Search This Blog

Monday, October 24, 2022

PIPI YA KIJITI - 3

 





    Chombezo : Pipi Ya Kijiti

    Sehemu Ya Tatu (3)





    "Oooh sorry unajua kujiziwia kwa mtoto mzuri kama wewe yataka moyo"

    "Basi jizuie jambo zuri halitaki haraka fanya kazi upate malipo mazuri"

    Niliagana na daktari na kurudi kumueleza mume wangu habari njema ambazo zilimrudishia matumaini mapya. Mume wangu alifurahi bila kujua malipo ya matibabu yake ni mimi mkewe sijui kama angejua hivyo sidhani kama angekubali.



    ENDELEA...

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mume wangu alianza matibabu mara moja nashukuru Mungu maumivu ya mgongo yalipungua. Ilibidi mume wangu arudishwe nyumbani kwa ajili ya kupatia matibabu nyumbani kwa kupewa dawa za kunywa na za kuchua.

    Nilielekezwa jinsi ya kumchua mgongo huku daktari akituasa muda mfupi kabla mume wangu hajapewa ruhusa.

    "Jamani mchezo wenu unaweza kumfanya mmoja wenu awe mlewavu wa kudumu"

    "Nitajitahidi" nilijibu huku nikiangalia chini kwa aibu

    "Mke wangu unasikia utanitia kilema" mume wangu alinieleza mbele ya daktari kitu kilichonitia aibu na kuonekana mimi ndiye mbaya. Nilimuwahi kabla hajaendelea

    "Mume wangu maneno gani hayo si tumeelewa"

    "Makonza mwili wa mkeo una kila kishawishi cha kukufanya ushindwe kujizuia lakini, ndugu yangu maisha matamu ukiwa na afya bora" daktari alimsisitiza mume wangu, angejua jinsi mume wangu anavyo ninyima raha kwa kushindwa kukidhi haja zangu kufikia kumlazimisha baba yangu mzazi.

    Nilijiuliza kweli mtoto wa kike nina mwili wa kishawishi cha ngono, kufikia hatua ya kuwaonea wivu waliobahatika kuugusa mwili wangu. Ningekuwa mwanaume na kumpata mwanamke mwenye mwili kama wangu, nakwambia sitelemki mpaka nimekata nazi nne kwa uchache, mi mzuri bwana namshangaa mume wangu sijui kwa nini havutiwi na mwili wangu na vitu adimu nimpavyo kitandani.

    Tuliagana na daktari na kutoka hadi kwenye gari, nilipotaka kupanda daktari aliniita.

    "Samahani Suzy njoo mara moja"

    Nilitelemka na kumfuata, nilipomkaribia alielekea ofisini mwake. Nilijua tu anachoniitia, si kingine ila malipo ya matibabu ya mume wangu si mengine bali mwili wangu. Nilikwenda hadi ofisini na kumkuta amesimama mbele ya meza.

    Nilipoingia tu alikuja hadi karibu yangu na kuongea kwa sauti ya chini huku mkono wake ukiwa kwenye nywele zangu. Nilitulia kusikiliza anataka kufanya nini kwa sauti ya chini aliniita

    "Suzy"

    "Unasemaje daktari"

    "Mbona unaondoka kienyeji"

    "Kivipi mbona sikuelewi" nilijibu bila kuutoa mkono wake ambao ulihama kwenye nywele na kuhamia masikioni

    "Suziiii, tumeongea nini na unafanya nini?"

    "Daktari we mkubwa sasa, unajua kabisa nipo na mume wangu unafikili tuzungumza nini?"

    " Basi...mmh au unasemaje?" alijiumauma sikumjua ana maana gani.

    "Daktari hivi mume wangu aone nachelewa na kunifuata sijui akitukuta hivi sijui kama patakuwa panatosha"

    "Kwa hiyo?" aliniuliza huku mikono yake ikiwa inaminya matiti yangu yaliyokuwa yamesimama kama askari kwenye gwaride. Kwa mbali nilihisi msisimko fulani wa kutamani kitu furani, niliutoa mkono wake baada ya kuona anakoelekea ni kubaya.

    Japo natembea na baba lakini sio kihivyo kama daktari anavyonifikilia. Mimi si mama huruma au jamvi la wageni, nilimkubalia ili mume wangu atibiwe. Lakini nilipanga hapati kitu zaidi ya ahadi za matumaini.

    "Daktari jaribu kuwa mstaarabu tumepanga kila kitu kitakwenda kama tulivyo pangwa"

    "Basi nipe denda angalau kunipoza moyo" Waswahili wanasema ukila na kipofu usimshike mkono, nilimkubalia na kumpa denda.

    Mmh wanaume wengine bwana yaani jamaa kalegea na kuongelea puani

    "Suzy nilize angalau chozi moja"

    "Siku nyingine" nilimjibu huku nikijitoa mikononi mwake

    "Jamani Suzy sema kiasi gani nikupe, basi hata kile kiwanja changu cha Mbezi nitakupa ili nilie angalau chozi moja, Suzy wewe mzuri wacha Makonza ashindwe kujiziwia" daktari alinipigia magoti huku antena ikiwa juu nusra itoboe bati. Mmh ilitia huruma. Si kwa hivyo ataisoma namba mpaka macho yaingie ukungu.

    "Siku nyingine"

    "Lini Suzy?"

    "Tutapanga" nilisema huku nikitoka ofisini nikimuacha daktari akiwa bado amepiga magoti. Nilikwenda hadi bafuni na kujitengeneza vizuri kwa kunawa uso macho yangu yaliyokuwa yamebadilika kidogo.

    Baada ya kujitazama kwenye kioo bahati mbaya mkoba wa vipodozi niliuacha kwenye gari. Baada ya kujiona nimerudi kwenye hali yangu kwa asilimia tisini, nilirudi kwenye gari. Bahati nilimkuta mume wangu amesinzia kwenye kiti.

    Nilipoingia tu alishtuka na kuniuliza

    "Vipi mbona umechelewa?"

    "Kuna maelezo nimepewa na daktari jinsi ya kukuchua dawa" nilimjibu bila kumuangalia kuogopa kunigundua mabadiliko kwenye macho yangu.

    "Ok, twende zetu"

    Nilikanyaga mafuta baada ya kujifunga mikanda na gari lilingoa nanga kurudi nyumbani. Nikiwa njiani niliwaza jinsi ya kukutana na baba baada ya mume wangu kurudi nyumbani. Nilijua lazima tutafute sehemu yenye hadhi na usiri mkubwa.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kufika nyumbani nilimpumzisha mume wangu na kumuandalia chakula cha mchana. Nikiwa jikoni simu yangu iliita, nilichukua na kuangalia namba. Mmmh alikuwa baba nilijiuliza ana shida gani.

    Niliipokea simu na kuongea

    "Haloo baba, shikamoo"

    "Marahaba, upo wapi?"

    "Nipo nyumbani baba"

    "Basi nakuja, unajua nini mwanangu?"

    "Hata sijui"

    "Yaani siamini mambo uliyonifanyia juzi ni mageni katika anga ya mahaba" moyo ilinishtuka na kuuliza

    "Yapi hayo baba"

    "Si yakusema kwa mdomo bali kwa matendo, basi jiandae nakuja"

    "Ooh samahani baba mkweo amerudi"

    "Shitii, katuharibia raha zetu"

    "Baba hakijaharibika kitu"

    "Sasa tutafanyaje?"

    "Tafuta hotel yoyote yenye hadhi na yenye usiri mkubwa"

    "Na mumeo utamtokaje?"

    "Kazi hiyo niachie"

    "Basi nitakupigia nitakuwa wapi"

    "Sawa baba" nilikata simu na kujikuta mtoto wa kike wadudu wadogo wadogo wakianza kuninyemvua nyemvua.

    Nilijikuta nimepoteza hata hamu ya kupika na kujikuta

    nikisubiri kwa hamu simu ya baba. Niliamua kupika haraka haraka bila kuangalia ubora wa chakula. Baada ya kupika chakula, nilimtengea mume wangu na kuonyesha mapenzi mazito ili nitakapo omba ruhusa asiwe na pingamizi

    Nilimlisha kama mtoto mdogo, huku nikimwambia maneno matamu ya mapenzi. Na kunadi mapenzi yangu kwake jinsi ninavyo mpenda, maneno yale yalimroga mume wangu na kuniamini lolote nitakalo mwambia.

    Baada ya kula, tulikwenda kuoga pamoja huku nikimchokoza

    kwa kuushika mnazi wake. Nilimuona mume wangu akisisimka na kusema

    "Mke wangu hata siku haijaisha umesahau maneno ya daktari"

    "Sina maana hiyo unayofikilia, bali kukushtua ni muhimu ili kujua siraha yangu nzima na inaweza kuingia vitani"

    " Mzuka unaweza kupanda, hali itakuwa mbaya"

    "Basi mume wangu" nilisema huku nikimsugua mgongoni, mume wangu naye alinisugua kila kona nakunifanya nisisimke na kutamani kumuomba aniangushie dafu moja.

    Nilijikaza kwa kujua muda si mrefu kuna mpambano wa kukata na shoka. Baada ya kumaliza kuoga tulirudi hadi sebuleni na kuchukua kinywaji chepesi huku tukiangalia

    video.

    Tukiwa katikati ya maongezi ambayo kwa kiasi kikubwa yalinivutia na kujisifia kwa kuwa na mume mcheshi, usiyechoka kuwa naye karibu.

    Mara simu yangu iliita, nilipoangalia nilikuta ni simu ya

    baba. Moyo ulinilipuka, na kujiuliza nitamjibu vipi baba nikiwa nimelaliwa kifuani na mume wangu.

    Nilijikuta nachelewa kuipokea mpaka mume wangu akauliza

    "Mbona hupokei?"

    "Huku kusumbuana" nilimjibu mume wangu ambaye wakati huo alikuwa amekaa kitako

    "Kwani nani?"

    "Si baba huyo"

    "Kwanini unasema anakusumbua?" aliniuliza wakati simu imeisha katika

    "Oooh niliosahau kukuambia ma mdogo anaumwa, alikuwa

    anataka nikamsaidie kazi ndogo ndogo"

    "Sasa tatizo nini?"

    "Aaah..au wacha niongee naye unajua baba anajua bado upo hospitali hata chakula chako alitaka kitokee kwake"

    "Hebu msikilize" mume wangu alisema, baada ya simu kuita tena niliipokea

    "Haloo baba nilisahau kukwambia mkweo ametoka leo"

    "Nipe niongee naye" baba aliomba kuongea na mume wangu

    "Nilimpa mume wangu, ambaye aliongea na baba ikiwa pamoja na kupewa pole. Kisha alinirudishia simu, muda huo nilikuwa nimeisha simama.

    Niliichuka simu na kuongea huku nikitembea kuondoka mbele

    ya mume wangu

    "Ndio baba lete habari"

    "Mambo yamekwenda vizuri, vipi kuna uwezekano wa kutoka?"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Hakuna kitakacho shindikana, upo wapi?"

    "Nipo Rombo view hotel Shekilango, unapajua?"

    "Hotel maarufu kama hiyo nisiijue, upo chumba namba ngapi? ili nikija niingie moja kwa moja"

    "Nipo chumba namba 102 "

    "Ok, ndani ya saa moja nitakuwa nimefika"

    "Nakusubili kwa hamu"

    "Ok, nipo njiani" nilikata simu huku nikiwa na mtihani mzito wa kumdanganya mume wangu.

    Nilirudi hadi kwenye kochi alipokuwa amekaa mume wangu,

    macho yake yalikuwa kwenye kioo cha luninga. Aliponiona nimerudi alihamishia macho yake kwangu

    "Vipi mbona mmeongea kwa muda mrefu, kuna usalama?"

    "Wapi! yaani tumebishana muda mrefu, eti jana wamekula

    chakula cha magengeni. Alikuwa ananiomba nikawapikie chakula cha usiku ili nikuwahi wewe"

    "Kwa hilo mke wangu hakuna ubaya, hali yangu si mbaya sana vitu vidogo vidogo havinishindi. Nenda tu ukawasaidie ila ukumbuke kuwahi kurudi, sawa mke wangu"

    "Yaani nichelewe na kukuacha wewe kipenzi changu, na nimeenda kwa ajili yako tu bila wewe nisingeenda"

    "Ni wazazi wetu kuwasaidie ni wajibu wetu tukizingatia nao walitushughulikia utotoni mwetu"

    "Sawa mume wangu kwa kuutambua umuhimu wa wazazi wetu kwetu" niliinama na kumpiga busu zito ambalo liliusisimua mwili wake na kusema

    "Uchokozi huo mke wangu"

    Sikumjibu nilikimbilia bafuni kuoga na kufanya usafi wa nguvu, si unajua tena umuhimu wa kuandaliwa uwanja kuwa kwenye hali nzuri, hasa tukizingatia ni mpambano

    wa marudiano ambao nilipanga lazima nimtoe baba nishai.

    Baada ya kulidhika majani yapo kwenye hali nzuri na nyavu

    hazipitishi mpira kwa pembeni. Ilikuondoa magoli ya utatanishi, nikiwa bafuni nilicheza pekecha pekecha

    mwenyewe kuangalia wepesi wa kiuno changu.

    Niligeuza sitaili ya mgongo mgongo, kiuno kilikuwa

    chepesi. Huwezi kuamini kila ninapokutana na baba huongeza

    ujuzi na uzoefu. Baada ya kujikagua na kujiona nipo sawa, nilitoka bafuni na kuelekea chumbani.

    Nilijipamba mtoto wa kike ikiwa pamoja na kuvaa bikini, ambayo iliyaweka nje makalio nje na kuongesha msisimko kwa yule atakaye mvulia nguo mbele yake.

    Nilijipulizia manukato kila kona ya mwili, nilinukia kama nimetoka kuogelea kwenye mto wa uturi. Nilivalia gauni fupi lina ishia juu ya makalio. Nilijua baba kazi anayo kama hatamuacha mkewe basi atapunguza mapenzi.

    Juu nilivaa hijabu iliyouficha mwili wangu, juu nilijitanda ushingi ilikuonekana mstaarabu mbele ya watu. Nilichukua mkoba wangu ambao niliweka kanga na vipodozi

    vyangu. Mtoto wa kike nilipita kwa mume wangu na kumpiga busu huku nikimuonjesha mate kidogo.

    Maskini mume wangu alijinyonga nyonga juu ya kochi kama nyoka kamwagiwa mafuta ya taa.

    Nilimpiga kofi jepesi na kumuaga

    "Bai mpenzi"

    "Ok, mpe pole mgonjwa" mume wangu alisema bila kujua mali zake zaenda kuliwa

    "Zimefika" nilijibu bila kugeuka na kutoka nje, sikutaka kutoka na gari la nyumbani nilikodi teksi hadi Shekilango.

    Iliyochukua nusu saa kufika Rombo Hotel.

    Hali ya hewa maeneo ya nje ya Rombo hotel yalikuwa tulivu, watu walikuwa wengi kila mmoja alikuwa bize na kukata maji. Hakuna aliyekuwa na habari na mtu mwingine. Sikutaka kumuuliza mtu kutaka umbea, nilikwenda moja kwa moja upande wa vyumba na kuangalia namba za vyumba.

    Ilionyesha chumba alichokodi baba kilikuwa kipo pembeni kama unakwenda nje kwa mlango wa nyuma. Nilikwenda moja kwa moja hadi chumba namba 102 alichonielekeza

    baba kwenye simu.

    Nilipofika hata sikugonga mlango nilijitosa ndani, nilimkuta baba amejilaza akiwa na nguo ya ndani tu. Aliponiona alijinyanyua kitandani wakati huo nilikuwa tayari nimeisha

    mvamia kitandani na kumkumbia kama mtoto wa nyani.

    "Ooh kweli we mzungu" baba alisema huku akiziminya chuchu

    zangu zilizojaa vyema kifuani na kuongeza kishawishi cha mapenzi.

    Niliiondoa hijabu na kubakia ndani ya kigauni kifupi kilichoishia chini kidogo na makalio.

    Nilinyanyuka kitandani na kuelekea kwenye kabati la nguo

    kuweka nguo zangu. Huku nyuma nilimsikia baba akisema

    "Kwa mtindo huu mtanipasua tumbo baba yako, chakula cha leo umekipika kikapikika"

    "Wewe tu" nilimjibu bila kumuangalia

    Niliweka nguo zangu sehemu zake na kurudi kama kuku kwenye sahani anayesubili kuliwa. Pamoja na baba

    kunizoea siku ile nilimuona kama amechanganyikiwa kwa kila hatua niliyokuwa nikimsogelea.

    Nina imani aliniona mpya, nilikuja kimjini na chachandu kama

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kamba ya meli, japo sikuzizoea nilizivaa hivyo hivyo. Ilivyoonyesha ndiyo maradhi ya baba, nilikwenda

    moja kwa moja pembeni yake, akiwa kama yupo ndotoni.

    Bila kuchelewa nilisaula kilichokuwa kimebakia mwilini mwake na kubakia sare sare maua asiyeju kuchagua atajiju. Unauliza nini tena baada ya antena kuguswa na kunyanyuka

    juu, msumali huo una subili kunichoma kote kote.

    Mshike mshike ulichukua nusu saa kila mmoja alimchemsha mwenzake na mwili kutota jasho bila kuingia ulingoni. Tulijikuta tukilia wote bila kupigwa zaidi ya mara mbili mbili.

    Ajabu baba hakuonekana na papala, mpaka nilipomlazimisha anihukumu baada ya kumkosea adabu.

    Hapo ndipo mpambano ulipoanza kwa kila mmoja kujiamini kwa kumiliki mpira kwa muda mrefu. Kama kawaida alikuwa ni baba tena kwenda wavuni, sikutaka utani nilijaza viungo wengi kati kuhakikisha simpi nafasi ya kupiga mashuti makali

    golini.

    Nikitumia uwezo wa viungo vyangu kwa kukaba muda wote bila kumpa nafasi. Kwa kumfanya baba muda mwingi acheze katikati na kumfanya ashindwe kupiga pasi alizo zizoea.

    Alijikuta akienda wavuni kwa

    mara ya pili ya pili . Nilimuona baba akifyonza kwa hasira kwa kuona kama nimemvunjia heshima. Aliubadili mchezo kwa kutumia nguvu nyingi na mchezo wa rafu. Ambao uliofanya wachezaji wangu kucheza kwa uoga.

    Na kumfanya baba autawale mchezo kwa mashuti ya mbali ambayo siku zote humsaidia kupata ushindi. Nilijikuta nikienda wavuni zaidi ya mara mbili mfurulizo. Hapo

    niliona kuna haja na kuonyesha ushindani, nilikuja juu kwa kutumia wepesi wangu wa kiuno kwa kuzingusha dimba la kati kwa kasi na kumfanya baba apunguze kasi.

    Mpaka tunakwenda mapumziko kila mmoja alikwenda wavuni mara tatu. Tulipumzika huku baba akiniangalia

    asiamini uwezo wangu.

    "Suzy yote haya umeyajulia wapi?"

    "Si wewe tu ulikuwa ukinibania" nilijibu kwa kudeka baada ya kuona meseji send and livadi

    "Mtaniua, wewe na mama yako mdogo mnashindana, kila mmoja ana cha ziada ambacho mwenzie hana"

    "Kazi kwako kuchagua pumba zipi na mchele upi"

    "Ungekuwa kama sio mwanangu haki ya nani ningekuoa na kukuwekea ulinzi mzito, kwa raha hizi namuonea wivu mkwe wangu"

    "Nioe basi" nilimwambia kwa sauti ya kubana

    "Suzii, nitauweka wapi uso wangu"

    "Baba si tunahama hapa tunahamia mkoa mwingine au mimi unanipangia mkoa mwingine"

    "Harafu mwanao ataniita nani?"

    "Kwani mimi nitakuwa sio mtoto wako tena ila mkeo na mtoto atakuita baba" nilisema kwa sauti ambaye hata

    kama hataki kula utaonja.

    Wakati huo nilikuwa kichechezea msitu wa nywele kwenye kifua cha baba. Nilizivuta vuta na kumfanya baba agune kama dume la njiwa. Nilihamisha mkono na kuelekea bondeni

    kwenye shamba la muhogo, sio mihogo unaweza sema nimekosea ni shamba la muhogo mmoja.

    Nilitelemka hadi kwenye shamba na kuanza kuchimba mhogo kwa mkono mpaka nilipoupata. Taratibu nilianza kusafisha udongo kwa kuupangusa kwa mkono, nilipo ridhika upo safi. Niliumenya kwa mdomo.

    Unauliza nini tena? utoto huo msumali huo, una nini? swali gani hilo jamani kazi ya msumali ni nini kama sio kuchoma. Mmmh bado unauliza unachoma wapi? kama si kotekote, sasa umezidi hata sehemu zake hujui ni wazi hii sio sehemu yako kacheze makopo na watoto wenzio.

    Baba aliunguruma kama mfalme wa nyika baada ya kujikuta akiangua chozi hadharani, kilio cha mtu mzima hakiendi bure ujue kuna jambo. Muhogo ulikauka na kunukia kuliwa.

    Sikusubiri kikaribishwa nilijipakulia mwenyewe na kuanza kujitafunia taratibu.

    Nikitumia wepesi wa viungo wangu kwa chenga za manyanyaso. Baba aliutafuta mpira huku akihema

    kama dume la bata. Kama kawaida yangu nilimpeleka market na kapu la madafu.

    Hapo ndipo baba alipoona upuuzi na kuanza kufanya mashambulizi mazito kama nyati aliyejeruhiwa. Akicheza kwa kutumia uzoefu kwa kutumia mchezo mpya uitwao "chungulia

    uone" mmmh we acha tu.

    Raha ziligonga kila kona ya mwili na kunifanya nishindwe hata kukaba na kukubali matokeo. Baba alitawala na kunigeuza maiti kwenye maji kwa kunizuruza atakavyo. Kweli ngoma ya kitoto haikeshi, kila nilivyochungulia ndivyo raha zilivyo ongezeka.

    Mmmh usiombe kukutana na mtindo huu "chungulia uone". Kuna cha kuona zaidi ya raha kila kona ya mwili. Nilimsikia baba akihema kama anapanda mlima. Mara nilimsikia akiunguruma kama simba mwenye hasira na kutulia tuli.

    Sikutaka kumuangalia baba yupo kwenye hali gani baada ya kujitupa kama dume la bata. Nami nilijilaza vile vile nilivyokuwa kutokana na kuchoka na kuona kila kiungo kizito.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wacha nipigwe nimemchokoza mwenyewe, kutokana na kuchoka kutokana na kukatwa hamu zisizoisha utamu usingizi

    mzito ulinipitia, ajabu hata baba hakujitikisa.



    Sauti ya baba ulinishtua katikati ya usingizi mzito,

    "Suzana..Suzana"

    "Unasemaje baba acha nilale" nilijibu kwa sauti ya kilevi huku macho yakikataa kufunguka kwa usingizi mzito na uchovu

    Nilipomjibu niliendelea kupiga usingizi ambao ulikuwa mtamu sipati kusema. Lakini baba alinisumbua kuniamsha

    "Baba unataka nini kama una njaa jipakulie mimi siwezi kuamka" nilimjibu nikiwa bado nimefumba macho

    "Sio hivyo, unajua sasa ni saa ngapi?"

    "Sihitaji kujua kwangu muda unanihusu nini? Hebu niache nilale"

    Baada ya kumjibu vile niliendelea kuupiga usingizi ambao sijui

    ulichanganywa na nini mpaka kuwa matamu vile. Lakini baba aliendelea kunisumbua kwa kunitikisa.

    Nilifumbua macho kwa shida na kumuona baba akiwa amejifunga taulo nilimuuliza kwa sauti ya ukali kidogo

    "Mbona unanisumbua kuna nini?"

    "Unajua sasa ni saa ngapi?"

    "Sasa mimi muda unanihusu nini kwani mtunza saa?"

    "Unajua tumepitiliza muda kwa usingizi"

    "Kwani sasa ni saa ngapi?"

    "Saa saba kasoro usiku" mmh ile ilikuwa kali yaani hata sikumbuki. Huo muda umekwenda kwa sababu gani, sikukumbuka kwa mchezo au usingizi. Nilichokumbuka ni muda niliofika pale hotelini kama sikosei ilikuwa inakimbilia saa kumi na mbili na nusu.

    "Kwa hiyo unasemaje? tulale kila mmoja atakwenda kwake asubuhi" nilimwambia baba nikiwa najilaza kutokana na usingizi kuwa bado mwingi kichwani, lilikuwa jibu la mkato

    "Hapana Suzy mume wako utamueleza nini?" baba alionekana mwingi wa wasiwasi

    "Kwani akiniacha si wewe upo?" japo baba alikuwa na hofu lakini mimi wala nilikuwa tayari kwa lolote

    "Si hivyo tu, hata mama yako sijui nitamueleza nini?"

    "Kama ukija juu na kudai talaka mpe, mimi nipo nitakukata kiu yako muda wowote na wakati wowote siangalii eneo gani utakapojisikia mimi nipo radhi. Najua raha hupati peke

    yako"

    "Ni kweli kabisa una uwezo mkubwa ya kumkata mwanaume kiu ya mapenzi. Kwa raha hizi najikuta nikimuonea wivu mkwe wangu"

    "Nioe basi nipo tayari kuachika kwa ajili yako"

    " Usingekuwa mwanangu ningekuoa kwa kiasi chochote na

    kukuwekea ulinzi, hivi leo nikuoe si nitaandikwa kila kona ya dunia na kulaaniwa na kila kiumbe kivutacho pumzi, nitaiweka wapi sura yangu"

    "Si tunahamia mkoa mwingine wasio tujua kama mimi na wewe ni baba na mtoto"

    " Mwanangu dunia haina siri"

    "Kwa hiyo unaniambiaje? maana nakuona bado upo kwenye taulo hujui jinsi ninavyokutamani"

    Nilinyanyuka na kwenda kumnyang'anya taulo na kumvutia kitandani. Nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha yenye mwanga hafifu. kilichoendelea hukuwepo ila

    malaika wako alikuwepo.

    Naona baba alitaka kunikomoa kwa kulaza nje ya nyumbani kwake. Mbona hata mimi nilikuwa sijui hatma yangu kwa mume wangu. Yalikuwa maajabu ya kumi ya dunia, kunikomoa kwa baba kulisababisha tuamke saa mbili

    asubuhi hata muda wa kazini ulipita.

    Baba alipagawa na kunilaumu

    "Unaona king'ang'anizi chako"

    "Nani mimi? si wewe ulitaka kunikomoa, haya kila mmoja akajitetee kivyake"

    Nilinyanyuka kitandani na kwenda bafuni kuoga haraka haraka na kutoka. Nilivaa nguo zangu haraka

    haraka na kumuacha baba bado

    amejiinamia akitafuta la kujibu kwa mkewe.

    Niliondoka hata bila ya kumuaga, kwa kuupitia mkoba wangu. Mwili wote ulikuwa umechoka kama nilikuwa

    natwanga chuma.

    Nilikodi gari hadi nyumbani kwangu, huwezi kuamini macho yalikuwa mekundu kwa usingizi. Nilipoingia ndani nilimkuta mume wangu jikoni akikaanga mayai. Nilipofika nilimpiga busu na kumpokonya kijiko na kuendelea na kazi ya kukaanga mayai.

    Nilipomaliza nilikwenda kabatini kuchukua sahani na kumpakulia. Kwenye chupa alikuwa ameisha chemsha maji. Nilimshika kifuani na kuitambaza mikono yangu. Mume wangu hakuzungumza lolote, ilionyesha amekasirika sana

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Mume wangu kwanza samahani kwa kuchelewa kurudi, huwezi kuamini mpaka tunaongea hivi Mungu mkubwa. Mama mdogo nilijua asubuhi ya leo hafiki" kauli ile ilimshtua

    mume wangu na kumuona akirudi kwenye hali yake ya kawaida na kutaka kujua kulikoni kutokana na kauli yangu

    "Ina maana ugonjwa ulikuwa mkubwa?" aliniuliza huku akinishika mabegani

    "Nakwambia usingizi tumepata asubuhi, tumeshinda macho"

    "Kwa nini hamkumpeleka hospitali?"

    "Wanasema mambo ya kiswahili"

    "Pole sana mke wangu unaweza kumdhania sivyo mwenzako" nilijua kesi kwa upande wangu imekwisha sikujua kwa baba.

    Kutokana na uchovu wa mpambano wa usiku kucha baada ya kunywa chai, nilimuandalia chap chap chakula cha mchana mume wangu na kujilaza chumbani. Nilisogeza feni kubwa karibu yangu na kumuomba mume wangu asinisumbue mpaka nitakapo amka mwenyewe.

    Mwili ulikuwa kama sio wangu kutokana na kusurubiwa vilivyo na baba. Nilishtuka saa kumi jioni na kwenda kuoga, niliporudi nilikuta simu yangu ina Missed calls zaidi ya

    ishirini. Zikiwemo za baba zilizokuwa kumi na za mashoga zangu, nilijiuliza ina maana mume wangu hakutaka kuzipokea au kuniamsha.

    Sikutaka kumuuliza, niliamua kumpigia simu baba kumuuliza kulikoni kunipigia simu mara nyingi vile kuna usalama? Nilipompigia aliipokea na kuongea

    "Suzy za saa hizi?"

    "Nzuri tu baba shikamoo"

    "Marahaba, vipi ilifika salama?"

    "Salmini sijui wewe"

    "Mmmh kwangu kulikuwa na kutoelewana kidogo lakini uchawi wa kizungu ulimnyamazisha mama yako"

    "Mmh lazima tuwe makini"

    "Hasa wewe hupigiki kila ukipigwa unakuja" baba alinitania

    "Mmh ya jana kali" nilimwambia baba huku nikibana sauti

    "Mchezo wa jana lazima tuurudie umenipagawasha, kwa manjonjo uliyonionyesha jana mama yako mdogo

    hana bao"

    "Ndio maana nilikwambia uchague mchele upi na pumba zipi..Sasa lini?"

    "Katikati ya wiki au unasemaje?"

    "Wewe tu, mimi timu yangu ipo tayari muda wowote na sehemu yoyote"

    "Ok, nilitaka kujua mumeo alikupokeaje? kama mambo yamekwenda vizuri hakuna tatizo"

    Nilikata simu na kujikuta bado mwili una hamu ya kuendelea kulala. Nilijilaza kitandani na usingizi haukuchelewa kunichukua.

    *******

    Mtindo wetu uliendelea kwa siri kukutana Rombo hotel bila mtu yoyote kufahamu. Nilijikuta nikifurahia maisha kwa kupatiwa haki yangu na baba, niliomba mume wangu asipone

    upesi ili niendelee kula vitu adimu toka kwa baba.

    Ajabu nilijikuta mtoto wa kike nimepoteza siku zangu, nilijiuliza itakuwa mimba au nini. Japo dalili zote za mimba nilikuwa nazo, niliamua kwenda hospital kupima. Jibu lilikuwa

    lile lile nina ujauzito wa miezi miwili, mmh nilijiuliza nitamueleza nini mume wangu ambaye nilikuwa miezi minne hatujakutana kimwili na alikuwa amebakiza miezi miwili ili na yeye ajifaidie matunda ya uvumilivu ambao kwa upande wangu haukuwepo mawazoni.

    Nilichanganyikiwa mtoto wa kike, nilijiuliza nikimwambia baba atasemaje? Nilimpigia simu tukutane sehemu yetu ya kawaida kuna jambo la dharula limejitokeza. Japo alishtuka

    na kutaka kuja ni dharula gani, lakini nilimficha na kumwambia nitamwambia tukikutana.

    Kama kawaida tulikutana majira ya saa kumi na mbili hotelini kwetu. Kwanza kabla ya yote kwanza tulirusha roho kwa kila mmoja kulia zaidi ya mara tatu. Wakati wa mapumziko

    ndipo nilipomueleza baba yaliyonisibu mwilini mwangu.

    Baba alishtuka na macho kumtoka pima na kuniuliza

    "Mumeo anajua?"

    "Bado hajajua na hali hii nimeijua leo japo nilijishtukia muda mrefu"

    "Hakuna njia nyingine yoyote zaidi ya kuitoa hii mimba, kabla

    mambo hayajaharibika"

    Kutoa mimba nilikuwa nakuogopa kutokana na shoga yangu mmoja tuliyekuwa tunasoma wote A-level kufariki kwa jaribio la kutoa mimba. Vile vile viliogopa huenda wakanitoa vibaya

    na kusababisha kifuko cha uzazi kuharibika na kusababisha kuondolewa.

    Niliogopa kuondolewa kifuko cha uzazi na kuwa tasa, vile vile niliogopa kufa wakati bado maisha ndio kwanza nayaanza. Niliinama kufikilia juu ya wazo la baba la kutoa mimba. Kumbuka wakati huo wote tulikuwa tupo kama tulivyozaliwa. Si unajua tulikuwa tumemaliza mshike mshike mkamate akileta matata mtie ndani.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Mbona hunijibu upo tayari?"

    baba alinishtua kwenye dimbwi la mawazo

    "Mmmh baba bado najifikilia, siwezi kutoa jibu la moja kwa moja"

    "Shauri yako we kaa unasema unajifikilia, wakati mimba inakua"

    "Ni kweli baba lakini kutoa mimba ni kuyaweka maisha rehani"

    "Sasa tutafanya ni...." He! Makubwa madogo yana nafuu kauli ya baba ulikatishwa na mlango ulipofunguliwa kwa ghafla.

    Mbona ilikuwa aibu ya mwaka!

    Pale walipoingia watu zaidi ya sita, akiwemo mama mdogo mke wa baba. Tulipotaka kukimbilia nguo tuliamuliwa tukae pale pale, hatukuwa na jinsi tulitii amri. Ma mdogo huku akilia alizungumza kwa uchungu

    "Mume wangu ni uchafu gani huu wanawake wamekwisha hadi kufikia hatua ya kutembea na mwanao wa kuzaa" Mamdogo uvumilivu ulimshinda alianguka chini na kuanza

    kulia kwa sauti, lakini walimbembeleza na kunyanyuka na kuendelea kuzungumza kwa jazba

    "Yaani siamini kumbe ndiye huyu anaye kusababisha uninyime raha zangu nilizozizoea. Kulikuwa na umuhimu gani kunioa kumbe una mtoto anaye kidhi haja zako. Na wewe malaya mkosa haya unasaliti ndoa yako kwa ajili ya kufanya laana na

    baba yako mzazi"

    Mbona tulikuwa kama wanga tuliokamatwa mchana kweupe, tuliinamisha vichwa kwa aibu. Ilikuwa aibu ambayo mpaka naingia ardhini sita isahau, mimi na baba tulikuwa uchi mbele ya watu sita.

    Nilimsikia ma mdogo akisema

    "Piga picha za ushahidi"

    We acha hukuwepo ila Malaika wako alikuwepo, tulipigwa picha nyingi vile vile tulivyokuwa watupu. Nilipojaribu kukataa niliambulia kipigo kilichonifanya niwe mpole, ajabu

    baba naye alifanya kila aliloelezwa.

    Maskini baba alikuwa kama paka aliyetumbukia kwenye shimo la choo, jinsi alivyojikunyata kwa aibu. Tulipigwa picha zaidi ya ishirini na kuruhusiwa kuvaa nguo zetu, ma mdogo aliondoka na baba bila kunifanya lolote nakuaniacha chumbani peke yangu. Na mimi aliniruhusu bila kunigusa nilirudi kwangu.

    Njia nzima nilifikilia kuhusu fumanizi lile, heri ningekuwa nimefumaniwa na mume wa mtu kuliko baba yangu mzazi. Kweli kila chenye mwanzo kina mwisho na mwisho wa

    ubaya ni aibu.

    Njia nzima nilijiuliza mume wangu nitamwambia nini anielewe pale atakaposikia habari zile chafu. Bora

    angesikia kwa maneno ningeweza kujitetea, sasa kuna picha zikimfikia nitatokea mlango gani. Niulaumu moyo wangu kwa kulazimisha kula haramu mwisho wake ni aibu ya mwaka.

    Nilijiuliza swali lisilo na jibu, zile picha zinapelekwa wapi, na nini hatma ya baba na ma mdogo. Kama wakiachana lazima ma mdogo atanipaka shombo nionekane nanuka kila kona. Lazima watu watahoji kama niliweza kwa baba yangu mzazi kwa wanaume zao nitashindwa vipi.

    Nilijiona mtoto wa kike nimeoga maji ya chooni na kunuka kila kona mjini. Lazima nitaonekana bundi ndege nuksi si kwa ndege wenzake hata kwa wanadamu.

    Sio siri nilichanganyikiwa mtoto wa kike, nikiifikilia na ile mimba hapo ndipo nilipopagawa kabisa.

    Nilipofika nyumbani lijifanya naumwa ili mume wangu asinisumbue kwa maswali. Kama kawaida mume wangu siku zote alipenda kunisikiliza kila nilinalo sema. Nilijua kwa ajili ya

    uzuri wangu, nilijiamini nilikuwa mzuri wa sura na umbile kwa yale mambo yetu hapo ndipo usiseme.

    Lakini nilijua udhaifu wa mume wangu kushindwa kunifikisha, ndiyo sababu hasa iliyopelelea mimi kuingia kwenye kufanya uchafu na baba.

    Kama kweli mume wangu angalau angekuwa na uwezo kama baba hata nusu, nisingetoka nje ya ndoa yangu. Kufika hapo nilijikuta nalia peke yangu, moyo uliniuma na kujiuliza

    picha zangu ma mdogo amezipeleka wapi. Na alijuaje kama nipo ninatenda uchafu na baba. Kweli duniani hakuna siri, kutokana na kuzidiwa na mawazo niliamua kunywa pombe kali ili kupoteza mawazo.

    Nilikunywa hadi mume wangu akanishangaa na kuniuliza

    "We si unaumwa vipi mbona unakunywa pombe tena kali?"

    "Samahani mume wangu naomba uniache kwa leo nimechanganyikiwa" nilimjibu kwa sauti ya kilevi, lakini

    hakukubali alininyang'anya ile pombe na kunipeleka chumbani kulala.

    Kumbe maskini niliporudi jana yake toka kwenye sakata la kufumaniwa, nilisahau kuficha cheti cha hospitali nilipokwenda kupima mimba. Niliamshwa na mume wangu

    ambaye alionyesha kuna kitu kimemkwaza.

    Mawazo yangu yalijua labda issue imebumburuka ya kufumaniwa, nilikurupuka usingizini nikiwa na wasiwasi.

    Mume wangu aliniita jina langu

    "Suzana"

    "Abee" nilijibu huku nikifikicha macho

    "Hiki cheti cha nani?" alikuwa ameshikilia cheti mkononi kile nilichopima mimba, nilijikuta nikipiga kelele za woga

    "Mtumee nimekwisha"

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Suzana hilo sio jibu hiki cheti cha nani?" aliniuliza kwa sauti ya juu

    Nilikurupuka kitandani na kutelemka chini na kupiga magoti

    mbele ya mume wangu

    "Naomba unisamehe mume wangu"

    "Bado hujanijibu, nikusamehe kwa kosa gani?"

    "Nimekosa mume wangu sirudii tena" nilijikuta nikijitetea bila kujibu swali la awali

    "Suzy utaniudhi bure, hebu nijibu cheti hiki ni cha nani?"

    "Ni changu mume wangu" nilianza kulia bila kupigwa

    "Na haya yaliyoandikwa ni kweli?"

    "Mume wangu nimekosa, nipo chini ya miguu yako"

    "Suziii kwa nini unakuwa sio muelewa, hebu niambie kilichoandikwa ni kweli?" aliniuliza kwa ukali kidogo

    "Ndi.ndi..ndi..ooo"

    "My God, ya nani?"

    Mmh hapo nipo palipokuwa pagumu kumtaja baba kama ndiye mwenye ujauzito ule, ilibidi nidanganye

    "Ya jamaa mmoja"

    "Suzy mke wangu umeshindwa kuvumilia miezi sita?"

    "Nisamehe mume wangu ni shetani alinipitia tena siku moja"

    "Mke wangu bao moja ndilo la ushindi, nitaiweka wapi sura yangu"

    "Mume wangu nitaitoa"

    "Yaani unafa..." mume wangu alikatishwa na mlio wa simu yake, alinyamaza na kuongea na simu. Nilimsikia akisema

    "Eeeeh...wacha utani...mke wangu mimi....nakuja"

    Mume wangu aliondoka na kuniacha bado nimepiga magoti kama naungama kanisani. Nilijiuliza ile simu ilikuwa ina maana gani mbona imemshtua, kingine kilichoniacha njia panda pale aliposema

    "Mke wangu mimi? alikuwa na maana gani?" Nilijinyanyua kuelekea bafuni kuoga huku nikijiuliza kwangu yameisha haribika sijui kwa baba pakoje?. Niliamini baba anaweza

    kumnyamazisha mama mdogo, japo nilijua lazima pesa nyingi zitamtoka.

    Nilipotoka bafuni kuoga, niliikuta simu yangu ikiita. nilipoangalia nilikuta namba ngeni, niliipokea

    "Haloo nani mwenzangu?"

    "Nina imani naongea na Suzy?" sauti ya upande wa pili iliniuliza ilikuwa ya kiume

    "Ndio mimi, unasemaje?" nilimjibu

    "Ni hivi mimi ni mmoja wa wale tulioshuhudia sakata la kufumaniwa kwako na baba yako"

    "Sasa ulikuwa unataka nini, si mmefanikisha mlicho tumwa" nilimjibu kwa hasira

    "Sikiliza binti, mimi nilikuja kufanya kazi tu ila napenda kukueleza kuwa zile picha zote nimezipata"

    "Kama umezipata?" nilijikuta akinichefua akili yangu na kumjibu kwa ukali

    "Usiwe mkali unajua picha hizi zikisambazwa itakuwa picha mbaya kwako na kwa baba yako"

    "Ulikuwa unatakaje?" nilirudisha sauti chini

    "Ningeweza kukudai pesa nyingi nina imani huna, ila nakuomba mtoto mzuri kama wewe kusaidiwa ni wajibu

    wako"

    "Sasa utanisaidiaje?"

    "Njoo leo jioni Lyasi Inn majira ya saa moja usiku"

    Kauli ile ilinifanya nijiulize yule aliyepiga simu anaweza kunisaidia hivi hivi. Nilijua kuna kitu tu anakitaka kwangu, lakini kama ni kweli ana picha zile sina budi kujitoa kafara

    "Sawa basi nitakuja muda huo"

    "Ukifika fikia kabisa chumbani chumba namba 88"

    "Mmmh mazungumzo gani ya chumbani?"

    "Binti sikiliza issue hii si ya kitoto ukifanya mzaha utaumbuka na kulikimbia jiji jua kali"

    "Ok, nitakuja" nilirudisha simu na kujikuta nikijifikili kwa kujisemea mwenye kwa sauti ya chini

    "Mungu wangu ndio mwanzo wa kuwa jamvi la wageni, kila mtu najua katika wale sita atataka kutembea na mimi. Nitafanya nini na mimi nimejitakia, siku zote mtaka cha uvunguni. Nilishtushwa na mlango uliofunguliwa kwa nguvu na mume wangu aliyeingia kama mbogo aliyejeruhiwa,

    akiwa ameshikilia gazeti moja la udaku linalo toka mara mbili kwa wiki.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alipoingia alinitupia usoni lile gazeti huku akisema kwa sauti ya juu

    "Suziiiii, hiki nini?"

    Nilijikuta nikishindwa kuelewa alikuwa na maana gani? hata

    kuliokota gazeti nilishindwa, nilishindwa kuelewa kwenye gazeti kuna nini?. Mume wangu aliliokota na kulifunua

    mbele yangu.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog