Search This Blog

Monday, October 24, 2022

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) - 4

 





    Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)

    Sehemu Ya Nne (4)



    “Yule ndiye mke wa MJ?”

    “Mke! Malaya tu.”

    “Ina maana si mpenzi wake wa siku zote?”

    “MJ ana mpenzi mmoja? Kila kukicha anabadili wanawake kama nguo. Huyu sijui mtoto wa kigogo alikuwa nje ya nchi nasikia kaidanganya familia yake anakuja kesho ili ale raha na MJ jana na leo kisha kesho anakwenda kwao.”

    “Amefika lini?”

    “Jana usiku.”

    “Saa ngapi?”

    Songa nayo....

    “Kama saa tano au sita hivi sina kumbukumbu vizuri.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Wakati anakuja MJ alikuwa wapi?”

    “Sijui si unajua anapenda starehe sana, alinipigia simu tu nimpokee na baadaye alikuja mwenyewe.”

    “Kwenye saa ngapi?”

    “Bebi maswali yote ya nini mbona unauliza kama mpenzi wako?”

    “Samahani bebi nimeuliza tu.”

    “Achana naye tufanye yetu, ukimfuatilia MJ atakupasua kichwa, sijui mwanamke gani jijini hajampitia.”

    “Mbona mimi hajanipitia?” Lily alijishaua.

    “Bahati yako uko na mimi bila hivyo sasa hivi ungekuwa umeliwa na kupigwa chini.”

    “Kwa hiyo ndiyo tabia yake?”

    “Lily hebu tuachane na mambo ya MJ,” Shuku alisema huku akifungua mlango wa gari na kumuingiza Lily kisha alirudi upande wake na kuingia kwenye gari na kuelekea kwenye msosi.

    Lily moyo ulimuuma baada ya kujua MJ alimtelekeza hotelini kwa ajili ya yule msichana. Moyoni aliapa kumshikisha adabu tena kupitia kwa Shuku mulemule ndani.

    Lily baada ya kutoka kwa Shuku alipanga kulirudisha penzi lake upya kwa mpenzi wake baada ya kuona MJ alimfanyia kitendo cha kumdhalilisha. Alipoorudi nyumbani alimueleza yote dada yake aliyofanyiwa na MJ.

    “Mdogo wangu dunia ya leo hakuna bwana wa mmoja, wee kula sehemu yako isiyokuhusu waacheni wenzako.”

    “Dada unauma hawezi kunitelekeza hotelini na kwenda kwa mwanamke mwingine.” Lily alisema kwa uchungu.

    “Kwa hiyo ulitaka kufanyaje?”

    “Nimeona heri nirudiane na Shuku.”

    “Kwani mliachana?”

    “Hatukuachana bali nilipenda nimtulikie bwana mmoja Shuku nilikuwa namtema kiana.”

    “Una muda gani ulikuwa hujaonana na Shuku?’

    “Muda kidogo nilikuwa nimpiga kalenda mpaka akashtuka, dada leo mbona nilikuwa ndo aachwa!”

    “Na nani?”

    “Na Shuku.”

    “Kwa sababu gani?”

    “Si sababu ya kumrusharusha, penzi alilonipa leo lilikuwa la mwisho,,ha..halafu sa..aa..sa!”

    “Nini tena?” dada Lily alishtuka.

    “Dada japokuwa Shuku mbahiri lakini ni mwanaume wa shoka, akikushika kakushika. Alichonipa leo kama angeniacha ningeingia uchizi.”

    “Kakupa penzi gani tena lililokuchanganya mdogo wangu?”

    “Hata siwezi kulielezea ila sijawahi kupewa penzi tamu kama lile.”

    “Sasa mdogo wangu kwa vile Shuku hajui lolote juu ya uhusiano wako na MJ, wewe mpe penzi kama kawaida ila hakikisha hupitishi siku mbili lazima umpe.”

    “Nitafanya hivyo, sasa hivi mpenzi yote kwa Shuku kuchuna kwa MJ.”

    “Umeona eeh, mdogo wangu hayo ndiyo mambo usiwe na hasira za mkizi bure.”

    “Habari ndiyo hiyo.”

    Simu ya Lily iliita alipoangalia alikuta ni MJ amepiga, alitulia bila kupokea kitu kilichomshtua dada yake na kuhoji.

    “Vipi nani, mbona hupokei?”

    “MJ.”

    “Sasa mbona hupokei?”

    “Yaani kanitoka moyoni ile mbaya.”

    “Hebu pokea kumbuka ndiye anayekupa jeuri mjini.”

    “Dada nitazungumza naye nini?”

    “Msikilize.”

    Lily alipokea simu, alikuzungumza:

    “Haloo.”

    “Haloo Lily mpenzi samahani sana.”

    “Samahani ya nini MJ?”

    “Kwa yote niliyokufanyia nakuahidi kukufanyia mambo makubwa naomba unisamehe sana pia sitaki tuyakumbuke yaliyopita, ila naomba jioni ya leo tuonane samahani sana mpenzi wangu,” MJ alijitetea.

    “Sawa nimekusamehe ila suala la kuonana nitakujibu baadaye.”

    “Basi usichelewe kunijulisha mpenzi.”

    “Poa,” Lily alijibu huku akikata simu.

    ”Vipi anasemaje?” dada Lily aliuliza.

    “Eti anaomba msamaha.”

    “Nimefurahi kusikia umemsamehe mdogo wangu ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.”

    “Lakini dada nimemsamehe kwa ajili yako kitendo alichonitenda kiliniumiza sana.”

    “Kikuumize vipi wakati kuna wasichana wenzako nawatumika bure lakini wewe una gari na nyumba inakuja.”

    “Eti anataka leo tuonane.”

    “Kwa hiyo?”

    “Aah! Mi siendi, Shuku anaweza kunitafuta itakuwaje nami sitaki kumuudhi tena?”

    “Kwani mlikubaliana leo muonane?’

    “Tumeagana tu, anaweza kunitafuta ili kuona niliyomuomba msamaha nayatekeleza.”

    “Sasa fanya hivi mkubalie MJ, Shuku akikupigia mwambie mi mgonjwa.”

    “Jamani akija na kunikosa itakuwaje?”

    “Fanya hivi mwambie MJ akupitie saa mbili ili tujue kama Shuku atakutafuta tujue tufanye nini.”

    “Ngoja basi nimpigie kumujua tukutane wapi.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mpigie.”

    Baada ya kupiga simu ilipokewa upande wa pili.

    “Haloo.”

    “Haloo.”

    “Niambie mpenzi?”

    “Kwa hiyo?”

    “Nakusikiliza wewe.”

    “Leo wapi?”

    “Pa jana.”

    “Saa ngapi?”

    “Saa mbili usiku.”

    “Utanifuata?”

    “Noo bebi njoo tu na usafiri wako.”

    “Poa.”

    Baada ya kukata simu alimgeukia dada yake.

    “Amesema kama jana.”

    “Nenda mdogo wangu kijua ndicho hiki ndo wakati wa kuuanika.”

    “Nimekuelewa dada, naomba tu Shuku asinitafute.”

    Kwa vile alikuwa amechoka baada ya kuoga Lily alipanda kitandani kulala.

    ****

    Majira ya saa mbili usiku kama kawaida Lily alipaki gari lake maeneo ya Sea Cliff hoteli. Alimpigia simu MJ na kumueleza kila kitu alikwisha lipia alimueleza akachukue ufunguo mapokezi ili atangulie chumbani.

    Lily alifanya kama alivyoelekezwa kwa kuchukua funguo na kuingia chumbani kumsubiri MJ kwa kuagiziwa kila kitu alichokitaka kutumia usiku ule kilikuwa kimelipiwa.

    Akiwa amejilaza kitandani huku akipata wine, alifikiria jinsi atakavyompelekesha MJ ili apate kitu kingine cha thamani. Alijikuta akikaa muda mrefu bila MJ kutokea, kitu kilichomshtua sana. Alipopiga simu ya MJ haikuwa hewani aliendelea kumsubiri. Muda nao ulikatika alijikuta akikaa zaidi ya saa nne bila kuonekana.

    Hasira zilimpanda kuamua kuondoka, wazo la kurudi nyumbani hakuliafiki aliamua kwenda kwa Shuku ili akamalize hasira zake. Kama kawaida alimkuta Shuku amejilaza kwake.

    “Vipi mbona ghafla?” Shuku alishtuka kumuona Lily muda ule.

    “Nimekukumbuka mpenzi wangu.” Lily alizunga

    “Karibu.”

    “Asante, Shuku nakupenda nimelala usingizi umekataa kabisa nikaona noje nilale na wewe mpenzi wangu.”

    “Mmh! Haya.”

    “Mbona unaguna mpenzi?”

    “Nimefurahi kuona upendo umerudi.”

    “Vipi shemu yupo?”

    “Alikuwepo, ooh! Kweli ametoka si unamjua mtu wa totoz alikuwa na mtu wake kamsindikiza.”

    “Ametoka saa ngapi?”

    “Sasa hivi, nina imani hata dakika kumi hazijapita ungewahi ungemkuta.”

    “Mmh!”

    “Vipi mbona unaguna?”

    “Ndugu yako ataukwaa anapenda sana wanawake.”

    “Ndiyo hobi yake, unafikiri na mimi ningekuwa kama yeye ningeteseka hivi.”

    “Jamani usiseme hivyo, mbona mi yamekwisha mpenzi wangu.”

    “Mmh! Sawa, ila ikijichanganya nami naanza kazi ya kuoa usiku kuacha asubuhi.”

    “Usifanye hivyo mpenzi wangu, Shuku nakupenda sana.”

    “Haya mama karibu.”

    Waliingia chumbani huku Lily akizidi kufura kwa hasira kutokana na kitendo cha MJ kumpaki hotelini kumbe ana wanawake wake. Moyoni aliapa kumshikisha adabu MJ kwa kitendo alichomtenda.

    Alipokuwa akivua nguo ili aende bafuni simu yake iliita, alipoitazama alikuwa MJ aliikata huku ajifyonza. Kitendo kile kilimshtua Shuku na kuhoji.

    “Vipi mbona hivyo?”

    “Si huyu dada nimemwambia nimekuja kwako ananipigia.”

    “Si umpokelee unajua amepiga kwa sababu gani?”

    “Achana naye mi ndiye ninaye mjua ni msumbufu.”

    “Mmh! Haya mi simo.”

    Baada ya muda ujumbe uliingia aliufungua na kuusoma:

    “Bebi upo wapi? Mi nimeishafika.”

    Kauli ile ilimuudhi sana Lily na kuona kumbe alitangulizwa hotelini ili alishwe makombo. Kwa hasira aliizima simu kabisa na kuuapia moyo wake kesho kumfanyia vimbwanga ili ajue naye ana thamani mbele ya mwanaume yeyote.

    Walikwenda bafuni kuoga na kurudi kitandani, moyoni Lily aliuapia moyo wake kumpa Shuku penzi zito litakalo mchanganya na kuiomba ndoa ili kuepukana na MJ aliyekuwa akimnyanyasa kimapenzi tofauti na Shuku. Walipofika kitandani baada ya maandalizi mchezo ulianza huku Lily akifungua kitabu cha dazeni burudani zenye utamu usoisha hamu kwa kujituma huku akilalamika muda wote kama anaonewa kitu kilichokuwa kigeni kwa Shuku na kumfanya apagawe zaidi.

    “Shu..shu..ku.”

    “Mmh!”

    “Jamani niitikie basi mpenzi.”

    “Bebi unanirusha stimu maana leo umekuja na machejo mapya yaani mimi mwenyewe hoi raha mwanzo mwisho.”

    “Niitikie basi..Shu..shu..ku.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mmh!”

    “Jamani mbona hivyo hutaki kuitikia mpenzi wangu?” Lily alilalamika kwa sauti ya kumung’unya sukari guru.

    “Bebi nikiitikia mtamu atadondoka.”

    “Shuku muongo utamu upo juu au chini?”

    “Kote kote mpenzi mdomoni kumezidi huwezi kuimba huku unatafuna karanga mpenzi.”

    “Niitikie basi usikie nataka kukwambia nini?”

    “Haya niite.”

    “Shu..shu...aaah.. gari limenaelekea bondeni nidake mpenzi wangu naanguka peke yangu,” Lily alipiga kelele baada ya kwenda markiti bila kutalajia.

    Shuku aliwacha atatalike kama kakalia msafara wa siafu, baada ya kutulia aliendelea na safari huku akipata muda wa kumuuliza Lily.

    “Mpenzi.”

    “Abee.”

    “Vipi?”

    “Safi.”

    “Mbona uniiti tena?”

    “Nani alikuwa akikuita?”

    “Si wewe.”

    “Mimi nimekuita?”

    “Ndiyo”

    “Muongo! Nimekuita ili iweje?”

    “Mmh! Basi.”

    Shuku aliendelea kupiga kasia kutoka maji mafupi kuyafuata maji marefu ambayo yalikifanya chombo kianze kuyumba kwa mawimbi kwa kwenda juu na kushuka chini.Kila safari iliyokuwa ikiendelea na ufundi wa Shuku kupiga kasia Lily alikuwa akizidi kukolea ghafla tui lilikolea nazi na kuanza kutatalika tena.

    “Shu..shuku mpenzi wangu.”

    “Mmh!”

    ”Shuku niitikie mpenzi wangu nikwambie kitu.”

    “Niambie.”

    “Nitakwambiaje bila kuitikia.”

    “Niite basi.”

    “Shuuuku.”

    “Naam.”

    “U.u.na..nipenda?”

    “Ndiyo.”

    “Muongo.”

    “Kweli nakupenda Lily.”

    “Mbona unioi?”

    "Nitakuoa mpenzi wangu.”

    “Lini?”

    “Bebi unazimaliza raha zangu,”

    “kwa vipi?”

    “Stimu zinapanda unazitibua Lily.”

    “Ni..ni..sa..sa..me..me..meeeee....li,lingine tena jamani Shuku yaani leo hata sijui mpenzi wangu.”

    Lily alitetemeka kama mgonjwa mwenye degedege na kutulia akiwa amekwenda markiti kwa mara ya pili mfurulizo huku mwanaume kwake mambo baaado kabisa. Mpaka mwanaume anakanyaga yai la kuku na kulipasua mtoto wa kike shughuli ilimkuta na kujikuta akifunua mdomo bila kutoa maneno kama samaki anayekunywa maji.

    Kwa vile wote walikuwa wamechoka walipitiwa na usingizi mpaka siku ya pili Lily aliporudi nyumbani kwao. Wakati anatoka alikutana na MJ akitoka chumbani kwake alimkata jicho kisha alibinua midomo na kufyonza kisha alielekea nje kitu kile kilimshtua Shuku na kujiuliza kuna kitu gani kati ya mpenzi wake na MJ.

    Wazo lake la haraka lilikuwa labda MJ alimtongoza Lily na kumtolea nje lakini hakutaka mawazo yake kuyaelekeza huko moja kwa moja aliamua kulifuatilia kwa siri.

    Walipofika nje waliagana na Lily kurudi nyumbani kwao, njia nzima Lily alijikuta akizidi kumchukia MJ na kuapa moyoni kumkomesha kwa vitendo alichomtendea cha kumwita na kumwacha hotelini kumbe alikuwa na mwanamke mwingine.

    Alipofika nyumbani alioneka mtu aliyekosa furaha japo penzi la Shuku lilikuwa mwana ukome. Dada yake alikuwa wa kwanza kuigundua hali ile japokuwa alijitahidi kuificha.

    “Vipi mdogo wangu kulikoni?”

    “Kawaida tu dada.”

    “Hapana haupo vizuri umetibuana tena na shemu nini?”

    “Yaani bora tungetibuana kuliko anachoendelea kunifanyia.”

    “Kipi tena?”

    “Si cha kuita hotelini asitokee na kunifanya kama sina pa kulala.”

    “Sasa kama alikuita hotelini asitokee kwa nini usirudi nyumbani kulala. Nawe unapenda mtu hatokei unalala mpaka muda huu.”

    “Dada si yamejirudia yaleyale ya Shuku kuokoa jahazi, tena sasa hivi sijui Shuku anajua natembea na MJ yaani penzi analonipa toka nivunje ungo sijawahi kupewa leo nilichanganyikiwa. Yaani kama ndiyo nimo ndani ya ndoa lazima nidai taraka ili ikalifaidi.”

    “Mmh! Usiniambie.”

    “Dada Shuku anayajua mapenzi anajua apige wapi kumsambalatisha mwanamke.”

    “Wacha weee!”

    “Nilipanga kumpagawisha lakini nimepagawa mimi.”



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    “Mmh! Usiniambie.”

    “Dada Shuku anayajua mapenzi anajua apige wapi kumsambalatisha mwanamke.”

    “Wacha weee!”

    “Nilipanga kumpagawisha lakini nimepagawa mimi.”

    “Jamani mdogo wangu natamani nami nirudi umri wako nikutane wa wanaume kama Shuku.”

    “We ulie umekula kwako endelea na shemeji.”

    “Lakini hata shemeji yako anajitajidi akinishika mwenyewe naipata.”

    “Dada mi nimeamua kuachana na MJ bora mapenzi yangu yote niliyarudishe kwa Shuku.”

    “Ni kweli uamuzi wako ni mzuri, nina imani MJ humuelewi lakini ikimjua hawezi kukusumbua.”

    “Dada nina moyo gani wa kuniacha hotelini mara mbili niendelee kuwa naye?”

    “Sikiliza mdogo wangu mjini jua kula na kipofu, MJ mchukulie kama sehemu ya kukuingizia fedha ila penzi unalipata kwa Shuku.”

    “Sawa dada lakini lazima nami nimkomeshe.”

    “Mdogo wangu mwanaume hakomolewi kwa vile tupo wanawake wengi.”

    “Kama angejua hilo kwa nini amenifuata akijua mimi ni mpenzi wa ndugu yake. Ukiona ona hivyo kipo kilichomvutia kwangu na kuamua kunifuata.”

    “Mmh!”

    “Dada usigune yaani anayonifanyie MJ si ya kumtetea.”

    Wakiwa katikati ya mazungumzo simu iliingia alipoangalia alikuta ni MJ. Aliiangalia bila kuipokea kitu kilichomfanya dada yake amuulize.

    “Vipi MJ nini?”

    “Umejuaje?”

    “Pokea.”

    “Ataniambia nini?”

    “Msikilize mdogo wangu, mpaka mtu anapiga ana la kusema.”

    “Siwezi kumsikiliza kwa leo labda kesho sitaki kusikia sauti yake wala kuiona sura yake.”

    “Haya, lakini usitumie hasira, heri Shuku angekuwa anatoa fedha ulikuwa na haki ya kuachana naye.”

    “Tena nimekumbuka narudi huko huko,” Lily alisema huku akinyanyuka.

    “Kuna nini?” dada yake alishtuka.

    “Nikirudi nitakupa jibu.”

    Lily alikwenda kuoga na kubadili nguo kisha aliingia kwenye gari na kurudi kwa Shuku akiwa na lake moyoni mwake.

    Nguo alivaa nguo za usiku ziluacha mwili wake sehemu kubwa nje zilikuwa za kuvaa usiku lakini alivaa mchana kwa vile alikuwa anaendesha gari. Moyoni aliapa kumtesa MJ kama akimkuta naye aumie kwa kumuona si mali kitu kumtelekeza hotelini mara mbili.

    Alipaki gari kwenye maegesho na kuingia ndani, sebuleni aliwakuta MJ na swahiba wake Shuku wakipiga stori aliwasabahi kwa furaha ya uongo kwani moyoni alimchukua sana MJ.

    “Habari zenu?” aliwasalimia huku akienda kumkalia mapajani Shuku.

    “Nzuri, vipi bebi mbona ghafla?”

    “Kuna ubaya mtu kuja kwa mpenzi akijisikia?”

    “Hakuna ubaya je, usingenikuta?”

    “Ningekupigia simu, usingerudi?”

    “Ningerudi.”

    “Lakini nilijua usingetoka leo shughuli ya jana tuliyopeana haikuwa ya kitoto,” Lily alianza kumchokonoa MJ.

    “Mmh! Jana ulikuwa kama umeahidiwa kombe.”

    “Nilikuwa na usongo kuna mtu aliniudhi hasira zote nikamalizia kwako, ” alifikisha ujumbe kwa MJ bila Shuku kujua.

    “Mmh! Bebi unatisha machejo ya jana mmh! Temea chini.”

    “Hata uliyonipa wewe sijawahi kuona toka nilipomjua mwanaume. Kwa nini ulinibania siku za nyuma mpenzi, yaani raha za kuamkia leo zimenifanya nishindwe kukaa nyumbani na kujikuta nikikufuata unipe tena,” Lily alisema akipeleka mdomo kwa Shuku huku mkono akiteremka kwenye shamba la miwa.

    Mdomo aliupokea lakini mkono ulipoanza kupekecha kama karanga Shuku alishtuka.

    “Aah! Dear?”

    “Nini?”

    “Unataka kufanya nini?”

    “Kipi cha ajabu?” Lily alihoji kwa ukali.

    “Si unamuona shemeji yako?”

    “Kwani hayajui haya?”

    “Lakini lazima tumpe heshima yake.”

    “Kipi cha ajabu hebu acha kuniudhi na mkono wangu ukiutoa tutakosana,” Lily alikuwa mkali.

    “La..lakini.”

    “Lakini nini? Humu ndani hiki tunachokifanya kina ugeni gani, shemu hajui sisi ni wapenzi?”

    “Anajua, lakini mambo yetu tunafanyia ndani, yeye siku ile alifanyia wapi?”

    Kauli ile ilimfanya Shuku awe mpole kwa vile mambo kama yale MJ siku nyingine huyafanya na wanawake zake mafyatu. Baada ya kutulia Lily aliendeleza uchokozi kwa kuteremsha bukta ya Shuku ili aanze kuchana mistari palepale sebuleni, Shuku alimsukuma na kusimama.

    “Aah! Bebi unataka kufanya nini?” Shuku alikuwa mkali.

    “Shuku rudi..nakwambia rudi,” Lily alinyanyuka kumrudisha Shuku wakati huo gauni lake fupi lilikuwa limepanda na kuziacha sehemu za chini tupu huku mzigo uliokuwa wazi ukiimeza bikini yote na kuonekana kama hakuvaa kitu.

    “Noo, bebi twende chumbani.”

    “Kwani hapa kuna nini?” Lily alizidi kuwa mkali.

    “Imeanza lini?” Shuku naye alimbadilikia Lily baada kuona anakoelekea kubaya.

    “Leo.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sikiliza Lily mi si muhuni jiheshimu sipendi upumbavu, kukuchekea isiwe sababu nitakupiga chini na hakuna kitu chochote kitakacho pungua kwangu.”

    “Basi hunipendi.”

    “Kwa mtindo huu tutachokana mapema.”

    “Mbona huwa wote mnaangalia mkanda wa picha chafu.”

    “Kwa hiyo unashindana na mimi?”

    “Hapana mpenzi wangu.”

    “Na haya ndiyo mavazi gani, nilikueleza nini?” Shuku alizidi kumgeuzia kibao Lily.

    “Samahani mpenzi wangu, nilikuwa ndani ya gari pia nilijua shemeji hayupo.”

    “Lily jiheshimu, kama unataka kuendelea kuwa na mimi jiheshimu la sivyo tutaachana huku tunapendana.”

    “Nisamehe mpenzi wangu.”

    “Haya nenda chumbani mara moja,” Shuku alisema kwa sauti ya amri iliyomfanya Lily akimbilie chumbani moyoni akiamini salamu japo kidogo lakini zimefika.

    Baada ya Lily kwenda chumbani Shuku alimgeukia rafiki yake na kumwambia.

    “Sorry best.”

    “Kawaida.”

    “Hapana best sikutegemea huyu demu kuchetuka hivi.”

    “Labda amekunywa, mbona ya kawaida unakuwa mgeni kwangu?”

    “Lakini sikupenda tabia ile.”

    “Bebi nini mwenzio hali mbaya,” Lily alitoka chumbani akiwa amejifunga taulo dodo zikiwa nje zikiwa zimejaa sawa bin sawia kifuani na kumfanya MJ kuingia kwenye mateso baada ya kujua rafiki yake anakwenda kufaidi utamu pia aliujua vizuri uwezo wa Lily anapoamua kumkata kiu mwanaume.

    “Shuku kampe haki yake shemeji,” MJ alimwambia Shuku.

    Lily alipokutanisha macho na MJ alimzomea kisha alimshika mkono Shuku kurudi nyumbani. Baada ya kuingia chumbani MJ alipata hamu ya kupiga chabo kutokana na mzuka alioonesha Lily alijua patachimbika bila jembe.

    MJ alitulia kwa muda akiamini baada ya muda shughuli pevu itaanza, kuchelewa kwake alitaka akute watu wapo katikati ya shughuli. Baada ya kuridhika na muda aliweka alitoka nje na kuzunguka nyuma ya nyumba taratibu hadi kwenye dirisha la Shuku na kuchukulia kwa chati.

    Aliweka kuwaona vizuri kwa vile pazia lilikuwa limeachia upande mmoja. Lily ambaye alikuwa ameamua kurudisha penzi lake kwa Shuku kwa nguvu zote aliamua kujitoa kwa nguvu zote kuhakikisha penzi lake linamchanganya Shuku kama kweli yeye ndiye mwenye mali basi apewa kama aliyopewa na MJ na ndoa juu.

    Akiwa amefumba macho akilalamika kama mtoto wa panya baada ya raha kugonga kila kona ya mwili. Alifumbua macho taratibu ili kumuona anayempa raha zile. Hakuamini kumuona MJ kwa nje akipaga chabo alitulia kupata uhakika na kuamini ni yeye.

    Kwa vile macho ya MJ yalikuwa kwenye nyasi zilizokuwa zikiumizwa na ugomvi wa tembo wawili hakuweza kumuona Lily akitazama. Moyoni alifurahi na kuamini ile ndiyo nafasi ya pekee ya kumshikisha adabu MJ baada ya kukosa sebuleni pale alikuwa amejipeleka mwenyewe.

    Kwa vile dirisha lilikuwa la vioo Lily aliamini kabisa MJ anaona picha bila sauti. Alisitisha zoezi na kumwambia Shuku:

    “Samahani mpenzi zima AC washa feni ya juu pia fungua na madirisha.”

    “Kwa nini mpenzi?”

    “Fanya kwanza kipi cha ajabu.”

    Shuku akinyanyuka na kuzima AC kisha aliwasha feni ya juu na kufungua madirisha ya vioo na kurudi kitandani. MJ kidogo avunje mguu baada ya kumuona Shuku akielekea dirishani wasiwasi wake labda wamemuona.

    Lakini hali ilikuwa kawaida, alitulia kusikiliza na kurudi taratibu kwa kutembelea magoti mpaka chini ya dirisha kusikiliza. Ajabu ndani alisikia ya Lily akionekana ameshikika vilivyo. Sauti ile ilimfanya MJ kujua hawakumuona labda AC haifanyi kazi.

    Alirudi taratibu na kujikuta akiuona mpambano live tofauti na mwanzo aliona picha bila sauti. Hakuamini jinsi Lily alivyokuwa akitoa kilio cha mahanjamu na kumfanya uwe kwenye hali mbaya sana.

    Kama kawaida Lily alijifanya yupo bize lakini jicho lake lilikuwa dirishani. Kutokana na kuchanganyikiwa MJ alikisogeza kichwa ili aone vizuri, aliweza kumuona MJ akipiga chabo hapo ndipo alifanya alichokipanga kukifanya ndipo alipopandwa wazimu wa mapenzi.

    Mambo aliyoyafanya kwa ajili ya kukomoa MJ baada ya kumkosa sebuleni hukuwepo ila shetani wako alikuwepo. Mtoto wa kike alijua kujituma na kujiachia huku akilia kama mbwa aliyemuona chatu.

    “Shuku unajua kuliko wanaume wote.. unajua..unajua..hapo sasa kichwa cha dhahabu.”

    Mtoto baada ya kusema vile aliiachia nyonga izungumze na kumgeuza Shuku tela kumfuata anavyotaka. MJ alikuwa akikanyaga yai la pili huku akijisugua kichwa kwenye ukuta bila kujijua.

    Hali ilikuwa mbaya sana kwa shuku wakati ndani shughuli ikiendelea na kilio cha Lily cha mateso kilimmaliza MJ na kujikuta akikaa chini bila kupenda baada ya kuvunja yai la tatu mkononi.

    Lily baada ya kuridhika na mateso aliyompatia MJ kama kisasi cha kumdharau alimaliza mchezo akiwa hoi baada kutumia nguvu nyingi kumkomoa MJ. Naye Shuku alikuwa hoi baada na yeye kwenda marikiti zaidi ya mara tatu.

    Walijilaza na usingizi uliwapitia kila mmoja alilala kama wahanga wa ajali ya meli.

    Nje MJ baada ya kupata nguvu na wakati huo ndani palikuwa kimya alinyanyuka na kuchungulia na kuwakuta wamepitiwa usingizi kila mmoja amelala mlalo wa hasara.

    Alirudi nndani huku akijipanga katika siku zile mbili lazima awe na Lily ili naye apate penzi kama lile huku akiapa kumnunulia gari la bei mbaya. Baada ya kuoga alilala kwani naye alikuwa amechoka kwa kusafiri kwenye bahari ya nchi kavu. Alipanda kitandani na usingizi ulimchukua.

    *****

    Lily baada ya kutimiza alilolitaka, baada ya kuamka alikaa sebuleni na kumwacha Shuku amejilaza ili amsikie MJ anasemaje. Akiwa anaangalia muvi alimuona MJ akisogea kwenye kochi alilokuwa amekaa.

    “Lily,” alimwita kwa sauti ya chini ili Shuku asisikie.

    “Jina langu,” Lily alimwitikia huku akiangalia pembeni umebinua midomo.

    “Mbona mkali mpenzi.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mpenzi wako nani?”

    “Najua nimekuudhi jana usiku nilipata dharula nakuahidi kukulipa fidia yoyote utakayo.”

    “Uliyonifanyia nashukuru, asante sana unatumia fedha zako kunidhalilisha, asante mwili wangu si umeutumia inatosha itabakia stori. Unatendelea kubakia shemeji yangu hilo halitabadilika lakini mapenzi na mimi sahau.”

    “Usifanye hi...” MJ alikata kauli baada ya kusikia nyayo za miguu ya Shuku kuja sebuleni.

    “Vipi best nipo na shemeji langu la nguvu,” MJ alijibalaguza.

    “Hakuna tatizo, nilipitiwa na usingizi kidogo.”





    “Usifanye hi...” MJ alikata kauli baada ya kusikia nyayo za miguu ya Shuku kuja sebuleni.

    “Vipi best nipo na shemeji langu la nguvu,” MJ alijibalaguza.

    “Hakuna tatizo, nilipitiwa na usingizi kidogo.”

    “Hata mimi niliingia chumbani kwangu kulala.”

    Lily alichelea moyoni na kujua salamu zimefika na hata kubali kumpa tena mwili wake MJ ataendelea kula kwa Macho huku akiitafuta ndoa kwa Shuku hata kwa



    kulazimisha.

    “Bebi kumbe upo huku?” Shuku alimuuliza mpenzi wake aliyekuwa amejilaza kwenye sofa.

    “Nilipoamka sikutaka kukuamsha, niliamua nije niangalie muvi.”

    “Kweli una nguvu kama nyati.”

    “Kwa nini bebi?”

    “Mchakamchaka ile amewahi kuamka.”

    “Haikuwa adhabu bali mapenzi yenye raha zisizo na karaha.”

    “Etii, eeh.”

    “Mpenzi kwa vile umeisha amka wacha nirudi nyumbani na muda nao umekwenda.”

    “Hakuna tatizo jioni vipi itakuja ili nisitoke?”

    “Kama kawaida lazima nitie timu.”

    “Hakuna tatizo.”

    Lily alikwenda ndani kubadili nguo kwa mwendo wake wa uchokozi zikiwa salamu tosha kwa MJ kuwa yeye ni mwanamke aliyekamilika. Shuku aliwekwa mtu kati



    asijue kinachoendelea lakini muhusika alijua kila kitu.

    Baada ya muda Lily alitoka akiwa amebadili nguo na kuwaaga kwa kulishana mate na Shuku mbele MJ kwa muda bila kuachiana huku Lily akigugumia kama mgonjwa



    wa pumu kujifanya mahanjamu yamepanda.

    Huku akitembeza mikono kwa Shuku kitu kilichomfanya Shuku asisimkwe na kumshika mabegani na kumrudisha nyuma.

    “Mmh! Taratibu.”

    “Bebi kwani nini?” Lily alijifanya kulalamika kiuongo kwa sauti ya kushikika.

    “Si tunaangana bebi, unaelekea wapi?”

    “Sasa tatizo nini?”

    “Naona kama sikuelewi,”

    “Bebiii.”

    “Naam.”

    “Mbona hivyo, wewe nani yangu?”

    “Mpenzi wako.”

    “Kwa nini unaniwekea vikwazo.”

    “Sijakuwekea, kama vipi turudi ndani.”

    “Hiloo linapenda nakutania, wacha nikimbie, bai mmmwaaa,” alimuaga Shuku kwa kumbusu shavuni na kumfuata MJ aliyekuwa amelala kwenye sofa na maumivu



    makali ya mateso ya Lily ambayo kwake alijua ni kulipa kisasi.

    Alipofika karibu yake alimwinamia na kumbusu.

    “Shemeji langu la ukwe..eehe..mmmwaaa, bai,” alimbusu na kumpiga kofi jepesi shavuni na kunyanyuka alirudia tena Shuku na kumbusu tena.

    “Mmmwaaa lazima baba mwenye nyumba umzidi mpangaji.”

    Lily alielekea nje kwa mwendo wake wa madaha huku akiziachia sehemu zake ya nyuma zitikisike kama zinasikia baridi kali. Wote walimsikindikiza kwa macho kisha



    walikutanisha macho na kucheka kwa pamoja, MJ alitoa sifa za uongo kwa Shuku.

    “Ndugu yangu demu unaye.”

    “Kweli, yaani ananichanganya akili.”

    “Mungu kamjalia umbile tata lisilo isha hamu.”

    “Wacha uchanganyikiwe hata kazi anaiweza,” Shuku alijisifia.

    “Hata mimi najua.”

    “Best umejuaje, tunazunguka nini?”

    “Shuku mawazo gani hayo, si wewe mwenyewe uliniambia au umesahau, best tumeanza kutoaminia!”

    “Samahani si unajua kuchanganyikiwa mtoto kanichanganya vibaya ukiniwezesha naoa kabisa.”

    “Wanawake wa mjini si wa kuwaamini unafikiria upo peke yako, mtu hawezi kumpa gari la gharama hivihivi tu mtakuwa mnashea tu.”

    “Kwa hiyo?” kauli ile ilimshtua Shuku.

    “Wee endelea naye lakini sikushauri kuoa.”

    “Mmh! Lakini usemayo yana ukweli maana kama siku mbili tatu hivi alianza kuniyeyusha kila nikimhitaji sababu kibao.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Umeona eeh! Kuwa makini wanawake wa mjini wa kugonga na kuacha siku ukimkumbuka unakumbushia lakini kuoa ugonjwa wa moyo.”

    “Nimekuelewa mtu wangu, tena nilitaka kurudisha mapenzi kwani niliishapanga kumpiga chini.”

    “Utaweza?”

    “Naweza, naogopa sana kuumizwa.”

    “Basi poa.”

    “Wacha nikanyoe nywele saluni.”

    “Poa mi nipo.”

    Shuku alitoka kuelekea saluni iliyokuwa jirani na wanapoishi na kumuacha MJ akiugulia moyoni na kuapa jeuri ya fedha lazima Lily ampe penzi kwa gharama yoyote



    japo alimuapia hawezi kumvulia nguo ya ndani tena. Alipanga kabla Lily hajarudi kwa Shuku basi atamuwahi na kuhakikisha anambadili mwelekeo na kwenda naye



    hotelini.

    ***

    Majira ya saa moja na nusu usiku MJ alisimamisha Hammer jirani na nyumba anayoishi Lily. Alipiga honi kama kawaida ambayo ilimshtua Lily aliyekuwa anajiandaa



    kwenda kuoga ili aende kwa Shuku kwani wiki ile alikuwa na kazi moja naye kuhakikisha anatangaza ndoa.

    Honi ya gari ilimshtua na kufikiria labda Shuku ameamua kumfuata. Alitoka nje akiwa amejifunga upande wa kanga ili kwenda kumueleza amsubiri akaoge kwanza.



    Alitembea kwa mwendo wa kasi ili kuwahi kwenye gari.

    Alipofika alilisogelea gari alishtuka kumuona MJ akiteremka kwenye gari kitu kilichomshtua na kuuliza:

    “Shuku yupo wapi?”

    “Lily mpenzi nipo mimi si Shuku, naomba unisikilize.”

    “MJ mimi na wewe tumemaliza au kuna kitu umesahau kwangu?”

    “Hapana Lily, najua kiasi gani nimekuudhi lakini naomba unisamehe sema kitu chochote ukitakacho nitakupa kwa gharama yoyote.”

    “MJ najua wewe ni bingwa wa wanawake naomba uachane na mimi. Nimekubali kumsaliti ndugu yako kwa ajili yako lakini hilo hukuliona. Basi inatosha kwa vile



    hakugundua kitu inatosha.”

    “Lily nisamehe mpenzi.”

    “Koma kuniita mpenzi, nani mpenzi wako?”

    “Si wewe!”

    “MJ naomba uondoke, usiniharibie penzi langu, Shuku yupo njiani akikukuta hapa unafikiri atanifikiaje?”

    “Kwa hiyo?”

    “We ondoka, penzi letu lilikufa toka juzi uliponiacha na kwenda kulala na mwanamke mwingine tena si mara ya kwanza, mara ya kwanza nilivumilia umeishaniona nina



    dhiki kwa ajili ya vijipesa vyako ndiyo unifanye utakavyo.

    “Li...Lily...” MJ alitaka kujitetea lakini Lily alimkata kauli.

    “Bwana eeh, hebu achana na mimi,” Lily alisema huku akigeuka na kuelekea nyumbani kwao.

    “Lily rudi mpenzi,” MJ alibembeleza bila mafanikio.

    Lily hakugeuka alikwenda moja kwa moja ndani na kumwacha MJ akiwa haamini kama kweli yule msichana anayeonekana changudoa amemtolea nje mtu mwenye



    fedha kama yeye. Hakuondoka mapema alikaa kwa muda mpaka alipoliona gari la Lily likimpita alijua linakwenda kwake.

    Roho ilimuuma moyoni aliapa kumkomesha Lily na kuhakikisha wanaachana na Shuku. Aliingia kwenye gari lake na kwenda Klabu ili akapoteze muda ili akirudi akute



    wamelala.

    ***

    MJ alijikuta akiteseka kutokana na makusudi ya Lily kwani kila alipotangaza utajiri wake bado hakueleweka na kuendelea kuteswa bila Shuku kujua kilichokuwa



    kikiendelea ilikuwa vita ya siri kati ya Lily ambaye kila kukicha alimchanganya Shuku kwa mapenzi motomoto. Shuku baada ya kuona anabanwa kwenye fedha na MJ



    alijitahidi kuweka fedha kidogodogo ili aweze kumweleza ukweli kuwa ile mali si yake ili aweze kuishi kwa uhuru zaidi.

    Kila kukicha Shuku aliongeza ufundi wa kukwea mnazi na kumfanya Lily achanganyikiwe na kuamini dunia nzima kuna mwanaume mmoja tu ambaye ni Shuku,



    aliyekuwa akimgeuza kinanda akishikwa toka sehemu moja kwenda nyingine abadili milio kama kinanda hasa akiwa juu ya mtumbwi mtoto wa kike apandwa na kichaa



    cha mapenzi na kuropokwa maneno huku akimwambia mpenzi wake “Chukua yote.” Kitu kilichomshtua Shuku na kumuuliza mpenzi wake “Unanipa yote kesho

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    utanipa nini?”

    Basi tu raha zikijaa na kumwagika mwanamke hutokwa na maneno kama mtu aliyekatika kichwa na kuropokwa hata akitulia hana hata moja na ukimwambia



    aliyoyasema wakati kakamatika atakukatalia kuwa hakuyasema yeye unamsingizia.

    Asikuambie mtu mnazi unao yumba una raha yake kwa mkwezi haumchoshi kwani hausimamini muda wote unainamishwa na upepo na kumrahisishia mkwezi na



    hata akifika juu ya mnazi anakuwa na nguvu ya kujinywea madafu mengi.

    Kitendo cha Lily kumtolea nje huku mpambe wake Shuku akiendelea kula raha kilimuumiza sana MJ kazi yake ikabaki kupiga chabo kila ukiingia usiku kwani Lily



    alikuwa hafungi dirisha kwa makusudi mtego uliomnasa MJ bila kujua na kuteseka kila usiku ukiingia na kugeuka mlinzi wa kupigwa na baridi huku akiumwa na



    mbu.

    Aliamini yeye ndiye anayemweka Shuku mjini hivyo yeye ndiye aliyetakiwa kula vitu vitamu na kuwa na wanawake wazuri kama Lily na si yeye kula kulala.

    Baada mateso kuzidi aliamua siku moja kumfuta Lily nyumbani kwao. Tena siku hiyo hakupiga honi ili atoke, alipofika aliteremka na kumfuata kwao. Alipofika aligonga



    hodi Lily alipofungua mlango alishtuka kumuona MJ.

    “He! We vipi?”

    “Lily badala ya kunikaribisha unanishangaa?”

    “Nilikukaribishe ili iweje?” Lily alimjibu kwa ukali.

    “Lakini mi si shemeji yako?” MJ alijitetea.

    “Mmh! Makubwa, haya karibu shemeji,” Lily aliamua kumkaribisha.

    “Asante za hapa?”

    “Nzuri, karibu ndani,” Lily alimkaribisha ndani MJ.

    Baada ya kuingia alikaa kwenye kochi na kutulia. Lily aliyekuwa amejifunga upande mmoja wa kanga aliingia chumbani na kurudi kavaa gauni la vifungo alilovaa kama



    koti refu.

    “Mmh! Shemeji karibu.”

    “Asante.”

    “Unatumia kinywaji gani?”

    “Nashukuru usisumbuke mi si mkaaji.”

    “Haya baba, lete habari.”

    “Lily najua kiasi gani nimekuudhi na kuniona adui yako namba moja.”

    “MJ hayo si tumeisha yamaliza?”

    “Ni kweli lakini nina haki ya kujitetea hata ukinihukumu ujue kosa langu.”

    “MJ kuwa muelewa niliisha kusamehe ndiyo maana leo upo hapa ambapo hata mpenzi wangu Shuku hajawahi kufika zaidi ya kuishia nje.”

    “Lakini ulivyonipokea bado inaonekana una hasira na mimi.”

    “MJ lazima niwe na hasira na wewe, kumbuka kutembea na wanaume wawili wa nyumba moja tena ndugu huoni kama ni hatari? Lakini nilijitolea mwisho wa siku



    naonekana malaya.”

    “Ni kweli, lakini kumbuka nilivyokuwezesha Lily yale ni makosa ya kibinadamu. Ulitakiwa kunisamehe kwani nilikuwa na mambo makubwa sana kwako.”

    “Kwa vile una fedha ndiyo unaamua kunidhalilisha siyo?”

    “Hapana Lily nimejua makosa yangu siwezi kurudia tena.”

    “Mimi nimekusamehe lakini naomba tuheshimiane tuwe kama zamani mtu na shemeji yake.”

    “Hapana Lily bado nakuhitaji, nina mpango wa kukujengea nyumba ya kisasa na kukununulia gari la kisasa la bei mbaya.”

    “Nashukuru kwa mipango yako, naomba mipango yako uhamishie kwa wanawake zako wengine kumbuka mimi ni mpenzi wa ndugu yako na tupo katika mipango ya



    kuoana.

    “Sasa hivi najifunza kuzoea penzi la mtu mmoja ili niweze kudumisha ndoa yangu nampenda sana Shuku nimeuapia moyo wangu siwezi kumsaliti tena.”

    MJ aliamini amechemsha hakuwa na jipya lolote la kumshawishi Lily amuelewe kwa kuonyesha ana mapenzi mazito kwa Shuku. Wazo lilikuwa kumharibia Shuku ili



    aweze kummiliki Lily kwa vile hakuwa na njia nyingine. MJ aliamua kumvua nguo rafiki yake kwa Lily.

    “Lily wewe ni mwanamke mzuri unayetakiwa kumilikiwa na watu wenye fedha kama sisi. Nakuhurumia sana kwa kujua maisha yako ya mbele yatakuwa ya shida sana.”

    “Kivipi?”

    “Toka mjuane na Shuku amekupa kitu gani kikubwa?”

    “Mapenzi.”

    “Hayo mapenzi ndiyo utavaa utakula utatembelea?”

    “Kwani tatizo nini?”

    “Nataka kukueleza ukweli kwa vile nakupenda sana Lily. Shuku kwanza si ndugu yangu kama alivyokutambulisha mwanzo yule ni rafiki yangu tu ambaye

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    nimemuokota njiani na kuja kumtunza kwangu. Pale hana kitu, kila kitu ni changu ndiyo maana penzi lako kwangu kwa muda mfupi limekupatia gari na sasa nyumba



    inakuja.”

    “Ha! Muongo mkubwa!” Lily hakuamini.

    “Lily ningeweza kukaa kimya lakini najua mwisho wake ungekuwa mbaya kwani Shuku hataki kazi anapenda kukaa na kula tu. Unafikiri nikisitisha misaada nini



    kitafuata?”

    “Mmh! Siamini najua unataka nikukubali tu huna lolote.”

    “Nataka kukueleza kitu ambacho nashangaa hujagundua siku zote. Hushangai chumba chake na changu tofauti yake, pia kama huamini kuanzia leo hatatumia gari



    zangu nitampa fedha ya teksi. Lily nakupenda ndiyo maana sitaki upotee.

    “Tena kuna kitu nilisahau kukueleza, Shuku tabia zake huwa anakaa na demu mmoja kwa muda mrefu akimpa mimba tu anamkimbia. Kabla ya kuja kwangu alikuwa



    anakaa Buguruni Uswahilini ambako anatafutwa na wasichana wawili aliowajaza na kutoroka.”

    “Mmh! MJ unasema kweli au unampakazia?”

    “Ili kupata ukweli leo jioni mwambie akufuate, utaamini maneno yangu.”

    “Mmh! Makubwa, MJ naomba uniache kwanza nimechanganyikiwa sana,” Lily alichanganywa na maneno ya MJ japokuwa hakuyaamini moja kwa moja.

    “Usichanganyikiwe nipo kwa ajili yako kuhakikisha unakuwa na maisha mazuri siyo ya kutapeliwa na mtu.”

    “Sawa nimekuelewa nitayafanyia kazi,” Lily alisema akijipweteka kwenye kochi.

    “Nina imani ukipata ukweli utazidi kuchanganyikiwa. Nakuahidi baada ya kupata ukweli nitakufuata ili kukutuliza akili.”

    “Nimekuelewa MJ naomba uniache kwanza,” Lily alionekana kuchanganywa na taarifa zile.

    “Ila nakuomba kitu kimoja fanyia yote kazi niliyokueleza na kama utakuta nilichokisema ni uongo mwambie Shuku na nipo tayari kufanywa lolote na wewe kunikataa.”

    “Nimekuelewa MJ nitafanyia kazi naomba uniache nimechanganyikiwa kweli.”

    “Una bahati angekupa mimba usinge muona angekutimulia vumbi.”

    “Sawa nimekuelewa, MJ niache kwanza basi jamani,” Lily alichanganyikiwa na kuona malengo yake ya kuwa mke wa Shuku yamekwenda ndivyo sivyo alijikuta akiwa



    njia panda. MJ kabla ya kuondoka alimuachia milioni mbili keshi huku akisema:

    “Najua baada ya kuujua ukweli utaumia sana, hizi zitakusaidia kutafuta sehemu tulivu kutulia, ukinihitaji nikupe kampani siyo mbaya tutakuwa pamoja.”

    “Nimekuelewa ziweke hapo yaani nimechanganyikiwa sana MJ,” Lily alijikuta kwenye maumivu makali.

    MJ baada ya kumwaga sumu alitoka, akiwa ndani ya gari lake alimpigia simu Shuku.

    “Haloo best, lete stori,” Shuku alipokea upande wa pili.

    “Ni hivi gari zote hazitakiwi kutoka mpaka wiki ikatike. Nitazitumia mwenyewe ila nitakupa fedha ya kutumia teksi hata kukodi ili kuhakikisha unafanya mambo yako



    bila tatizo.”

    “Hakuna tatizo best.”

    “Tafuta gari zuri kulingana na hadhi yako si unajua sasa hivi upo matawi ya juu, sawa best?”

    “Hakuna tatizo,” Shuku alikubali bila kujua kama kaingizwa kwenye mtego.

    Wakati Shuku akiingizwa kwenye mtego Lily alikuwa amechanganyikiwa asiamini alichoambiwa. Dada yake aliyekuwa ametoka mara moja aliporudi alimkuta mdogo



    wake hayupo kwenye hali ya kawaida.

    “He! Mdogo wangu kuliko nimetoka upo katika hali nzuri lakini nakuona umechananyikiwa, na hizi fedha?”

    Lily huku akilia alimueleza yote dada yake aliyoelezwa na MJ na kumfanya dada abakie mdomo wazi.

    “Mmh! Unajua mdogo wangu japo inauma kuna ukweli ndani yake.”

    “Dada ukweli gani zaidi ya kutaka kuniachanisha na mpenzi wangu, nilikubali kuwa naye lakini kila kukicha manyanyaso na mateso.”

    “Mdogo wangu tatizo nini? We umepata bahati unapewa kila kitu una gari na bado anataka kukunulia gari jingine pamoja na nyumba. Wengine wanaitafuta bahati hiyo



    kwa waganga wewe unaikimbia.”

    “Pamoja na yote, bado nampenda sana Shuku.”

    “Lily inawezekana Shuku ni mpambe mshika pembe tu, ukweli unakuja kutokana na ahadi zake zisizotimia. Lakini usikurupuke hebu lifanyie kazi hili la gari tutapata



    jibu.”

    “Sasa nifanye nini?”

    “Mpigie Shuku mwambie hujisikii vizuri ili aje kila kitu kitajulikana.”

    “Mmh! Sawa,” Lily alisema huku akichukua simu na kumpigia Shuku.

    “Haloo bebii,” simu ilipokelewa upande wa pili.

    “Sweet upo wapi?”

    “Nipo home.”

    “Naomba uje sijisikii vizuri.”

    “Ooh! Bebi nini tena?”

    “Sijisikii vizuri tu naomba uje.”

    “Nakuja bebi.”

    Kwa vile ilikuwa haraka alichukua laki tano na kuziweka mfukoni na kutoka nje na kukodi teksi yenye hadhi ya juu ya kwenda nayo kwa mpenzi wake bila kujua

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    amekwenda na ushahidi wa kummaliza.

    Shuku aliwasili nyumbani kwao Lily kama kawaida, alipiga honi ili atoke. Lily baada ya kusikia honi alichunguliana na kuliona gari tofauti na aliyoyazoea. Alimwita



    dada yake aliyekuwa chumbani.

    “Dada njoo.”

    “Lily mbona unanitisha, kuna nini?”

    “Shuku amekuja.”

    “Tatizo nini?”

    “Jamani dada, wewe si ndiye uliyeniambia nimpigie simu aje tuthibitishe maneno ya MJ.”

    “Ooh! Nilisahau vipi amekujaje?”

    “Twende ukaone,” Lily alijibu huku akimsogeza dada yake dirishani na kuona gari alilokuja nalo Shuku.

    “He! Gari si nzuri lile, tena gari la watu wenye fedha?”

    “Dada yale siyo katika magari yao, lile lazima kaazima tu kama alivyosema MJ.”

    “Kwa hiyo MJ amesema kweli?”

    “Inawezekana.”

    “Tusiandikie mate mfuate ukamuulize mwenyewe.”

    “Yaani kama kweli, basi leo nitampaka, kumbe mbwembwe zote hana kitu mwanaume suruali, Lo!” Lily alisema akiwa amechanganyikiwa na matarajioa yake kwa



    Shuku kuwa ndivyo sivyo.

    “Lily hebu kwanza shusha munkali, kamuulize taratibu.”

    “Yaani dada wee acha tu, usingekuwa wewe ningekwenda kumfukuza kama mbwa. Kumbe mwanaume muongo, tapeli kibaya zaidi hana kitu anaishi maisha ya



    kufungwa kama mwanamke.

    “Ndiyo maana kila siku ukimuomba kitu subiri, kumbe anasubiri kupiga mzinga,” Lily alisema huku akibana pua.

    “Lily wewe jifanye hujui muulize kisa cha kuja na gari tofauti.”

    “Sawa ngoja nimfuate,” Lily alisema akitupia mtandio begani.

    Alipokaribia kwenye gari aina ya Toyota Harrier Lexus Rx 300, Shuku alitoka kama kawaida yake kapiga pamba za kufa mtu shingoni kachafuka kamba ya bei mbaya.

    Lily alimtazama Shuku kuanzia chini mpaka juu kisha akaangua kicheko cha dharau kilichomshtua Shuku.

    “Vipi mbona unacheka?”

    “Nimefurahi tu.”

    “Vipi hali yako?”

    “Mbona umekuja na gari hili?” Lily hakujibu zaidi ya kuuliza swali.

    “Magari mengine yameisha bima, tulijisahau kukata ila kesho kama kawaida.”

    “Muongo!”

    “Kweli bebi.”

    “Wewe na MJ mpoje?”

    “Mbona unaniuliza hivyo?”

    “Shuku naomba jibu siyo swali,” Lily alimuuliza Shuku kwa sauti kavu.

    “Ndugu yangu.”

    “Na ile mali ya nani?”

    “Yetu.”

    “Wewe na nani?”

    “Na MJ.”

    “Kweli?”

    “Kweli, kwani tatizo nini?”

    “Shuku, MJ si ndugu yako ni rafiki yako na ile mali ni yake, wewe ni mpambe mshika pembe tu, huna lolote kila kitu unapewa na MJ.”

    Kabla ya kujibu tuhuma Shuku alicheka sana kisha akamuuliza.

    “MJ ndiye kakwambia hivi?”

    “MJ aniambie nini naye mshamba kama wewe, unaniuzia mbuzi kwenye gunia kumbe ndiyo zako kuwaharibu watoto wa kike kisha unawapiga chini.”

    “Mimi?” Shuku lilimshuka.

    “Kwani nazungumza na nyani?” Lily alimpa makavu Shuku.

    “Mpenzi si kweli, mali ile ni yetu sote.”

    “Shuku, mi si mtoto najua kila kitu juu yako na MJ, japokuwa mlikuwa mkificha lakini ukweli wewe umeokotwa na MJ na pale unakaa kwa kumtegemea yeye kila kitu.

    “Hebu jionee huruma ataweza kunimiliki mwanamke kama mimi? Gari kila siku linataka mafuta, nataka toleo jipya la gari nataka mapambo ya kike, bado nataka jumba



    la gharama. Shuku utawezaaa?

    “Hebu waache wenye kisu kikali wajilie nyama, kama msaada wa penzi nimekupa inatosha. Naomba kuanzia leo tukomane.”

    “Lakini..”

    “Lakini nini? Nasema uongo?”

    “Lily mpenzi naomba unisikilize.”

    “Haya sema.”

    “Ni kweli MJ rafiki yangu lakini amenipa uhuru mkubwa, hivyo nilikuwa na uamuzi wowote na kufanya chochote bila kunikataza.”

    “Shuku unachekesha, sasa hayo maisha utaishi mpaka lini?”

    “Kuna fedha alisema atanipa ili nifanye biashara.”

    “Kwa nini ulinidanganya?”

    “Nisamehe mpenzi wangu.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sasa Shuku naomba unisikie, ukiondoka hapa nisikuone tena.”

    “Kivipi mpenzi?”

    “Mimi na wewe basi.”

    “U..u..sifanye hivyo.”

    “Shuku nilikupenda sana, lakini umekuwa si mkweli. Wanaume waongo nawaogopa sana. Nasikia ndiyo tabia yako kwa hiyo hapa umenoa.”

    “Lily mpenzi uamuzi huo utaniumiza sana.”

    “Kuliko ulivyoniumiza mimi, kwa kuamini nipo na mtu mwenye fedha kumbe kapuku.”

    “Lily nitajitahidi kutimiza mahitaji yako.”

    “Utaweza wapi, baiskeli huna unaweza kununua mafuta ya gari langu?”

    “Kuna kitu nitafanya muda si mrefu utafurahi tu mpenzi wangu.”

    “Umewadanganya wanawake wangapi, leo wanakutafuta kama Osama. Shuku kwa ustaarabu naomba uondoke kimyakimya.”

    “Vipi kuhusu hali yako, nilikuwa nimekuja kukupeleka hospitali tu,” Shuku alisema akitoa laki nne mfukoni ili ampe Lily.

    “Shuku kwa kifupi siumwi ila nilikuita nimalizie ushahidi wangu ambao umekamilika, hivyo baba tukomane.”

    “Basi chukua fedha ya dawa.”

    “Shuku unataka kunipa fedha zote hizo wakati una kazi? Hizo fedha kapangie chumba uache kulishwa na wanaume wenzako. Angalia mwenzako anakupa kila



    unachotaka nawe unakubali. Naona mwenzangu umesahau kula uliwe.”

    “Sasa hayo matusi.”

    “Siyo matusi Shuku, hebu ona aibu kununuliwa hata nguo ya ndani na rafiki yako, sasa una tofauti gani na mtoto wa kike?”

    “Kwa hiyo umeamua kunitukana.”

    “Shuku sikutukani nakuambia ukweli, ungenieleza mapema ningejua niishi na wewe katika muundo gani. Lakini uongo uliweka mbele, sawa ulifanikiwa kunipata kwa



    gia unazo, nina imani sina deni na wewe.”

    “Kwa hiyo?”

    “Naomba uondoke.”





    “Kwa hiyo umeamua kunitukana.”

    “Shuku sikutukani nakuambia ukweli, ungenieleza mapema ningejua niishi na wewe katika muundo gani. Lakini uongo uliweka mbele, sawa ulifanikiwa kunipata kwa gia unazo, nina imani sina deni na wewe.”



    “Kwa hiyo?”

    “Naomba uondoke.”

    “Sawa,” Shuku alisema huku akielekea upande wa dereva na kukaa kwenye uskani bila kufunga mlango.

    Lily baada ya kusema yale, aligeuka na kurudi ndani. Alipoingia ndani alikimbilia chumbani na kuanza kulia kilio cha kwikwi na kumfanya dada yake kumfuata.

    “Lily unalia nini mdogo wangu?”

    “Dada najuta kupoteza muda wangu kwa mwanaume suruali.”

    “Kivipi?”

    “Hakuna kilichobadilika, nimembana kakubali yote, unafikiri kweli yule ni mwanaume sahihi kwangu?”

    “Si sahihi, kwa vile sasa hivi gharama ya maisha imepanda kila kitu kinahitaji fedha, kwa hiyo umeamuaje?”

    “Nimempiga chini.”

    “Kwa hiyo MJ umemfungulia moyo wako?”

    “Inabidi nifanye hivyo, tena kwa malengo.”

    “Na kweli mdogo wangu, sasa ondoa hasira za kijinga ili kufanikisha malengo yako. Nina imani sasa hivi MJ atakupa vitu vingi.”

    “Dada wivu wa kijinga nauweka pembeni ili kufanikisha malengo yangu, nikipata magari mengine mawili na nyumba hapo nitakuwa na jeuri kama hataki kubadilika naye nampiga chini.”

    “Hayo ndiyo maneno ya mwanamke mtafutaji, sasa mtaishije nyumba moja na Shuku?”

    “Kila kitu MJ anajua, labda amepanga kuniweka hotelini mpaka atakapo ninunulia nyumba yangu.”

    “Mdogo wangu utumie mwili na uzuri wako kuyabadili maisha yetu.”

    “hilo si lakusema,” waligongeana mikono na kukumbatiana.

    ****

    Shuku baada ya kuingia kwenye gari na kujifungua kwa ndani, alitulia zaidi ya robo saa bila kufanya kitu chochote akiwa haamini kilichotokea muda mfupi.

    “Hivi kweli Lily kaniacha?” Shuku alijiuliza huku akipiga mikono kwenye uskani.

    “Nani kampa siri hii? Hapana..hapana any way, wacha niondoke mpenzi siyo lazima.” Shuku aliwasha gari na kuondoka kurudi nyumbani. Alilirudisha gari kwa mshikaji wake kisha alikodi bodaboda mpaka home.

    Alipofika aliingia ndani na kujifungia chumbani kwake, akiwa na mawazo mengi, kwa kuiona aibu yake ya kukaa na MJ kama ndugu ipo nje. Akili yake haikumfikiria MJ kutokana na maneno ya Lily kuonesha anamponda hata MJ.

    ***

    Lily baada ya kupata uhakika kuwa Shuku kula kulala, pamoja na mbwembwe zote kumbe hakuwa tofauti na yeye. Wote walimtegemea mwanaume mmoja, aliamua kumpigia simu MJ. Baada ya simu ya MJ kuita ilipokelewa.

    “Haloo.”

    “Haloo MJ mai bebi.”

    “Niambie Lily.”

    “Ukweli nimeujua.”

    “Kwa hiyo?”

    “Sasa nimejikabizi kwako naomba usiniumize tu.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nakuhakikishia wewe kuwa malkia wa moyo wangu.”

    “Kama ni hivyo, nitafurahi sana.”

    “Siku zote mtoto mzuri kama wewe unatakiwa umilikiwe na wanaume wenye fedha kama mimi.”

    “Nimeamini, nitazidi kukupenda, kwa hiyo nije home kama kawaida?”

    “Noo, bado Shuku ni rafiki yangu na sipendi nimuumize zaidi, ila nitakachikifanya kwa sasa tutakuwa tuna kutania hotelini. Baada ya muda mfupi nitakununulia jumba la kifahari hapo nitakuja kama kwangu.”

    “Siyo kama kwako mpenzi, bali kwako.”

    “Sawa nitakuwa nakuja kwangu.”

    “Nitafurahi sana mpenzi wangu, vipi Shuku akijua?”

    “Kwa sasa hawezi kujua.”

    “Bebi penzi kikohozi na wanao pendana hawana siri.”

    “Kwa sasa tutafanya siri, kuna fedha nitampa Shuku afanye biashara kisha kila mtu atakuwa na maisha yake, hapo hata akijua hawezi kufanya kitu.”

    “Kwa hiyo leo?”

    “Kwa furaha yangu, mwisho wa wiki tunaruka na ndege kwenda Arusha kula raha.”

    “Wawooo mpenzi wangu, usinitie kichaa cha mapenzi.”

    “Tulia mtoto mzuri ule raha, punguza mapepe.”

    “MJ nitatulia kwako, naomba usinitese jamani.”

    “Siwezi nakupenda sana Lily, nimeamua mpaka kuitoa siri ya rafiki yangu kipenzi kwa ajili yako, amini nakupenda.”

    “Hayo ndiyo maneno, kipi kinafuata?”

    “Jiandae usiku nakupitia, sasa na raha kwenda mbele.”

    “Najua mpenzi wangu.”

    Lily alikata simu na kuruka juu kwa furaha, alimkimbilia dada yake na kumkumbatia kwa furaha.

    “Vipi mdogo wangu?”

    “Yaani MJ kachanganyikiwa kusikia Shuku nimempiga chini, ameniahidi vitu vingi.”

    “Isiniambie.”

    “Yaani wiki ijayo Arushaaa.”

    “Kufanya nini?”

    “Kula maisha.”

    “Unaona ulitaka kumng’angania mshika pembe kumbe mwenye ng’ombe yupo.”

    “Yaani nina bahati Shuku aliisha niingiza choo cha kiume.”

    “Ndo ukome kufakamia mijanaume mitapeli.”

    “Basi dada akininunulia gari lingine hili nitakupa wewe.”

    “Uniambie!”

    “Kweli dada.”

    “Mbona wavimba macho wa mtaani watanikomaa, hivi tu napewa lifti napiga mpaka honi, vipi nilimiliki yangu mwenyewe mbona wataniroga.”

    “Basi habari ndiyo hiyo.”

    Usiku MJ alimpitia Lily na kwenda naye kulala hoteli mpaka siku ya pili alipomrudisha.

    *****

    Penzi la Lily na MJ liliendelea kwa siri huku Shuku akiwa hajui nini kilichokuwa kikiendelea. Siku zote Lily alitaka penzi lao liwe la wazi ikiwezekana awe anakwenda pale muda wote kama alivyokuwa na Shuku.

    “Bebi kwa nini nisije nyumbani mi’ sijisikii raha kila siku kulala hotelini wakati una nyumba yako?”

    “Si unajua nipo na Shuku?”

    “Kwa nini usimuhamishe ili nihamie hapo.”

    “Nilikuwa napanga kumpa mtaji kisha tuachane.”

    “Basi uza gari yangu umpe huo mtaji ili atuachie tule vyetu.”

    “Nimekusikia wala usiwe na shaka kila kitu kitakwenda vizuri, fedha ya kumpa ninayo kuna vitu navikamilisha ili ahame kwa hiyari yake sitaki kumfukuza.”

    “Wahi basi mpenzi nina hamu ya kuwa karibu na wewe muda wote.”

    “Hakuna tatizo mpenzi.”

    Wakati Lily na Mj wakifanya penzi la siri, Shuku kitendo kile kilimuumiza sana cha kumtegemea mtu na matokeo yake kudharaulika machoni mwa watu. Alichoamua kuomba fedha kwa rafiki yake ili aondoke pale na kwenda kutafuta maisha mbele ya safari ili watu wasijue maisha yake.

    Akiwa amekaa na rafiki yake sebuleni Shuku alionekana mtu mwenye mawazo mengi na mnyonge toka amwagwe na Lily mwanamke aliyempenda kuliko wasichana wote aliowahi kukutana nao.

    Kwa upande mwingine hakumlaumu Lily kwa vile hakumweleza ukweli. Aliamini kama akianza kuishi maisha ya kujitegemea ataweza kujipanga na kutafuta mwanamke mwingine.

    “Vipi best mbona kama upo mbali?”

    “Kweli.”

    “Tatizo nini?”

    “Aisee umaskini mbaya sana.”

    “Kwa nini unasema hivyo?”

    “Nisingeadhiliwa na Lily.”

    “Bado unalo hilo, achana na yule malaya inaonekana anapenda sana fedha kuliko mapenzi.”

    “Hata kama anapenda pesa, inaonekana natembea bila nguo wakati najiona nimevaa.”

    “Una maana gani kusema hivyo?”

    “Japo unasema mali yetu lakini siri ipo wazi kuwa mimi mpambe tu mshika pembe mwenye ng’ombe unajulikana.”

    “Shuku mshikaji wangu achana na maneno ya watu, ukiwasikiliza mambo yako yatasimama yao yanakwenda.”

    “Ni kweli, lakini nakuomba kitu kimoja nipe mataji nifanye biashara ili nami niishi maisha yangu mwenyewe.”

    “Wazo zuri, sasa umepanga kufanya biashara gani?”

    “Nimeishajipanga, we nipatie hicho kiasi.”

    “Kiasi gani?”

    “Milioni mbili.”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mbona ndogo sana.”

    “Kwangu zinanitosha.”

    “Nitakuongezea nitakupa kumi na ile gari dogo.”

    “Nitashukuru.”

    Mara simu ya MJ iliita alipoangalia ilikuwa ya Lily ambaye alikuwa na miadi naye na kwenda kwenye sherehe ya harusi ya shoga yake alikuwa inafanyika Ubungo Plaza. Hakutaka kuipokelea pale alikwenda chumbani.

    “Haloo bebi.”

    “Bebi upo wapi nimeishafika kitambo,” Lily alilalamika upande wa pili.

    “Ooh! Sorry nilikuwa na mazungumzo na Shuku.”

    “Unaona sasa, nakwambia muondoe hapo atatuharibia starehe zetu.”

    “Sawa bebi nitafanya hivyo muda si mrefu.”

    “Kwa hiyo?”

    “Nakuja mpenzi.”

    “Fanya haraka kila mtu ana mpenzi wake kasoro mimi,” Lily alisema kwa sauti ya kudeka.

    “Nakuja sasa hivi mpenzi wangu.”

    MJ alikata simu na kukimbilia bafuni kuoga harakaharaka na kubadili nguo kisha alipiga bonge la suti la bei mbaya na kutoka kumwahi Lily.

    “Sasa best kuna sehemu nakwenda, ila masuala yako kesho nitamaliza kila kitu.”

    “Mmh! Kweli mtoko wa leo si wa kawaida, hakuna tatizo we wahi, mi sina nyendo.”

    “Poa wacha niwahi,” MJ alisema huku akitoka nje na kuwacha Shuku amejilaza kwenye kochi.

    ****

    Shuku akiwa amejipumzisha chumbani kwake akiutafuta usingizi simu yake ya mkononi iliita, namba ilikuwa ngeni, aliipokea.

    “Haloo.”

    “Haloo Shuku, mambo?” sauti ilikuwa ya kike.

    “Poa.”

    “Najua hunijui, lakini kunijua si muhimu kama hili lililonifanya nikupigie simu.”

    “Jambo gani?”

    “Nina imani upo nyumbani sasa hivi?”

    “Ndiyo.”

    “Mmeagana muda si mrefu na MJ?”

    “Ndiyo, kwani wewe nani?”

    “Tulia basi Shuku, pupa yako itakukosesha vitu vingi.”

    “Haya nakusikiliza.”

    “Najua umekosana na Lily, ila mpaka sasa hujamjua mchawi wako.”

    “Ni kweli.”

    “Shuku, Lily bado anakupenda sana ila penzi lako limewangiwa na mtu wako wa karibu.”

    “Nani?”

    “Sitaki kuwa muongo ila nakuomba sasa hivi uje uone jinsi ulivyo chezewa mchezo mbaya. Shuku sifa zako nazijua lakini najua nikikuchukua itakuwa vita na Lily.”

    “Naomba uniambie jina lako basi.”

    “Ipo siku nitakuambia lakini leo naomba ulifanyie hili.”

    “Kwa hiyo nifanyeje?”

    “Njoo Ubungo Plaza kuna sherehe ya harusi. Ukifika simama karibu na maegesho ya gari nijulishe kama umefika.”

    “Poa nakuja.”

    Shuku alikata simu na kubadili nguo haraka kisha alitoka. Hakutaka kukodi teksi aliona atachelewa alikodi bodaboda kuwahi eneo la tukio.

    Shuku alichukua robo saa kufika Ubungo Plaza. Alipofika alimpigia simu aliyemwelekeza skendo ile, baada ya muda ilipokelewa.

    “Haloo, umefika?”

    “Ndiyo.”

    “Sogea karibu ya paking ya magari.”

    “Poa” Shuku alifanya kama alivyoelekezwa alipofika karibu ya maegesho ya gari alipiga tena simu.

    “Nimefika.”

    “Simama hapohapo usitoke mpaka nitakapo kwambia, hakikisha macho yako hayachezi mbali na mlango wa kutokea ukumbini.”

    “Sawa.”

    Shuku alitulia kama alivyoelezwa macho yake hayakucheza mbali na mlango wa kutokea ukumbini, huku akijiuliza kuna kitu gani. Kingine kilichomchanganya kilikuwa amefuata nini pale hata kama akimuona Lily na mwanaume mwingine, hakuna na nguvu tena kwa vile walikuwa wameisha tengana.

    Lakini kauli ya aliyempigia kuwa afike pale amuone mchawi wake ndiyo iliyomfanya aendelee kuwepo. Muda nao ulikatika na kuzidi kumfanya Shuku atamani kuondoka. Aliamua kumpigia simu kumweleza amechoka kusubiri.

    Baada simu kuita kwa muda ilipokelewa.

    “Haloo Shuku.”

    “Vipi mbona muda unakwenda, kama bado wacha niende.”

    “Nooo Shuku, vumilia kama robo saa, kila kitu kitakuwa wazi mbele ya macho yako.”

    “Mmh! Sawa.”

    Shuku alitulia kusubiri alichoitiwa, baada ya muda simu yake iliita, alipokea.

    “Haya sasa Shuku kazi kwako kazi yangu imeishia sasa angalia mlangoni.”

    Shuku alitumbua macho mlangoni aone alichoitiwa.

    Kwenye mlango wa kutokea aliwaona watu wawili mwanamke na mwanaume wakitoka wakiwa wamekumbatiana kimahaba. Alituliza macho kuwaangalia baada ya sekunde chache alimgundua yule mwanaume ni rafiki yake kipenzi MJ.

    Lakini mwanamke hakumwelewa kwa vile alikuwa mbali vilevile kichwa cha mwanamke kilikuwa kimelalia kifuani kwa MJ. Waliposogea karibu hakuamini macho yake kumuona MJ akiwa na zilipendwa wake Lily wakionesha ni wapenzi wa muda mrefu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Bila kujielewa alijikuta akisogea mbele mpaka alipowakaribia karibu na kuwashuhudia wakilishana mate bila kuhofia watu waliokuwa wakitoka ndani ya ukumbi.

    “Mjuniii,” Shuku alipiga ukelele kwa kulitaja jina kamili ya rafiki yake.

    MJ alishtuka na kujikuta akimsukuma Lily pembeni na kumfanya aanguke chini.

    “Mjuni rafiki yangu unyama gani ulionifanyia. Wanawake wote ulionao hukuridhika umeamua kuninyang’anya mpenzi wangu, kwa vile tu una pesa?” Shuku alisema kwa sauti ya kilio.

    “Sa..sa..mahani Shu..shu,” MJ alisema huku akimfuata rafiki yake alipokuwa amesimama. Lakini hakufika popote Lily alijizoa pale chini alipokuwa ameanguka na kumvaa MJ.

    “MJ hebu rudi, achana na mpambe nuksi mtumai mali za rafiki kumbe hana lolote,” Lily alisema huku akimvutia MJ kwake.

    “Hapana Lily hebu ngoja nizungumze na Shuku najua nimemkosea.”

    “MJ achana na kapuku, anapenda kula nyama wakati hana meno hebu atupishe wenye meno wajilie nyama.”

    “Lily mpenzi naomba unipe dakika moja nizungumze na Shuku.”

    “MJ unanipenda mimi Shuku?”

    Swali lilikuwa zito kwa MJ na kujikuta akiwa njia panda asijue afanye nini. Shuku bila kusubiri, alisema kwa sauti ya kawaida.

    “Mjuni nashukuru sana kwa yote uliyonifanyia, sina sababu ya kukulaumu kwa ajili ya kitendo chako cha kunidhalilisha kwa Lily. Najua umaskini wangu ndiyo unaniponza, lakini siamini msichana uliyekuwa ukimwita malaya ndiye anayevunja urafiki wetu leo, asante,”

    Shuku alisema huku akiondoka.

    “Shu...shu...” MJ alijitahidi kumfuata rafiki yake, lakini Lily alimvutia kwake ili asimfuate Shuku.

    Shuku hakutaka kugeuka nyuma, moyo ulimuuma alitembea huku akilia hadi kwenye kituo cha bodaboda na kukodi pikipiki.

    “Niwahishe Tabata,” Shuku alisema huku akipenga makamasi mepesi.

    “Elfu tatu mkubwa.”

    “Poa twende.”

    “Vipi kaka umefiwa?” hali ya Shuku ilimshtua dereva wa bodaboda.

    “Heri ningefiwa.”

    “He! Nini tena?”

    “Wee acha tu.”

    Dereva wa bodaboda hakutaka kuuliza zaidi, alipofika Xteno alimuuliza:

    “Tabata ipi?”

    “Wee umetaja bei bila kujua Tabata ipi?”

    “Samahani mkubwa.”

    “Mawenzi.”

    Dereva alivuka barabara na kuelekea Tabata Mawenzi. Shuku alipofika alilipa anachodaiwa na kwenda ndani. Alipofika alichukua kila kilicho chake na kutimua zake kwake kurudi maskani kwake.

    Aliamini maisha ya kutafuta mwenyewe yana uhuru kuliko kupewa na mtu na matokeo yake kudhalilishwa kama vile.

    kwa vile alikuwa amejiimalisha kwake alirudi moja kwa moja kwenye chumba chake alichokuwa amenunua vitu vyote vya ndani kupitia fedha alizopewa na MJ.

    Siku zote hakuamini maisha ya kupewa na alihofia akikosana na MJ anaweza kukosa pa kuanzia kimaisha na kuwafanya wenye mapengo wamcheke.

    Kitendo cha Shuku kufumania siku ile kilimuuliza sana MJ na kupanga akirudi nyumbani amuombe msamaha kwa gharama yoyote. Aliamini akimtangazia fedha na dhiki aliyonayo atakubali tu na kumwachia Lily.

    Lakini alishangaa kutomkuta nyumbani, aliondoka na mpenzi wake akiamini huenda kesho atamkuta. Siku ya pili aliporudi hakumkuta tena. Kwa vile alikuwa bize na Lily hakujua kinachoendelea nyumbani. Alimuachia Shuku fedha nyingi kitandani kwake akiamini bado yupo pale.

    Wiki ilipokatika ndipo alipogundua Shuku hayupo, hata alipokwenda alipokuwa akiishi zamani aliambiwa amehama. MJ hakutaka kumtafuta aliendeleza mapenzi kwa Lily. Kwa vile MJ hakutaka kubanwa na mpenzi wake alimnunulia nyumba ili aweze kuendelea na tabia zake za kubadili wanawake kama nguo.

    Mwanzo Lily alilifurahi penzi la MJ kwani muda mwingi alikuwa naye pia kila alichokitaka alikipata. Siku zote mjusi hawezi kuwa nyoka, siku moja wakiwa chumbani wanajiandaa kwa chakula cha usiku simu ya MJ iliita, alipoangalia alikuta ni mpenzi wake mtoto wa waziri aliyekuwa nje ya nchi kuonesha alikuwa amefika siku ile usiku.

    “Sorry mpenzi,” MJ alisema huku akipunguza kuni kwenye jiko.

    “Ya nini tena bebii?” Lily alilalamika kwa sauti ya mtu aliyekuwa akitafuna pilipili.

    “Kuna simu muhimu nataka kusikiliza mara moja.”

    “Jamani bebi, utasikiliza baadaye mwenzio zipo juu zinataka kumwagika zishushe mpenziiii.”

    “Samahani mpenzi ni simu ya muhimu sana.”

    “Jamani, basi wahi kurudi,” Lily alisema huku akijikunja kutokana na kunyemvuliwa na wadudu wadogo wadogo.

    MJ alinyanyuka na kwenda kuzungumzia sebuleni kwa sauti ya chini.

    “Halooo Sweet.”

    “Bebi upo wapi, mbona nyumbani haupo?”

    “Nipo club.”

    “Upo club gani nikufuate, nimefika usiku huu na ndege siwezi kwenda nyumbani mpaka nikuone na unipe raha zangu nilizozimisi kitambo.”

    “Kwa hiyo tukutane wapi?”

    “Popote, utakapotaka kama kwako nikusubiri au hotelini?”

    “Nikukute Prinsess Motel.”

    “Utanikuta nimechukua chumba kabisa yaani nina hamu na weeewe.”

    Baada ya kukubaliana MJ alijikuta amesimama kama mnara asijue akamwambie nini Lily kwani alikuwa kwenye hali mbaya alihitaji msaada wake kumrudisha kwenye hali nzuri.

    Kwa mahanjamu aliyokuwa nayo Lily, MJ alijua kama atampa huduma ya kwanza lazima angekesha na anapokwenda lazima atachelewa pia angeonekana katumika.

    Alirudi hadi ndani na kwenda kwenye nguo zake na kuanza kuvaa. Lily alishtuka na kumuuliza.

    “Vipi sweet mbona hivyo?”

    “Aisee kuna kazi inatakiwa kufanyika usiku huu ni mimi tu niliyekuwa nimechelewa kufika.”

    “Jamani mpenzi waambie wenzako muifanye kesho. “

    “Bebi kazi hiyo ndiyo inatupa jeuri ya mimi na wewe kufanya yote haya.”

    “Basi nipe hata chozi la mnyonge, hali ni mbaya,” Lily alilalamika alikuwa kama kachambia pilipili.

    “Bebi nachelewa wananisubiri,” MJ alisema huku akivaa haraka na kwenda kumbusu Lily aliyekuwa kwenye hali mbaya.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog