Search This Blog

Monday, October 24, 2022

MAMA VANESSA - 5

 







    Chombezo : Mama Vanessa

    Sehemu Ya Tano (5)



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mvua ilikuwa inaonyesha na yeye aliamua kujikinga na mvua hiyo kwa kuingia kwenye moja ya kibaraza cha duka. Ingawa alikuwa na mvua lakini hali ya hewa ilikuwa tete. Mvua iliyoambatana na radi ilikuwa ikipiga hivyo pamoja na mwamvuli aliokuwa nao bado alioofia usalama wake maana anageweza kujitafutia matataizo hasa ukizingatia kuwa mwamvuli aliokuwa amumbeeba ulikuwa na rangi yenkundu na wakati huo alikuwa amejijengea imani kuwa radi inafuata rangi nyekundu. Katika kibaraza hicho alichojibanza ili kusubiri makali ya mvua kulikuwa na watu wengi sana na jicho lake lilikwama kwa binti ambaye kwa wakati huo alishindwa kuelewa alikuwa ni mtoto au la. Binti alikuwa amekaa kwenye benchi na uzuri wa sura na umbo lake ndo ulimfanya jicho la lake kukataa kubanduka kabisa. Aliangalia miguu kama haitoshi akaangalia sehemu za kifuani na mara kadhaa macho yao yalikutana.



    Ilikuwa ni kijijni kwao hivyo hakujua hata binti huyo alikuwa aitoka boma la nani. Kwanza yeye hakuwahi kuishi kijijini kwa muda mrefu zaidi alikuwa akija kusalimia babu na bibi kipindi cha sikukuu.



    Mvua ilipungua na binti wa watu ambaye hakuwa hata na mwamvuli aliamua kujitosa hivyo hivyo ili aweze kuwahi nyumbani.



    “Wewe Mishel mvua bado haijaisha vizuri angali isije ikakuletea shida” alisikika dada alaiyekuwa akiuza duka.



    “Wacha niwahi mama atanigombeza huwa hapendi giza linikute nikiwa nje ya boma”Alijibu binti huyo kwa sauti laini sauti ambayo ilikuwa ikisisimua masikio ya Lucas. Kipindi hicho Lucas alikuwa ndo kwanza alikuwa yupo form six. Miguu yake ilishindwa kuumlia kuona msichana huyo aliyetokea kumvutia ghafla akiwa anatoweka ghafla kwenye upeo wa macho yake. Bila kutegemea alijikuta akinyanyua miguu na kujaribu kumfuatilia. “Mishel” aliita Lucas na kufanya binti huyo kugeuka kwa mshangaoa. Lucas hakuongea neno linguine zaidi ya kufunika na mwamvuli na kumfanya hasinyeshewe na mvua ambayo ilikuwa imechanganya ghafla.



    “Umejuaje jina langu” Mishel alihoji huku kimoyo myo akishukuru kwa kupata msaada huo.



    “Usijali mimi ni Lucas ni mjukuu wa mzee Manyama.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Eee mbona mimi sijawahi kukuona kwani unaishii wapi”.



    “Naishi mjini Mwanza na nasoma huko huko huku nakujaga tu likizo kumsaliamia bibi.”



    “Ooooh sawa, asante kwa kunikinga na mvuaa”



    Safari iliendelea mpaka wakawa wamefika kwa kina Mishel. Lucas kipibdi hicho ndo kwanza alikuwa ameenza kumiliki simu.



    “Samahani Mishel utakuwa na simu?”



    “Jamani mimi simu niipate wapi?



    “Sasa huwa unawasialiana vipi na ndugu zako”



    “Huwa natumia ya mama.



    “Basi chukua namba zangu …….”Lucas alijikuta akitaja namba kwa mtu ambaye hana simu.



    Mishel akamwamba asijlai akifika nyumbani atachukua simu ya mama yake na kumtafuta.



    “Ebu nitajie kama kweli umezishika hizo namba.” Mishel alirudia kuzitaja namba hizo bila kukosea.



    Lucas lalifurahi sana na kuona msichana huyo alikuwa na uwezo mkumbwa wa kukariri. Aliondoka zake na kurudi nyumbani. Alikaa kwa muda wa siku tatu bila kupokea simu kutoka kwa Mishel. Kila siku alikuwa akipita kwenye ile nyumba ili aweze kuangalia nini kilikuwa kikiendelea na kama anaweza kumuona binti huyo. Haikuwa hivyo hakuweza kabisa kumuona binti huyo. Ilikuwa ngumu sana kwake na roho ilimuuma maaana muda wa kufungua shule ulikuwa umefika. Hatimaye aalifungua shule na kuondoa zake. Roho yake ilimuuma sana kwa maana simu shuleni walikuwa wakikatazawa na hata wakituia kwa ujanja uajnja sana sana ni wikiend



    Mwezi mzima ulipita kabla ya siku moja kupokea simu ngen kutoka kwa msichana. Sauti hiyo nyororo iliyosisimua masikioni mwake haikuw aya mtu mwingine bali ya Mishel. Mishel alaimweleza kuwa namba zake alikuwa bado anazikumbuka na hakumtafuta kwa sababu siku ile walivyoachana alaianza kuugua na alailaza. Huo ukawa mwanzo wa mawasiliano yao. Mpaka Mishel anamalaiza form four na Lucas anamalaiza form sx watu hawa walikuwa wapenzi wa kwenye simu. Baada ya Mmishel kumalaiza form four alaienda Dar kwa dada zake wengine ambao kipindi hicho walikuwa wameolewa. Na kama bahati vile na Lucas alienda huko huko. Wawili hawa sasa waliweza kukutana.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lucas mawazo yakaamia siku ya kwanza kabisa kushiriki tendo la ndo na binti huyo. Anakumbuka aaimkuta binti huyo akiwa na bikira kabisa. Anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukivunja kikombe cha udongo cha binti huyo. Anakumbuka jinsi alivyoangaika nae kufanikisha hilo. Tangu siku hiyo ukurasa wa mapenzi baina yao ulikuwa umefunguliwa. Mishel alikuwa akimpenda sana nay eye alikua akimpenda sana. Kuna vipindi vigumu walivyopitia na vyote walikuwa wakivikumbuka. Moja ya kipindi kigumu ni pale Mishel mataokeo yake yalivyotoka hayakuwa mazuri hivyo ilimlazimu kubaki Dar kwa dada yake wakati Lucas akaiendelea na chuo. Huko Dar Mishel alijifunza hizo kozi fupi ndani ya mwaka. Baaada ya hapo sasa aliajiriwa. Uzuri wake ukawa chachu ya kuwavutia wanaume wengi ikiwemo boss. Mishel alibadilika sana na hakumthamini tena Lucas. Mishel jiji lilimkubali sana alikuwa mrembo mara dufu. Hakuwa wa hadhi ya Lucas tena bali alikuwa akitoka na watu wenye fedha zao. Kipindi hicho Lucas alikuwa ameijiunga na masomo kwenye chuo kikuu cha Dar es salaam. Hapo safari ngumu na histori ya uhusiano wa watu hawa ndipo ilipokuwa ndefu. Lucas alikuwa akaimpenda sana bint huyo na hakuweza kabisa kukubaliana na matokeo kuwa aliachwa kwa kigezo kuwa hakuwa na fedha. Roho ilimuuma sana na hakuamini kuwa kama kweli binti huyo amebadilishwa na starehe za jiji. Tukio hili lilimfanya Lucas kumwaga machozi na aliona tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili.

    Maisha ni safari mbwembwe za Mishel ziliishia njiani mara baada ya waliokuwa wakimpa kiburi kuanza kumyanyasa. Walimchoka baada ya kupata walichopata. Mishel alichoka akachakaa hiyo ni mara baada ya kuugua kwa muda mrefu na haikujulikana alikuwa akiumwa nini lakini afya yake ilikuwa imedhoofu mno. Uzuri wake ulifubaa na alififia machoni kwa wanaumme wakwere. Fimbo ya shida za maisha ilimpiga maana hata dada yake aliyekuwa akimpa hifadhi alifariki dunia. Mishel ilimlazimu kurudi kijijini ambapo alikuwa hana mbele wala nyuma. Huko ndipo Lucas alipopata kumuona tena.Alimuonea sana huruma maana binti huyo alianza kuzeeka ingali alikuwa bado mdogo. Mishel alimuomba msamaha Lucas na kumtaka amsamehe tu kwa yote aliyomtendea hata kama hawatakuwa tena wapenzi.



    Lucas kama ilivyo imani ya dini yake aliamua kumsamehe binti huyo lakini alisema kuwa kwa sasa watakuwa kama kaka na dada. Lucas akamshauri binti huyo arudie mtihani wa kidato cha nne na akafanikiwa kwenda form five basi yeye atamsomesha. Mishel kwa kuwa hakuwa na mbele wala nyuma alikubaliana na mawazo hayo. Lucas kwa kutumia pesa ya mkopo aliyokuwa akipewa chuoni aliweza kumlipia pesa ya usajili. Lucas alikuwa na moyo wa ajabu sana maana alirudisha moyo wa pendo kwa binti huyo. Akaanza kumuhudumia kwa vitu vingi na hatimaye urembo wa binti huyo ukaanza kuonekana tena. Kadri siku zilivyozidi kwenda walikuta wakitamaniana nakutamani kuvunja ahadi kuwa kwa sasa wataishi kama kaka na dada. Lucas pia alivutiwa na mwenendo wa Mishel maana aliokoka na kuwa mcha Mungu. Mishel alikuwa wa kusali na kuomba yeye na biblia biblia na yeye. Shetani aligeuka kuwa malaika.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lucas akaamaini sasa Mungu amaembadilisha msichana huyo. Kw kuwa nay eye hakuwa na uhusino mzuri tangia acahane na mwanamke huyo amekuwa wa kupita pita tu alaiamua kumrudia. Kiu ca kwanza lichokifanya ni kumzidishai upendo na kumjali sana. Mpka Misheli akawa anaogopa. Alipewa huduma zote anazostahili kupewa mwanamke.



    Siku moja aliamua kumchukua na kwenda naye angaza. Lengo lilikuwa ni kumpima afya. Kwa bahati nzuri binti huyo alikuwa ni mzima. Jambo hili lilikuwa furaha kwa Lucas kwa maana mwanzoni alikuwa na hofu sana akiwaza labda binti huyo alikuwa muathirika wa ukimwi na ndio maana alikonda vile. Awali ni awali hakuna awali mbovu. Kuku wako mwenyewe hakuna haja ya kumshikia manati. Siku moja Lucas alimwomba binti huyo amsindikize mahali ambapo ilikuwa ni mkoa wa jirani. Huko walifanya kilichowapeleka na usiku uliingia na kuwakuta huko. Lucas hakutaka kuuliza hiki wa kile alichukua chumba. Usiku huo ulikuwa usiku wa kukumbushia enzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi. Mwendo wa uchokozi wa Mishel na madaha ya swaga alizojaliwa zilitosha kabisa kushawishi Lucas kuona anastahili kupata mavuno ya kile alichokipanda.



    Alihudumia sana mgodi huo na sasa ilikuwa ni fursa nzuri kwa yeye kupata walau madini kidogo. Walianza kwa kuogeshena. Ile michezo ya kuwaamsha waliolala ilifanyika huko. Na kweli Kiungo mchezeshaji wa Lucas alianza mbwembwe zake za kusimamisha kichwa. Mishel alikuwa kama mwanawali ambaye hakuwahi kushiriki tendo hilo. Miaka miwili ya mateso hakuwahi kabisa kufanya tendo hilo hivyo kumfanya awe mwenye hamu zaidi ya neno lenyewe. Hawakutaka kujua kama waliweka ahadi kuwa ataishi kama kaka na dada. Mioyo yao ilisemezana na kwa pamoja wakashiriki tendo la ndoa. Ilikuwa ni kupeana raha kwa kwenda mbele hakuna aliyechoka siku hiyo. Utamu waliokutana nao ni kama vile hawakuwahi kujuana kabla.Tangu siku hiyo pazia la mapenzi motomoto likafunguliwa baina yao. Wagombanao ndio wapatanao.Wakaseamna kwa vitendo na sasa wakapeana kazi ya kila mmoja kufuta makandokando yote waliyokuwa nayo.



    “Kama una mapenzi au ulifikiria kuwa naye kwa sasa itabidi umuache na mimi nitafanya hivyo kwa sasa yalioipita si ndwele tugange ya mbele.Nakupenda sana Mishel na naapa kukoa”



    “Kwa sasa mimi nimebadilika sana hata leo sijui imekuwaje nikadhini. Lucas mimi ni mcha Mungu mwili wangu ni hekalu ya bwana.Sina mpenzi na nipo tayari kuolewa na wewe kama itakupendeza.. najua umenirudia kulip akisasi ila tambu akisaasi na hukumu ni vya Mmungu..Nipende tena , nipende tana na nipe nafasi kwenye moyo wako.”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kila mmoja aliongea maneno ya hisia usiku huo. Na kila baada ya mazungumzo machache nyege zao ziliamka na kuanza tena kupapasana kabla ya kupeana penzi. Walifanya yote na kila wawezalo ili mradi kukata kiu ambayo kila mmoja alikuwa nayo juu ya mwenzake. Walirudi mkoani kwao na kila mmoja aliendelea na ratiba yake. Lucas likizo iliisha na alirudi chuoni.Mishel alisoma kwa bidii sana na baadaye alifanya mtihani wa kidato cha nne. Ilivyo bahati kwa masomo yale ambayo aliyarudia alifaulu kwa kiwango kikumbwa sana. Hili limstaajabisha hata Lucas. Kwa jinsi binti huyo alivyokuwa bize kwa mambo ya dini na Mungu hakuwa na imani kama angeweza kufanya vizuri. Sasa akawa amepeta nafasi za kusoma kidato cha tano. Mishel akamwambia kuwa anataka kusoma masomo ya kidato cha tano na sita kwa mwaka mmoja badala ya miaka miwili. Walibishana lakini Mishel alikomaa na anachokiamini kwa madai kuwa umri wake ulikuwa umeenda sana.



    Imani yashinda yote Mishel alifanya kama alivyoamini na Mungu aliendelea kuwa upande wake. Alisoma kama mtumwa huku Lucas akijinyima kwa kila hali kumlipia ada. Mwaka mmoja ukakatika kwa haraka na kipindi hicho Lucas alikuwa ameshamaliza chuo yupo mtaani akirandaranda na bahasha ya kaki kutafuta ajira. Hiki kipindi kilikuwa kigumu sana maana Mishel alihitaji sapoti lakni Lucas hakuwa na uwezo. Hatimaye kwa kuunga unga Mishel alifanikiwa kuuliza form six. Matokeo yalipotoka bado alistaajabisha ulimwengu kwa kufaulu. Safari ya chuo ikaanza na kidogo ilikuwa yenye haueni kwa Mishel alipata mkopo. Alisoma chuo kwa raha mpaka akamaliza. Na ndio ikawa fursa ya wawili hao kuoana.



    Kumbukumbu hizi ndizo huwa zinamliza Lucas na kumfanya hata hashindwe kupokea simu ya Mishel. Neno “nimekukumbuka mme wangu” aliyoandika mara baada ya yeye kusita kupokea simu zilimfanya akumbuke mengi sana. Alikumbuka yaletayo furaha na zaidi pia alikumbuka yaletayo huzuni.



    “Nimetoka naye mbali sana, nimemlea, nimemtunza lakini bado ameamua kuiacha. Naamini kweli tabia ni kama ngozi ya mwili kuibadili ni shughuli. Si mara yake ya kwanza kunisaliti, amerudia tena na huwa ananiacha kwenye kipindi kigumu. Lakini atanikumbuka na Mungu atanilipa”. Lucas ni kama vile alichanganyikiwa maana maneno hayo alikuwa akiyaongea pake yake. Chumba alichokaa alikiona kidogo. Alisimama na kuzunguka zunguka kama taira.Ni usiku lakini mawazo kuwa apike nini au atakula nini yalimwishia. Akafungulia sabufa yake na kuweka mziki mkumbwa. Mara mlango wake uligongwa. Alishtuka kidogo maana hakutarajia mgeni na wageni wake huwa ni wawili tu mama Vanesa na Kimaro. Alijinyanua kizembe na kwenda kufungua mlango. Macho yalishangaa moyo ulimdunda kupita kiasi mara baada ya kumuona mwanamke ambaye hakujua amafikaje fikaje hapo na nani kamwelekeza.*****Je mwanamke huyo ni nani?



    “Upweke ni ugonjwa mbaya sana huku duniani na upweke unaweza kukufanya ukawaza mambo mengi yaliyopita na kujikuta mwenye huzuni. Nimegundua utakuwa mpweke sana usiku huu na nimeona walau nije nikufute machozi yako”

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwa sasa sina machozi maana nilishaliia mpaka yakakauka.Umejauje kama nakaa hapa?” alihoji Lucas kwa upole



    “Naomba tuzunguzie ndani maana leo mimi ni kama malaika ambaye nimetumwa kukuleta faraja”. Alijubu Juliana.



    Haikujulikana Julaina alikuwa ametoka wapi na amejuaje kama mwanaume huyo alikuwa akikaa hapo. Julaina alikuwa na yake moyoni ambayo Lucas hakuyafahamu. Lucas alikubaliana na binti huyo wakaingia ndani.



    “Kwa sasa najua kila kinachoendelea kweye maisha yako. Najua unatoka na mke wa boss wako lakini hata hivyo kisasi sio jambo zuri..Jambo zuri ni faraja na kuweza kusahau yote yaliyotokea. Nimekuja kukupa faraja kwa maana mke wa boss ni faraja iliyombali”. Juliana aliongea huku akimsogelea karibu.



    Lucas alitamani kumsukuma lakini roho ilisita.Uturi mzuri aliojipulizia mlimbwende huyo ulimfanya awe kimya kwa muda. Maneno ya mlimbwende huyo yalimchanganya na kukivuruga kichwa chake. Alihisi rafiki yake Kimaro alikuwa akitoa asiri zake kwa Julieth na Julieth akamwambia Julaina. Alizama kwenye tafakari fupi juu ya maneno hayo yaliyosemwa.



    “Nisamehe bure Lucas sikupaswa kukuambia haya kwa sababu ni siri. Ila wewe ni mwanume lijari ambaye unaweza kumchanganya mwanamke akakutana na wewe siku moja na kumfanya hasikusahau. Kuna zawadi moja tu nahitaji kutoka kwako lakini ili unielewe…” Juliana aliakatisha maneno na kuinuka. Alichukua glass na kumimina pombe kali aliyokuja nayo. Alianza kunywa yeye kisha kumpatia mwanaume huyo. Lucas hakusita na alihisi huenda ikawa faraja mara baada ya kichwa chake kuvurugwa vya kutosha.



    “Hii ndo faraja inayozungumziwa?” Lucas alihoji mara baada ya kugigida kinywaji.



    “Hii ni robo lakini faraja ya kweli nimeibeba mwilini mwangu.”Jualaina alijibu huku akipeleka kinywa chake kwenye kinywa cha mwanaume huyo. Ndimi ziligusana mate yakasemaezana na ukimya ukatawala. Ni kama vile waliongea lugha moja lugha iliyochagizwa na kinywaji walichokunywa. Michezo ya uchokozi ikaanza na sasa wakaaza kupapasapasana huku na kule. Sofa likageuka uwanja wa huba. Vifungo vya shati vilimfunguka Lucas bila kupenda. Juliana naye blazia iliachia matiti bila tabu. Mikono ya Lucas juu ya matiti ya Juliana. Mikono ya Juliana juu ya kifimbo cheza cha Lucas. Mihemo iliongezeka machozi ya viungo vya siri yalitoka na kulowanisha maneno hayo. Waliamia dunia ingine kabisa dunia ya raha za mapenzi. Hata mlango uliokuwa wazi hakukumbukwa kufungwa. Kwa mikao ya sofani wakavunja amri ya sita. Hawakukukmbuka kutumia hata kinga na hii ilikuwa ndo furaha ya Juliana maana kilichompeleka hapo si kingine bali ni kupata ujauzito.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Juliana waliapanga na pacha wake kumteka Lucas kimapenzi na hiyo ni mara baada ya kuona kuwa penzi lake na mkewe likuwa limevurugika. Kwa kuwa Julieth alikuwa akiambiwa kila kilichokuwa kikiendelea na mipango yote aliona kama Juliana atabeba mimba ya mwanaume huyo itakuwa rahisi sana kumshawishi Lucas awe naye. Kwanza walivutiwa na juhudi zake kimaisha na pia Juliana alikiri kwa kinywa chake kuwa hajawahi kukutana na mwanaume mtamu kama huyo. Kwa msaada wa pacha wake ndo akajua anapokaa. Juliana alichoka kuwa na penzi la kuibaiba na alaijua kabisa Lucas na mke wa boss hawana future yoyote maana boss akigundua atamuua. Ukisikia mapenzi upofu ndo hapo sasa. Wakati Lucas akifurahia penzi tamu la msichana huyo ambaye aliamua kulala kabisa msichana huyo alikuwa akifurahia maana siku hiyo alikuwa kwenye siku hatari ya kupata mimba.*******



    Kwa upande wa Mama Vanesaa yeye alikuwa na uchungu uliopitiliza. Aliwaza kwa nini mme wake aliamua kufanya umalya uliopitiliza. Kitendo cha kupata fununu kuwa mme wake alikuwa akitoka na binamu yake kilimuuma sana. Alioana kuwa kwa sasa amefika kubaya bora waachane. Usiku huo mme alirudi huku akiwa amelewa.



    “Wewe mwanamke naona sasa unatumia uhuru nilokupa vibaya. Umeniona mimi fala na unaweza kwenda popote ukazima simu na ukalala huko huko” Baba Vanesa hakuongea kwa maneno tu bali vitendo. Alivuta mkanda wake na kuanza kumpiga. Mama Vanesa na yeye alikuwa na hasira zilizopitiliza ukizingatia alikuwa ametumiwa na picha za ushahidi wa tukio lilotokea. Katika hali ya kujiteta na kipigo cha mme wake aliamua kupambana naye.Alimsukuma na aliangukia na kujigonga kwenye kabati. Mlevi ni mlevi tu maana Baba Vanesaa hakuwa na nguvu.



    “Sijawahi ona mwanaume Malaya kama wewe. Yaani umefanya umalaya kote na sasa umeamua kutoka na binamu yangu. Kweli wewe ni shetani” Mama Vanesa aliongea kwa uchngu wakati baba Vanesaa akiugulia maumivu pale chini.



    “Wala usinilaumu mimi. Alaumiwe ndugu yako na tamaa zake. Kama anitaka mimi nifanyaje. Mimi si hanisi bwana mimi ni mwauame lijali nimempa alichokuwa anakitaka”Baba Vanesaa alijbu kwa sauti ya kilevi.



    Kauli hiyo ilimuumiza sana mama Vanesaa. Maama maneno hayo yalithibitisha kama kweli huyo mwanaume ni shetani.



    “Una urijali gani kama umekaa na mimi miaka miwili umeshindwa kunipa mimba.Mtu mwenyewe kitandani kwachu kazi tu kuwachafua wanawake. Wewe na mtambi wako huo kama nyumba, kidudu kama kidole cha mtoto huwezi kumrizisha mwanamke nakushanga tu kujishaua. Yaani ujue nakuvumlia tu lakini ukweli huwezi kunikuna kabisa”Mama Vanesa aliongea maneno ya shombo.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Pumbavu kabisa ngoja leo nikioneshe kuwa mimi ni mwanaume.” Baba Vanessa alinyanyuka pale na kumfuata mama Vanesa.Alianza kwa kumpiga kibao. Mama Vanesaa hakukubali na yeye alaijibu mapigo. Ikawa piga nikupige na mama Vanesaa akakata mzizi wa fitika na kunyanyua chupa kumbwa ya wine amabyo ilikuwa pembeni ya kitanda na kumpiga nayo kichwani. Puuuuuu!!!!!!!! Baba Vanesa alianguka chini kama gunia la mahindi. Kimya kilitawala .



    “Mama Vaneaa umeniua, ilisiskika sauti ya baba Vanesaa huku povu likimtoka mdomoni.



    “Kufa salama tena wasalimie kuzimu waambie mimi ndio mrithi wa mali zako..”



    Mara baba Vanesaa alianza kutupa tupa miguu jambo ambalo lilimshangaza mama Vanesa. Baada ya muda kimya kikatawala. Alijaribu kumtingisha lakini hakutingishika. Hofu kuwa alimua mwanaume huyo ilimtawala. Mama Vanesaa alianza kupiga piga miguu hasijue nini cha kufanya. Kwa elimu ndogo ya unesi aliyokuwa nayo ni kwamba mwanaume huyo alizimia. Aliwaita walinzi na kuwaambia kuwa baba Vanessa amezidiwa na pombe. Lengo ilikuwa ni kutengeza mazingira kama mwanaume huyo akifa basi yeye hasiwe hatiani. Walimkimbiza hospitalini usiku huo huo. Kwa bahati nzuri daktari aliyempokea alikuwa ni ndugu wa mama Vanesa. Baada ya muda mfupi daktari huyo alimwita na kumweleza ukweli kuwa baba Vanesa amekwisha fariki..Mama Vanesaa alichanganyikiwa na kuona mlango wa gereza ukifunguka na yeye kutakiwa kuingia ndani..







    Yule daktari kwa kuwa alikuwa akimjua aliamua kulivaa swala hilo na kumsaidia. Alimweleza kuwa hasiwe na hofu yeye ataandika ripoti itakayo msaidia lakini pia kwa sasa wasiseme kua amefariki ili kama kuna mali anaweza kuamisha afanye hivyo maana akisubiri mgao wa halali ndugu wanaweza kumdhulumu. Kidogo mama Vanesa akawa amepata nafuu na kuona kumbe anaweza kukwepa mkono wa sheria. Daktara alimwambia habari za kifo zitatangazwa kesho. Mama Vanesaa aliondoka na kuelekea nyumbani. Yaani akili yake ilikuwa imechanganyikiwa kwa kiwango kikumbwa. Alifika akafungua kabati ambalo huwa linawekwa pesa. Baba Vanesaa ni miongoni mwa watu ambao huwa wanahifadhi kiwango kikumbwa cha fedha tena dola za Kimarekani. Ilikuwa ni fursa nzuri kwake maana alizijaza kwenye begi kasha kwa haraka alitoka nje.



    Alifanya kwa haraka na kuziweka kwenye gari lake binafsi. Lengo ni walinzi wasijue kama ameondoka na mizigo hakuhitaji dereva aliwasha gari na kuondoka. Aliwaza pa kuzipeleka hizo fedha akaona njia pekee ni kuzipeleka kwa Lucas. Huyo alinyoosha barabra ya Mwanza. Alikuwa akiendesha kwa mwendo wa kasi sana. Ndani ya masaa mawili alikuwa jiji la Mwanza. Moja kwa moja alienda mpaka mataa ambao Lucas alikuwa amepanga. Alipiga honi lakini geti alikufunguliwa kwa haraka. Aliamua kuingia mwenyewe nia ni kumpa hizo fedha Lucas na yeye arudi zake Musoma tayari kukamilisha janga lilokuwa mbele yake. Alipiga hatua kuuelekea mlango wa Lucas. Mlangoni tu alikaribishwa na viatu vya kike lakini hakujali. Aliugusa mlango na kwa bahati nzuri ulikuwa wazi.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hodi humu ndani” alibisha na kuingia moja kwa moja. Palikuwa kimya na maji yalikuwa yakimwagika bafuni.Ishara kuwa kulikua kuna mtu anaogoa.Muda huo Lucas na Juliana walikuwa wameshamaliza raundi ya asubuhi na kuamua kujisafisha kabla ya kwenda kupata kifungua kinywa.



    Lucas alibahatika kuiskia hiyo sauti na pia aligundua kuwa alikuwa n mama Vanessa. “Shiiiiiiiiiiiii iiiiiiiii” alimwekea ishara ya kidole Juliana akaimtaka atulie maana tayari wameshafumaniwa. Akamsogelea na kumwambia yeye anatoka kisha yeye abaki humo na afunge kwa ndani. Juliana alitingisha kichwa ishara kuwa ameelewa. Lucas akiwa uchi alitoka bafuni.



    “Jamani mama Vanesaa mbona umekuja kwa kunisthukiza kuna usalama kweli”



    “Usalama hakuna maana mlangoni nimeona viatu vya kike na pia hapa kitandani nimeona nguo za kike. Lucas ina maana mimi sikuridhishi mpenzi, mbona nimejitolea kila kitu kwako kwa nini wanaifanyia hivi?”Mama Vanesaa aliongea kwa sauti ya upole mmno.



    “Hakuna chochote mama Vanesaa hizi nguo na vile viatu ni vya mke wangu.Huwa nikimiss natoa nguo zake kwenye begi naziangalia. Na vile viatu niliviweka atleast majirani wajue kuwa na mimi nina mwanamke. Nimefanya hivyo maana kuna dada hapo alikuwa akijipendekeza pendekeza kushinda vishawishi nimemuweka yeye akiona najua wewe upo” Lucas aliongea uwongo unaofanaa na ukweli



    “Ooooooops!!!!!! Tambua nakupenda sitaki kukuchunga japo wadanyanya ila iwe mwanzo na mwisho kuingiza wanawake kwenye hii nyumba. Jiheshimu utafaidi vingi kutoka kwangu.”



    “Nimekuelewa mama Vaenesa, nami nitakupenda daima.



    “Lucas wewe kwa sasa ndo utakuwa mme wangu maana Baba Vanesaa amefariki dunia..



    “Amefarik dunia kwa sababu gani!!!!!!!!!!!”



    “Pombe, amekunywa pombe nyingi sana na alivyokuja nyumbani amejigonga kwenye ukuta ndo umauati umemtwaa.



    “Bado ni siri ila nimekwambia wewe tu ili ujue hilo..



    ‘Sasa hiyo si ni kesi kwako”



    “Mimi sio pombe hakuna kesi..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Aisee Mungu ni mwema, aende salama na malipo ni hapa hapa duniani..Leo huenda nikafanya sherehe kumbwa sana.



    “Kuwa na utu usishabikie kifo..Kwanza haya siyo yaliyonileta hapa ebu njoo nifuate.”Mama Vanesa aliongea na kuanza kuondoka. Lucas na yeye alianza kumfuata kwa nyuma. Alivyotaka kutoka akagundua kuwa alikuwa uchi. Alirudi na kuvaa nguo. Mama Vanesa na yeye alirudi na kumwambia “Inelekea hizi nguo ndo zinakuchangnya ngoja niende nazo” Akanyanyua zile nguo za kike akatoka nazo. Alivyofika mlangoni akachukua na viatu kisha akaenda navyo kuvifungia kwenye buti la gari. Ni kama vile aligundua humo ndani kulikuwa na mwanamke hivyo aliamua kumkomesha.



    “Nisikileze kwa umakini. Matatizo haya yalionikuta ni makubwa. Kwa kuwa naweza hata ingia gerezani kwa hatia yakupasa mimi na wewe tuwe kitu kimoja. Nihadi kuwa utakuwa nami



    “Nitakuwa na wewe usijali.



    “Yakupasa upambane kwa hali na mali kunilinda..Hili begi lina pesa nyingi sana ambazo zinatosha kutufanya tuishi masha ya raha baada ya msiba. Nakukabidhi uzihifadhi sehemu salama na tutaanza maisha mimi na wewe.Usiangalie nyuma kwamwe na kamwe usinisaliti. Achana na habari za tama na wanawake watakuibia na kukufilisi..



    “Nimekuelewa mama Vanesa na kwa hili ondoa shaka nitakupenda daima.



    “Mkeo hakuwa mwaminifu usifikirie kumrudia maana kama sasa ukimsamehe na mbeleni anaweza kuja kukusaliti tena kwa sabab ya pesa.Nisikuchoshe nenda kamtoe na huyo kahaba huko ndani mwambie akome au atafute vya kwake. Ukioana vayelea?



    “Ujue vimeundwa” Lucas alimalizia msemo huo na kushuka kwenye gari.



    Aliingiza mabegi ndani na limkuta Juliana akiwa yupo kitandani sura ameikunja. Hakumsemesha alifungua kabati la nguo akaweka hayo mabegi kisha akafunga na funguo kuweka mfukoni. “Noamba nguo zangu niondoke maana naona thamani yangu imeisha alipokuja tu huyo mke wa boss.



    “Nguo ameondoka nazo..



    “Sasa mimi nitavaa nini?’”



    “Sijajua ila fanya uondoke maana atarudi muda si mrefu..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Kwa hiyo amebeba mpaka chupi yangu”



    “Maswali gani sasa hayo ebu fanya uondoke bwana mimi nishachanganyikiwa.”



    “Sasa nitaondokaje wewe mwanaume mbona unaongea bila kushirikisha ubongo.



    Lucas akafungua kabati akatoa bukta yake na kumpa. Akampa pia na fulana na khanga ya mama Vanesaa. Akafungua waleti na kumpa fedha kama elfu 50 na kumwambia kuwa aende akanunue zingine. Lucas alibadilika na kuwa kama mbogo. Juliana hakuwa ana namna alifanya hivyo na kuondoka zake.Moyoni alikuwa na furaha kuwa pamoja na yote hayo mpango wake wa kubeba mimba yake umefanikiwa.Baada ya kuondoka Lucas alibaki mwenyewe. Aliyafungua yale mabegi ili kuhakikisha kama kweli yalikuwa yamejaa fedha. Ndivyo ilivyokuwa. Alipiga magoti na kumshukuru Mungu. Alijua kabisa kwa bingo hilo ameuaga umasikini.*******



    Baba Vanesaa alizikwa na watu walihuzunika sana. Ndugu walifungua kesi kumshtaki mama Vanesaa kwa kumua mumewe ili arithi mali lakni ripoti ya dakari ikamuokoa mwanamke huyo na kifungo. Kesi ilipoisha zilifuata kesi za mirathi. Mama Vanesa tayari alikuwa na ujazito wa Lucas na alitumia ujauzito huo kudanganya kuwa ulikuwa wa marehemu baba Vanesa. Mama Vanesa alishinda kesi na aligawiwa mali nyingi ikiwa ni pamoja na nyumba ya kuishi. Mtoto alipozaliwa hakufanana kabisa na baba Vanesa. Maisha yakawa mtihani mkumbwa sana hivyo aliamua kuachana na familia hiyo. Sasa akawa anaishi na Lucas kama mke na mme. Mtoto aiyezaliwa aliitwa Vanesaa na kufanya mwanamke huyo sasa kustahili jina la mama Vanessa,



    Kwa upande wa Juliana mambo yalienda kombo maana licha ya kutarajia kushika mimba siku ile haikuwa hivyo. Mimba haikushika na Llucas hakutoa nafasi ingine tena kwa mwanamke mwingine zaidi ya Mama Vanesaa. Malipo ni hapa hapa duniani maana baada ya kifo cha baba Vanesa majanga makumbwa yalimfika Mishel. Kazi aliyotafutiwa kwa mgongo wa baba Vanesaa alifukuzwa. Maisha yakamwendea kombo na kwa kweli alichangyikiwa sana. Alimtafuta Lucas na kumuomba masahmha lakini alikuwa aechelwa maana Mama Vanesa alikuw ana ujauzitowa pili. Kwa kifupi Mishel alipoteza dira. Maisha yalimpiga fimbo na kumfanya ajute kumsaliti Lucas mwanaume aliyetoka naye mbali.Akadanganyika na mali kwa mara ya pili sasa anawashwa na pilipili ya usaliti. Alikumbuka walipotoka lakini kulikuwa hakuna namna ya kumfanya awe wake tena..Kweli maji yakimwagika hayazoleki. Fedha na utajiri vyote vinapita.. Baada ya muda kupiata mama Vanesa alijifungua mtoto wa kiume. Walimwita Valentine. Kwa sasa wanaishi kwa furaha sana na ni matajiri wakumbwa jijini Mwanza..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ************MWISHO*********



    JIFUNZE..



    Pesa ni matokeo tu ya maisha. Usimsaliti mpenzi wako kisa pesa.. Pesa ni majaliwa usitumie kuwanyanyasa wanyonge na kuwapokonya haki zao.Maisha ni safari jitahidi kusafiri salama.



0 comments:

Post a Comment

Blog