Search This Blog

Monday, October 24, 2022

SEX MACHINE - 2

 







    Chombezo : Sex Machine

    Sehemu Ya Pili (2)





    Chriss au Sex machine alibaki akijishangaa sana na kujiuliza akilini mwake kuwa yeye ni nani, mbona amekuwa ni mtu mwenye bahati sana. kila akitafakari jambo hilo alilikosea majibu na kuamua kutabasamu mwenyewe tu maana hata alipojiuliza kuhusu chimbuko lake yaani ndugu zake ua asili yake kwa ujumla alibaki akiwa ameduwaa na hata hakutaka kumuuliza bwana yule aliyeonekana kuwa msaada mkubwa sana kwake. Alifungua mlango wa ile gari ambayo hakuwaza kama aliwahi kuota kuwa siku moja angekuja kuwa mmiliki halali wa gari kama hiyo. aliamua kuyaacha maisha yake yawe ya ndoto tu hivyo hivyo. Alikuta kweli funguo ya gari na vitu vingine kama kadi ya gari na kadhalika. Akaisoma ile kadi na kukuta imeandikwa S Machine lakini alipoendelea kusoma kadi ile ambayo ilikuwa na picha yake kabisa, alikutana na neno ambalo hakujua maana yake. 'jina la pili linaweza kuwa la kwanza. Akatafakari kwa muda na wala asipate ufumbuzi, akaamua kuliacha kama lilivyo. akaifunga gari ile na kurudi ndani ambako aliikalia kompyuta na kuanza kazi ya kuicheze. Hapo alikuwa ni hatari kuliko hatari yenyewe na ni muda mfupi tu alikuwa amesha badilisha kila kitu kwa vile atakavyo yeye. Alipo maliza alitwaa taulo na kuelekea maliwatoni. Alijimwagia maji kwa muda mfupi na kurudi chumbani humo, akacheki muda, ulikuwa umekimbia sana. Akabadili nguo na kuelekea sebuleni. Hakushughulika na tumbo kwani hakuwa akihisi njaa hata kidogo na hata hakukumbuka ni muda gani alipata chakula. Aliutumia muda huo kuichunguza vizuri nyumba hiyo nje ndani hadi pale aliporidhika ndipo akarudi tena sebuleni na kuendelea na mambo mengine.



    Joesan alipotoka kumkabidhi Sex machine nyumba na vitu vingine, alielekea moja kwa moja nyumbani kwake. Na muda huo alikuwa amekaa sebuleni akitazama muvi. Akili yake na mawazo yake yote yalikuwa kwenye simu yake, kila muda alikuwa akiitazama. "muda alioniahidi Suzane ndiyo huu lakini mbona sioni simu yake?" alijiuliza. "hebu ngoja nimpigie nijue nini kimemkuta au dili imeharibika?" alizidi kujiuliza na kuishika simu yake. Akafikiri kwa muda kabla ya kutenda hicho alichotaka kukitenda. Jambo zuri ni yule aliyekuahidi atimize ahadi na siyo kimbelembele, nafsi yake ikamwambia hivyo. Akairudisha simu mezani na kuendelea kuangalia muvi hiyo ambayo hata uendeleaji wake hakuuelewa. akaamua tu kutuliza macho yake hivyo hivyo, punde simu yake ikakoroma. Akaichukua haraka haraka na kuipokea. "boss!" upande wa pili uliita. "vipi mambo Suzane?"

    "mambo mazuri tukutane tushikamane Pub nikupe maelekezo mazuri au kama uko nyumbani tunaweza tukafanya kesho kwani hata hivyo mambo yatafanyika usiku wa kesho." akasema Suzane na Joesan akajibu basi ni vizuri jambo hilo likafanyika kesho. kisha yakafuata maongezi ya kawida.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Martha hakuwa na furaha kabisa tangu kutoweka kwa chriss pale nyumbani, amekuwa ni mtu wa kuwaza tu kila wakati lakini hakuthubutu kumuonesha mume wake kuwa jambo lile lilikuwa likimtesa sana. Aliumia moyoni, hali hiyo ikapelekea kuwa mbali na mumewe hakutaka kumkaribia kabisa. "masikini kijana wa watu amekosa nini kwa Mungu hadi kufikia hatua ya kumfanyia hivyo. Sijui anamtumia kwa kazi gani, " nilisha kuzoea Chriss, nilikupenda nakiri hivyo lakini nitafanyaje sasa na wakati sina nijualo. Mungu atakusaidia mwanangu, sikutegemea kama Joesan utakuwa mkatila kiasi hicho mtu uliye muangamizia wa.........!" aliwaza Martha lakini mawazo yake hayakufika mwisho baada ya Joesan kuingia mule chumbani. Aliamua kuyakatisha mawazo yake kwani kuendelea kuwaza ilikuwa ni kumrahisishia kuweza kumgundua kuwa hayupo sawa na hakutaka jambo hilo litokee. Joesan hakumsemesha mkewe wala kumuuliza chochote, alichokifanya ni kupanda kitandani na kulala. Akili yake ilisharudi kama zamani kujipa ubize na hata kutoonekana siku tatu nne nyumbani kwake bila taarifa, lilikuwa ni jambo ambalo mama huyo alishalizoea hivyo hakuwa akimuuliza chochote kwani hata kama ataamua kufanya hivyo asingeweza kupata majibu yenye kumridhisha. Baada ya muda bwana huyo alikoroma kabisa kuashiria kuwa tayari usingizi ulisha mteka. Alijigeuza upande wa pili na yeye kuamua kuutafuta usingizi huo ambao hakudhani kama ungekuja kwa haraka. Ni siku nne mumewe hajaonekana nyumbani, siku anaonekana hasemi alikuwa wapi? Haulizi chakula na wala hakuwa na muda na mkewe wala kumuuliza ameishije kwa kipindi chote ambacho hakuonekana nyumbani. Pia hakujali kqma mkewe anahitaji haki yake ya ndoa wala nini. Tena anajitupa kitandani na kukoroma kama Nguruwe pori aliyechoshwa na hekaya za wawindaji bila hata kumgusa mkewe. Joesan alifanya hivi kwa kujua labda akimuuliza mkewe, atakumbushwa habari za Chriss ambazo hakutaka hata zikumbukwe mahali hapo. Maisha ya kutokusemeshana yakawa ndiyo msingi wa nyumba hiyo kwa majira hayo, visa na vitimbi visivyoisha. Maisha magumu sana. Asubuhi ya siku iliyofuata Joesan alikurupuka kutoka kitandani na kuelekea maliwato kujiswafi, aliporudi alibadili nguo na kuondoka bila hata ya kumuaga mkewe. Hakuwa na presha ya mahitaji kila kitu kuhusu chakula kilikuwa kiko kamilifu kabisa hivyo hakuwa na wasiwasi hata kidogo.



    "ndiyo naelekea ofini muda huu" alisema Joesan simu ikiwa sikioninna mkono mmoja ukiwa umekamata usukani.

    "ok, nitakujulisha baadae kidogo." akasema tena na baada ya sekunde kadhaa, akairudisha simu mfukoni. Alipaki gari maegeshoni na kushuka akaingia ndani ya jingo hilo huku akisalimiana na watu mbalimbali ikiwemo wafanya kazi wa kitengo cha utalii

    Alifika ofisini kwake akiwa yeye ndiye mtu wa kwanza kabisa katika kitengo chao cha kishetani.

    Kwa upande wa Sex machine bado alikuwa katika usingizi mzito sana. Mwili wake aliuhisi ukiwa na uchovu sana hata alipokuja kushtuka kutoka katika usingizi huo. Mwili wake uligoma kabisa kuamka juu ya hicho kitanda. Alibingilia huku na huko na hatimaye akaamua kukurupuka na kusimama wima. Akaanza kama utani kujinyoosha viungo vyake kwa kufanya mazoezi madogo madogo lakini kila hatua aliyokuwa akipiga, ndivyo mazoezi hayo yalipochanganya. Chumba kile kikawa hakifai tena akatoka nje kabisa nyuma ya nyumba na kuendelea na mazoezi makali ambayo hata mwenyewe yalimshangaza na kumuacha hoi. Hakuwa akijua uwezo huo wa kufanya mambo makubwa kiasi hicho aliutoa wapi. Mazoezi hayo yalikuja kukoma baada ya lisaa limoja na nusu. "uwezo wa kufanya haya yote nimeutoa wapi? Mbona sikumbuki kama nilishawahi kujifunza mahali mbinu hizi za mapigano?" alijiuliza kijana huyo. alikifikirisha sana kichwa chake ili aweze kukumbuka angalau lakini ilikua ni kama kuizunguuka nyumba ukitegemea utakutana na kitu kipya kwa kila mzunguuko wakati nyumba ni hiyo hiyo moja. "asante Mungu kwa kunifanya kuwa wa pekee sana" alishukuru tu kwani hakuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kumshukuru Mungu wake tu. Alielekea ndani baada ya mazoezi hayo ya nguvu, akaenda kupiga maji ili kuweka mwili katika hali ya usawa. Alipo maliza kuoga alijihisi tofauti sana, mwili wake ulikuwa mwepesi kupindukia. Utofauti huo ukamfanya kujiona ni kiumbe sahihi. Alikuwa mwepesi wa kufikiri na kufanya maamuzi ya haraka sana hata mwili wake pia ulikuwa ni tofauti na ilivyokuwa siku iliyopita. Alifanya kila kitu kwa wepesi wa hali ya juu sana, alijiandalia kifungua kinywa kisha akajilia na kuendelea na kazi zake za kawaida akiwa na kompyuta yake mpakato akisubiri amri kutoka kwa wanao muongoza.



    Kwa upande wa wale jamaa wa ughaibuni, mawasiliano yalizidi kupamba moto. Walizidi kuwasiliana huku wakiwa na furaha kubwa ya kuweza kuifanya biashara yao kuwa hai tena. Walidhani kila wanachokiongea ni siri kumbe nyuma yao kulikuwa na mtu ambaye alikuwa akinasa kila kitu kwa siri kubwa na bila wao wenyewe kujua...............................................



    "wanafikia new Motel maeneo ya Masika. Jengo hili halina ulinzi wa kutisha sana ila kwa uchunguzi wa haraka nimepata kugundua kuwa kuna kamera mbili nje ya jengo hilo na ndani kuna kamera sita kwa ujumla. Moja unakutana nayo ukiingia tu, nyingine ipo kwenye korido ya flow hiyo ya chini kabla hata hujapanda ngazi kuelekea juu ambako ndiko kilipo chumba walichofikia wageni hao." alitoa maelezo Suzane mara baada ya kufika ofisini kwa bosi wake. Kisha akaendelea tena. "kwa taarifa chache nilizozipata hapo chini ni kwamba wageni hao, watatumia usiku mmoja tu kuwepo hapa mjini hivyo huyo mwana mama amenisisitizia kuwa huu ndiyo muda mzuri wa kuutumia"

    "hana mume?" akauliza Joesan kwa kudakia. "ooh! No, mume anae ila amesema mumewe ni mzee sana hivyo ikifika saa tano usiku atakuwa ameshalala. Ni mbovu sana wa usingizi na pia hajiwezi kwenye masuala ya kukitendea haki kitanda awapo na mkewe na mkewe bado ni msichana hivyo huduma yetu anaihitaji kwa udi na uvumba na yuko tayari kuongeza dau kama ataridhika nayo"

    "namuamini sex machine huyu yuko vizuri kwani amesema atalipa kiasi gani?" alisema kisha akauliza Joesan. Suzane akasema kuwa atalipa dola laki moja na nusu na tayari ameshaingiza nusu ya malipo kwenye ile akaunti yetu"

    "good"

    "kikubwa tunacho takiwa kuwa makini nacho ni umakini mkubwa tena wa hali ya juu, lile ni jengo la kawaida lakini ulinzi wake ni mkubwa japo si wa kutisha kihivyo lakini hatupaswi kuudharau hata kidogo na ndiyo maana (SC) wamewapeleka pale. Mumewe pia anawivu sana ukizingatia na umri wake kupiga hatua halafu anamiliki mtoto mzuri. kukupiga risasi haoni shida" alimalizia Suzane. Joesan akamuangalia binti huyo makini na anayemkubali sana akasema. "hilo la ulinzi lisikupe presha Sex machine ni kifaa cha kazi tena ngoja nimpigie tukutane mahali ili upate kumpa hayo maelekezo kwa ufasaha zaidi, wapi unapendekeza?" akauliza. Suzane akajibu "Snake bar" akakuruza simu Joesan na kumpa maelekezo sex machine ya mahali wanapotakiwa kukutania kisha akakata simu na kuirudisha mfukoni. Wakatoka humo ofisini wakiwa wameongozana na kuelekea hadi yalipo maegesho ya magari, wakaingia kwenye gari ya mkurugenzi huyo wa (SC) na kuliondoa gari hilo taratibu. walifika Snake Bar wakaegesha gari mahali pazuri na kushuka kisha wakaelekea ndani ya baa hiyo. Walitafuta sehemu nzuri ndani ya baa hiyo wakakaa na kuagiza kinywaji wakawa wanapata taratibu huku wakisubiri. Muda si mrefu, Toyota Prado nyeusi iliegeshwa pembeni ya gari waliyokuja nayo kina Suzane, akashuka kijana safi mtanashati aliyelipuka kwa pamba safi. Juu alipiga shati la drafti la kileo chini akanyuka suruali safi ya jeans rangi nyeusi na raba kali zilizo owana na nguo ya juu. Alitoka chicha sana, aliposhuka tu kutoka ndani ya gari yake, kila mja muungwana alimtupia jicho la sifa juu yake. "mh! Kifaa hicho umekiona shost?" hawakusita kuulizana namna hiyo masister duu walipokuwa wakimtazama kijana huyo. Alifunga gari yake vizuri kwa loki na kupiga hatua za taratibu kuingia ndani ya baa elekezi. Hakupata tabu kumuona Joesan ambaye alikuwa amekaa kwenye pembe moja ya baa ile. Alifika mezani hapo na kuvuta kiti akaketi. "jamani umependeza sana kaka unazidi kuwa bomba" alisema Suzane na kumfanya Sex Machine kutabasamu na kujibu sifa hizo. Kiukweli Chriss alikuwa akimkosha sana Suzane, kila anapo muona moyo wake unakitu unasema japo alishindwa kuking'amua kitu hicho lakini ni wazi kwamba alivutiwa sana na kijana huyo. wakachapa soga za hapa na pale hatimaye wakaingia kwenye sababu iliyowafanya kufika mahali hapo. Kijana akapewa somo na kila mbinu aliyopaswa kuitumia ili kuweza kufanikisha kazi hiyo. "ukumbuke kuwa hilo ni jaribio lako la kwanza natumai utafanya kwa weledi wa hali ya juu mno" aliongea Joesan. Chriss akawahakikishia kuwa atafanya kwa uwezo wake wote na hata waangusha kwa kazi hiyo. Joesan akafurahi na kumuahidi kuwa endapo atafanikisha kumridhisha huyo mteja wao basi atampa kitita cha shilingi laki tano za kitanzania. "kila kazi iliyopo mbele yangu tegemeeni ushindi sijaumbiwa kushindwa hata kwa bahati mbaya" akajitapa kijana huyo na kizidi kuwafurahisha watu wale. zilifuata hadithi za kawaida za hapa na pale hatimaye Sex machine akaomba ruhusa ya kutaka kuondoka kwa kuwaambia anahitaji kujiandaa mapema kwa kazi iliyopo mbele yake. Wakamrusu kijana huyo, akatoka humo ndani akisindikizwa na macho ya Suzane huku nafsi ya mwana dada huyo ikiwa imejaa wivu na matamanio makubwa. Aliona ni jinsi gani mwanamke mwenzie anavyokwenda kufaidi, akiufikiria mzigo mpya wa kijana huyo ambao umeongezwa urefu kidogo ni wazi alitamani angelikuwa ni yeye ndiye anayekwenda kufanyiwa huo mchezo. "anawavutia wengi sana huyu kijana asipokuwa makini atakuwa anagonganisha magari kila siku" alisema Joesan lakini kauli yake hiyo haikuchangiwa wala kujibiwa chochote, mtu aliyekuwa akiongea nae mahali hapo alikuwa maili nyingi sana kihisia. Hakuwa hapo kimawazo kabisa hadi pale Joesan alipomgusa begani ndipo akashtuka na kujikuta akikumbwa na soni. "i'm sory boss, nadhani tunaweza kuondoka sasa." akasema Suzane akiwa anajikanyaga kanyaga mahali hapo. "bila shaka Chriss anakuchanganya sana?"

    "mmmh! Hapana boss si...sio ...hivyo" Joesan akacheka sana hadi Suzane akashangaa kumuona mtu huyo anacheka namna hiyo. "ulisha nogewa na asali Suzane sasa naona dalili zote za kutaka kuchonga mzinga, au natania?" alizungumza bwana huyo mara baada ya kukoma kucheka kisha akaacha swali mwishoni. Suzane alibaki kimya bila kujibu swali hilo, hakujua alijibu vipi swali hilo. Joesan akamuinamia binti huyo na kumwambia akiwa amebadilika sura, hakuwa yule aliyekuwa anacheka muda mfupi uliopita. "yule yupo hapa maalumu kwa ajili ya kazi tu na si kumuingiza moyoni mwako kama mpenzi najua kuna kitu moyoni mwako Suzane, najua. Mimi ni mtu mzima naelewa. Hivi unajua nimevuka masika ngapi hadi kufikia umri huu," akaweka koma na kutulia ili kutaka yale maneno yapate kuingia vizuri kichwani mwa dada huyo kisha akafungua kinywa chake tena na kuendelea. "ni nyingi nimezipita hivyo nawajuwa ninyi watoto wa kike mioyo yenu ni myepesi sana kupenda na hali hiyo ambayo mnayo, mnajikuta manaharibu kazi kabisa." baada ya maneno hayo Suzane akageuza macho yake kumtazama boss wake. Kuhusu kuwa anampenda Chriss, hili hata halifichiki hata kidogo lakini neno la kusema kuwa anaweza hata kuharibu kazi, hili lilimfanya amuangalie Joesan kwa macho mawili na kusikiliza amri itakayotolewa na bwana huyo. "cha kukusaidia Suzane" akatulia Joesan na kupiga tarumbeta ya chupa ya safari baridii, alipoishusha mezani, akaendelea. "Chriss awe ni kiumbe wa kumaliza haja zako tu na si kumkaribia kila wakati kama mpenzi. na uchunge sana. Namaanisha uwe makini. Jina la yule kijana kwa sasa ni Sex Machine, mashaka yangu ni pale mtakapokuwa kwenye burudani yenu ya kuiburudisha miili yenu, unaweza ukamuita kwa jina la Chriss. Kumbuka yule ni kiumbe ambaye anauwezo mkubwa sana wa kunasa na kuhifadhi alicho kinasa na kukifanyia kazi kwa haraka sana. Tusije tukajiharibia wenyewe." alipomaliza kusema hivyo, Suzane alishusha pumzi ndefu sana kisha akasema kwa sentensi fupi. "ondoa shaka boss"

    "ok, sawa tunaweza kurudi ofisini sasa" akamaliza Joesan. Suzane alikuwa wa kwanza kunyanyuka na kutoka. Joesan alimuangalia kisha akatabasamu "wanawake wanashida sana" ndivyo alivyo waza na kulizidisha tabasamu lake usoni halafu akanyanyuka naye pia.



    Moyo wa Sex Machine ulijawa hofu sana aliwaza mengi kwa wakati mmoja, hiyo ilikuwa ni kazi yake ya kwanza hivyo alikuwa akifikiria ni vipi ataifanya vizuri bila ya kukosea. Japo alikuwa yupo kwa ajili ya kazi hiyo na alitengenezwa hivyo. ubinadamu alionao ndiwo uliomfanya apatwe na hofu hiyo. Siku yote hiyo aliimaliza kwenye kompyuta yake akifanya hili na lile na kuboresha hiki na kile hadi ulipofika usiku, alikuwa hajafanya kitu kingine zaidi ya kuwa karibu na kompyuta. Alikumbuka kwa siku hiyo hakufanya mazoezi ya kuuweka mwili wake sawa na asingependa siku ipite hivyo. Alizima kompyuta ile mpakato na kuvaa nguo za kufanyia mazoezi akaingia mzigoni. Alikuja kuacha kufanya mazoezi hayo baada ya lisaa moja ndipo akaelekea bafuni kujiweka sawa. Aliandaa chakula kama kawaida yake akala na kumaliza akajiweka tayari chumbani hapo huku akiipitia ramani ya Hoteli hiyo ambayo ndiyo alitakiwa kufanya kazi usiku huo. Japo walimwambia kuwa watamuelekeza tu lakini walimpa kijikarasi cha angalau mwanga wa jinsi ya kuingia kwenye hoteli hiyo. Mida ya saa 22:30. CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/Usiku. Simu yake iliita na alipoangalia mpigaji alikuwa ni Suzane, akapokea na kuiweka sikioni. "ndiyo," akasema. "unatakiwa kutoka kuanzia sasa Sex Machine, utakwenda bila kutumia usafiri wako. Utajua wewe ni njia gani utatumia, sisi huku tutakuwa tukikupa maelekezo kulingana na muda tuliokubaliana na mteja wetu" alisema Suzane na muda huohuo Sex machine alitoka akiwa amevaa suti nyeusi mkononi akiwa na brifcase. Aliifunga nyumba yake vizuri na kuita bodaboda, akapanda. "masika" akamwambia dereva huyo wa bodaboda. Dakika kumi zilitosha kumfikisha Masika, alilipa ujira kwa dereva na kupiga hatua haraka haraka kuielekea Hoteli hiyo. Alikuwa katiaka muonekano wa kijana mwenye pesa sana na ukimtazama kwa macho ya kawaida lazima uamini kuwa ni msafiri aliyechelewa jambo fulani kwa jinsi ambavyo alikuwa akichapuka. "habari yako dada?" alisalimia kijana huyo mara baada ya kuingia ndani ya jingo hilo lenye mvuto wa aina yake. dada wa mapokezi aliyepewa salamu hiyo akajibu kwa bashasha na kuchanua tabasamu ikiwa ni mbinu ya kumkarimu mteja. "naweza kupata huduma?" aliuliza tena Sex machine huku akiitupia macho saa yake ambayo ilimwambia muda umekwenda kidogo kwani zilisalia dakika kumi tu kufika saa tano kamili za usiku. "ndiyo karibu sana" alijibu dada huyo wa mapokezi. akafanya itifaki zinazostahiki, akachagua chumba namba 35. Hiki ndiyo chumba ambacho kilikuwa mkabala na chumba cha mtu aliyekuwa anakwenda kumpa huduma. Alikabidhiwa funguo ya chumba alicho chagua na kuelekezwa mahali kilipo. Akapanda juu huku akizitupia macho kamera ambazo kwa muda huo hazikuwa na madhara kwake. Hadi alipofika kwenye chumba husika, akakifungua na kuzama ndani. Alipofika ndani humo kitu cha kwanza kilikuwa ni kuitoa kompyuta yake kwenye ile brifcase na kuiweka kitandani. akaanza kazi ya kucheza nayo ili kuhakikisha anazisimamisha kamera hizo za humo ndani kwa muda wa sekunde kumi na tano anapoingia ndani ya chumba cha mteja na sekunde kumi na tano nyingine ni baada ya dakika 45 anapotoka kwenye chumba cha mteja na kuingia chumbani kwake. Akiwa bado anaendelea na kazi ya kucheza na kamera hizo, .................



    simu yake ikamtekenya mfukoni kutokana na kuweka vibration. Akaipokea huku mkono mmoja ukiwa unafanya kazi. "unatakiwa kuhesabu sekunde sasa hivi, zimesalia sekunde sitini pekee Sex machine" Sauti ya Suzane ikamuelekeza. "nimekupata mamii" akajibu sex machine na kuigandisha simu hapohapo begani akiendelea kucharaza kompyuta yake ilhali simu hiyo ikiwa tayari imekwisha katika. "ahaa, kumbe walitumia kamtego kadogo sana hawa washenzi maana walishaanza kunichanganya tayari" alisema moyoni Sex machine huku kwa muda huo ikiwa zimesalia sekunde tano tu. Alivua suti na kuitupa pembeni akavaa nguo ya kulalia kisha akaruhusu kompyuta yake ifanye kazi kwa kubonyeza Inter. akatoka mule ndani na kuangalia usalama kwenye korido ile iliyotenganisha vyumba vyao. Akaelekea kwenye mlango husika na kutekenya kitasa, mlango ulikuwa wazi kabisa kisha akaitazama kamera iliyopo juu ya dari sebuleni hapo, akatabasamu kwani alijua fika hakuna kitu inarekod kwa majira hayo. Ajitoma ndani taratibu huku nyuma kamera zikaanza kufanya kazi kama ada. Alimkuta mwana mama wa makamo kitogo hakuwa mtu mzima, pembeni ya kitanda kulikuwa na mzee aliyekuwa ametopea kwenye kina cha usingizi. Mzee huyo alikuwa akikoroma si kawaida, tumbo kubwa likiwa juu mithili ya mama mjamzito leba anayesubiri msaada wa daktari. Mwana mama huyo alipomuona tu kijana huyo, alitoka kitandani akiwa mtupu kabisa ni wazi alikuwa akimsubiri kijana huyo kwa hamu kubwa. Sex machine alimpokea na kumkalisha juu ya kochi moja lililopo ndani humo. Akaanza kumpa vitu vya awali ambavyo vilianza kumpagawisha mama huyo. Ukizingatia kijana huyo hiyo ilikuwa ni kama jaribio kwake, alitumia ujuzi wake wa kila rangi na kumfanya mama huyo kuaza kupiga kelele za raha. Sex machine akawa na kazi ya kumzuia asifanye hivyo kwani mumewe anaweza kuamka halafu ikawa shida mahali hapo. "sijawahi kupata huduma nzuri ya mapenzi, mwili wangu una hitaji kubwa sana ya huduma hiyo naomba usinikawize" alikuwa akinong'oneza namna hiyo mama huyo huku akijisevia mwenyewe mzigo huo ambao ulikuwa hewani kwa kazi. Mama huyo akaanza kuonesha maujuzi yake ya kizungu, Sex machine alikuwa ni kama kapagawa kwa jinsi ambavyo alikuwa kafumba macho, ni kwa mara ya kwanza anafaidi mautamu ya mzungu. Mwana mama huyo alikuwa akifurahi sana inaonekana mchezo huo alikuwa haupati kwa wakati au kama alikuwa akiupata kwa wakati, basi alikuwa hafikishwi panapostahili. Sex machine alikuwa akiunguruma tu kwa jinsi mwana mama huyo wa kizungu alivyokuwa mtamu na anavyojua kutumia mwili wake mnene. "oooh, hii kitu ni amazing sana" alinong'ona kijana huyo na kumbadilisha mzungu huyo mikao, hapo ndipo alipomuonesha kuwa yeye ni mashine ya ngono maana alipewa shughuli tete hadi akawa anaongea lugha isiyoeleweka sijui ndiyo ya asili yao huko ulaya au ndiyo mang'amng'am ya raha. Sex machine alipoona anataka kufika mwisho akaongeza speed, mama huyo akajikuta anaruka mifereji miwili kwa wakati mmoja na kubaki hoi, sheria ya kazi yake ikamwambia hapo alipo hatakiwi kumaliza haja zake ndani. Akachomoka na kumuogesha mama huyo kwa matone mazito ya mtindi. Mama wa watu akawa anatabasamu tu kwa furaha ya aina yake. Sex machine hakusubiri asante kwani alivyoitupia macho saa yake ikamwambia kuwa ametumia dakika 45 na tayari kompyuta yake ilishaamza kazi ya kuzisimamisha kamera akatoka haraka sana lakini kwa kutumia mtindo ule ule kama alivyo kuja hadi ndani ya chumba chake. Alipofika alioga na kujitupa kitandani akijipongeza kwa kuweza kuikamilisha kazi yake bila purukushani. Alikuwa akitabasamu muda wote hadi pale usingizi ulipokuja na kusafiri naye kwenye mji wa ndoto.



    Siku iliyofuata pita nipite zilikuwa nyingi sana, huyu anapita huku, yule anapita vile. Alimradi kila mja muungwana na pilika zake za kila siku katika kuifanya mikono iende kinywani. Asubuhi hiyo kigiza kikiwa kina aga na kuupisha mwanga, Sex machine naye alikuwa ndiyo anatoka chumbani kwake ndani ya jingo ambalo alilitumia maalumu kwa jaribio lake la kwanza kama alivyoambiwa. Suti safi ikiwa mwilini mwake huku brifcase mkononi, hatua za taratibu mithili ya mtu anayeliogopa vumbi la mji huo. Alitembea kwa madaha kama Mbuni mbugani hadi zilipo tax, akasimama upande wa pili wa barabara akiwa na lengo la kuchukua usafiri arejee zake nyumbani lakina ghafla simu yake ikamuita na kuamua kuipokea bila kuangalia mpigaji. "njoo ofisini" ilimwambia sauti hiyo ya kike. "asubuhi hii?" akauliza. "ndiyo na usichelewe tafadhali" ikakazia sauti hiyo, akajibu poa na kuirudisha simu mfukoni ikiwa tayari imekatwa. Hakuona haja ya kuchukua usafiri tena maana hapo alipo na ilipo kampuni yao ni kama hatua kumi na kadhaa hivi za mtu mzima. Akahesabu hatua taratibu hadi anafika. Aliingia moja kwa moja ndani na kuelekea ofisini kwa mtu aliyempigia simu, akamkuta boss wake Joesan, Suzane, Merina pamoja na daktari wakiwa wamekaa kimya wakimsubiri yeye. Walipomuona tu, shangwe likaibuka huku baadhi yao wakimkumbatia kabisa. "hongera sana Sex machine kwa kazi nzuri, kuanzia jana saa sita usiku tumekuwa watu wa kupokea pongezi zako kutoka kwa mteja wetu na ameahidi akirudi nchini kwake atakuhitaji tena kwa dau kubwa zaidi" aliongea Suzane huku akimuangalia kijana huyo kwa furaha. Chriss alishtuka yaani shangwe zote zile, ni kwasababu tu ya kutaka kumpongeza? kilikuwa ni kitu kipya kingine kilichomuacha hoi. Hakujua kuwa kufanikiwa kwake ni mwanzo mzuri wa kuuingizia kampuni mamilioni ya shilingi. "pesa niliyo kuahidi tayari inachekea kwenye mifuko yako ya benki" alisema Joesan akiwa ni amebubujikwa na tabasamu la furaha usoni mwake. Walipiga stori wakacheka, tayari Chriss alikuwa ni mwanafamilia mwenzao japo walikuwa wakimtumia kwa manufaa yao pasipo yeye mwenyewe kujijua. Waliendelea na maongezi yao hadi pale Joesan alipoagiza kuwa kwa muda huo ni wasaa wa kila mmoja kuelekea kwenye majukumu yake na akamuagiza Merina akamuoneshe Sex machine, ofisi atakayokuwa anafanyia kazi. Merina akafanya hivyo, alimchukua kijana huyo na kumuongoza hadi mahali husika. Akamkabizi ofisi hiyo ambayo ilikuwa na kila kitu kinachotakikana kuwapo katika ofisi ya kileo. Merina akamwambia kijana huyo kuwa hapo ndipo atakapokuwa anapatikana kila awapo Tanzania na yupo huru kuitumia wakati wowote na muda wowote anapohitaji kuitumia "oo! Ni nzuri sana kwakweli nimeipenda sana, asate dada" alisema Chriss na kukaa kwenye kiti chake cha ofisi hiyo aliyokabidhiwa punde na kuzunguuka kama tufe. "imekupendeza sana ofisi hii kama mkurugenzi wa kampuni hii kwa jinsi ilivyo kukaa" alisema Merina huku akizunguuka mule ndani ya ile ofisi na kumfanya kijana huyo ayakague makalio yake kwa chati. " ni mrembo sana huyu binti" aliwaza Chriss kisha akasema. "acha kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa Merina, mimi najiona kama sistahili kukalia kiti hiki halafu wewe unanifunga kamba bwana"

    kweli vile kaka sikutanii, kama huamini nikufotoe picha moja hapo uone" alisema Merina huku akitoa simu yake ya kisasa kabisa na kutaka kumpiga picha Sex machine. "no, no,no Merina usifanye hivyo tafadhali" alimzuia. "nini sasa jamani mbona unanizuia sasa, au hupendi kupigwa picha na mimi SM" alisema Merina huku akiishusha simu yake ambayo alikuwa tayari ilikuwa usawa mzuri wa kuweza kupiga picha hiyo. "kiukweli nashindwa kukaa mbali kabisa na kijana huyu japo jana alinikomesha lakini dokta Emmy ameniambia kuwa ni kiherehere changu tu ila ni kijana ninayempenda sana lazima nilale nae tena kwa mara nyingine na mimi anipe raha kama ambazo ametoa kwa mzungu" aliwaza Merina akiwa ameing'ata lipsi yake ya juu akiwa anamuangalia Sex machine. "basi naomba tupige selfii moja au pia hutaki?" aliuliza Merina akiwa tayari amejivuta kwenye kiti na kutaka kumshika, sauti za viatu vya mchuchumio ikasikika. Merina akarudi kwenye nafasi aliyopo awali na kujizugisha kwa mambo mengine. "vipi umeipenda ofisi yako Sex machine?" lilikuwa ni swali kutoka kwa mtu aliyeingia ndani humo. "yaa, nimeipenda ni nzuri sana najiona mimi tu kila upande" alijibu hivyo Chirss na kusababisha vicheko vikali kutoka kwa mabinti hao. "unafikiri utani Suzane, akaweka koma na kutulia kidogo. Suzane akadiha kidogo hali iliyompelekea kuendelea. " sikudanganyi, hapa mfalme ni mimi, wa korea wote wamesingiziwa. Najiona kama Mswati vile."

    "sawa bwana" akasema hivyo Suzane na kumgeukia Merina na kuomba apishwe, Merina hakuleta pingamizi. Suzy akayarudisha macho yake kwa kijana huyo mwenye mvuto wa pekee na kuongea kile kilichomleta mahali hapo. "kazi inaanza rasmi sasa, kesho unasafiri kwenda nchini Uingereza. Hapo ndipo utakapoanza kulitumia lile vazi lako la kazi" akameza mate lakini akisikiliza pia kijana huyo atasemaje. Alipoona kimya akaendelea "kuna mtoto wa tajiri mmoja mkubwa sana hapo London, anaishi na mama yake tu ila ulinzi aliouweka mama huyo kwa binti yake huyo ni mkubwa kupindukia. Na ramani nzima ya jengo hilo ni hii hapa" alisimama hapo Suzane na kuifungua ramani hiyo kwenye karatasi fulani ndogo mh, akaguna Chriss baada ya kuiona ramani hiyo jinsi ilivyo. "vipi?" akauliza Suzane lakini jibu hakulipata kwa haraka kama alivyotegemea, jibu likaja baada ya kama dakika moja kupita na si jibu pia badala yake lilikuwa swali. "umesema anayemiliki jingo hili ni mwanamke?"

    "ndiyo, mama huyo haamini wanaume maisha yake yote kwani hata jinsi ya kumpata mtoto huyo, amenunua mbegu maabara na kupandikiza. Inasemekana hakuwahi kulala na mwanaume tangu utoto wake"

    "hana walinzi sasa?" akawahisha swali Chriss. "walinzi anao ila walinzi wake wote ni wanawake hata wa getini ni wanawake pia na wako vizuri katika kila nyanja" alipofika hapo Suzane, Sex machine alichoka alijikuta anaiacha meza aliyokuwa kaiinamia akiiyangalia ile ramani, na kuigamia kitini akiwa hoi. "naingiaje sasa?" akajiuliza mwenyewe huku akiwa anamuangalia Suzane machoni kanakwamba anasubira jibu. Akajikuana kidevu chake kilikuwa bado hakijaingiza ndevu hata moja haikujulikana kuwa bado ni mtoto haja balehe ama ni ukoo wake tu ulizikataa ndevu. Swali lile alilo jiuliza, akaona akikaa nalo ni sawa na kipofu asiyejua njia halafu kagoma kuomba msaada kwa wenye macho. "mbinu zipo nyingi tu na kazi hiyo unayo wewe mwenyewe Sex machine. ukumbuke tu, binti huyo hajawahi kuingiliwa hata kwa sekunde moja hivyo ni bikra kabisa", alivyosikia kuwa ni bikira, akashtuka. Si kama alishtuka eti, kwasababu mtoto ni bikira kwahiyo kwake ni zali, laa hasha! Alizijua shida za mabikira zilivyo. Itakuwaje? likawa swali jingine tata kichwani mwake. Na atatumia muda gani. Akiwa anaendelea kujiuliza, Suzy akasema. " kila baada ya mwaka mmoja kuna ibada maalumu inafanyika, ibada hiyo ni kwaajili ya kujiombea yeye na binti yake, ili azidi kudumu na amuzi lake hilo la kutokuishi na mwanaume lakini awe na uwezo wa kupata mtoto akimhitaji na si kwa ........................



    kuingiliwa bali kwa kupandikiza mbegu ambazo anathubutu kuzinunua kwa mabilioni ya pesa. Maisha hayo kwake yamekuwa ni kama imani na anaamini kweli. Wanakuja wanawake wa kila aina wakiwemo watawa kwa ajili ya kutekeleza ibada hiyo. Siku hii wewe utakuwa miongoni mwao. Ibada hiyo itafanyika tarehe 6 october ambayo ni kesho kutwa." aliweka tuo hapo na kumuangalia kijana huyo kama amemuelewa sawa sawa. Sex machine akatikisa kichwa kukubali na hiyo ilimaanisha kuwa ameelewa vizuri. Suzane akazidi kutoa maelekezo "tunaingiza pesa nyingi sana kwa kazi hii Sex machine, ni zaidi ya dolla milioni mbili.......!"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "what?" akang'aka Sex machine. "ndiyo, huyo binti amesema amekuwa akiteseka kwa kipindi kirefu sana, amekuwa ni mtu wa kuangalia picha za ngono tu na kujipa maumivu. Walishakwenda magigolo wengi ikiwa ni katika mbinu zake za kutaka kufanya nao mapezi, alishaagiza gigolo kutoka Tanzani miaka kadhaa nyuma lakini Gigolo huyo alifeli na kukoswakoswa kuwawa. Anasema wameishia kuuwawa vifo vya kikatili sana na yeye kushindwa kutimiza azma yake. anasema amepita kwenye mtandao wetu na kuona sifa zako ni tofauti na magigolo wote aliowahi kuwasikia na akaadhimia kufanya chochote ili tu afanye mapenzi kwa mara ya kwanza"

    "anaumri gani?" hatimaye akauliza swali Chriss baada ya kuwa msikilizaji kwa muda kidogo. Suzane akajibu kuwa binti huyo ana umri wa miaka ishiri na sita kisha akaendelea kumpa maelezo. "utaingia kama mualikwa nadhani umenielewa nikisema mualikwa" Chriss akatikisa kichwa kuafiki. "utaandaliwa kila kitu kwa ajili ya safari hiyo hapo kesho nikutakie maandalizi mema ya safari" alimaliza Suzy kisha hakutaka kuendelea kuwepo tena mahali hapo. Chriss akabaki ametulia kimya akitafakari. Kichwa kilikuwa kikimgonga si kidogo kila alivyoitathmini kazi hiyo na ugumu wake, ni wazi alichoka. "mh! Kazi inaanza kuwa ngumu sasa, mtu anaulinzi wote huo halafu naambiwa niende na mmeshaambiwa kuwa kuna magigolo wamekufa" aliwaza Chriss. "mimi ni Sex machine ni tofauti sana na hao wanaojiita magigolo" aliwaza tena akazunguuka kitini pale na kuitupia macho saa yake ya ukutani, ilikuwa ni saa tano za asubuhi tayari. Akanyanyuka na kutoka ofisini mule na kwenda kutafuta mgahawa.



    NIZYNIY NOVGOROD. URUSI.



    Ndani ya jumba moja la thamani ya juu, bwana mmoja mrefu mwenye mwili mkubwa alikuwa juu ghorofani akiishangaa mandhari safi ya jiji hilo tulivu. Simu yake ya mkononi ikaunguruma, akatazama mpigaji na kuiweka sikioni. "sema mr. Black?" alianza maongezi mtu huyo. "mambo mazuri, tayari mzigo uko oda na kesho unakamilika nafikiri tunaanza Brazil a.......!" alisema mtu wa upande wa pili ambaye alifahamika kwa jina la Black lakini akakatishwa na bwana huyo. "huyo si mgeni kweye biashara na anatokea Africa, tusije tukacheza dili za bahati nasibu Black safari hii sitawaelewa napoteza gharama nyin......!"

    Chalcovich!!! Wewe ndiyo unamjua leo J. Tumefanya nae biashara kwa muda mrefu sana na ni mtu makini, hawezi kutuletea mtu mjinga na unanijua vizuri, akija hapa ni lazima nimjaribu kwa makomando wangu akiwa mzembe namuulia mbali na tunaacha kabisa biashara hii, Kesho atakuwa Uingereza. Hizo ni taarifa za awali tu." alisema Black Clocodile kwa tambo kubwa simuni. "umeshawasiliana na jamaa tayari?" akauliza swali Chalco. "ndiyo na kesho ndiyo anawasilisha"

    "ok" akajibu Chalco na simu ikakatwa. Bwana huyo mrusi mwenye utajiri wa kutupwa aliendelea kuzunguuka kule juu hadi alipotosheka, akaelekea mahali na kukaa, akatulia hapo akizisoma nyakati.



    Saa kumi na mbili jioni tayari Chrss/Sex machine, alikuwa ameshapanga kila kitu kwa ajili ya safari. Alishapangilia kila kitu hadi mbinu ambazo atatumia kuingilia ndani ya jingo hilo husika. Alipasha mwili kama kawaida na kufanya kila kinachostahiki kwa wakati huo. Alipo maliza alifungua brifcase yake na kucheki hati zote za kusafiria kama ziko sawa kisha akaelekea sebuleni na kupoteza muda kwa kuangalia filamu kali ya kipelelezi inayokwenda kwa jina la IRIS kutoka kwenye vichwa vya wakorea.

    Saa 06:26 Asubuhi. Chriss alikuwa amesha jiandaa tayari na muda huo alikuwa akimsubiri Suzane kwa ajili ya kumsindikiza uwanja mdogo wa Morogoro. Haukupita muda mrefu sana gari ikaingia, Chriss akazama ndani na gari ikaondoka. Saa mbili kamili Sex machine anaiacha ardhi ya morogoro kuelekea Nairobi ambako angebadilisha ngege. Hadi inafika saa nane, Sex machine alikuwa ameshawasili siku nyingi jijini Nairobi na tayari alikuwa kwenye uwanja wa kenyata. punde akawa angani akiyakata mawingu kuitafuta London Uingereza. "inabidi kumfuatilia sana maana ni kama mgeni kabisa pale alipo" alizungumza Joesan akiwa kwenye kiti chake amekaa ofini kwake. "lakini Chriss ni mtu wa ajabu sana na vitu vyake anavipeleka kisomi zaidi" alimtoa wasiwasi bosi wake Suzane. Kila mmoja akarudi nafasi yake ya kazi kusikilizia mawasiliano na Sex machine. "habari za jioni?" alisalimia kwa kiingereza safi Chriss mara tu alipofika kwenye maegesho ya tax. "nzuri karibu?" alijibu kijana mmoja mtu mweusi na kumkaribisha kijana huyo. "nipeleke Loevender Hotel" alisema Chriss akiwa tayari yupo ndani ya tax hiyo. Safari ikaanza taratibu, ilikuwa safari ndefu kidogo. Chriss akawa anatazama nje tu kila alipokuwa akiona kitu tofauti. Alipenda kuwa mchunguzi wa kila jambo. "tumefika kaka" alisema dereva wa gari hiyo mara baada ya kusimama mbele ya jingo hilo la hoteli. Chriss alishuka na kulipa nauli kisha akaelekea ndani ya hoteli hiyo. Alikaribishwa vizuri na dada wa mapokezi, akalipa kila alichotakiwa kulipa akakabidhiwa kadi maalumu kwenda kuoneshwa chumba. Kilikuwa ni Chumba namba 56. Alikikagua chumba hicho nje ndani na kuitupia brifcase yake kitandani kisha akavua nguo na kuelekea bafuni. alijimwagia maji kwa muda mfupi na kuanza mikakati ya kazi yake. Alipoangalia saa yake ya mkononi tayari ilikuwa ni saa tatu usiku. akanyuka suti yake safi nyeusi na kutoka nje ya hoteli hiyo. Akachukua usafiri na kuelekea katikati ya mji. Alitembea taratibu ndani ya jiji hilo lenye sifa ya kuwa na watu wengi, pita nipite ya watu ilikuwa kubwa sana, kituo chake cha kwanza ilikuwa ni kwenye Sper market kubwa mjini hapo. akazunguuka ndani ya duka lile akiwa ni mtu anayetafuta kitu fullani. Alizunguka hivyo kwa muda hadi pale alipofika mahali ambapo ndipo kwenye kitu alichokuwa akikihitaji. Akagusa gusa halafu akapotezea. Akafikiri kwa muda nini afanye, jibu hakupata. Akaona akiganda hapo muda mrefu anaweza kushtukiwa hivyo akazidi kwenda hapa na pale huku ubongo wake ukifikiri cha kufanya. Akachukua ua fulani na kutembea nalo huku akilitazama kwa mtazamo wa kipekee kabisa mithili ya mtu anayestaajabu kuona kitu cha namna hiyo, alifanya hivyo huku macho yake makini yakiwa kwenye kamera za usalama za humo ndani hadi akajikuta amejigonga mahali lakini palikuwa ni pale alipokuwa amesimama mwanzo. "ooosh!!" alisema huku akijisugua mahali alipojigota kwenye paji lake la uso. "hey, are you ok?" mwana mama mmoja alimuuliza alipokuwa anajisugua namna hiyo. "yea, yea, i'm ok!" alijibu Chriss huku akilichukua ua lake mahali lilipokuwa limeangukia ambapo ni pale palipokuwa na vile vitu alivyokuwa akivishikashika hapo mwanzo. Hakunyanyuka na ua pekee. Alatoka humo ndani akiwa amelipia ua tu huku kile kingine alichokificha ndani ya vazi lake akiwa haja kilipia. Hakutaka kupoteza muda tena alicho kifanya ni kurudi kwenye hoteli aliyofikia "oou god" alisema Chriss alipokuwa chumbani kwake huku juu ya meza kukiwa na kadi moja ya pekee sana. Ndiyo, hicho ndicho kilichokuwa kimempeleka ndani ya Super Market ile. Hiyo ilikuwa ni baada ya kujua ni kitu gani kinachoruhusu watu kuingia ndani ya jumba la mama mwenye masharti magumu. Na alikuwa na maelezo kamili juu ya kadi zinazotumika japo aliambiwa kuwa kadi hizo zimechongeshwa maalumu tu kwa kazi hiyo na zipo kwa idadi maalumu, ila alitakiwa kuwa na mfano wa kadi hiyo ambayo atakwenda kuitumia mahali. Akishapewa kila kitu kutoka kwa mabosi zake hivyo ilikuwa ni kugushi kadi hiyo ili iendane na kadi husika ya kuhudhuria kwenye ibada hiyo maalumu. Haikuwa kazi ngumu kwake ni tendo lililochukua nusu saa tu hadi kukamilika kwake. Baada ya kuridhika na kile alichokifanya, alijitupa kitandani na kutafakari mustakabali mzima wa kuhitimika kwa kazi hiyo ngumu na ya aina yake. Alikuja kuchukuliwa na usingizi bila kujijua na kuja kushtuka saa saba usiku, akaamua kujiweka sawa kitandani na kulala kabisa. Asbuhi mida ya saa nne asubuhi za London, aliamua kulitembea jiji hilo ili aweze kulifahamu vizuri. Aliamua kuchukua gari ya kukodisha ili aweze kuwa na muda mzuri wa kufanya mambo yake ya siri akiwa peke yake. Alitembea hadi lilipo jumba hilo kubwa lenye ulinzi wa kutisha. Ukiachilia mbali ukuta mrefu wa jumba hilo pia kulikuwa na nyaya maalumu zilizokuwa zikipitisha umeme mkali kila baada ya sekunde moja. Kamera zilikuwa kila upande wa jumba hilo. Chriss alivuta hewa ndani na kuitoa kwa fujo kasha akawasha gari na kutitia zake. "kama nitafanikiwa kuingia ndani ya nyumba hii, basi hakuna nyumba nyingine yoyote ambayo itanishinda" aliwaza Chriss akiwa kwenye mitaa kadhaa ya jiji hilo. Hadi inafika mida ya saa nane za mchana, alikuwa hajapata kutia chochote kitu ndani ya tumbo lake na wala hakuwa akihisi njaa. Akili na mawazo yake yalikuwa ni kwenye jumba lile. "muda umekwenda sana limebaki lisaa moja tu kuelekea ibadani." alisema Chrss moyoni na kuwasha gari na kuondoka kwa kasi sana kutoka eneo hilo alilokuwepo. Nusu saa baadae alikuwa tayari amekwisha jiandaa kabisa. "sina hakika kama huyu atafanikiwa, nitafurahi sana endapo na mimi nitafanya mapenzi" aliwaza binti huyo mdogo mwenye umbo zuri la kuvutia mtoto ambaye aliwekewa ulinzi mkali na mzazi wake ili tu asiweze kujihusisha na masuala ya mapenzi. "kama huyu hatafanikiwa kuingia humu basi sina budi kufa tu maana siioni thamani yangu kama mwanamke" alizidi kuwaza binti huyo na kila wakati alikuwa akitazama majira. Aliona kama muda hauendi kwa speed ile iliyozoeleka.

    Wamawake walianza kuingia mmoj baada ya mwingine ndani ya mjengo huo ambao kama utaleta zengwe lolote ukiwa ndani basi adhabu yake ni kifo. lilikuwa ni jengo linalo milikiwa na mwanamke katili asiyependa kitu kinachoitwa mzaha hata kidogo. Wakati wanawake hao wa lika mbalimbali wakiwa wanaingia, mmiliki wa jingo hilo alikuwa juu ya flow ya pili akifuatilia kila kitu. "funga geti idadi iliyokusudiwa imeshaingia yote" alisema huyo mama na walinzi wa getini kupitia kipeleka sauti alichokuwa amekibana kitaalamu sana kwenye vazi lake ghali. Nq hiyo ni baada ya kupata idadi hiyo kwa kuhesabu mwenyewe pale juu alipokuwa amekaa. Swali la kujiuliza, kama watu wameingia kwa idadi ............................



    tambulishi, Sex machine ameingiaje kama kweli ameingia na kama hajaingia, ataingia kwa njia gani tena. Walipofika ndani walizunguuka mahali fulani ambako palikuwa na mzunguuko maalumu ulio kuwa umetengenezwa kwa ajili ya ibada hiyo. Wakati hayo yote yanafanyika kuna mwanamke mmoja alikuwa akimkazia macho mwanamke wa kiafrika. Japo yeye pia alikuwa ni mwafrika lakini jicho lake halikukoma kumtazama msichana huyo ambaye alikuwa na sura nzuri ya kuvutia na mwenye umbo lililokuwa na sifa zote za kibantu na msichana huyo aliyekuwa akitazamwa muda wote akikuwa akiitazama saa yake kwa kificho sana. Yule dada aliyekuwa akimtazama mwenzake, mara kwa mara alionekana akitabasamu. "asanteni kwa kufika hapa kwangu siku ya leo kwa ajili ya kutekeleza ibada hii maalum ya kumuomba Mungu wangu azidi kumungoza binti yangu na mambo yasiyofaa. Ni miaka ishirini na sita sasa hajaguswa na uchafu wa aina yoyote ile." alikuwa ni mama wa makamo wa kizungu ambaye alikuwa amejifunika mwili mzima isipokuwa jicho moja tu la kushoto ndilo lililokuwa wazi lakini pia lilikuwa limezuiwa kwa lenzi fulani hivi ambayo haikujulikana ameifunga hapo jichoni kwa kazi gani. "sasa" akaendelea mama huyo. "ni muda wa kuingia chumba cha giza kwa ajili ya kukamilisha ibada hii ili mungu wa binti yangu aweze kuipokea" alipofika hapa mama huyo, yule binti ambaye alikuwa akimtazama mwenzake kila wakati alitabasamu zaidi baada ya kumuona mwenzake akiwa anatazama saa tena. "kuna muda huwa wanaingia chumba cha giza kama ambavyo binti huyo alitupa maelekezo, sasa muda huu wewe ndiyo utautumia kwenda chunbani kwa huyo binti." aliwaza mwanamke yule aliyekuwa anatazama saa yake ya mkononi kwa kificho. "kumbuka kuwa ibadada hiyo ya huko kwenye chumba cha giza inatumia muda wa nusu saa pekee. na mwanamke huyo huwa anatangulia yeye mbele na huko ndiko kwenye njia ya kuingia chumbani kwa binti huyo. ni kabla hujaingia kwenye mlango wa chumba cha giza, kushoto kwako, utachepukuka na kuingia huko. Kuanzia hapo hakuta kuwa na ulinzi tena na utafanya yako bila wasiwasi" alimaliza kuwaza mwanamke huyo na msafara huo ukiwa tayari umeanza. Alijiweka nyuma ili asiweze kugundulika lakini kuna dada alikuwa akimtazama sana na huwenda akawa amemgundua. Huyo ndiye alikuwa sex Machine bwana kijana mahili wa mipango mingi na mbinu za kutisha. Umati ule mdogo wa wale wanawake ulikuwa ukisonga tarati huku ukimya ukiwa umetawala sana ndani humo. Mwanamke yule ambaye alikuwa akiangalia muda kila wakati, alipofika mbele kidogo aliona uwazi ambao uko upande wa kushoto. Alipoukaribia uwazi huo, akachepuka na kupotelea kwenye uchochoro huo. Yule dada ambaye alikuwa akitabasamu muda wote, aligeuka nyuma na kujikuta yeye ni wa mwisho, akatabasamu tena na kuendelea kuingia ndani ya chumba hicho cha giza. Huyo mwanamke aliyechepuka kwenye ule uwazi hakuwa mwingine bali ni Sex machine ambaye alikuwa kwenye mtazamo tofauti sana. Huwezi kumgundua hata kidogo kama alikuwa ni mwanaume.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ILIVYOKUWA



    Wakati Chriss anatoka pale hotelini ile asubuhi na kwenda matembezi, hakuwa anakwenda matembezi pekee bali kulikuwa na kazi maalumu ambayo alikuwa anakwenda kuifanya. Aliipiga fimbo gari yake hadi pembezoni mwa jiji hilo la London, huko alikwenda hadi kwenye jingo moja ambalo lilikuwa na muonekano wa kawaida lakini mtu aliyekuwa akiishi hapo hakuwa wa hali ya chini na alikuwa ni msichana mrembo mwenye asili ya kiafirika. Sex machine alipaki gari nje ya geti na kubonyeza kitufe fulani getini hapo. Muda mfupi lango hilo likafunguliwa na mwanaume mmoja mwenye silaha mkononi akachungulia. Pigo moja kali lililo tua kwenye mfupa wa pua likamfanya mlinzi huyo kugumia ndani kwa ndani, hajakaa sawa mlinzi huyo akaguswa kwenye mshipa wa shingo kitaalamu zaidi na kabla hajadondoka chini akamdaka na kumsogeza pembeni ya lile geti, akamuacha hapo na kusonga kwenye kibanda kimoja humo ndani. Huko akakutana na walinzi wawili nao wa kiume, akawapulizia dawa fulani na kuendelea kujibana mahali hapo hadi wale mabwana wakatopea kwenye usingizi mzito. Ndipo alipoelekea kwenye mlango wa kuingilia ndani ya nyumba hiyo. Haikumpa tabu Sex machine kwani alikuwa na ramani nzima ya jengo hilo na taarifa zote za ulinzi. Na taarifa zote hizo alizipata kwa mabosi wake, hapo ndipo alipotakiwa kuitumia kadi ile ya kugushi yaani aache ile na achukue kadi halisi na kila kitu kuhusu yeye. Alisha elekezw tayari, alibonyeza tena kengele mara muda huo huo mlango ukafunguliwa na mwanamke huyo wa kiafrika Chriss/Sex machine akamsukumia ndani na kumbana vizuri dada huyo ambae alikuwa amekumbwa na taharuki kubwa juu ya ujio wa mtu huyo nyumbani kwake. Kabla hajapata muda wa kuhoji, alijikuta akipuliziwa dawa fulani ambayo baada ya nuda mfupi ilimnyong'onyeza. Sex machine alimchukua dada huyo na kwenda kumlaza kitandani kabla ya kutoka nje ya nyumba hiyo. Akamchukua yule mlinzi ambaye alimzimisha naye akampa haki yake na kwenda kumuweka kwa wenzake wote wakiwa hawajitambui. Sex machine alifanya hayo yote kwa sababu alitakiwa kuitumia sura ya mwanamke yule ili aweze kuingia kwenye sherehe ya ibada. Alifanikiwa. Hivyo alipofika kwenye chumba chake cha hoteli alichofikia, alichukua sura ya bandia na kuivaa pamoja na mavazi maalumu ya sherehe hiyo lakini ikiwa ni sare ileile iliyokusudiwa na wahudhuriaji wa shughuli hiyo. Alikuwa akifanana kila kitu na mlengwa kuanzia sura, mavazi hadi kadi aliyochukua. Akaingia bila shida huku mama mwenye sherehe akiamini kuwa wote walioingia humo ni wale aliowakusudia kumbe mmoja wa wahudhuriaji wake alikuwa amefungiwa yeye na walinzi wake tena akiwa katika usingizi mzito wa muda maalumu. Hayo ndiyo mambo ya mkorea bwana Lee Kim. Mnyama. Ambaye kila kukicha anabuni mbinu hatari za kumuingizi pesa nyingi zinazozidi kunawirisha utajiri wake kote duniani.



    Sex machine alicheza na ramani pekee, aliingia ndani kwa kufuata ramani hadi alipouona mlango wa chumba cha binti huyo ambacho hakikuwa kikifungwa abadani. Alinyonga kitasa na kumkuta binti huyo akiwa amejikunyata kinyonge kabisa lakini alipomuona mwanaume huyo, alikurupuka kitandani hapo na kumrukia kwa furaha kubwa kwani hakuamini kama angeweza kufika ndani ya chumba hicho hadi hapo alimpigia saluti kijana huyo ambae bado alikuwa kwenye mavazi yake ya kike. Alichokifanya Sex machine ni kuvua yale mavazi lakini sura hakuitoa alibakiwa na lile vazi lake maalumu ambalo aliambiwa kuwa vazi hilo halitoki mwilini hata kidogo. Binti yule hakuamini kama kwa mara ya kwanza anaushika uume wa kidume kinacho kwenda kumpa raha za dunia ambazo alikuwa akiziota kila kukicha. Mwili wote ulikuwa ukimtetemeka, hofu ikiwa moyoni mwake. Macho yake alihisi kama yamefumba na yanachokiona hapo ni ndoto. Alikuja kuamini kuwa hicho kilichopo mbele yake si ndoto bali ni hali halisi, baada ya kuutia mdomoni mpingo ule ambao kwa muda huo ulikuwa hewani. Alikuwa yupo katika furaha ya aina yake binti huyo bikira. Sex machine alilijua jukumu lake na hapo alijua ni nini kilicho mpeleka, njonjo za huba zikamuanza, utaalamu uliomfanya akachaguliwa na Suzane kuwa anaweza kazi, akauonesha kwa bint huyo wa kiingereza mwenye urembo wa aina yake. Binti tajiri na mwenye ulinzi wa kutisha. Kutokana na ugeni wake katika mchezo huo, alijikuta ndani ya dakika tano tu za kupashwa moto, akiwa amevuka mifereji mitatu ya kilele cha raha. Alijiona kama pepo ya daraja la juu kabisa anaigusa kwa viganja vyake vya mikono kwa jinsi alivyokuwa akijisikia. Sex machine akawa anacheza na muda na alijua kuwa mtoto huyo hatadumu naye kwenye mchezo kwasababu ya bikira aliyonayo. Dakika kumi zilipowadia tangu kuanza kwa shamra shamra ndipo akamkwea binti huyo, mwanzo akimpa raha ya aina yake kwani hakuwa ameenda kina kirefu hivyo kumfanya binti huyo apige kelele za raha na kumsifu kijana huyo kuwa hajawahi kuhisi wala kufikiria kuwa angekuja kupata raha na utamu wa aina hiyo. "lazima nikulipe zaidi nitakulipa mara mbili ya pesa nilizolipa kwenye kampuni yako, asante sex machine, asante sana. Kula mimi baby boy, kula yote ukiweza, kula kwa nguvu zote aaaaaaaaaa rahaaaaaaaaa, taaaaaaammmmmm, oooo yeeaa!" ndivyo alivyokuwa akilalama binti huyo kwa kimombo huku akiwa amefumba macho kwa hisia kali. Sex machine akaona huo ndiyo muda wa maangamizi na kumroga kabisa binti huyo, muda wa kuila bikira yake kwa chumvi ya mawe. Akazama ndani kwa kushtukiza na kutulia hapohapo. "maaaaaaaaaaaaaaa!" alipiga kelele kama anakufa binti huyo hadi mama yake kwenye chumba cha ibada akasitisha ibada kwa muda huku akiwa ni kama moyo wake unahisi kitu fulani lakini akakipuuza na kuendelea na hitimisho la ibada hiyo ambayo ilikuwa imebebakisha dakika tano pekee. Sex machine aliongeza speed za kumfikisha kileleni, kweli dakika mbili mbele akamuogesha binti huyo kwa mvua ya ajabu kama kawaida yake huku akiwa anaunguruma kwa burudani ya aina yake. Binti huyo hakusema kitu bali alikuwa analia tu mwanzo mwisho huku akiacha sifa kwenda kwa kijana huyo. "japo nimeumia lakini sitakusaha Sex machine na nakuahidi kukutafuta popote duniani maana wewe ndiyo umenifungua kutoka kwenye kifungo hiki. Naamini mama hatoniweka tena ndani kwa kuendekeza chuki zake kwa wanaume, nitaruhusiwa kutoka na kufanya maisha yangu kwani sitafanya jitihada zozote za kujisafisha hadi pale mama atakapo nikuta." aliongea binti huyo huku akiwa anabubujikwa na machozi ya aina mbili, maumivu ya kutolewa bikira na furaha ya kitu adimu alichopewa na Sex machine. Sex machine aliona kama binti huyo anaongea sana na kawaida yake huwa hasubiri asante, aligeuka na kutaka kuondoka kwani muda ulikuwa umeshatimu tayari na muda wowote wanawake wale wanatoka chumba cha giza. Kilikuwa ni chumba cha giza kweli mana mkiingia humo hakuna kuonana na masharti ya humo ni hakuna kuwashwa taa. "Sex machine!" aliita yule binti. Sex machine akageuka. "kamata hii na utakwenda kutoa popote duniani, nakutakia safari njema na nakuombea utoke salama ndani ya nyumba hii mpenzi." alisema dada huyo na kumkabidhi karatasi fulani kijana huyo ambayo aliitoa kwenye mtoto wa kitanda chake. Sex machine akatoa ishara ya kushukuru na kutoka mule ndani. Alipofika kwenye ule uwazi alijibana mahali na muda huo huo akamuona yule mama akipita usawa huo na kusimama kidogo na kutazama kule ambako Sex machine alikuwa amejibanza. hofu ikamshika akajua labda ameonekana lakini mama huyo akaondoka na wanawake wengine wakafuatia lakini mwanamke wa mwisho, akaonesha ishara ya kumuita huku usoni mwake kukiwa kumepambwa na tabasamu. Sex machine akasita na kutaka asitoke .........





    lakini hakuwa na njia nyingine zaidi ya hiyo, ikabidi atoke na kuunga huku kichwani mwake akiwa na maswali ya kujiuliza kuwa mwanamke huyo ni nani na kwanini alionesha ishara ya kumuita, je, alimuona? Na kama alimuona inamaana mpango wake anaujua. Kama anaujua ni vipi kama akitoa siri si atakuwa matatani? Yote hayo yalikuwa ni mengi ya maswali aliyokuwa akijiuliza. Akapiga moyo konde na kujiweka tayari kwa lolote litakalo jitokeza.

    "niseme tu asante marafiki zangu kwa kuweza kuniunga mkono kwa hili, huu ukiwa ni mwaka wa sita sasa tangu kuanza kwa ibada ya kumuombea mwanangu alindwe na mungu na asipatwe kuingili......!" akapaliwa na mate, akakohoa sana na alipomaliza kukohoa huko, akajikohoza tena kidogo kuliweka sawa koo lake kisha akamalizia kwa ufupi. "mtapita hapa nikiwamwagia maua ya baraka ili huko muendako kuwe na amani. Hakujua kuwa mingoni mwa hao anaowamwagia hayo maua yupo aliyeharibu utaratibu mzima wa maisha yake na laiti angejua nahisi angeangamiza aliyekuwemo na asiye kuwemo. Wote wakapita mahali hapo kwa utaratibu maalumu na kila aliyemwagiwa mauwa hayo alishika njia ya kumtoa nje ya jingo hilo. Yule dada hakukaa tena nyuma bali alikaa mbele kabisa na alimtupia macho Sex machine aliyekuwa amebeba umbo la mwanamke na kisha akatabasamu huku macho yao yakiwa yamegongana. Moyo wa Sex machine uliuma sana kwa jinsi ulivyokuwa ukijiuliza maswali yasiyo na majibu. Akaweka nadhiri moyoni lazima amfuatilie dada huyo hadi ajue anapoishi amjue ni nani na kwanini kila wakati anamtupia macho na kumtabasamia. walitoka hadi nje kabisa ya lile jingo na kitu cha kwanza alichokifanya Sex machine ni kumshukuru mungu wake kwa kumtoa salama ndani ya jingo hilo lakini cha pili ni kumtafuta yule dada. Alitafuta hadi akatafuta tena, patupu. Wanawake wote waliotoka mule ndani aliwaona lakini yule dada hakumuona wala usafiri wake hakuuona. "milima haikutani lakini binadamu ipo siku tutakutana na utanieleza wewe ni nani" alihisemea hivyo moyoni sex machine baada ya kukubali kushindwa kumpata dada huyo. CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/Aliingia kwenye gari yake aliyoikodisha na kwasababu gari ile ikikuwa ni tinted, alivua yale mavazi na ile sura ya bandi na kubakia na muonekano wake wa awali kisha akachukua ile karatasi aliyopewa na yule dada aliyetoka kumgonga, ilikuwa ni hundi ya dola za kimarekani laki nne na nusu. Akatabasamu na kuitazama ile nyumba ambayo ilikuwa kwa mbali kidogo na hapo alipokuwa ameegesha gari yake. akaipiga busu la mbali. "natajirika kwa bakshishi tu mbali na mshahara wa kampuni" aliwaza Chriss na kutoweka eneo hilo. Chriss baada ya kuoga alijitupa kitandani akiwa ameshika ile hundi ya dola za kimarekani, tabasamu la mbali likamjia kakini ghafla kichwa chake kikavamiwa na maswali lukuki juu ya yule msichana aliyempa hofu kule kwenye lile jumba la yule mama. "hivi ni nani yule, mbona kama napata wasiwasi juu ya uwepo wake pale au alikuwa anajua kuwa mimi ni yule mwanamke ambaye nilimzuia kule kwenye ile nyumba ambayo nitoa zawadi ya usingizi mzito na mimi kuichukua nafasi yake? Kama ni hivyo sawa. Lakini kwa muda huu watakuwa wamekwisha amka na kuikuta kadi yake ipo kumbe mimi nimeshafanya yangu." alijiuliza Chriss. "mh! Lakini kama ni hivyo alijuaje sasa kama mimi nimeingia kwenye kile kijiuchochoro cha kuelekea kwenye chumba cha yule binti hadi akanipa ishara ya kuniita wakati natoka mule ndani? Si bure yule naye alikuja pale na maana yake, na kama ni hivyo atakuwa anaufahamu ujio wangu wa ile sehemu. Kiroho kinanidunda na napatwa na kihoro cha kutaka kumfahamu kama si mbaya kwangu anaweza kuwa hatari kwangu. kitu kimoja kinachonishangaza ni kama kweli alinifahamu, kwanini basi asitoe taarifa kwa yule mama?" alizidi kukiumiza kichwa chake Chriss hatimaye akakata shauri kuwa ni lazima atamtafuta na kama anamfuatilia yeye basi atakutana nae mahali na hapo ndipo atakapo jua nje na ndani. Wakati yeye akiwa anawaza hapo, kule kwenye ile nyumba ya yule mama kulipokuwa kumefanyika ibada maalumu masaa mawili nyuma, mama yule alikuwa amepoteza fahamu si chini ya mara mbili na hiyo ni baada ya kumkuta binti yake ametapakaa damu sehemu zake za siri na si damu pekee bali alikuwa kachafuliwa kwa mbegu za kiume sehemu mbali mbali za mwili wake. Kitendo kile kilimfanya apate mshtuko mkubwa sana ambao ulimpelekea apoteze fahamu kwa mara ya kwanza, ya pili na tatu. Madaktari maalumu wa mule ndani wakawa wana kazi ya ziada ya kuhakikisha mama huyo anarudi katika hali yake ya kawaida. Punde mama huyo fahamu zikamrudia na kuchoropoa mbiyo hadi chumbani kwa binti yake na kumkuta akiwa ameshaoga tayari na muda huo alikuwa amekaa kimya kitandani kwake akiwa na hofu kubwa juu ya kile alichokifanya. Mama huyo aliikamata bastola na kumuelekezea binti yake akiwa ni mwingi wa ghadhabu. Mwili mzima ulikuwa ukimtetemeka jasho likimwagika, machozi nayo yakitiririka mashavuni na kujenga barabara kabisa. "kama hutaniambia ni nani aliyekufanyia hivi Doreen, napasua kichwa chako na hii risasi" alisema mama huyo huku mkono mmoja ukishindwa kuhimili uzito wa ile bastola kutokana na wingi wa hasira alizozibeba moyoni mwake. "mamii, sijabakwa hivyo sioni sababu ya kukutajia mtu aliyenifanyia haya" alijibu binti huyo lakini pasipo kutarajia, alishtukia anapokea kofi zito lililomyumbisha. "sina muda wa kubishana na wewe nyegere mdogo pumbavu, fanya kama nilivyo kuelekeza haraka sana. hivi unajua ni aibu kiasi gani nitaibeba kwa kunidhalilisha" sauti ya mkoromo wa hasira kali ilisikika mbele ya Doreen. Hofu ikamkamata haswa akajua kwa hasira alizozibeba mama yake ni wazi akileta mzaha atalitumbua jibu na usaha kumrukia usoni. "unasema au unataka kujua nini nitafanya kwako?"

    "nitase......nitasema mamii!"

    "now!" akaamrisha mama huyo. Ikabidi kueleza kila kitu anachokijua kuhusu kumpata Sex machine hadi jinsi alivyo zimwaga siri za ndani ya jumba hilo na kumpa mwanya wa Sex machine kuingia na kuweza kufanya naye ngono. Mama huyo alijihisi kama anataka kupasuka kwa jinsi mwili wake ulivyopata joto la ghafla kisha akasema kwa kujikakamua "ulichokitaka kimefanikiwa lakini nitamtafuta huyo Sex machine na nitamuua mimi mwenyewe kwa mikono yangu. Umeharibu nilichokuwa nimekipanga juu yako mwanangu, uko huru kwa sasa kutoka na kufanya chochote kwa sasa ila ukumbuke kuwa nawachukia sana wanaume na nitamuangamiza kila atakaye kukaribia" alimaliza mama huyo na kutoweka mule chumbani huku gauni lake kubwa jekundu liki pepea. Doreen akatabasamu na kuamini sasa anakwenda kuishi kwa amani ya moyo kuhusu kuishi na mwanaume hiyo ni mipango mingine atakayo ipanga.



    *************************%%%%%%%%%%%%%%%%



    Simu iliunguruma kwa muda mrefu sana muda huo wa usiku wa saa tano, Chriss akiwa mezani akicheki muvi kali ya kivita kwenye Kompyuta yake. Simu hiyo aliisikia sana ikiita lakini haikujulikana ni utamu wa muvi au aliamua tu kuiacha simu hiyo iendelee kuita kwa makusudi. Ilipoita kwa mara ya tatu ndipo alipoisimamisha muvi ile na kuifuata simu kitandani na kuipokea. "mbona napiga simu muda mrefu Sex machine na haipokelewi?" lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa mpigaji ambaye alikuwa ni Joesan. "nilikuwa nimepitiwa na usingizi kidogo boss, nipe mpya." akasema na kukaa kwenye nafasi aliyokuwa ameketi hapo awali. "kesho asubuhi unatakiwa uwe marekani na kuna mtu atakuja kukupokea utakapofika uwanja wa ndege wa kimataifa wa John F. Kenned. New York. Maelezo mengine utayapata huko kijana wangu" alimaliza kutoa maelezo Joesan na Chriss akajibu sawa. Simu ile ikakatwa. Pumzi ndefu zikamtoka kijana huyo baada ya kupokea simu hiyo iliyomtaka aelekee Marekani. "kazi baada ya kazi, mbaya zaidi hujui ni kazi gani unayokwenda kuifanya" aliwaza kijana huyo na kuamua kuizima kabisa ile kompyuta hata shauku ya kuendelea kuitazama muvi ile haikuwepo tena. Akaamua kujilaza na kuisubiria asubuhi aanze safari.

    Saa nne asubuhi, tayari Chriss alikuwa hewani akiyakata mawingu na dege la Air British lililokuwa linapasua anga kwa kasi ya ajabu. Alikuwa ameweka ear phone akisikiliza mziki mtamu wa nyumbani. Baada ya masaa kadhaa ya kuwa angani hatimaye ndege hiyo ya shirika la ndege la uingereza ilichomoa matairi yake na kuomba kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa jijini New York. Ilitua kisha abiria mmoja mmoja kutoka ndegeni humo alishuka. Abiria wa tatu kutoka mwanzo, alikuwa ni Chriss. Kijana anayejiamini na aliye mtanashati kupita maelezo, rangi yake ya maji ya kunde iling'arishwa na hali hiyo ya hewa ya jiji hilo. Macho yake yaliyozibwa na mawani ya jua yalikuwa yakiangaza kila upande wa uwanja ule wa kisasa kabisa. Alipofika chini, alishangaa anashikwa bega na kijana mmoja wa kizungu. "wewe ndiyo SM?" aliuliza kijana huyo wa kizungu. "hapana si mimi utakuwa umekosea" akajibu Chriss. Alikataa Chriss lakini ndilo jina aliloambiwa atalitumia nje ya kazi ya kampuni. Alitakiwa kujiita hivyo SM na si vinginevyo. "usiogope, naitwa Pol na nimetumwa na BC kuja kukupokea hivyo nifuate" akasema kijana huyo wa kizungu au Pol kama alivyo jitambulisha. Chriss akamtazama kijana yule kwa muda kisha akamfuata hadi kwenye gari ya maana. Akafunguliwa mlango na kuingia. "kumbe rangi hii muda mwingine inanidhamu" alisema Chriss na kutabasamu. "karibu sana New York City SM, unalionaje hili jiji?" alianzisha maongezi Pol. "nimekaribia, ni mji mzuri sana na umejengwa kitaalamu sana"

    "ni mara yako ya kwanza kufika kwenye mji huu?"

    "ndiyo, sikuwahi kufika kabla ya leo"

    "oooh! karibu sana kwenye jiji la starehe, jiji lenye raha za kila aina na ni jiji ambalo ukizionja starehe zake huwezi kutamani kuacha" alizidi kusifia Pol huku tairi za gari hiyo zikisuguana na lami si kawaida. Chriss alitumia muda mwingi kutabasamu kwa chati sana huku akiyaruhusu macho yake yaushangae uzuri halisi wa jiji hilo sifiwa. Lango kubwa lililokuwa lina picha kubwa ya Mamba mwenye rangi nyeusi huku likiwa na maandishi makubwa mekundu chini kidogo ya mamba huyo yaliyosomeka BC yakiwa na maana ya Black Clocodile. Lilifunguliwa lango hilo na gari ile kuingia ndani kisha lango hilo kujifunga. "Karibu sana katika himaya ya BC mr. SM" alikaribisha kijana huyo mara baada ya kumfungulia mlango wa gari. Hakujibu kitu Chriss bali alishuka na kuzunguusha macho yake na shingo kusoma mazingira ya eneo hilo. Hiyo ndiyo iliyokuwa kawaida yake, hakubali kukaa mahali bila kucheki usalama wake wa awali. Alipojiridhisha, akamgeukia yule kijana na kuongozana naye hadii ndani kabisa ya jingo hilo lenye uchafu wa kila thamani ndani yake. "oooh! Karibu sana kijana, umefika mahali sahihi kabisa. Mpokeeni .......................................



    Mpokeeni brifcase yake mbona mnamuacha hivyo?" iliongea sauti hiyo kabla ya kutokea jamaa mweusi mwenye mwili wa mazoezi uliotuna misuli. Alionesha dhahiri kuwa pesa kwake si haba. Chriss alipotaka kupokelewa ile brifcase alikataa kata kata. Yule bwana ambaye ndiye BC mwenyewe akawaambia basi kama hataki kupokelewa msimlazimishe. Akafika hapo na kumpa mkono kijana huyo kisha akatoka naye hadi nje ya jingo lile upande wa nyuma. "ninakwenda kukupa kitu cha thamani kubwa sana kijana, ukipeleke mahali lakini mimi huwa simuamini mtu kwa kumtazama tu bila kumpa mtihani,CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/ hivyo hapo ulipo ujue kuwa unaingia katika jaribio langu ili nijue ni kiumbe gani anabeba bidhaa hii" alisema bwana huyo mara tu walipofika hapo. Akatoa ishara na vijana wawili waliokuwa fiti wakaletwa. Pambana na hao Chui wenye hasira kijana hakikisha unauwa kabla hawajakuuwa" alisema BC na kusogea mahali akaitupia mikono yake nyuma na kucheki mpambano huo. Chriss aliliweka brifcase lake chini na kuwatazama vijana wale jinsi walivyokuwa wana kuja kwa mahesabu makubwa. "hawa ni wapambanaji kweli maana hata ujio wao si wa watu wa kawaida" aliwaza Chriss huku akizidi kutazama jinsi wanavyosogea. Akiwa haelewi aanzie wapi, alichezea makonde ya nguvu kutoka kwa kila mmoja wa maadui zake. Aliyumba na kujiweka sawa tena. Hajakaa sawa, mapigo mengine ya kushtukiza yalimuingia wote wakiwa wamemshambulia kwa wakati mmoja. "wanashambulia wote na kwa mtindo huu ni ngumu kujua yupi anakuja na yupi anasubiri, nimeelewa cha kufanya" alizidi kuwasoma mchezo wao wale vijana bila kujijua, walipokuja kwa mtindo uleule waliouzoea, walijikuta wakila kichapo cha nguvu na kila mmoja akiwa amedondoka chini kwa maumivu makali sana. yalikuwa ni mapigo mchanganyiko ambayo hata hawakujua jamaa huyo kayatumiaje. wakajizoa zoa na kuja kwa kuvamia, hili kwao lilikuwa ni kosa la mwaka na walipaswa kujuta kabla roho zao hazijachukuliwa na malaika mtoa roho. Walipokuwa wanakuja, Chriss aliruka na kuzunguuka hewani kama pia na kushuka na mateke makali yaliyokwenda kuzivunja shingo za wale jamaa wote kwa wakati mmoja. Aliporudi chini, aliweka suti yake safi na kuokota brifcase yake kisha akamgeukia BC ambaye muda huo alikuwa mdomo wazi kwa kuto kuamini kama vijana anaowaamini wamepigwa kwa muda mfupi namna ile tena mpigaji akiwa hata hana alama ya mchubuko mwilini mwake. "Pol mlete huyo jamaa chumba cha maongezi ni mkabidhi mzigo" alisema hayo na kuondoka kuingia ndani lakini kwa upande mwengine wa jingo refu sana la ghorofa kama hamsini hivi, kuna mwana dada aliyekuwa ametinga bikini nyekundu, alikuwa akishusha darubini yake huku akitabasamu kisha akairudisha darubini hiyo kwenye mkoba wake na kushuka kwa kamba maalumu na kutoweka lile eneo.



    Bado najiuliza sana kuhusu huyu bikini nyekundu ni nani? Na kwanini kila muda tuna muona akifutilia kitu fulani? Ngoja labda tutamjua mbele ya safari.



    Walifika katika chumba hicho cha maongezi na kukaa kisha kikaletwa kinywaji, BC alimimina kinywaji kile kwenye bilauri mbili na kumkaribisha SM kisha wakatazamana kwa muda huku kila mmoja akipata kinywaji kile kikali. "uko vizuri sana sikutegemea kitu ulichonionesha pale" aliongea BC. SM akatabasamu tu kidogo bila hata kuonesha meno yake. "mr. J safari hii hakukosea kabisa amepata mtu makini sana. Ok, twende kwenye kitu cha muhimu" aliongea BC na kuvuta mkoba mmoja hivi mdogo ma kuuweka juu ya meza ila kabla ya kuufungua mkoba ule, alinyanyua macho yake na kuwaangalia walinzi wake wawili. Alipowatazama tu namna hiyo, walinzi wale walitoka na kubaki wenyewe tu mule ndani. "Haya ni madawa ya kulevya, ni madawa mapya kabisa ambayo hayajapata kugundulika kokote duniani zaidi ya sisi tu ambao ndiyo wagunduzi wa hii kitu" alisema hayo bwana huyo huku akiwa bado hajaufungua ule mkoba, Chriss alitulia tuli akiwa msikilizaji tu mahali hapo. Bwana huyo akaendelea huku akiwa anaanza kuufungua mkoba ule. "ziko chupa sita tu na ni chupa ndogo ambazo zina urefu wa mm 120 na mzunguuko wake ni mm 38. Zimetengenezwa kwa mpira na zimetengenezwa hivi kwa kusaidi zisiweze kupasuka kiurahisi na kusabisha kututia hasara. hazina joto kali chupa zake ni imara na zimetengezw kw plastic ngumu ambayo inahimili joto." alinyamaza na kutulia takribani sekunde kadhaa na kuzidi kutoa maelezo kwa kijana huyo ambaye muda wote huo alikuwa kimya kabisa. "usipate shaka kuhusu kupita na mzigo huo uwanja wa ndege. Hata kama wakuchunguze kiasi gani hawawezi kukugundua labda kama kuna mtu atakuwa anajua huu mchongo. Ni pesa nyingi tunaingiza kwa mzigo huo mdogo tu unao uona hapo."

    "ni mapya sana haya madawa machoni mwangu, yanaitwaje haya?" aliuliza Chriss. "ooh! Vizuri, haya madawa yanaitwa Driming future (DF). Ni madawa mapya kweli kama nilivyo kuambia" akajibu bwana huyo na kumsogezea ule mkoba ambao tayari ulikuwa umesha funguliwa na kukutana na vichupa sita vikiwa vimepangwa kwa ustadi mkubwa sana. Vilikuwa na rangi ya pinki, alivitazama kwa umakini sana na kuufunga ule mkoba kisha akatulia na kumtazama bwana huyo usoni. Tabasamu alilokutana nalo likamfanya atikise kichwa kuashiria kuwa ameona vizuri. Yule bwana akaendelea. "madawa hayo yametengenezwa kwa mfumo wa gesi ni madawa ambayo yanakubalika sana kwa matajiri wakubwa sana. Tunauzia watu wengi duniani wenye pesa zao. Ni madawa yenye watumiaji wachache kutokana na ughali wake lakani pia ni madawa ambayo yanauzwa kwa usiri mkubwa kuliko madawa yote ya kulevya duniani" alisema BC, Chriss akatikisa kichwa juu chini huku akiwa makini zaidi. "yanakwenda Brazil hayo madawa, nikutakie safari njema, ukifika Brazil tu kuna mtu atakuja kukupokea lakini hatakuja na bango la aina yoyote lenye utambulisho bali atakuonesha alama ya D kwenye kiganja chake cha mkono wa kushoto kinyume na hapo unatakiwa kuwa makini" alihitimisha BC na kumpa mkono wa kwaheri mgeni wake kisha Chriss alinyanyua brifcase yake na kuukamata na ule mkoba kwa mkono mwingine kishaa akapiga hatua ndogo ili kuelekea nje ya chumba kile. Alipopiga hatua tatu, akasikia sauti kutoka kwa BC ikimwambia, "kuwa makini sana SM. Naweza kukuhitaji zaidi ya hapa" Chriss aligeuka na kutabasamu kama ilivyo kawaida yake bila kusema neno, kisha akageuka na kutoka mule ndani. Akatoka nje kabisa ya lile jingo na kuelekea mahali ambako kulikuwa na tax, akaingia ndani ya tax moja aliyoichagua na kumwambia dereva wa gari hiyo ya kibiashara kuwa alikuwa akihitaji kupelekwa kwenye Hoteli moja nzuri. Yule dereva akatia moto gari na kuiingiza barabarani na kutembea mwendo wa kawaida huku akiwa kafungulia muziki laini. "wewe ni mgeni ndani ya nchi hii ya Marekani?" aliuliza yule dereva akiwa anatikisa kichwa taratibu. "si mgeni wa Marekani bali kwenye jiji hili sikuwahi kufika hata siku moja" jibu hilo likamfanya dereva wa hiyo gari amchungulie abiria wake kupitia kioo kilichopo pale mbele lakini alikutana na jicho lililokuwa likimtazama na kujikuta akiyaondoa macho yake na kuuliza swali jingine. "sasa huku kote umefikaje au kuna mtu ulikuwa umemfuata huku maana huu mtaa ni wa watu matajiri sana?"

    "si jambo la kushangaza sana mimi kufika eneo hili" alijibu kifupi tu Chriss na kuamua kukaa kimya. Yule dereva naye hakuendelea tena kuuliza swali kwani tayari alikuwa nje ya hoteli kubwa na maarufu sana mjini hapo. "tumefika brother, hii ni hoteli nzuri na hata huduma zake ni za hali ya juu sana kwa watu kama nyinyi hapa ndiyo mahala pake" alisema dereva huyo na kumgeukia abiria wake. Chriss alifanya malipo na kushuka mule garini na kuelekea ndani ya hoteli hiyo. Ilikuwa ni hoteli nzuri kweli, kuanzia huduma hadi mandhari ya hoteli yenyewe. Alimaliza itifaki zote na kukabidhiwa chumba. Alikiangalia kile chumba vizuri kilikuwa ni chumba kizuri sana chenye huduma mbalimbali za kawaida. Alivua nguo na kuelekea maliwatoni, kwa ajili ya kuoga. Alipomaliza alirudi na kuvaa nguo zake za kawaida kisha akapiga simu na kuagiza chakula. Muda siyo mrefu, chakula kikaletwa mahali hapo na kukila kwa pupa sana kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Aliutazama ule mzigo kwa makini sana na kuupaki vizuri kwenye brifcase yake na kufunga vizuri. kisha akajilaza kitandani na kutafakari ya dunia. kitu kikubwa kilichokuwa kinamfanya afikirie sana na kilichokuwa kikimchanganya, ni kuhusu yeye. Yeye ni nani? Ipi ni historia yake ya maisha? Na kwanini ajikute tu yu katika kampuni ile? Ni kweli jina lake ni Sex machine na hakuwa na jina jingine? Kichwa kilimuuma sana alipokuwa akifikiria mambo hayo. Ni ngumu sana kujielewa wakati kila unapojiuliza swali la msingi, jibu linakupitia kushoto. Unaweza ukajikuta umepagawa na kuchanganyikiwa kabisa kwa wakati mmoja. Yalikuwa ni mambo magumu sana kuyazuiya yasifanyike. Chriss hakukuwa na sauti ambayo aliiogopa kama ya Joesan. Joesa alikuwa ni kama Mungu wake kwa kipindi hicho na kila ambacho atakiamrisha bwana huyo, Chriss hana budi kulifanya. Hakuwa yeye yule Chriss ambaye alikuwa akipiga kelele kila siku kuhusu kuifanyia kazi taaluma yake,

    yule ambaye alikuwa akimlilia Joesan amtafitie kazi. Huyu alikuwa ni kama kivuli tu kinachofuata mjongeo wa mtu au kitu aliye mbeba. Chriss ambaye hata hakumbuki kama alikuwa na msichana anayetwa Maida, Chriss ambaye hajui kama Joesana aliwahi kuishi nae nyumba moja huku akimheshimu kama mjomba wake. Huyu alikuwa ni Chriss mpya kabisa, Chriss ambaye anatumika kama mashine ya ngono na kifaa hatari cha kusafirishia madawa hatari yanayopigwa marufuku kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kuwa na kemikali mbaya zinazo sababisha mtindio wa ubongo kwa asilimia kubwa sana. Inasemekana watumiaji wengi wa madawa hayo wameathirika kabisa kwa matumizi ya madawa hayo. Ni madawa ambayo ukiyatumia yanaharibu kabisa mfumo wa fikra zako na kukuletea picha za ajabu ambazo zitakufanya ucheke hovyo kila wakati bila mpangilio maalumu hadi pale kilevi hicho kitakapokwisha nguvu mwilini mwako. Wauzaji wa madawa hayo ambayo ni ghali sana wanatafutwa kila kona lakini imekuwa ni ngumu kuwakamata kwasababu wasafirishaji walikuwa makini na watu hatari mno. Alijinyanyua kijana huyo na kusimama lakini bado hakuwa na jibu la uhakika kuwa yeye ni nani na nini chimbuko lake. Amuulize nani? Joesan alikuwa akimuogopa vibaya sana. Hakuwa na budi kujipa moyo na aliamini ipo siku atakuja kujijua yeye ni nani. Alivaa vazi lake la kazi na kutupia na Suti yake ya gharama kisha akakamata brifcase yake na kutoka mule ndani. Muda huo ilikuwa tayari imetimu saa moja na robo usiku. Alichukua usafiri uliomfikisha uwanja wa ndege. Saa 20:07. Alikuwa anaiacha ardhi ya jiji hilo la New York. Ndege kubwa ya kimarekani ilikuwa ikichana mawingu kuitafuta Brazil.......................





    Usiku mkubwa Chriss anaikanyaga ardhi ya Brazil kwa mara ya kwanza, alichokifikiria sicho alichokikuta uwanjani hapo. Alitegemea kukuta pamepoa sana kutokana na muda kusonga sana lakini haikuwa hivyo,umati mkubwa wa raia alioukuta, ulimdhihirishia kuwa sasa yupo katika nchi nyingine kabisa. Watu waliokuja kuwapokea ndugu zao huku na wengine kama yeye waliokuwa hawana wenyeji walikuja kupokelewa kwa mabango maalumu. Alimaliza kile alichotakiwa kukifanya ndani ya uwanja huo, ikiwemo kukaguliwa na kadhalika. Alitoka upande ambao huko ndiko kulikokuwa na watu wengi waliokuja hapo kuwafuata wageni wao. Alikuwa kama mwenyeji Chriss, maisha yake yote hakutaka kujiweka mgeni katika nchi ambayo amekwenda kwa kazi maalumu hata kama ni kwa mara ya kwanza ndiyo anafika. Alimtazama kila mtu kwa mtindo wa pekee sana na ilikuwa ni ngumu kujua kama ni mgeni mahali hapo. Akiwa anazidi kutembea taratibu, hakujua kama mbele yake kuna jamaa mmoja wa ki-brazil alikuwa akimuangalia kwa kila hatua. Jamaa yule baada ya kumuona Chriss anamkaribia, akachomoka hapo kwenye gari na kumfuata kwa mbele kisha alipomkaribia kabisa, kijana yule akanyanyua mkono wake wa kushoto akawa kama anayempa hai kijana huyo. Chriss akaiona alama ya herufi 'D' kwenye mkono wa kijana huyo. Kijana huyo aligeuka na kuwapita watu kadhaa na kuchukua uelekeo wa kule alikoiacha gari yake,Chriss akamfuata kijana huyo taratibu hadi kwenye gari hiyo aina ya Ferrari 599xx. Akajifungulia mlango na kuingia. "karibu Brazil mr." hiyo ndiyo ilikuwa kauli ya kijana huyo wa kibrazili kwa lugha ya kiingereza. Chriss akajibu ukaribisho huo kisha ukimya ukafuatia na gari kuondolewa hapo kwa kasi kubwa. Lakini wakati gari hiyo inaondoka, kuna warembo watatu nao walizama kwenye gari yao na kuifuata kwa njuma gari iliyombeba Chriss. Gari hiyo ilizidi kukimbia kwa kasi kubwa huku muziki wa nchi hiyo ukiwaburudisha, dereva wa gari hiyo alikuwa akiendesha huku akitikisa kichwa kutokana na kufurahishwa na muziki na jinsi gari yake inavyoitika kila anapoiita. Wakati ikiwa inazidi kukata upepo gari yao, Chriss aliona kwa mbali kama kuna gari nyingine ambayo ilikuwa inakuja kwa kasi nyuma yao. Chriss akawa anazidi kuifuatilia gari hiyo hadi pale ilipoanza kuwakaribia. "hakuna njia ambayo haina magari mengi tukapita hiyo?" aliuliza Chriss baada ya kimya kirefu. Yule kijana akamjibu ipo. Chriss akamwambia ni vema basi kama watatumia njia hiyo. Yule kijana wa ki-brazil akakunja kona kulia na kutokezea kwenye barabara nyingine kubwa ambayo kwa muda huo ilikuwa haina magari kabisa. "vipi unaogopa sana mwendo ninaoendesha? Usijali basi bosi hii njia tuliyopita kwa muda kama huu, huwa haina magari kabisa na unaweza kutembea kilomita nyingi na usikutane na gari hata moja" alisema kijana huyo lakini hakuwa akisikilizwa kwani Chriss muda wote huo, alikuwa yuko makini na gari inayowafuata nyuma ambayo baada ya wao kubadili njia nao wakabadili njia na kuwafuata huko huko, hiki ndicho ambacho alitaka kujiaminisha na cho Chriss, alitaka kujihakikishia je, ni kweli walikuwa wanafuatiliwa wao? Mwendo ulikuwa ni uleule huku sauti ya muziki ikiwa iko juu kiasi cha kuleta kero kwenye masikio ya Chriss. "zima muziki" akasema Chriss.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "aaah! Brother labda nipunguze tu kidogo we huoni kama hizi ni ngoma za kijanja nazipiga?"

    "nasikia na wala sioni, fuata ninacho kisema, zima muziki kisha angalia kwenye site mirror" alifoka Chriss baada ya kuona haeleweki na tayari walikuwa wamekaribiwa kabisa. yule kijana alipotupa macho kwenye kioo cha pembeni, aliona gari ambayo tayari ilikuwa karibu na wao kwa hatua kadhaa. Yule dereva akaanza kuogopa, hofu ikiwa moyoni mwake huku akipiga kelele kuwa tumevamiwa. Mwendo akauongeza maradufu lakini bado ni kama alikuwa anacheza kwani gari ile ya nyuma ilizidi kuwakaribia na tayari kwa muda huo kuna dada mmoja kati ya wale watatu waliokuwamo kwenye gari hiyo, alishatoa kichwa akiwa na bastola mkononi. Chriss akamtazama dereva wake akamuona jinsi ambavyo alikuwa akitetemeka mikono. "sijatumwa huku nije kufa kizembe pumbavu wewe" alisema Chriss kwa sauti ya juu na kuruka mbele alimvuta yule jamaa kistadi na kumuweka kushoto huku brifcase yake akiwa nayo bega kwa bega. kijana yule hakuamini hata hapo kwenyekiti alichokuwa amekalia, ametokaje. Gari ikayumbishwa hadi yule kijana akatokwa na yowe la woga. Tayari muda huo Chriss alishahama njia na kufanya shabaha ya maadui zao ikosekane. Gari ikaachapwa fimbo hadi spidi ya mwiso, kelele za woga zikamtoka m brazil yule."nani mwoga baina yangu nawe?" alimuuliza Chriss lakini hakujibiwa na kijana huyo muda wote alikuwa akipiga kelele na hao wanawake huko nyuma na gari yao wakashangaa jinsi walivyokuwa wakiachwa. Wakaongeza kasi nao hadi mwisho ili kuweza kuwakaribia na muda huo yule mwanamke alikuwa karudi ndani kutokana na upepo kuwa mkali. Chriss hakupunguza mwendo hata kidogo na alikuwa kama vile anayeongeza kila wakati kwa jinsi gari hiyo yenye nguvu ya Horse power 700. iIivyo kuwa ikichapa raber kwenye lami. Kwa mbele Chriss aliona kitu kama Truck lililokuwa linakuja upande waliopo, akili yake ikafikiri na kufanya kazi muda huo huo, majibu yalipokuja, akazidi kuikaribia huku akiwavuta maadui zake. Alipoona wamekaribia, aliongeza tena mwendo huku akiilenga ile Truck kubwa kabisa ambayo alishajua kuwa imebeba mafuta ya petrol. Yule dada ambaye alikuwa amechungulia nje hapo awali, alipoona wamekaribia kwa mara nyingine akatoa kichwa huku akipiga risasi na wakati huo anapiga risasi hizo, gari ya Chriss ilisha hama na kuifanya ile gari ya nyuma itazamane uso kwa macho na Truck ya mafuta.Na kwakuwa ilikuwa ghafla na ikiwa katika kasi ya ajabu, haikuwa rahisi kuikwepa na tayari kwa muda huo zile risasi zilishalichimba lile Truck na kusabisha mlipuko wa maana sambamba na mzinga mkubwa wa kugongana magari yale mawili. Ilikuwa ni ajali bab kubwa kuwahi kutokea mahali hapo na hakuna kiumbe aliye salia hata mmoja. Kelele za furaha na kutoamini, zilimtoka yule kijana wa ki-brazil huku akirukaruka kwa furaha ya aina yake. "aisee wewe ni shida jamaa yangu, sijawahi kuona mtu hatari kwenye uendeshaji gari kama wewe aisee. Umekuwa rafiki yangu sasa mbali na kazi pia naomba niwe rafiki yako brother naweza kujifunza mengi nikiwa na wewe" alisema yule kijana gari ikiwa imesimama na kupisha kwenye nafasi yake ya udereva ili aweze kumfikisha panapo stahili.



    Muda si mrefu, gari ilisimama kando ya jumba moja lililopo pembezoni mwa bahari. Wakashuka mahali hapo huku Chriss akiwa na umakini wa hali ya juu sana kwani alijua kuwa mara nyingi wafanya biashara wa madawa ya kulevya huwa hawana utu kabisa unaweza ukaacha mzigo na wasikupe mzigo wakakukabidhi kifo. Na hicho ndicho kilichomtukia Sex Machine wa kwanza kwa habari alizopewa na bosi wake. Waliingia ndani ya jumba hilo na kumkuta mtu mkubwa mwenye mwili wa maana kama nyumba akiwa amekaa kwenye kiti kimoja kikubwa cha ngozi. Walinzi wenye silaha kali walikuwa wametanda kila anapopita Chriss, wakiwa katika sura mbaya kabisa za kusubiri amri. Kijana huyo mwenye kujiamini, alipita hadi alipokuwa amekaa mtu huyo bila kuwa na hofu yoyote. Wakakaziana macho na kisha bwana yule mwenye mwili mkubwa akachukua brifcase yenye fedha na kuifungua kisha akaiweka juu ya meza kubwa iliyopo hapo. "hayo ni malipo ya baada ya kuupata mzigo wangu, malipo ya awali nilisha yakamilisha na ndivyo biashara hii inavyofanyika. Onesha mzigo wangu uchukue chako" sauti nzito ya huyo bwana ilizungumza. Chriss hakuwa mtu wa maongezi, alifungua mzigo wake na kumuonesha. yule bwana akatoa kichupa kimoja na kukitazama vizuri halafu akakirudisha mule mule na kuwamuru ile brifcase ifungwe na kumruhusu Kijana huyo achukue chake. Chriss akaikamata ile brifcase yenye fedha na kuishika vizuri mkononi kisha akageuka, kabla hajapiga hatua hata moja, akasikia akiambiwa, "aliyekuleta hapa ndiye atakayekupeleka popote unapotaka kwenda kwa usiku huu" kisha Chriss akapiga hatua na kutoka mule ndani akifuatiwa na yule jamaa aliyemleta. "nipeleke kwenye hoteli yoyote" akasema Chriss baada ya kuwa garini. Safari ikaanza hadi kwenye hoteli noja maarufu mjini hapo na kabla ya kushuka, yule kijana alimpa Chriss business card. Chriss aliigeuza geuza na kumwambia kuwa atamtafuta siku yoyote atakayo kuja Brazil tena, hakutaka kumpa ya kwake. Hii ndiyo ilikuwa desturi yake, alijali usalama wake kuliko kitu kingine. Aliingia ndani ya hoteli hiyo na kufanya malipo na kuingia ndani ya chumba alichokichagua na kujiifungia. Alitupa kila kitu kitandani na kuvua nguo na kwenda kuupa mwili nguvu. Alipomaliza alirudi kitandani na kuanza kufikiria juu ya wale watu waliokuwa wakimfuatilia. "kuna watu walifahamu kuwa nakuja Brazil tofauti na walionituma?" aliwaza Sex Machine. "watakuwa ni kina nani wale, na walionekana kuwa na dhamira ya kitu fulani kwangu. Watajua wenyewe walichokutana nacho ndicho walichokuwa wakikitafuta" alizidi kuwaza kwa maswali na kujifariji ndani yake lakini bado alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kuwajua watu wale ni wakina nani. Alifikia hatua ya kuwaza kuwa pengine wale waliompa mzigo ndiyo walivujisha hiyo siri kwa kutaka kumuingiza matatani. "hii kazi ni ya kuuza roho, mwanzo tu imeshaanza kunionesha uhatari wake namna hii huko mbele kunaweza kukawa na mtifuano wa maana" bado alizidi kuumiza kichwa Chriss. Ulipofika muda ambao aliona unafaa kulala, alijitupa kitandani na kuutafuta usingizi.



    Asubuhi aliamka mapema sana, akachukua mazoezi mepesi na kujifanyia usafi. Alipomaliza alishuka chini ya hiyo hoteli na kwenda kupata kifungua kinywa. Alipo tabaruku na kuridhika, alirudi chumbani na kuchukua kilicho chake akakabidhi chumba na kutoka hotelini hapo. Alielekea uwanja wa ndege na kuchukua ndege ya kumrudisha Marekani ambako alikwenda kukabidhi fedha ya mzigo alioupeleka na kuamua kurudi zake Tanzania. Asubuhi ambayo Sex machine alikuwa akiondoka nchini Brazil, huko nchini Uingereza ndani ya jiji la London kulikuwa na kilio kikubwa kwenye nyumba ya mama Doreen. Taarifa alizopata kutoka Brazil hazikumfurahisha hata kidogo. "wamekufaje kirahisi namna hiyo inamaana hata hawaja mgusa, huyo Sex machine ni mtu wa namna gani?" alijiuliza mama Doreen. Ni wazi alichanganyikiwa kabisa mara baada ya kusikia kuwa eti, watu aliowatuma kwenda kumuangamiza huyo anayejiita Sex machine wameuwawa kwa mlipuko mkubwa mara baada ya kukutana uso kwa uso na Truck la mafuta, haikumuingia akilini mama Doreen aliwajua vijana wake vizuri ni watundu sana katika mambo ya uendeshaji magari leo wafe kijinga hivyo. "huyu mtu anajifanya ni hatari sana hajui kuwa sijawahi kusumbuliwa namna hii. Naapa sitamuacha lazima nimuuwe wakishindwa hawa wengine nitatafuta mbinu nyingine rahisi" alizidi kujipa imani mama ..........





    Hakujua alisemalo hata kidogo na hatajua hadi siku anakutana na huyo kijana. Toyota Noah yenye rangi ya maziwa ilikuwa inatoka ndani ya uwanja mdogo wa Morogoro, ndani ya gari hiyo alikuwamo Chriss akiwa anaendeshwa na mwanadada mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi uwanjani hapo. Ni baada ya kijana huyo kumaliza taratibu zote za usafiri. Akiwa anatoka uwanjani hapo taratibu ili kuweza kupata gari, ndipo dada huyo akasimamisha gari hiyo karibu kabisa na kijana huyo mtanashati. Akamsalimu na kumuuliza ni wapi anakoelekea, Chriss akamjibu kuwa anakwenda mjini. Dada huyo akampa lifti na kumwambia kuwa yeye pia anaelekea huko. Chriss akapanda na ndipo safari hiyo ikaanza.

    "aaam, wewe ni mwenyeji wa mji huu?" aliuliza dada huyo baada ya kuwa kimya kwa muda kidogo.

    "ndiyo ni mwenyeji vipi kwani dada, naonekana mgeni sana?"

    "hapana, nilijua ni mara yako ya kwanza kufika ndani ya mji huu"

    "ohoo! Vipi wewe ni mzaliwa wa huu mji?" alitupa swali Chriss huku akiwa anamtazama binti huyo mrembo kwa mitego mikubwa. Binti huyo alitabasamu na kujibu kuwa si mzaliwa wa huo mji ila ni mwenyeji kwani ana siku nyingi sana yupo ndani ya mji huo wa Morogoro.

    "ok, nafikiri ni faraja kubwa sasa" akasema Chriss na kumfanya msichana huyo amtazame usoni.

    "kwanini unasema hivyo?"

    "si mtu wa siku nyingi sana hapa mjini na sijawa na marafiki bado hivyo ni faraja kubwa sana kwangu kupata rafiki" akasema Chriss, binti huyo akatabasamu na kuachia cheko dogo. Akamtazama kwa aibu kubwa ni wazi kulikuwa kuna kitu amekiona kwenye sura ya kijana huyo, kitu hicho kikamvutia na kumfanya awepo hapo kwa muda huo. Hakuwa mtu wa hivyo sana, ni watu wangapi alikuwa akiwapita atokapo kazini. Kwanza utaratibu wa kurudi mapema nyumbani hata yeye ulimshangaza ukiachilia mbali wafanya kazi wenzake. Tayari muda wake wa kuwepo kazini ulishakwisha kwa siku hiyo na kwakuwa hakuwa na kitu cha kumuwahisha nyumbani mapema, akawa anazuga tu kazini hapo, hapo ndipo alipomuona kijana huyo akipita kwenye ukaguzi na kujikuta akivutiwa naye. Hakutaka kuamini kama kijana huyo mwenye umbo la aina yake, hakuwa na mtu aliyekuja kumpokea uwanjani hapo tena aliamini kabisa kuwa kama kutakuwa na mtu aliyekuja kumpokea basi mtu huyo atakuwa ni wa jinsia ya kike. Mwili ulimsisimka kila amtazamapo kaka huyo mbaya zaidi ni pale alipohisi kuwa anatazamwa, tabasamu la kumchanganya kila mrembo, aliona kama limemtabasamia yeye.



    Upendo ni kitu kisicho tarajiwa ni muda gani kinaanza na hata muda uanapofika wa kuanza kupandikizwa kwa neno upendo. Huna hakika kama ukipandacho katika moyo wa huyo umpendaye, vipi utameya. Unabakiwa na wasiwasi wa moyo labda huwenda pendo lako umelipanda kwenye moyo mithili ya mwamba mgumu na kuamini kuwa hata kama mbegu yako imepokelewa na moyo huo, pendo lako halita meya kamwe na badala yake litaunguzwa na jua kali na mwishowe kusambaratishwa na upepo mkali. Hujui kama ipo mimea inayostawi jangwani na inapendeza kuliko hata hiyo unayodhani imemea kwenye dongo la rutuba, ipo inayostawi kwenye miamba migumu na inafurahi kumeya humo pia ipo inayomea kwenye ukame wa kutisha na inavutia ukiitazama. Hakujua binti huyo kama yuko sahihi ama laa. Hakujua kuwa moyo wake ulipopenda ni penyewe ama si penyewe lakini ukweli usiopingika ni kwamba bila kutafuta vipimo vya daktari wa mapenzi ili kuweza kupima msukumo wake wa mapenzi, tayari macho yalishatanabaisha hilo. Alipenda binti huyo.

    "nafikiri nikupe asante kwa kuweza kunifikisha hapa" alisema Chriss.

    "huna haja ya kushukuri kaka nimefarijika sana kwa kuikubali lifiti yangu labda mimi ndiyo niseme asante"

    "kunifikisha hapa bila kutumia garama yoyote ya usafiri ni jambo kubwa sana, hivyo nisipo shukuru mimi nitakuwa ni mtu wa ajabu sana"

    "ok, sawa" akasema binti huyo huku akimpa mkono kijana huyo.

    "naitwa Sauda" alijitambulisha. Chriss akaupokea mkono huo na kukutana na kadi ya biashara, akaipokea.

    "naitwa SM, ukiita hivyo utakuwa upo sahihi sana na nashukuru kukufahamu" alihitambulisha Chriss na kutoa kadi yake ya biashara inayomtambulisha kwa jina hilo. Yule binti ni kama alitaka kuuliza lakini akashindwa, jina hilo lilimshtua kidogo lakini alipomuangalia mwenye jina hilo alikuwa akitabasamu.

    "mh! Ni kweli anaitwa hivi? ngoja nitaangalia vizuri kesho kazini kwenye kumbukumbu za wasafiri" aliwaza huku akiwa amechanua tabasamu pana usoni mwake. Waliagana kisha kijana huyo akachukua usafiri na kuelekea mahali anapoishi.



    Muda mwingi awapo nyumbani Chriss, alikuwa si mtu wa kupenda kutulia na kitu kimoja, alipenda kufanya hiki na kile ilimradi tu kuweza kuipitisha siku vile atakavyo. Alikuwa ametulia sebuleni kwake akiwa anacheza gemu kwenye kompyuta yake, alicheza gemu hilo kwa muda mrefu sana hadi pale nafisi yake ilivyoridhika kabisa.

    "muda umekwenda sana" aliwaza Chriss mara baada ya kuangalia ukutani ambako kulikuwa na saa hiyo ya ukutani ambayo ilikuwa okionesha kuwa kwa muda huo ilikuwa ni saa 12:17 za mchana. Ikiwa ni siku moja tangu atoke safari. Alielekea chumbani huko alivaa suruali yake ya kitambaa ya rangi nyeusi na fulana iliyokaa vizuri. Akatoka ndani humo na kuelekea kwenye maegesho ya magari na kuingia garini. Alitulia humo kama mtu ambaye hakuwa na msukumo wa kwenda mahali popote kwa majira hayo. Alipoteza muda mrefu sana akiwa garini humo hadi pale alipoamua kuiwasha gari hiyo na kuisogeza taratibu hadi langoni. Akashuka na kujifungulia lango hilo kabla ya kurudi garini na kutoka nje kisha kufunga tena lango hilo. Akaingia barabarani na kuingia mtaani. Alizunguuka hapa na pale lengo likiwa ni kuufahamu mji huo wa morogoro kwa mapana zaidi mwisho akajikuta amefika kazini kwake, akapaki gari mahali pa kuegeshea kisha akaingia ndani ya jingo hilo moja kwa moja hadi ilipo ofisi yake. Akajitupa kitini na kutulia. Alitulia hapo kwa muda mrefu akifanya lile na kuacha hili hadi pale simu yake ya mkononi ilipoita.

    "haloo?" alisema mara baada ya kuipokea simu hiyo.

    "yes, haloo Sex machine, habari yako?" sauti ya kike ilimuuliza.

    "nipo ofisini kwa sasa"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "oh! Good, tunaweza kuonana kumbe nakuja sasa hivi ofisini kwako" ilimwambia sauti hiyo. Akapata mashaka kidogo Chriss hakujua mtu huyo ni nani na anataka nini? Ikambidi kuuliza.

    "unaweza ku.........!"

    "usijali Hb, ondoa hofu nakuja now" alimkatisha mtu huyo na kumfanya atulie kimya asubiri. Baada ya muda mfupi mlango wake ukagongwa, akaruhusu na mtu huyo aliyekuwa anagonga akaingia, alikuwa ni binti mrembo, binti anayefanya kazi hapo, mnene na mwenye sura ya duara na macho ya goroli, kwa jina zoelefu la kazi yake alifahamika kama dokta.

    "aah! Kumbe ni wewe, karibu sana dokta?" alikaribisha chriss baada ya kumuona msichana huyo. Tabasamu tamu likiwa limekaa kwenye sura ya dada huyo na kuuweka urembo wake katika daraja la pekee kabisa. Sura yake na mwili wake vilikuwa havina ushirikoano hata kidogo, sura ya kitoto mwili mkubwa ukichanganya na sauti aliyojaaliwa nayo, ndiyo kabisa huwezi kudhania kama mtu huyo alikuwa anamiliki mwili mkubwa kiasi hicho labda utajiaminisha kwa kumuona. Huyu ndiye aliyekuwa kapewa jukumu la kumharibu Chriss kutoka kwenye kujitambua hadi kufikia hapo alipo. Chriss alitabasamu kila anapomtazama dada huyo bila kujua kuwa huyo ndiye aliyembadilisha akili kwa kiasi kikubwa. Dokta Emmy alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kazi moja tu nayo ni kukamilisha kile alichokipanga kwa kijana huyo. Penzi. Ndiyo, penzi la Chriss na si kitu kingine walishajua huyo hana anachotakiwa kufanya kwa muda wote hapo zaidi ya kutekeleza matakwa yao na kuzikidhi haja zao. Alimsogelea kijana huyo na kumshika mabegani kisha akamnong'oneza sikioni kuwa anahitaji kufanya nae mapenzi. Chriss hakuwa tayari kufanya hivyo hata kidogo lakini binti huyo akamlazimisha nakumwambia ni lazima afanye hivyo kwani ni wajibu wake kufanya hivyo na ni agizo kutoka kwa boss. Alivyosikia kuwa agizo hilo ni miongoni mwa maagizo ya boss, hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya anavyotaka binti huyo. Akaukamata mwili mnene wa dokta na kumvutia kwake na kuanza kumtomasa kila idara, alimshika kwa ufundi mkubwa sana, mdada huyo akawa analalamika kwa sauti yake ndogo kama ya mtoto. Chriss alizidi kuhakikisha hamuachi hata kidogo na kwa vile alitaka mwenyewe basi alitaka kumkomesha kabisa. Akamnyanyua na kumtupia mezani ambako aliendelea kunmyonya hapa na pale hadi dada hilo likawa hoi ndipo kidume cha kazi kikaingia mzigoni. Kelele zilikuwa kubwa sana, alipelekewa moto wa ajabu alisuguliwa hadi akawa anaongea lugha zisizoeleweka. Alibadilishwa kila mkao, ikafikia hatua ambayo Chriss alimkunja dokta huyo mkunjo ambao kwa mwili wake ulivyo mnene, ukakifanya kina chake cha tupu yake kuwa kifupi hivyo kijana huyo akazama kabisa hadi ndani na kwa vile uume wa kijana huyo ulikuwa mrefu, Emmy aliipata fresh. Alisuguliwa hadi akawa analia kwa maumivu na utamu anaoupata kwa wakati mmoja. Kelele zilijaa chumba kizima, ofisi ikageuka chumba cha gest. Kelele hizo zikawafanya wasijue kama nyuma yao kulikuwa na mtu aliyekuwa akifuatilia mchezo mzima. Binti huyo ambaye alikuwa amesimama nyuma, alikuwa si mwingine bali ni Merina na mara kidogo Suzane naye akatia timu ndani ya ofisi hiyo. Wote wakakumbwa na mshangao kwa kile walichokikuta ndani ya ofisi hiyo. Tamaa ya kuona mwenzao akipewa vitu, ikawajaa mioyoni mwao na kutamani wangekuwa ni wao ndiyo wanasulubishwa mezani hapo na kwa muda huo Emmy alikuwa amewekwa mtindo wa kifo cha Mende huku Sex machine akiwa juu kwa mtindo wa aina yake hivyo wakawa wanashuhudia mzigo huo wa kazi wa mwanaume huyo,unavyoingoa na kutoka kwenye mashine ya mwanamke mwenzao huku mwanamke huyo akilia kwa utamu aliokuwa ..............................................



    aliokuwa akiupata kutokana na kusuguliwa vizuri. Wenyewe wakajikuta wkijiramba vidole na kujitia vidole kabisa kutokana na hamu waliyokuwa nayo,Suzane alifunga mlango kabisa wa ofisi hiyo ili kutoruhusu mtu yeyote kuweza kuingia tena kisha akavua nguo zake zote akifuatiwa na Merina ambaye ndiyo alikuwa hajielewi kabisa kwa hamu aliyokuwa nayo. Chriss alikuwa anataka kufanyiwa mchezo mchafu, mchezo ambao hakuwahi kuufanya katika maisha yake, mchezo huo kwa lugha ya kigeni uliitwa grou sex. Wakati akiwa anaendelea kumpa vitu Emmy, wale wengine walikuja kwa nyuma na kuanza kuzichezea korodani za mwanaume huyo huku Merina ambaye alikuwa fundi wa michezo hiyo kutokana na kuishi muda mrefu kwenye jumba la siri la Mr. Kim. Jumba ambalo wanawake hutumika kuwafurahisha wanaume na huwapa wanaume kile wakitakacho, yeye hapo alikuwa akitia vidole kwenye njia ya haja kubwa ya Emmy na kumfanya dokta huyo kushtuka na siyo dokta pekee aleyeshtuka mahali hapo, hata Sex machine alikumbwa na hali ya mshangao baada ya kushikwa korodani zake. Walipoangalia vizuri ndipo walipowaona wasichana hao ambao walikuwa katika matamanio makubwa kabisa. Merina hakuacha kuchochea vidole huko nyuma kwa Emmy na Suzane naye kwa muda huo alikuwa akinyonya chuchu za Emmy huku akiwa anatia vidole kwenye mashine ya Merina. Emmy alilia kwa utamu mchanganyiko aliokuwa akipewa hapo. Kitu cha Sex Machine ndani, kidole cha Metina ndani huku Suzane akiwa naye anafanya yake. Miguno ya mahaba ikaongezeka humo ofisini lakini hakuna aliyekuwa akisikia kutokana na mlango kufungwa madhubiti kabisa. Suzane aliutoa mpingo wa kijana huyo na kuutia mdomoni mwake na kumfanya kijana huyo kuona kama hayupo ndani ya sayari hii ya tatu kwa jinsi alivyokuwa akiinjoi raha hizo za kutiwa mdomoni ndizi yake na fundi ambaye pia hakumbuki kama alishawahi kufanya naye mapenzi kabla ya kubadilishwa akili yake. Alipagawishwa vibaya sana, huyu akishika hapa, yule anashika pale, yule akilamba kule, huyu ananyonya hapa. Ilimradi ilikuwa raha juu ya raha. Mbadilishano ndiwo uliokuwa kazi ya hapo akitoka Emmy anapanda Suzy, akitoka Suzy anapandiwa Merina. Mikito haikupungua hata kidogo na kila mmoja alikuwa akiisikia ndani jinsi inavyozitekenya nyama zake za ndani. Kila mmoja alikuwa akipata raha aliyoikusudia kuipata. na kila mmoja alilia awezavyo pale alipoguswa mahali pasipo paswa kuguswa. Kitu kilichowashangaza Emmy na Suzy, ni pale mwenzao alipouhamisha mpingo wa kijana huyo na kuuingiza njia isiyo stahiki, hapa wote walibaki midomo wazi na wala binti huyo hakuwa na wasiwasi kabisa juu ya kile anachokifanya mahali hapo tena alionekana kuufurahia kabisa mchezo huo na alifumba macho kwa raha kila kijana huyo anapozama na kutoka.

    "ni kawaida sana mchezo huu, kule kwenye jumba la mr.Kim, huwa tunawahudumia wageni wake mbalimbali so kila mgeni anakitu anachokihitaji. Wengine hawataki mapenzi ya kawaida kabisa, wanataka kukuingilia kinyume na maumbile hadi wafike mshindo tena wanamalizia humo humo, wanadai hicho ndicho wakipendacho zaidi na wanapenda sana wanawake wa ki Afrika kwani maumbo yao ni mazuri na yanaamsha hisia za kumgeuza kinyume. Wengine wao wanataka kote kote yaani anakula kwa kubadilisha, anakula mbele na muda mwingine anakula nyuma lakini pia tunapokea mashoga ambao badala ya kutufanya sisi, sisi ndiyo tunawafanyia mchezo mchafu hadi wafikie mshindo sana sana atakacho kifanya ni kukutia vidole tu" alieleza Merina kwa urefu kabisa bila kificho hata Chriss mwenyewe jambo hilo lilimshangaza sana lakini kwa kuwa mzigo ulishazama kimiani, hakuwa na namna zaidi ya kushughulika. Akaendelea kusema Merina

    "hivyo hata Sex machine ajiandae kufanya kazi kwa kuwaingilia mashoga kwani hata huyo mnayemuita mkuu, ambaye sisi kule tumemzoea kwa jina la mr. Kim, ni mtumiaji mzuri wa mapezi ya kinyume na maumbile na ni mtumia mzuri pia wa kuwaingilia mashoga. Hivyo huo nao upo kwenye mpango wake na anadai akifanya hivyo anakwenda kuwa tajiri wa dunia kwani ndiyo lengo lake kuu" Wote pale wakapata kitu kipya kabisa. Pamoja na Suzane kuwa karibu na Joesan, lakini hayo alikuwa hayajui. Waliendelea kupewa dozi hapo hadi wote wakaridhika huku kila mmoja akiwa ameridhika kabisa.Chriss alitoka hapo akiwa kachoka sana

    Baada ya kuvaa nguo zake, Suzane alimchukua na kumpeleka bafuni na kumuacha huko kisha yeye akatoka. Chriss alioga kisha akatoka mule bafuni akiwa na uchovu wa kuzidi, njaa ilikuwa ikimtafuna sana. Alitoka taratibu hadi nje ya kampuni hiyo akaelekea hadi maegeshoni, alikuwa amechoka sana kijana huyo hadi akawa anafikiria ni jinsi gani ataweza kuendesha gari. Alitafakari kwa kitambo kidogo mwisho akakata shauri, akaingia ndani ya gari na kuigamia kwenye siti ya gari hiyo. Mawazo yalikuwa mengi sana kichwani mwake, alijiona ni mtu asiye na thamani kwenye maisha yake, alijiona amekuwa kifaa kibaya sana cha kutibu maradhi ya ngono ya kila mwanadamu atakayehitaji. Kwanini yuko hivyo? Na ni kwanini basi amejikuta hivyo? Yeye ni nani?

    "inamaana hii huduma ni hadi kwa wanaume? Nawezaje kufanya hivyo mimi, nawezaje kumuingilia mwanaume mwenzangu? Ooh! My gosh" aliumia sana Chriss, maisha yake yalikuwa ni zaidi ya chokoraa ni bora basi angejikuta ni mtoto wa mtaani kuliko kujikuta ni kifaa maalumu cha kutimiza haja za watu. Ni kama ilikuwa imesha mchosha hali ile.

    "Sex Machine!" alitamka hivyo kisha akajiuliza.

    "nini maana ya hili jina? Niliumbwa hivi kuwa Sex Machine? Mbona kama najiona ni mtu tofauti sana" alijikuta akitokwa na machozi mfululizo, alikuwa analia masikini Chriss. Alilia kweli, moyo wake haukuridhishwa na kile alichokuwa akikifanya lakini cha ajabu akili yake ilishindwa kuuzuia mwili usiyafanye yale. Machozi yalimtoka hivyo hivyo hadi alipotulia kabisa baada ya kupitiwa na usingizi mahali hapo bila kutegemea.



    "mambo yanaendaje humu ndani?" aliuliza Joesan ikiwa imepita mwezi mmoja tangu kuanza kazi kwa mashine ya ngono. Alikuwa ameingia kwenye chumba kimoja maalumu, hiki kilihusika na masuala ya upokeaji picha na kuzitengeza katika mfumo wa video. Hapa ndipo zilipokuwa zinapokelewa picha zinazonaswa na lile vazi analolitumia Sex Machine awapo kazini kingono. Chriss bila kujua chochote ni kwamba alikuwa akitengeneza video za ngono na watu maarufu duniani hawa walikuwa pia hawajui chochote kama wamo katika mpango wa kutengezea video hizo za ngono sambamba na kupigwa picha za utupu. Vazi hilo lilikuwa maalumu sana kwa ajili ya kazi hiyo. Mtaalamu Tai, ndiye aliyebuni hilo vazi na alilipwa pesa nyingi sana kwa ubunifu wa vazi hilo ambalo lilikuwa likifanya kazi hiyo bila wahusika wenyewe kujitambua. Walilipa pesa kubwa kwa ajili ya kuingiliwa kimwili lakini kumbe nyuma ya pazia walikuwa wanakwenda kumtajirisha mzee huyo wa kikorea endapo tu ataanza kufanya biashara ya kuuza kazi hizo.

    "kwa muda huu wa mwezi mmoja, tayari tumesha tengeneza CD moja yenye vipande kumi na vitano. Hii ni kwa sex ya mtu mmoja mmoja" alisema Tai, mtu ambaye alikuwa akijizunguusha kwenye kiti kikubwa cha kifahari pale studio.

    "hii inatosha au vitaongezwa hivyo vipande?" akauliza Joesana huku akiwa amewekewa picha moja ya ngono akiiangalia.

    "hii ndiyo maxmam ya kila CD"

    "ok, sawa, nini kinafuata baada ya hii?"

    "kinachofuata ni kufanya group sex na hii tumeshaambiwa jinsi itakavyo fanyika.....!"

    "itafanyikaje?" akauliza kwa kudakia Joesan.

    "ataanza na wanawake wawili, watatu, hadi idadi ya mwisho ambayo itakuwa ni wanawake kumi na watano na watakuwa wa mataifa tofauti na hii itafanyika kwenye Area 02 (zero two)." alisema Tai.

    "duuh! Si mchezo"

    "na si hivyo tu, bali atatakiwa kufanya CD ya mwisho kwa mwaka huu kabla ya kuingizwa kwenye soko la kimataifa hizi kazi, na kazi hiyo itakuwa ni kuwaingilia mashoga"

    "what?" alishtuka Joesan.

    "yaa, tena hii mkuu anaithamini kuliko hizi zinazo tangulia kwasababu copy moja, itauzwa dola laki tatu kama siyo tano za kimarekani"

    "ha ha ha haaa! Aha ha ha haaaa! Chriss umekuwa mtu mwenye thamani sana, kumbe nilikuwa nalea mtu mwenye thamani kiasi hiki. Ninaimani hata yule mdogo wa kike kule nyumbani, atanitajirisha uzeeni" alicheka kwa nguvu sana Joesan na kuongea vitu ambavyo kama unamtazama unaweza kuhisi kachanganyikiwa. Alipomaliza kucheka akaendelea

    "Tai, endelea kufanya yako hapo kwenye mashine laki............!" kabla hajamalizia kuongea, simu yake ya mkononi ikaita na kumfanya atie mkono mfukoni ma kuitoa. Akaiweka sikioni na kuongea machache kisha akairudisha tena mfukoni na kutoka mule studio. safari yake iliishia maegeshoni. Akazama garini na kuelekea Area six. Kwenye jumba namba sita ya siri inayomilikiwa na mr. Kim. Alifika hapo na kuegesha gari kisha akashuka, akaweka suti yake safi na kuingia ndani ya jingo hilo la siri. Alielekea sebuleni kabla hata hajapumzika, binti mrembo akaja kama kawaida na kumchukua na kumpeleka kwenye chumba ambacho alimkuta Mr. Kim akiwa amesimama dirishani akitazama nje. Baada ya Joesan kukaribishwa, alisimama hivyo hivyo yule binti akatoka mule ndani. Mr. Kim akageuka na kumtazama bwana huyo lakini bado sura yake haikuweza kuonekana vizuri, hivyo bado haikujulikana ni mtu wa namna gani. Kitendawili.

    "karibu ukae" alikaribisha mtu huyo kisha yeye akiwa hajakaa. Joesan akaketi ma kumtazama mtu huyo ambaye alikuwa akimhanya kama ukoma. Akasema.

    "tulipofikia ni pazuri na panaridhisha ila tunapoelekea ni pagumu na panayumbisha hivyo usiogope bali unapaswa kuwa ngangari" Joesan akatikisa kichwa kuafiki, mtu huyo akaendelea.

    "sex machine atakwenda kufanya sex group na pia atasafiri kama alivyokuwa akisafiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuwaingilia mashoga. Lakini kinyume na hapo ni kwamba kijana huyo kuanzia sasa atafanya kazi zangu binafsi na kazi hiyo itaanza kesho, ni kazi ngumu sana ya kukopesha roho lakini ninachokihitaji ni mafanikio hata kama atarudi hapa hana viungo vya mwili ila awe ametekeleza nitakacho mtuma. Kesho nitamuhitaji chumba cha mawsiliano" akamaliza mr. Kim na kuondoka hapo akimuacha Joesan mwenyewe mahali hapo. Naye akajinyanyua na kutoka humo ndani.

    Chriss akiwa matembezi kwa ajili ya kukonga moyo wake, mida ya saa tisa alasiri. Hapo ...............................





    Hapo ikiwa ni baada ya kutoka ofisini kwake mapema kabisa. Alikuwa maeneo ya Kaumba bar akipata kinywaji kikali akipendacho kukitumia, ilikuwa ni pombe kali sana na mara nyingi hupenda kuinywa akiwa na mawazo mengi kichwani mwake. Alikuwa ametulia kwenye kiti kirefu cha kaunta ya hapo bar akipata kinywaji hicho. pamoja na kunywa pia alikinogesha kinywaji hicho kwa stori mbili tatu na muhudumu wa baa hiyo. Maongezi yao yalikuwa marefu kidogo na alikuwa akiongeza kila alipokuwa akifika mwisho wa bilauri aliyokuwa akiitumia mezani hapo.

    "angalia Hb usije ukashindwa kutembea" alimwambia muhudumu huyo baada ya kumuona Chriss anaongeza birauli ya nne.

    "hizi huwa zinaanza kuniingia kichwani nikishapiga sita" alisema kijana huyo huku akionesha kuwa bado kabisa hajafanya kitu chochote tangu kuanza kuitumia pombe hiyo kali.

    "duu! Kama ndiyo hivyo wewe ni mkali aisee, mimi nikipiga mbili tu hizo utanionea huruma"

    "haya mambo yanawenyewe nyinyi mnaiga tu"

    "ni kweli kabisa wala sikupingii kaka yangu" alisema dada huyo.

    Maongezi yakaendelea hapo hadi wakawa kimya kabisa kuashiria kuwa hakukuwa na neno jingine la kuwafanya waendelee kuongea. Mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea hapo ni ya kinywaji na kinywa cha kijana huyo, alibugia kinywaji hicho chenye kilevi kikali utafikiri ana tanki la kuhifadhia pombe tumboni mwake. Simu yake ikaita na kuitoa mfukoni, alipoangalia kiooni, alikutana na jina Boss. Akakereka kidogo, jina hili alionapo basi ujue anahitajika ofisini hata kama ni usiku na hakutakiwa kupinga siku zote za maisha yake ya hapo amekuwa ni wa kufuata amri na si kitu kingine. Akagusa kitufe cha kijani pale kwenye kioo cha simu yake ya kisasa kabisa na kuiweka sikioni.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "tukutane ofisini, natokea Sua nategemea nikifika hapo na wewe utakuwa umefika" ulisema upande wa pili wa simu hiyo na kabla hajajibu chochote, simu hiyo ikakatwa. Pumzi nzito ikamshuka kijana huyo. Akakiangalia kinywaji chake ambacho alishakipiga nusu, akakiacha. Hamu ya kuendelea kumumunya kinywaji hicho ilimuingia mfukoni na kupotelea humo. Akajiamsha hapo kwa haraka sana na kulipa kile alichopaswa kulipa na kuondoka. Dakika tano nyingi, Chriss alikuwa nje ya SC Company. Alishuka garini na kuingia ndani ya jingo hilo lenye mambo ma kubwa ya kutisha yaendeshwayo humo kwa siri ya hali ya juu mno lakini yaliyofichamana kisawasawa.

    "ndiyo Boss?" alisema Chriss baada ya kuwa ndani ya ofisi ya Joesan.

    "ni vizuri umefika mapema. Ninayo mengi ya kukueleza lakini kwanza unalotakiwa kulifahamu ni kuhusu kesho" akakomea hapo na kuitazama simu yake ambapo hakuishia kuitazama tu bali alibonyeza kitufe fulani cha pembeni na simu hiyo ikacheka kwa kutoa mwanga uliomfanya mmiliki wa simu hiyo kuunguruma kama dume la Mbwa lenye wivu kisha akainyanyua simu hiyo na kuibonyeza bonyeza na kumuacha Chriss akiwa anamuangalia bwana huyo kwa macho ya kuoneshwa dharau za hali ya juu sana. Angefanyaje sasa na huyo ndiye kiongozi wake wa mwisho anayemuheshimu kupita heshima ya kawaida. Bwana yule akairudisha simu kwa kujifanya yu tayari kuendelea na pale alipoishia lakini ukweli ni kwamba, kile alichokuwa akikifanya kupitia simu yake alishakitekeleza sasa akamgeukia huyu bwege awezaye kumfanyia chochote na akatii pasipo shuruti.

    "Sex Machine" akaita na kumtazama mtu huyo anayemuita, akaendelea.

    "kesho ni kazi na kazi hiyo ni ngumu naweza sema hivyo, kama ulishawahi kufanya kazi ngumu basi ujue haifikii hata robo ya kazi utakayokwenda kuifanya kesho. Kuna kazi mbili." akaweka tuo na kumkazia macho kijana huyo kisha akaendelea tena.

    "kazi ya kwanza ni hapahapa Morogoro na utaifanya usiku huu, kesho ndiyo utasafiri hadi nchini Kenya na utakwenda moja kwa moja Kisumu, huko ndiko kazi yako itakwenda kufanyikia." akamaliza. Chriss alitikisa kichwa kujua kuwa sasa kile alichokuwa akikiwaza ndicho kinacho kwenda kutimia na asipokuwa makini, zawadi yake ni kifo. Eidha kujiuwa mwenyewe au kuuwawa kikatili. Akataka kuuliza ni kazi gani, hakupata nafasi hiyo kwani Joesan alishaamka na kumwambia kuwa, hayo aliyompa ni maelezo ya awali ila mengi atayapata anakompeleka kisha akamwambia amfuate. Chrss akanyanyuka kama Kondoo asiyejua anapelekwa machinjioni ama la. Walingia ndani ya chumba cha mawasiliano na muda huo huo sauti nzito ikaongea.

    "kazi iliyopo mbele yako ni kuzinyakuwa roho za watu nitakao kupa picha zao na majina yao kisha mimi uniletee taarifa za vifo vyao tu" ilisema sauti hiyo ya mkuu ambayo ni kwa mara yakwanza kijana huyo alikuwa akiisikia mahali hapo.

    "huyu mmoja alikuwa ni waziri wa mali asili na utalii kipindi cha raisi wa awamu ya tatu. Huyu ndiye aliyekuwa mstari wa mbele kuninyang'anya migodi kadhaa niliyokuwa nikiimiliki akidai kwamba nimewekeza kinyume na taratibu. Akaichukua migodi ile na ikawa chini ya Serikali ya Tanzania. Haikuwa hivyo, niliwekeza kwa kufuata taratibu zote za kisheria lakini ukatumika ubabe na ubaguzi, wakanipora migodi miwili ambayo ilikuwa si mikubwa sana lakini ilikuwa inaelekea kuwa mikubwa kutokana na jinsi nilivyo tumia gharama kubwa katika uendeshaji wake. Mmoja ukawa chini ya Serikali na ule wa Buzwagi ambao ndio ulikuwa tegemezi kwangu, akauchukua kiongozi mkuu wa nchi wa kipindi kile. Alinitia hasara sana huyo mjinga na huyu ndiye aliyenifanya nikimbilie kenya kipindi hicho na mtaji wangu mdogo kwa ajili ya kwenda kuaza biashara kule ili nirudishe fedha zangu taratibu. Kwa jina anaitwa Dr. Mulisoni, picha yake atakupa bosi wako baada ya maongezi haya. Huyu amekuja ndani ya mji huu jana na amefikia kwenye hoteli ya Morogoro Hotel. Anaulinzi mkubwa sana na kati ya hao walinzi wanaomlinda kuna komando mmoja, ni vigumu kujua yupi ni komando na yupi ni askari wa kawaida kwa sababu wote wako ndani ya suti. Ukiteleza inamaana umekiita kifo. kila laheri katika kazi hiyo na yuko katika VIP room, chumba namba nane." akatulia kuruhusu maneno hayo yamuingie Kijana huyo vizuri kisha akamalizia na huyo wa pili.

    "Huyo wa Kenya naye alikuwa pia ni kiongozi pia wa serikali wa kipindi hicho natokea Tanzania baada ya kunyang'anywa ile migodi niliyokuwa nimewekeza. Yeye alikuwa akihusika na masuala ya uhamiaji haramu. Alikuwa katili sana huyu mtu na hakuwa na utu hata kidogo. Akanivamia siku moja nilipokuwa nafanyia biashara zangu na kunitaka vutambulisho vyangu na alipoona simng'azii akanisweka ndani na kufilisi kila kilicho changu na walipokuja kunitoa wakanitaka nirudi kwetu.Sikutaka kurudi nchini kwangu nikiwa masikini na hakuna ambaye angenielewa na pengine ningehukumiwa kifo kama ningerudi inchini kwangu kwani ingeonekana nalidhalilisha taifa langu. Niliwatoroka uwanja wa ndege na kupotea kabisa machoni mwao nami nikachagua nchi ambayo ni tulivu ndipo nikarudi tenaTanzania lakini hapa Morogoro. Huyu naye picha yake utaipata na anapatikana Kisumu kama ulivyopewa maelezo ya awali. Huyu wa hapa nataka kifo chake nikipate kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku na wa huko Kisumu kesho iwe ni siku yake ya mwisho kuvuta hii hewa safi. nadhani tumeelewana na sitaki kusikia neno nimeshindwa kinyume chake labda ufe wewe wao wapone." alimaliza kuongea mkuu. Chriss alitamani kulia lakini uwanaume na ujasiri vikamfanya ajikaze, Anakwenda kuuwa vingozi pengine ambao walikuwa wakitenda haki ya nchi zao na kwa ajili ya faida ya wanachi wao. Hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya kila kilichozungumzwa hapo hiyo ilikuwa ni oda na yeye kama mtendaji hakuwa na sauti ya kupinga kuhusu jambo hilo. Alikabidhiwa picha za watu hao na kuzifutika kwenye bahasha ya khaki na kutoweka mule ofisini hakutaka tena kusikia bla bla nyingine mahali hapo. Alielekea moja kwa moja nyumbani kwake na kujifungia chumbani kwake akipanga mkakati wa kuweza kutekeleza mauwaji hayo ya kisasi tu cha mtu binafsi. Hadi inafika saa kumi na mbili na dakika kadhaa za jioni, alikwisha kupata mbinu ya kuweza kutekeleza mauwaji hayo. Alioga vizuri na kupiga suti ya gharama kisha akatoka ndani humo akiwa kama afisa fulani. Akawasha gari na kuelekea kunako hoteli hiyo kubwa mjini hapo. Saa moja kamili Chriss alikuwa ukumbini akifuatilia mkutano maalumu uliokuwa ukifanyika katiaka ukumbi huo wa hotelini hapo. Ulikuwa ni mkutano mkubwa uliowakutanisha wafanya biashara wakubwa wakiwemo viongozi mbalimbali wastaafu. Hoteli hiyo ilikuwa imejaa ulinzi mkali ukiachilia mbali vijana wa jeshi la polisi ambao walikuwepo hapo kuhakikisha usalama, pia kulikuwa kuna ulinzi maalumu wa viongozi waliohudhuria mkutano huo. Chriss alipoingia hotelini hapo kwanza alikuwa yu katika vazi ghali kabisa la suti hivyo kumpa ugumu mtu yeyote kumtilia mashaka maana kila aliyemtazama aliamiani kabisa ni kijana mwenye fedha chafu. Alijipenyeza hadi mapokezi na kuchukua chumba lakini alianza kuulizia chumba namba 9 VIP. Akaambiwa chumba hicho tayari kina mtu na ni kiongozi mkubwa tu. Akaulizia VIP kingine kama anaweza kupata, akambiwa kuwa kimebaki kimoja tu. Akaomba apewe hicho hicho. Akafanyiwa taratibu za hapo na kukabidhiwa kadi maalumu ya kufungulia mlango kisha akapelekwa hadi chumba kilipo. Wakati anapita humo akipelekwa mahali kilipo chumba, macho yake yote yalikuwa ni ulinzi wa kamera zilizopo kwenye korido zilizobeba vyumba hivyo, hadi anakabidhiwa chumba na kuingia ndani, tayari alishajua ni kamera za aina gani na pia alishajua ulinzi umekaaje mahali hapo.Akaingia chumbani kwake na kufungua brifcase yake ambapo ndani ya brifcase hiyo hakukuwa na kitu chochote zaidi ya kijichupa kidogo cheusi na kompyuta yake ya kazi. Alivaa glove na kukishika kichupa hicho ambacho ndani yake kilionekana kuwa na kimiminika fulani. Akatabasamu kidogo na kukirudisha mahala pake. Akatoa ile kompyuta na kuiweka mezani kisha akaifungua na kuanza kuitafuta system ya mfumo wa ulinzi wa hoteli hiyo kubwa, alipoupata, aliaacha hivyo hivyo na kutoka nje ya chumba chake. Akatembea taratibu kama hataki hadi kwenye vyumba vya VIP huko akapitapita hadi kilipo chumba namba 8 ambacho ndiyo chumba alichotaka kufanyia kazi. Alipofika hapo alizuga kidogo lakini si kwa kuweza kumshtukia kisha akarudi chumbani kwake.

    "inatakiwa afe kitaalamu sana bila hata mtu yeyote kugundua" aliwaza kijana huyo na kusubiri mkutano uanze. Ilipofika saa moja kamili, watu wakikuwa tayari ukumbini humo na hapo ndipo tulipomuona Chriss akiwa ametulia akifuatilia mkutano huo. Mkutano uliendelea kwa muda wa lisaa zima hadi ulipofikisha saa moja na robo, Chriss akanyanyuka akijua kuwa zimebaki dakika kumi na tano tu kukamilika kwa mkutano huo ambao ulikuwa ni mkutano wa pili. Akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake huku .....



    huku kichwani akimfikiria mheshmiwa huyo mstaafu. Akakumbuka kuwa alimuona akiwa anatafuna Big G. Akajua kwa vyovyote vile big g ile ataitoa kinywani mwake kwa kutumia mikono pale itakapokuwa imekwisha utamu. Akafurahi kuona kuwa kazi inakwenda kuwa rahisi kabisa. Akafanya yake kwa muda mfupi tu na kutoka mule ndani akapanda haraka sana hadi kilipo chumba cha mheshimiwa. Akakitoa kile kichupa mfukoni na kukitingisha kisha akapulizia dawa iliyomo humo kwenye chupa pale kwenye kitasa cha ule mlango na sehemu ya kufungulia kisha akakirudisha mfukoni na kurudi chumbani kwake.

    "akishika kile kitasa, tayari anakuwa ni marehemu mtarajiwa, sumu ile ni kali sana na ni sumu ambayo kama atathubutu kuigusisha na mate yakinywani mwake basi ndani ya dakika thelathini anakuwa si hai tena." aliwaza kijana huyo akiwa anapaki vitu vyake kwenye begi kama kawaida na kutulia muda huo akiwa amerejesha kila kitu katika hali yake ya kawaida. Ni kitendo cha sekunde kumi na tano tu alikuwa amemaliza kazi. Chriss alikuwa ametumia sumu ya Presynaptic neurotoxins. Hii ni sumu kali sana ambayo inauwa kwa muda mfupi na pia inauwezo wa kumpoozesha mtu viungo vyake vya mwili mara baada ya muda mfupi tu kuingia kwenye mwili wa binadamu na inasemekana kuwa sumu hii hutumiwa na wauwaji mbali mbali na hata Chriss sumu hii aliipata huko nchini Australia alikokuwa katika shughuli zake za ufanyaji ngono. Ni sumu ambayo chanzo chake ni nyoka hatari wanaopatikana nchini humo. Alipohakikisha kuwa kila kitu kipo sawa, alirudi tena kwenye mkutano ambao ulikuwa upo katika hatua za mwisho kabisa. Muda mfupi mbele, mkutano ule ulifungwa na watu wakitangaziwa kuwa hapo kesho hawakutakiwa kukosa kwani ndiyo hitimisho na kutakuwa na mambo mazuri ya kibiashara ambayo yatatolewa hapo. Muheshimiwa Mulisoni alinyanyuka kwenye kiti chake alichokuwa amekaa na kuondoka taratibu akifuatiwa na walinzi wake watatu waliovaa kiraia ambao ilikuwa ni ngumu sana kuwajua. Alisalimiana na baadhi ya viongozi wenzake pamoja na baadhi ya wafanya biashara kisha akaongoza njia ya kuelekea mahali chumba chake kilipo. Alipofika chumbani hapo aliwaambia walinzi wake kuwa hatatoka tena hivyo wanaweza kupumzika kwani amechoka sana na anahitaji mapumziko na kama ni chakula basi anaweza hata kupiga simu na kuletewa. Alisema hivyo huku akiwa anaipitisha ile kadi sehemu maalumu ya kufungulia mlango kisha akakamta kitasa na kukinyonga kisha akazama ndani. Bg g iliendelea kuwa mdomoni kama kawaida, alivua koti lake la suti na pamoja na suruali, akabakiwa na bukta kisha akachukua taulo lakini kabla hajaelekea bafuni, alitumbukiza vidole mdomoni na kuitoa ile big g. Lile likawa kosa kwani vidole vyake viligusana na ulimi na kusababisha ile sumu aliyoichukua pale kwenye kitasa cha mlango ianze kufanya kazi kwa haraka sana. Kitendo cha kwenda kuitupa ile big g kwenye sehemu ya kuwekea taka mule ndani, hatua tatu za kurudi mahali alipotokea ikawa mtihani mzito. Kichwa kilianza kumuuma, mate yalikuwa yakimkauka kwa spiidi kubwa, akataka aishike chupa ya maji ili anywe, ilikuwa mbali. Miguu ikakosa nguvu, mwili ukamlege kabla ya kuanza kukakamaa na kudondoka sakafuni kwa kishindo kikubwa sana. Alianza kubadilika rangi taratibu na kuwa mweusi, hadi zinapita dakika thelathini, mh. Musolini alikuwa si haki yake kuwepo duniani tena kwani pumzi zilishamkimbia kwa kasi ya ajabu sana na kilikuwa ni kifo

    cha maumivu mno.

    Chriiss hakuona sababu ya kuendelea kubaki eneo lile la hoteli tena kwani aliamini muda wowote bomu lake linakwenda kulipuka. Alitoka mule hotelini kwa usiri mkubwa sana, kadi ya kufungulia mlango aliitelekeza mule mule ndani ya chumba alichofikia na kutoweka.

    Saa mbili usiku Chiriss alipata ugeni nyumbani kwake na ugeni huo haukuwa wa mtu mwingine bali ni Joesan. Alimfungulia mlango na kumkaribisha ndani hadi sebuleni.

    "karibu sana boss" ndivyo alivyo karibisha Chriss.

    "nimesha karibia kijana vipi kazi imekwendaje?" akatupa swali Joesan baada tu ya kuujibu ukaribisho huo.

    "kazi imekwisha na ninaimani kesho matokeo yatakuwa mazuri"

    "ok, vizuri, kilichonileta hapa ni kazi ya kesho SM" alisema hivyo Joesan na kuweka tuo kisha akafungua ki-rasket kidogo cheusi alichofika nacho mahali hapo. Akatoa Bastola moja kubwa ya rangi nyeusi lakini kwa upande wa kitako, ilikuwa na rangi ya udongo, akaiweka mezani kisha akamtazama kijana huyo usoni.

    "hii ni silaha hatari sana na inatumiwa na kampuni hii tu, ililetwa hapa nchini baada ya miaka mitatu ya kuanzishwa kwa kampuni hii." akaweka tuo tena na kumtazama usoni kisha akaendelea.

    "silaha hii ni ndogo kimtazamo na ukiitazama unaweza kusema ni Barreta Pistol lakini si hivyo, inatumia risasi za sumu na risasi zake zinaumbo la nyota. Risasi hizo zinauwezo mkubwa wa kukausha damu pindi tu inapopenya kwenye ngozi ya kiumbe yoyote yule. Pia inauwezo wa kuuwa ndani ya masaa 52 kama mhanga hajapatiwa maribabu ya haraka ya kuuwa sumu hiyo kama mhanga atakuwa amejeruhiwa kwa jeraha dogo. Na uwezo huo ndiyo unaofanya mtu aliyepigwa na risasi hizi, kuwa na wakati mgumu sana wa kupambana na kifo akiwa hana msaada wowote na ni lazima alama ya nyota ionekane pindi tu risasi hii inapopenya mwilini." Chriss aliitazama silaha hiyo kwa muda mrefu sana pia akamtazama na Joesan usoni kisha akatulia kama hakuwa ameelewa kitu chochote. Alikuwa ameletewa bastola hatari sana ambayo hakuwahi hata kufikiria kuja kuitumia.

    "inauwezo wa kulenga mbali pia na inakupa urahisi wa kushambulia kwani inabeba risasi nyingi tofauti na bastola za kawaida" akasema tena Joesan kisha akamtakia kijana huyo safari njema ya nchini kenya hapo kesho, akaondoka. chriss akawa anamsindikiza kwa macho bwana huyo. Hakuongea chochote wala kujibu chochote hadi bwana huyo anatoka humo ndani, muda wote alikuwa akimtazama tu usoni kwa kila alichokuwa akikizungumza mahali hapo. Aliishika silaha ile mpya kabisa katika macho yake na kuigeuza geuza mwisho akachukua kiwambo cha kuzuia sauti na kukifunga mdomoni mwa ile bastola. Akanyanyuka na kuelekea nje ya jingo la nyumba yake hiyo na kulenga sehemu maalumu ya kulengea shabaha na kuminya jicho moja. Risasi ikaruhusiwa, alilenga katikati ya sehemu aliyokusudia kulenga, akafungua jicho alilokuwa kalifunga na kuishusha chini bastola ile huku tabasamu mwanana likiwa usoni mwake.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "inanguvu sana hii silaha, wamenipa kitu kizuri sana nafikiri hapa sasa nitakuwa niko vizuri zaidi na nazidi kuimarika tararibu" aliwaza kijana huyo na kuingia ndani tena. Usiku ulikuwa mkubwa sana na kila muda ulipokuwa uanakwenda, ndipo vijana wa mh. Musolini walizidi kupatwa na wasiwasi. Haikuwa kawaida ya mzee huyo eti, hadi kufikia majira hayo, awe hajatoka ndani ya chumba chake.

    "Juma umeona mhudumu yeyote kuingia kwenye chumba cha mzee hadi majira haya?" aliuliza kamanda mmoja kiongozi wa ulinzi wa kumlinda waziri huyo wa mali asili na utalii wa awamu ya tatu ambaye alikuwa makini sana kufuatilia kila hatua ya kile kilichokuwa kinatendeka mahali hapo.

    "mbaya zaidi hata muda wa kahawa umepita leo, inamaana anaweza kupitisha siku bila kupata kahawa" mwingine aliuliza lakini jibu au majibu ya maswali yao hawakuyapata. Kengele za hatari zikalia vichwani mwao, askari mmoja akaenda hadi katika chumba cha mheshimiwa huyo akajaribu kugonga mlango lakini kimya kilitanda. Mashaka yakaongezeka. Nini kinatokea au nini kimetokea, yakawa ndiyo maswali ya kwanza ubongoni mwa askari huyo. Peke yake asingeng'amua jambo, wazo la kupiga simu likamjia, akanyanyua simu ya upepo na kuiweka sikioni.

    "nimegonga mlango zaidi ya mara kumi lakin hakuna majibu yoyote" Alisema hivyo kijana huyo huku akiwa hatulii sehemu moja akaonelea ajaribu kushika kitasa na kukinyonga kuona kama mlango utatii. Haikuwa hivyo na tayari alishabeba sumu ile na ukizingatia alienda kienyeji tu bila usalama wowote. Akawa anasubiriwa kuupeleka mkono wake mdomoni ili kuiruhusu sumu hiyo ifanye yake. Baada ya dakika tatu, yule kiongozi wa ulinzi akikuja mahali hapo kwenye mlango wa chumba hicho na baadhi ya wahudumu huku wakiwa na kadi maalumu ili kuweza kufungua mlango huo bila ridhaa ya mwenye chumba lakini wakiwa wanafanya hivyo, haikujulikana yule askari wa kwanza alipeleka saa ngapi mkono wake mdomoni. Kilichoonekana hapo ni kuhangaika kwa askari huyo maalumu huku akionekana kupoteza kabisa nguvu za miguu. Taharuki ikawakumba wale wengine waliopo pale, hofu za mioyo yao ikiwa imepewa kipaumbele kabisa. Nini kinamfanya askari huyo ahangaike? Nini kimemkuta na maswali mengine kadhalika yakaulizwa lakini ni nani sasa wa kuyajibu. Jibu ni hakuna. Wakajua fika kwa mtindo huo mambo ni magumu. Macho yaliwatoka zaidi pale walipomuona askari huyo akipumua pumzi ya mwisho na kujinyoosha kama kuku afae ghafla. Uhai ulimtoka askari huyo mbele ya macho yao, hofu ya kuwa mh. atakuwa amekumbwa na matatizo kila mmoja alikuwa nayo lakini hakuna aliyeruhusiwa kuusogelea mlango kwa tahadhali hadi pale walivyo kuja madaktari wa dharula, ndipo wakavaa gloves na kuruhusiwa kuingia ndani humo. Aliyetangulia alikuwa ni mkuu wa ulinzi yule ambaye ni komando. Kitu alichokutana nacho kilimshtua sana, hakuamini kwa haraka namna hiyo kuwa amezidiwa ujanja na mtu ameuwawa kirahisi hivyo. Alijiona mjinga sana na hakuona thamani ya kupewa ukomando kama hakuweza hata kuinusa harufu ya mhalifu, alijiona kama na yeye ameshiriki kumuua kiongozi huyo wa serikali ya awamu ya tatu kipindi hicho akiwa ni waziri wa mali asili na utalii. Madokta walipoingia eneo hilo, waliutazama ule mwili wa marehemu bila kuugusa. Hawakutaka kufanya chochote hadi askari waweze kufika eneo hilo la tukio. Polisi walipofika na kufanya uchunguzi wao ndipo waliruhusiwa kuondoka na mwili huo kwa ajili ya kwenda kuufanyia uchunguzi wa kitaalamu.

    "inavyoonekana kwa macho tu mh. atakuwa kauwawa na sumu" dokta alisema alipokuwa anachukua vitu fulani fulani vitakavyoweza kurahisisha uchunguzi huo. Mwili wa yule askari pia ulichukuliwa na kupelekwa kwenye hospitali ya mkoa wa Morogoro. Hadi inafika saa nne usiku, taarifa za kifo cha mh. Waziri wa awamu ya tatu zikazagaa. kila mwananchi alikuwa kama kapigwa na shoti kwenye moyo wake, ilikuwa ni habari ya kushtukiza sana. vyanzo vya habari vilisema kwamba.

    "waziri huyo mstaafu wa awamu ya tatu aliyekuwa ni waziri wa mali asili na utalii mh. Musolini, kifo kilimkuta katika hoteli ya Morogoro, (Morogoro hotel) na inasadikiwa kuwa mheshimiwa waziri ameuwawa kwa sumu kali na hii ni baada ya uchunguzi wa awali wa madaktari....................................



    Hata hivyo pia mlinzi wake mmoja pia alikufa muda mfupi tu baada ya kupata mashaka kwa kujifungia ndani kwa muda mrefu kwa waziri huyo. Daktari aliyechunguza sababu ya vifo vya watu hao anasema, sumu hiyo kali ilipuliziwa kwenye kitasa cha mlango na kusabisha kila akiyegusa pale kukumbwa na kifo cha sumu hiyo." mji ulizizima, kimya kilitanda mji mzima, kitendo cha mh. Kuhudhuria mkutano mkubwa wa biashara, ndiyo iwe kifo chake?

    "au alikuwa na kisasi na watu" alisema mtu mmoja walipokuwa wakifuatilia taarifa hiyo luningani.

    "wewe nawe domo lako haliwezi kuvumilia kitu kila utakachokiona unataka useme, ngoja usikiwe ukaisaidie polisi" alionywa mtu huyo na mwenzie.

    "ni nani atakayesikia kuwa nimeongea wewe nawe muoga sana"

    "siyo muoga we unafikiri ni kifo cha muuza kioski kama wewe, hicho ni kifo cha mtu muhimu ohoo!"

    "angalia kule luningani wanavyosema, kumbe hata aliyekuwa akiendesha mkutano huo kawekwa chini ya ulinzi kwa upelelezi, sasa we endelea kuropoka." walizidi kubishana watu hao hadi pale waliposikia habari ya kuwekwa chini ya ulinzi muendeshaji wa mkutano huo ndiyo wakawa makini kuendelea na kuitazama hiyo habari hapo.

    Si kwa vijana wale tu waliokuwa wakiifuatilia hiyo habari bali kila aliyejaaliwa kuifuatilia alifanya hivyo kama si kwenye luninga basi ni kwenye redio na kama si kwenye redio, watu walizinasa habari hizo mitandaoni. Habari za vifo hivyo vilisambaa kama harufu ya pilau.

    "ha ha ha haaa!" cheko zito lisilo na ukiritimba ndani yake bali utajiri mkubwa wa kukinahi kwa fedha lilisikika kutokea ndani ya chumba kimoja kwenye jingo moja la siri sana. Hili jingo hatukuwahi kuliona kabla, lilikuwa ni jingo kubwa na lenye thamani ya kawaida sana kwa nje lakini ndani humo kulikuwa na kufuru ya samani. Viti vya kutoka ughaibuni vyenye thamani ya kutupwa. Meza za vioo vyenye uzito mkubwa wa pesa. Hakika humo ndani kulikuwa na kila kilichokithirisha kwa thamani yake. Lilikuwa ni jingo lenye code no. Four (4). Jumba ambalo ndipo yalipokuwa makazi ya mwanaharamu Mr. Lee Kim. Mkorea mwenye roho ya kikatili sana. Alikuwa akicheka mara baada ya kuona taarifa ile ya habari kwenye luninga yake kubwa iliyojaa ukutani.

    "huyu kijana ni like a Monster, sikutegemea kama angekuwa kitaaluma namna hii" aliwaza mzee huyo kasha akaachia tena cheko kubwa na kupiga funda zito la kinywaji laini kilichopo mezani kwake.

    "acha amalize huyo wa kenya kesho kisha angie kwenye group sex baada ya hapo atamaliza na kitu kitakacho nibadilisha kabisa na kuwa tajiri mkubwa duniani, hapa ndipo nitakapomtumia kama muuwaji wangu wa kuniulia mahasimu wangu wote" aliwaza tena mzee huyo kisha akajinyanyua na kuelekea chumbani kwake huko alipokelewa na kijana wa kiume amabaye alikuwa hana nguo hata moja na alimvua nguo mzee huyo na kuanza kumfanyia mambo ambayo alipaswa kufanyiwa na mwanamke lakini yeye aliona ni sawa kabisa na alikuwa huru na hicho anachokifanya mahala hapo. Alifumba macho kwa raha za ufirauni huo aliokuwa akipewa na kijana huyo. Ni mambo ya kishenzi kabisa aliyokuwa anayafanya Kim na hii ndiyo ilikuwa tabia yake ya kutafuta kijana yoyote aliyetokea kumpenda na kuagiza vijana wake wamletee kijana huyo na anapoletwa katika himaya yake, hakuna kingine anachokwenda kumfanyia zaidi ya ushetani huo. Ameshaharibu vijna wengi toka sehemu mbalimbali za nchi hii kwa kuwaingilia kinyume na maumbile (kuwalawiti) pasipo ridhaa yao na hata inapotokea kijana ukawa mbishi, ujue utaingiliwa tu hata baada ya kipigo kikali au maiti kabisa. Hakuwa binadamu mzee huyo hata kidogo na huwa hapingwi juu ya kile akipendacho. kijana huyo alizidi kumpa burudani mzee huyo wa kikorea kwa kumtomasa mwili wake hadi pale alipokuwa tayari kumuingilia na kijana huyo hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya hicho bwana wake anachotaka.



    Chriss yeye aliamua kulala mapema sana, hata wakati habari ile inatoka, yeye alikuwa tayari yu katika usingizi mzito. Alikuwa amechoka sana na pia alikuwa akihitaji kupata usingizi mzuri ili aweze kuamka mapema kwa ajili ya safari. Asubuhi ya siku iliyofuata wakati Chriss akiwa safarini kuelekea uwanja mdogo wa ndege uliopo mjini hapo kwa ajili ya kuelekea nchini Kenya, Mr. Kim ndiyo alikuwa anaamka baada ya kulala usingizi mzito uliosababishwa na ushetani aliokuwa akiufanya usiku kucha kwa mwanaume mwenzie. Alilala na kijana huyo kama mke na mume na kufanya kila kilichowapasa kufanywa na wanandoa. Hakuwa kijana huyo pekee tu ndani ya jumba hilo, bali kulikuwa na vijana si chini ya ishirini na mbili na wote akiwa ameshawaharibia maisha tayari. Na marafiki zake wengi walikuwa wakitoka sehemu za mataifa mbalimbali na kuja ndani ya mji huo kisha yeye huwapokea kwa lengo la kwenda kuwaburudisha kwa kuwapa vijana hao ambao amesha waharibia maisha na kuwaingilia kinyume na maumbile yao vile watakavyo. Na hata wageni wake wakiwa wanahitaji wanawake basi huwapeleka kwenye jumba lake la kifahari ambalo ndilo aliloliandaa kwa ajili ya kumuingizia pesa na hili ndilo alilipa namba au code no. 03. Ni jumba kubwa lenye kila aina ya starehe ndani yake. Lilikuwa limejengwa mfano wa kasino na ni jumba pekee la siri la bwana huyo wa kikorea, linalotambulika na kila mtu. Linatambulika kama THE HAPPY CLUB. Watu wengi wenye pesa zao huitumia hiyo club kwa ajili ya kustahereka na starehe mbalimbali tambulishi lakini pia kumbe humo humo kulikuwa kukifanyika ufuska wa hali ya juu ambao ulikuwa unaendeshwa kimya kimya. Ni nani asiyeijua The happy Club, kama yupo asiyeijua basi huyo si mzaliwa wa Morogoro. Hata mtoto mdogo ukimtajia Happy Club, atakuambia Masika. Ni Club maarufu sana hiyo. Hadi inafika saa 08:30 asubuhi, Chriss alikuwa angani akiwa na ndege ndogo ya kukodi ikimpeleka nchini Kenya. Alikuwa akiiacha ardhi ya morogoro huku kichwa chake kikiwa na mawazo tele juu ya kile alichokiacha mjini hapo, kila kona ya mji, habari ilikuwa ni kifo cha mh. Waziri mstaafu wa awamu ya tatu na mlinzi wake binafsi. Kila mtu alisema vyake juu ya kutokea kwa vifo hivyo. Wengine walisema kuwa alikuwa mchapa kazi sana enzi za uteuzi wake baada ya kuteuliwa na Raisi wa kipindi hicho Dr. John Pomela. wengi waliskitika sana na kufikia hatua ya kutoa laana mbaya kwa aliyetekeleza au waliohusika kutekeleza mauwaji hayo. Yote hayo yaliuumiza sana moyo wa Chriss alipokuwa akiyasikia maneno hayo. Na ndiyo hasa yaliyompa maswali mengi kijana huyo na mawazo lukuki. Hadi ndege inatua kwenye uwanja mdogo wa Kisumu, hakujua kama hapo ndiyo ilikuwa mwisho wa safari yake kwani hata sauti ya kumtahadharisha afunge mkanda ili kuiruhusu ndege hiyo kuyatoa matairi yake kuikanya sakafu ya uwanja huo, hakujua ilitolewa muda gani. Ndege hiyo ndogo ya shirika la ndege binafsi, ilisimama na kisha rubani wa ndege hiyo akamwambia abiria wake kuwa wamefika salama Kisumu na hakuna budi kumshukuru Mungu kwa kuweza kuwafikisha salama safari yao hiyo. Chriss alishuka toka kwenye ndege hiyo na kuushangaa mji huo wa kisumu uliofikiwa na ziwa kubwa Afrika ya mashariki, ziwa Victoria. Alipomaliza itifaki za hapo uwanjani, kijana huyo alipiga hatua moja hadi mahali zilipo tax. Kijana mmoja machachari alimuwahi na kumuelekeza moja kwa moja kwenye gari yake na kumfungulia mlango pasi na kujua nini shida ya kijana huyo.

    "niambie kaka nikupeleke wapi?" aliuliza kijana huyo mara baada ya kuingia garini mule upande wa kuendesha.

    "kuna hoteli moja iko katikati ya mji huu naomba unipeleke katika hoteli hiyo" alisema Chriss akijua tu kijana huyo ni mwenyeji wa mji huo lazima atakuwa anaijua hoteli hiyo. Gari ikaongezwa mwendo, safari haikuwa ndefu lakini mwendo ulikuwa si wa kitoto. Walifika nje ya Hoteli hiyo, suka akasimamisha gari yake maegeshoni kisha akamgeukia abiria wake na kumwambia kuwa hapo ndipo hoteli hiyo ilipoweka makazi yake. Chriss akaitazama hoteli hiyo pasipo kushuka garini kisha akasema.

    "ooh! samahani suka nipeleke KS Hotel"

    "bila samahani boss kinachohitajika ni pesa yako tu" akajibu dereva wa hiyo gari huku akiigeuza na kuingia tena barabarani. Kwa mwendo mfupi wakafika ilipo hoteli hiyo. Hii ni hoteli ya kawaida sana lakini inayosifika kwa huduma ni hoteli ambayo wageni wengi hupenda kufika ndani ya hoteli hiyo. Hata Chriss alivyotaka kupelekwa kwenye hoteli hiyo, halikuwa jambo la kushangaza kwani kila mgeni ni faraja kwake akilala kwenye hoteli hiyo. KS ni hoteli iliyo na umbali mdogo kutoka ilipo hadi lilipo Ziwa Viktoria ambapo pembeni ya ziwa hilo ndipo ilipo nyumba ya Tajiri mmoja mkubwa. Tajiri huyo alikuwa ni mfanya biashara mkubwa na maarufu sana, alikuwa akifanya biashara ya kununua na kuuza madini mbalimbali kutoka ndani au nje ya nchi. Pia aliwahi kuwa kiongozi wa idara fulani miaka kadhaa iliyopita. Huyu ndiye aliyekuwa akihusika na masuala ya uhamiaji na ndiye aliyesimama imara katika kupiga vita uhamiaji haramu. Huyu ndiye aliyemfilisi mr. Lee Kim kipindi hicho na kumfanya mzee huyo wa kikorea kutaka kuchanganyikiwa na maisha kabisa mara baada ya kutaifishwa mali zake inchini Tanzania kwa kosa la kufanya uwekezaji usiofuata misingi na kutokulipa kodi serikalini, kipindi cha waziri wa kipindi hicho mh. Musolini ambae tayari ni marehemu kwa muda huo na sasa ni yeye ndiye anayefuatia kwa ajili ya kulipa yale waliyomfanyia mzee huyo kana kwamba kaonewa kumbe alistahiki. Don Kemoi. Ndilo jina halisi la tajiri huyo. Chriss alifika ndani ya hoteli hiyo na kupata chumba akafanya booking ya siku tatu. Alikuwa ametulia chumbani kwake na kuamua kuwasha Tv kwa lengo la kupoteza muda. Alikutana na habari ya kifo cha aliyewahi kuwa waziri wa mali asili na utalii kilichotokea siku ya jana. Hii aliiona kawaida lakini kilichomuumiza kichwa ni baada ya kusikia historia ya kiongozi huyo mstaafu. Ilikuwa ni historia nzuri sana ambayo haikuonesha dosari kwa kiongozi huyo na uchapa kazi wake wa kuigwa ukatolewa mahali hapo. Hakujua nini afanye. Akaona ile habari ni kama inamchanganya tu. Akazima luninga hiyo na kuifungua Kompyuta yake na kuanza kufuatilia mambo muhimu yatakayo mfaa kwenye kazi yake. Akaingiza jina la Kemoi na kuanza kumfuatili. Alipata mengi sana, kuhusu kazi yake na jinsi atakavyoweza kukutana naye. Aliporidhika, aliifunga kompyuta hiyo na kujilaza kitandani.

    Saa kumi na mbili jioni, Chriss alipanda juu ya hoteli hiyo na kamera yake mkononi. Alipofika juu ya ile hoteli, juu kabisa, alizunguuka na kuanza kufanya kike kilichompeleka juu ya hoteli hiyo. Alichukua kamera yake na kuanza kuangaza kila kona ya mji huo hadi pale alipopata kile alichokihitaji. Aliivuta picha karibu na kuaza kuiangalia kwa utaratibu kabisa. Alikuwa akiitazama nyumba ya Don Kemoi, Nyumba ambayo ilijengwa pembezoni ...............................................

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mwa ziwa viktoria. Nyumba nzuri kabisa na ya kifahari mno.

    "ni ngumu sana kutekeleza hili lakini ngoja niwe na kitu cha ziada kitakacho nifanya niweze kuingia kwenye himaya yake bila kushtukiwa" aliwaza Chriss/Sex machine alipokuwa akizidi kuichunguza nyumba hiyo kwa ukaribu zaidi.

    "anaonekana anaulinzi mzuri na inawezekana ikawa shida kidogo" akawaza tena na kuishusha hiyo kamera machoni mwake. akafikiri kidogo kwa muda huku akiwa anatembea tembea juu ya lile jingo.

    "Yess," akasema baada ya kufikiri huko. Na ni baada ya kupata jibu la alichokifikiri. Chriss mzee wa mipango na akipanga anachopanga kinakuwa katika mpangilio wa upangwaji uliopangiliwa kwa upangaji sahihi.

    "lazima niingie pale kama mfanya biashara" akasema kwa sauti kidogo na kushuka kutoka juu ya lile jingo na kuingia tena chumbani kwake. Saa mbili usiku alitoka na kuelekea katikati ya mji wa kisumu na kuingia kwenye duka kubwa la bidhaa mbalimbali, alipotoka alikuwa na mfuko mdogo wa malboro. Akakunja kona kadhaa na kutokea kwenye uchochoro fulani hapa alikunja kulia na kutokea upande ambao ulikuwa umetulia sana hapa palionekana hapakuwa na watu kabisa. Nywele zikamsimama, machale yakamcheza, hali ya kuwa hapo alipo si salama ikamjia. Hakukosea, alikuwa amevamia kwenye anga la vibaka wavamizi na muda huo wakiwa katika mipango yao ya kupanga ni wapi wavamie kwa usiku huo. Kitendo chake cha kusimama hapo, kikawatia mashaka wale jamaa. Akasogea hadi alipo Sex machine na kumzunguuka.

    "hey, we ni spai umekuja kutuchunguza ama niaje?" alisema kijana mmoja kwa lafudhi ya kimtaani.

    "niko kwenye dili zangu kama nyiyi ambavyo mpo" Sex machine naye akajibu kwa lafudhi hiyo.

    "acha uk*m* wewe mtoto mzuri kama wewe unawezaje kufanya mishe za night" aliongea mwengine kwa mtusi kabisa, Sex machine hakujibu kitu.

    "oya jamaa, huyu bwege anataka kutuletea wasee anga zetu"

    "ngoja tumpe kibano na kumpora kila kile amebeba na tunapote bila shaka mabuda hawako mbali" alisema kijana mwingingine na kuanza kumsogelea kijana huyo ambaye muda wote alikuwa ameinama chini kuficha sura yake. Wakaja kwa fujo kutaka kumpa kipigo cha mbwa mwitu, walikosea, kosa kubwa sana waliolifanya mahali hapo. Walipigwa kipigo ambacho kila mmoja alipomuuliza mwenzake ni jinsi gani walivyopigwa, hakuna aliyejua maana kipigo walichokichukua hapo kilikuwa cha kushtukiza na hata huyo mtu aliyewapiga hawakumuona tena mahali hapo alishawapotea na badala yake wakabakiwa na maumivu mazito. walijizoa zoa na kujinyanyua kisha kila mmoja kuchukua njia yake walisahau hata kuwa kwa muda huo walikuwa kwenye mipango yao. Chriss baada ya kutoa kichapo cha ajabu kilichowaacha watu hoi. Alichukua ndinga lililompeleka hotelini kwake na kutulia kama ambavyo apendavyo. Akaingia kwenye mtandao na kutuma email kwa bwana huyo kwa lengo la kumpelekea biashara ya dhahabu. Baada ya masaa kadhaa kupita, ujumbe ukarudi ukimtaka atume picha ya mzigo alionao kwa njia ya WhatsApp. Akafanya hivyo. Alikuwa tayari na picha hivyo haikumpa tabu. Hakuwa na mzigo wowote bali alitaka kuwa karibu tu na bwana huyo ili atekeleze kile kilichomleta hapo Kisumu. Mzigo aliotuma picha yake tu ukaonekana kumvutia kila mtu aliyeuona na taarifa zilipopelekwa kwa Don, akahitaji mtu huyo afike hapo na kufanya biashara. Hii ikawa ni hatua ya kwanza ya kufanikisha zoezi lake. Akapanga siku ya kwenda ambayo ilikuwa ni siku inayofuata. Akafungua ule mfuko wa maliboro na kutoa kile alichokwenda kuchukua kule dukani kisha akaanza kula taratibu. Alipomaliza, Alielekea bafuni kujimwagia maji na aliporudi alijitupa kitandani na kuipitisha siku.



    Asubuhi ya siku iliyofuata Chriss alikuwa amejiinamia chumbani kwake, alikuwa ametulia kimya sana akifikiri hili na lile. Hakuwa na kitu cha kufanya sana zaidi ya kuutumia muda huo kufikiri ni njia gani itafaa kutekeleza mauwaji kwa njia nyepesi na ya haraka. Alifungua komputa yake na kufungua file moja ambalo lilikuwa na nyimbo nyingi mbalimbali kisha akachagua wimbo mmoja wa msanii kutoka Tanzania aliyekwenda kwa jina la Fid q wimbo unaoitwa Ielewe mitaa. Ukawa unamburudisha mahali hapo. yalipofika majira ya saa 12:15 mchana. Chriss alikuwa tayari yupo njiani kuelekea ambako miadi yake ilipo. Alikuwa yupo katika gari ya kukodi aina ya Baroon. Alikwenda hadi karibu kabisa ya mtaa ambao Jingo la bwana huyo lipo na kushuka kisha akapita kwenye duka moja la nguo akachukua kofia kubwa ya pama na miwani ya jua. Akapiga, na kurudi tena garini. Masaa machache mbele akafika kwenye lango la jumba la Don na mara lango hilo likafunguliwa na gari hiyo ikaingia ndani ya mjengo huo. Alishuka Chriss na kukaguliwa na walinzi wa hapo kisha akaongozwa hadi kilipo chumba fulani. Hapo alikuja mtu mwingine na kumchukua kijana huyo hadi kwenye upande mwingine kabisa wa hilo jingo. Huko alikaribishwa na akakaa kwenye kiti kisha baada ya muda mfupi, Don akatokea mahali hapo. Wakasalimiana kwa kupeana mikono kisha bwana huyo akachukuwa nafasi na yeye ya kukaa huku akiwa amesimamiwa na walinzi wawili wenye silaha na walio wakakamavu.

    "umejuaje kuwa mimi ni mtu ninayehusika na mambo haya?" Don aliuliza swali na kijana huyo akajiweka sawa kabla ya kujibu kitu na kusema.

    "si jambo la kushangaza sana mimi kuweza kukufahamu wewe, nimekuwa nikifanya biashara na watu maarufu mbalimbali na mara nyingi nakutana nao kupitia mitandao ya kijamii hivyo si ajabu leo kukutana na Don Kemoi" alisema Chriss na kumfanya bwana huyo achanue tabasamu kabla ya kujiweka vizuri kitini.

    "biashara yako ni ya dhahabu pekee ama unafanya na madini mengine" akauliza tena Kemoi.

    "no, nafanya biashara ya madini tofauti lakini nimeona wewe unadili sana na dhahabu hivyo nikaona tunaweza kufanya na wewe hii biashara vizuri, ukizingatia sina wateja wengi sana kwenyeali hii biashara ya dhahabu" alisema Chriss huku akiligeuza Brifcase lake jeusi lililotangaza ukwasi wa juu sana kwa kijana huyo kwa jinsi ambavyo lilikuwa likiwaka.

    "wewe ni mfanya biashara mgeni kidogo machoni mwangu sijawahi kukuona wala kusikia sifa zako lakini mzigo niliouona kwenye picha uliowatumia vijana wangu ni mzigo mzuri sana, ni mfanya biashara kutokea Tanzania siyo?"

    "yaa, mimi ni mtanzania na kama hivyo unavyosema ni kweli tupu kwani mimi biashara zangu zinakwenda kuuzwa nje ya nchi nyingine japo ni hapa hapa Afrika. Sikujua moja kwa moja, kama naweza kukutana na watu ambao naweza kufanya nao kazi hapa Afrika ya mashariki hivyo ni faraja kwangu kukutana na wewe Don"

    "ha ha haa! Karibu sana mr. Twlib. Mimi nafanya biashara na watu wengi sana na mimi ndiye niliyemuingiza waziri Muso kuingia kwenye biashara hii mara tu alipostaafu uwaziri. Nimeumia sana kusikia kuwa amefariki dunia yule bwana. Alikuwa ni rafiki yangu mkubwa sana kabla na baada ya kustaafu madaraka yake. Pole sana kwanza kwa kifo cha kiongozi wako aisee"

    "aisee hata mimi nilipatwa na mshtuko sana na leo nikiwa hotelini ndiyo nilipata hizo habari. Ni mipango ya Mungu tu na nimesha poa" alijibu Chriss huku akiwa na imani kuwa kama mtu huyo angejua kuwa aliyeuwa waziri ndiye huyo aliyepo mbele yake, ni wazi asingethubutu hata kusalimiana nae. Hakujua na hakujua pia kuwa hapo hapakuwa na biashara yoyote bali ni kama alimkaribisha izirail ndani ya nyumba yake. Huyo alikuwa ni muuwaji asiyetabirika Criss au Sex machine aliyejificha hapo kwa jina bandia la Twalib. Baada ya maongezi mengi, watu wakapanga kuingi kwenye biashara na Don akataka kuoneshwa huo mzigo. Chriss akacheki usalama akaona pame poa, akaangalia wale walinzi akasita kidogo na kuacha zoezi alilotaka kulifanya mahali hapo.

    "vipi unawahofia walinzi wangu mr. Twalib?" aliuliza Don baada ya kumuona Mr. Twalib wa bandia amesimamisha zoezi la kutaka kufungua mzigo.

    "hapana"

    "naona umesitisha zoezi, kama unahofia naweza kuwatoa mbali kidogo na hapa na tukaendelea na biashara" Chriss akafikiri kwa haraka sana akaona kama atarusu walinzi hao watolewe hapo na kusogezwa pembeni, itakuwa ngumu kwake kuweza kufanya alichokitaka.

    "naamini hawa ni watu wako wa karibu hivyo hawawezi kuwa na madhara" akasema na kuikamata brifcase na kuifungua. Alipomuonesha bwana huyo humo ndani, mshangao mkubwa ukamkumba Don. Ndani ya bagi hakukuwa na mali ya aina yoyote zaidi ya kifaa kidogo mfano wa kiberiti cha kuni. Mshangao ule ukawafanya hata wale walinzi kuinama. Hilo likawa ni jambo alilolitegemea kutokea hivyo akafanya kitu cha kushangaza sana na ambacho hakuna hata mmoja aliyetegemea. Alibonyeza kitu fulani mfano wa rimoti ndogo. Mlipuko mdogo usio na sauti ukatokea mahali hapo moshi mwembamba ukatoka kwa kasi na kujaa kwenye macho yao. Chriss alikuwa amejikinga na ile mawani hivyo haikuwa rahisi moshi ule kupenya kwa haraka na kabla ya kitu chochote kutokea, wale walinzi wa karibu wa Don walipokea zawadi ya visu vilivyotua kwenye makoromeo yao na hapo hapo wakaanguka chini wakiwa wanapambana na hatua ya mwisho ya kupigania uhai wao. Don hata hakupata muda wa kupiga kelele kwani lilikuwa ni tukio la ghafla sana kumtokea. Alikuwa akilalamika kwa jinsi macho yalivyokuwa yakimuwasha. Chriss alikamata shingo ya Don na kunyonga kisha akamkalisha pale kitini na kumuegamiza kwenye kiti alichokuwa amekalia. Kisha akawachukuwa wale walinzi na kuwaweka pamoja na kufunga kila kilicho chake akatoka mule ndani kama vile hakuna jambo baya lililotukia huko ndani. Tabasamu lilikuwa usoni mwake hali iliyowapelekea wasichana wa humo ndani kumsalimia kila anapopishana nao. Alifika garini mwake na kufunguliwa geti kisha akatoweka eneo lile. Hakuna kiumbe aliyemtilia shaka kwani hakuonekana kujali chochote na alitoka akiwa ametabasamu kuashiria kuwa kila kitu humo ndani kilikwenda sawa. Hakukusikika hata sauti ambayo labda ingeleta wasiwasi kwa watu hao. Hadi Chriss anaingia Hotelini kwake na kuoga kisha akaelekea mahali ambako alikwenda kujipatia chakula.



    huku kwa Don bado hakuna aliyegundua chochote lakini ghafla kelele za mshangao ................



    kelele za mshangao zikasikika kutokea mahali ambako kikao cha biashara kati ya Don na mgeni wake. Watu walipokimbilia huko ndiko wakakuta vitu tofauti, waliwakuta walinzi wakiwa tayari ni marehemu tena walikuwa wamechomwa na visu vyenye sumu kali sana inayokausha damu kwa haraka. Don walimkuta akiwa ameegamia kwenye kiti. Hiyo ikawa ishara tosha kuwa hawakuwa na watu hao tena kimwili. Taarifa zikasambaa za kifo cha Don Kemoi na walinzi wake wawili. Habari kama unavyojua kuwa zinasambaa kama hewa ya oxjeni. Nazo zikaimeza nchi ya kenya. Ni nani aliyefanya mauwaji hayo? Watu wengi ndani ya nchi ya Kenya walijiuliza hivyo. Jibu likawa gumu kumjua mtu huyo sanasana walinzi walisema kuwa alikuwa ni mrefu mweusi kidogo, alivaa kofia ya pama na mawani ya jua. Na alikuja ndani ya jingo hilo kama mfanya iashara wa madini. Walipotaka kumchunguza mtu huyo kwenye kamera za ulinzi za jingo hilo, jibu likaja kuwa kamera zilikuwa zimezima kwa takribani dakika kumi na tano na kisha kufanya kazi tena baada ya mtu ayesadikika kuwa ndiye aliyefanya mauwaji kutoweka. Kilichofanikiwa kukamatwa ni namba za gari pekee, gari alilolitumia mtu huyo kufika kwenye himaya ya Don Kemoi. Hofu ikawatanda viongozi wa Afrika ya mashariki, Uganda, Rwanda na Burundi wakajua huwenda ikawa ni zamu yao baada ya Tanzania kisha Kenya. Viongozi wa awamu zilizopita wakawa waoga hata kupokea wageni.



    Namba zile zikafanyiwa kazi hatimaye wakamtafuta mmiliki wa gari hilo na walipofika anapoishi mmiliki huyo akakiri kuwa namba hizo ni za gari yake na ilikodishwa siku iliyopita na haijarudishwa hadi muda huo. Kikawa ni kitendawili kwa askari polisi. Watafanyaje na huyo jamaa kweli kazi yake ni kukodisha magari na ni biashara yake ya muda mrefu na ndiyo inayompa heshima mjini. Wakawa na kazi moja tu ya kuitafuta gari hiyo popote ilipo. Namba za gari hiyo zikawekwa kila mahali na vyombo vyote vya habari vikatangaza kuhusu namba hiyo na kuwataka wananchi waisaidie polisi kwa kutoa taarifa popote pale itakapoonekana gari hiyo. Taarifa zikaja kuwa gari hiyo imekutwa imetelekezwa maeneo ya duka kubwa la bidhaa mbalimbali na mtelekezaji asijulikane. Hoi, Walichoka,Ikawa ni kazi ya kujua muuwaji ni nani na amepotelea wapi. Watasumbuka kwani mtu aliyesbabisha mauwaji hayo ni mtu makini na proffesional wa kazi hizo za kijasusi, ilihitaji mtu mwenye weledi wa juu sana kama kamanda Amata au Jakob Matata, wapelelezi hawa ndio kidogo wangeweza kunusa hafuru yake.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Siku ya pili asubuhi na mapema alikuwa kwenye uwanja wa ndege wa Kisumu. Askari walimwagwa kama njugu mawe wakitafuta muuwaji au mtu yeyote watakayemtilia mashaka, ukaguzi ulifanywa mara tatu tatu lakini hakuna kitu kilichopatikana hata harufu ya muuwaji hawakuipata. Kijana akakwea pipa la kukodi hadi Arusha kisha akapanda ndege ya abiria wakawaida kutoka hapo Arusha hadi uwanja mdogo wa morogoro. Hakuhitaji kupoteza muda aliondoka uwanjani hapo na kurudi nyumbani kwake ambapo aliamua kulala na alipouweka tu ubavu kitandani, usingizi ukaja ukamchota.

    "nilikuona, nilikuona, nilikuona......wewe ni .......... na siyo.......... kwa nini hivi unafanya, kwa nini hivi unafanya.........aaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Unanikumbuka, hautaki kunijua.............tulikutana .............. aaaaaaaaaaaaa...............!!!!!!!!!" alishtuka kutoka usingizini Chriss ndoto mbaya sana ilikuwa ikimsumbua.

    "wewe ni...... na siyo.......!!?" sauti hiyo ya mtu ambaye ni kama walionana mahali ilijirudia kichwani mwake. Yeye ni nani na siyo nani? Hakuwa akijua maana kila sauti hiyo inapofika kwenye jina ilikuwa inajichanganya kiasi cha kutokusikia ni majina gani hayo yaliyotajwa. Sura ya mtu aliyekuwa akiongea aliiyona ndotoni humo lakini hakumbuki aliiona wapi sura hiyo ya mwanamke mrembo ambaye kwenye ndoto hiyo alikuja akiwa hana tabasamu hata kidogo na kuifanya sura yake iwe ya kuogopesha.

    "mimi ni nani Mungu wangu mbona sijifahamu? Na hii ndoto ni nini sasa aaah!" alijishika kichwa huku akijiuliza maswali hayo, jasho lilim mwagika kama nini sijui. Moyo ulikuwa ukibadili mapigo yake, ulikuwa ukipiga kwa kasi sana huwenda yeye hajijui ila kuna watu wanamjua historia yake na inawezekana ipo siku atajijuwa yeye ni nani. Alichukua simu yake na kuangalia muda, alichanganyikiwa kweli kwani hata kumbukumbu kuwa hapo mezani palikuwa na saa pia hakukumbuka hadi alipochukua simu mezani hapo na kuangalia muda. Ilikuwa ni saa mbili na uchafu wa dakika. Akastaajabu kijana huyo, kumbe hata muda umekwenda sana, akakumbuka kuwa alilala saa kumi za jioni na muda huo ndiyo anaamka.

    "too much" akasema na kushuka kitandani akaelekea bafuni. Alipotoka akavaa nguo zake nyepesi na kuikamata simu yake. Akapiga mahali na kuiweka sikioni.

    "uko wapi?" alisema.

    "niko nyumbani kwa sasa" ulijibu upande wa pili wa simu hiyo.

    "nakuja sasa hivi ninashida aisee"

    "shida gani tena SM?"

    "niruhusu basi nije"

    "sijakukataza kuja ila sio kawaida yako"

    "ok, dakika chache nitakuwa hapo" alihitimisha SM na kukata simu, hakutaka mjadala mrefu. Muda huo akimuacha binti wa upande wa pili wa simu kubaki na mshangao. Binti huyo aliyepigiwa simu na SM ni yule dada mfanya kazi wa kiwanja kidogo cha ndege. ambaye alikutana naye kwa mara ya kwanza wakati Chriss anatokea nchini Marekani. Dakika chache kweli gari iliunguruma nje ya nyumba ya dada huyo. Akaenda kufungua mlango na kumfuata hadi pale alipo. Akamkumbatia na kumuuliza.

    "my love nini tatizo?"

    "nimechanganyikiwa sana siko sawa kabisa baby" alisema Chriss.

    "nini tatizo sasa?" alikazia binti huyo.

    "oouh! Usijali twende ndani nitakueleza" akasema na kuelekea ndani. Walifika na kukaa kwenye sofa binti huyo akakaa kwa pembeni yake na kumlalia begani.

    "hebu niambie basi"

    "kazini leo wameniboa sana mpenzi, unajua mimi nikisafiri huwa sifungi ofisi yangu na ni katibu muktasi wangu ndiye mwenye mamlaka ya kuingia pekee. Sasa nimekuta tofauti kabisa kila kitu nimekikuta shaghalabaghala na nimeingia hasara kubwa sana"

    "hasara ya vipi hiyo love?" ilibidi aulize dada huyo.

    "kuna baadhi ya mikataba ya kibiashara imepotea na nilipomuuliza anasema ujinga, hakuna hata moja ambalo ananing'azia. Ameniboa sana alitaka kusababisha nifukuzwe kazi kabisa"

    "shiit! Kwahiyo umelisovu vipi hilo tatizo jamani baby"

    "nilitumia akili nyingi sana ya kuhifadhi vitu vyangu vya muhimu kwenye kompyuta yangu ya nyumbani, hiki ndicho kilicho niokoa laiti kama isingelikuwa hivyo, ningelifukuzwa kazi mapema sana"

    "na huyo katibu muktasi nini umemfanyia sasa?" akauliza swali dada huyo.

    "nimemuonea huruma tu na anaendelea na kazi" alijibu Chriss na kumfanya dada huyo avimbe kwa ghadhabu za wivu na kuacha kuongea kabisa, kila alichokuwa akiulizwa na mpenzi wake mahali hapo, hakujibu na alidengua hata kuamua kujisogeza pembeni. Hali hiyo ikamfanya kijana huyo kutabasamu kwa jinsi ambavyo mpenzi wake amenuna.

    "yaani umenuna mke wangu?" aliuliza Chriss lakini aliyeulizwa wala hakuonesha ushirikiano wa kujibu na badala yake aliupindisha mdomo wake kama kigozi cha manati na kutazama pembeni kabisa.

    "baby usifanye hivyo bwana"

    "sitaki na naomba uniache, unawaacha wapenzi wako wanataka kukuharibia kazi halafu unawaacha ndiyo unakuja hapa kwangu" akalalama binti huyo na kumfanya Chriss acheke sana kwa jinsi ambavyo mtoto huyo wa kike alivyokuwa anaongea kwa kunung'unika. Kitendo hicho kikamuuzi kabisa mwanamke huyo, kitendo cha yeye kuongea halafu mpenzi wake anacheka. Akanyanyuka na kutaka kuondoka kabisa eneo hilo na amuache mwenyewe mahali hapo. Chriss akamdaka mkono na kumrudisha mahali alipokuwa amekaa.

    "nilijua kuwa nikiongea hivyo utakasirika na mimi ndiyo maana nikaongea hivyo makusudi tu ili nione ambavyo utapokea" alisema Chriss kwa upole sana. Kauli hiyo ikamfanya Sauda amuangalie kwa kuto amini na ni kama kauli hiyo hakuisikia na alitaka mpenzi wake airudie.

    "unasemaje?"

    "amini nilichokuambia"

    "baby unanidanganya umeshaniambia kuwa umemsamehe halafu ndiyo unaniambia hivyo mimi hata sitaki" aliongea Sauda kwa kudeka.

    "niamini mpenzi na hata kama angekuwa mpenzi wangu nisingekubali kuendelea kumlea kinamna hiyo, yaani nifukuzwe kazi kwa uzembe wake halafu niendelee kumuacha. Please my love wewe unajua ni jinsi gani ninavyo kupenda siwezi kufanya hivyo ambavyo unafikiria." aliamua kumbembeleza kijana huyo. Sauda akamlalia mpenzi wake, maneno hayo pekee yalimuonesha ni jinsi gani anavyopendwa. Chriss aliamua kudanganya kwa kila kitu kwani hakuwa na jinsi zaidi ya kuongea uongo mahali hapo. Lakini ukweli wa mambo aliujua mwenyewe. Kiukweli ni kwamba kijana huyo alisumbuliwa na ndoto ya ajabu aliyoiota na si kuhusu matatizo ya kazini. Mambo yale yakaisha wakaendelea na maongezi mengine. Pamoja na kwamba Chriss alikuwa ni mashine ya ngono na alikuwa akikutana na wanawake wa kila namna na kila rangi lakini kama binadamu, alikuwa na moyo ambao unahifadhi upendo na kila unapohitaji kupenda basi ni wajibu wake kupata mtu ampendae. Na kwa mantiki hiyo, Chriss akaingia kwenye upendo mzito na binti huyo. Na mapenzi yao yalikuwa ya ndani kabisa, walipendana kweli si utani. Sijui Sauda angejua kama mpenzi wake ni mashine ya ngono angejisikiaje. Hakuwa akijua kabisa kama kijana huyo kazi yake ni kutoa huduma kwa wanawake wenye pesa zao.

    "mpenzi nahitaji nyumba ya kununua" alisema Chriss walipokuwa wamekumbatiana.

    "kwanini unahitaji nyumba wakati nyumba unayo?" aliuliza Sauda.

    "ile ni nyumba ya kampuni na hivyo napata mashaka endapo itatokea muda wowote nikifukuzwa kazi au nitakapoamua kuacha basi niwe na kwangu"

    ouh! Basi ni jambo zuri kama utaamua kufanya hivyo, ondoa shaka mimi ni mwenyeji wa ..............................





    mimi ni mwenyeji wa siku nyingi sana ndani, ya mji huu. Nyumba itapatikana na nzuri wewe andaa pesa tu"

    pesa siyo tatizo baby" akasema Chriss na kumkumbatia mpenzi wake huyo na kummwagia mabusu ya kumwaga. Wakaingia kwenye upande mwingine wa sarafu kama wapenzi. Wakashikana shikana. Mara watekenyane, mara washikane hapa na hatimaye wote wakavua nguo na kubaki kama walivyozaliwa. wakaingia kwenye ulimwengu mwingine wa malavidavi. Walibingilishana pale kitandani, Chriss akaanza usumbufu kwenye mwili wa binti hiyo kwa kuanza kunyonya kifua laini cha mtoto huyo. Alikinyonya sana na kushuka hadi kilipo kitovu kilichoingia ndani cha binti huyo mrembo. Sauda alikuwa akilia tu kwa utamu na raha anazopewa mahali hapo. Chrisa akazidi kuunyanyasa mwili huo kwa kulamba kila sehemu iliyotakiwa kulambwa.

    "ndiyo maana nakuwa na wivu sana kwako mpenzi, unauwezo mkubwa sana" alisema kwa shida sana Sauda alipokuwa akiingizwa ulimi ndani ya sikio lake la kushoto huku akiingizwa mashine ya kazi kwenye sehemu inayomfanya akamilike kuwa mwanamke kamili. kelele zilizidi kileta raha na furaha na kukifanya chumba hicho kuzizima kwa utamu uliokuwa unatolewa na kila mmoja mahali hapo.

    "sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe yaani najiona kama nimekutana na wanaume wanaocheza picha za ngono" alisema binti huyo na kumfanya kijana huyo acheke na kuzidi kumkandamiza, Chriss alicheka kwa sababu ni kama hisia za binti huyo zilikuwa zikilenga penyewe. Hata walipokuja kumaliza, binti huyo hakuwa na hamu tena ya mchezo hamu yote ilikwisha kabisa. Walielekea bafuni na kwenda kuoga wote. Binti huyo alikuwa amechoka na hakuwa na hamu kabisa ya mchezo lakini kwa Chriss alikuwa bado ana hamu sana, alikuwa tayari ameharibiwa kijana huyo na hakuwa akiridhishwa kwa penzi laini kama hilo walilolifanya mahali hapo lakini hakutaka kuhitaji tena mchezo kwa awamu ya pili kwani hiyo ingepelekea mpenzi wake kumgundua kuwa hakuwa kiumbe wa kawaida. Akaamua kuwa mpole na hata alivyoulizwa na mpenzi wake kuwa kama ameridhika ama la! Alikubali kuwa ameridhika huku moyoni akiwa na hamu kibao. Kijana huyo hakutaka kulala hapo kwa mpenzi wake kwa siku hiyo hivyo baada ya kutoka kuoga, aliaga na kuruhusiwa kuondoka. Alifika nyumbani kwake usiku huohuo akafungua geti na kuingia ndani. Cha ajabu na kilichomshangaza ni kwamba alipoingia tu mule ndani, alikuta kuna gari imeegeshwa maegeshoni. Akajiuliza sana kuhusiana na hiyo gari lakini hakupata jibu hadi pale aliposhuka kutoka garini mwake kwa uwangalifu mkubwa na kulisogelea hilo gari. Alipolikaribia ndipo akajua kuwa gari hilo ni la Suzane. Akagonga kioo cha gari hiyo na kumfanya Suzane kushtuka kutoka kwenye usingizi na kufungua mlango wa gari hiyo kwa haraka sana kisha akamvaa Chriss na kunusa nguo zake.

    "ulikuwa kwa malaya SM si ndiyo?" akauliza Suzy huku akimtazama kijana huyo ambaye muda wote huo hakuelewa kilichomleta dada huyo usiku wote huo.

    "umefuata nini hapa usiku wote huu?" badala ya kujibu alichoulizwa naye akauliza.

    "nijibu kwanza nilichokuuliza we mwanaume"

    "mimi mwenyewe malaya Suzy hivyo sioni ugumu wa kutafuta malaya wenzangu we niambie tu nini kimekuleta hapa muda huu au unataka penzi langu?" jibu alilolitoa kijana huyo lilimfanya Suzy akose namna ya kuendelea kuuliza tena kwani hata alipoambiwa aseme kilichompeleka usiku huo hakuwa na jibu.

    "hutaki kunijibu siyo? Kwanza ujio wako unanichanganya sijajua umewezaje kuingia ndani kwangu Suzane" alisema kijana huyo.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "hili la kuingia kwako lisiwe swali, sisi tuna uwezo wa kuingia kwako muda wowote na hata kama umefunga na si hapa ndani ya uzio tu hata ningetaka unikute chumbani ungenikuta" aliongea kwa dharau kubwa na kujiamini sana. Kitendo hicho kikamkwaza Sex Machine na kuamua kuja juu.

    "kwanini mnaifanya hii nyumba kama vyoo vyenu, kwanini lakini hapa ni nyumbani kwangu na sihitaji mtu yoyote aingie pasipo ridhaa yangu"

    "hii nyumba tumekupa sisi na tuna mamlaka nayo pia" aliongea kwa dharau sana Suzy tena hata hakuwa akimuangalia kijana huyo usoni. Chrss alikasirika kupita kawaida akazidi kupanda na maneno makali.

    "hata kama mmenipa nyinyi lakini si kwa kufanya kila mnachotaka naa..........!"

    "SM!!! Umesahau wajibu wako si ndiyo? Hujafikia hatua ya kunipanda kichwani namna hiyo. Unatakiwa kujua unaongea na nani mjinga wewe, unajitia kiburi." alifoka sana Suzy alimtukana kupita kawaida. Chriss akanywea na kuwa mdogo mithili ya punje ya mchele. Alijikuta akidondoka chini kwa magoti na kumtaka binti huyo msamaha. Si kama hakuweza kumfanya kitu binti huyo ila haikujulikana ni kitu gani ambacho amepandikizwa kwenye akili yake hadi anakuwa katika hali hiyo ya kunyenyekea kiasi cha kujishusha. Suzy alimgeukia na kumtazama akijifanya kuwa na ghadhabu huku moyoni akitabasamu kijana huyo alikuwa ni kama Zezeta fulani.

    "SM!" aliita Suzy kwa upole tofauti na sauti yake ilivyo ya ukali. Kijana huyo akanyanyua kichwa kumtazama usoni binti huyo.

    "unatakiwa kufika zero 01 house usiku huu" Sex machine akaangalia saa na kujikuta akishangaa.

    "saa sita usiku nahitajika kwa mkuu, kuna nini sasa? Inasemekana hakuna mfanya kazi aliyewahi kuiona sura yake sasa mbona mimi natakiwa kwake?" alijiuliza maswali mengi sana kijana huyo lakini hakuwa na la zaidi hapo kilichofuata ni kunyanyuka na kumkaribia Suzane na kumuuliza.

    "mbona saa hizi ni saa sita usiku, kuna nini huko?"

    "ondoa shaka kijana ni kitu kizuri unaitiwa tena ni bahati sana kwako hii" alimjibu Suzy na kumfungulia mlango kijana huku na yeye akiingia upande wa dereva na kulitoa gari hilo ndani ya hilo lango na kwa mwendo wa kawaida likawa linasogea barabarani taratibu. Lilipoingia barabarani, mwendo ukaongezeka na kupotelea gizani. Muda wote huo Sex Machine alikuwa na mawazo sana hakujua ni nini anaitiwa huko. Na kikubwa alichokuwa akikiwaza ni kuhusu watu kuingia nyumbani kwake bila taarifa hili jambo lilimpa maswali mengi sana. Aliona uhatari mkubwa wa maisha yake kama jambo hilo likiwa linaendelea. Aliomba mungu sana Sauda apate nyumba kwa haraka kwani hali hiyo alishaichoka na hakutaka mtu yoyote ajue kuwa anatafuta nyumba ya kununua kwani alijua fika kuwa watu hao wanamfuatilia kila kona na hakutaka jambo hilo liendelee kwani hata yeye alikuwa na mamlaka yake na maamuzi yake hata kama yuko chini yao. Mawazo yake yalikuja kuacha kuendelea, baada ya gari hiyo iliyokuwa imewabeba, kupiga breki kwenye jingo moja kubwa sana. Jingo hilo la zero house. Wakashuka na kuingia ndani ya jingo hilo huku Suzy akiwa ndiye muongozaji. Pamoja na usiku kuwa mkubwa lakini shamra shamra na pilika pilika za humo ndani zilikuwa nyingi sana. Taa mbali mbali ziliwaka na kufanya humo ndani kuonekane kwa tofauti sana. Wanawake walikuwa wakikatiza huku na kule, jumba hilo lilikuwa halina mfanya kazi wa kiume bali wote waliokuwamo humo ni wanawake. Akaongozwa hadi kwenye chumba kimoja, hapa alikuta mabinti wazuri wakiwa wamejiachia Uchi kabisa bila hata haya yoyote tena walivyomuona kijana huyo ndiyo walizidisha matabasamu usoni mwao kabisa huku wakijishebedua na kuipitisha mikono yao kwenye sehemu zao nyeti wakimuonesha kijana huyo uzuri wa maumbo yao. Wakawapita mabinti hao na kuingia kwenye chumba kingine. Sex machine alitaka kuuliza kuhusu wanawake wale lakini alisita na kuzidi kuzama ndani kabisa.

    "umewaona wale wanawake?"

    "aliulizwa kijana huyo na Suzane.

    " ndiyo" akajibu.

    "wale wapo kwa ajili ya kazi moja tu ya kutoa burudani kwa wateja wa mkuu na katika chumba hiki tunachoingia kuna wengine" akatulia na mlango wa chumba hicho ukajifungua, wakaingia. Hapo waliona wanawake warembo kupindukia hadi Chrss akatamani kuendelea kubaki tu ndani ya chumba hicho. Walikuwa ni warembo sana, walivaa mavazi marefu hadi yakawa yanaburuzika kabisa chini lakini yalikuwa ni mepesi sana yalioonesha kila kitu cha ndani. Walijaaliwa maumbo ya kibantu, rangi zao za mvuto. Sex machine alijikuta akisahau kila kitu kichwani mwake na kuwashangaa malikia hao wa urembo na jinsi walivyo warembo wa kila kiungo.

    "hao leo utachagua unayemtaka lakini ni baada ya kukutana na mkuu kwanza, tuwahi SM mukuu anatusubiri" sauti ya Suzane ikamrudishia akili yake ya kawaida kijana huyo ambayo ilikuwa imesha hama. Aliongeza mwendo na kisha wakakunja kulia na kutokea kwenye korido ndefu sana iliyokuwa imetulia kimya kabisa ni hatua zao pekee ndizo zilizokuwa zikisikika mahali hapo. Waliingia kushoto na kupanda ngazi fupi hadi juu na kutokea kwenye baraza ya juu. Walipofika mahali hapo, wakasimama na Suzy akasogea pembeni na kumuacha kijana huyo akiwa mwenyewe katikati. taa ya mwanga hafifu ikawaka na kummulika yeye lakini pande zote zikabaki giza.

    "karibu Ziro one Sex Machine?" sauti nzito kutoka gizani ikaunguruma.

    "nimekaribia Mkuu" akajibu Sex Machine. mtu huyo akaendelea.

    "umebahatika kufika robo theluthi ya kinikaribia kijana lakini hata hivyo huwezi kuniona kamwe. Nimekuita hapa kwanza nikupe habari njema na habari hiyo ni pongezi kutoka kwangu za kuweza kiniondolea watu ambao wamekuwa wakiniumiza kichwa sana. Nimefarijika, maana umefanikiwa kuwakata kauli kama vile mtu atoavyo funza kwenye mguu wa mtu mwingine." akaweka tuo na kuachia mhemo mkubwa sana kama mtu mwenye shinikizo la damu aliyetoka kushtuliwa muda mfupi halafu akaendelea.

    "jambo la pili ni kukuambia kuwa kazi bado ni kubwa sana na nitakupa kazi hii baada ya kumaliza kazi zote za kampuni" akahitimisha na kimya kikatanda, mwanga ule hafifu ukaondoka na mwanga mkali ukawaka. Suzane akajitokeza na kumchukua kijana huyo na kuingia nae ndani. wakaelekea sehemu moja ambako walikuta watu wakiwa wanakunywa vinywaji kwa raha zao kanakwamba dunia hii wameumbiwa wao, hawakuwa na presha ya maisha hata kidogo. Miongoni mwa watu hao, alikuwapo mzee Rafael ambaye muda wote alikuwa akimtazama Sex Machine kwa jicho la pembe sana tangu kuingia kwa kijana huyo mahali hapo. Akajua fika kuna jambo ametenda la kumfurahisha mkuu na ndiyo maana akawa mahali hapo. Jicho lake kwenda kwa Sex Machine, halikugundulika na mwanga wa aina yoyote ile, lilikuwa ni la siri sana. Chrisss alitwaa nafasi kwenye sofa moja kubwa kisha akakamata kitabu fulani kilichopo mezani hapo akakipitia kidogo na ...............



    na kuonekana kutomfurahisha, akakirudisha mezani na kutulia.

    "vipi utapenda kuwa na mimi leo usiku huu?" swali kutoka kwa Suzane likakita ubongoni mwa kijana huyo. Chriss alimtazama binti huyo kisha akatikisa kichwa kushoto na kulia kukataa jambo hilo. Suzane akatabasamu kisha akasema.

    "najua kuwa utakosa kujiamini kwa kuwa nilikufokea sana leo naomba usahau na unisamehe pia, ni hasira ndizo zilizonipelekea mimi kufanya vile na niko tayari muda wowote kama utanihitaji ila kwa sasa furahia kinywaji kinacholetwa" alipomaliza kusema hivyo Suzy, akaondoka kwa mwendo wa mnyama mpole wa mbuga zetu za wanyama, mnyama Twiga. Alikuwa akitingisha si haba na kumfanya Sex machine kutabasamu na kutaka hata kumuita hasa alipokumbuka utamu wa mtoto huyo wa kike alijikuta akinyoosha mkono kutaka kumuita lakini tayari Suzy alishakata kona kuelekea sehemu nyingine ya jumba hilo huko alikutana na baadhi ya wafanya kazi na kujumuika nao kwenye ulaji wa ulabu wa kigeni. Mkono wa Sex Machine ulirudi mezani baada ya kushtuliwa na sauti tamu ya mtoto wa kike iliyokuwa ikimkaribisha mahali hapo. Macho yake yakageuka na kumtazama mmiliki wa sauti hiyo adimu na adhwim kabisa. Hakuamini alichokiona hata kidogo, aliyakutanisha macho yake na mrembo wa haja tena akiwa kwenye vazi lile lile aliloliona kule kwenye kile chumba cha wale walimbwende. Vazi lisilo na kificho juu ya vile vilivyostahiki kufichwa na kuvianika hadharani kila mjamuungwana avione. Mate yakataka kumtoka, hakujua kuwa pia kama alikuwa anadeni la kupokea ukaribisho wa mtoto huyo.

    "karibu kinywaji kaka yangu" sauti hiyo ikajirudia tena kwa mara ya pili ikiongezewa na neno kaka yangu mwishoni, kaka ya kugezwa, kaka isiyo na nguvu, kaka ya kutaka kumpa shida aliyeitwa jina hilo kwa jinsi neno hilo kaka lilivyotamkwa kwa matashtiti ya pwani japo mji huo haukuwa na bahari.

    "asante mrembo" alijibu kijana huyo ambaye mwili wake ulikuwa ukiona vitu adimu kama hivyo hapo ambavyo havijafichwa vizuri na hili vazi, basi mwili wake unakuwa na joto la hatari sana na kujikuta akishindwa kufanya vitu vingine kabisa. Akapokea kile kinywaji sambamba na kumshika mkono binti huyo na kumkalisha kitini. Akapiga funda moja la kile kinywaji na kuiweka ile glasi mezani kisha akaanza kumshika shika binti huyo kuazia maeneo ya kifuani hadi tumboni hapa alitulia kidogo na kuanza kuchezea kitovu cha mtoto huyo wa kike kilichokuwa kimebonyea kwa ndani kisha akahama eneo hilo na kushuka chini kabisa. Aliingiza mkono ndani kabisa ya lile vazi alilokuwa amelivaa huyo binti na kupeleka mkono mahali ilipo heshima yake kama mwanamke lakini kwa hapo ilikosa kuheshimiwa kabisa na alitakiwa kufanya kile alichokuwa akielekezwa na wakuu wake. Alicheza na sehemu hiyo vile alivyotaka kijana huyo hadi pale binti huyo uzalendo wa kuendelea kuibana sauti yake ulipomshinda na kuamua kupiga kelele. Kelele hizo zilizidi na kuzidi kuwafanya watu waliopo mahali hapo wajikute wakishangaa hicho kilichokuwa kikiendelea mahali hapo. Sex Machine alizidi kufanya yake na kumvua kabisa yule binti lile vazi kisha binti huyo akawa mtupu wa ngozi kama alivyokuja ulimwenguni kwa mara ya kwanza. Umbo la mtoto huyo, umbo la kibantu, umbo lililojiachia kwa chini kuanzia kiunoni wazungu wakiita ni hipsi. Zilikuwa hipsi kweli tena za asili kabisa na sio hizo zilizopitia kwa wachina. Hilo ndilo lililomfanya Chriss apagawe kabisa na kuchanganyikiwa mazima. Alikuwa akimnyonya binti huyo kila upande kila kona na kila idara ya mwili wa dada huyo. Kelele hazikukoma na badala yake zilizidi maradufu. Malalamiko ya binti huyo yakafanya watu kujaa kabisa maeneo hayo na walijaa kimyakimya bila kupiga kelele. Dada huyo alifungua zipu ya suruali na kumtoa nyoka wa kijana huyo na kuwafanya watu wote pale wake kwa waume washangae kwa jinsi kijana huyo alivyokuwa akimiliki mzigo wa kutosha. Na si watazamaji pekee bali hata binti mshughulikaji alistaajabu ni wazi alionekana hakuwahi kukutana na kidume mwenye zana kama hiyo. Alitabasamu na kuitia mdomoni kisha akaanza makeke yake. Hadi Sex machine akadata. Muda wa kushughulika ukafika, mziki ukaanza. kujituma kwa huyo mtoto kukawafanya baadhi ya wanaume wa hapo kubaki wakiona wivu na kuona kama kijana huyo anafaidi kupita kiasi. Walipelekeshana kupita kiasi huku binti huyo akipiga kelele kwa sauti ya juu mno, sauti iliyomvuta kila mtu wa eneo hilo. Matokeo yake wakawa wamezunguukwa na watu kila upande. Dakika 45 za kumaliza mchezo huo ndiyo ilikuwa balaa, sex machine alikuwa akipiga kelele pale alipokuwa ndiyo anafika mwisho wa mchezo huo. Alipofika mshindo alistaajabu kuona anapigiwa makofi kila upande. Watu mchanganyiko weupe na weusi walikuwa wamesimama wakimpigia makofi hiyo ilimpa picha kuwa kila kitu kilikuwa hadharani. Alipomtazama huyo binti aliyekuwa akishughulika nae, alimuona akiwa amewamba tabasamu usoni mwake.

    "inamaana haoni kama tulikuwa tumezunguukwa na watu" alijiwazia kijana huyo huku akimtazama msichana huyo ambaye alikuwa akivaa vazi lake kwa malingo sana. Pongezi nyingi zikatoka. Alipoangalia wale watu, alimuona Suzane na mtu kama Joesan wakipotelea kwenye kona fulani, hapo akajua kuwa kila kitu kilikuwa katika mpango. Angefanyaje sasa Chriss na wakati tayari mwili wake ulikuwa hauwezi kuzuia hisia hata kama mama yake angelikuwa hai na akaambiwa ashiriki naye tendo angeshiriki tu bila kupinga kwani hakuwa mtu wa kuelewa kuwa hili nilifanyalo hapa si mahala pake na hapafai kufanya hilo. Yeye alifanya tena kwa kujiamini sana ndivyo akili yake ilivyotengenezwa kwa wakati huo. Aliondoka hapo kwa kuchanganyikiwa sana huku akiangalia saa ambayo ilimwambia kuwa tayari ilikuwa ni saa tisa za usiku. Akamfuata Suzy na kumuomba ampeleke nyumbani akapumzike. Suzy hakusema kitu zaidi ya kumchukua kijana huyo na kutoka nae nje. Hakuongea chochote hata alipokuwa garini hadi anafikishwa nyumbani kwake alikuwa ni mtu wa mawazo sana na kila linapomkuta jambo la aibu kama hilo, hapo ndipo swali la kujiuliza yeye ni nani linapokuja. Alilala hivyo hivyo bila hata kuoga.



    %%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%



    Chriss alikuja kushtuliwa asubuhi na mlio wa simu yake. Akaipokea kivivu sana ukizingatia pia hakulala kwa muda mzuri na alikuwa na uchovu sana. Alikutana na sauti ya Suzy iliyomtaka asichelewe kufika kazini. Akajinyanyua na kuingalia saa yake ya ukutani ambayo ilimwambia kuwa kwa muda huo ilikuwa tayari imetimu saa 06:46. Akajishauri kwa muda na kuamu kulala tena, haikuchukua muda sana akakurupuka na kutoka pale kitandani. Akakimbilia bafuni na kwenda kujimwagia maji, alioga haraka na kurudi tena chumbani akavaa na kutoka kuelekea kazini bila hata kupata kitu cha moto chochote tumboni. Alifika ofisini na kutakiwa kuelekea katika ofisi ya Suzy, akatundika koti lake la suti juu ya kiti chake cha ofisi na kuelekea kunako wito.

    "ni muda wa group sex nadhani hilo ulikuwa nalo katika akili yako kuwa ni nini kinafuata baada ya kumaliza hatua ya kwanza" maelezo kutoka kwa Suzy yalikita moja kwa moja ubongoni kwa kijana huyo mara baada ya salamu. Chriss akainua kichwa juu na kukishusha chini, alifanya hivyo mara tatu kama ishara ya kukubali kile alichoambiwa. Binti huyo mrembo akaendelea.

    "kazi hiyo inaanza leo jioni na itafanyika kwenye jumba la siri ambalo linatambulika kama Happy Club. Hapo ndipo michezo yote itakapofanyika na iko hivi, leo utaanza na watu wawili na utacheza mchezo mmoja ila kesho utacheza michezo miwili yaani asubuhi utacheza na wanawake watatu na jioni utakutana na wanne na utakuwa ukifanya hivyo kwa siku nne"

    "ngoja Suzy,"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akasema Chriss kisha akandelea kwa kuuliza hilo alilotaka kuuliza.

    "unataka kuniambia hao wote nitafanya nao mapenzi?"

    "ndiyo, SM na hao wote wanatakiwa waridhike ni pesa nyingi utapata hapo na pia kampuni itaingiza pesa nyingi sana kupitia hapo kwani wanawake hao wametoka mbali sana kufuata huduma yako ni wazi wamepata sifa zako kwa watu mbalimbali ambao umeshiriki nao" kauli hiyo ya Suzy ikamfanya kijana huyo ashushe pumzi nzito sana.

    "inamaana haya ndiyo maisha yangu? mbona nipo katika wakati mgumu sana?" alijiuliza SM akiwa hajielewi kabisa. Kukataa kwake ndilo lilikuwa swala lisilowezekana kabisa alijikuta akikubali. Na alitakiwa kufanya hivyo kwani hakuwa na sauti na si sauti pekee pia maamuzi kwake hayakuwepo pindi tu inapotoka amri kutoka kwa watu hao. Baada ya kupokea maelekezo hayo, alitoka hadi ofini kwake akajikalisha kitini kwake na kutafakari hili na lile.



    "hivi yale yaliyofanyika pale zero one ni akili yake yule kijana au ni nini?" alikuwa akijiuliza mzee Rafael, mzee mwenye busara ya hali ya juu sana na ni mzee mwenye maono makubwa sana. Mzee huyu alikuwa akimshauri sana mzee mwenzake Mgobo ambaye ni marehemu kwa sasa kuhusu kuachana na kumfuatilia Joesan. Lakini kiburi pamoja na tamaa ndizo zilizomuingiza mzee huyo kwenye matatizo hadi alipokutana na kifo. Si kama kitendo kile cha kumshauri mzee mwenzake, kilitokana na kuipenda tabia inayoendelea ndani ya kampuni hiyo bali alijua fika kuwa anachokifanya mwenzake ni kitu cha hatari sana. Mzee huyu hakuwa akizipenda tabia hizo japo ni mfanya kazi wa kampuni hiyo kwa muda mrefu. Alipingana na tabia hizo pindi tu Joesan alivyokuwa akitekeleza mauwaji ya kinyama kwa kila mfanya kazi ambaye hata tenda kazi kwa weledi. Kitengo hicho kinachosimamia masuala ya kijasusi na masuala ya biashara haramu, kilikuwa ni kitengo cha siri sana na hakukuwa na mtu ambaye angethubutu kusema kuwa anaacha kazi na akaachwa hai. Muda wowote unaweza kupata ajira kweye kampuni hiyo hususan kwenye kitengo hicho lakini huna mamlaka ya kuacha na unaposema unaacha basi umekiruhusu kifo chako. Mara ya kwanza wakati Rafael anaingia kwenye kampuni hiyo kama mratibu wa mambo ya siri na mipango huku mwenzake ambaye alikuwa ni Mgobo kipindi hicho yeye alipewa kitengo cha ufundishaji ngumi kutokana na uwezo wake wa kimapambano, kipindi hicho Joesan akiwa kijana mdogo kabisa tofauti na wao. Alikumbuka kauli moja kutoka kwa Joesan ambaye ndiye alikuwa mkuu wa kampuni hiyo.

    "niwakaribishe sana ndugu zangu na niwape maneno machache yatakayokwenda kuwa ni silaha kwenu vilevile ni kama onyo kwenu. Mnapoingia humu ndani mkumbuke kuwa .........

    kuingia ni rahisi na kutoka ni vigumu, kila kinachoendelea hapa ni siri tena siri kubwa kukubalika kuingia ndani ya kampuni hii ni mkataba tosha na uzembe ni kukiita kifo chako mwenyewe." alishusha pumzi nzito Rafael na kujiigamiza kitini kwake vizuri mara baada ya kukumbuka maneno hayo.

    "nilikubali kuingia hapa kutokana na maisha yalivyo magumu mtaani, nilikubali kuwa mafia kwa sababu tu sekta hii naimudu na nilifanya mambo haya kipindi cha ujana wangu. Najua madhara ya kazi hizi, najua ni kiasi gani unapoteza roho za watu wengi unapokuwa katika kazi hizi, Chriss namhurumia sana huyu kijana." aliweka tuo Rafael na kuvuta pumzi tena na kuziachia kisha alichukua chupa ya maji na kupiga funda moja kubwa kabla ya kuirudisha chupa ile mezani kwake na kuendelea kuwaza na kuwazuwa.

    "sina jinsi na siwezi kumsaidia najua nikifanya hivyo nami naweza kuingia kwenye matatizo au hata kufa kabisa lakini ninaimani sitoweza kumuacha aendelee kuangamia. Chriss ni kama mwanangu, Chriss hakustahili kuwa namna ile. Kijana mzuri, kijana mtanashati, kijana ambaye ni mpole, hakustahili kuwa pale. Jana nimeumia sana kumuona anafanya mambo yale hadharani, Chriss amekuwa kama Mbwa kiasi cha kujifanyia, aaaaaah!, kujifanyia ujinga namna ile. Hivi kweli Joesan anaweza kufikia hatua mbaya kiasi hiki, angeweza kumfanyia hivi mwanae wa kumzaa?" Chozi zito lilimdondoka mzee Rafael, uchungu mkubwa aliokuwa nao mzee huyo moyoni mwake, sijui kama ungeonwa na Joesan, sijui angefikiriwa vipi.

    "Chriss amekuwa hajitambui leo, amekuwa kama mnyama mbaya aaah!!" alitoa sauti kidogo na kujinyanyua kutoka pale kitini na kwenda mahali ambako ndipo ilipo shughuli yake. Akafika hapo ambapo anapatumia kwa kuzalisha vijana wenye nguvu na katili sana. Akawatazama vijana hao ambao anawaivisha yeye mwenyewe ili tu wawe silaha hatari za kufanya maangamizi popote pale watakapo tumwa.

    "hakika naamini sasa kuwa dunia inamengi yaliyofichamana" akasema kauli hiyo na kuingia kati kabisa na kuanza kuwafundisha vijana hao.

    "hapo unaweza kufa kizembe, watu hawapambani hivyo na ukithubutu kumkabili adui yako namna hiyo ni sawa na kumpelekea roho yako kizembe" aliwaka mzee huyo kwa sauti kubwa na alioneshwa hakupendezewa na mchezo aliokuwa anaufanya kijana wake mahali hapo pa mazoezi. Alimfuata na kumkunja kisha akamuita na kumwambia amshambulie.

    "mimi ni adui yako, usinichukulie kama mwalimu wako. Sasa njoo unishambulie na ujue pia ukija kinyumbu utaumia" alisema mwalimu Rafael akiwa hana tabasamu hata la kuchonga usoni mwake. Alisimama wima na kijana wake akakaa kimapigano akiwa tayari kumvaa mwalimu wake. Alijivuta kwa kasi kubwa na kupeleka mapigo mawili ya karate lakini kijana huyo wa zamani alihama kitambo kingi na kusimama nyuma ya mwanafunzi wake huyo. Mwanafunzi aligeuka kwa kasi kabla hajapokea pigo la adhabu kutoka kwa mwalimu kisha akaja tena na mapigo mengi ambayo mzee huyo alisimama imara na kuyatoa kisha akapiga pigo moja la kifua ambalo lilimshinda nguvu kijana huyo na kumpeleka chini akiwa anakohoa.

    "unarusha mikono vizuri lakini mikono yako haina malengo na ni mizito sana kiasi kwamba kama unakutana na adui mwenye kasi ya umeme, unaangamia" alizidi kuelekeza Rafaeli huku akiwa amempa mgongo yuke mwanafunzi halafu akageuka kwa kasi na kuanza kufoka, aliwambia kuwa wajikaze siyo kulegealegea.

    "hapa ni jeshini vijana, maisha yenu yote yako hapa na jua ukileta mchezo unafia hapa. Unapigwa pigo moja tu hadi muda huu unagaagaa hapo chini kama mwenda na Upwa." alimfuata yule kijana na kumyanyua kisha akampa makonde ya nguvu na kumrudisha tena chini kwa kipigo kikali.

    "washenzi sana nyinyi, mnadhani hapa mmekuja kutafuta wachumba, hivi ni vita pambaneniiiiiiiiiii!!!!" alifoka kwa sauti kisha akasema.

    "endeleeni kutiana vidole hapo, kesho tunaingia katika awamu nyingine na hiyo ni ngumu sana. Siamini kama mwalimu wenu Mgobo alikuwa akiwafundisha nyinyi, mmekuwa kama ndizi mbivu iliyooza" alipomaliza kusema hayo, aliondoka na kuwaacha vijana wakiendelea kufanya mazoezi ya nguvu.

    Kila mmoja akabaki akijiuliza mwalimu wao ameamkaje kwanza tangu asubuhi hajaonekana na muda huo ambao anaonekana, anakuja na moto si utani. Hawakukosea, ni kweli isiyopingika kuwa mzee huyo hakuwa sawa hata kidogo. Alishakuwa na mawazo mengi sana juu ya mwenendo wa kampuni hiyo, hakupendezewa nao kabisa hasa pale alipomuona Chriss akifanya mapenzi hadharani bila kuwa na haya, hii ilimuumiza sana na ni bora hata alivyoondoka hapo kwenye uwanja wa mazoezi maana angeendelea kuwepo angevunja mtu mbavu kwa jinsi alivyo na ghadhabu.

    "huyu mzee ni mwalimu mzuri naona vijana wanaiva kweli tofauti na walivyokuwapo mwanzo" alizungumza Suzane akiwa juu ya lile jingo pembeni yake akiwepo bosi wake bwana Joesan.

    "yule mpuuzi sijui alikuwa anawafundisha nini hawa vijana, walikuwa wazembe sana ila kwa sasa Rafael anafanya vizuri na ninaimani nae sana" aliongea Joesan kisha wakaondoka hapo akiwa ametangulia Suzy mbele na bwana huyo kufuata nyuma baada ya kumuangalia dada huyo kwa macho ya kumtamani.

    "huyu naye lazima nimpate na nilale nae hawezi kunikatalia mimi ni bosi wake bwana" alisema kisha akaskuti kwa muda na kuendelea tena.

    "lakini hapana naweza kuharibu kazi Suzane ananiheshimu sana na anatenda kazi kwa moyo kabisa."



    Sex Machine alianza kazi rasmi na muda wa kazi hiyo kuanza ulishatimia tayari. Saa 18:30 jioni. Chriss anazama ndani ya Clabu Happy, jingo kubwa na ni jingo lenye kila uchafu ndani yake na hili ndilo jingo ambalo linamuingizia pesa nyingi sana mzee wa ki korea kuliko majingo yake yote. Hapo ndipo zinapofanyika sherehe mbalimbali za wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja almaarufu kama Mashoga. Na sherehe hizo hufanywa kitaifa na kimataifa na ni kwa siri kubwa sana. Ni nani anajua kama Happy Club inafanya mambo ya kifirauni kiasi cha kupitiliza kabisa. Serikali ya mkoa huo ilikuwa imevishwa mawani ya bati kiasi cha kuifanya isione yale yanayofanyika ndani ya Club hiyo. Hata kama wakijua basi wanashindwa kufungua midomo yao kutokana kupewa kifunga kinywa huku serikali ikichukua kodi nono kutoka kwa ukumbi huo wa starehe. Nani atajua na ajue muda gani? Nani anajua kama baadhi ya wafanya biashara wakubwa na viongozi mbalimbali wanaosapoti usodoma huo nao wanalijua jingo hilo na wanalitumia? Nani anajua kuwa hapo ndipo wanapoangamia mabinti wadogo kwa kujiuza au hata kuuzwa kwa vibosile wenye ukwasi wa mamilioni? Ni nani atajua. Jingo ambalo vijana wengi wanapopata pesa huenda kujiburudisha kwa kunywa kidogo na kusakata rumba na wapenzi wao na hata watu wasio na wapenzi, hubebwa na ile kauli 'utalindwa na mfuko wako' ikiwa na maana ya kwamba kama huna kitu ndiyo utaishia kuwahesabia wanawake wazuri na kuwaona kwenye magazeti na sinema mbalimbali hata kama ungekuwa handsome kiasi gani na wenye nazo ndiyo wanajichukulia na kwenda kuvinjari nao hata kama wanasura mbaya kabisa. Wewe utabaki kusema ni kizizi ndicho kinacho tumika lakini hukumbuki kuwa hakuna kizizi zaidi ya pesa. Pamoja na burudani na matamasha mbalimbali ya kuvutia lakini ndani yake hawakujua kama kuna vitu vibaya vinafanyika na laiti kama wangalijua, wasingali thubutu hata kulipitia pembeni yake jingo hilo lenye makazi yake Masika ndani ya mji huo wa Morogoro. Sex machine baada ya kuingia ndani hapo, alipokelewa na muziki uliokuwa unakita kwa nguvu sana kwenye ngoma zake za masikio huku vijana na wazee, wanawake na mabinti wadogo wakiruka ngoma siku hiyo ya weekend. Alipokelewa hapo na dada mmoja na kumoitisha kwenye korido kadhaa huku wakipanda ngazi kadhaa hadi wakatokea kwenye ukumbi mmoja mkubwa. Hapa alikuta wanawake na wanaume wakiwa wanacheza kamari huku wanawake wakiwa watupu kabisa. walionekana ni watu na mali za kidunia. Alipitishwa hapo na kuja kutokea kwenye korido moja kubwa hapa akaambiwa asubiri, akatulia hapo kimya na muda huo huo wakatokea wanawake wawili hawa walikuwa ni mabinti wadogo kabisa. wakampokea yule dada kisha yeye akarudi na kumuacha Sex machine akizidi kupelekwa ndani kabisa ya jingo hilo kubwa kabisa. Walimfikisha kwenye chumba fulani na kisha wale mabinti wakaondoka na baada ya sekunde sitini, wakatokea mabibi wawili wa kizungu, hawa walikuwa ni watu wazima na kwa kijana kama Chriss alitakiwa kuwaita bibi kwa heshima ya kiafrika. Mabibi hao walikuja na kumvua koti lake la suti na kuliweka vizuri kwenye sofa moja lililokuwa halijakaliwa na mtu kisha wakapambua nguo zao na kubaki wakiwa hawana hata kitu miilini mwao. Sex Machine akajua ama kweli ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Hapo kweli aliyaona ya Firauni. Mabibi wale wakaanza kumshika shika, Sex Machine alikunja sura kama mtu ambaye hakuwa tayari kufanya huo mchezo lakini haikuwa hivyo bali alikuwa akijiuliza ni jinsi gani ataanza, je, atawashikia wapi watu wazima hao ambao hata miili yao imeishaingia ubaridi damu hazichemki. Hakujua na pia alisahau yeye ni nani labda.. Bibi mmoja akautoa udude wa Sex machine na kuanza kuusugua na viganja vyake vyote viwili vya mikono yake huku mwengine akimlambalamba kijana huyo kwenye kifua chake ambacho kilikuwa kiko ndani ya vazi maalumu la kazi ambalo si rahisi kwa mtazamo wa kawaida kugundua. Hapo ndipo Sex machine alipopandishwa midadi, joto la mwili likapanda kwa kasi kubwa. Wale mabibi wakazidisha kasi ya kile walichokuwa wakikifanya mahali hapo. huyu alifanya hiki na yule alifanya kile. Midadi ikawapanda na wote wakatabasamu wakiamini sasa wamemuingiza mtu kwenye mpango wa kuweza kutimiza haja zao kumbe hawakujua kuwa kijana huyo ametengezwa maalumu kwa kazi hiyo ya ngono.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "yaaah, yaaah, oooyeeea!" walikuwa wakilalama mabibi hao kwa jinsi walivyokuwa wanazidi kushikwa kila upande wa miili yao. Sex machine alikuwa tayari udude wake umeshatiwa kinywani si chini ya mara moja naye kwa muda huo alikuwa amepiga magoti na kuanza kuzitembezea ulimi tupu zao kila moja kwa wakati wake na kucheza na mikono yake ili kuweza kuwapagawisha bila kupendelea upande mmoja. Kelele zilijaaa humo ndani si kitoto huyu akilalama hivi yule atalalama vile, Sex machine alikuwa akizifakamia ............



    tupu hizo kila moja kwa nafasi yake. Mabibi hao walipagawa na mmoja akapanda juu na kuukalia udude wa kijana huyo na kuanza kujisukuma na Funyo aliyetupwa juani. Huyo mwengine akiwa analamba hapa mara pale alimradi tu kumpa kijana huyp mshawasha wa kuweza kumpa dozi ya haja mwenzake. Ulikuwa ni mchezo ambao kama ungepata bahati ya kuushuhudia, ungesema labda Sex machine angeweza kuwauwa mabibi hao kwa jinsi alivyokuwa akiwakunja na kuwakunjua na kuwasukumia dude lenye ujazo ndani ya tupu zao. Lakini wakati yote hayo yakiwa yanafanyika, lile vazi lililopo mwilini mwake lilikuwa likiendelea na kazi yake ya kurekodi kama kawaida na kurusha picha hizo automatic kwenye ofisi za Tai, mtaalamu wa mambo ya mitambo na Tai huzirusha studio kwa ajili ya kufanyiwa kazi. Chriss hakujua masikini kama hapo alikuwa akitengeneza video za ngono na kwa kipindi hicho alicho nacho ni kipindi cha Group Sex. Shughuli hiyo ilikwisha baada ya kila mmoja kuridhika, mabibi hao walikuwa hoi kabisa na hawakuwa na hamu tena ya mchezo huo na hapo walikuwa wawili je, angekuwepo mmoja peke yake ingekuwaje. Sex machine alijiweka sawa kisha kukaingia wale wanawake wadogo na kuchukua tena na kumtoa humo ndani hadi pale walipompokea ambapo walimkuta yule dada na kumuacha hapo na wao wakarudi. Kijana huyo alitoka ndani ya jingo hilo ikiwa tayari giza limesha chukua nafasi yake. Alikamata usafiri na kutitia eneo hilo. Alifika nyumbani kwake ikiwa tayari ni saa 20:53. Akaoga, alipomaliza alijituliza sebuleni kwake lakini muda huohuo simu yake ya mkononi ikaita, akaipokea na kuiweka sikioni.

    "nyumbani."

    "muda huu?"

    "ok, nakuja" mdivyo alivyosikika alipokuwa akiongea na simu hiyo. Akatoka hapo na kuchukua funguo ya gari yake kisha akafunga mlango wake na kuelekea maegeshoni. Aliliondoa gari hilo taratibu hadi alipoikanyaga lami hapo ndipo alipoongeza kasi ya gari yake. Dakika kumi na tano zilitosha kabisa kumfikisha huko alikokwenda, alipiga breki kwenye jingo moja na kushuka kisha akaelekea ndni ya nyumba hiyo.

    "karibu jamani Baby?" alikaribisha mwenyeji.

    "nimekaribia tayari haya nipe habari maana na wewe kwa kupenda kunipigia simu usiku hujambo" aliongea Sex machine.

    "unafikiri muda wa kukupigia simu mchana mimi nitautoa wapi na wakati unajua fika kuwa kazi yangu mimi muda wote ni mishemishe tena ushukuru sana leo huwa hakuna mambo mengi kazini lakini ningekupigia saa tano kama kawaida"

    "haya bwana, niambie baby wangu" aliongea Sex machine na kumuangalia Sauda usoni.

    "mpenzi wangu hapa hakuna jipya sana nililokuitia, kikubwa ni kuhusu ile kazi uliyonipa nikufanyie imezaa matunda"

    "waooh! Ni mjengo poa sana eenh?"

    "siyo poa tu bali ni bonge la jumba la kisasa kabisa na lipo mjini siyo pembeni ya mji na pia ipo nyingine hii nayo ni nzuri zaidi lakini iko nje sana ya mji" alizidi kuongea Sauda.

    "kazi nzuri nadhani sasa ni kuzinunua tu"

    "he unazinunua zote baby?"

    "hapana uwezo huo sina nitaangalia moja inayonifaa kisha nitaichukua hiyo hiyo"

    "basi sawa nafikiri kesho ni siku nzuri kwa sababu siendi kazini nadhani tutaitumia nafasi hiyo kwa ajili ya kuziona na kufanya taratibu nyingine"

    "kesho saa ngapi" aliuliza SM.

    "kesho kuanzia saa tano hivi asubuhi" alijibu Sauda na kumfanya kijana huyo afikiri kwa muda kuhusu ratiba ya hiyo kesho na jinsi atakavyo jigawa maana siku hiyo ndiyo siku ambayo atakuwa ka michezo miwili asubuhi na jioni na asubuhi atakuwa na wanawake watatu na jioni anamaliza na wanawake wanne. alipopata jibu la kujua ni vipi atajipanga, alimjibu pouwa kisha wakakatisha maongezi na mtoto huyo wa kike akaingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya kupata chakula cha usiku kwani Chriss alikuwa akilalamika njaa sana. Muda si mrefu chakula kikawa tayari, wote wakajumuika mezani.

    Chakula kitamu sana mke wangu, najisikia raha sana ninapokula chakula chako" alisifia Chriss na kumfanya Sauda atabasamu kwa furaha sana.

    "kweli baby?"

    "natamani hata nisiwe nakula kwenye ma migahawa na kuja kula kwako sema tu umezidisha uchakalikaji mke wangu"

    "nitafanyaje sasa mume wangu na ni kazi, ila nakuhakikishia ukishanioa naachana na hii kazi na kufanya biashara kwani hata elimu ya biashara ninayo ya kutosha na nitafanya hivyo kwa ajili ya kuwa karibu yako zaidi mume wangu na familia tutakayo ianzisha" maneno hayo yalimfanya Sex machine ashindwe kuendelea kula na akajikuta akiingia kwenye tafakuri nzito sana. Alijiuliza mengi Chriss, ni kweli kwa kazi ile ataruhusiwa kuwa na mke, kwani anahisi pia hata hapo alipo na mahuaiano naye ya kawaida tu kama watagundua wanaweza wakamuangamiza mwanamke huyo. Siri yake ya kutomwambia yoyote kama anampenzi na anampenda kuliko kawaida, ndiyo inayomfanya binti huyo aweze kuishi kwa amani. Aliamua siri hiyo asimwambie mtu yoyote zaidi ya kujulikana na moyo wake tu na si vinginevyo. Upole wake wa ghafla mahali hapo na kuacha kula kwa muda, kulimfanya Sauda ashtuke na kumuuliza mpenzi wake kulikoni. Pamoja na kumuita mara ya kwanza na ya pili lakini kijana huyo hakuonesha dalili ya kusikia hadi alipoguswa ndipo akashtuka.

    "haaa! Baby jamani, yaani muda wote huo nakuita uko kimya nini tatizo?" aliukiza binti huyo mrembo.

    "dah! Kila nikivuta picha sielewi, sijui itakuwaje hiyo siku ya harusi nipo kwenye suti za gharama na wewe ukiwa kwenye shela la thamani ya juu kabisa. Ni wazi nitakuwa chizi siku hiyo" alidanganya Chriss huku akitabasamu na kumfanya mpenzi wake asiwe na kitu cha kusema hapo zaidi ya kuchanua tabasamu usoni mwake na kumfanya azidi kuvutia sana.

    "sijui akijua kuwa siwezi kumuoa itakuwaje? Roho inaniuma sana nampenda sana huyu mtoto kiukweli na kila nikiwa naye karibu naona kama tayari nimeoa aaaaghr!!!" aliumia kupita kiasi, hakujua afanye nini.

    "nitakubeba juu juu siku ya harusi yetu kanisani, nitakurusha na kukudaka. Unajua nakupenda sana Sau mpenzi, wewe ni wa pekee sana, nafanya...........!" alikatisha kauli yake ni kama kuna kitu ambacho hakustahili kukisema na alitaka kukisema. Tone kubwa la chozi likamdondoka kutoka upande wa jicho lake la kushoto. Sauda akajua kuwa maneno hayo yanatoka moyoni mwa shababi huyo na ndiyo sababu anatoa chozi hilo. Ni kweli yalitoka moyoni hayo maneno lakini si hayo tu yaliyomtoa chozi bali kuna mazito yanayouchomachoma moyo wake na kuuwanika kwenye jua la katikati ya siku kisha kuumwagia mafuta ya petroli. Sau, akachukua jukumu la kumfuta chozi hilo mpenzi wake huyo na kumtia moyo kwa kumwambia hata yeye anampenda na yuko tayari kufa kwa ajili yake.

    "ila sitaki unirushe juu mpenzi maana nahisi wakati wa kunidaka, anaweza kutokea Mbu jike mwenye wivu na kukuuma ili tu uniachie" kauli hiyo, ikampa tabasamu kijana huyo lakini cha ajabu, machozi ndiyo yalikuwa ya kuzidi. Kazi aliyokuwa akiifanya ilikuwa ni kama kaa la moto kwenye pembe ya ukuta wa moyo wake na hapo lilikuwa likifukuta joto na kuufanya moyo huo, utoe jasho lenye maumivu makali mithili ya Inzi mkubwa aliyeking'ong'a kidonda kilichojenga uwanda wa matumaini ya kupona.

    "ninaimani hatatokea mtu yeyote mwenye kisongolokwinyo, acha huyo Inzi" alisema kwa sauti nzito ilioonesha dhahiri kuwa alikuwa akipambana na maumivu makali ya moyo.

    "nitakuoa Sau wangu, nitakuoa na harusi yetu haita fungiwa ndani ya udongo wa nchi hii nisiouelewa kama uko na thamani hata ya kuruhusu shela lako la kunyurutika, liburutike juu yake" yalikuwa ni maneno mazito ambayo Sauda hakuyatilia maanani lakini ni wazi yalikuwa na maana kubwa sana. Alijiona kama yeye si wa nchi hii ya Tanzania kwa jinsi asivyo thaminika. Sauda alitoka kwenye kiti chake na kuja upande aliopo Sex machine kisha akampa kumbatio mwanana na busu la kumpoza machungu sambamba na kumfuta machozi kwa khanga aipendayo. Kijana huyo akapoa na kulirudisha tabasamu lake la awali mahala pake. Wakacheka, Wakala hadi wakakashiba kabisa. Wakatekenyana lakini Sauda hakuwa tayari kufanya mapenzi kwa siku hiyo kwani alisema amechoka sana. Akaahidi kufanya siku inayofuata kutokana na kuwa atakuwepo nyumbani tu siku hiyo. Chriss akaaga na kuondoka huku wakipeana ahadi ya kukutana siku inayofuta.



    %%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%



    Siku ya juma pili ni siku ambayo watu wengi walikuwa hawaendi kazini, siku hii wengi waliitumia kufanya ibada na wengine wakiitumia kuwa karibu na familia zao. Ni siku ambayo hata Joesan alikuwa akiiheshimu sana, muda huo wa asubuhi aliamka mapema kabisa huku akiwa amepunguza kisirani kwa mkewe, hiyo ikiwa ni baada ya mkewe kuacha kuuliza habari za Chrss, hapo ndipo urafiki na mapenzi yaliporudi kwa kasi kubwa kama mwanzo. Siku hii hata Joesan alimjua Mungu na muda huo alikuwa kwenye kanisa moja kubwa linalopatikana mjini hapo akionekana akisali. Hapo ndipo utakapojua kuwa mwenye pesa ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu kama pesa zenyewe zinachumwa kwa kuharibu damu za watu. Tajiri wa namna hii kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na Ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Kwani wakati yeye akiwa anafanya ibada muda huo, ndiyo muda ambao Sex Machine anaingia kazini kwenda kufanya kazi ya kitumwa. Wakati yeye anacheza na kumuimbia Mungu, huku kijana Chriss ndiyo alikuwa anavuliwa nguo kwa ajili ya kupambana na miili minne ya kike iliyoshiba tena yenye munkari ya kufanya tendo hilo asubuhi hiyo. Wakati yeye anamtolea sadaka Mungu, Sex Machine anawaingilia wale wanawake kinyume na maumbile kwa amri zao. Ni vipi Mungu atakwenda kukubali sala ya Joesana na wakati Chriss anaelekea kwenye jumba la 03 kwenda kufanya ngono. Ni vipi Mungu atazipokea nyimbo za Joesan, wakati Chriss anavuliwa nguo ili kuingia kwenye ngono. Na ni vipi Mungu atazipokea sadaka za Joesan, wakati Sex machine anawaingilia wanawake watatu ama wanne kinyume na maumbile kwa amri zao zisizo pingika huku wakijilinganisha na muumbaji wa ardhi na mbingu waishio wao. Huyo siyo Mungu huyu aliyemuumba Chriss labda au labda ni mungu .....................



    waliomuumba wenyewe.

    Kazi ya Sex machine iliendelea na wala haikukoma kamwe, aliwachezea wanawake kwa vile alivyotakiwa kuwachezea. Hakuwa na muda wa kupinga wala kuwapangia waliomtengeneza na kauli hiyo hakuwa nayo alikuwa mithili ya bubu Chriss/Sex machine. Alifanikisha kutembea hadi na wanawake kumi kwa wakati mmoja Chriss alijikuta akikosa nguvu na kushindwa kabisa kutembea baada ya kutoka kwenye mchezo huo, walikuwa ni wanawake wenye nguvu sana na waliompelekesha. Sex Machine alifikishwa mshindo zaidi ya mara nne na mchezo huo ulichukuwa masaa si chini ya matatu hadi kuisha kwake. Sex mchine alifanya kukokotwa mara baada ya kumaliza tu kuwaingilia wanawake hao na kupelekwa kwenye chumba ambacho alipumzishwa na kupewa chakula ambacho kilimpa nguvu hadi pale nguvu zake ziliporejea kabisa ndipo alirejea nyumbani kwake.



    Huko London Mambo yalikuwa moto, mwana mama wa kizungu alikuwa akipanga vijana wake wa kazi ambao wote walikuwa ni wanawake. hakutaka kushindwa kabisa kumkamata huyo kijana anayeitwa Sex Machine. Mbinu kabambe zilikuwa zimeandaliwa za kuhakikisha kijana huyo anatiwa nguvuni iwe kwa mtindo wowote ule.

    "kitu tutakacho kifanya ni kuingia kwenye mtandao wao wa kijasusi au kuvamia mawasiliano yao ili kuweza kujua ni siku gani atatumwa kwenda wapi. Nilikuwa na uwezo wa kuwaambia kuwa tutumiea njia ya kumhitaji kingono lakini si njia ni ipendayo na naichukia vibaya sana" alikuwa akitoa maelekezo mama huyo kwa vijana wake wa kike wa kazi. Akaendelea.

    "hatutatumia njia tuliyoitumia awali bali tutatumia njia nyingine kabisa ambayo hata yeye itamchanganya. Tutakwenda wengi hii itasaidia, hata kama ni mzuri kwenye kupambana lakini kwa mfumo tutakao utumia ni wa kipekee sana na utamshinda." aliposema hivyo mama huyo, wasichana wale wakafurahi na kukaa tayari kusubiri siku husika ya kazi.



    "muache apumue kwa siku hizi mbili kisha nimtume kazi yangu ya kwenda kuniondolea mshenzi mmoja kisha akirudi, ataingia kwenye hatua ya mwisho ya kuwaingilia mashoga." alizungumza mr. Kim akiwa na Joesan wakijipongeza kwa kupata mashine ya kazi.

    "hakuna shaka Mkuu nadhani baada ya hatua zote kuisha tutakuwa tunachukuwa oda kubwa tu ili asiendelee kukaa bure lazima atumike kwani yupo hapa kwa ajili ya kazi hiyo tu" Joesan alichangia mada. Wakacheka na kufurahi wakaendelea kunywa kwa furaha kubwa kabisa. Pesa ilikuwa inaongea utawaambia nini watu hao ambao dunia wameifanya kama yao kwa jinsi wanavyofanya watakavyo. Starehe iliendelea mahali hapo, walijiburudisha na muziki ambao ulikuwa ukiongeza chachu ya kuendelea kukata kilevi hicho.



    Chriss alikuwa amechoka sana na hakuwa na hamu ya kufanya kitu chochote kwa siku hizo mbili ambazo alipewa kwa ajili ya mapumziko, muda wote alikuwa ni mtu wa kujiwazia mengi na hakuacha kuikumbuka siku ya mwisho ya mchezo wa ngono aliokuwa akiufanya,siku ya juma pili.

    "kwanini hawakuniambia sasa kama jana ndiyo ilikuwa ni siku ya mwisho kufanya group sex. Walikuwa na lengo gani na mimi kuniambia kuwa nakwenda kukutana kimwili na wanawake wa nne halafu kila baada ya sekunde moja wakawa wanaongezeka na kuwa wengi vile. Walitaka kuniuwa au? Aaaa! Mungu wangu ni kweli mimi thamani yangu ni hii ya kupambana kimwili na zaidi ya wanawake kumi? Niambie basi Mungu wangu, hawa si watu kabisa japo niliwaamini lakini sasa naona kuwa wanampango mbaya na mimi na lengo lao ni kuniangamiza." aliwaza Sex machine na muda huo ndiyo Ikiwa ni siku ya mwisho kwake kukamilisha kazi yake ya group sex. Alizitumia siku hizo kwa ajili ya kufanya mazoezi ya kawaida na mepesi kwa ajili ya kujiweka vizuri zaidi kuurudishia mwili wake nguvu.

    "unaweza ukawa na akili nyingi sana na akili yako ikakuponza. Unaweza ukawa na uwezo mkubwa wa kufanya maajabu makubwa na uwezo wako pia ukakuweka matatani. Sina hakika kama kila mwenye taaluma yake anaitumia vile apendavyo na kumridhisha, wengi hutumiwa na kupelekeshwa pasipo matakwa yao" Rafael alikumbuka maneno yake alipokuwa akiwaza siku moja akiwa kijana kabisa. Mzee huyo alikuwa ameketi kwenye kiti kidogo nje ya bustani ndogo ya nyumbani kwake mida ya jioni. Ni kama mzee huyu alikuwa na jambo kichwani mwake lakini hakutaka liwe bayana jambo hilo.

    "maisha yanamwisho tunajua, lakini mwisho wa maisha hayo wengi hufika kwa kulazimishwa, nasema haya kwa sababu sidhani kama Chriss anajua kuwa anaongozwa na pale alipo hana anachokijua" alizidi kuwaza mzee huyo. Akawa anazidi kutembea kwa hatua za taratibu kwenye ile bustani ambayo ni mara chache sana kuona mandhari nzuri ya bustani hiyo kutokana na ubize na uchakalikaji wa kazi zake. Alitembea hivyo huk akizidi kuwaza hadi alipofika chini ya mti mdogo uliostawi na kuweka kivuli safi cha kuvutia, hapo alitulia na kuutazama mti ule kwa macho ya kuuchunguza akasema kwa sauti ndogo.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Chriss umekuwa ni kama huu mti kwa sasa, unakivuli kizuri ambacho kama kingetumiwa vizuri na Taifa lako, ni wazi lingejivunia kuwa na kijana kama wewe. Unajua kwa nini nimekufananisha na huu mti, ni kwa sababu hata huu mti unakivuli kizuri lakini hauna thamani kwa mmiliki wake. Muda wote nimekuwa bize kuliko japo kukaa kidogo tu chini ya mti huu ili nao ujione kuwa umepandwa na kutunzwa kwa manufaa fulani" baada ya maneno hayo, hakukaa sana chini ya mti huo huyo mzee bali aliondoka na kurudi taratibu ndani kwake ambako alilielekea friji na kuto jagi lililojaa maziwa akajimiminia kwenye gilasi na kueleke kwenye meza ya chakula na kutulia hapo.

    "sitakuacha uangamie kijana wangu, nitakuwa na wewe japo si kwa dhahiri lakini nitakusaidia naapa" alisema hivyo na kuikamata gilasi hiyo na kupiga funda kadhaa.





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog