Search This Blog

Monday, October 24, 2022

MAMA VANESSA - 3

 







    Chombezo : Mama Vanessa

    Sehemu Ya Tatu (3)



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alifuatilia na kugundua kuwa binti huyo alikuwaa akiitwa Nancy. Alifanikiwa kuzipata mpaka picha zake na roho mbaya ilishamjia kuwa atamuharibia maisha binti huyo. Alipanga kutembea naye na kama yeye akishindwa basi atatumia marafiki zake ili ampate.Nia yake kumbwa ilikuwa kwamba Boss yake apate hayo maaumivu ambayo yeye alikuwa akiyapata. Alijua kabisa dawa ya moto ni moto na mke au mtoto anauma sana. Maumivu aliyopata yalikuwa ni makubwa sana ambayo yalimfanya afikirie unyama. Lakni kwa kuwa mama Vanesaa ameonesha kuwa anataka kuwa na mimi kwa ajli ya kulipiza kisasi basi nitaanza na yeey na mimi nipo tayari kulipa kisasai. Alendele akupanga mikakati yake ambayo aliamini kuwa itafanikiwa. Habari za matoto wa boss wake amabye alikuwa chuo kikuu cha Dar es salaa alikuwa akaizipata kutoka kwa rafiki yake ambaye alaikuwa kifundsiha hapo. Kkwa bahati nzuri kan baadhi ya vipibdi alaikuwa akimfundisha binti huyo. Yaani walikuwa wapo tayai hta kumfelisha mradi tu kulipa kisasi. Ingawa Nancy hakuw ana makosa aliingizwa kweye mango huo.



    Siku zilizidi kuyoyoma na hatimaye mama Vanesa alirudi kutoka huko Dar es salaam. Kkw akipindi chote hicho walikuwa wakiwasiliana na mama Vanessa alimsahuri kijana huyo asikimbilie mahakamani au huko idara ya kazi kwa sababau hatofanikiwa. Alimweleza kuwa boss wake anajauna na watu wengi sana na anauwezo wa kununua hata haki. Alimweleza huyo anahitaji kufanyiwa kitu cha kibinadamu amabcho kitauumiza sana. Siku ya tatu tangia watoke Dar es salaam ndio siku amabyo walipanga kukutana. Lucas Manyama alipendekeza kuwa wasikutanie Musoma kwa sababu anahofia usalama wake. Walipanga kukutana Mwanza wakiamaini huko wanaweza kuweka mipango yao. Kinyume na mawazo ya Lucas kuwa mama huyo angekataa la hasha mama huyo hakukataaa na badaa yake alikubali.



    Lucas alimshirikisha Kimaro juu ya mipango hiyo na Kimaro akapigilia msumari kuwa hiyo ndo chansi kumbwa sana ya kulipa kisasi.



    “Yaaani wewe mwambie aje tena afanye mpango alale huku huku “ Kimaro alisisitiza.



    “Sasa nitaanzaje kumwambia kuwa atalala cha msingi mimi naona tufanye kama siku ile. Akija hakuna cha kupanga mipango ni kula bata kwa kwenda mbele alafu baadaye tunampeleka ile hotel kisha tunachukua chumba alale.”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sio tunachukua chumba alale bali tunawachukulia chumba mlale. Tena hatutaenda pale pa siku ile tutaenda hotel kabisa yenye hadhi yake.Alafu mimi nitatagesha kamera zangu ukishafanikiwa kufanya nae mapenzi ndo hapo sasa boss atajua kuwa dunia duara na kila binadamu yupo kwenye mzunguko”



    Waliweka mikakati yao na Kimaro aliaapa kuwa yupo tayari kutumia gharama yoyote ilimradi tu kukamilisha hilo. Ilikuwa ni faraja kwa Lucas kusikia kuwa kijana huyo atafanya kila awezalo kumsapoti. Basi siku ya kukutana Mwanza ilifika. Mama Vanesaa siku hiyo alikuwa amevaa kisichana na kumfanya aonekane ni mdogo sana tena rika moja na kina Lucas. Alivaa nguo za thamani nguo zilizompendezesha sana , nguo zilizofanya uzuri wake kuonekana.



    “Aisee huyu boss wangu ni kiboko yaani hajawahi kukosea. Yaani atakuwa na ugonjwa na watoto wazuri. Yaani sio mke sio michepuko ni alikuwa akichagua wanawake wazuri wenye mvuto kwa kila mwanaume.” Mawazo hayo yaliojawa matamanio na uchu wa ngono yalikuwa yakiwazwa na Lucas akiwa kwenye hotel moja iliyojengwa ndani ya kisiwa kilichopo ndani ya ziwa Victoria.



    “Umependeza sana mama Vanesa sasa mbona ulikubali kuwaacha vijana wenzio na kuwa na mzee” Lucas alitupa swali la kizushi.



    “Mapenzi alinipenda akanichanganya na pesa zake basi nikajikuta naingia kwenye ndoa na baba mtu mzima”



    “Hivi mama Vanessa sio kwamba ulimwacha mpenzi wako saiz yako na kuamua kuwa na huyu baba”



    “Aisee una maswali mengi sana lakini usiwe na hofu maana maisha kuna kukosea na kujifunza”.



    Muhudumu alikuja na kila mtu aliagiza kinywaji alichopenda. Lucas hakujivunga aliingiza kinywaji kigumu ambacho alijua kabisa kitamlipua kwa muda mfupi na kumfanya aongee vitu vizito. Bila kutarajia na mama Vanesaa alaigiz apombe kali. Alishangaa maana kwa msichana wa namna hiyo lazima angetumia vitu laini.



    “Leo nataka nikumbushie enzi zangu maana sijatumia pombe kali tangu nimalize chuo” Mama Vanessa aliongea huku akijimiminia pombe kwenye glass.



    Walikunywa na kwa muda mfupi tu mama Vanesa alianza kurembua na kuongea vitu vya ajabu ajabu ishara kuwa alikuwa amelewa.Hii ilimpa chansi Lucas kuanza kucheza na hisia zake ili aweze kujua kama anaweza kulala naye. Alichukua mkono wa Mama Vanesa na kuubusu. Mama Vanesaa akarembua macho zaidi na kusema anatamani kama angembusu mdomoni..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lucas na yeye hakutaka kufanya makosa alipeleka mdomo wake kwenye kinywa cha mama Vanessa. Alimbusu na kurudisha. Hakuwa na uhakika wa moja kwa moja kwani huyo mwanamke mke wa boss wake ameamua kujiachia na kuonesha yupo tayari kwa lolote. Kwa jinsi alivyokuwa mwanamke wa gharama isingekuwa rahisi hivyo kukubali kukutana na mtu wa chini kama Lucas.



    “Nataka kuogelea”mama Vanessa aliropoka mara baaada ya kuangalia kwa muda mrefu maji ya ziwa na jinsi ambavyo watu walikuwa wakiogelea pembezoni mwa kisiwa hicho. Lucas alitafakari kidogo na kumwambia hasiwe na hofu ngoja akachukue boti ya mwendo kasi.



    “Wewe mimi boti naogopa”



    “Usiogope upo na mimi” Lucas alijibu huku akiondoka na kuelekea sehemu ambapo viboti hivyo vilikuwepo. Hakuwa na wasiwasi maana haikuwa mara yake ya kwanza kula bata eneo hilo.Hili kumuondoa hofu mama Vanessa, Lucas alilipanda kishakuingia ziwani. Aliweza kuliendesha kwa madaha huku akikata mwaimbi ya ziwa mpaka sehemu za mbali kidogo. Alifanya mbwembwe zote kuonesha yeye ni mwanaume ambaye haogopi maji. Mama Vanesaa alitumbua macho na kuona kweli mwanaume huyo ni mtaalamu wa kuchezea maji. Baadaye Lucas alikuja na kumpa mkono ili apande.Mama Vanesa alisita kidogo lakini alipiga moyo konde na kuingia kwenye boti. Walianza kuzunguka ziwa huku wakikata mawimbi.Mama Vanesaa alimshika vilivyo kwenye kiuno ili hasije akaanguka.Walifurahia maji na kwa kweli zile pombe ziliyeyuka. Mama Vanesaa alijihsi yupo dunia ingine kabisa maaana tangu aolewe amekuwa mtu wa kubanwa na hakuwahi kufurahia maisha kwa namna hiyo.



    Walirudi sehemu waliyokuwa wamekaa. Wote walikuwa na nguo za mama Vanesa zilikuwa zimelowana. Ujue Lucas alipinguza nguo na kubaki na bukta lakini mama Vanesa yeye hakupnguza kitu. Lucas alikuwa ameliona hilo hivyo alimuuliza kama amekuja na nguo zingine.



    “Vipi mama Vanessa umekuja na nguo zingine ili ubadilishe hizo maana naona umelowana.”



    “Mwanamke lazima ubebe nguo zingine lakini shida nitabadilishia wapi.”



    “Twende kule hotelini kuna chumba nilikuwa nimechukua.”



    “Mmmh ulichukua chumba kwani umepanga kulala hapa?. Mimi mwenzio baba Vanesaa ataniua natakiwa nirudi leo nyumbani”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hapana mimi sitolala hapa nitaenda kulala kwa rafiki yangu, hicho nimekuchukulia wewe ili ukapumzike kama muda utakuwa umeenda sana. Sasa hivi tayari ni saa kumi na mbili sasa huoni kuwa utachelewa.



    “Ni kweli lakini umewezaje kulipia chumba cha ghali hili hali huna kazi maisha yako yao hatariini huna pesa?”



    Lilikuwa swali kumbwa ambalo hakulitarajia. Hapo alikosa jibu akanyamaza kimya huku simu yake ikiita na kuangalia alikuwa ni Kimaro akipiga. Alishindwa kuipokea na badala yake alitoa funguo na kumkabidhi mama Vanesa.



    “Huko mikono salama nenda chumba namba tano badili nguo then urudi tupange mikakati na muda ukiruhusu basi utarudi”. Lucas safari hii alionekana kubadilika kidogo. Mama Vanesa hakutaka kupingana naye alijinyanyua hapo na kuanza kuelekea huko alipoelekezwa. Hapakuwa mbali sana hivyo alipiga hatua zake za madaha na kumuacha Lucas akimsindikiza kwa macho. Mmacho ya Lucas yaliendelea kukiri kuwa mwanamke huyo ni miongoni mwa wanawake wazuri na warembo huku duniani. Baada ya mama Vanesa kuondoka ilikuwa ni nafasi nzuri kwake kunynyua simu yake na kumpigia Kimaro. Kimaro alimweleza kuwa yupo eneo hilo na yupo na kimwana ..



    “Upon a Julieth?Lucas aliuliza kwa kuhamaki.



    “ Aaaaaah kwani umeambiwa kimwana ni Julieth tu.”



    “Sijamaanisha hivyo ila ukimleta huyo atatuona sisi wote ni Malaya tu na imani yake juu yako itapungua.Lucasa alijaribu kueleza wasiwasi wake.



    “ Ebu wacha maneno mengi nishafika hapa naingia umekaa kwa wapi?.



    “Huku karibu na ziwa kabisa”



    “Sawa dakika sufuri”.



    Baaada ya nusu dakikaa Kimaro aliingia eneo hilo huku akiongozana na msichana mwingine ambaye yeye alimwita kimwana. Alikuwa ni mwanamke mrembo kwa maana nachelea kusema ni mzuri sana. Maana uzuri ni tofauti na urembo. Uzuri ni kitu ulichozaliwa nacho ni kutokana na uuumbaji wa Mungu. Urembo ni jinsi ulivyojitengneza kuanzia mwonekano, mavazi na mapozi. Alikuwa ni mwanamke mrembo na alivutia machoni pa Lucas.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Yani huyu kwa kubadili wanawake kama nguo.. Sasa amempata wapi na huyu?” Lucas aliwaza mara baada ya kuwaona wakiingia kupitia boti ambalo lilikuwa linawavusha watu kutoka nchi kavu na kuwapeleka kwenye kisiwa hicho. Kilikuwa ni kisiwa ambacho hakikuwa mbali sana na nchi kavu na hakikuwa kikumbwa zaidi kilikuwa na hote hiyo na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya utalii.. Aliwapungia mkono na wao walimwona. Hao kwa mwendo wa madaha kama mtu na mpenzi wake walijisogeza eneo hilo. Walifika na kuvuta viti kukaa. Walikuwa wenye furaha na waliochangamka sana. Kwa kuwa viti vilikuwa ni vichacahe n kilea alichokuwa amekalia mama Vanesa kilishatumika ilimlazimu kumwita muhudu ili awasikilize wageni na aongeze kiti kimoja.



    Muhudumu aliwasikiliza na kwenda kuchukua vinywaji. Mara Mama Vanesa naye alikuwa akija kutoka kwenye hotel. Alichukua muda mrefu lakini haikuwa tatizo kwa Lucas maana anajua kabisa wasichana linapokuja swala la kubadili nguo lazima waanze kujiremba upya. Ni kweli maana mama Vanesa alikuwa amebadilika kabisa na kuzidi kuonekana kuwa alikuwa ni msichana mdogo. Alivaa kimini kilichofanya kuacha mapaja yake nje. Alionekana ni binti mdogo pengine waweza kusema ni msichana amabye hajaolewa. Lucas hakujua kwa nini amevaa hivyo lakini huenda labda aliamua kujiachia mara baada ya kuhisi kuwa watakuwa wawili tu. Hakujua kama kuna wageni wanaweza kuja. Hata hivyo hakuonesha kushtushwa sana alivuta kiti na kukaa. Kimaro aliyatumbua macho na hakuamini kama huyo ndo mke wa boss ambaye alikuwa akizungumziwa..





    “Habari zenu” Mama Vanessa alitoa salamu ya jumla.



    “Nzuri” Kimaro na kimwana aliyekuja naye walijibu kwa pamoja.Kimya kikatawala kidogo kabla ya Lucas kuvunja ukimya.



    “Mama Vanessa huyu anaitwa Kimaro ni rafiki wangu wa kufa na kuzikana. Mr Kimaro huyu ndio mama Vanessa mwanamke aliyeamua kuniokota mara baada ya Mishel kunitupa.



    “Nashukuru sana bwana Lucas nashukuru pia kumfahamu mama Vannesa..Kimaro aliongea huku akimpa mkono mama Vanessa. Alifanya utani wake kidogo kwa kuubinya mkono kwa nguvu jambo lilofanya mama Vanesa ahisi maumivu.



    “Aiseee kweli unastahili hili kuitwa mrembo mikono laini kama maini” Kimaro aliongea huku akionesha kushangaa.



    Wote kwa pamoja walicheka na kufanya kuchangamka. Muhudumu alikuja tena na kumleta kinywaji mama Vanesa. Safari hii alibadilisha na kuanza kunywa wine. Stori mbili tatu za kuchekesha ziliendelea na kufanya muda kuzidi kuyoyoma. Kimaro alitumia muda huo vizuri kuwafurahisha na kuwachekesha kwa sababu moja ya vitu alivyojaliwa ni kuwafurahisha watu na kuwafanya wamsikilize kwa muda mrefu.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakati stori zikiendelea mama Vanessa yeye alikuwa ulimwengu mwingine kabisa. Alikuwa akiwaza ni jinsi gani atarudi Musoma hili hali muda ulikuwa umeenda sana. Aliendelea kunywa kinywaji huku akili yake ikifanya kazi ya ziada juu ya uwongo gani afanye ili mme wake amuelewe. Yaani mama Vanesa alikuwa ni mwanamke wa ajabu sana huku duniani kwa sababu ingawa mme wake alikuwa akimtenda vibaya kila mara lakini hakuwahi kuwa mkaidi. Siku zote amekuwa mtiifu na amekuwa akijishusha. Haya yote aliyafanya kwa sababu alitokea kwenye familia masikini. Alijifanya kipofu kwa kwa mabaya yote ambayo alikuwa akitendewa na mumewe. Lakini alikuwa na lake moyoni kwa kuwa muda huo yeye kujifanya boya ulikuwa umekwisha. Tayari alikuwa ameshachuma mali za kutosha. Alishajenga kwao na alishakuwa na nyumba mjini. Mumewe alimwamini sana na hakujua kuwa ipo siku atabadilika.



    “Mbona mama Vanesa anaonekana kama mwenye mawazo?”Kimaro aliuliza mara baada ya kuona huyo ametulia tu.



    “Hamna mimi sina mawazo yoyote tupo pamoja” Mama Vanesa alisema huku akitaka kusema kuwa anataka kuondoka. Ila aliamua kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.Sasa nitaondokaje na kilichokileta huku sijakipata. Hata hatujaweka mikakati ya kumkomesha baba Vanesa. Ilibidi amuandikie sms Lucas kumueleza nia yake ya kutaka kuondoka. Lucas na yeye alimuuliza swali lile kuwa sasa ataondokaje wakati bado hatujapanga mikakati. “Mimi naona utafute njia ulale kwa sababu tayari chumba kipo.Lucas alishauri na wakati huo huo Lucas pia alianza kuchati ana Kimaro kumwambia kuwa mama Vanesa anataka kuondoka. Kimaro akasisitiza kuwa hilo haiwezi kutokea kama yeye yupo.



    “Inaoenkana watu mmekaa kiunyonge nyonge sasa napendekeza tuhame kwa muda kuna mahali nasikia kuna nyama choma twendeni tukale.” Kimaro aliongea huku akiinuka na kumpa mkono msichana aliyekuja naye kisha kuanza kupiga hatua na kuondoka. Lucas alitamani kucheka lakini alijikausha na yeye akafanya kumpa mkono Mama Vanesaa.



    “Leo upo na vijana wenzako huna haja ya kuwa na wasiwasi. Sahau hata mawazo ya kuumizwa kimapenzi na baba Vanessa..



    “Ni sawa lakini nitamwambia nipo wapi au nimelala wapi.



    “Kwanini yeye anavyoondokaga na kulala nje ya ndoa huwa anakwambai ukweli kuwa amekwenda kukusaliti?



    “Hapana”



    “Sasa na wewe tafuta uwongo mtakatifu”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilibidi na wao waanze kupiga hatua na kuondoka eneo hilo. Walivuka tena na boti na kutoka nchi kavu. Lucas alikuwa ameenda na gari hivyo waliingia kwenye gari. Mama Vanesa licha ya kuwa alikuwa amechoshwa na tabia za mumewe lakni pia mumewe alikuwa hana uwezo wa kumrizisha kitandani. Huo ulikuwa ni ukweli ambao haupingiki kuwa mume wake hakuwahi kurizisha hasa siku hizi za karibuni ingawa kipindi kile wameanza uhusiano wao alikuwa akifurahia. Alichokifanya mama Vanesa ni kuzima simu na alimtumia sms mume wake kuwa simu yake inazima chaji. Hakumwambia kuwa hatorudi nyumbani wala nini. Waliondoka na kuenda hiyo sehemu ambayo Kimaro alisema. Mama Vanesaa aliamua kuamishia mawazo yake kwenye kujipa raha usiku huo. Mpaka muda huo alikuwa hajaelewa kama Lucas anampango wa kulala naye au ndo kama vile aivyomwambia. Na kama atalala mwenyewe basi kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo.



    Waliingia sehemu ambayo palikuwa pamechangamka sana. Ilikuwa ni sehemu ambayo ilionekana ni ya gharama maana muziki laini ulikuwa ukiimbwa live. Ingawa nyimbo zilizokuwa zikiimbiwa zilikuwa ni nyimbo za zamani lakini ziliwavutia. Haraka haraka waliagiza na kuendelea kunywa huku wakisubri nyama choma. Hapo hapakuwa ana longolongo ya kusubiri muda mrefu. Nyama zilikuja na wakaendelea kula.Wakaendelea kula na kunywa.Wote walizidi kuchangamka na wakajikuta wanatamani kucheza musiki. Lucas na Kimaro wakawa tayari wamepanga mambo hayo. Akaanza Kimaro kuamka na kumchukua huyo mwanamke aliyekuwa naye na kuanza kucheza naye. Lucas na yeye akajifanya kuwa uzalendo umemshindwa.Alimnyanya mama Vanessa na kuanza kucheza naye musiki.



    Walianza kucheza huku Kimaro alikuwa akirekodi lile tukio na kuchukua picha. Lengo ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa kumrusha roho boss. Lucas alijifanya amelewa maana alikuwa akicheza na mama Vanesa kama mtu na mpenzi wake.Burudani iliendelea mpaka mida ya usiku. Kwa kuwa Kimaro siku hiyo hakutaka kukaa sana waliamua kuondoka . Waliingia kwenye gari na kitu cha kwanza walichofanya ni kuwapeleka Lucas na Mama Vanesaa kwenye ile hotel ambayo walikuwa wao mwanzo. Tayari kamera ziliwekwa kwa ajili ya kuwarekodi. Kamera ziliwekwa kisiri mradi tu kupata picha za matukio ambayo kama boss wake akiziona basi lazima atakufa kwa presha. Lucas safari hii alibadilika alikuwa tofauti kabisa na mwanzo hakuwa mtu wa kujadiliana zaidi aliongoza mpaka pale kwenye chumba walichokodi. Vitu vya mama Vanesa vilikuwa humo na hivyo kwake yeye ilikuwa ni faida lazima mwanamke huyo angeingia humo.



    Waliingia wote na Lucas alifunga mlango kisha akajitupa kitandani. Alijifanya kuwa alikuwa akisikia vibaya na pombe zilikuwa zimemzidi hivyo alihitaji kupumzika. Mama Vanesa alisimama kama mlingoti kisha akatupa swali la kizushi.



    “Kwa hiyo Lucas unataka kulala na mke wa boss wako chumba kimoja”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Najua ni ngumu sana lakini naomba mama Vanesaa unikumbuke katika ufalme wako..Kama ikukupendeza unizawadie zawadi ya faraja usiku huu la ikikuchukiza basi nitalala hata chini kama sio chooni”



    Maneno ya Lucas yalimtoka kwa hisia sana na alijaribu kujishusha na kuonesha kuwa alikuwa akitamani penzi la mke wa boss ingawa ni kwa hiyari sio lazima. Maneno yale yalimuuma sana mama Vanesa na akaijikuta akimuonea huruma. Alikumbuka pia jinsi kijana huyo alivyokuwa akitia huruma alipokuwa akimwelezea ni kiasi gani anapata uchungu kwa kupokonywa mke wake.Roho ya huruma ilimjia na kumfanya amsogelee pale na kuanza kumpapasapapsa.



    Mwili wa Lucas ulisismka na kutamani kumrukia mwanamke huyo. Alikuwa sasa na uhakika kuwa anaweza kuonewa huruma na pengine kutimiza lengo lake ambalo kiukweli halikuwa kupata penzi la mke wa boss. Lengo kubwa hapo ilikuwa ni kupata picha ambazo zitamwezesha kumrusha boss roho. Mama Vanesa alijisogeza hadi kwenye mkoba wake akafungu na kutoa khanga Alijifunga kisha kupunguza baadhi ya nguo. Kulikwa na kibaridi kidogo lakini kwa kuwa alikuwa na uhakaki maji ya moto kwenye hotel hiyo ya kifahari sio tatizo basi aliingia bafuni kuoga. Lucas alijifikiria cha kufanya haraka haraka akapata wazo kuwa na yeye aingie bafuni. Bila aibu aliingia bafuni na kumkuta mwanamke huyo akiwa uchi wa mnyama huku tayari akiwa amejipaka sabuni sehemu za mwili wake. Mama Vanesa alishtuka kidogo kumuona na aibu ilimpanda.



    “Noamba nikusugue”Lucas alisema.



    “Unisugue nini huku bafuni bwana”Mama Vanessa aliongea kwa sauti ya kudeka.



    “Nikusugue mgongo”



    “Toka lini mgongo ukasuguliwa wewe sema unataka kunisugua nanii” Mama Vnesa aliogea huku akimpa mgongo.



    Lucas akajisogeza zaidi na kuaza kumsugua mgongo kwa kutumia dodoki lilokuwepo. Hakuishia mgongoni tu bali alimwogesha kama mtoto.Kitendo cha mama Vanesaa kuogeshwa kilimuamisha kutoka ulimwengu huu na kumpeleka ulimwengu mwingine kabisa. Alitamani kumsaliti mmewe na kuvunja amri ya kutokuzini nje ya ndoa. Lucas yeye hakuwa na hisia za haraka kwa maana ndo kwanza alichukua taulo na kuanza kumfuta futa kwenye maungio ya mwili wake.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kila hatua kila jambo alilolifanya moyoni mwake alikiri kuwa mwanamke huyo alikuwa mrembo na boss alitumia pesa zake kuwa na wasichana wazuri na warembo. Alipomaliza kumfuta sasa ilikuwa ni zamu yake na alitamani kama mwanamke huyo angemwogesha. Ni kama alikuwa akilini mwake. Maana mama Vanesaa alianza kumwagia maji na kumuogesha. Alitumia mikono yake laini kumwogesha na kumpagawisha Lucas. Lucas mawazo ya kuogeshwa yote yaliyeyuka na sasa viungo vyake vilianza kusismka. Mawazo ya ngono yalimtawala. Alijaribu kupotezea lakini ilishindikana. Kiungo kikumbwa kuliko vyote kilisimama wima na kufanya mama Vanesa kuanza kukichezea. Alimaliza kumuogesha na kuchukua taulo kumfuta maji. Ilikuwa ngumu sana kwa Lucas kuhimili mambo yote hayo. Alimsogeza mpaka ukutanai na kuanza kumpapasapapasa. Wote walikuwa na mizuka ya ajabu kwa maana mama Vanesa alishika jogoo na kutaka kumfundisha kuwika.



    Mikono ya Lucas ilikuwa inaperuzi na kufanya utalii wa ndani kwenye ikulu ya mwanamke huyo. Utamu njoo utamu kolea vinywa vyao vikakutana. Walinyonyana kwa muda mrefu na sasa Mama Vanesa alimkumbatia kwa nguvu na kufanya chuchu za matiti yake kumsuguasugua na kufaya mshawasha kuongezeka. Mama Vanessa alikuwa amezidiwa kwa maana alianza kutoa miguno ya ajabu ajabu. Lucas Manyama alilitambua hilo lakini hakutaka litokee kwa haraka. Alimnyanyua na kumkalisha kwenye sinki la choo. Alimkalisha hapo na kumpanua mapaja. Ilikuwa ni jambo la kustkuza lilomchanya mama Vanesa na kushindwa kuelewa nini kilikuwa kinafuata..



    Hakushtuka sana maana maliwato hayo yalikuwa ni masafi sana.Lucas kwa kujiamini alipiga magoti na kumpanua miguu. Alianza kunyonya kisima cha binti huyo. Kilikuwa ni kisafi hivyo hakuwa na wasiwasi. Huyo bila aibu aliamua kuzama chumvini. Yaani jambo hili huwa anamfanyia mke wake tu lakini leo aliamua kujito aufahamu na kumfanyia huyo mwanamke. Alitaka kumchanganya kimapezi ili aweze kupata kile alichokuwa akitaka. Mama Vanesa alikuwa ulimwengu mwingine ambao maji aliita mmaa..Kelele za mahaba za mwanamke huyo zilisababisha Lucas kutaka kufanya yake. Kamasi jembembe lilikuwa likitoka kwenye pa ya chini. Alijnyanua pale alipokuwa amepiga magoti na kusimama huku mama Vanesaa akiwa bado aejipanua miguu. Hawakujali kama walikuwa wapo chooni. Na wala hakuwaza hata kama kuna kitu kinachoitwa kondomu. Huyo alizama kwenye chungu hicho na kukaribishwa na joto joto kali la huba. Aliisokomeza yote na kuanza kutwanga na kupepeta.Alisukuma kwa haraka haraka lakini kutokana na mnato mnato wa nta ya asali alijikuta akimwaga machozi kwa haraka.Nguvu zilikuwa zimemwishia lakini alijikaza na kumbebea juu juu.Alipata nguvu za ghafla akamnyanyua juu juu na kumpeleka chumbani.Alimbwaga kama mzigo kisha akavuta pumzi kidogo. Bado mtarimbo ulikuwa umesimama wima hivyo uliruhusu kuendelea na machezo ambao walikuwa wameuanza. Mama Vanesa alijigeuza na kumwachia makalio.Ilionesha ni wazi alikuwa akitaka kuingiliwa kwa staili hiyo.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakati Lucas anataka kumuweka ile chuma mboga au mbuzi kagoma kwenda eeh mama Vanessa akamuwahi. Alimfanya Lucas alale chali huku kichwa kikiwa juu ya mto kisha Mama Vanesaa akataka kuonesha kuwa na yeye sio wa kupewa tu bali anaweza kutoa. Akampa mgongo akaingiza sindano kwenye tundu alafu akashika godoro ili kupunguza uzito wake.Wakati yeye anaenda juu chini Lucas alimshika kiuno juu ya makalio kidogo.Mmmmmmh jamani Mama Vanesa aliichomeka yote mpaka mwishoni kabisa mwa shina la mmea huo. Mama Vanesa alikuwa mtundu sana maana alijisugua kisha akaweka pozi na kufanya kama anamwangaaia Lucas.Alimwangalia kiwizi wizi kinyume nyume huku macho akiwa ameyarembua.Akajisugua sugua kidogo kama mtu anayetafuta sehemu yenye utamu kisha akaituliza pembe ya kushoto.



    Ufundi huu ulimfanya Lucas kupata raha za ajabu. Alikuwa akiizungusha na kuifinyia kwa ndani. Alimfanya ajinyooshe na kukakamaa mgongo kama mtu aliye pigwa na shoti ya umeme.Alitulia kimya huku vidole vya miguu yake vikicheza cheza kuashiria kuwa wazungu weupe hawakuwa mbali.Mama Vanesa aligundua kuwa anataka kumwaga maana aliinyoosha miguu yake huku akijitahidi mche wa Lucas usitoke.Akalalia tumbo kwenye mapaja yake huku miguu yake ikibaki kutazama uso wa Lucas.Akanapua miguu yake vizuri kisha akayaachia makalio juu juu kama maboga mbugani.



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog