Search This Blog

Monday, October 24, 2022

JAMANI KAKA CHENI …NDIYO NINI SASA?! - 4

 





    Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?!

    Sehemu Ya Nne (4)





    “Jamani kaka Cheni, usinifanyie hivyo,” niliongea huku nikimsogelea karibu zaidi na kumkumbatia.

    Lakini bila kutegemea kaka Cheni aliniweka pembeni.

    Eti akaniambia atarudi msala huo ukipoa. Nilijaribu kulalamika nikimsihi asifanye hivyo lakini alikataa. Akasogea hadi mlangoni kwa kunyata, kisha akaufungua mlango na kutoka kwa tahadhari. Mara nikasikia mlango wa nyumba kubwa nao ukifunguliwa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Nilishtuka sana, nikatoka kitandani na kwenda hadi mlangoni nikijua kaka Cheni anadakwa na baba au mama.

    Niliufunga mlango wangu polepole sana ili aliyetoka asijue kama mlango ulikuwa wazi…

    “We Cheni unatoka wapi muda huu?” ilikuwa sauti ya mama ikimuuliza kaka Cheni…

    “Kutembea mama.”

    “Kutembea?! Hivi wewe unataka uwe unaambiwa kwa njia gani lakini? Si jana tu baba yako ametoka kukwambia hataki kukuona ukitembea usiku!”

    “Nilikwenda kumtazama rafiki yangu mmoja anaumwa mama.”

    “Nani?”

    “Mtoto wa mzee Abdallah Mzee.”

    “Wewe unamtafuta baba yako,” nilimsikia mama akisema huku akitembea kuja usawa wangu. Mlango wangu uligongwa…

    “Ngo ngo ngo!”

    “Nani wewe?” nilijifanya kuuliza kwa sauti ya kutoka uzungizini huku nikipiga mwayo…

    “Ulikuwa unafungua mlango ulitaka kutoka?” alisema mama. Niliguna kwanza…

    “Mh!”

    Kisha nikamjibu…

    “Hapana mama.”

    “Mbona mlango wako ulikuwa unalia kitasa?”

    “Mh!” niliguna tena mwenyewe.

    Nikajiuliza…

    “Ina maana mama alisikia kitasa cha mlango wakati nafunga funguo…

    “Kweli mama ni kiboko,” nilisema moyoni.

    “Mama sijataka kutoka,” nilisisitiza huku nikiwa najikunja ili nilale vizuri.

    Mama aliingia ndani kwake, akafunga mlango.

    Sasa nikawa najiuliza, nimcheki kama Cheni kwenye simu au? Maana aliniachia njiani. Lakini moyoni nikawa nasema sitakuwa na amani kwani ilionekana kama mama au baba mmoja wao alikuwa na machale na ndiyo maana mama alitoka.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Machale yenyewe ni kumfuatilia kaka Cheni kama anatoka  kwenda kutembea au la!

    Nikiwa nawaza, meseji kwenye simu yangu ikaingia, nikaifuata simu kwenye stuli ili sasa hata nikisoma meseji hiyo, nilale na simu yangu kitandani…

    “Oya sasa?” ilitoka kwa kaka Cheni…

    “Mh! Soo!” nilimjibu.

    “Soo la nini bwana? hawezi kutoka tena.”

    “Wee! Akitoka je?”

    “Najua hawezi. Kama una wasiwasi we njoo kwangu,” aliniambia kaka Cheni jambo ambalo sikukubaliana nalo hata kwa asilimia kumi na moja…

    “Kwako siji kaka Cheni,” nilimjibu.

    “Utakuja tu,” alijibu hivyo mpaka nikakasirika sasa. Kwa nini kaka Cheni ananilazimisha hivi.

    “Siji,” nilimjibu tena huku mwisho nikiweka alama kibao za kushagaa kama hizi!!!

    Kulipita ukimya, lakini na mimi hali yangu ilibadilika sana, nikawa najihisi mpweke kuwa peke yangu mle chumbani hasa nikichukulia kwamba, kaka Cheni aliniachia njia ya panda baada ya kukurupushwa na mdingi.

    Niliwaza sana, ilifika mahali nikawaza hata ningekuwa kwangu ningekuwa huru zaidi kwani hata dhambi ya mimi na kaka Cheni isingekuwepo lakini ndiyo hivyo tena! Kama kaka Cheni ambaye ni mtoto wa kiume bado alikuwa akiishi nyumbani, sembuse mimi binti?! Hata ningekuwa na pesa nisingekubaliwa.

    Jamaa yangu naye, nilishamwambia alete barua ya posa nyumbani ili tuwe huru lakini amekuwa akinizungusha tu, kesho…kesho…mara, wiki ijayo..wiki ijayo…

    Basi, ikawa kila dakika nashika simu yangu kuiangalia nikiamini kaka Cheni amenitumia meseji lakini wapi! Ilibidi mimi ndiyo nimuulize yeye…

    “Umelala?”

    Meseji hiyo haikujibiwa, nikaamua kupiga…

    “Eee!” alipokea…

    “Umeshapitiwa na usingizi?”

    “Ningepitiwa na usingizi ningepokea simu?”

    “Bwana! Mi nakuuliza…”

    “Sijalala…unasemaje?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwani hujui?”

    “Sijui…we si umesema huwezi kuja huku kwangu!”

    “Sasa baby unadhani mi nikija huko halafu baba akitoka itakuaje? Afadhali uje wewe maana mimi wana staa wa kuingia kwangu,” nilimwambia kaka Cheni kwa sauti ya chini sana…

    “Kwa hiyo nije?”

    “Njoo. Lakini hulali?”

    “Itategemea.”

    “Hapana baby…tuelewane kabisa, ukija usilale. Unajua ukilala ni hatari zaidi.”

    “Haya silali.”

    “Poa, karibu baby nimekumisi sana mwenzio, yaani we acha tu sweet.”

    Nilikata simu, nikaenda mlangoni na kuufungua mlango kisha nikarudi kitandani kumsubiria.

    Mwili wote ulikuwa na joto lenye baridi. Kama nilihitaji shuka lakini pia kama nilihitaji mwili wa mwanaume wenye joto kali. Nikajikuta najikunyata peke yangu.

    Mlango ulifunguliwa polepole nikajua sasa kaka Cheni anawawasili  si nikajiachia kwa raha zangu! Ili kudeka kwa kaka niliama kugeukia ukutani ili akifika yeye ndiyo aniamshe kwa staili yoyote atakayoitaka, hata kunibusu au vyovyote vile.

    “Wewe umefungua mlango ili uende wapi au nani aingie muda huu?”

    Nilishtuka sana, nikakaa kitandani huku nikiweka sawa kanga kifuani ili kuziba nido zangu…

    “Siendi mahali mama,” nilijibu huku nikiwa natetemeka pale kitandani.

    Nilijiuliza mara mbilimbili, mama alikuwa amesimama wapi mpaka mimi nisijue kama hayupo ndani nyumba kubwa? Je, alikuwa anafuatilia mawasiliano yangu na kaka Cheni? Nilipata jibu kwamba hakuwa akifuatilia mawasiliano kwa sababu mimi simu yangu hainaga mlio hata siku moja.

    Kaka Cheni yeye mlio wake uko chini sana. Hivyo isingekuwa rahisi kujua kwamba simu zetu ziko bize…

    “Kwa nini sasa umefungua mlango halafu ukarudi kulala? Nani atakuja?” mama alinipiga swali la msingi sana…

    “Hakuna mtu mama.”

    “Sasa kwa nini umefungua mlango wako au unataka kuingiza wezi ndani?”

    “Hapana mama, siwezi.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilikuwa najibizana na mama huku moyoni nikisema angejua kwamba, kama angesubiri hata dakika mbili tu baada ya mimi kufungua mlango angemwona kaka Cheni anaingia chumbani kwangu, sijui ingekuaje!

    “Njoo ufunge mlango haraka sana,” alisema mama huku akitoka. Akamwita kaka Cheni…

    “We Cheni…”

    “Naam…”

    “Upo?”

    “Nipo mama.”

    “Haya.”

    Mimi baada ya kufunga mlango nilirudi kitandani na kukutana na meseji ya kaka Cheni kwenye simu yangu…

    “Mungu mkubwa,” aliandika hivyo…

    “Mh! We acha tu,” nilimjibu.

    “Nikupigie?” aliniuliza kaka Cheni kwa meseji…

    “Piga,” nilimjibu baada ya kusikia mama akifunga mlango wa nyumba kubwa nikajua kaingia ndani…

    Simu ikaita, palepale nikapokea…

    “Yaani we kaka acha tu! Mh! Yaani sijui hata niseme nini? Hivi alikuwa wapi kwani?” nilisema mfululizo…

    “Yule itakuwa alitoka na baba, wakati wa kurudi, baba akaingia yeye akabaki. Ila mimi namshukuru sana mungu maana kama angesubiri kidogo tu wewe ulipofungua mlango, angeniona nikiingia…”

    “Na mimi niliwaza hivyohivyo kaka Cheni. Yaani leo sijui ingekuaje?”

    “Mh! Unajua ulipofungua mlango tu, nikatoka kitandani mpaka mlangoni. Ndiyo nikamsikia na yeye akiongea.”

    “Da! Sasa?” nilimuuliza kaka Cheni…

    “Tulale, tutafanyaje sasa unadhani?”

    “Aah! Lakini wazazi hawatutendei haki. Yaani wanatubana kiasi hiki kweli? Si sawa.”

    “Si sawasawa kabisa. Hata mimi mwenyewe nashangaa sana. Ila tutaongea kesho, tulale,” alisema kaka Cheni akakata simu.

    Nilijua kaka Cheni amekasirika sana. Maana hata ongea yake iliashiria hivyo. Sauti ilitoka kwa kutetemeka sana na huwa hivyo akiwa na hasira.

    Nilikuwa nausaka usingizi kwa mbali, meseji kwenye simu yangu ikaingia baada ya kusikia simu ikitetemeka…

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mimi sista iko siku nitahama hapa nyumbani na mtanitafuta sana hamtajua nimekwenda wapi!”

    “Mh!” Nilimjibu kaka Cheni kwa kuguna tu.

    “Mbona unaguna?” aliniuliza.

    “Naguna kwa sababu ukisema uhame utapata faida gani sasa? We vumilia tu.”

    “Haivumiliki sista. Kwa mfano hapa nilipo napenda ningekuwa na demu wangu kitandani na kibaridi hiki awe ananishika ananipa joto, lakini sasa sivyo.”

    “Njoo nikupe joto,” nilimwambia kisha nikamsikilizia…

    “We umeshayapuuza yaliyotokea?” aliniuliza.

    “Mama hawezi kutoka tena. Ukitoka kwako funga mlango kwa funguo ili akija ajue umetoka kwenda nje ya nyumbani kabisa.”

    “Oke, basi fungua mlango lakini kwa tahadhari kubwa sana, usilize kitasa,” kaka alinielekeza, nikamwambia sawa.

    Nilitoka kitandani huku nikihakikisha hata kitanda hakitoi mlio wowote ule.

    Nilifungua mlango, ile nafungua tu, kaka Cheni huyu hapa akaingia…

    “Fungafunga haraka sana,” alisema.

    Nilifunga mlango haraka sana. Tukaenda kitandani kukiwa na giza. Mimi nilimshika mkono…

    “Wewe wa kwako umefunga?” nilimuuliza.

    “Ndiyo…kwa funguo tena.”

    Tulipanda kitandani. Kaka Cheni si alikuwa anataka joto, nikampa joto mpaka akawa anataka kuungua. Joto letu liliambatana na kucheza mechi. Tulipomaliza tukalala bwana. kumbe tulilala fofofo. Kuja kushtuka, kumekucha kabisa, mama anafagia nje…

    “Chwaa…chwaaa…chwaa…” mlio wa fagio ulisikika.

    “Kaka Cheni…kaka Cheni,”nilimwita kwa sauti ya chini akashtuka…

    “Kumekucha na mama anafagia nje,” nilimwambia. Alifikicha macho ili ahakikishe mwenyewe, akabaini ukweli. Alikurupuka, akavaa harakaharaka na kuzama chini ya kitanda hata bila kuambiwa na mtu.

    Ili kuweka usalama zaidi, mimi nilitoka kitandani, nikafungua mlango na kutoka nje…

    “Shikamoo mama.”

    “Marhaba. Umelala sana leo.”

    “Ni kweli mama. Nilipitiwa.”

    “Kaka yako hajaamka?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sijajua mama.”

    Mama aliacha fagio akaenda kwenye mlango wa kaka Cheni, akashika kitasa, ikaonekana mlango umefungwa…

    “We Cheni,” mama aliita kwa sauti ya juu.



    “Huyu atakuwa ametoka au hakulala hapa nyumbani,” alisema mama huku akiurudia ufagio wake na kuendelea kufagia.

    Mimi sijui mama. Lakini kaka Cheni usiku alikuwepo,” nilimwambia mama.

    “Ulijuaje kama alikuwepo?”

    “Si nilimsikia akiimba!”

    “Alikuwa akiimba nini?”

    “Nyimbo zao wanasema Bongo Fleva sijui, kwani mama we hujui kaka Cheni anapenda sana kuimbaimba?”

    “Aka! Mimi simfuatiliagi na upuuzi wake huo,” alijibu mama kwa sauti iliyojaa kunipuuza.

    Mara, baba alitoka akiwa ameshikilia kiti cha kukunja, akakikunjua na kukiweka pembeni ya mlango wa kuingilia ndani akakaa…

    “Shikamoo baba,” nilimwamkia.

    “Marahaba, hujambo?”

    “Sijambo baba.”

    “Nasikia kaka yako ametoka au hakulala humu ndani ya nyumba?”

    “Kwa mujibu wa mama,” nilimjibu baba…

    “Kwa mujibu wa mama? Kwa mujibu ndiyo nini?”

    “Yaani hayo unayoniambia kayasema mama kwamba kaka Cheni atakuwa hajalala humu ndani au alitoka asubuhi na mapema kwenda mahali,” nilisema nikiwa na wasiwasi kuhusu baba kutosikia neno kwa mujibu.

    “Mimi nitakaa hapahapa leo mpaka giza linaingia, siendi kuoga wala siendi dukani. Chakula utaniletea hapahapa mama Cheni,” baba alimwambia mama akionesha hana utani ana alichokuwa akikisema.

    Nilirudi chumbani, nikapiga magoti na kumwambia kaka Cheni kule chini ya kitanda…

    “Baby kimenuka huku. Baba amekaa nje hapo, anasema haendi kokote mpaka utakaporudi maana anajua umetoka.”

    “Nimemsikia…nimemsikia…sasa unadhani itakuaje? Maana kitanda chako nacho ni kifupi sana mgongo umeanza kunipa maumivu.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Da! Pole sana baby…sasa unadhani itakuaje?”

    “Hata sijui. Ila itafika mahali itabidi nitoke tu ili nikae kitandani maana…”

    Nilitoka nje kuangalia mazingira ili kama baba ana mpango wa kusema lolote kuhusu kaka Cheni ili ijulikane moja. Lakini baba alikaa kwa umakini sana akinywa chai…

    Nilijaribu kutumia mbinu, nilimwambia baba aende akaangalie msumari mmoja kwenye mlango wa kuingia bafuni…

    “Mlango umeng’oka?” baba aliniuliza.

    “Hapana kuna kitu kama pini halafu ina uzi mweusi, sasa nilitaka ukaone ni uzi wa kawaida na ni pini ya kawaida au vipi?’

    “Nitauona kesho, nimeshasema mimi leo nimefika hapa, lengo langu kubwa ni kujua maisha yenu yapoje…” alisema baba huku akinipiga jicho baya sana kisha akasema tena…

    “Ninachotaka ni nyinyi kusimama kwenye mstari wa matakwa yangu hapa nyumbani. Sasa huyo anayesema hayo kwamba nikaangalie pini sijui itakuwa imepelekwa na nani mimi ya nini?”

    Niliachana na baba na kurudi ndani chumbani ambako nilimpa taarifa kaka Cheni kwamba, baba hana mpango wa kwenda hata chooni…

    “Da! Sasa naanza kujuta. Hivi ningekuwa kwa mademu zangu hata kama wababa wao wangekaa mlangoni kwao ningetoka bila kujali…sasa hapo nikisema nitoke baba si atatuachia laana? Maana atajua tumetokea wapi!”

    “We kaka Cheni, usithubutu,” nilimwambia kaka Cheni huku nikiangalia juu. Nikabaini kuwa, kama kaka Cheni atakwea ukuta anaweza kutumbukia upande wa pili chumbani kwake maana hakukuwa na dari kama nilivyosema tangu awali na uwazi huo ulikuwa ukinifanya nijue yupo na mademu zake.

    “Kaka Cheni, ufumbuzi umepatikana my dear,” nilimwambia…

    “Upi…upi huo sista?” alisema kaka Cheni huku akitoka chini ya kitanda lakini kwa tahadhari kubwa ili asisababishe kuliza kitu chochote ndani.

    “Angalia kule juu. Ukipanda hapa kwenye stuli, ukakanyaga kabati si unaweza kutokea upande wa chumbani kwako?”

    “Ndiyo, unaweza kabisa,” alisema kaka Cheni.

    Kwa furaha tukakumbatiana, tukapeana denda.

    Polepole nikamwona kaka Cheni anasogelea mlango ambao ulikuwa umefungwa, lakini siyo na funguo, yeye akazugusha funguo kuufunga kwa taratibu sana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Vipi tena my dear brother?” nilimuuliza…

    “Niko na furaha sana sista.”

    “Kwa hiyo? Mbona umefunga mlango sasa?”

    Hapo tuliachiana kwenye denda kidogo, tukaangaliana sura, tukazama tena kwenye denda la nguvu tena!

    Nilijua kaka Cheni anataka nini. Na kwa sababu ya furaha ya kuona mwanga wa kurudi chumbani kwake. Nilijichojoa kanga, nikaitupa kule, yeye alikuwa ndani ya bukta. Hatukutaka kwenda kitandani, kitapiga kelele.

    Ile tunaanza mchezo tu, yaani mpira umeshatoka kati kuelekea upande wangu, mama akaniita…

    “Wewe, yaani umeingia ndani kulala au?”

    “Nakuja mama, navaa tu mara moja, lakini nakuja sasa hivi,” nilimjibu mama kwa sauti yenye kukatakata maneno maana si unajua tena na kilichokuwa kikiendelea?

    “Hebu toka nikutume sasa hivi,” alisema mama.

    Nikawa namsukuma kaka Cheni ili ajue kwamba nataka kutoka lakini yeye akagoma kwa vitendo, maana aliendelea kuning’ang’ania kwa asilimia mia moja! Sikuwa na uwezo wa kufanya lolote labda kupiga kelele…

    “Kaka Cheni bwana,” niliita kwa sauti ya chini sana lakini yenye kuashiria kumfokea.

    “Hivi wewe  husikii au? Si nimesema uje nikutume dukani sasa hivi,” mama alirudia kuniita.





    “Kaka Cheni umesikia? Noma bwana.”

    Yaani licha ya kusema hivyo lakini kaka Cheni hakuniachia, alizidi kuning’ang’ania kwa kutumia nguvu zake zote huku akijua kabisa kwamba naitwa na mama…

    “Jamani kaka Cheni…ndiyo nini sasa hivyo?” nilijikuta nimesema kwa sauti…

    “Wewe unaongea na nani humo chumbani?” mama aliuliza huku sauti yake ikija mlangoni kwangu…

    “Mungu wangu, kimeshanuka,” nilisema.

    Kaka Cheni alipanda juu ya kabati, akarukia upande wa pili wa chumbani kwake lakini bila kusababisha kishindo chini…

    “Naongea na simu mama.”

    “Na nani?” aliuliza mama akiwa ameshafungua mlango wa chumbani kwangu na kuingia…

    “Rafiki yangu…”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Anaitwa nani?”

    “Chenie.”

    Mama alisimama, akaniangalia, akageuka na kuondoka.

    Nilimjibu hivyo mama kwa kulitaja jina la Chenie ambaye wala hayupo baada ya akili zangu kufanya kazi haraka sana na kubaini kwamba, alisikia niliposema; jamani kaka Cheni…ndiyo ni sasa hivyo?’

    Kwa hiyo aliposikia jina la Chenie, aliunga akilini mwake akajua ni kweli maana yeye alilifananisha jina hilo na la Cheni.

    Wakati kijua kimetoka zaidi na baba akiwa bado amekaa nje, kaka Cheni alinitumia meseji…

    “Oya! Mdingi bado hapo?”

    “Bado, nilikwenda dukani, nimerudi nimemkuta. Lakini kwa vile hasira zake yeye zinatokana na kuamini umelala nje ya nyumbani, toka uwaambie ulilala usingizi wa fofofo.”

    “Poa, natoka sasa hivi,” alisema kaka Cheni, nikawa nimekaa jikoni nikimsikilizia tu atakavyotoka na jinsi baba atakavyowaka.

    Mara, mama alitoka akakaa sambamba na mume wake, yaani baba. Mara, nikasikia mlango wa chumbani kwa kaka Cheni unafunguliwa, mama na baba wakatumbulia macho upande huo huku mimi moyoni nikijua kila kitu lakini nikawa kama sijui.

    Kaka Cheni alitokea akiwa ndani ya bukta, juu alivaa singilendi. Alipokuja kwangu hakuwa na singilendi, alikuwa tumbo wazi na bustani ya mapenzi kifuani. Jamani kaka Cheni, kwa vile tu ni kaka la sivyo ningesema anioe tujue moja.

    Alikuwa amekunja uso huku akijifikicha macho kwa mkono ili aonekane kwamba ndiyo anatoka kuamka…

    “Wewe unataka kutuaminisha kwamba ulikuwa bado umelala?” mama alimuuliza kaka Cheni…

    “Ndiyo mama, ndiyo natoka kuamka muda huu.”

    Alichofanya baba, alisimama akatembea, akampita kaka Cheni akaingia chumbani kwake. Alichukua kama dakika tatu, akatoka…

    “Una bahati sana wewe, kama ningekuta mwanamke ndani kwako ndiyo ungenitambua mimi nani,” alisema baba baada ya kutoka.

    Nilimwona kaka Cheni akiachia tabasamu lakini  huku akikaa jirani na baba kama vile anayesema amekuwa mtoto mzuri.

    “Hodi wenyewe,” mzee mmoja anaitwa Chakumega aliingia.

    Baba akamkaribisha kiti lakini akasema hakai.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nimeleta taarifa, mzee Mteremko amefariki dunia sasa hivi.”

    Baba na mama walishtuka sana, kwani mzee Mteremko alikuwa mtu wa karibu sana na familia yetu.

    Palepale wazazi walisimama wote wakaongozana na mzee Chakumega kwenda msibani.

    Nyumbani tulibaki mimi na kaka Cheni. Kutoka nyumbani kwenda kwa mzee Mteremko ni kama dakika 45, kwa hiyo  kwenda na kurudi ni dakika 90.

    Mara mama alirudi, akaniambia.

    “Huenda sisi hatutarudi leo, mjitegemee wenyewe ilimradi mboga zipo, unga upo na mkate upo, kunyweni chai, msizurure hovyo.”

    “Sawa mama,” kaka Cheni aliwahi kusema kuliko mimi.

    Mama alipoondoka tu, kama baada ya dakika kumi, kaka Cheni akaniitia chumbani kwake…

    “Unasemaje bro?”

    “Ukisikia raha ndiyo hii. Leo ni kujirusha mwanzo mwisho au unasemaje?” aliniuliza huku akinikumbatia wakati mwenzake kukumbatiwa tu nakuwa hoi bin taaban…

    “We…we tu,” nilisema kwa sauti ya kukatakata maana nilishazidiwa na hali ya joto la mwili.

    Kaka Cheni alikwenda mlangoni akaufunga, akarudi na kunikuta nimeshapanda kitandani mwenyewe…

    “Lakini kaka Cheni, mama hawezi kurudi kweli? Kwa nini tusisubiri muda uende kidogo?”

    “Hamna, hawawezi. Wale wameondoka wanalia, si ulimuona mama?”

    “Haya.”

    Tuliingia uwanjani, tukasakata kandanda huku nikimuuliza kaka Cheni kuhusu zana…

    “Unaogopa nini? Kwa hali hii tunaweza kuitafutia wapi?”

    Kaka Cheni alibana kwelikweli maana alijua tuko huru.

    “Cheni,” nilimuita kwa sauti iliyojaa mahaba…

    “Yes.”

    “Kwa nini tusioane jamani?”

    “Kivipi sasa?”

    “Tuhame nyumbani.”

    “Mh! Noma sista, wewe sista wangu ujue, jamii itatushangaa sana,” aliniambia.

    “Usista na ukaka umeisha mbona!”

    “Mh! Wewe una hatari.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilipomwona kaka Cheni anaongeza kasi nikajua amefika pazuri sasa ndiyo maana anaongeza spidi ya farasi.

    “Ngongongo…ngongo ngo,” mlango wa kaka Cheni uligongwa, nikatoka kasi kitandani na kuingia chini ya kitanda huku nikilia machozi kwani nilijua kama si baba ni mama amerudi…

    “We nani unayegonga mlango?” kaka Cheni aliuliza kwa sauti ya juu na kusikilizia majibu.





    *********************



    Nilitoka na kwenda kwenye kona ya mlango, kaka Cheni akanifuata…

    “Sista…sista!” aliniita kwa sauti iliyojaa wasiwasi.

    Nilishindwa kumwitika kwani wakati huo nilikuwa naendelea kutapika…

    “Argghh…arrrgh!”

    “Sista unajisikiaje kwani?” kaka Cheni alizidi kuwa na wasiwasi…

    “Kichefuchefu bro.”

    “Mh! Cha nini sasa?”

    “Sijui cha nini kaka Cheni, lakini toka jana nilianza kuhisi kichefuchefu!”

    “Unatamani malimao?”

    Nilimshangaa kaka Cheni kwa swali hilo kwani sikujua ana maana gani!

    “Hamu ya malimao ndiyo nini kaka Cheni?”

    “Nimekuuliza husikii hamu ya kula malimao?”

    “Hapana.”

    “Unasikia hamu ya kula nini?”

    “Chipsi kuku,” nilimwambia, kaka Cheni akacheka huku akifungua mlango. Alifuata maji nyumba kubwa, akaniletea. Nikafuta kwa kanga yangu, nikaipeleka chumbani kwangu, nikasukutua kinywa kwa maji kisha nikarudi chumbani kwa kaka Cheni…

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Vipi, unajisikiaje sasa?”

    “Niko sawa, ilikuwa kutapika tu.”

    “Huna mimba kweli wewe sista?”



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog