Search This Blog

Monday, October 24, 2022

PENZI LA MKE WA BABA - 3

 





    Chombezo : Penzi La Mke Wa Baba

    Sehemu Ya Tatu (3)



    Mchumba wangu, alichukia sana mimi kufanya mapenzi na mama, akasema,

    “Meshack wewe ni mjinga, siwezi kukusamehe, najuta ata kukufahamu we mwanaume,

    bora ningekufumania na mwanamke mwingine ila sio mke wa baba yako mzazi, una

    laana kubwa sana Meshack," nilisema, “nisamehe mchumba wangu, sio kwamba

    napenda kufanya hivi naIazimishwa na mama, na anasema nisipo fanya hichi kitu

    atanisema kwa baba kuwa nimempa mimba"joys akasema, “haa! Kumbe umempa ata

    mimba, sikuwezi wewe mwanaume kwaheri" mama akamjibu, “ndiyo hii mimba yake

    ulikuwa hujui, nilikuzuia kukaa hapa ukabisha utakoma"joys alichukuwa nguo zake

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akatoka nje, wakati yupo njiani akakutana na baba yangu, baba akamuuliza, "joys

    mbona unalia na umebeba mizigo, umefiwa au?"joy akasema, “baba Meshack wako

    anatabia mbaya simuwezi, wala siwezi kuolewa naye" baba akamuuliza, “mbona

    mwanangu ni kijana mzuri amefanya nini"joys akasema, “kitu alicho kifanya siwezi

    kusema ni aibu tupu utamuuliza wewe" ndipo baba akaja nyumbani.



    Kipindi baba anakuja alinikuta namgombeza mama maana alisababisha mpaka

    mchumba wangu akaondoka, baba alipo fika, akauliza, “kwanini mnagombana"

    nikamwambia, muulize mama, mama akasema, “mke wake anatabia mbaya sana,

    ameingia chumbani kwangu kisha akaanza kushika nguo zangu za ndani, hivi ata

    kama ni wewe mtu kama huyo utamfikiliaje, lazima uhisi ni mchawi" baba akasema,

    “hee! Kumbe huyo dada akili zake ndogo ehh, basi ni bora aondoke tu, siwezi kuishi

    na watu wakorofi namna hiyo" ndipo baba akaacha kumuulizia tena mchumba wangu.

    Baada ya miezi kadhaa, mke wa baba akashikwa na uchungu wa kujifungua hivyo mimi

    na baba tukaanza kuwangaika kumpeleka hospitali, chakushangaza ni kwamba mama

    alikuwa anasikia maumivu na alikuwa anasema hivi, “Meshack umeniua, nakufa

    Meshack" alisema hayo maneno mara kwa mara, baba akauliza kwamba “kwanini

    unamtaja sana Meshack, kwani yeye ndiyo kakupa mimba" niliendelea kumzuia mama

    asiseme hivyo, lakini alishindwa kujizuia kabisa mpaka tukafika hospitali, sasa

    wakati anajifungua pia alikuwa ananitaja mimi tu, baada ya mda, daktari alimuita baba

    kisha akasema, “Mr Meshack hongera mke wako amejifungua salama". Baba akasema

    “mimi sio Meshack, Meshack ni mtoto wangu".





    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Daktari alishangaa sana kusikia kuwa baba haitwi Meshack, akamuuliza baba,

    “kwahiyo kumbe huyo sio mke wako, maana katika uchungu wake wote alikuwa

    analitajajina la Meshack" baba akasema, “Daktari ata mimi sielewi, naanza kuogopa

    huenda mwanangu amempa mama yake mimba" daktari akasema, “usiwe na wasiwasi

    mzee, unajua mda mwingine mwanamke anapo kuwa mjamzito anaweza kumchukia

    sana mme wake na kujikuta anampenda mtu mwingine, hivyo huenda alimzoea sana

    Meshack ndiyo maana anamuona kama mtu mwema kwake" baba akasema, “kweli

    Meshack na mama yake ni marafiki sana" baada ya hapo tuliondoka kutoka hospitali,

    mimi, mama, baba pomoja na kachanga ketu kaliko zaliwa. Baba yangu alikuwa

    anampenda sana mtoto, akamshukuru mke wake kwa kumletea mtoto wa kiume, nafsi

    yangu ilikuwa inanisuta sana maana yule mtoto alikuwa sio wa baba bali alikuwa ni wa

    kwangu. Siku moja tukiwa wote sebreni baba akasema, “mke wangu, sahivi

    umejifungua inabidi tutafute binti wa kazi ili akusaidie kazi za ndani maana unapaswa

    kupumzika" mama alikataa kabisa akasema, “sitaki wadada wa kazi ndani kwangu,

    niwasumbufu sana, nitajifanyia kazi zangu mwenyewe" kumbe mama alikataa kwa

    sababu alijua kuwa mtu akiongezeka pale nyumbani itakuwa ni ngumu sana mimi na

    yeye kufanya mapenzi. Baba akasema, “sawa mke wangu kama hutaki msaidizi wa

    kazi hamna shida, ila ukiona umuhimu wake utaniambia". Mtoto aliendelea kukuwa na

    alikuwa anafanana sana na mimi, kumbe mama alikuwa anatamani baba afe ili mimi na

    yeye tuishi ndani kama mke na mume tuache kufanya mapenzi kwa kujificha. Siku

    moja baba alipigiwa simu kuwa dada yake anaumwa hivyo baba akaenda kumuangalia,

    ndipo mama akatafuta dawa ya kumfanya baba augue kisha afe ili mimi na yeye tuishi

    kwa amani ndani na alifanya hivyo bila kuniusisha mimi. Mama alipika chakula na

    kukipakuwa kwenye sahani tatu ila kwenye sahani ya baba akaweka ile dawa ili baba

    akila tu aanze kuugua sana mpaka aondoke duniani, baba alipo rudi tulikaa wote

    sebreni kumbe mama alikuwa na siri nzito moyoni mwake kwamba baba lazima

    ataanza kuugua mara tu atakapo kula kile chakula, mimi nilianza kula, mama nae

    akala kipindi baba anataka kuweka chakula mdomoni,





    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kabla baba hajaweka kile chakula kinywani, alisema “mke wangu kila ninapo muona

    mtoto ulie nizalia najisikia furaha sana moyoni mwangu, nakupenda sana mke wangu"

    baba aliendelea na kusema kwamba, “mda mwingine nashindwa nikupe zawadi gani ili

    uone furaha niliyo nayo moyoni" ndipo baba akasema, “achama nikulishe kidogo mke

    wangu maana upendo umezidi sana kwako" kwakuwa mama alikuwa ameweka sumu

    kwenye chakula cha baba ili afe kusudi apate nafasi ya kufanya mapenzi na mimi,

    mama alikataa kula, baba akasema, “haa! Mke wangu nakulisha hutaki, tatizo nini?"

    Mama akasema, “hapana mme wangu, chakula changu kinanitosha, wewe kula chako"

    nikamkonyeza mama ale, kusudi baba asije kunihisi vibaya, lakini mama akakataa

    kula, maana angekiweka tu mdomoni basi angekufa yeye. Baba alinuna sana kisha

    akaenda chumbani kwake bila kula, sasa siku hiyo kulikuwa na mvua sana hivyo hali

    ya hewa ilikuwa ya baridi, ikapelekea mimi kupata hamu ya kula zaidi ndipo nikataka

    kuchukuwa chakula cha baba ili nikile mimi kusudi kisimwagwe, kumbe kwenye

    chakula kulikuwa na sumu ambayo mama alikuwa ameweka ili baba yangu augue kwa

    mda mrefu alafu afe, mama akasema “Meshack naomba usile hicho chakula"

    nikamwambia, “niache bhana mimi nina njaa"



    mama akavuta ile sahani mpaka ikaanguka chini na kupasuka, nilichukia pia ndipo

    nikatoka sebreni na kwenda kulala chumbani kwangu. Kulipo kucha asubuhi mama

    yangu akaandaa chai ili aweke ile dawa kusudi baba akinywa tu aanze kuugua mpaka

    kufa, sasa mama alipo weka chai kwenye kikombe cha kwanza, bahati mbaya

    kilianguka chini na kupasuka, mama akaweka kikombe cha pili akajitingisha

    mwenyewe kikapasuka pia, wakati anaweka kikombe cha tatu baba akasema, “mke

    wangu acha tu sitaki chai yako maana nitakumalizia vikombe, nitakunywa chai kazini"

    mama alichukia, maana mipango yake yote ilikuwa inakwama, ndipo akarudi kwa bibi

    alie kuwa anampa dawa, mama akaambiwa kuwa achukue tunda la peazi kisha

    akapewa maelekezo ya kupaka dawa ili baba akila afe, kweli baba alipo kula lile peazi

    alianza kuteseka, alikuwa mnyonge, baba alikuwa hali chakula, mda wote anatapika

    tu, rangi ya mwili wa baba ikabadilika, kumbe lile penzi lilikuwa linaota tumboni mwa

    baba kichawi.





    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Baba aliendelea kusumbuka sana maana ule ugonjwa ulikuwa unamtesa mpaka

    analia, mimi na baba hatukuweza kuhisi kama ni mama anafanya vile, tulihisi huenda

    ni majirani wanatuchezea kishirikina kwa sababu ya maendeleo yetu. Nilimpeleka

    baba hospitali lakini madaktari hawakuweza kumtibu, na kila tulipo endelea kumtibu

    ndiyo hali ilikuwa inaendelea kuwa mbaya. Mama akasema, “Meshack wewe endelea

    kwenda kazini mimi nimuuguze baba yako nyumbani" ilifika kipindi miguu ya baba

    ikaishiwa nguvu hata kusimama hawezi, mda wote baba amelala tu, kutokana na baba

    kushindwa kusimama ilikuwa ngumu kwake kujisaidia haja kubwa na ndogo,



    mama alikuwa anamshilikia uume wake ili aweze kujisaidia, siku moja mama

    ameshikilia uume wa baba ili akojoe, kwa bahati mbaya mkojo ulimwagikia mama

    usoni, akasema, “wewe mwanaume mpuuzi sana, yaani uchafu wako unanikojolea

    usoni" baba akasema “nisamee mke wangu" siku nyingine, mama alikuwa

    anamnywesha baba uji, sasa kutokana na lile peazi lililo kuwa linaota tumboni

    kichawi, baba alipata kichefuchefu na kumtapikia mama mkononi, mama alichukia

    sana akasema,



    “nimekuchoka sasa na uchafu wako, tazama matapishi yako yalivyo mabaya na

    meusii, unanitapikia mimi bora ufe tu bhana haa!" baba akasema, “mke wangu

    nilikuoa ili uwe wangu kwenye shida na raha, naomba univumilie nitapona tu" siku

    nyingine mama akiwa nyumbani, baba alikuwa analia huku akisema, “nisaidie mke

    wangu nakufaa, tumbo linisokota sana" kabla mama hajakaa sawa mtoto nae akaanza

    kulia, mama akasema, “sasa wote mnalia nimsaidie nani?" baada ya mda mfupi na

    mimi nikawasili, ndipo nikamwambia baba kwamba itabidi nimpeleke kwa waganga wa

    kienyeji, baba alikataa akasema Mungu atamsaidia tu. Siku moja usiku baba akiwa

    chumbani na mama huku baba akiwa amezidiwa analia, kipindi hicho mimi nipo

    chumbani kwangu sina habari,



    mama alianza kumfinya baba akisema, “umenichosha wewe mwanaume, sasa mimi

    nitalala saa ngapi, usiku mzima unalia tu, utaniamshia mtoto mshenzi wewe" baba

    akasema “nisamee mke wangu" ndipo akasema “unaniboa sana" mama akatoka kwa

    baba kisha akaja kwangu alafu akasema, “Meshack nimekumisi naomba leo tufanye

    baby nina hamu sana"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog