Search This Blog

Monday, October 24, 2022

KAHABA - 2

 





    Chombezo : Kahaba

    Sehemu Ya Pili (2)



    ILIPOISHIA



    Baada ya sekunde kadhaa akafanikiwa kunifungua shati langu na kulitupia mbali. Baadaye sasa akaja katika suruali yangu ambapo aliutoa mkanda wa suruali na kisha kuifungua zipu ya suruali taratibu na wakati huo wote mjomba aliendelea kututumka mle ndani ya mkwego utadhani amelishwa hamira.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    SASA ENDELEA



    “Woooooooow!”. Yule mrembo alipiga ukulele mara baada ya kunivua suruali na kumwona mjomba jinsi alivyo mkubwa mithili yam chi wa kinu.



    “I like it”. Aliongea yule mrembo huku sasa akianza kumsukasuka huku mimi nikiwa nazichezea nywele zake.



    Yule mrembo alimsuguasugua mjomba kwa muda na kisha akamtumbukiza katika kinywa chake. Akaanza sasa kummung’unya mithili ya koni. Nilihisi raha ambayo nashindwa hata kuisimulia.



    Mrembo akaendelea kummung’unya mjomba huku mjomba naye akizidi kututumka na kujaa vyema katika kinywa chake. Alinipa raha huyu mrembo mpaka nikahisi kutokwa na machozi.



    Baadaye nami nikamchukua na kumlaza taratibu juu ya kitanda. Nikataka nami nimwonyeshe ufundi wangu na ajue kwamba nami ni mojawapo wa wataalamu wachache sana katika fani hii ya mahaba waliopo duniani.



    Nikaanza kuyatomasatomasa matiti yake taratibu kitendo kilichomfanya afumbe macho na kuanza kutoa miguno ya taratibu ikiashiria kwamba alikuwa akijisikia raha isiyo kifani.



    Nikaanza kuyamung’unya maziwa yale taratibu huku mkono wangu wa kulia ukiwa umefika kwa shangazi na sasa ulikuwa ukimchezea taratibu na kwa umakini wa hali ya juu.



    Nilizidisha utundu wangu katika kumchezea na kwa wakati wote huu alikuwa akipiga kelele za mahaba mithili ya mtoto mdogo aliyenyang’anywa pipi.



    Nikaanza sasa kumlamba mwili wake taratibu mithili ya chatu anavyomlamba mwanakondoo kabla ya kummeza. Kitendo kile kilimfanya asisimkwe sana.



    Niliendelea kumlamba kuanzia shingoni, masikioni mdomoni, tumboni na kisha kitovuni mahali ambapo alionesha kwamba alipenda nipalambe zaidi kwani alipiga ukulele mkubwa pindi nilipofika hapo.



    “Ooooooh! Aaaaaashhh! Please give me!”. Yule mrembo alilalama.

    Nami nikaona isiwe

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    shida. Nikachukua kondomu na kuivaa. Baada ya hapo nikamfuata pale juu kitandani. Hapo nikamwacha mjomba aende kumsalimia shangazi. Hakika nilimnyoosha sana yule mrembo kahaba mpaka mwenyewe akashangaa.



    “Ahsante, bill yako imeisha”. Yule mwanamke alishukuru.



    “Usijali tutaonana siku nyingine”. Nami nilimjibu huku nikiamka kutoka kitandani.



    “Hivi waitwa nani vile?”. Nilimwuliza jina yule mrembo maana alikuwa amenipa mahaba yaliyonipagawisha sana.



    “Jina langu halina haja kulifahamu. Mimi nakupa huduma ya ngono tu basi”. Yule mwanamke alijibu.



    “Basi naomba namba yako ya simu”. Nilimwambia yule mrembo.



    “Namba yangu ya simu waitakiani?”. Aliuliza.



    “Wajua umenipa huduma bora sana hivyo nilikuwa nataka kila nikija niwe nakupigia simu ili kukupata kwa urahisi”> nilimwambia.



    Maneno yangu aliyaona yana mashiko ndani yake. Kwake ilikuwa ni muhimu sana kumtunza mteja asipotee.



    “Namba yangu ni 0744 970447”. Aliongea yule mrembo.



    “Ahsante sana nashukuru”. Nilishukuru mara baada ya kuisevu ile namba.



    Niliachana na yule mrembo kahaba nikaanza safari ya kurudi nyumbani kwangu. Kwa upande wa wakati ilikuwa inakaribia kabisa saa nne ya usiku. Moyoni nilikuwa nina amani ya kutosha sana kwani yule mrembo kahaba alikuwa amenisuuza na kuniondoa stress zote.



    Nilijua nikifika nyumbani tu ni lazima kutakuwa na kitimutimu kwani muda ulikuwa umekwenda sana. Nilimfahamu sana mke wangu mama Careen, Alikuwa ni mwanamke mwenye hasira za karibu sana na yuko radhi kufanya maamuzi yoyote yale.Ilikuwa yataka moyo sana kuishi na mwanamke huyu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliwasili nyumbani kwangu kama majira ya saa tano kasoro robo hivi. Hali niliyokutana nayo pale ilinitisha kwa kweli. Mke wangu alikuwa amesimama mlangoni huku mkononi akiwa ameshika upawa wa kusongea ugali.



    “Haya niambie mwanaume wewe. Usiku wote huu unatoka wapi?”. Mama Careen aliniuliza.



    “Sasa ndiyo maswali gani hayo mke wangu?”. Nami nilimjibu kwa swali.



    “Mimi ni mke wako hivyo ninapaswa kujua umetoka wapi saa hizi”.



    “Hivi humu ndani nani ni mwanaume hasa? Mbona unataka kunipanda kichwani wewe mwanamke?”. Nilimjibu kwa fedhuli.



    “Anhaaaa! Unaniletea dharau siyo?”. Mama Careen aliongea huku akionesha wazi alikuwa amekasirika.



    Ghafla ule upawa wa ugali ulishuka juu ya shavu langu na kunifafanya nianguke chini huku makalio yakiwa juu. Nilihisi kama nyotanyota zikimwetamweta hivi.



    Sikupewa hata nafasi ya kutafakari. Upawa ukaanza kushuka juu ya makalio yangu kwa mapigo ya maana. Nilipiga kelele za maumivu. Mama Careen alinikung’uta kweli siku ile.



    Baada ya kuhakikisha nimekung’utika vya kutosha mama Careen aliingia ndani huku akiniacha nikiugulia maumivu makali sana yaliyosababishwa na mkung’uto mwanana kutoka kwa mama Careen.

    ***********

    “Hivi kwa nini hujaolewa mpaka wakati huu wakati vigezo vyote vya kuwa mke wa mtu unavyo?”. Lilikuwa ni swali ambalo nilimwuliza mwanamke huyu mrembo kahaba ambaye siku kadhaa hapo nyuma tuliwahi kufanya mapenzi.



    Leo hii tena nilikuwa nimekutana naye kwa mara nyingine. Tulikuwa tumepeana mahaba motomoto katika nyumba hii ya kulala wageni. Na kwa sasa tulikuwa tumemaliza kupeana mahaba motomoto na tulikuwa tukiongea.



    “Hivi wewe unafikiri mimi nikiolewa hii biashara nitaifanyaje?”. Yule mrembo alinipachika swali badala ya kunijibu swali langu ambalo nilimkandika hapo awali.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sasa ni kwanini waifanya biashara hii ya kuuza mwili?”. Mtindo wa kuulizana maswali badala ya majibu uliendelea.



    “Hivi nisipoifanya biashara hii wewe unafikiri nitakula wapi na msoto wa maisha wa hapa Kano?”.



    “Sasa mimi nataka uache kuifanya hii biashara na nitakutimizia mahitaji yako ya kila siku”. Nilimwambia yule mrembo.



    “Hebu achana na mimi bwana, si tumeshamalizana? Nimekupa ulichokuwa ukikihitaji sasa niache mimi niende. By the way umenipa mambo matamu. Nashukuru”. Aliongea Yule mrembo na kutoka nje ya chumba kile cha gesti.



    Yaani mpaka muda huu nilikuwa simfahamu huyu mrembo kahaba alikuwa akiitwa nani. Kila nilipokuwa nikijaribu kumuhoji jina lake, alikataa katakata kunitajia.



    Pia kwa mbali nilianza kuzihisi dalili za upendo wa dhati kwa huyu kahaba. Niliona kabisa



    kwamba nilikuwa nimezimika na nimekufa juu yake. Nilikuwa natamani muda wote niwe naye.



    Nikavaa ngio zangu na kasha nikaondoka kutoka katika chumba kile cha gesti. Kwa upande wa wakati ilikuwa ni majira ya saa mbili usiku. Niliona leo niwahi kurudi nyumbani kwani nikichelewa yaweza tokea vita kuu ya tatu ya dunia ambayo itakosa msuluhishi.

    **********





    “Hello! Niambie mdogo wangu”. Ilikuwa ni sauti ya mama Careen akiongea na simu mchana huu wa leo.



    “Safi tu sista”. Upande wa pili wa simu ulijibu.



    “Vipi, mbona kimya sana? Yaani uko kimya utadhani hauko katika jiji hili!?”. Mama Careen aliongea.



    “Nipo dada yangu. Nitakuja siku moja kukutembelea”. Upande wa pili wa simu uliongea.



    “Sawa tu bwana. Yaani tunaishi utafikiri si ndugu?”. Mama Careen alilalama katika simu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwa nini wasema hivyo dada?”. Uliuliza upande wa pili wa simu.



    “Sasa ni mwaka wa ngapi hatuonani? Humjui shemeji yako wala mwanangu. Kila nikikuuliza, waniambia uko katika jiji hilihili la Kano. Hivi hii ni haki kweli mdogo wangu?”. Mama Careen aliongea.



    “Punguza moto dada yangu. Natambua nimekosa. Safari hii wala sitakuangusha. Nitahakikisha kwamba ninakuja kukutembelea wewe pamoja na familia”. Upande wa pili wa simu uliongea.



    “Lakini hayo si ndiyo maneno yako kila wakati? Mara oooh! Nakuja kesho halafu ooooh! Nimepata udhuru nitakuja wiki ijayo. Hebu jifunze adabu wewe mtoto. Yaani unavyonikera natamani mpaka kukutapika!”. Mama Careen aliendelea kuongoa huku sasa akionesha dhahiri kwamba alikuwa amepandwa na jazba.



    “Dada yangu nisamehe. Amini safari hii sitakuangusha nitakuja kukutembelea”. Upande wa simu uliongea.



    “Haya wewe ndiye mwamuzi. Ukipenda njoo na usipopenda usije. Mimi sitakuwa na neno nawe kuanzia sasa. Wewe si mtoto mdogo wa kushinda tunakumbushana mambo madogo kama haya wakati waelewa wazi ni jambo la msingi”. Mama Careen aliendelea kufoka.



    “Vipi mama Careen, mbona wazozana na simu?”. Nilimwuliza mama Careen mara baada ya kuwa ameacha kuongea na simu. Na kwa wakati huo mimi nilikuwa nimetoka chumbani ambako nilikuwa nikijiswafi mwili wangu.



    “Nilikuwa naongea na mdogo wangu”. Mama Careen alijibu kwa kifupi huku jazba ikiwa bado haijapungua.



    “Anhaaaa! Yule ambaye ulishawahi niambia kwamba yupo hapahapa Kano?”. Nilimwuliza mama Careen huku nikimtazama usoni.



    “Ndiye huyohuyo. Yaani mimi ananikera sana huyu mtu. Yaani mambo yake ni ya kitoto utafikiri ni mtoto mdogo”. Mama Careen aliongea.



    “Mh! Yakupasa umsamehe kwani ndiye nduguyo wa pekee”. Nilijaribu kumtuliza.



    “Ushaanza na wewe mambo yako. Yaani wewe ndiye unayefuga ugonjwa!”. Mama Careen alinigeuzia kibao.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mh! Basi mama yaishe. Mimi natoka kidogo. Nitarejea baadaye”. Niliaga ili kuepusha shari kwani namfahamu fika huyu mwanamke.



    “Sasa ole wako uchelewe kurudi leo. Utanieleza kwa nini jogoo hatagi”. Ilinipata hiyo nikiwa navuka kizingiti cha mlango.



    Yaani mwanamke alikuwa na shari huyu balaa! Hakuna siku ambayo tungekaa kwa amani na kufurahi kwa pamoja kama mume na mke.



    Muda wote ilikuwa ni kuzozana na kutoleana maneno ya kashfa ambayo muda mwingine yaliambatana na vipigo vya hapa na pale. Vipigo vya aina zote vidogo na vikubwa ambavyo mara nyingi vilikuwa vikihatarisha uhai wa ndoa yetu.



    Ama kweli mke nilikuwa naye. Na sikuwa na ujanja juu ya mke wangu kwani alikuwa ni mwanamke ambaye nilimchagua mwenyewe na kumwoa wala sikuchaguliwa na mtu yeyote.



    Sikulazimishwa na mtu yeyote kumwoa mwanamke huyu bali ni kwa mapenzi yangu mwenyewe. Niliamua kuingia mkataba wa maisha kwa kula naye kiapo cha ndoa takataifu tena ya kanisani ambayo ilishuhudiwa na mashuhuda wengi sana.



    Kwa wakati huo mawazo yangu yalikuwa juu ya kahaba wangu mrembo. Niliamua siku ya leo niipitishe nikiwa naye kwani sikuwa na shughuli nyingine ya kufanya. Niliamua niende nikampe mapenzi motomoto nami nipate burudani tamu ambayo huwa naikosa kutoka kwa mke wangu kutokana na kisirani chake.



    “Hello! Mambo”. Niliongea katika simu mara baada ya kuingia katika sehemu nilipohifadhi namba za watu wangu mbalimbali na kulichagua jina la kahaba mrembo ambalo nilikuwa nimelisevu likisomeka PATRICK.



    Niliamua kuisevu namba ya kahaba kwa jina la Patrick ili kuepusha maswali kutoka kwa mama Careen endapo angeamua kuipekua na kuifukunyua simu yangu.



    Niliamua kuichukua tahadhari hiyo kwani nilimfahamu fika mama Careen kwamba alikuwa ni mwanamke ambaye alikuwa akipenda sana udambwidambwi.



    “Poa vipi mzima wewe?”. Upande wa pili wa simu uliongea kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mimi niko fresh kabisa”. Nilijibu.



    “Eeeeeenheee! Lete maneno”. Upande wa pili wa simu uliongea.



    “Maneno yatoke wapi zaidi ya kukumiss tu”. Nilijibu huku nikiendelea kutembea.



    “Ha ha ha ha haaaaaaa! Yaani wewe unimiss mimi badala ya kummiss mkeo!”.



    “Aaaah! Najua huwezi kuamini lakini ukweli wenyewe ndiyo huo”. Nilijibu.



    “Haya unanimiss kwa lipi sasa?”. Alihoji Yule mrembo katika simu.



    “Nakumiss kwa yale mambo matamu sana ambayo huwa unanipa. Mambo haya huwa siyapati kwingine kote zaidi ya kwako”. Niliongea.



    “Acha kunichekesha bwana. Ina maana kwa mkeo huwa hupati?”.



    “Amini hebu nielekeze nyumbani kwako nije sasa hivi maana ugwadu nilionao ni balaa!”. Nilimsisitiza Yule mrembo.



    “Heeeeee! Uje kwa nani?”.



    “Jamani si nakuja kwako? Kwani kuna ubaya gani? Mi wala siyo simba kusema huenda nikakung’ata ukafa!”. Nilimchombeza Yule mrembo kwa maneno matamu na laini.



    “Ila una vituko wewe mwanaume sipata ona. Huwa unanipa raha sana kwa maneno yako. Haya basi njoo mtaa wa Jalawa ukifika hapo nipigie nami nitakuja kukuchukua”. Hatimaye yule mrembo alikubali kuniruhusu niende kwake.



    *************

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog