Search This Blog

Monday, October 24, 2022

NILAMBE TENA - 2

 





    Chombezo : Nilambe Tena

    Sehemu Ya Pili (2)



    “Nimekuelewa Lina. Lakini mbona zimebaki siku chache kwa wewe

    kuondoka? Hiyo kazi nitaikamilisha vipi?”

    nilimuuliza Lina wakati huo akipaki gari

    pembeni ambapo sikuchelewa

    kumbandika swali linguine kabla

    hajanijibu ya awali. “Mbona unapaki kabla hatujafika? Au

    umeona sehemu iliyobakia nitembee kwa

    mguu?”

    “Si kweli maswali yako na vilevile

    nikikujibu nitakudanganya kwa wakati

    huu. Cha muhimu yatazame macho yangu halafu utajua nini namaanisha na

    kipi nakihitaji toka kwako.” Nikamtazama

    kama alivyotaka. Macho yake malegevu

    kama vile kipo alichokula kuyalegeza

    zaidi. Lakini pamoja na kumuangalia

    moyo wangu ulikuwa ukinienda mbio. Lina hakuwa na haraka kama mama

    yake. Kudhihirisha usomi wake, akanihoji

    swali lililonitia kigugumizi.

    “Una mahusiano ya kimapenzi na mama

    yangu?” niweke wazi nilishindwa kumjibu

    swali lake. Niliogopa kumdanganya. Nikahamishia macho yangu chini.

    Sikutaka kumtizama tena usoni.

    “Namfahamu vyema mama yangu.

    Kwahiyo usiogope kunijibu. Huenda jibu

    lako kwangu likakuepusha na mengi.”

    Hapo alinishtua kidogo. Litakalotokea basi! Nilijisemea kabla ya kumjibu.

    Nasema hivyo kwasababu hadi wakati

    huo hata kama ningekorofishana nao,

    sikuwa na lolote la kupoteza kwao.



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hapana. Ila leo nd’o ilikuwa tuweke

    uhusiano. Wewe ndiye umevuruga.” Baada ya jibu langu, akapandisha vioo

    vya pande zote kisha akaniomba namba

    ya simu yangu. Nikampatia. Akaondoa

    gari kwa kasi kufuatana na vile

    nilivyomuelekeza. Akanifikisha nyumbani

    na kuniaga. Nikaingia ndani kwangu na kujitupa kitandani kwasababu ya kuhisi

    usingizi.

    Kilichonishtua ni simu yangu kuita.

    Wakati nikilala, niliisahau mfukoni.

    Nikaingiza mkono mfukoni na kuitoa.

    Namba ilikuwa ngeni lakini haikunishtua kwasababu kazini kwangu niliiandika juu

    ya mlango kwaajili ya wateja wakinihitaji

    nisipokuwepo kazini. Nikapokea na

    kuiweka sikioni.

    “Habari yako kijana” ilisikika sauti ya

    mwanaume. Dah! Nilitamani nimvute kwenye simu muda uleule nimchape

    vibao. Mwenziye nilitaraji ni Lina. Kumbe

    sauti nzito kama injini ya meli. Loh!!

    “Nzuri.” Nilimjibu lakini nikitamani akate

    simu muda uleule.

    “Nilikuja leo kazini kwako haukuwepo. Shida yangu si kubwa sana lakini inayo

    malipo mazuri. Naamini wewe ni

    mtaalamu wa kuziremba kucha za

    wanawake. Nilitaka uzifanyie mambo

    kucha za mke wangu maana tuna safari

    siku mbili zijazo.” Aliongea cha maana. Si kazi jamani? Nani anayechukia kufanya

    kazi ya fedha? Kama upo wa aina hiyo

    basi hustaili katika nchi yetu na hata kwa

    wenzetu. Tulikubaliana kesho yake

    nikaifanye kazi yake kama alivyoihitaji.

    Akakata simu nami nikateremka kitandani na kuandaa maji ya kwenda

    kuoga.

    Nilipomaliza kuoga na kubadili nguo,

    nilitoka na kwenda kupata chochote

    tumboni mwangu. Hayo ndiyo yalikuwa

    maisha yangu ya kila siku. Chumbani kwangu sikuwa na kikombe wala sufuria.

    Ndoo na beseni kwa ajili ya kufulia,

    pamoja na jagi ili asubuhi niweze

    kuswaki pasipo tabu. Sikuwa nikipika

    wala sikutamani linizoee kabisaa neno

    kupika. Maisha ya kula hotelini sikuyachoka kwasababu niliyachagua

    mwenyewe. Kama umepanga kama mimi

    usiniige katika hilo kwakuwa usiwaone

    wacheza mpira ukadhani wote

    wanafaidika nao. Pole!!

    “Umelala? Ilikuwa ni meseji iliyoingia katika simu yangu baada ya kutoka kula

    na kujilaza kitandani. Mwishoni mwa

    meseji ile, alijitambulisha mtumaji ili

    asinipe tabu ya kuuliza ni nani maana

    namba ilikuwa ngeni. Siyo mdada

    unadundadunda kitaani unajiita mjanja wa town vitu kama hivyo huvijui. Muda

    wa kuandika sms ya kuulizwa wewe nani,

    huenda angekutumia hata meseji ya

    kukusifia. Alaa! Unamchosha mtu buana.

    “Bado sijajikunyata Lina lakini nipo

    kitandani.” Nilimjibu. “Poa.” Ehee! Nikashangaa mtu kanianza

    yeye lakini kwa muonekano kama vile

    alinikatishia juu kwa juu. Yupo sahihi.

    Mwanamke pozi. Kama huna pozi basi

    pole yako maana hata mnyama jike

    lazima amsumbue dume weeee. Wakimbizane weee mpaka. Maksudi

    ilikuwa ni kunipatia namba yake. Sasa

    kamaliza acha mjomba nianze kutupa

    tufe. Lakini najikakamua kwasababu

    nilishaona yupo tayari. Hivyo mimi ni

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kumalizia tu mpira ndani ya nyavu kwakuwa golikipa alishakata upepo

    upande wa kushoto. Unajua kwanini

    nakwambia kurusha tufe? Siyo zile

    mambo za ooo nakupenda kama moyo

    wangu. Unampenda kama moyo wako?

    Acha uongo basi ndugu yangu maana moto ukizuka ndani hutasubiri atoke

    ndipo ufuatie wewe. tena huenda

    ukampiga hata kikumbo uanze kutoka

    wewe.

    “Lina” niliandika na kuruhusu. Nikasubiri

    jibu. “Nashukuru kunipa lifti maana hizi adha

    za daladala si mchezo”

    “usijali mbona kawaida tu?” alinijibu.

    Nilikuwa nilishamshukuru lakini nilirudia

    maksudi ilia one najali.

    “Poa. Naomba nikuulize kitu kama hutojali” mwanzo wa chombeza zangu

    sasa.

    “Eti unapenda utani?”

    “Ndiyo. Maana nami najua kutania tena

    usipoangaliwa waweza kulia kama mtoto

    aliyeringishiwa nyonyo” alinijibu vyema. Nikavimba kichwa kikawa kama sim tank

    la lita buku mbili.

    “Vizuri. Kwani umelala?”

    “Ndiyo nipo kitandani najibembeleza.”

    “Mh! Unajibembeleza au

    unabembelezwa?” Nilimhoji swali hilo maksudi tu ili tu nipate kumsogeza karibu

    na utani wa kitandani.

    “Ningekuwa nabembelezwa wala

    usingeona nikijibu meseji zako kila

    unapotuma.”

    “Mh! Nisamehe katika hilo. Vipi unapendelea nguo ya rangi gani wakati

    wa kusinzia usiku?”

    “Pink na green.”

    “Hapo ulipo umevaa rangi gani kati ya

    hizo?”

    “Green” “Natamani nikuone katika vazi hilo”

    bahati mbaya kabla hajanijibu, simu

    yangu ilizima chaji. Dah! Bahati mbaya

    sikuwa nimepanga nyumba yenye

    umeme kwamba niweke kwenye chaji

    muda huohuo. Nikapitiwa na usingizi huku akili yangu ikiwa na matamanio ya

    kundelea kuchat na Lina lakini nd’o hivyo

    haikuwezekana.

    **

    Ni jumatatu majira ya saa nne asubuhi.

    Nipo ndani ya gari la mzee Abas akinipeleka nyumbani kwake kwa ajili ya

    kuifanya kazi yake kwa mkewe. Tulifika

    mkewe akanionyesha uchangamfu wa

    hali ya juu. Ni watu walioonekana kuwa

    na maisha mazuri kutokana na mazingira

    yao ya kimaisha. Baada ya kunifikisha, mzee Abas akatuaga na kuondoka hii

    ikiwa ni baada ya kupigiwa simu na mtu

    ambaye alionyesha kumhitaji haraka

    iwezekanavyo. Nikatoa vifaa vyangu vya

    kazi na kuanza kwa kumuosha kucha

    mkewe. Nilipomaliza kumuosha kucha zake, nikaandaa rangi alizozitaka lakini

    kabla sijampaka, simu yake ikaita.

    Akainuka na kwenda kuichukua

    chumbani. Kama dakika tatu alitumia

    huko chumbani. Aliporudi akaniuliza, “hivi

    mwanaume ni muoga kama mwanamke?” “Sina uhakika kwasababu hata usiku

    mwanamke ndiye huomba kusindikizwa

    nje tofauti na mwanaume ambaye

    hutoka tu.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Jibu zuri sana.” Aliposema hivyo,

    akachukua pochi yake iliyokuwa juu ya sofa na kutoa noti kumi za elfu kumi

    akanitaka kuzipokea huku akiniomba

    nimtulize kwa dakika chache tu.

    Nilistaajabu sana. Ni jambo ambalo

    sikulitegemea. Nikaawaza labda ni

    mtego nimewekewa nije kugeuzwa mke. Kabla sijajitetea, akaenda kufunga

    mlango na kuvua nguo. Akabaki uchi na

    kunisogelea. Nilihisi kudungwa GANZI.!!



    Nilihisi kudungwa sindano ya ganzi

    lilikuwa ni jambo lililonishtua kwa kiasi

    kikubwa. Sikulitegemea hakika. Nikaduwaa wakati huo akianza

    kunipapasa. Nilikuwa nimekaa juu ya

    zulia, hivyo haikumpa tabu hata kidogo.

    Akanisukuma nami nikalala chali.

    Akanitoa suruali yangu na kumalizia na

    boxer. Hakunichelewesha wala hakuwa na mbwembwe za kushikanashikana. Si

    haraka? Mwanaume tayari

    nilishasimamisha. Niko imara na bunduki

    yangu kuingia vitani. Akawa juu yangu na

    kuanza kujihudumia huku akiingiza

    mikono ndani ya t-shirt yangu na kuanza kunipapasa. Mzuka ukanipanda na

    kusahau kama pale ni vya kuiba.

    Nikamvuta vyema na kukutanisha

    midomo yetu. Bado nikaona

    hatanikumbuka. Nikamgeuza yeye akawa

    chini lakini kwa mtindo w ubavuubavu huku mimi nikiwa nyuma yake. Hivyo

    nikaishika shingo yake na kumbania

    mdomoni kwangu. Akawa hapati nafasi

    ya kunizungushazungusha na kiuno

    chake. Hakuchelewa kumaliza kile

    alichokuwa na pupa nacho. Akafika huku mimi nikiwa nd’o kwanza nataka lakini

    akaniomba nimuache atatafuta siku

    nyingine yenye uhuru anifaidi.

    Nikamuachia pasipo kupenda. Akainuka

    na kuchukua nguo zake. Akavaa nami

    nikavaa. Akauacha mlango wazi kama awali ndipo tukaendelea na kazi.

    “Napata kila kitu lakini sifaidi mapenzi.”

    Aliniambia lakini kabla sijamhoji, mume

    wake akaingia. Lakini akaonyesha hali ya

    mashaka. Akapitiliza chumbani.

    Nikafanya harakaharaka na kumaliza. Nikalipwa fedha yangu na kuondoka.

    Nilipofika nyumbani, nikaoga naa

    kubadilisha nguo. Nikaelekea hotelini

    kupata chakula cha mchana huku akili

    yangu nikiiwaza kauli ya mke wa Mzee

    Abas. “Napata kila kitu lakini sifaidi mapenzi.” Sikuipa kipaumbele sana ili

    isinichanganye kichwa. Nikala chakula

    changu nilichokiagiza pamoja na juisi.

    Nilipomaliza sikurudi nyumbani,

    nikaelekea kazini kwangu kumalizia

    kitanda cha jamaa mmoja ambaye ni mkorofi kweli maana akitoa kazi hulipa

    fedha yote kabla ya kumalizika kwa kazi

    yake.

    “Za kunisahau?” hiyo ilikuwa ni majira ya

    jioni nikiwa naelekea nyumbani. Alikuwa

    ni Lina. Meseji yake ilinifanya kuhisi aibu kwasababu ilikuwa na ukweli ndani yake.

    “Nisamehe kwa hilo japo leo nilibanwa

    na kazi tangu asubuhi na simu niliisahau

    nyumbani nikashindwa kurudi kuichukua

    kwasababu nilisimamiwa na jamaa

    mmoja hadi nimalize kazi yake.” Ulikuwa ni uongo lakini sikuwa na namna

    nyingine.

    “Usijali. Pole na kazi.” Kwa upole

    alinijibu.

    “Asante.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Tunaweza kuonana?” aliniuliza nami sikuwa na shaka juu ya hilo.

    Nikamkubalia tuonane. Akaniambia

    atakuja kunichukua nyumbani twende

    mahali tuzungumze.

    Nilipofika nyumbani, haraka nikaoga na

    kuvaa nguo nyingine tayari kutoka na Lina. Nilijiongopea. Haikupita muda

    mwingi. Saa moja nikasikia mlango

    ukigongwa. Sikuwa na mazoea na mtu

    yeyote pale ndani wala Lina hakuwahi

    kufika pale zaidi ya ile siku aliyonipa lifti

    wala hakuteremka kwenye gari. Nikainuka na kwenda kuangalia ni nani.

    hamali! Alikuwa ni Lina. Ebwanawee!!

    Mzuri halafua anajua avae nini ili

    apendeze. Siyo miguu kama bamia

    halafu unavaa sketi fupi hadi mapajani.

    Si tutakufananisha na kijiti ndani ya buti. Nikamkaribisha ndani huku nikihema kwa

    kasi. Sikutegemea kama siku moja

    ingetokea mwanamke mzuri kama Lina

    angeingia katika chumba changu japo

    hakikuwa kibaya sana.

    “Umependeza Lina” ilinibidi tu nimsifie wakati huo akikaa juu ya kitanda maana

    ndani ya chumba changu, hata stuli

    haikuwemo ilihali nilikuwa fundi wa vitu

    hivyo.

    “Asante” alinijibu huku akinikazia macho.

    Nikasogea nami nikakaa kitandani kwasababu nd’o kiti, vilevile nd’o kitanda.

    Kwa uchokozi nikakaa karibu yake.

    “Tunaelekea wapi?” nilimuuliza.

    “Kwako.” Alinijibu kwa ufupi na kunifanya

    niduwae. Tupo kwangu halafu

    ananiambia tunaelekea kwangu. “Si uliniambia unataka tutoke?”

    Nilimuuliza lakini hakunijibu. Akajilaza

    kitandani huku miguu yake ikining’inia.

    Nikawaza kama dakika mbili kabla ya

    kuiga kile alichokifanya. Nikimaanisha

    nami nikalala kama yeye. “Yani nikafa sahivi nitakulaani maana

    unanionea.” Ndiyo kauli aliyoitoa huku

    akigeukia upande wa pili. Nilishajua

    lengo lake muda mrefu lakini hiyo yote

    kuchelewachelewa ni kujibaraguza tu

    wala si vinginevyo. Nikamgeukia na kuinua kichwa changu kisha nikapeleka

    mkono kichwani kwake na kumgeuza ili

    tutizamane. Taa ilikuwa ni sawa na ile

    inayowekwa kwenye mabanda ya

    kufungia vifaranga wa kisasa. Mwanga

    mkali haswaa. Macho yake yalijidhihirish a pasipo kinywa chake kufunguka na

    kunena jambo. Alionyesha kutweta na

    macho kulegea. Nikamsogeza karibu na

    kinywa changu. Midomo yetu ikakutana.

    Wacha mapigo yaniende mbio. Sikuwahi

    kufikiria kubadilishana na mwanamke mzuri kama Lina. Mwanamke Midomo

    laini kama bamia ilipikwa kwa masaa

    mawili. Siyo midomo migumu kama

    msasa wa kusugulia mbao. Midomo laini

    kwelikweli. Sikuishia kwenye mate tu,

    nikapeleka mkono kifuani kwake. Nikaanza kuziminyaminya taratibu

    chuchu zake wakati huo nikimnyima

    pumzi kinywani mwake kwa kunyonya

    mate yake kwa fujo. Akaonekana

    kulegea na kukosa nguvu tofauti na

    mwanzo. Nikamuachia na kumvua sketi yake akaachia mapaja yake nikaitoa

    sketi bila tabu. Sikuwa na haraka.

    Chakula nshapewa bila jasho halafu

    nitumie haraka? Ya nini?? Taratibu kwa

    pozi. Nikayavamia mapaja yake na

    kuanza kuyapitishia ulimi kwa mtindo wa panda shuka. Sauti ikabadilika na kuwa

    miguno kama mbuzi dume ampandapo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    jike. Nikamvua taiti na kumkakiza na

    nguo ndogo tu ya ndani. Ghafla akainuka

    na kunishika kichwa changu kunizuia

    nisiendelee na zoezi langu kwasababu baada ya kumtoa taiti, nilirudia

    kumlamba mapajani.

    “Siziamini kinga na sipendi hata siku

    moja mwanaume kuingia kwenye mwili

    wangu na kinga” alinishtua kweli.

    Nilishajihakikishia kwamba hana ujanja nimeshammaliza kilichosalia ni bunduki

    kuwekwa risasi kisha isikike milio tu.

    “Kiasi sijakuelewa.”

    “Wewe unaniamini?” aliniuliza.

    “Ndiyo. Uzuri wako unatosha

    kunithibitishia ya kuwa u salama kwasababu nasikia wengi wenye

    maambukizi, hawakosi madoadoa na

    hata ngozi yao hukunjamana.” Sikuwa

    nimepita shuleni zaidi ya shule za ufundi

    hii ni kutokana na uhaba wa fedha. Hivyo

    masuala ya magonjwa sikuwa nikiyatambua kwa kina.

    “Usinitafsiri wala usiniamini kwa kigezo

    cha uzuri wangu. Yapo magonjwa mengi

    ya zinaa si UKIMWI peke yake. Yote ni

    hatari. Yote hayo hayaonekani kwa

    vipimo vya macho. Tusijiambukize magonjwa wenyewe kwasababu ya

    tamaa za muda mfupi ikawa kilio cha

    muda mrefu.” Hadi hapo mwili

    ulishanipoa. Hamu ilishatoweka katika

    ufahamu na viungo vyangu.

    “Nimekuelewa.” Nilimjibu na kumfanya atabasamu.

    “Vizuri kama umenielewa kwasababu

    hiyo ni kwa faida yetu wote.”

    “Asante kwakuwa mwalimu wangu japo

    leo kulala itakuwa vigumu kwasababu

    nitakuwaza mno.” “Usijali. Leo tuko pamoja mpaka

    asubuhi.” Nilidhani kauli yake ni utani

    lakini si hivyo. Tuliongea mengi na ahadi

    zilikuwa nyingi mno hasa akirejea toka

    masomoni. Hadi tunapitiwa na usingizi,

    alikuwa kifuani mwangu bila nguo za juu. Nikalifaidi joto lake hadi asubuhi lakini si

    kimapenzi. Ni mwanamke jasiri na makini

    haswaa. Acha nizidi kumsifia. Mzuri na

    makini. Eti na wewe unainua pua na

    macho kwa nyodo. Oohh!! Sina shida mi

    mzuri hata akiniacha kesho napata mwingi. Unalo dada’angu maana

    ukiguswa tu tayari ushajivua nguo

    mwenyewe hata hujali kilio chako kesho.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Unadhani kuna mtu atakuonea huruma?

    Asubuhi alikuwa wa kwanza kuamka.

    Akaniamsha. Dah!! Akanibusu na kunishukuru kwa ujasiri. Ikawa furaha.

    Saa mbili na nusu tulikuwa mbele ya

    daktari akitunyonya damu zetu.

    Zikapimwa sote tulikuwa salama.

    Akanikumbatia palepale mbele ya dokta.

    “Twende ukanifungue” sikuelewa maana yake mwanzo hadi hapo baadaye.

    **

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog