Search This Blog

Monday, October 24, 2022

APPLE LIMEPEVUKA - 3

 





    Chombezo : Apple Limepevuka

    Sehemu Ya Tatu (3)



    "kiukweli tokea juzi nilipokutana na wewe, nilitamani kila siku uwe unanipa tu utamu wako sema ndiyo hivyo tu mambo yanabana. Sasa kama leo unataka kwenda kunipa usiku kucha, nita enjoy sana mamaake" alisema J na kumfanya mama Joy kukosa pozi, akabaki amekodoa macho kumtazama tu huyo kijana kama vile anayemhurumia.

    "bahati yako mwanangu anaumwa lakini nilita tukagalagazane kitandani hadi asubuhi,........

    ENJOY....

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    nimelimisi sana dudu lako J....hata nikifumba macho naliona lilivyosimama natamani niwe nalishika kila wakati" aliongea kwa sauti ya chini mama huyo huku akiwa makini zaidi sauti yake isisikike na mtu mwingine.

    "unajua kitumbua chako ni kitamu sana halafu umebarikiwa si utani...ungekuwa rika langu mama Joy, haki vile ningekuoa sema tu ndiyo hivyo umewahi kukua....yaani natamani niwe naingiza dudu langu kila wakati kwenye kitumbua chako mnato kinachovuta" alizidi kuchombeza J na kumfanya mama akose utulivu hapo kwenye kigoda alipokalia. Kilikuwa kama kinamuwasha hicho kigoda kwa jinsi alivyokuwa akihangaika.

    "bwana J usiongee hivyo utanifanya nishindwe kulala vizuri bwana si unajua dudu lako lilivyo tamu" alilalama mama huyo kwa sauti ya chini.

    "twende basi ukanipe hata kimoja" aliesma J.

    "hapana mimi mchezo kama ule tulioucheza juzi mi siutaki, nataka kulala na wewe tu hapa nilipo ili nilifaidi dudu lako vizuri" alisema mama Joy na kumalizia.

    "sema ndiyo hivyo tu mwanangu anaumwa lakini leo nimeshikika kweli na unajua kuwa daktari wangu ni wewe,....J hata ukioa naomba uwe unanipa utamu wako"

    "usijali kwani hata mimi sitaki kuukosa utamu wako" alisema J. Tayari alikuwa ameshamaliza kula kwa muda huo, hivyo alitoa noti ya shilingi elfu kumi na kumkabidhi mama huyo kisha kumwambia kiasi kitakachobakia atamnunulia mtoto dawa. Mama Joy akamshukuru kijana huyo kisha wakaagana. J alikuwa akirudi nyumbani muda huo wa usiku lakini mawazo na akili yake vyote vilihama na kumfikiria Batuli. Hakujua ni kitu gani kilichokuwa kikimfanya amfikirie zaidi mtoto huyo. Hakujua kama ni upendo wa kawaida au tamaa tu za kimwili zilizokuwa zikimsumbua, alijikuta tu akiwa na mawazo mengi sana juu ya binti huyo.

    "sijajua ni kipi hasa kilichomfanya yule mtoto anipe ahadi ya namna ile, alijua fika kuwa hatoweza kutimiza ahadi, sasa ni kwanini aliniahidi....atakuwa alidhamiria kunidanganya siyo bure. Na kama ni hivyo kwa nini sasa?" alikuwa akiwaza na kujiuliza maswali ambayo sijui hata kama alikuwa na uhakika wa kuyapatia majibu. Usingizi ulikuwa umejitenga pembeni kwa muda kwanza kumpisha kijana huyo amalize kuwaza. Usingizi haukuwa rafiki kwa usiku huo sijui hata ilikuwaje akili yake J hadi ajikute namna hiyo.

    "kuna kitu siyo bure. Siyo kawaida hii, sijawahi kuwaza namna hii mimi hata kidogo. Kwanini sasa? Lazima nimtafute kuanzia kesho huyu mtoto, sikubali hata nyumbani kwao nitakwenda kumuulizia" alijipa ahadi J. fundi na kuzidi kuwaza.

    "lakini Batuli ni mrembo sana yule mtoto, anajithamini, pia anakila sifa. Acheni aringe....nimeipenda rangi yake...mtoto mweupeee. Hivi akija humu ndani mimi nikizima hii taa na weupe ule duuh! Najiona chizi kabisa....Batuli njoo basi mpenzi nakupenda mwenzio, usinikatae...njoo uone nilivyokuwa na penzi la ukweli kwako" alizidi kuwaza J.

    "yaani naona kama tayari namvua dera lake halafu mtoto ndiyo kabakiwa na chupi tu ya rangi nyekundu. Mtoto analalamika J nataka wote, nitie nao J mpenzi....aaaaaah ssssss!" J alikuwa kama kachizika juu ya mtoto Batuli, alikuwa na mawazo mengi sana juu ya Batuli mtoto wa kike mrembo mwenye weupe wa asili. Kiuno kilichojigawa kiustadi na kutengeneza makalio makubwa kiasi ya kuvutia, mtoto alikuwa na jicho la kulala linalotamanisha kila wakati. J. fundi si ukora tu pekee bali kuna zaidi ya tamaa moyoni mwake. Usingizi ulimvizia akiwa hivyohivyo mawazoni na kumhamisha kabisa ndani ya dunia hii kisha kumpelea sayari nyingine ya ndoto.



    "napenda unavyokatika, mtoto unakata mpaka basi, ooou yaaa, nipe yote nikalale nayo chumbani kwangu mpenzi"

    "kula tu unavyoweza, usijali kula tu hata kama unaweza kunila mzima we nile tu niko radhi mume wangu"

    "aasssssss aaaaaa.....kwa nini mtamu hivi, hebu nipe siri ya utamu wako,....kitumbua chako ni tofauti na vitumbua vyote nilivyowahi kula....nakojoa mpenzi..nakojoooo......!"

    "kojoa, kojoa nikupokeee kojoo!"

    "aaaaaaaah!" kum*nina zangu, aisee mimi ni mseng* kabisa cheki nilivyojichafua kama mtoto mdogo....mbona ni mtoto mweupe niliyekuwa ninamla, ananywele ndefu, mapaja meupe kama ya mzungu.....atakuwa ni nani yule?" alijiuliza maswali mfululizo J. fundi mara baada ya kujipiga bao la ndotoni. Tayari ilikuwa imeshatimu saa kumi na mbili za asubuhi. Bukta yote ilikuwa imechafuka mbele, ilikuwa haifai kabisa.

    "mbona alikuwa ananiambia nikojoe kabisa Mungu wangu....nimefanya mapenzi na jini mimi jamani... haiwezekani mtoto nilikuwa naye namla mida hii hii, cheki bao bado la moto kabisa.....lakini mbona ninemtia hadi madole?" ilikuwa ni patashika nguo kuchanika. J alikuwa akipambana na mawazo lukuki, anaamini kabisa kuwa ile haikuwa ndoto bali alikuwa anafanya mapenzi kabisa tena na kiumbe kizuri lakini sura hakuiona, aliona nywele ndefu na weupe wa kiumbe hicho. Mawazo yake hayakudumu sana. Mlango ukagongwa, akatoka baada ya kuvua hiyo bukta na kuvaa nyingine juu akapiga fulana kubwa na kutoka. Nje alimkuta Chacha akiwa tayari amenyuka viwalo vya nguvu.

    "broo kitu cha likizo hiki, Dar moja" alisema Chacha akiwa na furaha sana.

    "po.....!" alikatisha kwanza J. Akapiga mwayo mkuubwa kisha akarudia.

    "poa dogo ila hakikisha unauwacha utukutu huku, usije ukaenda kuleta kero kwa baba yako mdogo huko. Mi nikipata ripoti ukija huku kama kawa, makwenzi tu....si unanijua?" aliongea J.

    "nimekuwa sasa hivi broo"

    "poa, mkwanja si nilikupa jana?"

    "yaa, niko full nondo"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "poa" alijibu J kisha Chacha akadandia bodaboda ambayo ilimrusha kituo cha mabasi cha hapo Muheza. Nyumba ya J. fundi haikuwa mbali na barabara inayotoka Masuguru juu hivyo kwa muda huo wa asubuhi aliweza kuwaona watu wengi na pilika zao za kuwahi makazini na kadhalika. Akiwa bado ameganda mahali hapo bila kujua kwa nini, jicho lake likatua kwa msichana ambaye alikuwa mweupe, mwenye nywele ndefu za rasta zilizosukwa kistadi. Alikuwa akipita kwa mwendo wa madaha makubwa mithili ya ngamia jangwani. Macho yakamtoka J, mtu aliyemuota ndotoni na kuichafua bukta yake, anamuona waziwazi tena akiwa vilevile hamuoni sura.

    "ndiye, kumbe ndiye!" alipayuka kwa mshangao na kujikuta akipiga mbinja bila matarajio. Wakageuka watu wawili wote wakiwa ni wanawake na wote wakiwa pamoja na haitoshi, wote wakiwa wamesimama na alama za kuuliza machoni mwao 'mimi?'

    "sasa wewe si uende!" akasema kwa sati ya uchoyo, sauti aliyoisikia mwenyewe lakini si sauti pekee bali alitoa na ishara ya kuruhusu kuondoka kwa mmoja lakini wale wasichana wakajua tofauti hivyo kila mmoja akaondoka.

    "ah!, ah!, siyo wewe!" akapayuka kwa sauti ya juu huku akiwa kituko, alikimbia bila kujua kama amevaa bukta, ashukuru tu bukta ilikuwa ndefu na fulana yake. Vikamsitiri. Akafika mbele ya yule binti mweupe, aliyemuota usiku ndotoni.

    "ni wewe kweli!" akaropoka mbele ya huyo binti" lakini alipomuangali vizuri alimkumbuka, akachanua mdomo kutaka kusema jambo.

    "J. fundi, yaani umeamua kuja hapa barabarani na hivyo ulivyo?" akawahiwa kwa swali la mshangao. Wala hakujali J ndiyo kwanza akajidai ni Ney wa Mitego.

    "mapenzi mama, mapenzii!"

    "hatakama siyo kihivyo" Hakuwa mwingine ni Batuli, alikuwa kwenye mavazi ya kuvutia na kupendeza mno. Alikuwa akielekea zake kazini asubuhi hiyo. Batuli alimshangaa sana J na kumuona mtu wa ajabu sana. Batuli alijisikia vibaya sana kumuona J amemsimamia akiwa katika mavazi yale tena asubuhi asubuhi namna ile.

    "nini kwani J?" akauliza, alikuwa ni kama hayuko sawa.

    "ahadi yako Batuli, ahadi yako haikutimia na ndiyo maana nimekuvamia kipuuzi namna hii" alisema J. Neno hilo likamfanya Batuli kutulia na kutafakari kiungwana zaidi.

    "haya sema basi?"

    "hata kama nitasema hutanielewa kwa sasa kabisa. Nipe namba yako kisha unipe na muda mzuri wa kukupigia Batuli. Moyo wangu unanisumbua kila siku kuhusu wewe na kama ningechelewa kukuona bila shaka ungetoka kukutafuta ulipo. Batuli ilibidi atabasamu tu maana tayari J alishaanza vituko. Alijua fika hakua na kipya hapo zaidi ya mapenzi. J alishampenda na yeye pia kwa J alishakufa ilibakia kuoza na kunuka tu ili hadhara yote ijue. Tatizo ni muda na kujirahisisha ndiyo ilikuwa tatizo lakini hapo kwenye namba aliapa hatopachezea lazima aanguke mazima kwa kijana huyo mpole na mcheshi. Mapenzi mazito kabisa yakijichora kwenye moyo wa dada huyo na macho kudhihirisha. Wakabadilishana namba bila hofu na mashaka. Ahadi ya kuwa ifikapo saa tisa ya alasiri amtafute hewani. J akajiona kama Mwewe vile mbele ya vifaranga vilivyofiwa na mama yao mzazi.



    Siku ikaanza namna hiyo, hakurudi tena ndani kulala bali aliamua kufanya usafi wa hapa na pale hadi ilipofika saa nne za asubuhi.



    Kuondoka kwa Chacha kulikuwa kumetoa mwanya mkubwa sana kwa mama Chacha kuwa huru kwa kujiachia na kijana huyo. Aliamini hapo hawezi kupindua ni lazima ambane na kumuweka kwenye kumi na nane zake hadi amfaidi huyo kijana. Wema ambao ameufanya J. fundi wa kumrudisha Chacha shule wakati Chacha hakuwa mtu wa kusoma, jambo hilo mama Chacha aliliona kubwa sana na hakuwa na kitu cha kumlipa kijana huyo zaidi aliona ni bora kuwa naye karibu kimahusiano. Alilifanya hilo ni kama malipo kwenye kile alichokifanya J lakini J aliamua tu mwenyewe kufanya jambo lile kwa matakwa yake na wala hakuhitaji malipo yoyote. Pengine mama Chacha alikuwa akiitaka hiyo nafasi kwa kupenda kwake na kuamua kutumia nafasi ya msaada alioutenda kijana huyo. J akiwa hajui hili wala lile, akiwa ametulia ndani kwake hapo ikiwa ni baada ya kumaliza usafi. Alikuwa anatoka kujifanyia usafi, hapo alikuwa amejifunga taulo huku akiwa anatafuta nguo ya kubadili, alishtukia tu mtu akiwa anatembea taratibu nyuma yake. Alipogeuka, alikutana uso kwa macho na mama Chacha, alishtuka nusura taulo limuanguke, macho yalimtoka pima mdomo ukiwa wazi.........



    "Vipi tena mama Chacha kuvamia ndani kwangu tena bila hodi!?" akauliza J kwa mshangao.



    ENJOY....

    "Samahani J lakini sikufanya kwa bahati mbaya kuingia humu ndani kwako bali nimedhamiria,.....nimepanga baada ya rafiki yako kuondoka mimi nije huku kwako hii asubuhi.....J kwanini unakuwa na moyo wa chuma wewe mwanaume, hujui hata kuwa kuna watu unawaumiza namana hiyo?" aliongea mama Chacha. J ni kama alishindwa kumuelewa mama Chacha kwa muda huo. Amedhamiria kuja humu baada ya rafiki yangu kuondoka. Alijiwazia J namna hiyo. Wakati akiwa anajiuliza au kuwaza muda huo, mama Chacha akaurudisha mlango na kusogea katikati ya kile chumba cha kijana huyo. J bado akikuwa yupo katika maswali ya kujiuliza, si kawaida mama Chacha kumvamia ndani kwake namna hiyo hata siku moja hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza na ilimchanganya kabisa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "anajiamini, hana hata wasiwasi.....ana nini leo huyu mama?" alijiuliza J, jibu hakulipata. Mama Chacha alijifanya kama yuko mwenyewe mule ndani, alichokifanya ni kuitoa khanga ya juu na kubakiwa na mtandio ambao ndani haukuwa na kitu chochote kile cha kujistiri kisha kupiga hatua ndogondogo kuelekea lilipo kochi la kukaa mtu mmoja mule ndani. Wakati analielekea hilo kochi, alikuwa amempa mgongo J hivyo kumfanya kijana huyo kuyashusha macho yake kuangalia mzigo wa mama huyo maan ilikuwa hakuna jinsi. Hapo ndipo macho yake yalipokutana na kitu cha ajabu na asichokitarajia kama kingefanywa na mama huyo, mama aliyekuwa akimheahimu na kumchukulia ni kama mama yake kwa jinsi ambavyo alikuwa akiishi naye. Mtandio ulishindwa kuvificha vilivyomo ndani, ulionesha kila kitu. Makalio laini ya mama huyo yalikuwa yakipigana vikumbo na kusababisha mtikisiko wa aina yake.

    "majaribu" aliwaza J. Moyo wake aliuona kama ukitoka na kufanya kama unachukua mazoezi ya mbio za riadha, kijasho chembamba kikaanza kumtiririka taratibu kutokea kichogoni na kupitia uti wake wa mgongo. Lilikuwa ni jambo la kushangaza sana. Makalio makubwa ya kushika na kuyatomasa ili yakupe andasi za kufanya ngono yalikuwa yakitikisika mtikisiko wa hamasa ya aliyebeba mzigo huo kuliwa. Mama Chacha alifika kwenye kochi alilolikusudia na kuuweka hiyo kanga kisha akageuka kumtazama kijana huyo. Mshangao aliomkuta nao huyo kijana aliutegemea kwa asilimia mia moja na kitu. Tabasamu la unangoja nini sasa kama siyo kunitafuna, likawa linachanua usoni mwa mama huyo.

    "ma...mama...Cha....cha...hi....hivyo...ndiyo ni..nini sasa!?" aliuliza kwa kitetemeshi kikubwa J.

    "nakushangaa sana J kwa umri uliokuwa nao bado unataka kujua kwa nini hivi leo, J nitafute gitaa au zeze kisha nitoke mtaani, nitumbuize na kuimba kuwa nahitaji au nalihitaji penzi lako?" alisema mama Chacha akiwa hana hata wasi wasi kabisa. Moyo wa J ukapiga chemaba chogo moja, mbili na tatu kisha mkono kinywani. Jicho lake likitambaa taratibu kwenye mapaja taliyojichora ndani ya ule mtandio, dudu lake likamsaliti. Likasimama kwa pupa na kupiga lile taulo kii!, halafu likawa linanesa kama wale mijusi wanaopatikana kwenye miamba ya majabali makubwa huko jangwani. Mama J akakenua baada ya kuiona ile hali. Akafanya kitu ambacho kwa asilimia mia na zote, alimkoroga kabisa akili kijana huyo. Aliufungua ule mtandio akaupenua kisha kujifanya anaufunga tena taratibu. Kila kitu kilikuwa wazi bila kificho. Mzigo wa haja aliokuwa ameubeba mama huyo ukamfanya kijana huyo akili kumruka kwa muda. Matiti mazuri makubwa yaliyotuna yaliyobebwa kifuani, J alidinda mbaya mbovu, kitu kilimsimama hadi kikawa kina muuma. Mama huyo akauangusha kabisa sakafuni mtandio huo halafu akawa anamfuata kama anayeiogopa sakafu ya humo ndani. Mwili mkubwa wa mama huyo ulizidi kumfanya J kuhamwa na akili kabisa. Lile taulo ambalo alikuwa amelishika lisianguke sasa alikuwa ameliachia, taulo hilo likawa linamtoka maungoni mwake kiaina bila hata kufanya jitihada zozote za kulizuia.

    "mama yangu kuzimu!" aliongea kwa mshangao mama huyo.

    "nini?" akamuuliza huku akiwa amemkubalia kuja na hapo alikuwa akijiandaa kumpokea.

    "J unadudu zuri, siyo kubwa wala refu la kutisha. Nene kiasi na lenye ufupi wa kuweza kusugua na kuleta raha....vitu kama hivyo ndio vinavyoniuwa J jamani siyo jirefu kama rungu ya mmasai, likikuingia ukeni wasikia uchungu kama watoa kimba iliyokomaa....njoo unipe dudu lako J leo nilifaidi. Nakuahidi hutauchukia huu mchezo wa leo na utapenda niwe nakupa kila siku" alisema mama Chacha akiwa anapapasa kifua cha kijana huyo. Dudu la J lilikuwa kama linasikia linavyosifiwa maana hapo lilikuwa linazidi kuumuka balaa hadi bichwa likawa nene kama Kambare aliyebanikwa. J alikuwa anaushikashika uume wake huku mkono mmoja akiwa anayaminya makalio ya mama huyo. Wahenga husema, Cha kuokota si cha kuiba mwenye mali ni mjinga. J hakuwa na makosa kabisa mahali hapo kwani alishamsihi sana mama huyo asifanye hicho alichotaka kukifanyal lakini hakusikia hadi kuamua kumvamia J chumbani kwake akiwa na dhamira kabisa ya kumpa utamu wake. J akaamua kumkandamiza na kauli isemayo. Ulichotunukiwa ni dhahabu' na kama ujuavyo nafasi ya dhahabu haina upili. Liwalo na liwe ikawa ni jambo la kumalizia. J akaanza kuziminyaminya chuchu nene za mama huyo, chuchu ambazo miaka kadhaa nyuma alikuwa akizinyonya Chacha kwa ajili ya kujipatia chakula chake.

    "aaaaaaaaa,.....uuuuuuuuuu,.......yaaaaaaaaaa mmmhu!" alikuwa akilalama mama Chacha kwa utamu wa kuminywaminywa chuchu zake kitaalamu.

    "unaonekana unanyege sana mpenzi?" aliuliza J kwa sauti ya kuchombeza.

    "sana mpenzi, sijaliwa siku nyingi yaani leo utafaidi sana. Hapa tundu langu litakuwa la motooo hadi nakuonea wivu utakavyo faidi" alijibu mama huyo. Mwili wa mama Chacha ndiyo pekee uliokuwa ukimuua kijana huyo. Makalio yake makubwa yalikuwa yakizidi kumpa kichaa kabisa. Kila akiyashika anayajengea picha kama yanampigapiga kwenye mapaja akiwa anamkamua mama huyo.

    "ooo yaaa, geuka kitogo mpenzi nipate hata goli moja la faster ukiwa umenipa mgongo" alisema J hadi mama Chacha akashangaa.

    "mbona mapema hivyo jamani hata mzuka bado haujatupnda....J bwana acha hizo"

    "makalio yako natamani yanipigepige kwenye mapaja yangu nikiwa nakuchapa nao mpenzi" alisema J, maneno yaliyomfanya mama Chacha acheke kwa ndani kisha akageuka na kumpa mgongo kijana huyo. J aliyapigapiga makofi ya kishkaji makalio hayo na kumwambia mama huyo ainame kidogo. mama Chacha hakuwa mbishi, akainama. Pamoja na kuinama lakini bado njia ya kuweza kuingiza dudu haikupatikana, makalio yalikuwa makubwa sana. J aliyashika makalio hayo huku na huku na kupanua, hapo akapata kuiona njia ya utamu ilivyokuwa kavu, haikuwa inatema ute wowote na hiyo ni kutokana na J kutokufanya maandalizi ya kumuandaa mama huyo. Alijikuta na mzuka sana asubuhi hiyo sijui ni kwa nini au labda ni ile ndoto ilimuacha na maumivu mwilini. J akaliachia kalio moja na kulikamata dudu lake lililokuwa limesimama hasa. Akalilengesha lakini likawa linakwama kupita, akawa analisugua pale juu ya njia kama anayelazimisha ili liingie, basi akifanya hivyo, mama Chacha hali tete, kelele mtindo mmoja.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "J ingiza jamani nilipate joto lako, sijaliwa nina miaka mingi, usinisugue hivyo tu pekeyake...nimeliona bichwa lako lilivyokubwa....ingiza lote ndani linikune nipate raha mpenzi" ndivyo alivyokuwa akilalama mama Chacha namna hiyo. J akalishika kalio na kulitikisa kisha kuliachia, lilikuwa linampa raha balaa. Akatia mate kwenye mkono akalipaka dudu kwa mbele pale kwenye injini kisha akalengesha, kifaa kikazama na kupotelea tunduni.

    "aaaaaaah....aisee tamu kinomaaaa" alisema J. Joto alilokuwa akilipara ni bab kubwa. Kitumbua hicho kidogodogo cha mama Chacha, kilikuwa na moto mbaya mbovu. J alijua kabisa kwa joto hilo hachukui raundi hata ya tako kumi atakuwa tayari ameshanyanyua mikono kusalenda, hivyo akataka kile alichokipanga kitimie. Makalio yale alitaka yampigepige kwenye mapaja akiwa anamfaidi mama huyo. Akakikamatia kiuno vizuri sasa akaona potelea mbali hata akikojoa mapema siyo mbaya kwanza ni goli la kwanza halina mbwembwe. Akasugua kwa nguvu huku yale makalio yakishindana na kelele za mama huyo.

    "pah, pah, pah, pah, pah!" zilikuwa zikisikika kelele hizo huku mama huyo akiwa hashikiki kwa mayowe.J alikuwa anamsugua kweli, kijana huyo alisugua hadi yale makalio yakawa yakipiga mapajani, yanakuwa kama yananata na kuleta mtikisiko fulani ambao ulimvutia sana J hadi akajikuta akiongeza nguvu na speed ya kuushindilia mdudu wake ndani na kuutoa. Hakufika mbali sana, akaanza kupiga kelele huku akiwa anakishikilia kiuno hicho na kubaki amenata kama anasubiri picha ya mnato. J akapiga bao la kwanza kwa shangwe kubwa kabisa lakini mama Chacha hakuremba, alichomoa na kugeuka haraka sana na kuikamata maiki hiyo kabla haijalala na kuanza kushusha mistari. J alikuwa akisimamia vidole kwa jinsi ambavyo mama huyo alivyokuwa anayavuta mabaki ya bao lake kwa mdomo kiutundu zaidi. Shughuli ilikuwa pevu haswa. Mama Chacha alikuwa si fundi sana wa mapenzi lakini mbwembwe ndizo zilizokuwa zikimuuwa kijana huyo. Kelele na manung'uniko pale alipotakiwa kunung'unika, mama huyo alinung'unika kweli. Mama huyo alikuwa hataki kuiachia maiki ya J muda wote alikuwa akipenda kuimba nayo kwa mitindo aipendayo. Alilamba na kuinyonya kama ananyonya Ice creem au Chokistic.

    "oooooo...asante mama Chacha, asante kwa kujua kunipa radha nzuri, basi inatosha geuka unipe utamu sasa." aliongea J kama alikuwa kapewa mdundo vile kwa jinsi alivyokuwa akitumbuiza kwa maneno matamu yaliyomtia hamasa mama huyo.

    "kwa nini unapenda kila saa nigeuke J jamani" alinong'oneza mama Chacha baada ya kuona kijana huyo hakuna mtindo mwingine anaoutaka zaidi ya huo wa chukua kwa nyuma.

    "nilishakuambia lakini kuwa napenda makalio yako yakiwa yananipiga piga kwenye mapaja yangu. Yakiwa yananipiga piga naliona dudu langu likizidi kupata mzuka maradufu na kuzidi kudinda. Pia naona kama ndiyo nakuchokoa vizuri" aliongea J. Mama huyo hakuwa na usemi mwingine. alilishikashika dudu hilo na kulisugua kimtindo kama anayempigisha puchu kisha akailainisha na mate kidogo. Mama huyo akapanda kitandani na kupiga magoti. Jakampandia kwa juu kisha kuilengesha mahala pake. mama wa watu alikuwa anafumba macho tu kukiruhusu kifaa hicho kipenye na kwenda kupasha joto ndani kwa kusugua maungo yake ya ndani.





    Alilishikashika dudu hilo na kulisugua kimtindo kama anayempigisha puchu kisha akailainisha na mate kidogo. Mama huyo akapanda kitandani na kupiga magoti. Jakampandia kwa juu kisha kuilengesha mahala pake. mama wa watu alikuwa anafumba macho tu kukiruhusu kifaa hicho kipenye na kwenda kupasha joto ndani kwa kusugua maungo yake ya ndani. Mama huyo hakuwa na sumu kabisa ila kitu ambacho J alikipenda hapo kwa huyo mama ni umbo, jimama hilo lilikuwa na umbo si kidogo. Mwili alijaliwa ukiweka na hayo makalio, ndiyo kabisa kabisa J alidata na kuchanganyikiwa mazima. Hakutaka sijui kunyonya hapa wala pale, alichojali yeye ni kumsugua mama huyo na pia hakutaka sujui kifo cha mende wala Paka kashiba, kazi yake ilikuwa ni toa ingiza, toa ingiza, hakuchoka kutoa na kuingiza, alikuwa akiuzamisha mpingo wake ndani kabisa na kumsugulia mama huyo huku makalio yake makubwa yakiwa yanampa raha zaidi.

    "mama Chacha utaniuwa mwenzio na hili bogi lako, ashiiiii....aaaaaaa, halafu mtamu kinoma yaani, natamani hata nisimalize haraka ili nizidi kukufaidi" alisema J huku akiongeza kasi ya kusugua. Hakujua hata kwa muda huo, mama Chacha alikuwa akimuomba kijana huyo apunguze kasi.

    "J yawaka moto J,....punguza J au itoe utie mate.....oooooooooooo.....aaaaaaaa!" sauti hizo wala J alikuwa hazisikii. ndiyo kwanza alikuwa anachochea moto.Alisugua hadi anamaliza kwa mtindo huo kisha akampiga kofi la asante, kofi lililokwenda kuyatikisa makalio ya mama huyo tiki tiki tiki! Hadi J akatoa tusi la kiaiana kumuendea mama huyo. Mapenzi bwana, mapenzi ni kitu cha peke yake kabisa. Kitendo cha kijana huyo kumtukana mama Chacha hapo kitandani, kama ni barabarani pengine ingekuwa ni kesi ya nitakushtaki kwa mjumbe lakini hapo mama huyo alitabasamu na kumpiga J kibao cha sitaki uchokozi huku akimsindikiza na maneno haya.

    "ole wako nikikuhitaji uniletee longolongo, nakuangulia kilio mlangoni hapa kwako kama umefiwa"

    "thubutuuu! Nani kasema, kwanza natamani hata kesho uje niyapigepige makalio yako au uyachezeshe kwenye mtalimbo wangu" alisema J kwa kunogesha. Kicheko cha utani wa hapa na pale kikawatoka.



    *******

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sina amani ya maisha mimi kabisa, najiona sina bahati hata kidogo...nilioa mwanamke wa kwanza mambo ni haya haya, wa pili ni wewe....nikajua labda nimeokoka, kumbe loooh! Majanga. Naona siku zako za kurudi kwenu zinakaribia, sitaweza kukaa na mzigo ndani....mwanamke gani wewe eenh! Kupika ah...ah...unajua, kuosha vyombo, hapo Mungu kakujaalia kweli, lakini sikukuoa uje kutandika kitanda tu na kujua kukilalia....nimekuoa ili unipe haki ya ndoa na niridhike nayo......!" sauti ya baba mmoja ilikuwa ikisikiwa na Muba ndani ya chumba chake. Muba alikuwa kama amesha izoea sauti hiyo, mbaya zaidi sauti hiyo ilikuwa ni ya mwanaume tu kila siku. Mwanamke hata hakunyanyua mdomo wake kumjibu mumewe.

    "unalala tu kila nikikuhitaji unalala tu, hata hujitikisi, umekuwa gogo mke wangu...bora hata hilo gogo basi laweza kubingilia, wewe umekuwa maiti sijui lab......!"

    "haa! Mume wangu umefika mbali, mimi nimekuwa nani eti?...yailahi toba umenichoka, na nasema hivi, kama umenichoka nipe talaka yangu babu wewe, kwetu ninapo" alijibu kwa ghadhabu huyo mwanamke, alioneasha dhahiri kukerwa na jina hilo aliloitwa na mumewe. Lilikuwa ni jina la kidhalili sana kuitwa binadamu aliye hai. Kwa mara ya kwanza Muba anaisikia sauti ya huyo mwanamke. Nyumba aliyokuwa akiishi Muba ilikuwa bado mpya au naweza kusema haikuwa imekamilika lakini kwa hali ngumu ya maisha, mwenye nyumba hiyo, aliamua kuipangisha tu vivyo hivyo ilhali ikiwa bado haina siling board juu. Muba alikuwa ni mpangaji wa kwanza kukaa hapo kisha hao kufuatia hivyo wapangaji hao hawana siku zaidi ya tatu tangu kuingia ndani ya nyumba hiyo lakini shida na vurugu zao tayari Muba alishazinyaka. Cha ajabu ni kwamba muba vurugu hizo hazikumkera bali zilikuwa zikimfurahisha maradufu na kuomba hata zisikomee hapo bali ziendelee na kilichomfanya apende vurugu hizo za wana ndoa ni sauti ya huyo mwanamke. Mwanamke huyo alikuwa na sauti nyembamba sana ya kumtoa nyoka kwenye maskani yake ya kujidai. Mume alizidi kumtupia lawama mkewe kuwa hamfurahishi wawapo kwenye uwanja wa fundi Seremala. Mke naye aliamua kuja juu na kumwambia mumewe kuwa kama angekuwa yeye ni mjuvi wa mapenzi, angemrekebisha alipokosea lakini kama kumrekebisha anashindwa basi wote ni hakuna afadhali. Malumbano yasiyo na refalii yalizidi kumpa Muba hamasa ya kutofanya jambo lolote lile zaidi ya kutega sikio kuisikiliza sauti ya wanandoa hao. Sauti ya mke wa mtu akiongea tu ilikuwa ikimuumiza je, kama angesikia ikinung'unika ingekuwaje.



    Wakati yale yakiwa yanaendelea kule, J alikuwa anamalizia kuongea na mtoto Batuli kwenye simu mida hiyo ya jioni.

    "nihakikishie basi J kuwa hunitamani na unasababu za kuwa na mimi" aliongea Batuli simuni. J akasugua pua yake kidogo kisha kujiweka vizuri kitini, akasema.

    "hakuna kikubwa ambacho nitakionesha kwako kwa sasa na ukaona kuwa hicho ndicho kikubwa cha kukuaminishia Batuli. Lakini ukweli wa yote ni moyo na kama ujuavyo hakuna awezaye kujua ya moyoni kwa kutazama kwa macho ya kawaida. Batuli nakupenda tena nakupenda kwa dhati kubwa, sijawahi kumtamkia mwanamke yeyote yule hili neno katika kumbukumbu zangu za kimahusiano zaidi yako" alitema cheche J. Batuli hakuwa na jingine la kuongeza. Hayo yote yalikuwa ni maneno tu miongoni mwa maneno, lakini mapenzi kwa J, Batuli alikuwa nayo wazi wazi. wakapeana siku ya kukutana ili kupanga mengi zaidi.



    %%%%%

    %%%%%

    Siku zilikatika kama moto wa mabua uwakavyo kwa kasi lakini kwa muda mfupi. Siku zilikuwa zikikimbia sana kuliko kawaida. J alikuwa ametulia nyumbani kwake akiwa na lundo kubwa la mawazo akilini mwake. Alikuwa akiwaza kitu ambacho hakujua akiepuke vipi, hakuwa na njia ya kukiepuka kitu hicho maana kila alivyokuwa akijitahidi alifeli na jambo hilo likizidi kupata kasi ya kuzidi mno. Ndoa. Ndiyo, wazazi wa J walikuwa wanahitaji kumuona kijana wao akiwa na mke tena wakiwa wangali hai.

    "ni wazi sasa kijana wangu, hapo ulipo si kinda tena kwamba hujui A wala Be, unajua na pia unajua kuwa kwa sasa wewe ni barobaro kubwa kabisa kama ni Beberu limeshaanza kutoa harufu ya ukomavu. Tunahitaji kuona mwenetu ukiwa na mke. Hili si ombi ni amri. Tuanakupa muda wa kuchagua mke umpendaye na kisha utupe taarifa sisi tukamilishe harusi" alikumbuka kauli ya mzee wake J alipokuwa amekaa kwenye kibanda chake cha biashara ya masofa na samani nyingine nyingi. Alikuwa mnyonge kupindukia. Ni kweli alitaka kuoa lakini si kwa kipindi hicho, bado alikuwa hajamaliza hatua ya mwisho ya ujana wake. Leo anaambiwa aoe tena ni amri siyo ombi. Aliwaza hapo hata Muba alipomtokea mbele pia hakumuona. Mawazo yalikuwa mengi kupita kiasi kichwani mwake.

    "vipi kaka, mbona leo ni tofauti sana kwema?" hadi Muba alipoamua kumshitu namna hiyo ndipo akashtuka na kumtazama kijana huyo usoni.

    "aaah! Kiasi ila kwema....kunaridhisha vipi?" alijibu kwa kutoeleweka kisha kutoa salamu.

    "mimi bukheri ila kwako bado ninamashaka"

    "ondoa hayo mashaka weka amani tu" alijibu J katika harakati za kumtoa wasiwasi kijana huyo, hakuta kuliweka bayana hilo jambo asilani. Akatulia kidogo na kuomba aendelee na kazi yake ya kumalizia kuliunda Sofa alilokuwa amelibakisha kidogo tu kumaliza. Walipiga soga za hapa na pale huku ufundi ukiwa unaendele, tayari kigiza kilikuwa kimeshaanza kuchukua nafasi muda huo.

    "J, muda naona umekimbia sana, mimi acha niende nyumbani nafikiri kesho tutaonana asubuhi.....daah! Alafu nimekumbuka kaka, naomba kesho uniibukie magetoni unirekebishie kitanda changu kimezingua jana" alisema Muba.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "we nawe umezidi kutumia vitanda vya zamani, kitanda kinaharibikaje sasa, huna demu...uko mwenyewe tu halafu unavunja kitanda" aliongea J.

    "sio hivyo J mshkaji wangu, mbona bedi la majuzi tu sema si unajua mambao ya siku hizi ya kiboya"

    "kwahiyo kimevunjika kabisa?"

    "unauliza jibu J, noma mwanangu kimeniabisha jana, kimelia mzinga kabisa nikajikuta kidume nimekaa mkao wa mzee aliyepozi kwenye kiti cha uvivu....hivi ninavyokuambia godoro nimelilaza chini" aliongea Muba kwa kuonesha kuwa kweli alichokuwa akikiongea hapo hakikuwa kitu cha utani. J alimuangalia kisha akampa pole jamaa yake huku akiwa anacheka kiaina.

    "daah! Pole sana mwanangu....fanya kunisaidia kuingiza hili sofa stoo kisha ndio uende" alisema J kisha wakasaidiana na kuliingiza Sofa hilo. Muba akaondoka zake. Alipofika Geto kwake, hakuwa na muda wa kupoteza kwani kwa muda huo tayari ilikuwa imetimu saa tatu na robo usiku. Aliingia ndani kimya kimya hakutaka kupiga kelele kabisa. Hakutaka kujulikana kama amefika hapo ndani mida hiyo, alijua muda wowote majirani zake wanaweza kuanza kazi na yeye ndiye alikuwa akitaka kusikia mambo yakiendelea ili kuweza kujifaidia mautamu ya kusikia masauti. Kweli hakuwa ameenda mbali na ratiba, alipozama tu hapo ndani, alisikia sauti ya kidume ikishusha kikohozi cha kiaina kisha minong'ono kuanza.

    "vua basi mke wangu si unajua kuwa nimezidiwa"

    "sitaki bwana, wewe si umesema mimi sikufurahishi kwenye mapenzi sasa unatakaje kufanya mapenzi na mtu asiyekuridhisha"

    "kwaiyo kwa kuwa nimekuambia hunifurahishi, ndiyo hutaki kunipa?....japo hunifurahishi lakini naridhika...nipe bwana haki yangu kwanini mke wangu unapenda tuzozane au unataka jamaa arudi akute naomba haki yangu ya ndoa kama mtu na hawara yake wakati wewe ni mke wangu kabisa" ndivyo minong'ono hiyo ilivyokuwa inasikika ndani humo. Muba alikuwa ametulia kimya mithili ya mtu aliyewekewa silaha ya moto kichwani.

    "si umpe sasa, mtu hadi alie ndiyo ujue anataka kitumbua? Mpe bwana niburudike" alisema kwa kukereka Muba utadhani kuna faida kubwa anapata.



     kwa mapenzi ya wanandoa hao.

    ENJOY



    Pia alijipongeza sana kwa kuweza kuudhibiti mlango wake kwa kuupaka grisi kwenye bawaba ili usiwe unapiga kelele wakati akiwa anaingia ndani humo.

    "lakini mume wangu vitu vingine hunitendei haki" alilalama mwanamke kisha kimya kikatanda, mara kukuru kakara zikaanza.

    "zima taa basi"

    "hapana ngoja leo nikufaidi nikiwa nautazama mwili wako uniongezee munkari wa kupiga mambo...jamaa bado hajarudi na hata akirudi atajua mwenyewe sisi tuanafanya yetu" zilisikika sauti ndani ya chumba cha wanandoa hao. Muba alinyanyua mikono juu kumshukuru Mungu wake kwani kitendo cha hao jamaa kuacha taa iwake, kwake ilikuwa ni ushindi mkubwa sana.

    "nilijua tu chumba hiki nacho kitakuja mpangaji na atakuwa kaolewa au kaoa au hata kama hajaoa lakini huwenda angekuwa ni mtu wa mademu" alisema Muba sauti aliyoisikia mwanyewe huku akisogeza kalenda iliyo usawa wa kitanda.Tundu lenye ukubwa wa jicho lake likaonekana. Akabonyea kidogo akapiga goti kisha kupeleka jicho pale kwenye tundu, mara alilitoa na kurusha mikono hewani.

    "bao! Cheza na mwingine lakini siyo mimi Muba, kitu live bila chenga. Kama nipo kwenye kioo cha nchi ishirini na nne...kitu ng'aring'ari" alisema Muba kwa furaha kubwa. Akarudi pale kwenye tundu na kuendelea kuchungulia. Alitulia kimya Muba akipata uhondo wa chabo hilo aliloliunda kitaalamu kabisa.

    "haa! cheki mtoto alivyo mweupe, chuchu bado zimesimama kabisa....kumbe hajazaa huyu demu. oooooo my god. Jamaa bwege kweli huyu....yaani hata kumtia vidole mtoto hawezi.....anaingiza.....ooooo jama....jamani aaaaaa!" alikuwa akiweweseka Muba kama yeye ndiye anayemla mtoto huyo. Boksa yake aliyovaa ilikuwa imetuna upande wa mbele, mkono ulikuwa umekita mbele akilichezea dudu lake kwa vidole vyake. Akaona hata ile boksa inamzingua, aliamua kuitoa na kuitupia pembeni. Wakati anarudi tena pale tunduni, akagusa gilasi moja ya bati ambayo alikuwa ameiweka juu ya jagi refu. Gilasi hiyo ikatetereka Muba aliirukia na kuiwahi kuidaka ili isifike sakafuni na kupiga kelele.Alifanikiwa kuidala na kuamua kuitupia kwenye godoro, hakujua pia kama gilasi hiyo ilikuwa na maji, maji yote yakalilowesha godoro bila hata kutilia maanani. Jicho likakita tena kwenye tundu la chabo. Aliporudisha jicho hapo, akakuta jamaa bado amemuweka mke wake mtindo uleule wa kifo cha Mende.

    "huyu boya hata kumgeuza geuza mkewe hakuna yani ni vilevile" aliwaka Muba kama kalipia huo mchezo.

    "lakini kwa pale amekaa vizuri....jamani mtoto anaonesha anakachori tamu.....jamaa anafaidi sana kitu hiyo inazama inatoka, inazama inatoka" alizidi kuongea Muba kwa sauti ya chini kabisa. Kama sauti yake ingekuwa inasikika, basi angeshabihiana na mtangazaji wa mpira wa miguu kwa jinsi alivyokuwa haachi hata sehemu moja impite. Alikuwa amesimamisha mbaya. Dudu lake lilikuwa limesimama kwelili kweli, hakuwa na dudu kubwa sana, alikuwa na dudu la kawaida tu ambalo likisimama ndiyo linatimiza inchi tano au sita. Mikono yake ilikuwa ikifanya kazi kwelikweli, ukitoka huu, unakuja huu. Ilimradi tu hakutaka kuiacha raha ile ipite bure. Mkono wake wa kulia ulikuwa unapekecha kichwa cha ndizi yake ya Juma mhuni, kichwa hicho kilikuwa kimebadilika rangi na kuwa cheusi bila shaka kwa kazi hiyo tu. Alikipekecha hadi ndizi yake ya Juma mhuni ikawa imetoa mishipa kabisa na ilikuwa ikiimuuma. Kule chumbani jamaa alifika mshindo akiwa hoi kabisa hakuwa na uwezo wa kuendelea na kazi tena na mwanamke naye hakujishughulisha kumuamsha mumewe kwa mchezo wa marudiano. Dada huyo aliamka kitandani na kuelekea upande ule ambao hata hakujua kulikuwa na tundu ambalo Muba anamla kozi.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "baki hapo hapo na mimi nipige bao kama ulivyo mpigisha bao mumeo....baki hapo hapo.....baki hapo hapo....usiondoke.....usiondoke" alikuwa akiimba Muba. Alishuhudia kitu kilichovimba kama vile vitumbua vya zamani, vitumbua vilivyokuwa vinachomwa na mabibi acha vitumbua hivi vya sasa hivi. Watu mwala vibambatanu mwasema vitumbua, vitumbua zamani bwana. Dada huyo alikuwa na tamu iliyoumuka huku ikiwa imejaa nywele, ukiweka na ule weupe ndiyo kabisa Muba alijikunja huku mkono wake ukiwa kwenye kichwa ya Juma mhuni wake akikisugua tena ili uone maaajabu, Muba alikuwa hajatia hata mate, ngoma ilikuwa kavu kabisa na alikuwa akiisugua kwa mzuka wa hali ya juu.

    "hebu zima taa nilale" alisema mwanaume wa chumba hicho.

    "was*ng* kweli hawa....sijui ni wa mkoa gani hawa maboya, watu hawajui hata kutiana nyege kwanza wao ni kupandiana tu....sijui hata niwafananishe na kiumbe gani maana hata kuku siku hizi wana nyodo kwenye mapenzi" aliwaka Muba kwa kukatiwa umeme ghafla, alitulia kidogo kisha akasema tena.

    "wamenifanya hata kukojoa sijakojoa, ngoja nijimalizie na mavitu yangu.....nawasha taa sasa watajua wenyewe" aliposema hivyo, akaielekea taa akaiwasha kisha akaelekea mezani kwake akachukua mafuta ya nazi na kurudi nayo kwenye godoro. Aliyapaka kidogo kweye mapaja kisha akayapaka kwa Juma mhuni. Ninaposema aliyapaka kwenye mapaja, usije ukawa umenielewa tofauti, hapa namaanisha kuwa aliyapaka kwenye pembe zile za ndani kwenye vungu za mapaja kutokea kinenani, alipaka pande zote mbili. Mapaja yalikuwa yananyuritika kwa wese kukolea. Alipoona wese limekolea vizuri kote kote kuanzia mapajani hadi kwa Juma mhuni, aliyabana mapaja yake kisha akawa analiingiza dudu lake kwenye mapaja kwa kidole cha kati. Dudu likishaingia, anaongeza nguvu ya kubana mapaja, kutokana na lile wese na kitu kukolea mafuta na kutokana ilisimama kupitiliza, ilikuwa ikifyatuka kuja juu. Akawa anaendelea na huo mtindo taratibu. Joto lililokuwa linatoka mapajani na lile la kwenye kifaa chake cha kazi, lilimfanya aongeze kasi ya ule mchezo. Picha yote hapo ilikuwa ni ya yule mwanamke aliyekuwa akiliwa na mumewe. Hasa akikumbuka pale alipokuwa amesimama, Muba aliona kama anaingiza dudu lake pale kwenye ule mstari wa tamu ya dada yule. Macho aliyafumba kwa hisia kali mno. Aliongeza kasi maradufu huku akijitahidi asipige kelele. Joto lilipoongezeka, Muba alisimama kwa kasi na kulikamata dudu lake kwa mkono wa kulia uliojaa mafuta ya nazi na kusugua sasa kwa mkono maana hali ya kuja kwa wazungu ilishaanza kumnyemelea. Aliikunja sura yake nzito ili tu asiweze kupiga kelele, mara alisimama kwa vidole huku akiwa amebana makalio yake na kuachia vitu vizito vikimwagika sakafuni kwa awamu. Muba alikuwa ameimaliza hamu yake kwa kupiga puchu au wengi wenu mmeizoea kwa jina la Punyeto. Muba alijichua kwa chabo tu alilolipiga kutoka kwenye chumba cha jirani.



    Siku iliyofuata ilikuwa ni siku ambayo J aliamka akiwa na mawazo juu ya kile ambacho wazazi wake walikuwa wakikihitaji, jambo ambalo aliliona gumu kwenye maisha yake ni kuoa lakini kwa upande wa pili akifikiria amri za wazazi wake, alikosa kabisa maamuzi ya kuamua. Alikuwa amejiinamia kitandani kwake akitafakari hayo, hakutaka kuwa muwazaji wa hivyo sana. Alikumbuka kuwa kwa siku hiyo rafiki yake Muba alikuwa na uhitaji wa kwenda kukarabatiwa kitanda chake hivyo alijinyanyua kutoka kitandani hapo na kuchukua vifaa vyake vinavyofaa kwa ajili ya kazi yake hiyo hasa vitakavyokuwa na umuhimu mkubwa kwa muda huo. Alitoka humo ndani kisha akaufunga mlango wake vizuri akatoka kuelekea mahali anapoishi kijana huyo. Hapakuwa mbali sana, kwa dakika chache tu akawa amefika anapoishi Muba. Bado ilikuwa ni asubuhi ipatayo kama saa mbili hivi, Muba alikuwa bado amelala muda huo ikabidi kijana huyo kugonga mlango. Muba alifungua na kutoka humo ndani akionekana bado usingizi ulikuwa umemgubika machoni.

    "mmh! Mbona asubuhi sana J?" alisema Muba akiwa anasugua macho yake ikiwa ni hatua ya kuutoa usingizi.

    "we boya kweli inamaana hujui jana uliniambia nini!?" aliongea na kuuliza kwa mshangao J.

    "hapana nakumbuka lakini naona imekuwa ni asubuhi sana Kichaa wangu"

    "nimeona nije mapema ili nikaendelee na lile Sofa nililoliacha jana si unajua mwenyewe alivyomtata"

    "ni kweli....poa karibu ndani kamanda wangu" alikaribisha Muba huku akiwa wa kwanza kuingia ndani. Wakati J anaingia ndani mule, aliona tambara kuukuu likiwa limekaa karibu na godoro alilolilaza Muba ikiwa ni katika kujipatia usingizi baada ya kitanda chake kuwa kimevunjika. J alilitupia macho ya udadisi lile tambara kwa muda kidogo kisha akamgeukia rafiki yake.

    "Muba utaaibika mshkaji wangu, inamaana bado mambo ya kuji.....!"

    "J taratibu mshkaji wangu.....we unasema tu, hujaona wewe na laiti ungeona usingesema hayo maneno" alikatisha kwa mbele Muba na kuyafanya maneno ya J kuwa butu kwa mbele.

    "sijui nini?" akatupa swali J. Muba akaonesha dole gumba upande ambao kulikuwa na ukuta uliokitenganisha chumba chake na cha pili.

    "kuna nini?" J akauliza huku akiwa ameishusha sauti na kuifanya kuwa chini zaidi.

    "chumba hicho kumekuja chombo kaka na ndicho kilichonisababishia haya yote....kifaa cha nguvu kaka ohooo....mtoto mweupeee, pe! Utadhani katokea kule kunako nani hii.....kule....!" alijikanyaga kanyaga Muba huku akijiona mjinga kwa kutoficha lile tambara ambalo alilitumia kufutia manii yake pale kwenye sakafu mara baada ya kujihudumia. J. fundi akamwambia pamoja na hayo lakini anatakiwa ajitambue kwani yeye ni mtu mkubwa tayari. Nani msifiwa? Yukoje?" yakawa ni maswali ya J kujiuliza akilini mwake.

    "ni mweupe kuliko Batuli wangu?" akajiuliza tena. Alijiuliza kichwani mwake J. Kishapo akakitazama kitanda ambacho kilitakiwa kupata tiba. Kilikuwa kimeachia kwenye joint moja na inaonekana kiliachia kwa muda mrefu sema mmiliki wa kitanda hicho alikuwa hakifuatilii ndipo kikaamua kumpa taarifa bosi wake kuwa kimechoka kumbeba.

    "inabidi tukitoe nje hiki kitanda nikipige faster" alisema J.

    "hapana kaka hata kama kitachukua muda au kitashindikana leo, kesho tutakuja kukimalizia lakini siyo kukitoa nje...noma hiyo kaka" alipinga Muba wazo hilo. J akacheka na kuamua kukifanyia kazi mule mule ndani. Kilichukua muda mfupi sana hadi kukamilika, .........

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kilikuwa kimeachia kwenye joint moja na inaonekana kiliachia kwa muda mrefu sema mmiliki wa kitanda hicho alikuwa hakifuatilii ndipo kikaamua kumpa taarifa bosi wake kuwa kimechoka kumbeba.

    "inabidi tukitoe nje hiki kitanda nikipige faster" alisema J.

    "Hapana kaka hata kama kitachukua muda au kitashindikana leo, kesho tutakuja kukimalizia lakini siyo kukitoa nje...noma hiyo kaka" alipinga Muba wazo hilo. J akacheka na kuamua kukifanyia kazi mule mule ndani. Kilichukua muda mfupi sana hadi kukamilika.



    ENJOY.....

    haikuwa ni kazi kubwa ya kupoteza muda mrefu kwa kijana makini kama J.fundi. Jina la J.fundi lilikuja maalumu kwa kazi hiyo, hayo mengine ni mbwembwe tu. Wakati J anataka kutoka ili kurudi kwake baada ya kumaliza kile kilichomfikisha pale, kuna ukelele ulisikika kutoka chumba cha jirani yake Muba na ukelele huo ulitolewa na mwanamke baada ya kunyimwa kile ambacho alikuwa akikihitaji kutoka kwa mumewe. Ukelele huo ukapelekea J na Muba watulie na kutega sikio huku J akitamani angekuwa peke yake ili akapige chabo kwenye dundu lake la kutengeneza.

    "nikamwambie nani sasa kuwa nahitaji haki ya ndoa?" ilisikika sauti ya mwanamke ikihoji namna hiyo.

    "hunipi furaha mke wangu ndiyo maana sijisikii kufanya mapenzi na wewe asubuhi hii, najua kuwa leo sina kazi nyingi sana huko maskani lakini sina mzuka wa kukuingilia mama kwaiyo we kaa mbali na mimi tu"

    "sitaki na kama hutaki kunifanya humu ndani leo hutoki" aligoma huyo mwanamke, alionekana kuwa na hitaji kubwa sana la penzi kutoka kwa mumewe.

    "nitakufumua, niache"

    "sikuachii"

    "ngoja nikuoneshe kazi" aliposema hivyo huyo mwanaume kikasikika kishindo cha puuh!, kisha yowe la uchungu kugubika mule ndani. Tena Puuh, puuh!, mara sauti ya puuh, ikapote ikaanza kusikika sauti ya unaniuwaaaa, unaniuwaaa. Sauti hiyo ilirindima hadi nayo ikatoweka Mkoromo ukafuatia.

    "akifa huyo ujue shahidi wa kwanza ni wewe Muba" alisema J. Muba hakungoja neno jingine kutoka kwa J kwani alijua kweli akisemacho huyo bwana, kesi za kisheria aliziogopa ukoma unaafadhali. Muba alichoropoka mule ndani na kuvamia kwenye chumba cha jirani yake ambamo ndani kulikuwa kukiendelea purukushani hizo. J naye hakutaka kulaza damu ikabidi azame naye humo ndani. Walipoingia mule ndani, walimkuta yule mwanaume amemuangusha mkewe chini akiwa amemkalia kwa juu akijiandaa kumshushia kichapo. Mapaja yote ya mtoto huyo wa kike yalikuwa wazi, halafu ndani hakuwa amevaa kitu chochote hivyo upachuupachu wa mambo fulani ulikuwa kama ukitaka kuonekana hivi. Muba akaona hapo kuna mawili, kwanza ilikuwa ni kuokoa mtu asipigwe na pili ni kulipata joto la mtoto huyo wa kike akiwa katika harakati za kumtoa kwenye hicho kipondo.

    "kaka hayo mambo yamepitwa na wakati bwana, hayana nafasi kabisa siku hizi" alisema Muba kwa hasira huku akimpushi yule bwana pale juu.

    "kaka naomba usiniingilie, huu ni ugomvi wangu na mke wangu....kaa mbali kabisa kaka" alibwata huyo bwana. Hilo likawa kosa kwa Muba.

    "wewe boya nini, hivi ukiuwa hapa ni nani atakayekubali kuingia kwenye ushahidi wa kipuuzi" aliwaka huku akimuongeza pushi jingine la nguvu. Jamaa akabinjukia upande mwingine akiwa anatweta. Muba alikuwa ameshamsomea ramani yule mtoto wa kike pale chini. Alitaka kumuwahi kabla mwanamke yule hajaamka ili kuhakikisha joto la yule mtoto halikosi. Alimvamia kabla hajaamka pale chini na kumkumbatia kwa nyuma kisha kumnyanyua. Mtoto alikubali kunyanyuka na kujilegeza mazima kwenye kifua cha Muba. Yule bwana alikuwa anataka kuja kwa kasi kubwa kumvamia Muba kwa makonde lakini hakufanikiwa baada ya kukutana na mikono yenye nguvu ya J. yule bwana akabaki kutweta kwa hasira juu ya mkewe. Muba alimvuta yule dada kwa nguvu nyingi na kumuweka vizuri kiunoni kwake. Muba alikuwa akilisikilizia joto kali alilokuwa akilipata kutoka kwa mtoto yule wa kike.

    "acha hasira za namna hiyo babuu, wanaume hatuko hivyo" alijidai kuongea Muba lakini ukweli wa mambo, aliomba yule dada asitoke pale hata kidogo. Tayari dudu lake lilikuwa limedinda kisawa sawa na kuligusa kalio la dada huyo lililokuwa halijavalishwa chupi. Dada yule alikihisi kitu hicho cha moto kilichokuwa kimetuna, kutokana na yeye kuwa na nyege asubuhi hiyo, akajikuta akijibinua kidogo ili makalio yake yaguswe vizuri na ndizi ya Juma mhuni ya Muba. Muba aliona kama bahati ya mtende imemuangukia mlangoni kwake. J hilo alishalielewa, kitendo cha Muba kumkumbatia dada vile, alijua tu kuwa Muba anajitia stata ili akamalize kazi bafuni.

    "nini kwani mnachogombania na mkeo kaka?" aliuliza J ili kutafuta jinsi ya kuumaliza ule mzozo. Yule bwana akasema kuwa amechoshwa na mambo ambayo mwanamke huyo anamfanyia. Bwana huyo hakuona aibu kabisa. Kumbe hata Muba hakukosea alipokuwa akijiuliza watu hao ni wa ajabu sana. Jamaa alitiririka kila kitu cha ndani kuhusu mkewe. Alisema kuwa mkewe huyo pamoja na uzuri alionao lakini kitandani ni gogo, kelele ya kelele alikuwa akizisikia kwa kuhadithiwa.

    "yaani ni mvivu mvivu sijapata kuwa na mwanamke wa namna hii, hii ni mara ya kwanza" alisisitiza bwana huyo. Alisema mengi hadi kufikia kusema kuwa akimpa penzi ni kidogo na hata akitaka kurudia mwanamke anamuambia kuwa amechoka na hawezi kurudia. Zilikuwa ni lawama nyingi sana alizozishusha bwana huyo kwa mkewe bila kuweka staha ya aina yoyote ile. Ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa dada huyo lakini cha ajabu ni kwamba aibu hizo huyo dada wala hakuziona. Akili yake ilikuwa ipo maili ya mbali kinoma. Dudu la Muba lililokuwa likimchomachoma kwenye mstari wa mkalio yake lilikuwa linazidi kumdatisha. Muba alikuwa akilengesha pale kwenye mstari huku macho yake yakiwa mbele kwa J na yule bwana wakiwa wanaeleweshana. Muba alikuwa amemvuta karibu kabisa na binti yule hakutaka kutoka pale kiunoni mwa Muba. Sura yake ilionesha hofu lakini moyoni aliburudika na mchomo wa Juma mhuni wa Muba. Alitamani hata kuinama ili dudu hilo lizame hata kama kuna khanga ambayo ingezuia.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "sikiliza kaka, kuna zaidi ya jambo ulilonieleza....labda nikuulize swali moja kabla sijaongea chochote" J aliendelea kuuliza baada ya fikra zake kugundua kuwa si mke si mume, wote walikuwa na makosa na wanahitaji ushauri zaidi.

    "niulize tu kaka" aliruhusu swali bwaba huyo huku akiwa amemgeukia J kabisa bila kujua kitendo chao cha kutoa mgongo na kuto kuwaangalia wakina Muba ulikuwa ni mwanya mkubwa sana na wa bahati mno. Muba alijikunja kwa haraka na kumuweka vizuri kiunoni dada yule ambaye mwili wake ulikuwa tayari unajoto la kutisha. Muba akapeleka mikono kwenye titi za huyo dada na kuziminya huku akitoa sauti za shukurani utadhani kapewa nafasi ya kuingiza dudu kwenye chungu cha utamu.

    "oooooooooh!" alikuwa akifoka kama Nyoka wa rangi nyeusi aliyevamia nyumba.

    "hivi bado unampenda mkeo?" hilo ndilo lilikuwa swali la J kwenda kwa bwana huyo.

    "ninampenda sana tena sana tatizo.......!" akakatishwa.

    "hapana hilo jibu la kuwa bado unampenda linatosha. Nimeshajua tatizo ni nini na usiwaze kabisa kuhusu hilo kaka....tatizo lako linatibika tena bila hata uganga na utaifurahia ndoa yako, hutopenda kuwa mbali na mkeo hata nukta moja kwa jinsi atakavyokupa raha" alieleza J. fundi. Bwana yule akageuka kumtazama mkewe huku akisema.

    "huyu mke wangu huyu....huyu Balakaisi huyu.....huyu huyu!?"

    "ndiyo huyo huyo kaka" alijibu J. Lakini kitendo cha bwana yule kugeuka huku Muba alizuga kidogo kisha kuendele baada ya bwana huyo kugeukia kwenye maongezi. Muba hapo ndipo alipojikunja bila kupenda, bao lilokuwa linamjia kwa kasi kubwa tena ya kutisha sana. Bao ambalo lilikuwa linakuja kwa kupata joto halisi la kike, joto ambalo lilikuwa likimpa raha Muba na kujiona kama ndo anakula huo mzigo wa mtoto mweupe peee! Muba aliongeza kujikunja hadi akapiga bao. Nguo yake ya track kwa jinsi ilivyo kuwa nyepesi, ikasafirisha majimaji ya bao lake hadi kwenye kanga nyepesi ya yule dada. Khanga ikatota na kuyafanya hadi makalio ya dada huyo pia kutoteshwa na bao la lita kadhaa kutoka kwa mtu mwenye maji ya kuzidi.

    "J. fundi si unamju au ulishawahi kumsikia?" aliuliza J huku akilitazama jicho la dada huyo aliyefahamika kwa jina la Balakais kama mumewe alivyomuita. Jicho lilikuwa nyanya kutokana na nyege ambazo alipewa na Muba. Weupe wa huyo mtoto, ukampa J mshawasha wa kumuhitaji hata yeye, akajua ni rahisi sana kumpata kama atamuhitaji.

    "napajua pale....si kwa yule fundi masofa?"

    "yaa, basi fundi huyo ni mimi na nitakuhitaji uje pale leo ukishamaliza mishemishe zako, nataka uishi kwa furaha kwenye ndoa yako kaka siyo kugombana kila siku" aliongea J. Yule bwana akaahidi kwenda akirudi tu kutoka kijiweni kwake. Walipomaliza huo mjadala, bwana huyo hakungoja, aliingia chumbani kwake moja kwa moja. Nafasi hiyo ndiyo iliyotumiwa na Muba kutoka humo ndani huku akimuachia huyo dada akiielekea kitandani na kujitupa. J alielekea pale kitandani kisha akamtupia yule dada kikaratasi chenye namba ya simu kisha akamwambia ni muhinu kwani anahitaji kuirudisha ndoa yao kwenye furaha au kuifanya kuwa mpya mazima. Balakais akakichukua kile kikaratasi akakifumbata kiganjani mwake na kutulia huku J akitoka mule ndani akiwa amefanikiwa kumvuta karibu mtoto white. Muba alikuwa na furaha kubwa ya aina yake, kitendo cha kupiga bao kwenye kalio la demu siyo mchezo.

    "daah! J mwanangu sikufichi, mtoto mtamu kinoma" alisema Muba. J ilibidi amtazame tu rafiki yake kwa kumhurumia kisha akamwambia maneno kadhaa.

    "jiangalie sana, najua wiki nzima utakuwa unajichua kwa picha ya huyo mwanamke, utakuja kuaibika Muba ndugu yangu, utakuja kupata mwanamke, ukojoe juu ya mapaja kabla ya kuingiza kama Jogoo halafu mzigo ugome kusimama useme umerogwa" kisha J akajiondokea.



    Saa kumi za jioni juu ya alama, simu ya J ikaunguruma. Akaivuta kutokea kwenye meza maalumu ya kulandia, akatazama mpigaji kabla ya kuiweka sikioni.

    "niambie mke wangu" alisema J.

    "siyo niishie kuwa mkeo wa mdomoni tu, unioe kweli J" alideka msichana aliyepiga simu hiyo.

    "hakuna mwingine wa kuwa na nafasi yako kwangu, wewe ni wa ukweli zaidi na nakupenda zaidi ya nikisema nakuhitaji" alizidi kuchombeza J.

    "ok, tuachane na hilo, leo usiku ni mgeni wako.



    nikitoka hapa hospitali napitia hapo nataka nilale na wewe hadi asubuhi mume wangu nimekuzunguusha kwa muda mrefu. Sasa nataka uje unifaidi usiku kucha"

    "ooooh! Siamini ujue"

    "amini tu mpenzi si unajua wewe ndiyo ua la pekee ulioota kwenye moyo wangu" alisema huyo dada kisha simu ikakatwa kuashiria kuwa makubaliano yamepita. J alirusha mikono hewani, hakuamini kama Batuli mtu aliyekuwa akimpa ahadi za uwongo na muda mwingine kumzunguusha eti, usiku ndiyo anakuja kuukalia. Alikuwa kichaa kwa muda mfupi sana. Mawazo kuwa alitakiwa kuoa pia yalipeperuka lakini wakati akiwa na furaha, kuna ugeni uliingia mahala hapo kimyakimya.

    "ahaa, karibu sana kaka, nilikuwa nakusubiri wewe tu tuanze mazungumzo" alikaribisha J. fundi. Yule bwana akakaribia pale na kuchukua nafasi.

    "nimesha karibia bwana. Kwa jina mimi ni Said maana hukuwa ukilijua jina langu kaka" alijibu ukaribisho huyo bwana aliyejitambulisha mahali hapo.

    "ndiyo bwana Said" alianza maongezi J.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mapenzi ni ya ajabu sana ndugu yangu na hadi hivi sasa mimi na wewe tunaongea, hakuna mtaalamu wa mapenzi aliyekuja na mbinu mpya ya kuyamudu mapenzi. Unaweza kujiona kama kituko tu kwenye dunia hii kama hujampata mtu mwenye kuithamini hali yako ya kimapenzi. Sijui kama utakuwa umenielewa?" aliweka alama ya kuuliza J, ili kuona kama ameeleweka. Saidi akatikisa kichwa kukataa kuwa hakumuelewa hata kidogo japo amemsikia. J hakutaka kurudia na hii ni taratibu yake, si mtu wa kurudia mara nyingi, alichokifanya ni kutumia njia rahisi yenye kueleweka vizuri zaidi.

    "naomba nikuulize maswali mawili kabla sijaendelea. Moja litajitegemea ila la pili litalitegemea la kwanza" alisema kisha kumtazama bwana huyo usoni. Saidi alikuwa yupo tayari kuyapokea maswali hayo bila shida.

    "naomba usinielewe vibaya, kazi ninayoifanya hapa ni kuingia ndani kabisa, sifanyi kazi ya kugusa juu juu kama wafanyavyo wanasihi wengine.....ah!, ah!,.....mimi siyo mnasihi lakini ninalengo pia la kuiweka ndoa yenu katika usalama hivyo usinielewe vibaya kwa kukuuliza maswali ya ndani"

    "usijali kaka wewe kuwa huru kuuliza chochote kile ninachotaka kujua mimi ni wapi nakosea labda" J akapewa rungu, akaamua kuingia moja kwa moja kwenye maswali yake.

    "hivi unapotaka kufanya mapenzi na mkeo, namaanisha unapotaka kupata haki ya ndoa kwa mkeo, ni kitu gani unamuonesha mkeo au unamuambia ambayo ni kama ishara ya kumtaka unyumba?" akatulia hapo kwa hilo swali la kwanza, hakutaka kumpa maswali yote mawili kwa wakati mmoja. Said akasema kuwa hakuna ishara anayoionesha kwa mkewe au kitu kingine anachokifanya zaidi ya kumwambia kwa amri kuwa anahitaji kufanya mapenzi.

    "kosa" akasema J huku akiunganisha na swali la pili papo hapo.

    "kuna maanadalizi yoyoye unayoyafanya ili kumuweka tayari kimwili mkeo?" hapa Said alitikisa kichwa kukataa kisha akasema kuwa kikubwa anapokuwa anahitaji penzi la mkewe au mtu yeyote yule asiye hata mkewe, ni kuhakikisha bakora yake imesimama, basi hapo yeye ni kulenga tundu na siyo kitu kingine.

    "hili pia kosa Said......unachokifanya wewe ni mapenzi ya karne ya kumi na nane kumi na tisa, mapenzi yaliyokwisha kupitwa na wakati. Mapenzi ya leo Said yanamambo mengi, mapenzi ya leo yanahitaji mbwembwe na maandalizi. Usitake mapenzi ya kifalme Saidi ya kulala na mkeo hadi ukiwa na hitaji la kumuingilia kimwili. Kitu cha kwanza unachotakiwa kukifanya kabla ya yote, ni kumuandaa mkeo/mwenzi wako kiakili. Nasema hivi kwa sababu gani?" akatulia kidogo J kama anayengoja jibu kutoka kwa Said. Haikuwa hivyo, akarudi pale alipoishia na kuendelea.

    "nasema hivi kwa sababu maalumu na ya msingi kabisa. Ni vema umuandae mwenzi wako kiakili kwanza. Muoneshe mkeo kuwa sasa uko katika kumuhitaji hata kama hutamuambia kwa lugha zoelefu. Unaweza ukajenga mazoea ya kuwa nyumbani tu siku hiyo au unaweza kuwa mchokozi tu kwake kwa muda huo ambao unamhitaji, liwe ni jambo tofauti lakini lenye kumjengea picha kuwa kwa muda huo, mpenzi wake anamuhitaji. Msifie sana, mwambie mzuri, ukimtazama kila wakati unatamani uwe naye tu kitandani, unatamani hata usiende kazini na ulale naye tu ukila mambo. Penda kuushikashika mwili wake, hata kama kumpigapiga makalio yake au kumkumbatia na kuyaminyaminya matiti yake kwa chati kidogo kisha unamuachia, mwambie unapenda kuyapata mate yake. Mwambie macho yake ndiyo yanayokuuwa kila akutazamapo hasa anapokuwa ameyalegeza hapo ndipo unapokuwa huna hali. Mwambie unapenda zaidi akiwa kwenye kanga moja tu bila chupi ndani, yani unapenda tu kuyaona makalio yake yanavyopambana na kanga hiyo nyepesi. Mwambie tu." akakomea hapo kisha akatulia tena kwa muda kabla ya kumuuliza swali la msingi sana ili kujua kama mpaka hapo wako pamoja.

    "ulishawahi kumfanyia hata moja kati ya haya ninayokuambia hasa pale unapokuwa unataka kufanya tendo la ndoa na mkeo?" Said alijibu kuwa utaratibu huo kwenye maisha yake huwa haupo kabisa. J akamwambia sasa huo ndiyo muda wa kuyatumia hayo maneno ili tu kumuweka mkeo katika akili ya kukutamani au kutamani tendo.



    Ndugu msomaji, mapenzi yanamambo sana na hapa ndipo unapokubaliana na maneno ya kuwa mapenzi ni utoto au maneno ya msanii wa kizazi kipya anayekwenda kwa jina la Darasa, kuwa mapenzi uchizi na kile unachokidharau wewe mwenzako kinamnyima usingizi. Mapenzi yanahitaji vitu vidogovidogo lakini vyenye mantiki kubwa sana. Wanawake ni kama watoto kwenu enyi wanaume na enyi wanawake, wanaume ni kama watoto kwenu pia. Msisite kuwafanyia michezo ya kitoto pale mnapohitajiana. Mnaweza hata kukimbizana ndani ya nyumba yenu kama bado hamjawa na familia kubwa kama mnayo basi mwaweza kufukuzana ndani tu ikiwa ni katika michezo na mwisho wa siku mkutane kwenye mpango wa kupeana haki ya kuitana wapenzi. Usiwe mbabe kwa mwenza wako eti, tu kwa sababu ni mtoto wa kike, hapo utakuwa hupati ladha ya ndoa au penzi tamu la mwenza wako kwa sababu atakuwa hayupo nawe kiakili bali atakuwa anakupa kwa sababu umemlazimisha na yeye ni mwanamke au mkeo, afanye nini sasa.



    "ukishakuwa tayari katika harakati za kumuandaa mwenzi wako kiakili na tayari yuko kifuani kwako ama pembeni yako kwa mahitaji zaidi. Hapo ndipo unapoingia kwenye upande wa pili wa sarafu, hapa ndipo unakuja ule muda wa kumuandaa kimwili yaani hapa namaanisha kumuweka mkeo katika hali ya kuwa sasa anahitaji kuingiliwa nawe. Uandae mwili wake uwe tayari kukupokea kwa ajili ya kuustarehesha na kukustarehesha pia. Tumia viungo vya mwili wako kuhakikisha mwenzi wako anakuwa hana ujanja tena kwako. Tumia mikono yako kuhakikisha mwili wake unaongea nawe kihisia, ondoa nguo zako za juu kabisa ukipenda kisha msogelee mkeo eidha kitandani ama popote pale, anza kuitoa nguo yake ya juu kama utapenda kufanya hivyo. Usisubiri mkeo avue nguo mwenyewe, kumvua nguo wewe kunafaida kubwa sana moja kuu ikiwa ni kuwa karibu zaidi kinwili na inapelekea wewe kuwa na mzuka mwingi kila unapoyaona

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    maungo yake kwa wakati huo. Ukisha kuitoa nguo yake ya juu, anza kumpapasa mwili wake, usipende hisia zikuendeshe kwani kama hisia zitakuongoza na siyo wewe kuziongoza hisia hakika utashindwa kufanya haya. Utumie mwili wake vile utakavyo ili tu uhakikishe umemroga mazima. Fanya kila kitu kwa utaratibu mkubwa tembea na viungo vyako kwenye mwili wake, shika kila panapotakiwa kushikwa ikiwezekana tumia hata vidole vyako kumtekenya kwenye tamu yake. Kama unaweza pia, tumia ulimi wako kumtia nyege kwa kunyonya chuchu zake, kulamba kitovu chake na kama unauwezo zaidi nyonya hadi chini huko chumvini, hapo lazima mkeo alie hata kama hajawahi kulia kwenye mapenzi abadani. Ukishaona sasa mwili wake uko tayari kwa kuingiliwa, unaweza sasa kumuingilia na kufaidi tunda tamu la mkeo. Kwenye kumuingilia pia usingoje mkeo akatike kaka, wewe ndiyo usukani kwenye tendo hilo, hivyo wewe ndiyo unatakiwa umsugue tena umsugue kwelikweli, usilalamike kuwa eti, kiuno cha mkeo kigumu mara ooh mke wangu hakatiki. Wewe nenda kamsugue ukishamfanyia kila kitu nilichokuelekeza hapo juu, utakuja kuniambia kitakachotokea" alimaliza J kwa kukomea hapo, Said akashukuru sana na kuahidi kuwa ni lazima atafanya kila alilomuelekeza mahali hapo na atakuja kumpa majibu kwa itakavyokuwa. Akaondoka zake. J. fundi akajua kwa hapo kidogo atakuwa ametengeneza kimtindo, mkewe atakapokuja ndipo atamuambia umuhimu wa kutumia kiuno chake awapo kwenye uwanja wa fundi seremala. Alitabasamu kidogo kisha kutazama muda kwenye simu yake. Daaah! Muda ulikuwa umekimbia sana, aliamka na kujiuliza kuhusu mteja wa lile sofa kwanini anachelewa kuja kulichukua wakati amekwisha kulimaliza tayari lakini wakati anawaza hayo, jamaa huyo alifika hapo na kumwambia kuwa kwa muda huo amechelewa sana na usafiri wa kulibebea hana hivyo anaomba libaki hapo hadi kesho asubuhi. J akamuomba wasaidiane kuliingiza ndani. Walipomaliza, alifanya usafi wa hapa na pale na kutulia kumsubiria Batuli. Muda wa kusubiri haukuwa mrefu sana, msubiriwa akawa ameshawasili mahali hapo. J akamkaribisha ndani mgeni wake

    "karibu sana mke wangu?" alikaribisha namna hiyo J.

    "nimeshakaribia mume wangu, niambie lakini, mambo yanasemaje?" alijibu ukaribisho huo Batuli kisha kuendelea na salamu. J akajibu kuwa hapo ni buheri kabisa. Yakafuatia maongezi mengine ya kunogesha muda kisha wote wakaelekea jikoni kuandaa chakula cha usiku. Kilikuwa ni chakula chepesi hivyo hakikuchukua muda mrefu kuwa tayari wakala na walipomaliza. Batuli akasema kuwa anakwenda kuoga, J akamchokoza na kumwambia kuwa anaonaje kama watakwenda kuoga wote, Batuli akaona aibu kidogo na kushindwa kulijibu hilo swali lakini ishara zilionesha kuwa yupo tayari kama akipenda kufanya hivyo. J akajifanya kuvunga kwanza kidogo kisha akasema moyoni mwake,

    "wacha atangulie kwanza afanye yote ya awali kisha namvamia huko huko. Alitulia hapo hadi muda ambao alipanga kufanya hilo shtukizi. Alichukua taolo jingine kisha kuvua nguo zake zote, akajifunga taulo hilo na kuelekea bafuni ghafla bin vuu. Kitendo kile cha kuvamia bafuni kilimshtua sana Batuli, alikuwa hana nguo yoyote mwilini mwake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog