Search This Blog

Monday, October 24, 2022

NITAKUPENDA USIKU TU - 5

 



                             

                                            



    Chombezo : Nitakupenda Usiku Tu

    Sehemu Ya Tano (5)



    “Embu rudia tena Mash umesema unawashwa wapi?”

    “Kama ulivyosikia Seif ni kweli nawashwa sana na hapa naona aibu kujikuna hata wakitokea watu!!”

    “Unawashwa siyo? haya huo muwasho umekujaje? na kwanini uwashwe uko sehemu za siri na si kwingine?”

    Mash alikaa kimya.Tulii!! hakutaka kunijubu tena chochote zaidi ya kuinuka nakutaka kuondoka kinguvu.

    “Mash mbona unakiburi hivyo?”

    “Kiburi cha nini tena Seif? enhh? Si nimekwambia mkojo unanibana au unapenda nikajikojolea mbele za watu ndio iwe furaha yako jamani, anhh mie naenda bwana..”

    “Kama unaenda na mimi niko nyuma yako sikuachi”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nilimwambia kama utani lakini rohoni nilikuwa na ukweli. Nilidhani huenda atanitoroka kwa kuogopa kupimwa ukimwi. Kila hatua aliyokuwa akipiga mbele yangu na mimi kwa nyuma nilipiga hiyo hiyo mpaka alipokaribiana na choo cha kike nakuingia ndani. Nilipofika nje ya mlango wa choo sikutaka kuingia kutokana na kuheshimu choo kile cha kike. Choo waingiacho kila umri lakini jinsia moja. Niliweka kambi. Kambi ya muda nje ya choo kile cha wanawake. Nikapiga ganzi!! nikawa namsubiria Mash atoke turudi tena kwenye benchi kusubiri kupimwa.

    Dakika tano nzima nilikuwa bado nimeganda kumsubiria Mash. Mash ambaye alikuwa ndani ya choo cha kike. Hakutoka wala sikusikia hata dalili zake za kutoka. Baada ya muda nesi yule yule ambaye alituelekeza sehemu ya kukaa alitokea. Alikuwa na yeye akielekea chooni mule mule alipoingia Mash.

    “Nesi tafadhali mke wangu yupo humo ndani na ana muda mrefu sana nakuomba unisaidie kumwambia angali namsubiri hapa nje!!”

    “Anhhaa!! yule mnene uliokuwa naye enhh?”

    “Ndio nesi”

    Nesi aliingia na yeye chooni. Nikawa kama mtu wa mahesabu. Nikajumlisha ule muda alioingia Mash na wa Nesi. Sikupata jibu sahihi hata jibu lile la chekechea. Nikazidi kuchoma mahindi!! Nikabung’aa!!

    Hakukuwa na dalili ya Mash wala Nesi aliyeweza kutoka. Muda na muda ulizidi kusonga.Wasiwasi ukanikamata. Nikakamatika!! Nikatamani niingie mule ndani kinguvu lakini kila nikifikiria nesi yupo ndani humo na pia Mash yumo humo achana na wengine ambao sikuwaona wakiingia humo ndani. Nilibaki nikinyong’onyea mwenyewe nishindwe cha kufanya. Nikavumilia!!

    Mawazo mengi yaliniteka katika kichwa changu. Mawazo juu ya Mash aliyekuwa ndani. Sikuweza kujua mara moja kwanini anatumia muda mrefu kiasi kile.

    “Au anaharisha nini? Si ndio dalili zake?”

    Nilikuwa mtu wa kujiuliza na kujijibu mwenyewe. Maumivu sikuyasahau hata kidogo. Yale maumivu juu ya barua ya Mash chumbani kwangu. Na ndio wasiwasi ulizidi kunitanda juu ya Mash nakudhani ni lazima atakuwa amenitoroka pasipo kujua. Hasira zikaanza kuniteka sasa. Nguvu za ajabu zikanitawala tena kwa mara nyingine , Nikatutumuka!! Nikafura!! nikawa kaksi!!

    Mwili ukanivimba vimba na wewe!!. Ukanivimba zaidi na zaidi nikausukuma mlango ule kwa nguvu uku nikishikilia kitasa chake. Ugumu!!

    Mlango ulikuwa kama umelokiwa. Haukuweza kufunguka. Nikazidi kuchanganyikiwa tena nakuishiwa nguvu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sikuwa na jinsi tena. Nikaondoka zangu kuelekea mapokezi kwa lengo la kwenda kuuliza kama ndani ya choo kile kwa ndani kuna mlango wa kutokea nje tofauti na ule niliouna au la!! Kitendo cha kutoka tu na nyuma yangu nikasikia mlango ule wa chooni ukifunguliwa. Kwa haraka nikakigeuza kichwa changu nakuangalia. Hamadi!!

    Mash alikuwa akitoka chooni. Akirudishia dela lake vizuri. Nesi naye alikuwa kwa nyuma yake. Akaongozana naye. Wakawa kama wakinifuata wakiongea kitu kwa kucheka. Baada ya kunifikia yule nesi akatangulia nakuniacha nyuma na Mash.

    “Vipi Seif ushatolewa damu?”

    “Mash? muda wote ulikuwa unafanyaje?”

    “Seiffff?? Embu acha bwana kila saa kuwa mkali mwenzako nilikuwa ndani najisafisha si unajua tena wakati tunasex kule kwako ulinimwagia sana ahh haa haa!!” Aliongea Mash nakuachia kicheko cha utani.

    Sikutaka kabisa kumchekea zaidi ya kuvimbisha domo mlangu.

    “Haya twende sasa nakusubiri wewe na hata hivyo nesi alikuwa bado hajatuita”

    Tuliongozana na Mash mpaka katika eneo la benchi. Eneo lile la mara ya kwanza tuliokuwa tukisubiri kupewa maelekezo. Tulijikongoja kweli mpaka pale na punde tulipofika tu yule nesi ambaye alikuwa chooni. Nesi ambaye alitukaribisha mimi na Mash alitufuata nakuanza kutupa darasa. Ninaposema darasa simaanishi darasa la chekechea wala sekondari. Hapana!! hapa darasa la maisha. Akatuelekeza kila kitu kuhusiana na hili gonjwa baya la ukimwi. Kimya kilitawala kati yangu na Mash hakukuwa hata na mmoja aliyetaka kuuliza swali lolote. Hata hivyo kuridhika kwangu ilikuwa ni mpaka nipate majibu yangu.

    “Nawaombeni msogee hapa karibu. Aje mmoja mmoja kuja kutoa damu hapa!!” Aliongea yule nesi.

    Kama kawaida yangu nilianza kwenda. Nikatolewa damu ikawekwa pembeni akamuita na Mash jimama. Naye akatoa damu yake kisha yule nesi akaondoka na zile chupa mbili zilizokuwa na damu zetu. Akaingia kwenye chumba ambacho sikukifahamu mara moja ni chumba cha aina gani zaidi ya machale kunicheza na kuamini itakuwa ni chumba cha maabara.



    *********

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Uchovu mwingi ulikuwa umenitawala sana. Uchovu uliochanganyikana na kupiga miayo ya mara kwa mara. Uchovu uliochochewa nakuchoka sana pili njaa kali iliokuwa ikiliungurumisha tumbo langu mithili ya radi ama simba anayetaka kuporwa watoto wake na binadamu. Uchovu huo haukunizuia hata mara moja katika kulala. Niligangamara!! macho niliyakaza muda wote kwanza kwa Mash asiweze kunitoroka mpaka dakika ya mwisho na pili nihakikishe nimepewa majibu yangu.

    Baada ya kusubiri takribani lisaa limoja yule nesi akatokea tena. Safari hii alituita tuingie chumba cha dakatri kwa ajili ya kupatiwa majibu. Majibu baada ya kufanyiwa vipimo vya ukimwi mimi na Mash. Tukazama kwa dokta!!

    “Habari yako daktari” Niliongea kwa woga.

    “Salama, kaeni hapo!!”

    “asante”

    “Embu samahini kwanza ninyi ni wanandoa au?” Aliuliza dokta.

    Mash akanitolea macho na mimi nikamtolea macho kwa muda kisha tukamwangalia dokta.

    “Ndio ni wanandoa!!” Aliropoka mash.

    Sikuonesha kusita wala kumpinga Mash. Nilijikaza kiume kusikiliza kitachoendelea kutoka kwa dokta.

    “Kabla ya yote niwape pongezi sana katika kupima. Mmejitoa sana na ni wanandoa wachache sana ambao wanakuwa na moyo wa kuja kupima. Kabla ya hapo mlishawahi kupima?” Aliuliza dokta.

    “Ndio” Safari hii niliropoka mimi ili mradi tu dokta amalize maongezi.

    “Ni kituo gani cha afya mlichopima”

    “Anhh ilikuwa ni nyumbani kijijini Iringa”

    “Okey ni vizuri sana na kwa kuanza nianze na huyu mkeo. karatasi yake hii hapa na yako hii hapa”

    “Lakini dokta?” Niliuliza.

    “Sema?”

    “Mie nakuomba ungetusomea tu hakuna kitakachoharibika” Uzalendo ulikuwa umenishinda Seif mimi. Sikutaka kuonekana zamwamwa mbele ya dokta kuwa sijui kusoma na hata kuandika kwenyewe jina langu tu lazima ucheke. Elimu yangu ya msingi toka kijijini niliificha kwapani. Sikutaka kuonekana mbumbumbu mbele ya wasomi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hakuna shida kabisa”

    “Kwanza nikupongeze Mashallah kwa kujitoa kupima na kwenye hii karatasi yako inaonesha kwa namna moja ama nyingine. Wewe ni mzima kabisa na hauna tatizo lolote juu ya ugonjwa huu wa ukimwi. Unachotakiwa ni kufuatilia sana ushauri na kujikinga wewe na mumeo. Utarudi tena baada ya miezi miwili halafu baada ya hapo utakuwa ukikaa sana hata baada ya miezi mitatu na kuja kupima tena..

    “Lakini dokta na mimi vipi?” Nilimkatiza daktari maongezi yake. Mzuka ukanipanda!!

    Daktari yule akachukuwa kikaratasi changu nakuanza kusoma. Kabla hajaanza kukisoma akasita kama kuongea kitu. Akaweka miwani yake vizuri nakupekeua karatasi nyingine katika meza yake. Alionekana kama mtu aliyechanganya karatasi. Akaita!!

    “Unaitwa Seif? wewe ndio Seif?”

    “Ndio ni mimi dokta”

    Mapigo ya moyo yakawa yanawahiwa spidi na pumzi. Nikahisi yamepunguza kasi. Mwili nao ukajaa joto. Nikajiona kama nimelowana kumbe hakuna kitu. Kijasho chembamba kikaanza kuomba njia katika paji langu la uso. Nikakuna kichwa!! nikamsikiliza daktari.

    “Bwana Seif wewe karatasi yako hii hapa. Kama nilivyomwambia mwenzako. Je ulishawahi kutoka nje kwa mtu mwingine ukalala naye tofauti na mkeo huyu hapa?”

    “Hapana dokta niambie vipi?”

    “Karatasi yako kwa kweli vipimo vyako vinaonesha wazi kuwa umeshaathirika..

    “Unasemaje dokta? mimi? mimi Seif?”

    “Bwana Seif kuwa mkimya kidogo. Kuathirika siyo mwisho wa maisha. Na jambo kama hili ni la kawaida tu kwa binadamu na mbaya zaidi siku hizi ugonjwa kama huu unachukuliwa kama malaria kwani unatibika ukifuata utaratibu unaotakiwa katika kujitibia. Seif wewe ni kijana mwanaume tena mwenye nguvu sana ya kimaisha na tena unabahati mkeo bado hajaathirika. Atakuongoza kwa kila kitu. Kuanzia jinsi ya kukulinda wewe na hata kukutengenezea vyakula muhimu nakukusimamia kuhakikisha unapata dawa na matunda kwa muda unaotakiwa..”

    Maneno yale ni kama yalikuwa yakimpigia mbuzi gitaa acheze tena mbuzi mwenyewe wa kijijini kwetu Iringa. Sikutaka kukubaliana na matokeo ya dokta. Machozi yalinitoka na safari hii sikuweza kuyafuta. Niliyaacha yanitoke hadharani bila ya aibu yoyote. Niliinuka nakumshika shati dokta.

    “Dokta? dokta una uhakika na vipimo vyako? inamaana na huyu Malaya hana ukimwi mimi ninao?”

    “Mkeo hana kabisa ukimwi na karatasi hizi hapa! Seif punguza hasira kijana kuwa na ugonjwa huu ni jambo la kawaida sana!!”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hivi wewe dokta unajua natokea wapi? unajua wazazi wangu wee? haya wazazi waliokuwa wakinitegemea wataishi maisha gani? nani atawalisha nakuwahudumia kipato?”

    Nilimwachia shati lake dokta ambaye nilikuwa nimemkaba maeneo ya shingoni haswa nakusababisha mpaka miwani yake idondoke chini nakuvunjika.

    “Seif mpenzi mimi niko pamoja nawe kwenye kila kitu?”

    “….Shhhhh!! tena nyamaza Malaya mkubwa wewe? huu ukimwi nimepata kwako? tangu nimekuja mjini sijatembea na mwanamke yoyote zaidi yako. haya kama sabuni inaletaga ukimwi sawa hujanipa wewe. Mpenzi wangu alikuwa sabuni na mafuta. wewe Mash ndio umeyaleta hayo yote. Dokta hapa siondoki haiwezekani eti mimi niwe na ukimwi halafu huyu Malaya asiwe nao. Haiwezekaniiiiiii!!!!!!”

    Niliendelea kubwatuka sana. Niliwabwatukia wote Mash na Dokta nikiwatishia maisha. Mash alikuwa mpole kabisa. Baada ya kutumia nguvu ya kuongea kwa muda mrefu nilihisi sauti kunikauka. Koo ililegea!! Ilikuwa kavu kwa kulia kwa kwikwi na kwa kupumua kwa shida sana. Makamasi yalinizidi uwezo nayo yakawa yakijidondokea kwa kuteleza mdomoni na hata mengine nikiyarudishia kwa ndani ya pua.

    Yule daktari alitoka nje kwa haraka na kisha baada ya muda alirudi na nesi yule aliyetuchukuwa vipimo mara ya kwanza. Kitendo cha kutazamana tu na yule nesi ikawa kosa. Ni kama alinizidisha hasira mara mbili yake. Nikamvagaa!!

    Nikataka kumpiga nikaambulia kulishikilia gauni lake la kazini.

    “Wewe vipimo vyangu umepeleka wapi? inamaana mimi nina ukimwi? enhhh?”

    “Seif sasa kwani amefanyaje nesi wa watu? inamaana kila siku anapowapima watu huwa anakosea? kama unao tulia mimi nimeshajitolea kuwa bega na wewe kwa kila kitu. Mimi bado ni wako seif siwezi kukuacha!!”

    “Sitaki tena sikutaki Malaya wewe!!”

    “Ndio mimi Malaya ambaye sina ukimwi ila Seif tambua niko na wewe na nitakulinda kama alivyosema dokta”

    Maneno ya Mash sikuyasikia. Ni kama yalikuwa yakiingia upande mmoja nakutokea upande mwingine. Niliyapuuzia!! Nikaendelea kumshikilia yule nesi.

    “Wewe? kule chooni kabla hujaja kutupima ulikuwa na hili jimama niambie lilikuambiaje? hakukwambia kitu chochote ulivyoingia chooni?”

    “Hakuniambia wala simfahamu!!” Alijibu nesi kwa kutetemeka.

    “Seif? muache huyo nesi na safari hii nachukuwa vipimo vyote mimi mwenyewe mbele ya macho yako.” Aliongea dokta.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Maneno yale kidogo yakaleta ushawihi ndani ya halmashauri yangu ya kichwa. Nikamwachia yule nesi nakumkodolea macho yule dokta. Safari hii nilikuwa macho. Nikakinga mkono wangu akatoa damu. Akamfuata na Mash.

    “Hapana mimi sitaki tena? utoto sasa huu inamaana kila mgonjwa mnampima mara mbili mbili? Mmeshanipima sina huo ukimwi inatosha. Sitaki kupima tena na naondoka zangu pimeni wenyewe….



    *********



    “Mash unasemaje?”

    “Kama ulivyosikia sipimi naenda zangu kama ni majibu nimeshapewa sijaathirika sawa nimeshajijua afya yangu mzima” Aliongea Mash uku akiondoka.

    “Mash?” Aliita Dokta.

    Mash hakutaka kuitika wala kujibu chochote. Tayari alikuwa ameshapiga hatua kutaka kuondoka. Akasita kama amesahau kitu. Akasimama!!

    “Ni vyema ukaelewa anachosema mwenzako. Njoo uchukue vipimo tu” Dokta aliongea kwa kwa kubembeleza.

    “Na majibu yakiwa yale yale utanipa nini?”

    “Mash!! ujue kufanya hivyo utakuwa umempa mwenzako nguvu na akili mpya na pia kufanya hivyo ni kujiamini zaidi mbele ya mumeo”

    “Haya pima wewe badala yangu” Alimaliza Mash kuongea.

    Akaufungua mlango kwa nguvu nakuubamiza. Jazba!! Hasira zile za mwanzo zilinikamata tena. Safari hii zilinikamata hadi nikahisi meno yangu yakikosa ushirikiano. Yalikuwa yakisagana yenyewe kwa yenyewe. Nikataka kutoka spidi kumuwahi lakini kwa mkono wa dokta aliyenizuia. Alinituliza nikatulizana!! ikanibidi kutuliza hasira zangu angali duku duku likiniganda! Likabaki likining’inia tu rohoni!!

    “Seif?”

    “Naam Dokta!”

    “Shaka ondoa kwani damu zake za mara ya mwisho tunazo na tutarudia kuzipima tena upya na nitazipima mimi mwenyewe na pia nitaangalia kati ya zile damu mlizochukuliwa kwa mara ya kwanza na hizi za mara ya pili. Yule si mke wako?”

    “Hapana dokta siwezi kuwa na Malaya kama yule kiburi, mwendawazimu!!”

    “Seif bado una hasira sana, Ebu tuliza akili yako. Narudia tena yule ni mkeo?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dokta ni story ndefu wewe kwanza chukuwa vipimo tukimaliza nitakueleza yote”

    Nilimwachia muda dokta aweze kuchukuwa kile kichupa changu. Kichupa ambacho tayari alikuwa ameshaitoa damu yangu kwa mara nyingine. Akaingiza kwenye mtambo wake. Nilikuwa macho kwa macho na yeye na wala sikutaka kabisa anipotee machoni mwangu. Step kwa step!! kila alichokuwa akikifanya yule dokta macho yangu hayakuwa mbali kumsindikiza. Alifanya kwa kutulia pasipo wasiwasi wowote. Haikuchukua muda kama alivyokuwa amefanya yule nesi kwa mara ya kwanza zaidi ya lisaa.

    Akili chafu ikanijia. Ikakaribia nikaiwazua!! Akili ya kumuwazia yule nesi nakuamini kuwa kumbe isikute hata kule kucheleweshwa majibu kote kule ilikuwa ni kweli mipango kati yake na yule nesi.

    Baada ya nusu saa yule dokta alichukuwa maelezo kwa kuandika kwenye kikaratasi chake. Akakichukuwa na kile kichupa cha mara ya kwanza. Kichupa ambacho alitolewa Mash damu kwa mara ya kwanza kabisa nacho akakipima kisha akanifuata.

    “Seif?”

    “Ndio bwana dokta”

    “Tungeingia kwanza ndani ili nikupatie majibu yako”

    “Hapana hapa hapa panatosha kwakuwa hakuna hata mtu pia si kuna vipimo vingine bado kuvichukuwa majibu pale”

    “Ndio ni kweli yale ni ya mara ya kwanza kwa yule mkeo nimeamua nirudie kuyapima tena”

    “Haya yangu hayo yanasemaje?”

    “Seif, nimejaribu na kujaribu niwezavyo!”

    “Ndio”

    “Nasikitika tena Seif na usikate tamaa ndio maisha yalivyo.Vidudu ulivyonavyo ni vikali sana na kinachotakiwa nikuanza dozi mara moja. Vinaonekana ni vya muda mchache lakini ni sugu sana na vinauwezo wa kukupindua haraka sana endapo hutafuata masharti kutoka kwa daktari”

    “Inamaana dokta nimeathirika kweli? Haiwezekani?”

    “Seif ni kweli vipimo vipo vile vile na wala kwenye ile mashine hakijahamishwa kitu unaweza kwenda kuona kwenye ile mashine ya pili pale”

    “Hapana dokta!! mimi ni mzima kabisa!! Sina ukimwi mimi!!”

    “Seif? Seif embu tuliza jazba tena. Nakuomba nikachukue na vya mwenzako pale”

    Sikutaka kumuamini na wala kumuelewa dokta japo ni kweli nilishuhudia kwa macho yangu akinichukua damu yangu kwenye kichupa. Nilishuhudia vyote mpaka akiipima ile damu yangu na mpaka akiandika kwenye karatasi. Nilihema sana juu juu pasipo kujielewa nifanyaje. Niliyawazia mengi sana ndani ya sekunde chache nilizopewa majibu. Yule dokta alirudi tena akiwa na maelezo mengine kutoka katika vipimo alivyokuwa amechukuwa katika kichupa cha Mash.

    “Bwana Seif. Matokeo ya mkeo nimeyapata hapa”

    “Vipi bado mzima?” Niliropoka.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hapana Seif, ni kwamba na yeye vile vile inaonekana yule nesi wetu alikosea ama kuna mchezo ulifanyika pasipo kujua lakini yote hiyo ni hali ya kibinadamu ila ukweli ni huu na nimepima kwa uzoefu wangu wa miaka kumi katika hospitali na nimeshawapima watu zaidi ya mia tano nipo makini katika hili. Mkeo na yeye ni muathririka wa vijidudu vikali sana kama vyako. Cha msingi nenda kwa mkeo umwambie hili na ikiwezekana mrudi tena hapa kwa ushauri juu ya nini kifanyike, Dawa zipo bure hapa kutoka wizarani mtaanza kutumia mara moja”

    Maneno yale ya dokta yalihitimisha mtima wangu. Mtima uliokuwa ukiumia kwa uchungu juu ya afya yangu. Ikanibidi nikubaliane na ukweli japo kishingo upande.

    ‘Kweli nimeamini dunia rangi rangile’

    Niliondoka nikiwa na hasira kali sana. Hasira ya kuupata ukimwi na moja kwa moja lawama zilikwenda kwa Mash. Mash jimama. Tayari alikuwa ameniua, ninaposema ameniua ni kuwa nusu mfu. Natembea nikiwa tayari marehemu.

    “Nimemfanyia nini mimi Mash mpaka aniue makusudi? hakuna vijana wengine? kwanini amenifuata masikini wa kutupwa kama mimi. Masikini anayetegemewa kijijini kwa kipato cha kahawa? Mash kwanini umeniua mimi jamani oooh!!”

    Njia nzima ilikuwa ni kulia kwa vikwifukwifu!!



    ********



    Ndani ya muda mrefu kidogo nilikuwa nikiingia getto kwangu. Nililowa karibia mwili wote. Nilikuwa nimelowa kwa jasho langu mwenyewe. Sura ilinibadilika kabisa. Machungu yalinizidia yaliochanganyikana na maumivu ndani kwa ndani. Laiti ndani kwangu ningelikuwa na sumu ya panya basi Seif mimi leo nisingekuwa hai.

    Mawazo mgando yalinitawala sana. Niliufungua mlango wangu kwa kutetemekea ambapo mara ya mwisho nilikuwa nimeurudishia kwa kuubamiza tu kutokana na kutoka kwa haraka. Nilipofungua tu ndani. Tahamaki!

    Mash alikuwa kitandani ameketi na pembeni yale alikuwa Jof. Walikuwa kama watu wanayemsubiri mtu.

    “Seif?” Aliita Jof.

    “Jof nakuomba kwa muda huu niache!!, niache!! niache kabisaa!!”

    “Pole kwanza kwa matatizo!”

    “Matatizo? matatizo gani? Aliyekwambia nina matatizo nani? huyu mpuuzi?”

    “Hapana Jof ujue mimi ni kama ndugu yako toka umekuja mjini. Napaswa kujua kila kitu.”

    “Ni kweli Seif embu msikilize mwenzako?” Aliropoka Mash.

    “Kwanza hapa kwangu umefuata nini wewe malaya? Malaya usio na hata chembe ya aibu?” Nilimgeukia Mash kwa hasira.

    Nikachukuwa kigoda changu kilikuwa pembeni. Kigoda ninachotumiaga kwa ajili ya kukalia kutengeneza kahawa zangu nje. Nikataka kumrushia nacho Mash. Kwa bahati Jof akakiwahi. Akakishika nakukiweka chini.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Seif umekuwaje rafiki?”

    “Jof mfukuze mwenyewe Malaya huyu sitaki kumuona hapa kwangu?”

    “Seif mpenzi hata uniite jina gani? hata unitukane vipi mimi nitabaki kuwa mpenzi wako na ahadi zako kamwe hazitafutika. Lazima tu niishi na wewe! lazima nikusaidie kwa kila kitu na hali ulionayo”

    Niliyafumba macho yangu kwa hisia za ajabu. Nikayafumba kwa nguvu sana mishipa ya pembeni ya uso ikinitoka. Nikayafumbua!!

    Nikazama moja kwa moja mpaka uvunguni mwa kitanda nakuichomoa ile barua niliokuwa nimeikunja kunja. Nikaikunjua nakumpatia Jof.

    “Jof chukua na uisome kwa sauti ya juu aisikie Malaya huyu?”



    **********



    Kadri Jof alivyokuwa akiendelea kuisoma ile barua ndivyo na macho yake yalionekana kubadilika kabisa. Alionesha kupagawa kwa ile barua. Mash wala hakuonesha kushtushwa na ile barua. Ndio kwanza alikuwa jicho moja na mimi katika kumuangalia Jof. Elimu yake Jof ya mkato alioishia kidato cha kwanza kutokana na kipato kidogo ilimtosha kabisa kuwa na uelewa kiasi. Aliimaliza ile barua kuisoma. Akahema juu juu!!

    “Seif? Seif hii barua kaiandika huyu au nani mwingine?”

    “Ndio kwani si hapo chini si ameandika Mashallah au Mash?”

    “Ndio!”

    “Ndio mwenyewe sasa kaandika na mpaka hivi sijajua alichokuwa akitaka kukifanya. Eti Mash ulitaka kufanyaje?”

    Mash alikaa kimya. Domo alilivuta likavutika na kuvutika kama big G. Jeuri!! Hakuonesha dalili zozote za kuguswa na ile barua. Ndio kwanza alitumbua mimacho yake tu.

    “Mash si naongea na wewe?”

    “Nakusikia!!

    “Hii barua ulichokiandika ulikuwa ukitaka kufanya nini?? Ulitaka kujiua? na si ulinitoroka hospitali wewe? Ebanaa Jof?”

    “Nakusikia niambie”

    “Mash kaniua!!, Kama ulivyosoma hiyo barua. Haya machozi yote unayoyaona hapa ni Mash kaniliza? Kanitekeza jimama hili na ushaidi umeuona kwenye barua. hapa ninapokuwambia nimetoka hospitali nilikuwa naye. Vipimo vya mara ya kwanza vilikuwa tofauti kwa Mash lakini kwa mara ya pili vyote vilionesha mimi na yeye ni waathirika wa gonjwa hili hatari la ukimwi. Wiki tu tayari nimepotea Jof? embu fikiria nitawafanyaje wazazi wangu? Tazama maisha niliokuwa nayo hapa?” Niliongea kwa uchungu nikilia kwa vikwifukwifu!!

    Uzalendo ulionekana kumuelemea kabisa Jof. Taratibu naye chozi lilianza kuomba njia katika paji lake la uso. Alikitikisa kichwa chake kwa masikitiko. Akanishika begani kunituliza.

    “Seif kweli? Kweli umepima umeambiwa hivyo?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ndio Jof, katika maisha yangu sikujua hata hivyo Vigodoro ni wewe ndio ulionionesha. Siwezi kukulaumu wewe Jof bali najilaumu mimi mwenyewe na hisia zangu za kumvamia Mash. Mash alinipokea nakunionesha mapenzi kumbe mapenzi yalioharibika!! Mapenzi feki!! Mapenzi mdananda!!! Mapenzi korosho!!

    Sikulitambua kama Mash ni gari la taka!! sikujua kama Mash anagawa kwa malipo kidogo bila kutambua umri wala umbile!! Sikujua kama Mash ni bingwa wa kutoa mbele na nyuma Jof? Inaniuma!! ninapoongea inaniuma ni inanichoma mpaka moyoni toka jana nimekuwa mtu wa kulia mwenyewe mara kwa mara. Dokta ameniambia kesho asubuhi na mapema nikachukue dawa nakuanza dozi mara moja. Ona sasa maisha yangu yanaelekea kuwa ya kumeza dawa mpaka kifo kitakaponikuta!! Kwisha Seif mimi!! Seif jembe leo hii nimekuwa Seif koleo!!”



    “Seif? Seif usiseme hivyo? Mimi ni kama rafiki na ni kama ndugu yako. Unakumbuka nilikuwa nikikusihi sana matumizi ya kondom? Unakumbuka siku ile ya kwanza kuondoka na huyu Mash nilikufuata mpaka kwake? Nilikuwa nimekuletea kondomu ujilinde lakini nilifukuzwa kama mbwa na huyu Mash. Nawajua majimama ya mjini mimi! Yanapenda sana raha ya kwenda kavu kavu hasa na damu mbichi kama vijana sisi. Navijua visichana feki vya mjini!! havikawihi kukuingiza mkenge navyo vikafurahia kavu kavu bila kondomu! Najisikia uchungu sana kama uliokuwa nao wewe Seif. Uchungu wakunasa kwenye ulimbo!! Ulimbo mgumu wa kunasia mnyama na siyo ndege” Aliongea Jof kwa masikitiko.

    Aliishiwa nguvu kabisa kwa kuongea. Alinifanya hata na mimi kulegea viungo na koo kunikauka kwa kutoweza kutoa sauti.

    “Jamani? Seif na Jof?” Aliongea mash.

    Hata nguvu ya kuongea naye iliniishia, Sikuweza kuinua mdomo wangu zaidi ya kumtizama tu na kumsikia atakachosema.

    “Mimi Mashallah ama Mash! Nimekubaliana kwa yote na nimepokea kwa hali yote toka mwanzo. Najiona ni mtu mwenye dhambi sana na asiyepata kusamehewa hapa duniani.

    Kwako Seif ni mapenzi ya kweli. Toka siku ya kwanza kwenye kigodoro moyo wangu ulinilipuka sana pale ulipokuja mbele katikati ya lile duara na kucheza na mimi. Akili yangu iliniruka sana. Akili ilinisukuma hata kutoka na wewe kwenda kufanya mapenzi na wewe yote nikuutuliza mtima wangu lakini sikujua kama ndio nakutekeza. Utamu Seif!! Tamaa ya mara moja imesababisha na wewe kuwa kundi moja na mimi.

    Hapa unaponiona Seif na maneno yote ya kwenye hiyo barua ni mimi. Na yote hiyo nilikuwa njia panda ni jinsi gani nitakueleza yote na nilijua tu hasira utakuwa nazo nyingi sana. Narudia tena Seif nipo tayari kuishi na wewe popote pale kwa hali zetu hizi. Mimi nilishaanza kutumia dawa sasa nina miezi mitano toka nimejulikana na ukimwi. Na siku kama tatu zilizopita sikuweza kwenda hospitali kuongeza dawa kwani ziliniishia na nilikuwa nimebanwa nikirudi mawindoni nimechoka sana hivyo ikanisababishia hata kujihisi dalili za maumivu na kuwashwa sana sehemu za siri. Seif sina wazazi mimi? Wazazi wote walishakufaga zamani tu.” Alioongea Mash kwa sauti ya kukwaruza uku akitokwa na machozi.

    “ Pale tulipoenda ndio hospitali ninayoendaga kwa ajili ya kuchukuwa dawa. Na hata nilipoingia chooni nesi aliniletea dawa zangu. Sikutaka wewe ujue hilo!! Ungeniumiza kwa hasira Seif!!

    Vipimo vyangu nesi alikudanganya na najua mara ya pili umekuta nimeathirika ni kweli kabisa. Kweli Seif nisamehe.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini Seif? Mimi ni wako na nataka ulimwengu mzima kuanzia sasa wajifunze kupitia mimi na wewe. Niamini tutaishi maisha ambayo kila mmoja wetu atashangaa. Tutajitangaza na watashangaa tukiishi vizuri tu.”

    “Mash?” Nilimuita kwa kulegea.

    “Niambie Seif wangu!”

    “Nashindwa hata niongee nini ila ndio imeshatokea. Katika vitabu vya dini vinasema samehe mara saba sabini na pia kutoa msamaha ni jambo la amani. Nataka uniahidi hapa mbele ya Jof, upo tayari kuachana na biashara zako na kuishi na mimi kuanzia leo hii?” Nilijitahidi nakuiongea kwa mkazo kidogo.

    Mash alitusogelea mpaka karibu nilipokuwa mimi na Jof. Akatupigia magoti akiwa ndani ya dela lake.

    “Shemeji Jof? Seif natoa ahadi mbele yenu mimi Mashallah kuanzia leo hii. Sasa hivi naenda kuchukuwa vitu vyangu kwenye lile danguro kule nilipokuwa nikiishi. Najivua uchangudoa rasmi kuanzia sasa naanza maisha na wewe Seif. Hutokuja kusikia natembea na mwanaume mwingine yoyote? Hutokuja kusikia nimekuacha wewe!!Nitajitoa kwa kila kitu kuanzia kuhakikisha unapata mahitaji kama mgonjwa aliyeathirika.” Aliongea Mash kwa kulia.

    Sauti yake bado ilionekana kukwaruza sana. Alionekana kuishiwa na nguvu. Akainuka pale chini yetu akipepesuka kidogo kutokana na umbile lake kisha akajimwaga kitandani. Pwaaa!! Jof alinigeukia.

    “Seif?”

    “Naam Jof”

    “Mimi sina kinyongo chochote na nipo pamoja na nyinyi kwa kila kitu kuanzia sasa. Maji mmeshayavulia nguo lazima muyaoge. Japo nyoka anapenda sana kukaa kwenye majani lakini uzalendo huwa unamshinda nakuingia pakavu kuota jua. Mimi nakwenda zangu nawaacha naimani kuanzia sasa mmekuwa kitu kimoja na nikija hapa lazima nimkute mmojawapo hapa. Pendaneni kweli!!”

    “Ni kweli Jof” Aliropoka Mash.

    Jof aliondoka zake nakutuacha mimi na Mash tukitazamana.

    “Seif mpenzi? Niruhusu nikachukue vitu vyangu nivilete hapa au nikupikie kwanza ule jamani?” Aliongea Mash kwa kunibembeleza.

    Roho yangu ile ya huruma ilishanirudia tena. Nilimuangalia Mash. Safari hii halikuwa jicho la hasira bali lilikuwa la furaha ndani yake. Niliyakumbuka sana matangazo yale ya ukimwi katika redio kuwa wagonjwa wa ukimwi sio wa kuwatenga au kuwanyanyapaa. Nikayatumbukiza akilini!! Wee unafikiri ningefanyaje nakuathirika kwangu.

    “Mash!!”

    Niliita jina lake kisha nikazama mfukoni. Si unakakumbuka kale ka akiba nilichokachakachua kwenye dela la Mash kipindi kile alipojifanya amezimia mpaka kidume mimi nikakodi taksi. Nilitoa shilingi elfu kumi nakumpatia. Umekumbuka enhh??

    “Natambua wewe ni mwanamke uliokamilika katika mapishi. Nataka leo unipikie madikodiko ambayo yatanifanya nisahau yote, yatanifanya nikupende zaidi.”

    “Hilo tu Seif wangu wala usijali. Hivi hivi wacha niende sokoni halafu nirudi nikuoneshe mapishi yanapikwaje? Halafu jioni kabisa au usiku usiku ndio nitaenda kuchukuwa mizigo yangu si utanisindikiza enhh?”

    “Usijal nipo na wewe Mash”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mash hakujiamini amini na hata kwa upande wangu. Niliamua kusamehe yote nakuanza maisha mapya nikiwa na muathrirka mwenzangu Mash. Ni vigumu kwa wewe kuamini lakini ndivyo nilivyojiapiza kuishi naye kwa lolote.



    **********

    Wiki mbili zilizofuata tuliishi maisha kwa mtindo huu.

    Nilishaishi na Mash kwa mazoea mazuri tu. Kule kujibana kwa kufanya mapenzi kwa kutumia kondomu kwa Mash tulizoea kutokana na hali zetu wote wawili kuwa tumeshaathirika na gonjwa hatari la ukimwi. Wewe unafikiri tungefanyeje sasa?.

    Kila siku ilikuwa ni kukumbushana kuhusu kumeza dawa na hata wakati mwingine tukiwekeana mbwembwe nyingi katika kuzimeza dawa kwa kunyweshana maji kama watu wakipeana ishara ya ‘cheazi’ katika maharusi. Utaniambia nini kuhusu Mash jimama langu. Alinisikia Vyema kwa kila nitakachokifanya. Nilikuwa nikiuza kahawa kibosi. Natembeza sehemu maalumu na siyo za kutanga tanga tena pasipo kujua wateja unawapatia wapi. Kurudi uhakika wa mahanjumati kutoka kwa jimama langu Mash. Wewe mbona hata vile vimawazo juu ya ugonjwa huu wa ukimwi nilivisahau kwa muda.

    Kwa kipindi hiki kifupi Mash alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Ile biashara ya kujiuza mwili wake kwa gharama nafuu hakuifanya tena. Wee!! Wee!! Weeee?? Angefanyaje mbele yangu? Ningemtundika kama kuku wa kukaangwa wa kule saranda barabara iendayo singida. Unanijua unanisikia?

    Ngoja sasa nikuambie kitu kilichonifanya mpaka leo hii nichukue peni na karatasi kuandika mkasa huu ambao ANDREW CARLOS ameamua kuuita eti ‘NITAKUPENDA USIKU tu’ ila ni kweli. Nasema ni kweli kabisa usiku tu.

    Miaka yote maisha huwa yanakwenda kasi kweli. Kasi tena mithili ya zile treni za umeme zinazotumiwa na wananchi wa jimbo moja la kule ujerumani linaitwa Koln. Utamwambia nini mwananchi wa Ujerumani anayetumia treni umbali wa kilomita 50 kwa dakika 2? Acha kabisa hiyo.

    Nilishangaa miezi mitatu kukatika naiona. Fastaa!!! Miezi mitatu ya kuishi nikiwa na jimama langu Mash kwa msaada wa kahawa na vijipesa ambavyo Mash aliviweka akiba na vingine katika michezo yao kinamama inatiwa Vikoba. Hakukuwa na mtafuruku hata siku moja na ndio maana nakwambia nikavutika kama manati vile ikimlenga ndege katika tawi la mti lililolegea.

    Kidume mimi nikatangaza ndoa huko kijijini nyumbani. Unadhani ningefanyaje? Mama akapewa ujumbe na pia baba. Tukatanguliza fungu la kutosha kwa maandalizi ya kumtambulisha tu jimama langu Mash. Usifikiri fungu la nyanya au viazi la hasha fungu namaanisha pesa ya kutosha!!

    Mazoea ya kila siku kuongea na mkwe wao yalijijenga kwa Mash wee acha tu. Mash akamzoea sana mama japo ni kwenye simu.

    Akili yangu ukijumlisha na ya Mash unapata bonge moja la akili. Mikoba na taka taka zetu zote tukazisomba kwa makubaliano ya kuelekea kuanza maisha mapya kijijini kwetu Iringa. Mash hakuwa na ubishi wowote. Atabisha nini wakati alishanipenda? Alishaniambukiza nikakubali!!

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Safari ikazaa lijisafari. Kichwani lengo langu kumtambulisha Mash pia kumuoa uko uko kijijini kwetu. Watanikomaje na jimama!! Wataishia kunawa tu kula hawali na jimama langu tulioathirika naye.

    Safari ikapikika, Ikawiva!! Ikabaki kuipakua tu. Kijiji chote taarifa zilikuwa zimeenea ujio wangu. Ujio wa mfalme wa kijiji masikini wa kuuza kahawa jijini. Siku hiyo tuliingia jioni sana kwani na kagiza nacho kalikuwa kakibishana na mwezi muda wote nani atangulie kutoka nani abaki?. Mbalamwezi iliamsha shangwe na vigeregere!! eennh walikuwa wameshatuona na mibegi begi yetu.

    Kinamama hadi wa nyumba ya kumi walikuja kushuhudia mkwe wao. Kumbuka kale kasiri ketu na Mash juu ya kuwa ni waathirika tulikaweka kwapani. Tuliapishana kila mmoja hakuna atakayemwambia mzee wala mama. Kjijini raha jamani!!

    Tulipokelewa na ngoma zetu zile za asili. Achana na ngoma za mjini sijui vigodoro mara watu wasasambue nguo zote zibaki shanga. Huku kijijini ndio habari ya kijiji na ukiwa kijana utaishia kumaliza sabuni na mafuta. Kwanza mzazi gani atakubali mafuta au sabuni zibaki bafuni. Thubuuutu!!!

    Walikuwa sabuni wakizikatakata vipande vipande ili tu zisihishie kwa vijana wao wakiume katika kujichua na kumaliza hamu zao.

    Eneo la kutulia mimi na Mash lilikuwa limeshaandaliwa.

    “Majirani wa kijijini wanoko nyie asikwambie mtu?” Nilijisemea kimoyo moyo uku nikiangalia jinsi palivyolembwa kwa maua ya asili pembeni jenereta la kukodi mtaa wa tisa likiungurumisha.

    Wazazi wangu kipato hawakuwa nacho zaidi ya vijisenti nilivyokuwa nikiwatumia. Lakini ujirani mwema wa kijiji ukijumlisha na kale kafungu tulichowatumia kabla hatujasafiri? Weee!!! Kuliandaliwa bonge moja la ngoma. Segere si segere hata mchiriku si mchiriku!!

    Mimi na Mash wangu tulitulia katika viti tukiifuatilia ile ngoma iliokuwa ikichezwa. Kila mmoja alionekana kuifurahia. Mzuka!!

    Akili ya ile ngoma niliichanganya na kuifananisha na ya kwenye kigodoro cha jijini. Nikatamani kwenda kucheza. Mash akanifinya mkono wangu. Akasogeza mdomo wake katika sikio langu.

    “Seif hata mimi natamani kwenda kucheza!! ngoja kwanza ikikolea tu twende?”

    “Poa poa” Nilimuitikia tu Mash lakini akili yangu yote ilikuwa eneo moja.

    Eneo ninalokwambia mpaka sasa limesababisha nishike kalamu na karatasi kukueleza mkasa huu. Eneo ambalo alikuwa ameketi binti mchanga kabisa. Binti mwenye chuchu ndogo sana. Binti wa balozi wa nyumba kumi kumi mtaani kwetu. Binti ambaye nilimuacha akiwa anasoma. Binti mwenye kila aina ya uasili wa kiafrika kuanzia rangi ya ngozi. Mahipsi na huko nyuma malizia mwenyewe.

    “OOhhh Salome!!” Nilimtaja jina lake kwa kutoa pumzi ya taratibu. Jicho kodo!! Jicho la udenda!! Jicho la kutamani kitu lakini hukipati. Nikabwia tena fundo moja la mate kooni!! Dubwiii!!

    Nikiwa bado nimezama katika lile limbi la mawazo kuhusiana na Salome. Mash yeye alikuwa ameshanogewa. Alishasahau hata kunivuta mkono twende wote. Alienda mwenyewe kati. Aibu hakuwa nayo Mash kutokana na kuzoea vigodoro vya jijini. Alijikongoja na wale wacheza ngoma wa kijijini walimpisha wakimshangaa!!. Akabaki mwenyewe. Baba yangu na mama wakaanza kwa kusimama na

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kumpigia makofi Mash. Eneo likajaa kwa vigeregere. Mash akaanza taratibu kama hajui kuyakata mauno yake. Wakati huo mguu nje mguu ndani kwa binti Salome niliyekua nikimtolea udenda. Salome ambaye aliunyanyasa moyo wangu nakuugalagaza kwa kufanya nikishindia sabuni na mafuta katika kumaliza haja zangu. Salome huyu huyu alinifanya mpaka wazazi wangu wakagombana na balozi yaani baba yake na hapo ndipo wazazi wangu walipoamua niondoke nikatafute maisha jijini.

    “Haiwezekani?” Nilijiapiza.

    Lengo langu kuu ni kwenda japo kumpa salamu. Nilijua inamuuma sana kwa mimi kuja na mwanamke kutangaza ndoa. Mwanamke mweyewe jimama kushinda mwili wake lililokuwa likiendelea kucheza ngoma kwa heshima zote. Nilimsogelea Salome. Salome naye akaonesha kama kuukubali ujio ule kwakwe kwa kusita sita. Akaonekana kama kutaka kunipokea lakini kabla sijamfikia Mash alishaniona. Hakuendelea tena kucheza akanisogelea mpaka karibu….

    *******





     “Wee Seif? Seif” Aliita Mash kwa sauti ya juu.

    Alikuwa akija wangu wangu!! mbio mbio!! fasta fasta!! Hoi hoi uku akihema.

    Nilibaki nikimtolea macho kwa kumuangalia.

    “Yaani muda wote umeniacha nabung’aa peke yangu jamani Seif?”

    “Anhh!! hapana Mash.. ni nii… Tangulia basi nakuja!!”

    “Hapana!! Sitaki!! Sitaki!! Nataka twende wote, muangalie baba na mama wanavyotutizama?”

    Aibu kali ilinishika baada ya kuwaangalia wazazi wangu waliokuwa wamesimama wakimpigia Mash makofi. Safari hii walikuwa kimya! hawakuwa wakimpigia Mash makofi tena bali walikuwa jicho kwa jicho katika kutuangalia tunachofanya.

    Ikanibidi kukubaliana na ukweli. Ukweli wa kuachana na Salome nakusogea eneo la kati alipokuwa akicheza Mash. Mash alinishika mkono lakini kichwa changu kilibaki kikigeuka nyuma nyuma katika kumuangalia Salome. Salome huyu huyu niliokuwambia alikuwa binti wangu kijijini. Alionekana kuwa na hasira na wivu kumpanda. Akaipigiza miguu yake chini kuashiria kuna kitu anakikosa!! Kuna kitu amechukizwa nacho!!

    “Usijali nitakuja salome?” Niliongea kimoyomoyo nikimwangalia Salome.

    Ile ngoma iliokuwa ikipigwa sasa ilikuwa imezimwa. Wakabadilishana ngoma na filimbi wenyewe kwa wenyewe. Wachache kati ya wale wapiga ngoma wakatanda. Wakatuweka kati mimi na Mash. Mash jimama langu halikufanya hajizi!! Likaselebuka!! Likajimwagamwaga!! Likajiachia!! Likajimwayamwaya!! Mpaka chini likaanza kuutikisa mwili wake. Ushamba wa kijijini ukajivuta, ukatanda. Idadi ya wanakijiji ikaongezeka mara dufu. Wakaziba eneo lote lile la kati kwa kumshangaa Mash wangu. Utamwambia nini Mash jiamama langu mzuka umeshampanda mbele za watu. Hata wazazi wangu waliokuwa wakifuatilia ngoma ile awali hawakuweza kumuona tena Mash nadhani ni kutokana na vurugu za kila mwanakikjiji kutaka kuona burudani ya bure kutoka jijini. Makelele na vigeregere vikatawala zaidi na zaidi. Nikaona sasa hapa Mash huenda akaniaibisha bure. Nikaona anaweza kusasambiua kama kwenye vigodoro vya jijini. Utamueleza nini ngoma ilikuwa inogile kwake. Nikasogeza mdomo wangu mpaka pale chini alipokuwa ameinama akicheza. Mdomo wangu ukasikilizana na masikio yake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mash mpenzi chonde chonde usije ukamwaga radhi hapa kijijini. Cheza uwezavyo usioneshe mwili wako” Nilimnong’oneza Mash.

    Mash akaitikia kwa kichwa kuonesha kuwa amenielewa. Dundo likaendelea!! Dundo la kijijini kiingilio macho yako na miguu yako uje umepauka tu miguuni no ndala!!.

    Mash sasa akainuka mpaka juu. Akaipindisha shingo yake kichwa akikielekeza juu na mikono akiirusha mithili ya wacheza muziki wa mwambao. Kiuno akakibinua kwa nyuma. Akaanza kuranda randa huku akikichezesha kiuno. Tayari alishajifunga kanga kiunoni na haikueleweka mara moja ile kanga alikuwa ameitolea wapi. Ilikuwa ni kanga chakavu kidogo kwa kuwa ilikuwa na matobo kiasi.

    Mwanya!! Sikutaka kabisa kupoteza nafasi. Ninapokuambia nafasi ni kweli nafasi adimu. Si unakumbuka nilikuwa nikimfuatilia yule Salome. Basi hapa hapa ukawa upenyo kwangu kumtoroka Mash kwa mara nyingine nakuzunguka katika lile duara nikimtafuta Salome. Mwanga hafifu wa taa chache zilizokuwa zimewashwa kwa usaidizi wa jenereta la kijiji hazikuweza kunionesha sahawia. Zikaniziba, nikazibika!! Nikaanza kumtafuta Salome, nakutafuta kila pembe ya umati ule wa watu. Baada ya kuonesha kukata tamaa kabisa nikamuona. Nikamsogelea kwa ukaribu na kwa pozi la kimjini mjini.

    Nilipomkaribia karibu tu nikamfumba macho yake kwa kumuwekea mikono usoni mwake mithili ya watoto wadogo wakicheza mchezo wa komborela au tiari bambado!!

    “Otea nani mimi” Nikamngo’oneza katika sikio lake Salome.

    Akashtuka, Akaruka, akarukika!! Akapiga kelele!!

    “Mamaa!! Nani wewe niacheie?” Akang’aka kwa sauti ya juu.

    “Ooooh Mungu wangu siye!?” Alikuwa si Salome yule. Gauni lake nililifananisha sana. Si unajua tena mambo ya vijijini kwa kuvaa midosho. Nguo isitoke fasheni mpya kila mmoja ataivaa mwishoe kijiji kizima utakachopita utakutana na watu watano mpaka sita wakiwa na nguo hiyo hiyo.

    “Seifff weweeeee?” Aligeuka yule binti niliokuwa nikimfananisha na Salome. Akapagawa baada ya kuniona usoni. Akaniwahi kwa kunikumbatia. Alikuwa ni Jamila mtoto aliyeshindikanika kijijini. Binti aliyezalishwa watoto wanne lakini sikujua kwa sasa alikuwa ameongeza ama laa!!

    “Jamila namtafuta Salome yupo wapi?” Nilimuuliza kwa sauti ya chini chini uku nikiwa nimeinama kwa chini nyuma ya ule umati wa wanakijiji waliokuwa wakimshangaa Mash kuicheza ile ngoma.

    “Jamani Seif umependezaje? Umekuwa mzuri wewe?” Aliongea Jamila uku akileta mikono yake katika uso wangu. Nikaikwepa!!

    “Jamila hivi bado hukomi tu? Sasa hivi unawatoto wangapi?”

    “Ulioniacha nao ukijumlisha mmoja na wote baba tofauti, ahh haaa haa!!” Aliongea Jamila uku akicheka.

    “Nioneshe basi Jamila, Salome yupo upande gani?”

    “Salome muangalie alielekea migombani kuleee sijui ndio alikuwa akienda kwao? alikuwa akilia kwa sauti tu si unajua mtoto wa watu umeshamsaliti Seif?”

    Sikutaka kusikia neno lolote zaidi ya kukimbilia mpaka migombani uku nikiacha ngoma ikiendelea na mburudishaji mkubwa jimama langu. Jimama toka jijini. Jimama Mash. Hatua kadha wa kadha nilifika maeneo ya migombani. Kiza kilikuwa cha kawaida kutokana na kusaidiwa na mbalamwezi kidogo. Patupu!!

    Njia nzima mpaka nilipofika karibu na nyumba ya balozi ambaye ni nyumba ya kina salome hakukuwa na dalili zozote. Akili ilinijia moja kwa moja isikute hata wazazi wake Salome wote wawili nimewaacha ngomani. Ujasiri!!

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    NIkasogelea mpaka mlangoni kwa kina Salome. Nikazunguruka katika dirisha. Chumba ambacho niliamini kabisa mpaka sasa atakuwa bado akilala Salome kutokana na nilivyomuacha kwa mara ya mwisho.

    “Salome? Salome?” Niliita kwa sauti ya kipozeo. Kimya kikatawala!!

    Nikaita nakuita zaidi. Kila nikiita ndio kwanza kulizidi kuwa kimya.

    Nikakata kabisa tamaa tena ya kuweza kumtia machoni Salome kwa usiku ule. Nikaanza kugeuza taratibu.

    Hatua chache nikakutana sasa na Salome mwenyewe. Alikuwa kimya sana. hakuweza hata kutoa neno moja. Nikamshika mkono.

    “Niache huko? Nenda kwa jimama lako? Si umelileta unioneshe unajua kuoa? Uvumilivu ulioniambia ndio huu? Ndio huu Seif si nakuuliza? Na bikra niliokutunzia siku zote naenda kuitoa sasa hivi?” Aliongea Salome kwa hasira.

    Kidume mimi nilipoisikia tu neno bikra. Masikio yakatuna, Yakatunika!! yakanisisimka kwa baridi. Mwili ukaita, ukaitika. Neno kuwa nimeathirika likatawala kwa muda kichwa changu. Nikamwangalia na Salome mara mbili mbili. Nikapuuzia!!

    “Salome? Najua ulinitunzia toka siku nyingi na nilikuahidi nikikuoa tutafanya mapenzi lakini…

    “Lakini ni ni Seif? Nini? Mimi nilijua tu na nilikuambia sana kuhusu mjini nikijua kabisa utakuja nisaliti mimi na leo hii nimeshuhudia mwenyewe. Sawa bwana. Sawa hongera! Nenda na siku ya harusi yako nitakuja kama nilivyokuja kwenye ngoma leo!!” Aliongea Salome huku akitaka kuondoka. Nikamuwahi!! Nikamvuta mkono!!

    “Salome? Salome?” Nilimbembeleza japo anisikie.

    “Sitaki niache niache Seif?” Aliongea kwa kulia.

    Nikatumia ujanja wangu. Ujanja wa kutoka nao mjini. Ujanja wa kumpagawisha. Taratibu nikaanza zoezi la kutumia mikono yangu katika kumbembeleza kwa kumtelezeshea kama alivyokuwa akinifanyia Mash pindi aliponiudhi. Nikamshika shika maeneo ya usoni. Watoto wakike bwana!! haswa hawa wa kwetu kijijini ndio kabisa. Utamweleza nini Salome akipitishiwa mikono na Seif. Nilishajua mitaa yake yote ya mwili ambayo alikuwa hataki kabisa kushikwa toka nimeanza kuingia naye katika mahusiano japo nilikuwa nikiishia kumnyonya tu na kushikilia viziwa konzi vyake.

    “Seif? Seif niache nenda! Sitaki kufanya lolote niache Seif?”

    “Hapana leo sikuachi kama ni harusi bora nikuoe wewe!!” Niliongea kwa mahaba.

    Nilikuwa kama mtu aliyepandisha maruhani!

    Akili yangu ilishachanganyikiwa kwa neno lake moja la kuwa bado ni bikra toka nimemuacha kipindi cha nyuma. Kale kaugonjwa ka ukimwi nikakasahau kwa muda ndio mana nakwambia mpaka leo nikikumbuka naumia sana.

    Nguvu za Salome zikashindana na zangu. Salome akatumia makucha yake kunifinya kwa nguvu niache kumfanya chochote. Akakazana mwishowe akashindwa nakulegea!!

    “Seif twende tukajifiche hapa barabarani baba atatukuta” Aliongea Salome kwa sauti ya chini chini.

    Niliyatekeleza maneno ya Salome. Kasuku wangu alikuwa na hali tofauti. Alishakumbuka kufanya yale mambo yetu. Tukaingia migombani.

    “Seif umetoka huko mjini sawa. Kondomu unazo hapo ulipo?” Aliuliza Salome.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Akili yangu moja kwa moja ikarudi nyuma tena. Nyuma kwenye ugonjwa niliokuwa nao. Hofu ikataka kunitawala!! Nikapanga hesabu nakupangua kuhusu kondomu. Nikayafikiria maduka yote ya kijiji. Nikavuta taswira kwa jinsi yalivyokuwa mbali sana na maeneo yale pia kuuza bidhaa kama kondomu ni adimu sana kutokana na vijana wengi kutumia sabuni na mafuta katika kujichua. Vijana hawakuwa wanjanja kuyajaribu mapenzi kwa wanawake. Waliogopa ladha na ndio maana wengi waliishia kupata stimu ya pombe ndipo wafanye ngono tena ile ngono zembe.

    “Salome!? Kondomu zipo kwenye begi nimekuja nazo lakini kule siwezi kurudi si unajua..

    “Najua nini? Limkeo lile lijimama? Nenda kafuate nakusubiri uku migombani utanikuta?” Aliongea Salome kwa msisitizo.

    Moyo wangu ukijumlisha na mwili ulishajitoa kwa vyote. Ulishajitoa kufanya mapenzi na Salome. Mapenzi bila ya kondomu. Niliapa siwezi kumuacha maishani mwangu siku nikirudi kijijini. Lakini wewe unafikiri ningefanyaje kama ndio nimerudi nikiwa muathirika na huduma yake naitaka. Huduma ya kupewa mapenzi niliyayakosa kwake toka tumeanza. Mapenzi niliyoyavumilia sana!! Sikuwa na kondomu huko nyumbani. Nilimdanganya tu ili nisiende kuchukuwa. Alijifanya kunikomalia nakushusha nguo zake mpaka pale nitakapokuwa na kondomu.

    “Sijui ni machale yamemcheza kuwa nimeathirika?” Nilijiuliza mwenyewe na kujijibu.

    Nikambadilishia mambo!! Nikajifanya kama nataka kuondoka. Hatua tatu mbele mbili nyuma nikageuza kama mtu aliyesahau funguo ya gari na anaelekea kazini.

    “Salome? Leo wacha twende hivi hivi mimi nipo salama salmini. Shika shika?” Nikamtoa kasuku wangu nakumshikisha Salome amshike. Salome katika mapenzi hakuwahi kabisa kumshika kasuku wangu live live zaidi ya kuishika suruali yangu tena juu juu tu. Akaishika sasa nakuanza kuitelezesha kama anaipigisha puli na hapo hapo akaonekana kulegea. Sijui alikuwa amejifunza wapi au ndio kufundwa na wazazi wa vijijini.

    “Haya nakuomba ulale Seif” Aliongea Salome kwa sauti ya kimahaba.

    Nikalala na kilichofuata malizia mwenyewe. Hapana sio hivyo!! Salome akaniwahi kasuku wangu. Akamuinamia nakuanza kumnyonya. Akamzungurusha mithili ya ice cream za bakhresa. Akanyonya kwa muda mrefu. Raha ikanijia. Sikua na jinsi zaidi ya kukubaliana na hali halisi kuwa Salome awe mwanachama mwenzetu katika kale kaugonjwa ka ukimwi. Akili mgando za baba wa Salome ambaye ni balozi wa nyumba kumi kumi kijijini na wanajiweza ndio zilinipa kiburi nakuona Salome hatahangaika sana kujihudumia haka kaugonjwa. Alipomaliza kuninyonya nikaanza kumvagaa. Nikaanza kumnyonya sasa na yeye. Nyonya nikunyonye!! Salome akalia sana kimahaba mpaka nguvu zote zikamlegea. Nikamtoa kasuku wangu nakuanza kumuingizia Salome. Ukubwa wa kasuku wangu ukashindwa kuingia kwa Salome. Ni kweli Salome alikuwa ni bikra. Kichwa tu cha kasuku kuingia ikawa shughuli pevu. Nikaambulia kuingiza kichwa tu. Ni bora mtu akuchanje chanje na viwembe lakini siyo kucha za mwanamke anayetolewa bikra. Maumivu mengi mapenzi kidogo. Nikakabiliana naye. Hatimaye kasuku wote akazama. Akazamia nakuganda kwa muda ndani kwa ndani!!

    Kitendo cha kumtoa tu kasuku kwa mara ya pili ndani ya shimo la Salome nilishangaa kama maji maji kutoka mengi. Mwanzoni nikahisi ni mkojo lakini hapo hapo wazo likabadilika. Likawa la kikubwa nikagundua kuwa zile ni damu na Salome sasa ameshakuwa mwanamke kamili. Mwanamke Aliyetolewa bikra na kidume mimi. Salome akaonekana kama kupoteza fahamu.

    Shtua ashtuki!! Kaganda!!

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Salome? Salome?”

    Kimya!! Salome hakuweza kuitika wala hata kutoa mihemo yoyote zaidi ya kulegea viungo vyote vya mwili wake.



    ********* “Wee Seif? Seif” Aliita Mash kwa sauti ya juu.

    Alikuwa akija wangu wangu!! mbio mbio!! fasta fasta!! Hoi hoi uku akihema.

    Nilibaki nikimtolea macho kwa kumuangalia.

    “Yaani muda wote umeniacha nabung’aa peke yangu jamani Seif?”

    “Anhh!! hapana Mash.. ni nii… Tangulia basi nakuja!!”

    “Hapana!! Sitaki!! Sitaki!! Nataka twende wote, muangalie baba na mama wanavyotutizama?”

    Aibu kali ilinishika baada ya kuwaangalia wazazi wangu waliokuwa wamesimama wakimpigia Mash makofi. Safari hii walikuwa kimya! hawakuwa wakimpigia Mash makofi tena bali walikuwa jicho kwa jicho katika kutuangalia tunachofanya.

    Ikanibidi kukubaliana na ukweli. Ukweli wa kuachana na Salome nakusogea eneo la kati alipokuwa akicheza Mash. Mash alinishika mkono lakini kichwa changu kilibaki kikigeuka nyuma nyuma katika kumuangalia Salome. Salome huyu huyu niliokuwambia alikuwa binti wangu kijijini. Alionekana kuwa na hasira na wivu kumpanda. Akaipigiza miguu yake chini kuashiria kuna kitu anakikosa!! Kuna kitu amechukizwa nacho!!

    “Usijali nitakuja salome?” Niliongea kimoyomoyo nikimwangalia Salome.

    Ile ngoma iliokuwa ikipigwa sasa ilikuwa imezimwa. Wakabadilishana ngoma na filimbi wenyewe kwa wenyewe. Wachache kati ya wale wapiga ngoma wakatanda. Wakatuweka kati mimi na Mash. Mash jimama langu halikufanya hajizi!! Likaselebuka!! Likajimwagamwaga!! Likajiachia!! Likajimwayamwaya!! Mpaka chini likaanza kuutikisa mwili wake. Ushamba wa kijijini ukajivuta, ukatanda. Idadi ya wanakijiji ikaongezeka mara dufu. Wakaziba eneo lote lile la kati kwa kumshangaa Mash wangu. Utamwambia nini Mash jiamama langu mzuka umeshampanda mbele za watu. Hata wazazi wangu waliokuwa wakifuatilia ngoma ile awali hawakuweza kumuona tena Mash nadhani ni kutokana na vurugu za kila mwanakikjiji kutaka kuona burudani ya bure kutoka jijini. Makelele na vigeregere vikatawala zaidi na zaidi. Nikaona sasa hapa Mash huenda akaniaibisha bure. Nikaona anaweza kusasambiua kama kwenye vigodoro vya jijini. Utamueleza nini ngoma ilikuwa inogile kwake. Nikasogeza mdomo wangu mpaka pale chini alipokuwa ameinama akicheza. Mdomo wangu ukasikilizana na masikio yake.

    “Mash mpenzi chonde chonde usije ukamwaga radhi hapa kijijini. Cheza uwezavyo usioneshe mwili wako” Nilimnong’oneza Mash.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mash akaitikia kwa kichwa kuonesha kuwa amenielewa. Dundo likaendelea!! Dundo la kijijini kiingilio macho yako na miguu yako uje umepauka tu miguuni no ndala!!.

    Mash sasa akainuka mpaka juu. Akaipindisha shingo yake kichwa akikielekeza juu na mikono akiirusha mithili ya wacheza muziki wa mwambao. Kiuno akakibinua kwa nyuma. Akaanza kuranda randa huku akikichezesha kiuno. Tayari alishajifunga kanga kiunoni na haikueleweka mara moja ile kanga alikuwa ameitolea wapi. Ilikuwa ni kanga chakavu kidogo kwa kuwa ilikuwa na matobo kiasi.

    Mwanya!! Sikutaka kabisa kupoteza nafasi. Ninapokuambia nafasi ni kweli nafasi adimu. Si unakumbuka nilikuwa nikimfuatilia yule Salome. Basi hapa hapa ukawa upenyo kwangu kumtoroka Mash kwa mara nyingine nakuzunguka katika lile duara nikimtafuta Salome. Mwanga hafifu wa taa chache zilizokuwa zimewashwa kwa usaidizi wa jenereta la kijiji hazikuweza kunionesha sahawia. Zikaniziba, nikazibika!! Nikaanza kumtafuta Salome, nakutafuta kila pembe ya umati ule wa watu. Baada ya kuonesha kukata tamaa kabisa nikamuona. Nikamsogelea kwa ukaribu na kwa pozi la kimjini mjini.

    Nilipomkaribia karibu tu nikamfumba macho yake kwa kumuwekea mikono usoni mwake mithili ya watoto wadogo wakicheza mchezo wa komborela au tiari bambado!!

    “Otea nani mimi” Nikamngo’oneza katika sikio lake Salome.

    Akashtuka, Akaruka, akarukika!! Akapiga kelele!!

    “Mamaa!! Nani wewe niacheie?” Akang’aka kwa sauti ya juu.

    “Ooooh Mungu wangu siye!?” Alikuwa si Salome yule. Gauni lake nililifananisha sana. Si unajua tena mambo ya vijijini kwa kuvaa midosho. Nguo isitoke fasheni mpya kila mmoja ataivaa mwishoe kijiji kizima utakachopita utakutana na watu watano mpaka sita wakiwa na nguo hiyo hiyo.

    “Seifff weweeeee?” Aligeuka yule binti niliokuwa nikimfananisha na Salome. Akapagawa baada ya kuniona usoni. Akaniwahi kwa kunikumbatia. Alikuwa ni Jamila mtoto aliyeshindikanika kijijini. Binti aliyezalishwa watoto wanne lakini sikujua kwa sasa alikuwa ameongeza ama laa!!

    “Jamila namtafuta Salome yupo wapi?” Nilimuuliza kwa sauti ya chini chini uku nikiwa nimeinama kwa chini nyuma ya ule umati wa wanakijiji waliokuwa wakimshangaa Mash kuicheza ile ngoma.

    “Jamani Seif umependezaje? Umekuwa mzuri wewe?” Aliongea Jamila uku akileta mikono yake katika uso wangu. Nikaikwepa!!

    “Jamila hivi bado hukomi tu? Sasa hivi unawatoto wangapi?”

    “Ulioniacha nao ukijumlisha mmoja na wote baba tofauti, ahh haaa haa!!” Aliongea Jamila uku akicheka.

    “Nioneshe basi Jamila, Salome yupo upande gani?”

    “Salome muangalie alielekea migombani kuleee sijui ndio alikuwa akienda kwao? alikuwa akilia kwa sauti tu si unajua mtoto wa watu umeshamsaliti Seif?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sikutaka kusikia neno lolote zaidi ya kukimbilia mpaka migombani uku nikiacha ngoma ikiendelea na mburudishaji mkubwa jimama langu. Jimama toka jijini. Jimama Mash. Hatua kadha wa kadha nilifika maeneo ya migombani. Kiza kilikuwa cha kawaida kutokana na kusaidiwa na mbalamwezi kidogo. Patupu!!

    Njia nzima mpaka nilipofika karibu na nyumba ya balozi ambaye ni nyumba ya kina salome hakukuwa na dalili zozote. Akili ilinijia moja kwa moja isikute hata wazazi wake Salome wote wawili nimewaacha ngomani. Ujasiri!!

    NIkasogelea mpaka mlangoni kwa kina Salome. Nikazunguruka katika dirisha. Chumba ambacho niliamini kabisa mpaka sasa atakuwa bado akilala Salome kutokana na nilivyomuacha kwa mara ya mwisho.

    “Salome? Salome?” Niliita kwa sauti ya kipozeo. Kimya kikatawala!!

    Nikaita nakuita zaidi. Kila nikiita ndio kwanza kulizidi kuwa kimya.

    Nikakata kabisa tamaa tena ya kuweza kumtia machoni Salome kwa usiku ule. Nikaanza kugeuza taratibu.

    Hatua chache nikakutana sasa na Salome mwenyewe. Alikuwa kimya sana. hakuweza hata kutoa neno moja. Nikamshika mkono.

    “Niache huko? Nenda kwa jimama lako? Si umelileta unioneshe unajua kuoa? Uvumilivu ulioniambia ndio huu? Ndio huu Seif si nakuuliza? Na bikra niliokutunzia siku zote naenda kuitoa sasa hivi?” Aliongea Salome kwa hasira.

    Kidume mimi nilipoisikia tu neno bikra. Masikio yakatuna, Yakatunika!! yakanisisimka kwa baridi. Mwili ukaita, ukaitika. Neno kuwa nimeathirika likatawala kwa muda kichwa changu. Nikamwangalia na Salome mara mbili mbili. Nikapuuzia!!

    “Salome? Najua ulinitunzia toka siku nyingi na nilikuahidi nikikuoa tutafanya mapenzi lakini…

    “Lakini ni ni Seif? Nini? Mimi nilijua tu na nilikuambia sana kuhusu mjini nikijua kabisa utakuja nisaliti mimi na leo hii nimeshuhudia mwenyewe. Sawa bwana. Sawa hongera! Nenda na siku ya harusi yako nitakuja kama nilivyokuja kwenye ngoma leo!!” Aliongea Salome huku akitaka kuondoka. Nikamuwahi!! Nikamvuta mkono!!

    “Salome? Salome?” Nilimbembeleza japo anisikie.

    “Sitaki niache niache Seif?” Aliongea kwa kulia.

    Nikatumia ujanja wangu. Ujanja wa kutoka nao mjini. Ujanja wa kumpagawisha. Taratibu nikaanza zoezi la kutumia mikono yangu katika kumbembeleza kwa kumtelezeshea kama alivyokuwa akinifanyia Mash pindi aliponiudhi. Nikamshika shika maeneo ya usoni. Watoto wakike bwana!! haswa hawa wa kwetu kijijini ndio kabisa. Utamweleza nini Salome akipitishiwa mikono na Seif. Nilishajua mitaa yake yote ya mwili ambayo alikuwa hataki kabisa kushikwa toka nimeanza kuingia naye katika mahusiano japo nilikuwa nikiishia kumnyonya tu na kushikilia viziwa konzi vyake.

    “Seif? Seif niache nenda! Sitaki kufanya lolote niache Seif?”

    “Hapana leo sikuachi kama ni harusi bora nikuoe wewe!!” Niliongea kwa mahaba.

    Nilikuwa kama mtu aliyepandisha maruhani!

    Akili yangu ilishachanganyikiwa kwa neno lake moja la kuwa bado ni bikra toka nimemuacha kipindi cha nyuma. Kale kaugonjwa ka ukimwi nikakasahau kwa muda ndio mana nakwambia mpaka leo nikikumbuka naumia sana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nguvu za Salome zikashindana na zangu. Salome akatumia makucha yake kunifinya kwa nguvu niache kumfanya chochote. Akakazana mwishowe akashindwa nakulegea!!

    “Seif twende tukajifiche hapa barabarani baba atatukuta” Aliongea Salome kwa sauti ya chini chini.

    Niliyatekeleza maneno ya Salome. Kasuku wangu alikuwa na hali tofauti. Alishakumbuka kufanya yale mambo yetu. Tukaingia migombani.

    “Seif umetoka huko mjini sawa. Kondomu unazo hapo ulipo?” Aliuliza Salome.

    Akili yangu moja kwa moja ikarudi nyuma tena. Nyuma kwenye ugonjwa niliokuwa nao. Hofu ikataka kunitawala!! Nikapanga hesabu nakupangua kuhusu kondomu. Nikayafikiria maduka yote ya kijiji. Nikavuta taswira kwa jinsi yalivyokuwa mbali sana na maeneo yale pia kuuza bidhaa kama kondomu ni adimu sana kutokana na vijana wengi kutumia sabuni na mafuta katika kujichua. Vijana hawakuwa wanjanja kuyajaribu mapenzi kwa wanawake. Waliogopa ladha na ndio maana wengi waliishia kupata stimu ya pombe ndipo wafanye ngono tena ile ngono zembe.

    “Salome!? Kondomu zipo kwenye begi nimekuja nazo lakini kule siwezi kurudi si unajua..

    “Najua nini? Limkeo lile lijimama? Nenda kafuate nakusubiri uku migombani utanikuta?” Aliongea Salome kwa msisitizo.

    Moyo wangu ukijumlisha na mwili ulishajitoa kwa vyote. Ulishajitoa kufanya mapenzi na Salome. Mapenzi bila ya kondomu. Niliapa siwezi kumuacha maishani mwangu siku nikirudi kijijini. Lakini wewe unafikiri ningefanyaje kama ndio nimerudi nikiwa muathirika na huduma yake naitaka. Huduma ya kupewa mapenzi niliyayakosa kwake toka tumeanza. Mapenzi niliyoyavumilia sana!! Sikuwa na kondomu huko nyumbani. Nilimdanganya tu ili nisiende kuchukuwa. Alijifanya kunikomalia nakushusha nguo zake mpaka pale nitakapokuwa na kondomu.

    “Sijui ni machale yamemcheza kuwa nimeathirika?” Nilijiuliza mwenyewe na kujijibu.

    Nikambadilishia mambo!! Nikajifanya kama nataka kuondoka. Hatua tatu mbele mbili nyuma nikageuza kama mtu aliyesahau funguo ya gari na anaelekea kazini.

    “Salome? Leo wacha twende hivi hivi mimi nipo salama salmini. Shika shika?” Nikamtoa kasuku wangu nakumshikisha Salome amshike. Salome katika mapenzi hakuwahi kabisa kumshika kasuku wangu live live zaidi ya kuishika suruali yangu tena juu juu tu. Akaishika sasa nakuanza kuitelezesha kama anaipigisha puli na hapo hapo akaonekana kulegea. Sijui alikuwa amejifunza wapi au ndio kufundwa na wazazi wa vijijini.

    “Haya nakuomba ulale Seif” Aliongea Salome kwa sauti ya kimahaba.

    Nikalala na kilichofuata malizia mwenyewe. Hapana sio hivyo!! Salome akaniwahi kasuku wangu. Akamuinamia nakuanza kumnyonya. Akamzungurusha mithili ya ice cream za bakhresa. Akanyonya kwa muda mrefu. Raha ikanijia. Sikua na jinsi zaidi ya kukubaliana na hali halisi kuwa Salome awe mwanachama mwenzetu katika kale kaugonjwa ka ukimwi. Akili mgando za baba wa Salome ambaye ni balozi wa nyumba kumi kumi kijijini na wanajiweza ndio zilinipa kiburi nakuona Salome hatahangaika sana kujihudumia haka kaugonjwa. Alipomaliza kuninyonya nikaanza kumvagaa. Nikaanza kumnyonya sasa na yeye. Nyonya nikunyonye!! Salome akalia sana kimahaba mpaka nguvu zote zikamlegea. Nikamtoa kasuku wangu nakuanza kumuingizia Salome. Ukubwa wa kasuku wangu ukashindwa kuingia kwa Salome. Ni kweli Salome alikuwa ni bikra. Kichwa tu cha kasuku kuingia ikawa shughuli pevu. Nikaambulia kuingiza kichwa tu. Ni bora mtu akuchanje chanje na viwembe lakini siyo kucha za mwanamke anayetolewa bikra. Maumivu mengi mapenzi kidogo. Nikakabiliana naye. Hatimaye kasuku wote akazama. Akazamia nakuganda kwa muda ndani kwa ndani!!

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kitendo cha kumtoa tu kasuku kwa mara ya pili ndani ya shimo la Salome nilishangaa kama maji maji kutoka mengi. Mwanzoni nikahisi ni mkojo lakini hapo hapo wazo likabadilika. Likawa la kikubwa nikagundua kuwa zile ni damu na Salome sasa ameshakuwa mwanamke kamili. Mwanamke Aliyetolewa bikra na kidume mimi. Salome akaonekana kama kupoteza fahamu.

    Shtua ashtuki!! Kaganda!!

    “Salome? Salome?”

    Kimya!! Salome hakuweza kuitika wala hata kutoa mihemo yoyote zaidi ya kulegea viungo vyote vya mwili wake.



    *********



    “Salome? Salome amka mpenzi?” Niliita tena kwa sauti ya taratibu.

    Salome aliendelea kukaa kimya. Mchecheto!! Nilianza kwa kutetemeka, hata yule kasuku wangu aliyekuwa akijifanya kidume cha mbegu alikuwa naye ameshanisaliti kwa kunywea. Hakutaka kujihusisha na mimi. Alijitenga!! Nilihangaika kumuamsha Salome. Nikauchukuwa mdomo wangu nakuulekeza kwenye mdomo wake. Ikakutana!! kilichofuatia nilitumia pumzi zangu zote kumuhamishia Salome. Maajabu!! Salome akashtuka. Akatingisha miguu na mikono akiichezesha kuashiria mtu aliyetoka usingizini.

    “Seif? Umefuata nini hapa kifuani kwangu? Nitokeee embu?” Aliongea Salome akiwa katika hali ya marue rue. Alikuwa hajitambui hata yupo maeneo gani na kwanini nipo naye maeneo yale.

    “Jamani Salome? Tulia kwanza, nipo hapa.. nipo hapa..

    Kabla sijamalizia tu kuongea nikahisi jani la mgomba kupinda na kucheza cheza majani yake. Nikahisi kabisaa kuna mtu ama watu wanakuja eneo tulipo kutokana na makelele ya vishindo vya miguu. Mawazo yangu moja kwa moja nikayaelekeza katika watu wawili. Wa kwanza nilihisi huenda ni Wazazi wa Salome wanamtafuta na watakuwa wameambiwa labda na watu wanoko ambao walituona tukizama naye migombani. Pili kama sio hivyo moja kwa moja nilihisi huenda ni jimama langu. Jimama Mash pengine atakuwa ametonywa na wambea wa kijiji.

    “Ahhh hamna bwana lakini kijijini kwetu hakunaga umbeya!!” Niulijiuliza na kujijibu mwenyewe.

    Nikiwa bado kuisikilizia ile sauti. Salome aliinuka kwa shida shida. Shida ya maumivu makali niliokuwa nimempatia katika shughuli pevu ya kumtoa bikra. Akainuka nakuvaa nguo zake kishida shida. Alionesha kuogopa kwa kitu kwa jinsi alivyokuwa akivaa kwa kutetemeka mikono. Alipomaliza tu alitoka kwa kupepesuka mithili ya mtu anayejifunza kunywa pombe zikamkamata kisawa sawa. Akatokomea na kilichofuata ni sauti yake kuisikia kwa mbali.

    “Seif ondoka kimbia Seif kumeharibika hapo?”

    Sikuwa najua chochote kinachoendelea zaidi ya kupandisha suruali yangu sahawia kisha nikaunga tela kwa kuondoka nisielewe kinachoendelea katika migomba ile tuliokuwa na Salome tukifanya mapenzi.

    Hatua chache nilikuwa nimeshajiweka sawa nguo zangu zote na safari hii nilikuwa tayari nimeshafikia maeneo ya ngomani. Ngoma nyumbani kwetu. Ngoma ya kukaribishwa kidume mimi katika maandalizi ya kumuoa jimama langu. Jimama kutoka jijini. Jimama Mash.

    “Seif Seif?” Aliita Mash.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alikuwa ameshaniona nilivyokanyaga tu maeneo yale. Kumbe muda wote alikuwa amekaa kitini akizungukwa na baba na mama. Aliinuka kwa haraka akininyooshea kidole. Akanifuata mpaka karibu. Aliponifikia alipoza sauti kwa ukali.

    “Umeanza nakwambia, umeanza kuniletea zako zipi enhh? Wee wakuniacha peke yangu ngomani hapa kwenu? Ulienda wapi?”

    “Mash huku kijijini vyoo huwa vipo mbali mbali sana na kwa sababu ya hii ya kuwepo kwa ngoma leo, chooni kwetu kulikuwa na foleni ya watu kuingia nikaenda mtaa wa pili kujisaidia”

    “Unasemaje Seif?”

    “Kama ulivyosikia Mash, Acha hizo na sipendi ukanihisi vibaya mimi!”

    “Wewe usinifanye mimi bwege sina akili. Kwanza kumbuka maneno ya dokta, pili unajua kabisa tuna dozi sasa ole wako utoke nje ya mimi nije kusikia umetembea na kisichana cha uku kama sijafanya show kijiji chote nikateketeza midume yote”

    Mash aliendelea kuongea kwa sauti ya chini lakini kadri alivyokuwa akiongea ndivyo na sauti yake ilivyokuwa ikipanda. Alikuwa na jazba sana. Aliongea mpaka jasho likawa likimtiririka kupitia shingoni mwake.

    “Mash mpenzi? Nakupenda na najua kwanini tumekuja huku! tupo hapo kwa mambo makubwa mawili. Kwanza kukuoa na pili kuishi na kufanya kazi kwa kushirikiana hapa kijijini. Wewe ndio tunda langu siwezi kukusaliti kwa vyovyote. Najua! najua unanipenda kiasi gani mpaka kujitoa kuja huku kijijini kuishi na mimi!!”

    Niliongea maneno kwa uchungu. Uzalendo ukamshinda Mash. Akayaelewa maneno yangu kupitiliza. Akaniletea mikono yake mpaka mabegani mwangu, Akanikumbatia. Tukakumbatiana!!!

    Muda wote kwa mbali wazazi wangu walikuwa wakifuatilia tukio lote japokuwa hawakusikia maneno tuliokuwa tukiongea mimi na Mash.

    Hata ile ngoma iliokuwa imekiita kijiji chote nyumbani kwetu kwa kipindi hiki ikawa kama imepwaya. Wapigaji walikuwa wamezunguruka wenyewe mduara. Nadhani unaelewa nikikwambia walikuwa wamezunguruka. Walikuwa wakitembezeana kwa mikono miwili ile kitu ya kijijini roho inapenda. Mbege!! kitu cha mbege kilikuwa kimeshatekenya midomo yao. Wakajikuta wakikenua kila muda nakupeana story za uongo. Nilitoka pale na Mash wangu kisha nikaelekea mpaka eneo walipokuwa wazazi wangu.

    “Seif mwanangu?” Aliita baba.

    “Shikamoo!!”

    “Marhaba! mwanangu toka umekuja umefikia ngomani hatujaongea nashangaa tena haupo, sikuoni. Ujue mwenzako amekutafuta sana mduara wote akazunguka peke yake akikutazama?”

    “Naelewa baba si unajua matatizo ya choo ngomani yanavyokuwa. Niliienda kwa mzee Juma kujisaidia. Lakini hakijaharibika kitu nimeshamuelewesha”

    “Kama ni hivyo hongera kwa kupata mwanamke ambaye anaelewa. Ameshajitambulisha kila kitu japokuwa tulikuwa tukiisikia tu sauti yake kwenye simu ila leo tumeshamfahamu.”

    Maneno yote kwa mzee wangu aliokuwa akiongea ilikuwa ni kama marudio. Akili yangu wala haikuwa ikimsikiliza yeye. Ilikuwa ikimuwazia binti mmoja na tukio lililonitokea. Binti aliyekuwa akiunyanyasa sana moyo wangu. Binti niliyetoka kumtoa bikra kwani katika maisha yangu sikuwahi kujua hata bikra inatolewaje zaidi ya kuishiwa kusimuliwa na watu mara sijui damu damu nyingi na maumivu ndio anayopataga mwanamke.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mawazo mengi nikayalelekeza sasa kwa tukio kubwa baada ya Salome kuvaa nguo zake na kutoka nduki akichechemea. Maneno ambayo aliniamrisha kwa mdomo wake kuwa nikimbie lile eneo. Kila nikivuta kumbukumbu vizuri hata kipindi cha nyuma kabla sijaondoka hakukuwa na tatizo migombani mule. Sikuelewa eneo lile kuna kitu gani mpaka sasa. Nikaachana na mawazo!

    Nikazama ndani. Moja kwa moja katika chumba ambacho nilikulia. Taa ya chemli ilikuwa ikikiangaza chumba chote.

    Kilikuwa kimeshawekwa mizigo yetu tayari. baada ya kuingia nilimuita Mash sasa. Akaingia na kuonesha kushangaa kwa ufupi wa nyumba.

    “Hapa mpenzi wangu ndipo nilipokuwalia. NIliposihsi toka mdogo nasoma kila kitu hapa!” Nilimwambia Mash.

    Akaonekana kama kusita sita uku kichwa chake akiwa amekielekeza juu kuangalia paa lililokuwa kiza kutokana na mwanga hafifu wa taa ya chemli.

    “Seif nataka kwenda kuoga. Nimechoka sana. Nimecheza sana ngoma. Ngoma zenu tamu sana kupita hata vigodoro vyetu vya jijini. Ila huku kwenu watu ni washamba? Ingekuwa ni mjini si fujo wangekuja hata kunidandia kwa nyuma?”

    “Acha mambo yako ya mjini. Badilisha nguo tukaoge wote hata na mimi nimelowa sana kwa kuicheza ile ngoma kabla sikwenda kujisaidia.

    Mash alichojoa nguo zake zote. Kutokana na heshima ya wazazi na pale mlangoni ingekuwa ngumu kutoka nilimsihi avae tu halafu akavulie bafuni. Alifanya hivyo na mimi nikatoka na kikaptura chagu cha kuuzia kahawa mjini lakini kijijini kilikuwa na mng’aro wa ajabu. Nikayachukuwa maji na kuelekea bafuni uku Mash akiwa nyuma yangu amejitanda na mikanga mwili mzima.

    Hakukuwa na watu tena katika lile eneo la ngoma. Hata wale wapiga ngoma wakukodishwa walikuwa wameshakunywa zao nakulewa kisha wakaondoka. Kale kajenereta ka kijiji kalikuwa kameshazimwa kuashiria tukio limeisha. Kulikuwa kweuppeee nje tu ndio alikuwa amebaki baba, mama na wenzake wawili wakijipatia pombe za kienyeji.

    Tulipoifika bafuni kitu cha kwanza kabisa. Mash alinikataza kuvua nguo mwenyewe.

    “Seif nataka kuanzia leo nikuoneshe mahaba. Tunaelekea kuwa wachumba kabisa kihalali sasa nataka leo nikuogeshe mwenyewe. Nataka nikusugue kila pande ya mwili wako.”

    “Hilo tu wala usihofu Mash wangu”

    Nilimuachia mwili wangu wote Mash. Mash akanivua nguo zangu. Shabaaash!!! Nilishajisahau Seif mimi kuwa nilitoka kufanya mapenzi na Salome. Salome ambayae alikuwa bikra tukisumbuana katika kumuingiza kasuku wangu mpaka nikafanikiwa. Baada ya Mash kunisugua eneo la mgongo na alipofika tu katika eneo la kasuku wangu alionesha kushtuka.

    “Seif? Seif nini hiki?”

    “Kwani kuna nini?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Seif inamaana umeshanisaliti leo tu? hizi si shahawa wee mwanaume cheki zinavyoteleza?” Aliongea Mash kwa kushtuka.

    Mwanga hafifu wa taa ya chemli haukuweza kuonesha vizuri lakini kutokana na uzoefu aliokuwa nao Mash katika zile biashara zake alizokuwa akijiuza alinigundua mara moja baada ya kunishika tu kasuku wangu.

    “Hapa kumeshanuka. Hakuna cha kuoga wala kuogeshwa? Haya umefanyaje sasa na hukutumia kondomu Seif? Seif wewe? Hapana kwakweeli leo tu utanishinda ni bora nirudi tu jijini nikaendele kutanga na maisha. Unataka tufe mapema Seif. Kwanini hujihurumii mimi si nipo? sikuridhishi mie ama? Umekumbuka kavu enhee uwaambukize vizuri? Sawa asante nashukuru na naenda kuwaambia na wazazi wako watambue ujinga ulionifanyia ndani ya muda mfupi kabla hata ya hiyo ndoa kufungwa…

    *********



    MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog