Search This Blog

Monday, October 24, 2022

MAMA VANESSA - 4

 







    Chombezo : Mama Vanessa

    Sehemu Ya Nne (4)



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kama hiyo haitoshi Mama Vanesa akaanza kumpigapiga na makalio yake kama vile anacheza taarabu au sebeene.Eeeh utamu ukakolea Mama Vanesa akasimamia magoti na mkono kama mbuzi.Eeeh ndo inaitwa mbuzi kagoma kwenda.



    Bao la Lucas lilipotelea hewani na sasa aliamua kutoa ushirikiano.Ailinyanyua kichwa kisha akapiga magoti.Hapo kila mtu alijituma ili kumaliza raundi hizo za muda mrefuuuu.



    “iiiiisssssssssshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,yeees,ooooo,,heeeee,,hiyoooooooooooooooooooooooo hiyoooooooo” Lucas alijikuta akipiga makelele mara baadaya kuona wazungu weupe wakigonga gonga mlango wa kutokea.Na mama Vanesa hakuwa kimya sauti za huba zilimtoka yaaani “uyuyuyuyuyuyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu babeeeeeeeeeeeeee asasnteeeeeeeeeeeeeeee chaaanaaaaaaaaaa” Kisha wote walikuwa kimya maana tayari walimaliza kwa pamoja.*



    Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya.



    “Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.



    “Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”



    Wote walifurahia na kuendelea kuweka mikakati huku mama Vanesa akisisitiza na anatamani raha hizo ziendelee milele katika maisha yake. Mama Vanesa aliongea kwa hisia sana na alionesha ni jinsi gani alivyokuwa amechoshwa na penzi la baba Vanessa. Hadi muda huo mama Vanesaa alikuwa hajawasha simu. Na alikuwa hataki kufanya hivyo mpaka hapo atakapofika nyumbani.Alijua kabisa ugomvi wake utakuwa mkumbwa sana.



    “Kwa hiyo Lucas mimi kwa raha nilizozipata naomba tuendelee kuwa wapenzi wa siri. Kama tatizo ni pesa, hilo niachie mimi nitakusadia utafanikiwa ..Nihadi kama utaweza huu mpango.



    “Nitaweza mama Vanesaa lakini mwish wa hili ni nini?”



    “Utakuwa aumelipa kisasi na dawa ya kisasi ukilipe kwa muda mrefu..Tusiwe na haraka sana maana hatutafanikiwa kama baba Vanesaa akigundua kwa haraka nia yetu.



    “Sawa mama Vanesa mimi nipo tayari kwa yote ila hakikisha unanisaidia kutoka kwenye hali hii ya umasikini..



    “Hilo ondoa shaka kwa kuanzia …” alisita kidogo kisha kuvuta mkoba wake na kutoa hundi. Alimwandikia pesa ya kutosha ili aende kutoa banki. “Hii itakusaidia ulipe kodi na ningekushauri kama ungeweza hama Musoma..



    “Kwa nini nihame Musoma?



    “Kwa sababu za kiusalama maana baba Vanesa sio mtu mzuri kabisa anaweza hata kutoa uhai wako..



    “Sawa basi nitahama kwa kuwa kodi yangu na yenyewe imeisha lakini….”Lucas kabla hajamaliza alikatishwa.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Lakni nini? Sikia nakuomba usiwaze tena kuhusu ile kazi yako ambayo ulikuwa ukiifanya mwanzo. Ile itakutia matatizoni zaidi. Tena usiangaike na habari za kwenda sijui idara ya kazi ni kupoteza muda wako. Baba Vanesa ni mtu anayeheshimika sana na ni mtu muhimu sana kutokana na michango yake ingawa hayo yake ya ufirauni na uhuni huwa hayapewi uzito. Ana watu wengi sana hivyo hutoweza kumshinda.



    “Mama Vanessa nakuelewa sana na nipo tayari lakini tambua roho inaniuma sana. Kwa nini anipokonye mke wangu?.Mwanamke niliyetoka naye mbali. Mwanamke ambaye nimemsomesha na kumgharamia sana.



    “Pole sana najua unaumia lakini ngoja nikuulize kitu, kwenye maisha wewe unataka nini hasa?



    “Furaha amani upendo na maisha bora”



    “Unahisi siwezi kukupa vyote hivyo”



    “Sina uhakika”



    “Ok mimi nitakupa chochote utakacho na ata ukitaka aniwe mke wake itakuwa sema nini unahitaji ambacho ndicho hofu yako kubwa?”



    “Familia, mimi ni kijana ambaye umri umeenda nilivyooa nilitarajia yule mwanaume anizaliwe mtoto na mimi niitwe baba.



    “Jambo rahisi sana mimi nipo tayari kuuzalia mtoto ila kwa sharti moja?



    “Kunizalia mtoto!!! Sharti gani hilo?



    “Kwamba tutafanya siri na tutammbambikizia hiyo mimba baba Vanesa. Alafu baadaye mtoto akishakuwa ndo utamchukua.



    “Mmmm sikuwahi kuwaza kama unaweza kuwa tayari kwa kila jambo. Lakini mama Vanesa kwanini unataka kunifanyia yote haya?



    “Kwa sababu nakupenda”.



    Lucas ilibidi awe mpole alishindwa kuelewa huyo mwanamke kwa nini aliamua kujitoa muhanga kiasi hicho. Hakuelewa na haukamini kama mke wa boss wake anaweza kumkubali kiasi hicho na eti yupo tayari hata kumzalia mtoto.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.



    “Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.



    “Sawa haina shida safari njema.”



    Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..







    Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme.



    Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya.



    “Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.



    “Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wote walifurahia na kuendelea kuweka mikakati huku mama Vanesa akisisitiza na anatamani raha hizo ziendelee milele katika maisha yake. Mama Vanesa aliongea kwa hisia sana na alionesha ni jinsi gani alivyokuwa amechoshwa na penzi la baba Vanessa. Hadi muda huo mama Vanesaa alikuwa hajawasha simu. Na alikuwa hataki kufanya hivyo mpaka hapo atakapofika nyumbani.Alijua kabisa ugomvi wake utakuwa mkumbwa sana.



    “Kwa hiyo Lucas mimi kwa raha nilizozipata naomba tuendelee kuwa wapenzi wa siri. Kama tatizo ni pesa, hilo niachie mimi nitakusadia utafanikiwa ..Nihadi kama utaweza huu mpango.



    “Nitaweza mama Vanesaa lakini mwish wa hili ni nini?”



    “Utakuwa aumelipa kisasi na dawa ya kisasi ukilipe kwa muda mrefu..Tusiwe na haraka sana maana hatutafanikiwa kama baba Vanesaa akigundua kwa haraka nia yetu.



    “Sawa mama Vanesa mimi nipo tayari kwa yote ila hakikisha unanisaidia kutoka kwenye hali hii ya umasikini..



    “Hilo ondoa shaka kwa kuanzia …” alisita kidogo kisha kuvuta mkoba wake na kutoa hundi. Alimwandikia pesa ya kutosha ili aende kutoa banki. “Hii itakusaidia ulipe kodi na ningekushauri kama ungeweza hama Musoma..



    “Kwa nini nihame Musoma?



    “Kwa sababu za kiusalama maana baba Vanesa sio mtu mzuri kabisa anaweza hata kutoa uhai wako..



    “Sawa basi nitahama kwa kuwa kodi yangu na yenyewe imeisha lakini….”Lucas kabla hajamaliza alikatishwa.



    “Lakni nini? Sikia nakuomba usiwaze tena kuhusu ile kazi yako ambayo ulikuwa ukiifanya mwanzo. Ile itakutia matatizoni zaidi. Tena usiangaike na habari za kwenda sijui idara ya kazi ni kupoteza muda wako. Baba Vanesa ni mtu anayeheshimika sana na ni mtu muhimu sana kutokana na michango yake ingawa hayo yake ya ufirauni na uhuni huwa hayapewi uzito. Ana watu wengi sana hivyo hutoweza kumshinda.



    “Mama Vanessa nakuelewa sana na nipo tayari lakini tambua roho inaniuma sana. Kwa nini anipokonye mke wangu?.Mwanamke niliyetoka naye mbali. Mwanamke ambaye nimemsomesha na kumgharamia sana.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Pole sana najua unaumia lakini ngoja nikuulize kitu, kwenye maisha wewe unataka nini hasa?



    “Furaha amani upendo na maisha bora”



    “Unahisi siwezi kukupa vyote hivyo”



    “Sina uhakika”



    “Ok mimi nitakupa chochote utakacho na ata ukitaka aniwe mke wake itakuwa sema nini unahitaji ambacho ndicho hofu yako kubwa?”



    “Familia, mimi ni kijana ambaye umri umeenda nilivyooa nilitarajia yule mwanaume anizaliwe mtoto na mimi niitwe baba.



    “Jambo rahisi sana mimi nipo tayari kuuzalia mtoto ila kwa sharti moja?



    “Kunizalia mtoto!!! Sharti gani hilo?



    “Kwamba tutafanya siri na tutammbambikizia hiyo mimba baba Vanesa. Alafu baadaye mtoto akishakuwa ndo utamchukua.



    “Mmmm sikuwahi kuwaza kama unaweza kuwa tayari kwa kila jambo. Lakini mama Vanesa kwanini unataka kunifanyia yote haya?



    “Kwa sababu nakupenda”.



    Lucas ilibidi awe mpole alishindwa kuelewa huyo mwanamke kwa nini aliamua kujitoa muhanga kiasi hicho. Hakuelewa na haukamini kama mke wa boss wake anaweza kumkubali kiasi hicho na eti yupo tayari hata kumzalia mtoto.



    “Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.



    “Sawa haina shida safari njema.”



    Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..

    Alirudi kinyumenyume na kuamua kuondoka zake. Mishale ya hatari ilipiga kichwani mwake na kuhisi kama wataonana huko inaweza kuleta shida. Alihisi kuwa ataulizwa maswali ambayo kwa kweli atashindwa kuyajibu na kufanya mambo kuzidi kuwa magumu. Alirudi kisha kupanda gari na kuanza safari ya kwenda Musoma. Baada ya kupanda gari aliamua kuwasha simu ili kuona sms zilizoingia na jinsi ya kujipanga kama atakuta za mme wake. Akiwa njiani kuna sms iliingia kupitia namba ngeni.



    “Najua hunijui lakini mimi nakujua. Kama mwanamke mwenzangu hili linaniuma sana maana si kwa umalaya huu. Ni hivi mumeo yupo Bunda na anauhusiano wakimapenzi na binamu yako Lisa yule ambaye anasimamia biashara zenu huku Bunda. Ingia WhatasApp nimekutumia ushaihidi wa picha usije sema nataka kuivunja ndoa yako.” Ilikuwa ni sms iliyotumwa na mtu ambaye hakujitambulisha ni nani. Mama Vannesa alirudia kuisoma ile sms zaidi ya mara tatu kisha akawasha data ili kuona hizo picha. Ni kweli mme wake alikuwa yupo na ndugu yake huyo. “Jamani Lisa mbona ataniua kwa presha” mama vanesaa aliropoka mara baada ya kuona moja ya pozi ambalo lilionesha kuwa kuna kitu kilikuwa kikiendelea. Machozi yalimlengalenga na alijuta kuolewa na mwanaume huyo. Roho ilimuuma sana na alishindwa kuelewa baba Vanesa alikuwa na pepo gani.



    Ingawa picha hizo hazikuonesha moja kwa moja kuwa kulikuwa na ushaidi kuwa watu hao ni wapenzi lakini kilichomuuma ni binamu yake kumdharaua. Anakumbuka alishamuonya kuwa kamwe hasiweke mazoea na shemeji yake lakini yeye amaemua kumgeuka. Atakipata anachokitafuta na kumuoneshea kuwa mimi huwa sijaribiwi safari yake ya kurudi kijijini imeiva. Nitamrudisha ndio nitamrudisha hata kama ndugu zangu watanichukia ila hawezi kuwa na uhusiano na mme wangu.” Mama Vanesa aliwaza vitu vingi sana huku akijiuliza kwa nini mambo hayo yanamtokea wakati huu. Alijiuliza pia kwanini mme wake hakumtafuta jana na kutaka kujua alilala wapi. Aliona ishara zote kuwa kwa sasa ndoa yao inakwenda kuharibika.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Alifanikiwa kufika Musoma salama na moja kwa moja alienda nyumbani kwake. Alivunguliwa gati na mlinzi. Alitaka kuuliza kama mumewe mara ya mwisho kupita kwenye geti hilo ilikuwa saa ngapi lakini roho yake ilisita na kuona kama jambo hilo halijakaa vizuri na sio vizuri. Aiingia ndani na alimkuta dada wa kazi hapo sebuleni. Dada huyo kwa heshima alimpokea mkopa na kuupeleka chumbani.Baadaye alimwita na kumuuliza maswali mawili matatu ili kujua kama kweli mme wake alilala hapo au la.



    “Hapana dada hakulala maana jana wewe ulivyoondoka muda mchache tu na yeye aliondoka. Na mimi kwa akili yangu nilijua labda amekufuata.”



    “Sawa enedelea na shughuli zako na akija akikuuliza kuwa nimelala hapa mwamabie ndio.”



    Mama Vanessa alaiingia ndani ya kujimwaga kitandani. Mawazo ju y mustakabali wan do yake sasa yalimtawala. Roh ilikuwa ikuuuma sana. Baba Vnaesa afaney umala wake sehemu zzoet sio kwa ndugu zangu huku ni kunizaliisha na kunishushia thamani. Hivi kweli anaweza kutembea na ndugu zangu. Yaani hili pepeo la umaaya siji ameliapa wapi. Mama Vvanesa aaliendelea kutingwa na mawazo, Mawazo yaliyofanya kitanda kuonekana kichungu. Aliamka na kwenda bafuni kuoga. Airudi akajilaza. Alipitiwa na kausingizi kausingizi kilichochagizwa na mlindikano wa uchovu wa raha alizokuwa akipewa usiku kucha wa jana.****



    Lucas Manyama kijana ambaye alikuwa na chuki ya kulipa kisasi baada ya kuachana na mama Vanesa alimtafuta rafiki yake Kimaro. Kimaro alitakiwa kufika eneo lile la hotel kabla muda wa kurudisha chumba haujafika. Lengo lilikuwa ni kuweka mikakati mipya na kufanya tathimini kama mipango yaliyopanga ilikuwa imefanikiwa. Lucas alikuwa mweye furaha sana maana kazi aliyotumwa alifanikiwa. Alifanikiwa kwa sababu zile kamera zilimuonesha akiwa na mama Vanesa chumbani. Si kuwa naye tu bali alionesha jinsi walivyokuwa wakishiriki tendo la ndoa. Kimaro macho yalimtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Hakuamini kile alichokiona hasa ule wakati Lucas alipoamua kufanya mapenzi na mama Vanesa bafuni.



    “Aisee brother wewe ni fundi sana aisee umemkula bafuni tena umemuweka pozi kama anakunya”



    Picha hiyo mama Vanessa amekaa kwenye sinki la choo huku Lucas akifanya yake ilimshangaza sana. Tayari walishapata walichokuwa wakikitafuta.



    “Nini sasa kinafuata maana kuna vitu mama Vanesaa amenishauri hivyo lazima tushauriane kabla ya kufikia uamuzi wowote.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Amekushauri nini Kimaro aliuliza kwa utulivu.



    “Kwanza nitafute chumba Mwanza nihame Musoma. Pili niachane na kesi yangu maana sitoshinda. Tatu yeye yupo tayari kunisapoti kwa kila jambo hasa kifedha. Ila la msingi lilinifurahsha yupo tayari kunizalia mtoto.”



    “Wewe utakuwa umechanganywa na mapenzi. Yaani unaamini huyo mwanamke kweli anaweza kukusaidia ukalipa kisasi na kuwa mtu bora huku duniani?.”



    “Anaweza kufanya kwa ajili ya kisasi na mapenzi. Nilichogundua ni kuwa yule mwanamke boss alikuwa hamsugui vizuri. Yaani jana alikuwa na nyege nyigi sana kwa kifupi alikuwa hapati raha ya mapenzi na alikuwa harizishwi kitandani..



    “Sasa kaka Lucas hizi pointi zako bwana.. Hivi kama wewe ulikuwa unamrizisha mke wako angekuacha n kumfauta boss wako?



    “Acha kufanya mambo yawe magumu. Ipo hivi twende tukatafute chumba hapa Mwanza. Mimi nitaamisha vitu vyangu maana mama Vanesa ameahidi kunisapoti kwa hili.Pili hizi picha tuzihifadhi kama tukiona wanazingia basi tutatumia ile njia yako ya kumchafuta na ikibidi tutatumia hizi picha kupata fedha. Mimi naamini kama tukizipeleka kwa waandishi wa habari kwisha habari yake.



    “Hayo ndo maneno sasa. Chumba nitakutafutia na hata kazi ya kujishikiza. Pia nakupa miezi mitatu tu wewe na mama Vanesa mkishindwa kufanya hicho mlichodanganyana basi mimi nitafanya yangu. Sitokuwa na huruma kwenye hili kwa maana nimetumia pia fedha zangu.”



    “Usiwe na hofu maisha ni mipango.Nakuamaini wewe ni rafiki yangu wa muda mrefu najua utatunza siri hasa za hizi picha maaa hizi zikivuja sio aibu kwa mama Vanesa tu bali hata kwangu”.



    “Ondoa shaka kwa hilo” Kiamaro aaljibu na kunyanyua simu.



    “Vipi bwana Lugamba nahitaji rooma moja nzuri ya self container”



    “Ipo ya vyumba viwili chumba na sebule ni nzuri sana kama inakufaa uje uangalie”



    “Sawa tunakuja hapo”..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lucas na Kimaro waliongozana kwenda kuangalia nyumba hiyo. Walipelekwa na dalali ambaye alikuw akaijuana na bwana Kimaro. Wakati wanaingia kwenye nyumba hiyo walishangaa kumkuta Juliana akiwa anafua kwenye uwa wa nyumba hiyo…





    Walishangaa sana maana hawakutarajia kumkuta binti huyo kwenye hiyo nyumba. Kwanza Kimaro alikuwa akijua kuwa binti huyo alikuwa akikaa na pacha wake. Walianza kusalimiana huku kila mmoja akionesha ni jinsi gani ameshtushwa. Wakati wakiendelea kusalimia kuna mwanaume aliingia ghafla.



    “Vipi mke wangu, naona umepata ugeni?”



    “Ndio mme wangu naona wakejuka na dalali ingawa huyu mmoja ni shemeji yangu mchumba wake na Julieth”



    “Aisee karibuni sana vyumba hapa vipo kwenye hali nzuri”



    “Sawa tunaomba tuvione”.



    Juliana aliacha kufua na kuingia ndani kuchukua funguo. Alitoka na kuwakabidhi. Kutokana na mazunguzo hayo ni dhairi kuwa huyo ndio alikuwa mchumba wa Juliana. Kila mtu alikuwa na maswali mengi kichwani lakini waliachana nayo na kuangalia chumba. Chumba kilikuwa kizuri sana na hata Lucas alikipenda lakini swali je ataweza kuishi karibu na Juliana hili hali binti huyo walishawahi kushiriki tendo la ndoa. Walipelekwa sehemu mbali mbali lakini bado nyumba hizi hazikuwa kwenye hali nzuri kama ile ya mwanzo.



    “Kaka nyie ni watu wenye hadhi yenu kuliko kuangaika mimi nashauri mchukue chumba kule pa kwanza” Dalali alipendekeza.



    “Ujue mimi napenda kukaa nyumba ambayo baba au mama mwenye nyumba hakai hapo”Lucas alionesha wasiwasi.



    “Ile haina shida kabisa yule aliyeingia japo ni kijana mdogo ndo mwenye nyumba. Yule hakai pale kabisa yeye ana nyumba yake na familia yake. Yule dada ni mchepuko wake tu ndo amempa chumba kimoja. Siunajua mambo ya mjini. Lakini Yule ni mfanyabiashara na wala hata hakai sana Tanzania muda mwingi yupo Kenya.”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ufafanuzi huo kidogo ulimwingia Kimaro amabye hofu yake ilikuwa je Kimaro ataishi vipi nyumba moja na Juliana hili hali tayari yeye ana mipango yake na mama Vanesa.



    “Basi tutakutafuta baadaye tulipe na upate chako” Kimaro aliongea na kumruhsu dalali aaendelee na shughuli zake. Hakumuacha hivi hivi alitoa noti ya elfu 10 na kumkabidhi. Kimaro na Lucas waliondoka na kwenda mahali ili waweze kuchambua kama wachukue kile chumba ua la.



    Kimaro alaimshauri Lucas kuwa wachukue tu hasiwe na hofu na hayo mambo mengine yatajiseti tu yenyewe. Lucas alimwelezea hofu yake maana wanawake wanakuwa na wivu sana. Ilibidi Kimaro anyanyue simu na kumpigia Julaina shemu wake na kumuuliza kama yule ni mme wake. Juliana alaikiri hilo na kusema amekuwa naye kwa sababu za kimaslai na anajua kama ana mke na watoto. Juliana alitumia nafasi hiyo kumuuliza kwa nini walikuwa wakitafuta chumba? Kimaro ilibidi amdanganye kuwa kuna mtu alikuwa akitaka kuamia hapo. Basi Kimaro kwa kuyapima maneno ya huyo binti aliona kuwa hapo pata leta shida maana binti uyo na yeye alikuwa amemepnda sana Lucas.



    “Mpango upo hivi ile room tusichukue badala yake tuendelee kutafuta taratibu. Naamini tutapata.”Kimaro alipendekeza. Lucas alitingisha kichwa kukubaliana na ukweli huo. Maana hata yeye alijua ni jinsi gani itamwia ngumu kutimiza malengo yake. Mara simu ya Kimro iliit ana kuangali alikuwa ni yule dalali. Dalali kwa mbwemmbe alimwambia amepeta chumba kizuri zaidi yaani hicho hakina haja ya kujifikiria mara mbili mbli kinafaa kabisa. Basi iliwalazimu kwenda kukiangalia. Kweli walijirizisha kuwa kilikuwa kinakidhi vigezo vyao. Walilipa na sasa Lucas alikuwa tayari kwa kuamia.Ilimlazimu Lucas kurudi Musoma ambapo sasa alirudi ili kuweka mambo sawa ikiwa ni pamoja na kuchukua vitu vyake.



    Kwa msaada wa rafiki yake huyo aliweza kupata gari ambalo lilikuwa linaenda Mwanza. Aliamisha vitu vayke vyote akawa amehama rasmi Musoma. Alimweleza mama Vanesaa ambaye na yeye alioneshwa kufurahishwa sana na kilichojiri hivyo na alimtuma fedha zingine ili aweze kufanikisha jambo hilo kwa urahisi. Kweli maisha yanabadilika na sasa Lucas alikuwa hawezi tena kazi ambayo alikuwa amefukuzwa. Wala alikuwa hawazi tena kuhusu mkewe zaidi ni kulipa kisasi. Aliendelea na maisha na wala hakuwa na hofu yoyote. Kila siku alikuwa akiwasiliana na mama Vanessa na mwanamke huyo aliendelea kumsihi kuwa hasiwe na wasiwasi kwa sababu yeye yupo na atamsapoti kwa hali na mali. Maisha yakasonga na mama Vanessa alimwibia pesa mume wake na kumkabidhi bwana Lucas. Lucas hakuamini macho yake maana alipewa fedha na pia alipewa chaneli za kufungua biashara ambayo itamnufaisha kwa muda mfupi.



    Mambo yalipoanza kuchanganya ndipo kule kazini walimpigia simu na kumwambia kuwa boss ameamua kumsamehe na anatakiwa kurudi kazini. Boss wake alipata tabu sana na ilimuumiza kisaikolojia maana pamoja na ubaya wote aliomfanyia lakini Lucas hakuenda hata idara ya kazi. Wala hakuwahi kumsumbua na wala hakuwahi kumtafuta mke wake. Kuna roho ya ubinadamu ilimrudia na kuona kuwa ipo haja ya kumpumbaza tean bwana Lucas. Lucas alifikiria sana kwa nini boss wake anataka kumrudisha kazini. Alijiuliza au amegundu akuwa ana uhusano wa siri kwa siri. Ilibidi jambo hilo amshirikishe bwana Kimaro na kuona atamshauri nini. Bwana Kimaro alicheka sana na alimwambia kuwa huo ni mtego hivyo kamwe hasirudi nyuma. Kimaro alimwambia kuwa huenda boss wake ameshagundua kuwa anatoka na mke wake hivyo ikawa njia moja ya kutaka kummaliza kabisa.



    Lucas akaona haitoshi ikamlazimu kumpigia mama Vanessa na kumuomba ushauri juu ya yeye kurudishwa kazini. Mama Vanesaa alimuuliza maswali magumu kabla ya ya kumshauri. Kwanza alimuuliza huo mshahara ulikuwa ukimwingizia shilingi nagapi na hiyo biashara anayofanya sasa hivi inamwingizia shilingi ngapi na kama akiongeza juhudi itamwingizia shillingi ngapi. Mama Vanesa akamwambia wikiend hiyo aende Mwanza ili waweze kujadili jambo hilo kwa umakini lakini kwa kifupi hasirudi nyuma kamwe. Wakati akiongea na mama Vaness kuna simu ilikuwa ikipiga kwenye simu yake. Alipokata alikuta missed call ya Mishel mke wake wa ndoa. Hajakaa sawa mkewe alikuwa akipiga tena simu na kumfanya akunje uso kwa hasira…-



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Aliiangalia ile simu kwa hasira sana na aliinyanyua ili aweze kuipokea. Kwa bahati mbaya nguvu ziilimwishia na kuhisi kabisa anaweza kupewa habari mbaya ambazo zitamchanganya kabisa siku hiyo. Lucas aliona kabisa hasira na kinyongo alichokuwa nacho juu ya Mishel. Kuna sms iliingia.



    “Najua ukiona simu yangu unaumia sana lakini jua maisha ni mau kuna kipindi huwa yananyauka na kuna kipindi huwa yanachanua.Nimekukumbuka mume wangu.”



    “Huyu mwanamke sijui ni jinni?” Lucas aliwaza.Alitupa simu pembeni na kushika kichwa. Aliwaza sana ni nini kinachomsibu huyo mwanamke. Alianza kurudisha kumbukumbu kipindi cha nyuma. Taswira ya picha za kumbukumbu za wakati uliopita juu ya mwanamke huyo zilimjia. Alikumbuka siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanamke huyo. Ilikuwa ni zaidi ya miaka saba imepita. Kipindi hicho huyo binti alikuwa mdogo sana kwanza ndo alikuwa form three.





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog