Search This Blog

Monday, October 24, 2022

SHAROBARO WA TANDALE - 1

 







    IMEANDIKWA NA : ZULFA HUSSEIN



    *********************************************************************************



    Chombezo : Sharobaro Wa Tandale

    Sehemu Ya Kwanza (1)



    Jumapili moja baada ya kula chakula cha usiku, baba mzazi wa kijana Abdallah ambaye wengi walipenda kukatisha jina lake na kumwita Dullah , Mzee Reli ya Uhuru akiwa ameketi sebuleni na kijana wake huyo aliyehitimu kidato cha nne, alimweleza kwamba kwa wakati ule hakuwa na fedha za kuweza kumuendeleza kielimu hivyo ajichanganye mjini kujitafutia maisha.

    Wakati mzee huyo aliyepewa jina la utani la Reli ya Uhuru kufuatia kuwa mmoja wa watu waliojenga reli hiyo, akimweleza hivyo, mkewe alikuwa akimsikiliza ambapo alimuunga mkono mumewe kwani hali yao kiuchumi aliielewa vizuri.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Dullah , ni kweli kabisa kwa hivi sasa baba yako hana fedha na unaona jinsi familia yetu ilivyo kubwa na wote tunamtegemea yeye, mimi nakubaliana na ushauri wake wa wewe kujichanganya mjini kufanya vibarua ambavyo vitakuwezesha kupata riziki yako na yetu,” mama huyo alimwambia kijana wake.

    Dullah kijana ambaye tangu udogo wake ni handsome boy kiasi cha kuwavutia wasichana wengi wakiwemo watu wazima, aliposikia kauli hiyo ya wazazi wake aliinamisha kichwa na kuanza kufikiria hatima ya maisha yake ingekuwaje.

    “Hivi baba, huwezi kuuza lile shamba la Kimanzichana ili fedha zitakazopatikana niweze kuendelea na masomo nitimize ndoto zangu za kuwa mhasibu?” Dullah alimwuliza baba yake.

    Baba yake alimfahamisha kwamba baada ya mambo yake kuanza kumwendea kombo, aliuza nusu ya shamba hilo na nusu iliyobaki asingeweza kuiuza kwani alipanga ije iwasaidie wadogo zake ambao walikuwa wadogo.

    Kwa kuwa Dullah alikuwa akielewa ukubwa wa familia yao na jinsi mzazi wake alivyokuwa akihangaika kuitunza, akawa hana jinsi zaidi ya kuingia mitaani kusaka kibarua chochote ambacho kingemuwezesha kupata fedha.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Oke baba na mama, kwa kuwa naielewa hali halisi ya maisha yetu hapa nyumbani, nitazungumza na fundi Yassin ili niongozane naye kwenye shughuli zake za ujenzi,” Dullah aliwaambia wazazi wake.

    Alipotoa kauli hiyo, baba yake licha ya kujiuliza moyoni kama kweli Dullah aliyemlea kimayai angeweza kufanya kazi ya uwashi lakini hakutaka kumuonesha wasiwasi wake, akamwambia sawa.

    Baada ya mazungumzo hayo, Dullah aliwaaga wazazi wake na kwenda kwenye chumba alichokuwa akilala na wadogo zake wawili kilichokuwa uani, akawa anatafakari ugumu wa maisha uliokuwa ukiwakabili.

    Chumbani kwa wazazi wake, baba na mama yake walimjadili sana kijana wao kama angeweza kufanya kazi ya ujenzi lakini baadaye walikubaliana wasubiri kuona matokeo.

    Alfajiri na mapema Dullah alikwenda kumgongea fundi Yassin ambaye alikuwa fundi washi aliyekuwa akisifika sana kwa umahiri wake wa kujenga nyumba maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar.

    “Niambie Dullah , naona leo umenivamia alfajiri yote hii, umekwama nini?” fundi Yassin aliyekuwa akimpa fedha Dullah siku moja moja alipokwama alimwuliza.

    “Ukiacha kukwama, leo nataka tuongozane huko site unakokwenda kujenga japo nikakusaidie kazi yoyote maana mtoto wa kiume kumtegemea baba kila kitu haipendezi,” Dullah alimwambia fundi Yassin.

    “Yaani Dullah na huo usharobaro wako unataka kwenda kufanya kazi ya kukoroga zege au kuranda mbao, utaweza kweli?” fundi Yassin alimwuliza.

    Kufuatia kuambiwa hivyo, kijana huyo mweupe, mrefu wa wastani na mwenye vidimponsi vinavyoonekana kila akiongea au kucheka alimjibu fundi Yassin kwamba kwa kuwa alikuwa mtoto wa kiume alikuwa tayari kufanya kazi yoyote.

    Licha ya Dullah kupewa ushauri wa kutafuta kazi yoyote ya kufanya, aliumia sana kufuatia bro mmoja ambaye ni mambo safi kumchukua demu wake Careen kwa vile hakuwa na hela.

    Msichana huyo aliyeingizwa kwenye ulimwengu wa kimapenzi na Dullah , alikuwa akimpenda sana Dullah lakini alishindwa kudumu naye kwa sababu kila alipohitaji sapoti ya fedha kutoka kwa mpenzi wake huyo ilikuwa zii.

    Kila Dullah alipokuwa akikumbuka tukio hilo la kuporwa demu wake na yule bro anayemiliki kampuni ya kutoa mizigo Bandarini aliumia sana, kwa sehemu ishu hiyo ilimfanya akubaliane na ushauri wa baba yake wa kutafuta kibarua chochote cha kufanya.

    “Ila Dullah kwa jinsi ninavyokuona sijui kama utaweza kufanya kazi ngumu, kwa kuwa umeamua basi vizuri jiandae ili kesho twende pamoja,” fundi Yassin alimwambia Dullah aliyekuwa akivaa miwani sababu ya kusumbuliwa na macho kwa mbali.

    “Fundi Yassin, haina haja ya kusubiri kesho, hivi unavyoniona nipo full, labda niende nikachukue nguo za kufanyia kazi, nimechoka kukaa nyumbani,” Dullah alimwambia fundi Yassin aliyeishia kucheka.

    “Haya bwana, nenda kachukue nguo hizo ili nami nijiandae kisha tuanze safari, ukija nitakwambia tunakokwenda,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

    Baada ya kuambiwa hivyo, kijana huyo wa Kisukuma alikwenda kwao akachukuwa shati kuukuu, suruali ya zamani na raba ambazo hakuwa akizivaa kwa sababu zilianza kuchoka akaziweka kwenye begi.

    Wakati Dullah ambaye nimeshakwambia ni handsome boy haswa akijiandaa, nyumbani kwa fundi Yassin mkewe alimwuliza alikuwa akizungumza na nani.

    Fundi Yassin alimsimulia kila kitu mkewe, ambaye hakuamini kama kweli Dullah aliyekuwa akimfahamu kwa usmati wake angeweza kufanya kazi ya ujenzi aliyokuwa akiifanya mumewe.

    “Yaani baba Tatu, Dullah huyu sharobaro mvaa miwani ataweza kweli kubeba zege, matofali, kuchota maji au kubeba mbao?” mkewe Yassin alimwuliza mumewe.

    “Nami nimemuuliza hivyo kaniambia ataweza, wewe ngoja niende naye halafu tukirudi ndiyo nitakueleza kitakachojiri huko,” fundi Yassin alimwambia mkewe, wakacheka.

    Wakati fundi Yassin akizungumza na mkewe, nyumbani kwa akina Dullah , baba yake alipomuona kijana wake kabeba begi muda ule wa alfajiri alihisi huenda alikuwa akitoroka kufuatia kumwambia aanze kujitegemea.

    “Dullah mbona na begi alfajiri yote hii, unakwenda wapi?” mzee huyo alimwuliza kijana wake.

    Baada mama Dullah kuchangamshwa damu asubuhi ile alimshukuru mumewe, akiwa anachekacheka aliamka na kwenda kuandaa maji ya kuoga, wakaoga pamoja kisha alimwandali kifungua kinywa.

    Baba Dullah alipomaliza kunywa chai aliondoka kuelekea kwenye pilika za kutafuta riziki, akiwa njiani akawa anamtafakari Dullah aliyemweleza anakwenda kumsaidia kazi fundi Yassim.

    “Kama ataweza nitasema kweli amekuwa lakini kwa jinsi ninavyomjua atakapotoka huko ataniambia hatakwenda tena,” mzee huyo aliwaza.

    Dullah akiwa na begi lake alipofika nyumbani kwa fundi Yassin, alimkuta akiwa anamsubiri. Hawakupoteza muda, fundi huyo aliamuga mkewe kisha alichukuwa zana zake za kazi na kuanza safari ya kwenda site.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kuwa bado ilikuwa ni alfajiri walipofika kituo cha daladala lilifika DCM la Mwenge wakapanda, kwa bahati walikaa siti moja.

    Wakiwa wanaendelea na safari fundi Yassin ambaye mpaka muda huo alikuwa aamini kama kweli Dullah aliyekuwa akimfahamu vizuri kwa kupenda mambo ya usharobaro aliamua kwenda kufanya kazi za ujenzi.

    “Dullah hivi ni kweli umeamua kwa dhati kufanya kazi ngumu ninazofanya?” fundi Yassin alimwuliza .

    “Fundi bwana! Sasa kama wewe unaweza mimi nitashindwaje? Mimi mtoto wa kiume bro!” Dullah alimwambia fundi Yassin aliyeishia kucheka.

    Katika daladala walilopanda, kiti cha kushoto alikaa kaka mmoja upande wa dirishani na kufuatia demu mmoja mkali ambaye alfajiri hiyo alikuwa akiangalia mambo ya dunia katika simu yake ya kisasa ‘Smartphone.’

    Wakati msichana huyo akiwa bize na simu yake, Dullah alikuwa akimtupia macho kwa chati na kumsifia moyoni kwamba kweli Mungu alijua kumuumba na kuishia kusema kama alikuwa ana boyfriend wake basi alikuwa akila vinono.

    Hata hivyo, Dullah ambaye alikuwa akiwapenda watoto wazuri alipanga kama demu huyo atashukia Mwenge amuombe namba yake, alipanga kujaribu tu zali la mentali.

    DCM walilopanda lilipofika Mwananyamala Hospitali, Yule dada mkali aliinuka moyo wa Dullah ulipiga pa kwani alijua mahesabu yake ya kuomba namba yalifeli, akajisemea moyoni; kudadeki.’

    Wakati Dullah akiwa katika wakati huo mgumu, alimuona Yule kaka aliyekaa upande dirishani na yule msichana mkali akasogea dirishani, moyo wa Dullah ukajaa furaha.

    “Vipi Dullah naona upo mbali, unawaza kazi za huko site nini?” fundi Yassin alimshtua Dullah ambaye mawazo yake yalikuwa kwa Yule demu.

    “Hapana fundi, mambo mengi tu kichwani si unajua hali ilivyo ngumu siku hizi!” Dullah alimwambia fundi Yassin.

    Kwa kuwa muda huo wa hakukuwa na jamu, kufumba na kufumbua walijikuta wamefika Makumbusho abiria wakaanza kuteremka kutoka garini, kwenye siti ya akina Dullah alianza yeye, upande wa kushoto Yule demu,

    Kufuatia zana za kazi alizokuwa nazo, fundi Yassin ilibidi watu wote washuke ili asiwabughudhi, Dullah na Yule msichana wakiwa chini, kijana huyo handsome boy aliamua kumsalimia na kumsifia kwa jinsi alivyojaaliwa uzuri na alivyopendeza.

    Kama ambavyo nimekuwa nisema mara kwa mara kwamba kama kuna mtu hapa duniani akisifiwa huwa hafurahi ujue ana matatizo, Yule dada alimshukuru Dullah na kuachia tabasamu pana.



    “Huyu kaka nilikuwa sijamwangalia vizuri, kumbe ni handsome boy namna hii, yaani alivyotabasamu dimponsi zake zimempendeza,” yule dada akajisemea moyoni.

    Kama vile Dullah alikuwa akijua alichokuwa akikiwaza yule mrembo, akajisemea moyoni kwamba ‘kama unampata mtoto mzuri kama huyu… mbona dunia utaiona tamu!’

    Kwa kuwa Dullah ambaye kichwa chake kushika vitu kilikuwa kama kompyupa, fasta alimuomba yule dada amtajie namba yake ya simu, kwa kuwa Dullah hakuwa na simu yule dada akamwuliza kama angeweza kuikariri.

    “Hiyo mbona kazi ndogo sana, kichwa changu kwa kukariri ndiyo chenyewe,” Dullaha akamwambi.

    Haya, sifuri, Sita ,tano,nane, arobaini na mbili, arobaini…..” mtoto mzuri akataja. Dullah aliikariri nyema namba hiyo, alipomuuliza jina akamwambia akimpigia au kumtumia ujumbe atamtajia.

    Wakati Dullah anamaliza kuzungumza na yule binti mkali, fundi Yassin aliwasikia akaishia kutabasamu na kujisemea moyoni kwamba; “Hawa vijana wa siku hizi wana mambo mengi, kwa muda mfupi tayari amezoeana na mrembo!”

    Yule msichana akiwa kama alikuwa akisubiri kuambiwa jambo na Dullah, fundi Yassin akamwita Dullah na kumwambia auchukue ule mfuko uliokuwa na chepe na vifaa vingine vya kujengea.

    Kuhofia kupata aibu ya kuonekana na yule mrembo kama alikuwa fundi washi licha ya kuonekana kijana wa kisasa, Dullah alijifanya hakumsikia na kumuaga yule mrembo.

    “Poa, tutawasiliana si unajua mida ya kazi hii!” yule msichana ambaye hakuelewa chochote baina ya Dullah na fundi Yassin alimwambia Dullah ambaye naye alimjibu poa.

    “Ila wewe dogo unatisha kama moto wa gesi, mara hii umempata mrembo, kweli sikuwezi,” fundi Yassin alimwambia Dullah.

    “Kawaida tu bro, sisi vijana unapomuona mtoto mzuri kama yule siyo vyema kumuacha bila kumsalimia na kumsifia, si hata wewe umemuona alivyoumbika?” Dullah alimwambia fundi Yassin na kutabasamu.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Fundi Yassin ambaye licha ya kwamba umri wake ulikwenda lakini naye alikuwa mzoefu wa mambo ya mjini, akaishia kucheka na kusema haya bwana!

    Maongezi hayo yalijiri wakati fundi Yassin na Dullah wakisubiri basi la kwenda Tegeta Kibaoni, haukupita muda mrefu lilifika wakapanda ambapo fundi aliuweka mfuko wa zana zake za kazi nyuma ya kiti cha dereva, kama ilivyokuwa awali pia waliketi siti moja.

    Wakati safari ikiendelea mtaalam Dullah ambaye kichwa chake kilikuwa kama kompyuta akaanza kuzitaja zile namba za yule mrembo kimoyomoyo, sifuri, Sita ,tano,nane, arobaini na mbili, arobaini ishirini na….hahaha” akaishia kutabasamu kwani alikuwa ana uhakika hakukosea.

    “Mwenzangu vipi mbona unatabasamu?” fundi Yassin alimwuliza Dullah.

    “Kanifurahisha huyo kondakta kwa staili yake ya Kata K, yaani ukivuta kidogo hiyo suruali atabaki na boksa tu!” Dullah alimchomekea fundi Yassin wakati si kweli alifurahishwa na jambo hilo.

    “Huo si ndiyo uvaaji wenu vijana wa karne hii, huwa nashindwa kuelewa, hivi kijana huwezi kuvaa vizuri ukaonekana wa kileo mpaka uoneshe nguo yako ya ndani?” fundi Yassin alimwuliza Dullah.

    Dullah aliishia kucheka na kumwambia hayo ni mambo ya vijana japo yeye hakuwa na tabia hiyo, ambapo fundi Yassin alikubaliana na kusema hata yeye (Dullah) alikuwa na ugonjwa wake.

    “Mh fundi, ugonjwa gani?” Dullah alimwuliza fundi Yassin huku akicheka.



    Baada ya Dullah kubaini watu walimshangaa alivyoangua kicheko akamwambia fundi Yassin kwamba wayaache mazungumzo yale kwanza hadi watakapofika site.

    “Haya tubadili mada, lakini dogo leo nimekuvulia kofia kwa jinsi ulivyomzoea yule mrembo,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

    “Fundi bwana, mbona mambo ya kawaida tu kwa sisi vijana!” Dullah alimwambia fundi wake, wakacheka.

    Basi walilopanda lilipofika kituo cha Africana Mbezi waliteremka kama abiria sita wakapanda wengine wakiwemo wasichana wawili wazuri naliovaa kwa mpangilio.

    Mmoja wa wasichana hao alikaa siti iliyokuwa mbele ya akina Dullah na mwingine ambaye alikuwa mweupe, mwenye shepu ya kimisi alikaa siti ya kushoto iliyokaribiana na Dullah .

    “Dogo umeyaona mambo yako?” fundi Yassin alimtania Dullah .

    “He bwana siyo mchezo, yaani nimeamiani mida hii ya asubuhi kwenye madaladala kunakuwa na watoto wakali aisee!” Dullah alimwambia fundi Yassin kwa sauti ya chini, wakacheka.

    Wakati akitoa kauli hiyo kumbe yule msichana aliyekuwa amekaa siti ya kushoto alimsikia Dullah , akaachia tabasamu lililoona na kijana huyo mwenye dimponsi.

    Dullah alimbinya pajani fundi Yassin na kumweleza yule msichana aliwasikia, ambapo fundi huyo akacheka na kumsifia kwamba kweli alikuwa ma masikio shapu!

    Basi lilipofika njia panda ya kwenda Bahari Beach, wale wasichana walishuka kitendoa mbacho hakikumpendeza Dullah akaishia kusikitika moyoni.

    “Da! Watoto wazuri kumbe wanashukia hapa,” Dullah aliwaza lakini hakuweza kuwazuia na kubaki kusonya ndani kwa ndani.

    Kama vile fundi Yassin alijua Dullah hakupenda wale watoto wazuri washuke, akamtania kwamba licha ya kujifanya mjanja hakuweza hata kuwapa hi wale warembo.

    “Yaani bro wewe acha tu kama umejua nilivyoumia warembo kushuka pale, kama wangeshukia Tegeta ndiyo ungejua mimi ndiyo Abdallah Mzamba kijana wa Kisukuma,” Dullah alimwambia fundi Yassin wakacheka.

    Kutokana na kunogewa na stori, walishtukia basi limesimama Tegeta waliteremka ambapo fundi Yassin alichukuwa mfuko uliokuwa na zana za kazi na kumfahamisha Dullah kwamba walitakiwa kupanda mabasi yanayokwenda Kisauke.

    “Kisauke ndiyo wapi?” Dullah ambaye ndiyo mara yake ya kwanza kusikia jina hilo alimwuliza fundi Yassin.

    Fundi Yassin alipoulizwa hivyo aliishia kucheka na kumfahamisha Dullah kwamba ni mbele ya Madale ambako wenye nazo wengi wameporomosha mahekalu ya nguvu.

    “ Ndiyo huko ambako Diamond Platnumz kajenga mjengo wake?” Dullah alimwuliza fundi Yassin.

    “Yap! Ila Kisauke ipo kwa mbele lakini hatutafika mwisho,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

    Kwa kuwa walikuwa wanazungumza huku wanatembea walifika kituo cha mabasi ya Kisauke wakakuta kuna hiace inakaribia kujaa wakaingia na baada ya dakika chache gari likaondoka.

    Njiani Dullah ambaye alikuwa hajawahi kufika Tegeta akawa anashangaa jinsi watu walivyojenga nyumba na walipofika Kiwanda cha Twiga Simenti alishangaa sana kwani aliakuwa akikisikia tu!

    “Hiki ndiyo kiwanda cha simenti cha Wazo?” alimwuliza fundi Yassin ambaye alimjibu ndiyo.

    Baada ya kutoka Wazo gari liliendelea na safari hadi walipofika sehemu waliyopaswa kushuka, walipoteremka Dullah alishangaa kumuona kijana mmoja akija kumpokea fundi Yassin ule mfuko wa kazi.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Shikamoo bro?” yule kijana alimsalimia kisha akanisabahi kwa kusema vipi mambo?

    Baada ya kuitikia salamu, fundi Yassin alinitambulisha kwamba yule kijana alikuwa ni mmoja wa vijana waliokuwa wakimsaidia kazi na kuniambia alikuwa anaitwa Zakayo.

    “Aliponitajia jina hilo na jinsi kijana huyo alivyokuwa mfupi najikuta natabasamu.

    “Zakayo, huyu anaitwa Dullah tutakuwa pamoja kwenye kazi zetu,” fundi Yassin alinitambulisha kwa Zakayo.

    “Yaani naye atakuwa anakoroga zege kama sisi?” Zakayo alimwuliza fundi Yassin.

    “Ndiyo tutakuwa naye,” fundi Yassin alimwambia.



    Baada ya utambulisho huo, fundi na vijana wake waliendelea na safari ya kwenda site lakini Zakayo alikuwa bado aamini kama Dullah aliyeonekana sharobaro angefanya kazi ya kubeba zege.

    Walizidi kupiga stori za hapa na pale huku Dullah akistaajabu majumba makubwa ya kisasa yaliyojengwa ambapo fundi Yassin akawa anamuonesha majengo kadhaa ambayo alikuwa amechangia kuyajenga.

    Baada ya kutembea kama dakika saba hivi, Dullah alishangaa wakiwa wapo kwenye bonge ya jumba lenye geti kubwa jeusi, fundi Yassin akamwambia walikuwa wamefika site.

    Kauli ya fundi huyo ilimshangaza Dullah kwa sababu hakuona nyumba iliyokuwa ikijengwa lakini hakumwuliza hadi fundi Yassin alipobonyeza kengele ya getini ndipo alitokea binti mmoja mrembo akafungua, Dullah alipomuona moyo wake ulipiga paa!

    “Kumbe ni wewe fundi umekuja, karibuni!” mrembo huyo alimwambia fundi Yassin huku akimtupia macho Dullah .

    “Asante Doreen, vipi bosi yupo?” fundi Yassin alimwuliza Doreen.

    Baada ya kuulizwa hivyo, msichana huyo ambaye alikuwa akimwangalia Dullah kwa kuibia alimfahamisha kwamba baba na mama yake walisafiri alfajiri ya siku hiyo kwenda Arusha.

    “Eh! Mbona jana hakuniambia na vipi kuna maagizo aliyokuachia?” Fundi Yassin alimwuliza Doreen.

    “Kaniambia kila kitu mtazungumza kwenye simu,” Doreen alimfahamisha fundi.

    Baada ya kuambiwa hivyo fundi alimtambabulisha Dullah kwa Doreen na kumwambia watakuwanaye pale kazini kisha akamtambulisha Doreen kwa kijana huyo mwenye dimponsi.

    “Yaani naye ni fundi au amekuja kutembea ni ndugu yako?” Doreen alimwuliza fundi kwani kwa jinsi alivyomuona Dullah hakufanana kabisa na kazi za ujenzi alizokuwa akizifanya fundi Yassin.

    “Yeah! Atakuwa ananisaidia kazi kama wanavyofanya akina Zakayo na wenzake,” fundi Yassin alimfahamisha Doreen bila kujua ni namna gani Dullah aliumia moyoni.

    “Da yaani fundi badala ya kusema mimi ndugu yake nimekuja kutembea anaweka wazi kila kitu kwa huyu mtoto mkali, kaharibu kinoma!” Dullah alizungumza kimoyomoyo.

    Baada ya fundi kutoa kauli hiyo, Doreen ambaye hakuamini kama ni kweli Dullah alikuwa fundi alifunga geti kisha alimwambia fundi Yassin alikuwa ndani na kama watahitaji kitu wamwite Anne ambaye alikuwa msichana wao wa kazi.

    Wakati fundi Yassin akitoa utambulisho huo, Zakayo alikuwa amekwisha zunguka nyumba ya nyumba hiyo ambako kulikuwa na jengo lingine lililokuwa likijengwa.

    “Dullah hapa ndipo site ninapofanya kazi mwezi wa pili sasa, nyumba yah ii nyumba bosi wangu anaangusha mjengo mwingine,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

    Fundi alimwongoza Dullah hadi eneo hilo ndipo kijana huyo mwenye dimponsi ambaye akili yake ilikuwa kwa Doreen alibaki akishangaa ukubwa wa jumba la yule bosi na ingine aliyokuwa akijenga kwa nyuma yake.

    “Kweli kuna watu wana fedha jamani, mijengo yote hii ya mtu mmoja?” fundi Yassin alimwuliza fundi.

    “Wewe unashangaa nyumba hii, ukienda huko mbele ndiyo balaa watu wamefanya kufuru balaa,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

    Walipofika kwenye nyumba ya pili ambayo ilikuwa ikiwekwa malumalu, walimkuta kijana mwingine akipanga malumalu, alipomuona fundi Yassin alimwamkia.

    Baada ya kumwamkia, alimtazama kwa makini Dullah na kumwambia; “Vipi Mambo?”

    “Poa, za kazi?” Dullah alimsabahi.

    “Nzuri, karibu!” kijana huyo alimkaribisha Dullah aliyesema asante.

    “Hatuni, huyu hapa anaitwa Abdallah Nzamba lakini tunapenda kulikatisha jina lake na kumwita Dullah, ni jirani yangu tutakuwanaye pamoja kwenye kazi zetu,” fundi Yassin alimtambulisha Dullah kwa Haruni.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kufuatia utambulisho huo, kama ilivyokuwa kwa Zakayo, Haruni hakuamini kwa muonekano wa Dullah kama alifanana na kazi za kukoroga zege, akamwuliza:

    “Fundi bwana kwa masihara umezidi, yaani atakuwa akikoroga zege na kukubeba matofali, malumalu kama sisi?”

    “Ndiyo, kwani unamuonaje?” fundi alimwuliza Haruni.

    “Hata mimi nimemuuliza kama wewe kaniambia hivyohivyo,” Zakayo akadakia.

    “Kama nilivyowaleza naye tutakuwa tunafanya naye kazi,” fundi Yassin aliwaambia.

    Kule ndani, Doreen kama ilivyokuwa kwa akina Harunu na Zakayo, akawa haamini kabisa kama Dullah ni fundi.

    “Huyo kijana piga ua garagaza siyo fundi, nahisi atakuwa kaja kumpeleleza baba yangu, sijawahi kumuona sharabaro tena anayevaa miwani na mwenye dimponsi anafanya kazi za ujenzi,” Doreen aliwaza.



    Zakayo na Haruni walivyokuwa hawaamini kama kweli sharobaro Neely angeweza kufanya kazi ya ujenzi, Dorren naye kushangazwa na jambo hilo ambapo moyoni alisema:

    “Huyu kijana piga ua garagaza siyo fundi, nahisi atakuwa kaja kumpeleleza baba yangu, sijawahi kumuona sharabaro tena anayevaa miwani na mwenye dimponsi anafanya kazi za ujenzi.”

    Wakati Doreen anawaza hayo, fundi Yassin na Dullah walibadilisha nguo na kuvaa za kufanyia kazi kisha fundi huyo alimwambia Zakayo amwelekeze Dullah kazi ya kufanya.

    Baada ya Zakayo kuambiwa hivyo na kumuona Dullah akiwa kabadili nguo na kuvaa za kazi ambazo hata hivyo hazikuwa chakavu kama walizokuwa wakifanyia yeye na Haruni, kidogo aliamini kwamba Dullah pia alikuwa pale kikazi.

    Kufuatia fundi kumwambia amwelekeze Dullah kazi ya kufanya, hakutaka siku hiyo ya kwanza kumpa kazi ngumu akamwelekeza ya kuzoa mchanga uliokuwa pembeni ya nyumba kubwa waliyoishi akina Doreen.

    “Kaka wakati sisi tunaendelea na kazi ya kuweka malumalu ndani, wewe zoa huu mchanga na kuusogeza pale kwani kesho tunataraji kuanza kuweka malumalu hapa pote,” Zakayo alimwambia Dullah .

    Kwa kuwa eneo ambalo ulikuwepo mchanga ambao Dullah aliambiwa hauzoe lilikuwa karibu na chumba alichokuwa akilala Doreen, msichana huyo mrembo alisikia maongezi yao.

    Baada ya Zakayo kumwelekeza Dullah kazi ya kufanya akaingia nyumba kubwa walikokuwa wakiweka malimalu na kumkuta fundi Yassin akimwelekeza kazi ya kufanya Haruni.

    “Vipi umemwelekeza?” fundi Yassin alimwuliza Zakayo.

    “Tayari bro ila mpaka dakika hii siamini kama huyo kijana anaweza kufanya kazi hii ngumu tunayofanya, yule amekaa kimayaiyai,” Zakayo alimwambia fundi Yassin, wakacheka.

    “Kwa kuwa kapigika kimaisha, kwa hiyari yake kanifuata na kuniambia anataka kuja kunisaidia kazi ili aweze kupata fedha, si unaelewa maisha ni fedha?” fundi Yassin aliwaambia.

    “Ni kweli bro lakini kwa huyo kijana akimaliza siku tatu hapa nitajua kweli amedhamirilia,” Haruni alichagiza, wakacheka.

    Wakati fundi Yassin akizungumza na wasaidizi wake hao wa kazi, kule nje Dullah alianza kuchota mchanga kwa kutumia chepe na kuurushia eneo aliloelekezwa na Zakayo bila kujua Doreen alikuwa akimchungulia kupitia dirishani.

    “Yaani siamini, huyu kaka na uhandsome wake wote huu na miwani juu anafanya kazi hii, lazima kaja hapa kumpeleleza baba yangu tu maana watu wa usalama wa taifa ni balaa,” Doreen aliwaza.

    Wakati mrembo huyo anawaza hivyo, Dullah aliyechota mchanga kama chepe ishirini hivi alipozi na kujinyoosha mgongo kutokana na ugumu wa kazi aliyokuwa akifanya.

    “Huyu siyo fundi mbona anaonekana kuchoka haraka,” Doreen aliyekuwa bado anamchungulia Dullah pale dirishani aliwaza.

    Baada ya kupita kama dakika arobaini hivi tangu aanze kazi, Dullah alihisi kiu akaingia ndani walikokuwa wakifanya kazi fundi Yassin na akina Zakayo.

    “Vipi Dullah , unaendeleaje? Hii kazi yetu haina udogo lakini utazoea kadiri siku zinavyokwenda,” fundi Yassin alimwambia.

    “Sawa bro, ila nimebanwa na kiu sijui nitapata wapi maji ya kunywa?” Dullah alimwambia fundi Yassin.

    Kwa kuwa mafundi hao walipokuwa wanahitaji maji ya kunywa waliwasaliana na Anne msichana wa kazi wa akina Doreen, Haruni alitoka na Dullah , akaanza kumwita Anne.

    Licha ya kumuita mara kadhaa, Anne hakuitika ndipo Doreen alifungua dirisha na kumfahamisha kwamba Anne alikuwa ametoka kidogo.

    “Poa dada, huyu fundi mgeni anahitaji maji ya kunywa,” Haruni alimwambia Doreen.

    Baada ya kuambiwa hivyo, Doreen alimwambia sawa na kumtaka Dullah apite mlango wa uani kisha aingie jikoni.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kuwa Dullah hakufahamu mlango huo, alimuomba Zakayo ambaye alikuwa mwenyeji amuoneshe ndipo fundi huyo akamuonesha.

    Dullah alizunguka nyuma ya nyumba hiyo na kuuona mlango wa kuingia jikoni alipotembea hatua kama mbili hivi mlango ulifunguliwa na Doreen, macho yao yalipogongana, kila mmoja akaachia tabasamu bila kujua sababu za kufanya hivyo.

    “Samahani unataka maji ya baridi au ya moto?” Doreen alimwuliza Dullah ambaye tayari akili yake ilihama baada ya kuona shepu nzuri ya Doreen.

    “Kwa hiki kijoto yabaridi yatakuwa mazuri,” Dullah alimwambia Doreen.

    “Karibu usubiri ndani wakati nakuandalia,” Doreen alimwambia Dullah .

    “Hapana sista wewe niletee tu hapa nje,” Dullah aliyekosa kujiamini alimwambia Doreen.

    “Jamani wewe kaka ingia ndani unaogopa nini?” Doreen ambaye alikuwa akilindwa sana na wazazi wake asitoke nyumbani kuhofia wanaume wakware alimwambia Dullah .

    Kutokana na sauti nyororo ya kuhamasisha aliyoitoa Doreen, Dullah alijikuta akiwa jikoni mwa akina Doreen ambapo msichana huyo alimuongoza mpaka sebuleni kwao, kutokana na nguo aliyovaa kuchafuka kwa mchanga akawa hajui aketi wapi.

    “Karibu ukae kwenye kiti,” Doreen alimwambia Dullah .

    “Hapana sista wewe nipe nitakunywa wima, si unaona nilivyochafuka!” Dullah alimwambia Doreen.

    Licha ya Dullah kutoa jibu hilo, Doreen ambaye ghafla alitokea kuvutiwa na kijana huyo kimapenzi kutokana na kupita muda mrefu bila kuduu alimlazimisha Dullah kukaa na kusisitiza kwamba hata sofa zingechafuka angemwambia Anne azifute.

    Kitendo cha kubembelezwa kukaa na mtoto huyo ‘mtamu,’ Dullah alikaa sofani kitendo kilichomfurahisha sana Doreen ambaye alikwenda sehemu ya kulia chakula palipokuwa na jokofu na kuchukua jagi pamoja na glasi.

    Alipofika alipoketi Dullah alizogeza stuli iliyokuwa pembeni ya kochi na kuiweka glasi, akafungua jagi na kumimina juisi nzito ya embe, akachukua glasi na kumkabidhi Dullah aliyebakia kaduwaa.

    “Wewe si ulitaka maji, mimi nimependa unywe hii juisi,” Doreen mtoto aliyeumbwa haswa na kujaliwa kuwa na makalio f’lani hivi ya kiukochozi alimwambia Dullah .

    “Da! Sikutegemea kama leo nitakutana na sapraizi ya namna hii, sina cha kuongezea zaidi ya kushukuru kwa ukarimu huu ambao sijapata kuuona,” Dullah alimwambia Doreen.

    Wakati Dullah na Doreen wakipiga stori ndani, si fundi Yassin, Zakayo wala Haruni aliyekumbuka habari za Dullah kwani wakati huo walikuwa bize kwa kazi ya kuweka malumalu.

    “Kuwa huru tu kaka, hapa nyumbani tumebaki wawili tu mimi na dada,” Doreen alimwambia Dullah huku akiwa anakwenda sehemu ya kulia chakula palipokuwa na kabati kubwa la vioo lililokuwa na vyombo.

    Kwa kuwa muda huo, msichana huyo alivaa pensi iliyombana vyema na kusababisha wowowo lake la kiuchokozi kuonekana na bla nyepesi mfano wa singilendi iliyoonesha viembe sindano vyake, Dullah akachanganyikiwa kabisa.

    “Aaa…duuu…aaa…,” Dullah alijikuta akiguna akiwa amelitumbulia macho eneo la nyuma la Doreen na kushindwa kuendelea kunywa juisi.

    Doreen ambaye hakuwa na habari na kilichokuwa kikijiri nyuma yake, alipolifikia kabati la vyombo alisukuma vioo vya kusilaidi na kutoa glasi lakini ile anageuka Dullah alijifanya anakunywa juisi.

    “Ngoja na mimi nikusaidie,” Doreen alimwambia Dullah wakati akimimina juisi juisi kwenye glasi yake kisha akaketi kwenye sofa aliloketi Dullah .

    Kitendo cha msichana huyo kuketi karibu na sharobaro wa tandale Dullah , kijana huyo alizidi kuchanganyikiwa ndipo Doreen alimwuliza kama kweli alikuwa fundi au alikuja pale kumpeleleza baba yake.

    “Hapana sista, mimi nije kumpeleleza baba yako ili iweje wakati simfahamu na ndiyo mara yangu ya kwanza kufika hapa,” Dullah alimwambia Doreen.

    “Ulivyo na kazi unayoifanya vitu viwili tofauti lazima nikutulie shaka,” Doreen alimwambia Dullah .

    “Naomba usinifikirie hivyo, mimi siyo mpelelezi,” Dullah alimwambia Doreen.

    Baada ya Dullah kumhakikishia hivyo Doreen, msichana huyo alitabasamu na kumwambia kama ni kweli itakuwa vizuri ndipo alimwuliza sababu za kuchagua kazi ya ufundi.

    “Maisha tu dada, ila nilitamani sana kukaa ofisini niwe nafanya kazi kwa kutumia kompyuta lakini ndiyo hivyo,” Dullah alimwambia Doreen.

    Kufuatia kijana huyo kumwambia hivyo Doreen, msichana huyo alimwuliza alifika kidato cha ngapi, Dullah alimwambia cha nne na kumweleza kila kitu hadi kufikia hatua ya kuwa pale.

    “Unataka kuniambia leo ndiyo kwa mara yako ya kwanza kufanya kazi ya ufundi?” Doreen ambaye alimuonea huruma Dullah alimwuliza.

    “Ndiyo hivyo,” Dullah alimjibu.

    Baada ya kijana huyo kujibu hivyo, Doreen alikubaliana naye kwani alimuona jinsi alivyokuwa akijinyoosha kila alipochota mchanga na kuutupia eneo aliloelekezwa na Zakayo.

    “Oke, sasa sina shaka na wewe, naomba nikuongeze juisi,” Doreen ambaye alipania kufikia hatua f’lani na Dullah alimwambia.

    “Nashukuru sista inatosha,” Dullah alimwambia Doreen.

    Licha ya kukataa, Doreen alimimina juisi na kujaza glasi aliyokuwa akitumia Dullah , lengo lake lilikuwa kumchelewesha kwani aliamini kitendo cha kuwa pamoja na Dullah angemtongoza tu!

    “Ila wewe dada ni mkarimu sana, nashukuru kwa kunijali,” Dullah alimwambia Doreen.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Usijali kaka fundi, kuwa huru tena nilisahau kukuuliza, hivi ulikunywa chai?” Doreen alimwuliza.

    “Kwa kuwa nimekunywa hii juisi nzito nimeshiba sihitaji chai,” Dullah alimwambia Doreen.

    “Hakuna kitu kama hicho ngoja nikuandalie maziwa na sambusha ili utakapokwenda kuendelea na kazi uwe na nguvu,” Doreen alimwambia Dullah akainuka na kuelekea jikoni.

    Kwa kuwa alipania kumpagawisha kijana huyo, wakati akielekea huko aliyatingisha kimitego makalio yake mapana kitendo kilichomchanganya kabisa sharobaro Dullah .

    “Hakika nikiondoka hapa bila ya kumsomesha huyo mtoto mkali dhamira yangu itanisuta sana, siwezi kufanya upuuzi huo hata siku moja ukinzingatia wanawake wameletwa duaniani kwa ajili yetu wanaume,” Dullah aliwaza.

    Wakati akiwaza hivyo, Doreen alirejea akiwa na sahani iliyokuwa na sambusa tatu na katika mkono wake wa kulia alibeba chupa ya wastani akajua ilikuwa ya maziwa.

    “Huyu mtoto ninavyomuona kanikubali hata nielewa kabisa kama na mimi sitaonesha uanaume wangu, tena akizubaa tu analambwa bakora leo hiihii,” Dullah alijisemea moyonii.

    “Ukila hizi sambusa na maziwa ndiyo nitakuruhusu ukaendelee na kazi lakini kinyume chake sitajali cha fundi Yassin wala cha nani nitakufungia humu ndani hadi jioni,” Doreen alimwambia Dullah .

    “Sista bwana unaonesha una vituko sana, haya ngoja nile sambusa kisha nikawajibike, jamaa wasije kusema nategea kazi,” Dullah alimwambia Doreen.

    Dullah akiwa anatafuna sambusa ya kwanza kwa kutumia staili yake ya kuwalainisha mademu, alimwangalia Doreen kisha akamkonyeza kimtindo, si Doreen akaachia tabasamu.

    Kufuatia Doreen kufanya hivyo, Dullah alimsifia kwamba alikuwa mzuri na alijaaliwa kuwa na shepu ya usumbufu ambayo ni wanawake wachache wanazo.

    “Jamani shepu ya usumbufu ndiyo shepu gani hiyo?” Doreen alimwuliza Dullah kwa kumtega japo alijua alichomaanisha.

    Baada ya kuambiwa hivyo, Dullah alimwambia Doreen asimame ili amuoneshe si mrembo huyo alisimama ndipo Dullah naye akasimama akazishika nyonga zake na kusema:

    “Unaona kiuno kama hiki kilivyo? Hebu angalia na hipsi kama hizi, hakika Doreen umeumbika mno, nikutajie vingine?”

    Kijana huyo ambaye wakati huo damu zilianza kumwenda mbio na kusahau kabisa kilichompeleka kule site alimwuliza Dorren ambaye alimwambia aendelee kwani hicho ndicho alichokuwa akikihitaji.

    “Kingine ni hayo matiti yako, mwanaume yeyote aliyekamilika akizigusa au kuyashika kabisa, atachanganyikiwa na hayo macho ni balaa tupu!” Dullah alizidi kumfagilia.

    “Hivi kwa mfano nikikuruhusi ushike matiti yangu utanganyikiwa?” Doreen alimwuliza Dullah .

    “Siyo kushika tu, kwa kuyatazama tu hapa sipo sawa,” Dullah alimweleza Doreen na msichana huyo alipotupia macho kwenye eneo analokaa ‘mkuu wa kaya’ wa Dullah, alitabasamu kwani mkuu huyo alikuwa ametuna ndani ya zipu.

    Kufuatia hali hiyo, Doreen aliyegundua tayari Dullah alipagawa, kumchanganya kabisa alimruhusu ashike embe bolibo yake ya kushoto aone kama kweli atachanganyikiwa.

    Baada ya sharobaro Dullah kuambiwa hivyo, ilikuwa sawa na mbuzi kwenda kujilaza miguuni mwa mpika supu au embe dodo kuangukia miguuni mwa mtu, hakuchelewa hata sekunde moja.

    Dullah alivamia chesti a.k.a kifua kitamu cha mrembo huyo na kuishika vizuri titi la kushoto akaanza kuiminyaminya taratibu kwa staili ya nataka staki, Doreen akaanza kuhema na macho yake kumlegea.

    Mpenzi msomaji, si unajua inavyotokea kichaa akiwa amepewa rungu kitakachofuatia, licha ya Dullah kupewa ruhusa ya kuishika titi moja la Doreen, si akayatoa yote matiti saa sita yakawa yanamtizama kama vile yalimwambia ‘shindwa mwenyewe.’

    Kijana huyo aliyejaaliwa utundu wa malovee, mkono wake wa kushoto akawa anachezea titi moja na kwa kutumia kinywa chake akawa anaifyoza nyingine, acha Doreen achachawe.

    Kwa kuwa msichana huyo naye alikuwa amemisi sana mambo yetu yale, naye si akayavamia makazi ya mkuu wa kaya wa Dullah , sijui akawa anayafanye bwana, Dullah akaanza kuhema kwa kasi.

    Wawili hao ambao wakati huo walikuwa wamehamia kwenye ulimwengu mwingine, waliendelea kufanyiana vurugu zote za mambo ya chumbani zaidi kwani Dullah alimpogusa hapa Doreen alimgusa pale.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Dullah alipogundua ile ilikuwa ni nafasi ya dhahabu ambayo hakuitegemea alimvutia Doreen kwenye sofa walilokalia awali lakini alipotupia macho kwenye stuli akaaishia kucheka baada ya kuona sambusa mbili na maziwa yakiwa nusu kwenye glasi.

    “Kweli kila kitu na wakati wake, maziwa yatabaki kuwa maziwa, sambusa zitabaki kuwa sambusa, hapa ni kupeana raha tu na mtoto mkali,” Dullah alijisemea moyoni wakati huo alikwisha inyonyoa pensi ya Doreen na kumuacha mtoto huyo chupi tu.

    Kwa kuwa nyumba hiyo ilikuwa kimya, Dullah aliamua kumchinjia baharini mtoto huyo mzuri palepale sofani lakini ile anamalizia kutoa boksa yake ili alitoe uboo wake mara, akasikia akiitwa na Zakayo.



    Ayaaa!!!



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog