Search This Blog

Monday, October 24, 2022

JAMANI DADA MARTHA... LOOO! - 2

 







    Chombezo : Jamani Dada Martha... Looo!

    Sehemu Ya Pili (2)



    ILIPOISHIA

    Martha alikuwa akiishi na wapangaji wengine, wanawake wenzake ambapo kwa usiku huo walikuwa wamekaa nje jirani na dirisha la chumba cha Martha wakiongea...

    “Karibu sana kaka...! Jamani huyu kaka‘angu, anaitwa Roi...”

    JIACHIE MWENYEWE SASA...

    Martha alimtambulisha Roi kwa wapangaji wenzake, nao walimtupia macho Roi kwani vaa ya Martha ya gauni la kulalia halafu aseme eti mgeni huyo ni kaka yake, kwao haikuingia akilini hata kidogo..!

    “Oo! Karibu sana kaka yake Martha,” alisema mpangaji mmoja kwa akili za kujiongeza, wakacheka, Roi pia akacheka...

    “Asante sana. Za hapa?” alisalimia Roi...

    “Njema tu.”

    Kazi ikawa moja kwa wapangaji hao, kuhakikisha wanaujua ukweli wa uhusiano wa Martha na mgeni wake...

    “We Enjo, kama kweli huyu ni kaka yake Martha angempokea na gauni la kulalia?”

    “Aaa! Siyo kweli hata kidogo, hapa ametudanganya,” walisemezana wapangaji hao pale nje tena jirani kabisa na dirisha la chumba cha Martha.

    “Karibu baby,” Martha alikaribisha kwa sauti ya chini sana. aliogopa akisikika nje akiita baby wakati alishasema ni bro wake...

    “Asante nashukuru,” alikaribia Roi na kutaka kukaa kwenye sofa sebuleni, lakini Martha akamdaka akiwa hajakaa, akamsimamisha, akamwomba denda palepale sebuleni...

    “Mmm....mmmm...”

    “Mm...mmmm...waaaa...”

    Walichukua kama dakika tatu nzima wapo ndani ya denda motomoto huku wakisikika kwa sauti za kuhemka. Miguu yao chini ilitembea sawasawa na kila mmoja na uwezo wake wa kuhimili sakafu.

    Ilitembea kama iliyokuwa ikiamrishwa na sauti moja. Ilikuwa kulia...kulia yote, kushoto...kushoto yote! Wakati mwingine mbele...mbele yote pia...

    “Baby,” aliita Martha baada ya kujichomoa kwenye denda na Roi...

    “Yes darling...”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Chumbani ni noma, wale wapangaji wenzangu wamekaa nje ya dirisha langu la chumbani...”

    “Kwa hiyo itakuaje sista..?”

    “Bwana! Kwanza mi sitaki uniite sista...mimi ni baby wako...”

    “Sawa sweet...sasa itakuaje?”

    “Si hata hapa sebuleni panatosha au?”

    “Wewe tu! Unaona panatosha kweli?”

    “Panatosha darling,” alisema Martha kwa sauti iliyokwishazidiwa nguvu na joto la mahaba.

    Tayari Martha alishalishika lile gauni lake la kulalia ambalo lilimchora umbo lake lote na akalichojoa kwa juu kichwani, akalitupia kule mbali...

    “Mmh!” aliguna moyoni Roi kwani kwa mara ya kwanza alimwona vizuri mrembo huyo alivyoumbwa tofauti na siku ya kwanza.

    Martha kwa kuwa hakuwa na vazi jingine ndani ya gauni hilo kwa hiyo hakuwa na kibarua kingine cha kuchojoa, akamshika Roi, akamfungua vifungo viwili vya t-shirt aliyovaa, akamnyoosha mikono, akamchojoa nguo hiyo, akammalizia na singlendi!

    Akiwa amebakiza vazi la chini tu, Roi alijitegemea mwenyewe kujichojoa, akamaliza na kubaki saresare maua na mwenyeji wake, Martha.

    Martha alikimbilia mlangoni kwanza ili kujiridhisha kwamba, umefungwa. Sasa wakati anakwenda, macho ya Roi ambayo yalikuwa kwake, yalikuwa cherekochereko kwa namna wowowo lilivyokuwa likivaibreti kwa papara kama siyo pupa!

    “Mbengenyu...mbengenyu...mbengenyu...duu!” alisema moyoni Roi akifuatilia wowowo hilo lilivyokuwa likisumbuliwa na mmiliki wake.

    Martha alirudi na kufikia kwenye mwili wa Roi, wakaenda wote hadi chini kwenye sofa kubwa! Puuu!

    Kazi ilianza palepale, kila mmoja alikuwa moto kimahaba akimtaka mwenzake. Ni Martha ndiye aliyeonesha kumtaka zaidi Roi kwani alikuwa moto zaidi ya ule wa kifuu!

    Kwa vile kila mmoja alijua wanatakiwa kutosikika nje kwa hiyo walicheza kwa ububububu ili sauti isitoke kwenda nje...

    “Mm...mmmm...”

    “Mm...mmmm...”

    Ilikuwa ni miguno tu! Lakini yenye kutoa kielelezo tosha kwamba wapo uwanjani wanajiandaa kwa mechi ya kikubwa!

    ***

    Kule nje, wale wapangaji walikuwa wakizungumza kwa sauti ya chini ili kutoa nafasi kwa sauti za chumbani kwa Martha kuwafikia kama wangekuwa wameingia na kuanza kulisakata kabumbu!

    “Itakuwa kaka yake kweli si unaona wako sebuleni...”

    “Itakuwa kweli. Lakini wakiingia chumbani tu, ujue ni geresha, hakuna cha ukaka pale,” walizungumza wale wapangaji.

    Penzi ni kikohozi kulificha huliwezi, ni kweli kabisa! Licha ya mechi kuihamishia kwenye uwanja wa sebuleni lakini ile wanapuliza kipyenga tu, Martha alianza vuvuzela la mahaba.

    “Nyie...nyie kumbe wapo sebuleni kweli lakini si mtu na kaka yake, hebu sikieni,” waliambiana pale nje.

    Sauti ya Martha ilisema na kutafsiri kila jambo lililokuwa likiendelea...

    “Ooo...”



    “Mmm,” aliguna Roi. Hamasa ya mapenzi kwake ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba, kila nukta ilikuwa ya furaha kwake.

    Kilio cha Martha kilifika nje vizuri sana, wapangaji wenzake wakajisogeza hadi kwenye dirisha la sebuleni na kukaa hapo huku wakijikemea kuwa kimya!

    “Ndiyo kaka yake huyu?” mpangaji mmoja aliwaambia wenzake kwa sauti ya chini.

    Ilifika mahali, wapangaji hao walitamani kuangalia mechi laivu hivyo wakaanza kuinua vichwa na kusogelea dirishani kabisa lakini pazia lilikuwa madhubuti kutotoa nafasi kuangalia ndani.

    Mpangaji mmoja, anaitwa mama Mbega, yeye aliangaza huku na kule na kuona kipande cha mti, akakiokota na kuanza kukipitisha kwenye nyavu, sehemu iliyotoboka. Lengo lake lilikuwa ni kuweka pazia pembeni ili apate nafasi ya kuona mechi inavyoendelea ndani.

    “Mh! Jamani tutaonaje sasa ndani?” alisema mama Mbega kwani alishindwa kupenyeza mti kwa kukosa sehemu iliyotoboka.Kelele za Martha ziliwapagawisha wote pale nje. Sasa walikuwa wakihema mihemo kama vile wao ndiyo wako ndani kwenye tukio.

    Walishindwa kujizuia mpaka wakaanza kujinyonganyonga huku na kule kwa sababu ya kukumbwa na joto la mahaba ya sauti ya Martha.Martha alisikika kabisa akitangaza nia na kuwafanya wale wa nje kuzidi kuwa moto zaidi...

    “Jamani Martha...kwa nini anatufanyia hivi lakini?” wapangaji waliulizana wao kwa wao tena kwa sauti, sema tu Martha na Roi hawakuisikia kwa sababu walikuwa kwenye eneo la mpira wa piga nikupige.

    Walipomaliza, wale wapangaji nao wakakimbia. Kila mmoja aliingia ndani kwake na kujilaza kitandani huku wakiugulia maumivu ya joto la mahaba.

    “Sweet,” Martha alimwita Roi...

    “Niambie.”

    “Daa! Afadhali sasa, maana loo...ilikuwa hatari sana,” alisema Martha huku akichekacheka...

    “Kwa hiyo sasa umeridhika?”

    “Sana tu.”

    Wakati Martha anamsindikiza Roi, wale wapangaji walijua, wakatoka kwa mkupuo nje mpaka Martha mwenyewe akashangaa sana...

    “Kuna nini kwani? Mbona kama wameibuka kwa mpigo?” alijiuliza Martha lakini hakutoa sauti yake kuwauliza.

    “Jamani kaka yangu anaondoka sasa.”

    “Oo! Karibu sana kaka.”

    “Asanteni sana, siku nyingine.”

    “Haya, wasalimie huko, siku nyingine uje hata kama dada yako Martha atakuwa hayupo,” alisema mama Mbega huku akicheka kicheko cha kejeli kama vile moyoni alikuwa akisema...

    ”Kaka gani wewe Martha, tumesikia kila kitu sisi.”

    ***

    Ulikuwa usiku wa mawazo kwa Martha. Licha ya kwamba alikata kiu yake lakini Martha alijikuta akiumizwa na dhamira mbaya kuhusu Roi...

    “Hivi tungebaki kuwa kaka na dada nini kingetokea? Kwanza undugu ungedumu zaidi. Kwa hii hatua tuliyofikia uhusiano wetu utakatika ghafla siku si nyingi,” alisema moyoni Martha akiwa amelala kuangalia juu.

    “Ni lazima nichukue uamuzi mgumu. Nimwambie ukweli kwamba tusitishe uhusiano wetu ili ukaka na udada uendelee.”

    Alichukua simu, akamtumia meseji Roi...

    “Upo?”

    Baada ya dakika kumi, Roi alijibu...

    “Nipo darling, niambie.”

    “Nina jambo linanisumbua, naweza kuchati na wewe kama hutajali?”

    “Unaweza baby...”

    “Oke. Nimekaa, nimewaza sana. Licha ya kwamba umenikata kiu yangu lakini muda mwingi dhamira inaniambia kwamba tunatakiwa kuendelea kuwa kaka na dada kama makubaliano yetu ya siku ya kwanza kabisa.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mh!” aliguna Roi na ndiyo ikawa jibu lake kwa Martha...

    “Usigune Roi, nasema kutoka moyoni mwangu.”

    “Mmmh!” Roi alizidisha kuguna, Martha akakasirika na kukaa kimya.

    Roi alipoona Martha ametulia, akajua amekasirika, akamtumia meseji...

    “Naweza kukupigia?”

    “Yes! Unaweza.”

    Roi alipiga simu, Martha akapokea haraka sana...

    “Halooo...”

    “Sista...”

    “Yes braza.”

    “Umewaza nini tena jamani?”

    “Mh! Bro, nimewaza mengi. Mimi nimefikia uamuzi huohuo. Lazima tuendelee kuwa kaka na dada ili uhusiano wetu uendelee kudumu zaidi na zaidi,” alisema Martha...

    “Mh! Nikwambie kitu Martha..?”

    “Niambie bro...”



    “Hata mimi sasa nimeamua kuwa kuanzia sasa hivi tuwe ndugu, tena wa damu moja! Mimi ni kaka yako, wewe ni dada yangu.”

    “Loo! Jamani napiga vigelegele, umenifurahisha sana kaka yangu,” alisema Martha.

    “Hata mimi dada nimefurahi sana. Unajua tulikuwa tunafanya makosa makubwa sana. Watu tumekubaliana kuwa kaka na dada sasa hizi tamaa nyingine za kutoka wapi?” aliuliza Roi...

    “Ndiyo hapo sasa bro,” alishadadia Martha.

    Baadaye waliagana wakakubaliana kuwasiliana asubuhi inayofuata ili kujuliana hali.

    ***

    Martha alilala kwa amani na furaha. Alihisi ameutua mzigo mkubwa sana. Ilipofika saa kumi na moja alfajiri, Martha alipigiwa simu na shangazi yake kuwa, mumewe huyo shangazi amefariki dunia.

    “Ha! Shangazi kweli? Mbona sijajua kama alikuwa anaumwa?” aliuliza Martha akianza kulia.

    “Kafa ghafla Martha.”

    Martha alikata simu, akatoka kitandani na kutungua nguo za kuvaa ili kwenda kwa shangazi yake.

    Lakini wakati anatoka akampigia simu Roi...

    “Kaka, mume wa shangazi yangu kafa ghafla jamani...eeee..ooo,” alilia.

    “Wapi?”

    “Nyumbani kwake Magomeni.”

    “We uko wapi sasa sista?”

    “Mimi ndiyo nakwenda huko.”

    “Uko wapi?”

    “Nipo hapa kituoni Kimara.”

    “Nakuja hapohapo kituoni sista.”

    Roi alikurupuka, akatoka mbio hadi kwenye gari, akaendesha hadi kituoni Kimara. Akamchukua Martha kwenye gari hadi Magomeni msibani.

    Nyumba yote ililipuka kwa vilio, majirani walijaa nao wakilia sambamba na familia ya marehemu. Martha alifikia kulia akiwa ameishiwa nguvu.

    Ilibidi Roi ajumuike na wanaume wengine waliokaa nje ili kuona hali inakwendaje.

    Kulipokucha, Martha ndiyo akamkumbuka Roi kwamba hawakuagana baada ya kuachana...

    “Ooo! My God! Bro atakuwa ameondoka bila kujua nini kinaendelea!” alisema moyoni Martha, akampigia simu huku akiwaza...

    “Sikumfanyia fea hata kidogo. Mtu akupe lifti hadi msibani halafu unamwacha bila kumshukuru.”

    Simu ilipokelewa, Martha akashtuka kusikia kelele...

    “Bro, upo wapi?”

    “Nipo hapa nje sista.”

    “Haa! Nakuja.”

    Martha alitoka mbio hata waombolezaji wengine wakamshangaa. Alimkuta Roi amekaa kwa kujikunyata akitetemeka baridi.

    “Ooh! Pole baby,” Martha alijikuta akisema hivyo.

    Alimsimamisha Roi, akamvutia pembeni...

    “Nisamehe sana sweet, nilichanganyikiwa. Sikujua kama upo nje, mawazo yangu umeshaondoka,” alisema Martha.

    “Nilishindwa kuondoka sista,” alisema Roi kwa sauti ya upole huku akimpa pole Martha kwa msiba...

    “Asante sana baby. Sijajua mazishi itakuaje? Lakini kikao kitakaa baadaye kwenye saa nne asubuhi,” alisema Martha.

    Roi aliaga, akaondoka huku Martha akimsindikiza kwa macho yaliyojaa huruma...

    “Maskini. Yaani amekubali kuacha usingizi wake kwa sababu ya msiba wangu. Huenda Roi si kaka yangu,” alisema moyoni Martha.

    ***

    Baada tu ya kikao cha familia cha kujadili namna ya mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, Roi akapiga simu kama alijua vile...

    “Kaka...”

    “Ee dada! Vipi kuhusu utaratibu?”

    “Tunazika kesho saa kumi jioni, Kinondoni.”

    “Ooh! Nakutumia shilingi laki moja na nusu kama mchango wangu.”

    “Da! Nitashukuru sana kaka yangu.”

    “Poa...poa! halafu kesho nitakuja kwenye mazishi.”

    “Sawa kaka, sawa.”

    ***

    Ulikuwa mchana wenye mawazo kwa Martha...akiwa ametulia tuli huku wachache wakiendelea kulia, aliwaza...

    “Hivi kweli yule ni kaka yangu au mume wangu? Ina maana anaweza kunijali kiasi hiki kweli?” alijiuliza Martha huku akiiangalia meseji ya pesa aliyotumiwa na Roi.

    ***

    Wiki moja ilikatika tangu mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, siku hiyo Martha alikaa kwenye mgahawa mmoja akimshukuru Roi kwa ushirikiano wake katika msiba...

    “Wala usijali dada yangu. Tuko pamoja.”

    “Yaani bro kusema ukweli umenipa kampani kubwa sana.”

    “Usijali dada yangu.”

    “Asante sana,” alisema Martha huku akimwangalia Roi, wakakutana macho, wote wakajikuta wakisisimka...

    “Brooo,” aliita Martha kwa sauti iliyojaa mahaba.



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Yes sista...”

    “Uko sawa?”

    “Yeah! Nipo sawa sista, wewe je?”

    “Mh!” aliguna Martha bila kusema kama yuko sawa au la!

    “Mbona umeguna sista?”

    “Mh! We acha tu.”

    “Nini?”

    “Nimekumbuka mbali.”

    “Mbali wapi sista? Umemkumbuka marehemu tuliyemzika hivi karibuni?”

    “Wala! Yule ameshapita, nitaendelea kumkumbuka kibinadamu tu lakini si kwa sababu ya hivi ninavyowaza,” alisema Martha.

    Roi ilibidi awe mpole tu sasa kwani hakujua nini kiliendelea ndani ya nafsi ya Martha. Walishakubalian

    a kwamba wabaki kuwa kaka na dada kwa hiyo aliamini ukaka na udada upo vilevile.

    Martha alinyoosha mkono na kushika vidole vya mikono ya Roi na kuviminyaminya kiaina huku akimwangalia kwa macho yaliyojaa hamasa ya mahaba...

    “Kaka...”aliita kwa sauti ya chini sana, kama vile mgonjwa...

    “Niambie dada ‘angu mpenzi!”

    “Nakupenda kaka ‘angu mzuri. Umenisaidia sana.”

    “Wala usijali sista.”

    “Endelea kunisaidia na kunijali hivyohivyo my bro,” alisema Martha huku akiendelea kuvisuguasugua vidole.

    Kwa mbali, Roi alishajua kuwa Martha alikuwa hoi kimapenzi, alihitaji mwanaume lakini sasa akawa anajiuliza watakuwa wakiendelea kusuasua mpaka lini? Mara kaka na dada, mara wapenzi...

    “Mimi nitakusaidia mpaka mwisho wa ukaka na udada wetu.”

    Martha alilegeza macho, akajipeleka na kumwegemea Roi begani huku akirembua...

    “Darling...” aliita Martha...

    “Yes sweet.”

    “Mmh!” aliguna Roi.

    “Nini tena?”

    “Najisikia uvivuuvivu...”

    “Umechoka?”

    “Wala sijachoka.”

    “Uvivu wa nini sasa?”

    “Hata sijui, kama napenda kulala vile...”

    “Kwa hiyo una usingizi?”

    “Wala.”

    “Sasa nini jamani sista?”

    “Ah! Mi sijui bwana,” alisema Martha huku akipeleka mkono wake wa kulia hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali ya Roi...

    “Da! Sista...”

    “Abee...”

    “Umefikia huko?”

    “Ah! Mimi sijui bwana...sielewi kwa nini nashindwa kushika ahadi wakati naiweka mwenyewe... lakini hata hivyo leo tukienda tusifanye lolote, tukakae tu, tuzungumze halafu baadaye tuondoke. Kama tutazidiwa, labda tufanye romansi tu,” alisema Martha akijaribu kuweka mwongozo wake...”

    “Kwa hiyo?” aliuliza Roi kwani sasa na yeye moyoni alisema liwalo na liwe, akawaza...

    “Kwanza ni kweli si ndugu yangu, hanihusu kwa lolote lile, sasa nahangaika naye wa nini?” alisema moyoni Roi, akamshika mgongoni Martha, Martha akasisimka kwa kusema maneno yenye kuashiria kusisimka...

    “Wewe tu...”

    “Basi twende.”

    “Wapi?”

    “Popote pale penye utulivu.”

    “Kwani hapa si hotelini! Kwa hiyo pana vyumba.”

    “Nadhani.”

    Roi alisimama, akaingia ndani na kutoka baada ya dakika mbili tu, akasimama na kumwita Martha kwa ishara ya mikono, wakaenda vyumbani.

    Walichukua chumba kimoja, wakazama humo...

    “Sista tutaweza kukaa tu na kuzungumza kweli?” aliuliza Roi...

    “Tujitahidi kaka, tukiweza leo basi, shetani atakuwa ameshindwa siku nyingine zote,” alisema Martha akijiamini...

    “Haya, tutaona sista.”

    Walikaa kitandani, safari hii walikaa sanjari wote wakiangalia mlangoni, miguu yao ikining’inia kwenda chini.

    “Kwa hiyo kaka we huwezi kukaa na mimi kama hivi huku tunazungumza?” aliuliza Martha huku akimwangalia Roi, Roi naye akamwangalia Martha kwa macho ya kiume, Martha akalegea, lakini akajikaza...

    “Mimi nitaweza bro,” alisema Martha huku akimwangukia mapajani Roi...

    “Ka...ka ja...ma...ni...”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Roi alijikuta akitetemeka, mwili ulimwishia nguvu huku akihisi kizunguzungu cha mahaba mwilini mwake...

    “Sis...taaa...” aliita kwa sauti ya kiume, iliyotoka kwa mtetemeko.

    “A...be...ee,” Martha naye aliitika sauti iliyojaa maumivu na kusubiri tiba ya dhati kutoka kwa mwanaume huyo akiwa kama mwanamke mkamilifu.

    “Hali yako vipi?”

    “Mi...mi nipo tayari mpenzi...”

    Roi alimshika Martha, akamweka kifuani pake na kumwinua kitandani kisha wakaanza kwenda sambamba kwa kusukumana ili kupandisha moto mwilini.

    Martha muda mwingi alikuwa akiweweseka kwa maneno matamu yaliyojaa mahaba kiasi cha kumfanya Roi ajisikie kama yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisa na si duniani.

    Roi aliamua kujiweka sawa, akamweka sawa, akaingia uwanjani na mechi ikaanza huku kila mmoja akiwewesekea mahaba hayo.

    Haikufika dakika kumi, Martha akatoa tangazo la kufika kwenye eneo alilolitafuta, akamtaarifu Roi, akapokelewa kwa mikono miwili huku akisifiwa kwa maneno matamu kwamba anaweza kuucheza mpira sawasawa.

    “Siistaaa,” aliita kwa kigugumizi Roi, Martha akamkatalia kwamba yeye si sista wake tena...

    “Niite mpenzi.”

    “Mpenzi.”

    Kumbe Roi naye alimwita Martha ili amtangazie kuwasili kwake kwenye mafanikio ya safari yao na yeye akapokelewa kwa maneno matamumatamu.

    ***

    Martha na Roi walikuwa wakijiuliza ni kwa nini wanaingia na kutoka wakati ukweli uko wazi tu...

    “Hivi kuna siku tutarudia ukaka na udada?” aliuliza Roi, Martha akacheka kwa mbali...

    “Mimi nikuulize wewe...” alisema Martha.

    “Na mimi nikuulize wewe.”

    “Teh! Teh! Mimi naweza...”

    “Huwezi bwana, tusidanganyane,” alisema Roi kwa sauti ya kujiamini sana, Martha akacheka tena, safari hii kwa kicheko cha juu kidogo...

    “Haya tuamue kuanzia sasa hivi mimi na wewe ni kaka na dada,” alisema Martha...

    “Haya tuanze, tena sogea pembeni yangu usiniguse,” alisema Roi huku akipeleka mkono kwenye nido moja ya Martha, akapiga ukelele na kulegea macho...

    “Baby bwana...” alilalamika Martha akiwa amebadilika sauti. Ilitoka kwa kinyonge maana mwili ulishapata moto kwa kule kushikwa nido tu.

    “Nini?”

    “Unanisisimua bwana...”

    “Aaah! Mimi na wewe si kaka na dada jamani?”

    “Hata kama! Sasa unanishika huko wakati unajua nitapata tabu...”

    “Ukipata tabu mimi kaka yako si nipo.”

    “Hiloo, tumeshakubaliana leo iwe mwisho,” alisema Martha.

    Roi akapeleka mkono tena na kushika mahali palepale, Martha akapiga kelele, akainuka na kumwegemea Roi huku akisema...

    “Umenianza mwenyewe, sasa lazima umalizie kazi uliyoianza.”

    Hapo Martha sasa alimlalia kifuani Roi kwa staili ya utundu huku akimwangalia kwa macho ya karibu sana...

    “Sitaki,” alisema Roi...

    “Hakuna bwana, huwezi kunichaji halafu ukaniacha hivihivi, haiwezekani,” Martha alitumia nguvu kumweka Roi kwenye himaya yake.

    Roi alitoka kitandani, Martha akamfuata, wakakimbizana chumbani japokuwa kilikuwa kidogo. Roi akaingia bafuni, Martha akafuatia. Hapo wote walikuwa kama walivyozaliwa.

    “Kwani dada unachotaka ni nini zaidi?” aliuliza Roi huku akiachia tabasamu...

    “Mimi siyo dada yako kwanza! Halafu si kingine ninachokitaka, wewe unakijua sana. Wewe si ndiyo umenichaji bwana, lazima unitoe kwenye chaja sasa,” alisema Martha akiwa amemshika kwa nguvu mwanaume huyo na kutoka naye bafuni kurudi chumbani huku akiendelea kusema...

    “Twende kitandani, sikubali mimi.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Walipofika chumbani, Martha alitangulia kupanda kitandani, ghafla Roi akaenda nyuma ya mlango na kutungua suruali kwa lengo la kuvaa.

    “Ha! Ha! Una maana...”

    Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog