ndani kwa ndani!! Kilichofuatia ni bonge la kibao kutoka kwa yule binti.

    “We weweee weeee!”

    Alinisukuma kwa nguvu nakunifinya kwa makucha yake.

    “Nini kwani?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwanini ukojolee ndani? Inamaana kondomu hukuvaa nilivyokuambia?”

    “Nilivaa si hii hapa!!” Nikamvuta kasuku wangu vizuri ili aione ile kondomu.

    Masikini ilikuwa imepasuka vibaya. Kama ingelikuwa ni ajali ya gari basi hapa lingekuwa ni nyang’anyang’a milango mpaka madirisha. Haikuwa kondomu halisi kwa muda huu. Kile kitendo cha kuivaa vibaya ukichanganyia na ukubwa wa mashine yangu uliiteketeza kabisa ile kondomu yote. Ikawa imepasukia zaidi ndani kwa ndani. Utelezi wote ukatoka!! ulimwagikia yule binti. Machozi yakaanza kumlenga lenga sambamba na mishipa ya hasira pembezoni mwa uso.

    “Niko katika siku zangu za hatari na leo sikuwa nimekunywa vidonge. Na hii tayari mimba!! mimba hii umenipachika mshamba wewe!! Sura kavu hivyo ndio nizae na wewe?? bora hata ungekuwa mzuri basi!! Haya na hapa utailipia kuitoa tu!! Nimechoka kuzaa zaa ovyo. Umeshaniharibia kila kitu sasa!!” Aliongea kwa hasira.

    Maswali yakanijia pasipo majibu.

    “Vidonge!! inamaana huwa wanakunywa vidonge, vya nini sasa?” Nikajiuliza mara mbili mbili kwa sauti ya chini. Ushamba ukaniteka nakunivaa!! NIkawa zezeta wa muda!!

    “Bado tu umeng’ang’ania kifuani mwangu, embu nitokee hapa!!. Toka hapa kaa pembeni??”

    “Sawa!” Nilimjibu uku nikijisogeza pembeni yake. Kimya!!

    “Hivi wewe?? hujui kufanya mapenzi enhh?? Si ungeniambia tu hujui kutumia hata kondomu ningekuvisha? Ndio mana lisura libaya ukakosa hata wa kukuachia uchi pumbavu wewe!! Mwanaume mzima ovyoo!! kondomu hujui kuvaa, kitandani huwezi kitu bado tu unaishi jijini?” Aliendelea kunisema.

    “Hapana!! mbona niliivaa vizuri tu”

    “Kwenda zako!! ! ungeivaa vizuri ingekuwa hivi wewe? Ona kikaratasi chake ulivyokitafuna sijui ni makucha kila pembe. Sasa ndio ulikuwa unataka ifungukaje? Haya hapa hii mimba imeingia ni lazima baada ya wiki niitoe tu. Kwenu wapi? Au twende ukanipe hela ya kutoa sasa hivi?”

    Kigugumizi cha muda kikaniteka. Kinaniteka sana! Lile domo zege la zamani likajirudia upya, Usinicheke!!. Nilishindwa kuongea chochote. Ule utamu wa mazingira mpaka vibinti vilivyo bomba ukaniishia. Nikahisi kama mtego nimetegeshewa. Lakini mtego kivipi wakati nilijileta mwenyewe tena kisingizio ikiwa ni tumbo la njaa. Nikaijutia sana ile njaa iliyoniamsha nakuranda randa mtaa mmoja baada ya mwingine mpaka kufika huku.

    “Kwangu mbali sana!”

    “Hata kungekuwa mbinguni? hapa siwezi kuendelea kufanya tena biashara kwa wengine wakati wewe ushaniharibu. Ushaileta mimba hapa!! ninachotaka unipatie hela leo leo sina mjadala la sivyo kitanuka hapa!!”

    Akili yangu ikaonekana kuzeeka na kurudi katika utoto. Kale kabinti kakawa kakivaa nguo yake moja baada ya nyingine uku kakionesha dhahiri kuvimba mdomo kwa hasira kali. Woga ulikuwa ni mwingi sana kwangu baada ya kunitamkia kuwa kitanuka hapa!! Ni wazi niliamini kenyewe ni kenyeji hivyo kangeweza kunizulia baya lolote. NIlibaki mtulivu japo nilitetemeka mikono hata suruali niliona kama ina shoti. Ile shoti ya umeme kabisa. Niliivaa uku nikitetemeka tetemeka. Kabla sijaipandisha juu kabisa yule binti akawa ameshamaliza kuvaa nguo zake akaniwahi kuishika suruali yangu kabla haijakubaliana na kiuno changu kuweza kuifunga. Sijakaa sawa akaliwahi na shati langu kwa chini. Akalishika mkono mmoja na mkono mwingine akiwa ameng’ang’ania suruali yangu.

    “Huvai kitu hapa mpaka tukubaliane kwanza!! unaenda kunipa hela yangu hunipi??”

    Nikiwa katika kujiuma uma yule binti akaniwahi kunishika suruali maeneo ya mifukoni. Akachomoa salio kidogo la mtaji wa kahawa. Halikuwa salio kubwa sana. Ilikuwa ni akiba yangu ya shilingi kama elfu 7 tu.

    “Hii nikijumlisha na hii Napata elfu kumi bado shilingi elfu kumi na tano”

    “Sikiliza nikwambie mimi sikujua na kwa hiyo inakutosha kabisa maana hata uko unakosema twende nyumbani ni mbali sana na hata hivyo sina pesa nyumbani”

    “Unasemaje? Hunijui nakwambia tena hunijui, ngoja nikuwashie moto sasa hivi!! nakinukisha eneo lote watajua nini kinaendelea sasa hivi!!, tulia sasa!!”

    Yule binti aliniacha nakutoka nje kwa hasira kisha akaufunga ule mlango kwa ufunguo mimi nikiwepo bado kwa ndani peke yangu. Nilibaki nikiduwaa nisijue cha kufanya. Yale machozi niliyoyatoa asubuhi kwa Mash yakajirudia tena kwa mara ya pili. Safari hii kwa haraka haraka niliweza kuyawahi kuyafuta.

    “Inamaana kabinti kadogo kama kale kanizidi akili? mimi? mimi Seif?”

    Nilibaki nikijisemea mwenyewe chumbani. Macho yangu yalikuwa yakiitazama ile kondomu niliokuwa nimeiharibu. Ilikuwa haifai kwa mchanganyiko wa uteute. Niliisogelea nakuishika. Nikainyosha juu kuiangalia vizuri kama kweli ilikuwa imechanika. Mbele hakukujulikana na hata nyuma hakukujulikana pia.

    Nikiwa bado katika kushangaa mara mlango ukafunguliwa.

    “Kaa kimya tena tulia paleee kwenye kona!!” Aliongea yule binti. Alikuwa ameingia na njemba moja hivi. Moja kwa moja nikujua huenda ni mteja wake. Nilifuata kama alivyokuwa akisema. Si kwa kumuogopa yule binti la hasha kwa njemba ambalo alikuwa ameongozana nalo. Nililiogopa sana! Lilikuwa njemba la haja. Mwili jumba kifua tenki la maji bichwa la treni.

    Tulii!! nilikuwa pembeni kabisa kwa kona ya kile chumba. Nilikuwa katika kushuhudia kifuatacho.

    “Yule achana naye ni fala tu wa humu ndani huwa anafanyaga usafi kila tukimaliza kazi zetu humu chumbani” Aliongea yule binti akimwambia yule njemba kuhusu mimi.

    Alikuwa akilivua shati lile njemba. Akalivua na suruali.

    “Shineeee!!” Niliongea mwenyewe kimya kimya.

    Lile njemba lilikuwa na mashine balaa. Si kimashine nilichokuwa nacho mimi. Nilibaki kumshukuru kimoyomoyo yule binti kwa kuangalia video ya bure pasipo kulipia uku nisijue namimi muafaka wangu wa kutoka kutokana nakuzuiwa na kibinti kidogo ndani ya gesti hii.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilibaki nikimsikitikia yule binti kutokana na shine aliokuwa nalo lile njemba. Yule binti akavua nguo zake nakubakiwa na chachandu tu kiunoni kama alivyonifanyia mimi. Akalala!! safari hii hakulala kifudifudi bali alilala chali mapaja akiyatanua.

    “Kondomu tafadhali, vaa!!” Aliongea yule binti akiliambia lile njemba.

    Sasa hapa nikawa najifunza kwa kuibia nione ataifunguaje nakuivaaje na pia nijue ni wapi nilikosea.

    Kwa taratibu lile njema lillichukuwa kikaratasi cha kondomu kisha likakichana kwa upande kwa kutumia mdomo wakati mimi nilitumia mikucha yangu kuchana ovyo. Likashika chuchu ya ile kondomu kisha likavalisha shine lake. Shine likavalika!!

    Likadumbukiza kwa kale kabinti. Kakakunja sura ya uvumilivu. Kakatoa mguno kumaanisha kuwa mzigo umemuingia khaswaa!! Kisawasawa!!

    Njemba lile likaanza kupiga pushapu za nguvu juu ya kifua cha kale kabinti. Milio ya kushindwa mikito kikaanza kuitoa. Haaaa!! jamaa halikuweza kwenda sana baada ya muda tu likawa limeshachoka hoi na lishine lake hoi. Kale kabinti kakachukua chake kakavaa nguo na lile njemba likaivua ile kondomu kisha likatoka nje nakuniacha na kale kabinti ndani.

    “Wewe hakuna kutoka mpaka nimalize kazi zangu zote twende kwako nikachukue changu. Hapa nafanya kwa sababu tu. Siwezi nikawalaza wanangu njaa!! Na hili jamaa lililotoka limeshaniumiza umeona mwenyewe. Haya inuka twende kwako!” Aliongea yule binti. Hakuwa akijielewa kabisa na hata mimi sikumuelewa. Pengine niliwaza hakuwa katika siku za hatari kama wasemavyo wanawake kuwa ni lazima upate mimba. Niliona kama kamenitegeshea tu!

    “Kwani unataka nikakuongeze shi ngapi?”

    “Elfu kumi na tano”

    “Nakuomba uniamini kesho nitakuja tena ili unipe na nitakuja na pesa zaidi sawa?”

    “We we weee!! jiji hili kuna kuaminiana kwenye pesa? Nani akuamini wewe? Inuka twende sasa hivi?”

    Kipindi hiki kalizidisha sana makelele. Kalikuwa kakiongea sauti ya juu sana. Nilianza kuingiwa kwa woga na aibu ndani ya eneo hili la chumbani. Kamwe sikupenda umati wa watu uweze kunishuhudia kwa chochote maishani mwangu.

    “Nyamaza basi umeeleweka twende” Niliongea kwa sauti ya chini kukapunguza sipidi ya kuongea. Kalikaa kimya tukatoka mpaka nje. Kitendo cha kufika tu nje kwa mbali upande wa baa nikashikwa na mashangao.

    Mash? Ndio alikuwa ni Mash jimama langu katika kinguo kifupi sana kilichoonesha mipaja yake wazi wazi. Kila mmoja alionekana kumshangaa mipaja ile. Alikuwa ameshikwa kwa begani na njemba lile lile liliokuwa likifanya mapenzi na binti huyu muda mfupi uliopita. Nilitamani sana nimsogelee karibu anione au nimchane makavu lakini kutokana na kung’ang’aniwa na huyu binti pili kutokana na kunidai niliona wazi ningedharirika mbele yake na jamii kwa ujumla.

    Mash akawa akija upande niliopo na lile njemba. Ni wazi walikuwa wakija kwenye vyumba vya gesti nilipotoka. Alikuwa akija kupewa haki! si unajua haki ya mapenzi. Alikuwa yupo mawindoni kama alivyosema shuguli zake. Nikiwa bado katika kumshangaa Mash uku na kule pale pale sikufanya ajizi nikamwangalia vizuri yule binti niliokuwa naye. Naye alikuwa amezubaa kwani wakati nikimsahangaa Mash yeye alikuwa ameshaanza maongezi na mteja mwingine pembeni yangu. Hapo hapo ukawa mwanya kwangu. Nikaporochoka!! nikamtoroka yule binti!! nikazunguka katika umati wa watu nakutokomea gizani. Nilipofika mbali nikayarudisha macho yangu nyuma nilipotoka. Yule binti hakuonesha kujali wala nini ndio kwanza alimshika mkono yule mteja aliokuwa akiongea naye nakuelekea naye kwenye ile gesti kuonesha kuwa kameshakubali kupewa tena haki.

    “Mhh kweli hili jiji, tembea uone!!” Nilijisemea mwenyewe kisha akili nikairudisha kwa Mash. Mash jimama langu.

    “Haiwezekani mpaka nijue kitakachoendelea hapa!!” Nilipingana kabisa na moyo wangu.

    Taratibu nikaanza kurudi kuelekea katika vyumba vile vya gesti lakini kwa upande wa nyuma yake. Lengo likiwa nikwenda madirishani mpaka nijue chumba alichokuwepo Mash na njemba lile. Kwakuwa madirisha yake yalikuwa ni madogo sana waliwezea kuyaacha wazi kila chumba. Nikaanza kulichungulia dirisha moja baada ya jingine. Nikakaona kale kabinti. Sikutaka kuona kakipewa haki tena. NIkaendelea kutafuta dirisha jingine mpaka nikafanikiwa kulifikia dirisha la Mash. Alikuwa ndio kwanza akiingia na yule mwanaume. Ile ile mipaja yake nilioishuhudia siku ile. Mwili wake na sauti ile ile yake niijuayo.

    “Kwani ni sh, Ngapi?” Aliuliza yule njemba alioiungia na Mash.

    “Na kondomu sh elfu 5 kavu elfu 10” Aliongea Mash.

    Sikutaka kuamini alichokuwa akiongea Mash. Nilihisi huenda ni Mash bandia lakini kila nikiunganisha maneno yake kuwa anajiuza na ndio kitu kinachomletea kusomesha na hata kuwalisha wazazi wake.

    “Chukuwa kumi hii nataka kavu” Liliongea lile njemba.

    Mash aliichukua ile pesa. Akaifinyanga kwenye mkono wake. Akasaula nguo zake zote nakuiweka ile pesa kisha lile njemba likaanza kufanya naye mapenzi. Roho ilioniuma sana. Ninapokuambia sana ni zaidi ya sana mpaka machozi nikikumbuka. Sikuamini kabisa kama Mash huyu niliyemfahamu kwa muda tena kwenye kigodoro, akanitorosha kwenye kigodoro na kwenda kunipa haki tena kavu kavu nakuniambia maneno matamu matamu. Mara hajawahi kuona mashine kubwa kama yangu na hiyo hapo ni nini?? hilo lijimashine kwa njemba tena kavu hujaliona tu. Mash wewe Mash wakati uliniambia kuwa hajawahi kwenda kavu ni mimi tu. Nilijilaumu nafsi yangu kwa muda.

    Nilijiona mjinga wa kuitikia na mjanja wa kufanya.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nirudi tu kijijini nikajifie kwa ukimwi. Mash kaniua kwa siku moja!” Niliongea mwenyewe uku machozi mengi sana yakiendelea kunichuruzika katika mashavu yangu. Nguvu zilinilegea. Sikuwa na ujanja tena. Kila nikitaka kuinuka nilikuwa nashindwa narudi tena chini. Nikajikaza kiume nakuinuka tena, Nikachungulia tena. Kuchunguia lile njemba likaongeza pesa nyingine kwa Mash. Mash akaligeuzia staili tofauti. Vijana wa sasa wanaita kichuma mboga, sijui mbuzi kagoma kwenda!!. Njemba halikutaka masihara. Likaanza kupakua bila wasiwasi hadi nikahisi huenda lilikafanyia testi kwanza kale kabinti kwa kukojoa fasta.

    Kwa Mash likaonekana kuridhika kwa mauno ya kwenye vigodoro. Likamaliza likaongeza dau tena. Safari hii likampatia Mash shilingi elfu thelathini.

    “Nataka na nyuma naruhusiwa? pesa hii!!” Liliongea lile njemba.

    “Usiwe na shaka ndio kazi yangu pakua tu!!” Aliongea Mash akirudia staili ile ile ya chuma mboga.

    Njemba likajidai kwa Mash kavu kavu. Likamfanya nyuma kwa makubaliano ya zile pesa. Nikazidi kuumia sana nakunyong’onyea tena. Nikalegea kwa mara ya pili mpaka chini.

    “Oooohhh Seif mimi naangamia!!”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ***********

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog