Search This Blog

Monday, October 24, 2022

JAMANI KAKA CHENI …NDIYO NINI SASA?! - 5

 





    Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?!

    Sehemu Ya Tano (5)



    Nilishtuka sana kusikia kaka Cheni akiwa na wasiwasi kwamba mimi nina mimba…

    “Kaka Cheni sina mimba. Na nikiwa nayo unadhani itakuaje?”

    “Mh! Ukiwa nayo msala. Wenye mimba wanapenda sana kula malimao na kutapika…”

    “Ndiyo maana ukaniuliza kama nina hamu ya malimao?”

    “Nilisema ili niujue ukweli maana ni soo.”

    Palepale nilimkumbatia kaka Cheni. Alikuwa na joto sana, joto zuri, nikahisi kama nipo kwenye maji ya bahari wakati wa jua la mchana.

    “Kaka Cheni…”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mm!”

    Hapo tulikuwa tumekaaa kitandani, miguu iko chini…

    “We wa joto sana…halafu mimi nina ombi moja.”

    “Ombi gani sista..?”

    “Kuanzia leo usiniite sista, niite baby na mimi pia nitakuita baby au sweet au darling…”

    “Hilo tu sista?”

    “Hilo tu darling,” nilimwambia, nikamkumbatia tena, tukaangukia kitandani puu!!

    Ukimya ukatawala, tukawa kivitendo zaidi. Ni denda, mabusu, kutazamana kwa karibu na kuachiana tabasamu. Ilifika mahali tukaanza kuzungumza lakini kwa sauti ya chini sana…

    “Baby,” nilimuita kaka Cheni…

    “Niambie sweetheart!”

    “Unanipenda?”

    “Sana…wewe je?”

    “Hata mimi mume wangu nakupenda sana,” nilimwambia hivyo kaka Cheni huku mkono wangu wa kulia ukitalii kifuani pake.

    Niliona nachelewa, nikaomba denda, nikapewa bila uchoyo, nikamtazama kaka Cheni kwa karibu zaidi, akaonekana mwili umeisha nguvu…

    “Darling,” nilimuita tena kwa sauti ya chini ambayo tulisikilizana wawili tu…

    “Baby.”

    “Kwa hiyo?”

    “Kuhusu nini sweet?”

    “Upo tayari kwa mechi tena?”

    “Yes dear, nipo tayari…wewe je?”

    “Jamani baby hivi unaweza kuuliza virungu polisi kweli?” nilimwuliza.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilipomwuliza hivyo, alicheka kisha alinivutia maungoni mwake na kunibusu.

    “Yaani baby kila unachonifanyia kinanisisimua kupita maelezo, sijui siku ukisafiri itakuwaje!” nilimwambia.

    “Kwa penzi tamu unalonipa, hata nikiambiwa niende Ulaya siwezi kwenda baby,” aliniambia kisha akanikumbatia tena.

    “Hodi wenyewe,” sauti ya mwanamke nje ilitukata stimu.

    Ilikuwa sauti ya mwanamke mmoja anaitwa mama Daudi…

    “Mzee Mteremko amefariki dunia kweli…msiba upo nyumbani kwake…baba na mama wameenda…watazika lini sijui,” alisema kaka Cheni, nikamsikia yule mwanamke akiondoka huku akiguna..!

    “Mh! Makubwa!”

    “Safi sana darling. Hawa watu wengine wamekaa kukata stimu wenzao.”

    Kaka Cheni aliachia tabasamu, nikalipenda sana, nikambusu, akanibusu! He! Kuja kushangaa, kaka Cheni ameniweka kitandani kamilikamili…

    “Sweet mlango haujafungwa ujue, tena uko wazi hata paka anaweza kuingia.”

    “Nani ataingia baby? Acha woga wewe.”

    Mechi ya safari hii ilikuwa balaa, kaka Cheni  nadhani baada ya kuwekeana mikakati ya kuitana baby, darling, sweet akataka kunioneshea sasa.

    Ilikuwa shughuli pevu, mlio ulikuwa wa kitanda tu. Kila mmoja alijituma, kaka Cheni mara aniweke vile, mara hivi huku na mimi nikimpongeza mwenzangu maana ukishikwa, shikamana!

    Lakini kuna wakati nilipokumbuka kwamba mlango haujafungwa, nilikatika stimu lakini nilipopuuzia mawazo hayo, kazi ilipamba moto.

    Nilimshangaa kaka Cheni akatoka uwanjani ghafla, akaenda kuwasha taa japokuwa ilikuwa mchana na dirisha lilikuwa wazi…

    “Taa ya nini baby?” nilimuuliza ili nijue. Hakunijibu, alirudi na kuendelea na mpira.

    Ilifika mahali nikawa napiga mpira huku namwongelesha kaka…

    “Baby kwa nini tusiende kupanga chumba mahali tukawa tunakwenda kukutania huko ambako tutakuwa na uhuru mkubwa kuliko hapa tunakuwa na wasiwasi..?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/-

    Kabla sijamaliza kusema, ghafla mlango ulisukumwa bwana…

    “Haa! Baby tumefumaniwa…Mungu wangu jamani…” nilisema hata kabla sijamwona huyo aliyesukuma mlango…



    Wote, mimi na kaka Cheni tulikaa kitandani huku mimi nikitafuta kanga yangu na kujifunika kifuani. Tulikaza macho mlangoni lakini hatukumwona mtu…

    “Bro, atakuwa nani?” nilimuuliza.

    “Sijui, ngoja nitoke nje,” alisema kaka Cheni.

    “Nyau,” paka alilia ndani chumbani kwa kaka Cheni. Tuliangaliana na kucheka sana. Kumbe ni paka bwana ndiye aliyesukuma mlango.

    Kaka Cheni alitoka kitandani, akaenda kumfukuza kisha akafunga mlango kwa funguo kabisa.

    Mimi bado mapigo ya moyo hayakukaa sawasawa kwani nilijua tumefumaniwa na watu wawili. Kama si baba, basi ni mama. Majirani sikuwafikiria sana. Hakuna jirani mwenye uwezo wa kuingia ndani bila hodi, tabia hiyo ni ya mama zaidi.

    “Baby ngoja nitoke,” nilimwambia kaka Cheni, akanizuia eti nisitoke kwanza ule ndiyo muda wa kula raha katika maisha yetu.

    “Siko sawasawa hata kidogo. Moyo unadunda bado. Mwili uko kama umeteguka, sasa nikisema niendelee kuwemo humu nitakuboa tu sweet…”

    “Mi wala hutaniboa,” alisema kaka Cheni na kunikumbatia kwa nguvu zake zote. Nasema nguvu zake zote kwa sababu alinibana sana mpaka nikahisi navunjika mifupa.

    Kaka Cheni aliniomba tulale lakini bila mchezo, nikakubali. Tulilala wote. Mimi niliangalia ukutani, yeye akaniangalia mimi.

    Kusema ukweli hadi leo hii nikikumbuka nakosa jibu la moja kwa moja kwamba tulikuwa tunajiamini nini! Tulipitiwa na usingizi wa fofofo. Wa kukoroma alikoroma wa kugugumia alifanya hivyo.

    Kuja kushtuka, ni saa kumi jioni kwa mujibu wa saa ya kwenye simu yangu…

    “Sweet,” nilimwita kaka Cheni, naye akashtuka na kuitika…

    “Unajua sasa ni saa kumi jioni?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/-

    “Kweli? Ina maana tumelala zaidi ya saa nne? Si tumelala kuanzia saa sita mchana?”

    “Ndiyo maana yake.”

    “Lo! Hapa tujiangalie sana. Si ajabu mama au baba wamekuja, wamegonga mpaka wamechoka na wamekaa hapo nje,” alisema kaka Cheni.

    Ni kweli hata mimi nilikubaliana naye kwamba, ilitakiwa kuangalia mazingira ya nje kwanza.

    Kaka alitoka kitandani, akavaa bukta, akatoka nje. Ukimya uliniambia hakukuwa na mama wala baba.

    Mara, kaka Cheni aliingia ndani akakaa kitandani huku akipigwa mwayo…

    “Una njaa baby?” nilimuuliza kaka Cheni…

    “Sana, kapike chakula bwana.”

    Nilitoka, nikaenda jikoni kuandaa chakula. Ni cha mchana ingawaje ilikuwa jioni. Nilipika ugali na samaki wa kukaanga ambao walishakaangwa ilikuwa ni kuwapasha moto tu.

    Mimi nikiwa jikoni, kaka Cheni alikuwa bado chumbani. Wakati natoka nilimwacha amelala kwa kujitupa, njaa hiyo!

    Baada ya chakula kuiva, nilikiingiza chumbani kwake badala ya sebuleni…

    “Amka ule msosi mume wangu,” nilimkaribisha chakula kaka Cheni.

    Aliamka, chakula niliweka kwenye stuli. Tukakaa kitandani wote, nikamnawisha nikanawa lakini naye alinawa. Nikaanza kumlisha kama mtoto wangu…

    “Kula baby…kula ushibe,” nilimwambia kaka Cheni.

    Tulikula chakula wote, tulipomaliza nilitoa vyombo, nikarudi chumbani kwa kaka Cheni. Hapo ikumbukwe kwamba tangu kutoka chumbani kwangu asubuhi sikurudi tena.

    “Sweet tukaoge sasa halafu tulale au unasemaje?” nilimshauri kaka Cheni…

    “Yaani umeniwahi, nilitaka kukwambia hivyohivyo,” naye alisema.

    Nilimshika mkono akasimama akiwa bado ndani ya bukta. Ile tunafika mlangoni tu, demu wake anaitwa Rozimina akaingia…

    “He! Mtu na kaka yake mmeshikana mikono kulikoni?” aliuliza Rozimina huku uso wake ukionesha maswali kibao na wasiwasi pia. Maana mimi nilikuwa ndani ya kanga moja tu! Kaka Cheni bukta tu halafu tunatoka chumbani. Hata ungekuwa wewe ungefikiria vibaya.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwani we’ unafikiria nini?” nilijikausha na kumuuliza Rozimina…

    “Nyie ndiyo mnajua, mimi nitafikiria nini? Cheni,” Rozimina alisema kisha akamwita jamaa yake…

    “Unasemaje?”

    “Mlikuwa mnafanya nini na sista ‘ako chumbani?”

    “Rozimina swali gani hilo kwa dada yangu?” kaka Cheni alimjia juu.

    “Dada yako ndiyo mnatoka chumbani hivyo Cheni. Angalia bukta yenyewe ilivyo, hebu we dada mtu jiangalie nywele. Hakyamungu vile nyie mlikuwa mkifanya tendo baya sana…lakini wewe Cheni huyu Eva si mdogo wako!”

    Nilianza kuhisi Rozimina anaweka kiwingu, nilimwangalia kwa hasira sana, nikamwambia…

    “Hivi wewe Rozimina kama sisi ni wapenzi wewe inakuhusu nini? Si sisi wenyewe…sasa kwa taarifa yako hatuachani.”

    “Ha! Eva, unakiri kutembea na kaka yako? Huoni aibu? Cheni…ama kweli we kiboko…nakuja kumwambia baba yenu,” alisema Rozimina akitoka huku akilia kwa kwikwi…

    “Rozimina…we Rozimina,” kaka Cheni alimuita, hakuitika…

    “Sista unajua atakuja kusema kweli kwa baba…”

    “Aseme, ana ushahidi gani?”

    “Si vile ulivyomjibu…”

    “Ah! Aende zake huko.”

    Mara, tukamwona Rozimina anarudi akiwa ameshikiliwa mkono na mama…



    We Cheni, huyu Rozimina analia nini?” mama alimuuliza kaka Cheni, mimi mapigo ya moyo yakapanda…

    “Hata mimi sijui mama, kaja hapa analia, akaondoka analia.”

    Rozimina alibaki ameduwaa tu kwani alijua kuwa, akisema linalomliza angeuharibu ukoo wetu. Alijua mama asingekaa kimya kusikia mimi binti yake natoka na kaka yangu wa damu. Nilianza kujuta kumjibu Rozimina vile.

    Nilionesha dalili zote za upole maana Rozimina kila wakati alikuwa akiniangalia mimi kwa macho makali na ya kunisuta…

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Au mama amekupiga nyumbani?” mama alimuuliza Rozimina…

    “Hata…”

    “Sasa nini?”

    “Au Cheni amekufokea?”

    “Hata.”

    Labda niseme kidogo kwamba, katika wanawake wa kaka Cheni, sijui kwa nini Rozimina alikuwa akimkubali sana, sijui kwa nini!

    “Basi nenda nyumbani kapumzike,” mama alimshauri Rozimina.

    Nilimwona Rozimina akiondoka huku akiniangalia mimi zaidi kuliko kaka Cheni na kuliko mama…

    “Mbona unamwangalia sana huyu? Eti wewe mbona anakuangalia sana, umemfanya nini?” mama alituuliza wote…

    “Mimi sijamfanya lolote mama ila labda kama yeye ana kero yake kwangu. Lakini si umeshauri aende akapumzike. Rozimina nenda tu,” nilisema nikamshika mkono na kutoka naye.

    Moyoni nilijutia sana kitendo changu cha kumjibu Rozimina vile kwamba mimi na kaka Cheni asituingilie. Maumivu yake yalikuwa hapo akizingatia sisi ni ndugu wa damu moja…

    “Rozimina, mimi na kaka Cheni hatuna uhusiano wowote. Kunikuta nimevaa kanga moja tu wala si ishu. Niliingia kwake kumpa funguo za chumbani kwa mama maana mimi nataka kwenda kuoga ili nitoke na mama alienda msibani, usinifikirie vibaya Rozimina,” nilimwambia. Ndiyo kwa mbaaali nikamwona kama ananielewa, akaachia na tabasamu…

    “Lakini wifi hata ungekuwa wewe usingenielewa mfano uje nyumbani halafu unikute katika mazingira tata na kaka Johnson halafu nikujibu vibaya.”

    “Nimekuelewa Rozimina,” nilimkubalia kwa sauti ya ‘yaishe basi jamani!’

    Hapo tulikuwa mbali na nyumbani na kilichotokea, Rozimina aliondoka akiwa na furaha tele na mimi nikarudi nyumbani nikiwa na furaha.

    Nilimkuta mama anatoka tena…

    “Wewe uangalie nyumba. Sisi haturudi leo, nilikuja kuchukua hela tu aliniagiza baba yako. Nimefurahi sana wanangu nimewakuta mpo nyumbani wote. Kuzurura hakufai wanangu jamani muwe mnasikiaga!”

    “Sawa sisi tumekuelewa sana. Kwanza nimegundua sijui kwa nini nilikuwa mtembezi wakati naweza kutulia hapahapa nyumbani mama ‘angu,” alisema kaka Cheni.

    Mimi moyoni nilisema…

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mama mngejua, mngeturuhusu tu kwenda kuzurura, yanayofanyika hapa nyumbani mama ni makubwa sana. Usijeshangaa mimi nabeba mimba hapahapa.”

    “Na wewe unasemaje? Kaka yako ametambua makosa yake na baba yake nitakwenda kumwambia kwamba Cheni amebadilika, nimemkuta nyumbani. Wewe je?” mama aliniuliza mimi…

    “Mama hata mimi kama kaka Cheni. Kwanza unajua mama mimi si mzururaji sana kama alivyo kaka Cheni…”

    “Siyo kama nilivyo, kama nilivyokuwa,” kaka Cheni alidakia hata kabla mimi sijamaliza…

    “Ee…kama ulivyokuwa zamani. Kwa hiyo hata mimi mama sitakiwi kuwa msichana wa kutokatoka.”

    “Nimefurahi sana wanangu, mlale salama. Ila kesho mchana we Cheni uje kuzika.”

    “Sawa mama.”

    Mama alipoondoka tu, kaka Cheni akanifuata, akanikumbatia kwa nguvu na kunipiga busu akisema…

    “Mke wanguuuuu…”

    “Niambie mume wangu,” na mimi nilisema hivyo.

    Usiku uliingia, nikapika, kaka Cheni alikaa kwenye kiti anachopenda kukaa baba wakati akisubiria chakula. Eti tulijifanya mimi mama, yeye baba…

    “We mama Cheni,” aliita kaka Cheni…

    “Abee mume wangu…”

    “Hicho chakula bado tu jamani?”

    “Baba Cheni sasa hivi unakula.”

    “Harakisheni bwana, njaa inauma sana, mchana sikula.”

    “Sawa baba Cheni.”

    ***

    Tulimaliza kula, kila mmoja alikwenda kuoga tukaweka mjadala kwamba, wapi tunalala usiku huo. Chumbani kwa kaka Cheni au chumbani kwangu…

    “Mimi nataka chumbani kwako kaka Cheni. Kitanda chako hakipigi kelele kama changu,” nilitoa wazo na sababu…

    “Hapana, tulale kwako. Dirisha lako kubwa hewa inaingia, si unajua shughuli ya leo ni nzito kuliko zote. Kwa mara ya kwanza tunalala wote mpaka kesho asubuhi.”

    Tulikubaliana kulala kotekote. Chumbani kwa kaka Cheni kwa sababu kitanda chake hakipigi kelele mpaka saa sita usiku halafu kuanzia hapo tunaingia chumbani kwangu mpaka asubuhi maana dirisha ni kubwa linaingiza hewa vizuri.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Tulipanda kitandani kwa kaka Cheni. Tulikuwa tunavuta kasi ya msisimko kwanza,  nje dirishani kwake tukasikia mtu amekanyaga bati likatoa mlio.



    Kuna mtu amekanyaga bati kaka Cheni,” nilimwambia kwa sauti ya sikioni.

    “Ni kweli,” na yeye alinijibu.

    Tulijua mtu amekanyaga bati kwa sababu nje ya dirisha la kaka Cheni chini kuna bati lilifunikiwa matofali. Sasa baada ya matofali kuondolewa, bati liliendelea kubaki palepale.

    “Atakuwa nani?” nilimuuliza nikiwa nahema kwa kasi.

    “Sijajua,” alinijibu kaka Cheni.

    Tulikuwa tumekumbatiana tukaachiana, tulikuwa tumelala kwa kuangaliana, tukalala kuangalia juu.

    “Isijekuwa baba,” nilimwambia kaka Cheni…

    “Labda.”

    Nilianza kumwona kaka Cheni kama mwanaume asiye na ujasiri kwani alichotakiwa kuniambia ni kunipa neno la kunipa moyo na si kuniongezea wasiwasi. Angeniambia ‘hapana, hawezi kuwa baba, labda kibaka tu’ ningemwelewa kuliko kusema labda.

    Nilitaka kutoka kitandani ili kwenda dirishani kuchungulia nje lakini kaka Cheni akanishika mkono na kunirudisha nilale vilevile…

    “Lala,” aliniambia.

    “Sasa tutajua ni nani?”

    “Mimi nimekwambia sijui.”

    Mara tukasikia ishara ya mtu kuhema. Ilionekana alikuwa amesimama dirishani kabisa.

    “Muulize we nani?” nilimwambia kaka Cheni.

    “Hapana, acha tuone mpaka mwisho wake. Itajulikana tu wala usiwe na wasiwasi.”

    “Da! Anatukata stimu huyo mtu, natamani iwe ndoto, awe ni kibaka na si baba wala mama,” nilimwambia kaka Cheni.

    Kule kuhema kulipotea kidogo lakini haikuonekana kuwa huyo mtu ametoka dirishani kwani angekuwa ametoka lazima angetembea na bati lingelia.

    Licha ya kuwa katika hali hiyo, kaka Cheni alileta mkono wake hadi akashika nido zangu na kuzichezeachezea lakini mi mwenzake wala! Hapo nilikuwa nawaza aibu ya mbele yangu.

    “We kaka Cheni huoni kuwa ni hatari kwetu? Kwa nini tusikae tukawaza namna ya kujinasua kwanza?”

    “Cheni,” sauti ya kike iliita kwa mara ya kwanza tangu tuanze kusikia mishemishe za nje. Alikuwa yule demu wa kaka Cheni, Rozimina.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/-

    Kaka Cheni hakutaka kuitika, akaniminya mimi kwa nguvu kama vile kunifinya…

    “Usiseme chochote kile mpaka aondoke mwenyewe. Saa hizi anakuja kufanya nini, tena bila taarifa…”

    “Ndiyo nashangaa na mimi,” nilishadadia mimi maana simpendi kabisa huyo msichana. Yaani nilihisi kama anakuja kuniletea kauzibe kwa kaka Cheni…

    “We Cheni…Cheni,” alizidi kuita.

    Alipoona kimya kimetawala akaamua kugonga dirisha kabisa…

    “Ngo ngo ngo ngooo!”

    “Nyamaza kimya sista,” kaka Cheni alisemea masikioni mwangu ambapo naamini nilisikia mimi tu.

    “Yaani Cheni upo ndani halafu hutaki kunifungulia mlango siyo? Sawa bwana.”

    Tukasikia akitembea kutoka kwenye eneo hilo lakini cha ajabu, baada ya sekunde tukasikia akigonga kwenye dirisha langu huku akiita…

    “We wifi…wifi…wifi.”

    Nilikasirika sana. Nilitamani nimtokee hukohuko na kumpa maneno yake ili akome kabisa.

    “Baby, unamsikia huyo mtu wako?” nilimuuliza kaka Cheni.

    Afadhali safari hii niliweza hata kumuita baby kwani moyo wangu ulitulia baada ya kubaini si baba wala mama aliyekuwa akitembeatembea nje ya dirisha…

    “Yaani wifi hata wewe unanifungia vioo, sawa bwana,” alisema Rozimina na kuondoka zake.

    Lakini nilimwambia kaka Cheni kwamba, huenda Rozimina hajaondoka basi amesimama nje akisubiri lolote…

    “Mpuuzi yule, mimi sitoki na wala wewe usitoke. Yeye anadhani mimi napatikana tu wakati wowote ule. Alitakiwa kuja kwa kutumia mawasiliano.

    “Sasa itakuaje?” nilimuuliza huku nikigeuka na kulala nikimwangalia yeye wakati yeye bado alikuwa amelala akiangalia juu. Nilimpapasapapasa sehemu ya kifuani ili kumwamsha hisia zake kwangu japokuwa nilijua bado alikuwa nazo…

    “Itakuaje nini sasa?”

    “Hatujui kama kaondoka au bado yupo. Kitanda kikicheza si itajulikana tuko wote na nini kinaendelea?”

    “Ah! Achana naye yule bwana. asituvurugie mambo yetu.”

    Kauli ya kaka Cheni ilinipa ujasiri mkubwa sana, nikaanza naye mimi mwenyewe. Niliinuka, nikamwegemea vizuri, nikamchezea kwa kumgusagusa kama najaribu mwili wake una joto la kiasi gani!

    Wote tulibadilika, tukaleta akili zetu pale kitandani, tukahamasishana mpaka tukaingia uwanjani.

    Tulijiachia bwana, kwa raha zetu. Sisi ndiyo sisi hakuna mwingine. Mpaka kipindi cha kwanza tunaingia mapumzikoni hakuna aliyeshughulika na Rozimina ili kujua kama aliondoka au bado alikuwa pale na kama alikuwa yupo, ilikula kwake maana tulikidhibiti kitanda kisitoe ushirikiano kwa mtu aliyekuwa nje ya chumba.

    Baada ya hapo tulilala kwa ahadi ya kuamshana ikifika saa sita ili tuhamie chumbani kwangu kama tulivyokuwa tumekubaliana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini tulilala mpaka tukajikuta tunashtuka kukiwa kumepambazuka…

    “Ha! Baby, kumekucha,” nilisema nikikurupuka na kutoka kitandani.

    Nilifungua mlango na kuingia chumbani kwangu na kujitupa. Hata kabla sijaanza kupitiwa tena na usingizi wa asubuhiasubuhi, mama aliwasili. Alinigongea, nikatoka, nikamsalimia, akaingia ndani kwake.

    Kulikucha kabisa, jua lilichomoza, mama alirudi msibani akisema mazishi ni siku hiyo kwa hiyo akasema kaka Cheni aende baadaye.

    Ile mama anakata ukuta tu, mimi nilitoka mbio mpaka bafuni, nikatapika sana huku nikimwita kaka Cheni. Safari hii ilikuwa siyo kawaida, kwani na kizunguzungu juu…

    “Sista vipi tena..! Eee? Vipi sista?”



    Natapika,” nilimwambia kaka Cheni nikiendelea kutapika.

    “Unajisikiaje kwani?”

    “Kichefuchefu kaka Cheni…tumbo kama linavurugika hivi…”

    “Mh! Mimba?”

    “Nahisi hivyo kaka Cheni,” niliamua kumjibu hivyo moja kwa moja kutokana na nilivyokuwa najisikia…

    “Hee! Sista inaweza kuwa kweli? Itabidi kutoa,” alisema kaka Cheni nikamwona kama adui wa familia yangu kwani kwa kipindi hicho katika kitu nilichokua nahitaji ni mtoto.

    “Ha! Kaka Cheni, nitoe mimba?”

    “Una maana gani? Yaani uzae na mimi?”

    “Ubaya uko wapi?”

    “Mh! Sista unaumwa na hauko sawasawa?”

    “Niko sawasawa.”

    Hapo kidogo sasa nilikuwa nimeacha kutapika. Nikawa nahema tu huku nikitweta kwa kasi ya ajabu. Nilihisi maumivu ya tumbo ya kupita kawaida.

    Kaka Cheni alinisimamisha na kunipeleka chumbani kwangu huku akinipa pole.

    Ile anatoka tu, hajamaliza mlango, mama akaingia…

    “Wewe chumbani kwa dada yako unaingia kuchukua nini?”

    “Shikamoo mama…dada alikuwa anatapika kule bafuni ndiyo nikaenda kumchukua na kumrejesha ndani,” nilimwambia…

    “Nini tena, malaria ama nini?”

    “Mimi sijui mama.”

    Mama aliingia chumbani kwangu akasimama akiwa amejishika kiuno…

    “Unasumbuliwa na nini binti yangu?”

    “Tumbo mama.”

    “Tumbo linafanyaje?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Linasokota.”

    “Ndiyo ukatapika?”

    “Ndiyo mama.”

    “Linakata?”

    “Limekuwa kama limevurugika!”

    Mama alinipa pole, akaenda nje na kumwita kaka Cheni…

    “Kamtafutie dawa dada yako. Nenda dukani kawaambie anaumwa tumbo la kuvurugika na anatapika.”

    Kaka Cheni hakutumbukiza neno lakini najua akili zilikuwa si zake kwa wakati huo. Yeye alikuwa hataki mimi nizae na yeye na mimi sikuwa nalilia kuzaa na yeye bali nilikuwa nalilia kuwa na mtoto bila kujali baba ni nani.

    Kaka Cheni akiwa ameondoka, alinitumia meseji…

    “Hiyo mimba lazima tuitoe sista. Ni hatari sana kwetu.”

    “Hakuna hatari yoyote kaka, we unahisi hatari iko wapi?”

    “Ukiulizwa mimba ni ya nani utasemaje?”

    “Si nitakutaja!” nilimtania tu hapa ili nimsikie atasemaje!

    Hakujibu meseji hiyo bali alinipigia simu lakini sikupokea maana mama aliingia na kunipa maagizo…

    “Mimi nimekuja tu kuwaona, narudi msibani. Kama tumbo litachachamaa nipigie simu nirudi nikupeleke hospitali mwenyewe.”

    “Sawa mama.”

    Alipoondoka tu, nilimpigia simu kaka Cheni…

    “Hivi wewe una akili kweli au ni kichaa tayari kwa sababu ya kutapika mara moja tu?”

    “Kwa nini baba kijacho wangu?”

    “Haa! Nani baba kijacho wako sista?” alinijia juu sana.

    “Si wewe.”

    “Weee…weee! Koma. Sasa nakwambia kwamba nikirudi nakupiga mangumi tumboni mpaka kitoto chako kife.”

    Sauti ya kaka Cheni haikuashiria kwamba anatania kwani alikuwa akihema kwa kasi za hasira.

    Mimi niliamua kukata simu na kuanza kutafuta mbinu mbadala za kuhakikisha kaka Cheni hapati nafasi ya kunikaribia hata kwa mita moja toka nilipo.

    Baada ya kama nusu saa alirudi akiwa ameongozana na Rozimina…

    “Mambo wifi yangu, nasikia unaumwa?”

    “Si sana kiasi cha kuja kujuliwa hali,” nilimjibu kwa hasira. Lakini nilijua kaka Cheni hana ubavu wa kumweleza kwamba huenda nina mimba…

    “Zaidi nini?”

    “Homa tu…”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ya matumbo?”

    “Eee,” nilimjibu mbovumbovu nikitamani nimwambie aondoke chumbani kwangu. Hapo alikuwa amekaa kitandani mimi nimelala si kwa kuumwa, bali kwa uchovu wa usiku kucha na kaka Cheni kitandani.

    “Shika maji na dawa zako,” kaka Cheni aliniambia kwa mkato huku akinipa glasi yenye maji kama aliyetaka kunisusia…

    “Sasa baby mbona unampa dawa mgonjwa kwa hasira?” Rozimina alimuuliza kaka Cheni.

    Kwa mara ya kwanza tangu nimeanza kumjua Rozimina ndiyo nilimwona ni mtu mwema kwangu siku hiyo tu na dakika hiyo tu. Lakini alinikera kumwita kaka Cheni baby.

    Nilikunywa maji, nilipomaliza nikamshukuru na kumrudishia glasi maana alikuwa amesimama akiisubiri…

    “Asante sweet,” nilimshukuru.

    Rozimina alishtuka sana, akaniangalia kisha akamwangalia kaka Cheni…

    “He! Kumbe nyie ni mtu na sweet wake?” aliuliza…

    “Ubaya uko wapi? Kwani neno sweet maana yake nini?” nilimpaka maneno Rozimina…

    “Mimi najua sweet ni watu wanaopendana…”

    “Kwa hiyo mimi na kaka yangu tunachukiana siyo?”

    “Mtajua wenyewe lakini siyo kumwita sweet. Mi nadhani wewe wifi unanifanyia makusudi flani hivi, nimekuona tangu majuzi.”

    Kaka Cheni alikuwa tayari nje amepeleka kikombe kwa hiyo malumbano yetu alikuwa anayasikia lakini kwa mbali.

    Ghafla akaingia, akaja kitandani nilipolala huku akisema kwa sauti ya juu…

    “Sista mimi nakuua…nakuua kweli,” akaanza kunipiga mangumi ya tumboni…

    “Ha! Baby… nini tena? Kutupiana kwetu maneno wala hakuna uzito wa wewe kuchukua hatua ya kumpiga dada yako mangumi ya tumboni kiasi hicho,” alisema Rozimina huku akimshika mkono kaka Cheni ambaye aliniachia…

    Nililia huku nikimwangalia kwa hasira, nikamwambia ukweli kutoka moyoni…

    “Narudia tena kaka Cheni, nasema sitoi hata uniue.”



    MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog