Search This Blog

Monday, October 24, 2022

JAMANI DADA MARTHA... LOOO! - 3

 









    Chombezo : Jamani Dada Martha... Looo!

    Sehemu Ya Tatu (3)



    ILIPOISHIA:

    “Ha! Ha! Una maana...”

    Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...

    JAMPU NAYO MWENYEWE...

    Martha aliruka kama golikipa, akamdaka Roi ambaye tayari alikuwa katikati ya mlango...

    “Baby noo! Si vizuri jamani, hebu rudi kwanza,” alisema Martha kwa sauti tamu huku akiwa amemlegezea macho Roi.

    Roi alirudi, akafikia kukaa kitandani...

    “Unasemaje sista?”

    “Hivi baby kwa hali niliyonayo kweli unaweza kuniacha hivihivi jamani nateseka mwenzako na wewe kama mwanaume tena rijali upo ndani ya chumba!

    “Afadhali ingekuwa tumekaa hotelini kama muda ule. Lakini ndani kabisa ndani, tena kitandani, wawili tu na wala sisi si ndugu wa damu moja ni ndugu wa kujitakia, unaniacha nateseka. Hii siyo fea Roi.”

    Roi alimwangalia Martha kwa macho yaliyojaa kicheko lakini cha kujibana, akasema...

    “Martha, mimi na wewe, wawili tu bila kuwepo kwa mtu mwingine si tumekubaliana ukaka na udada urudi kama awali lakini, au?”

    “Ndiyo lakini iwe baada ya leo. Leo tumalizane kwanza kama wapenzi halafu kuanzia kesho tunaendelea na ukaka na udada wetu mi mwenzio niko vibaya sana, hujui tu.”

    “Noo Martha, noo! Mimi kwanza napenda sana udada na ukaka wetu, hivyo katika mazingira hayahaya magumu ndiyo tujikomaze,” alisema Roi kwa sauti iliyokosa hali ya kujiamini.

    “Hapana Roi...hapana jamani, please usinifanyie hivi,” alisema Martha huku akipiga magoti kwa unyenyekevu, Roi akajua anataka kumwomba msamaha lakini sivyo, Martha akapeleka mkono na kushika maiki ya Roi ili aanze kuimba nyimbo za mahaba.

    Roi alilazimika kujichojoa mwenyewe huku akigugumia ndani kwa ndani kuashiria kwamba alikuwa katika wakati mgumu wa hisia za kimapenzi.Kwa vile Martha alikuwa amepiga magoti, alikuwa akiimba kwa kutumia maiki hiyo huku akimwangalia Roi kwa macho ya kulegea.

    Roi akawa hoi bin taaban, akamshika mikono Martha na kumvutia kwake huku akiwa anatetemeka miguu.

    “Una...una...” alishindwa kumaliza kusema Roi akajikuta amebaki akiweweseka, akamkodolea macho Martha, Martha akasimama, akampandisha Roi kitandani na yeye akafuatia.

    Waligalagazana pale kitandani kwa dakika kadhaa huku kila mmoja akihema kwa kasi yake, Martha hakuwa tayari kupoteza muda, akamuweka sawa Roi ili waingie uwanjani kuanza kuicheza mechi.

    Martha aliamini akitumia ujuzi wake wote, anaweza kumfanya Roi akaachana na habari za ukaka na udada kwani moyoni mwake alianza kuona ukaka na udada kwa Roi utampotezea mambo mengi sana...

    “Sista...aaa,” aliita kimahabamahaba Roi...

    “Niambie...”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mi nina wazo sijui kama utanielewa lakini...”

    “Liseme...”

    “Tuachane na udada na ukaka kabisa, tubaki kuwa wapenzi, huenda siku moja tutakuwa mke na mume...”

    “Naunga mkono baby, sitaki tena ukaka kutoka kwako...”

    “Na mimi sitaki tena udada kutoka kwako.”

    Martha alianza kupandisha ‘mashetani’ yake ya mahaba. Alitoa mlio wa kumtoa simba kwenye msitu mkubwa huku akisema anachotaka kukifanya. Akapokelewa kwa maneno matamu na Roi.

    Walitulia kidogo kuvuta kasi na Martha kujiweka fiti, wakaanza tena lakini safari hii walibadili mapozi, wakaenda na pozi la muunga mboga jikoni, Roi hakufika mbali akatangaza nia.

    Sasa walikuwa wamelala wote wakiangalia juu...

    “Baby,” aliita Roi...

    “Niambie sweet wa mimi!”

    “Unajua nakupenda sana, si kama dada lakini bali kama mpenzi wangu.”

    “Hata mimi si kama kaka sasa ila kama my baby.”

    “Mbali na mwanaume uliyezaa naye ambaye uliniambia alikuacha, una mchumba? Maana hatukuwahi kuliongelea hili hata siku moja.”

    “Ni kweli hatujawahi kuliongea hili hata siku moja mimi na wewe, nina mwanaume lakini si mchumba wangu.”

    Roi alishtuka, akainuka na kukaa kitandani...

    “Vipi tena baby wangu?”

    “Nimeshtuka, una mtu?”

    “Yes!”

    “Ina maana siku ile mpaka nakuja kwako usiku ukasema una kiu, kumbe una mtu?”

    “Ninaye sweet lakini alisafiri siku zile, alikuwa Zambia lakini amerudi, yupo mjini kwa sasa.”

    “Anaishi wapi?”

    “Anaishi wapi kivipi?”

    “Huyo jamaa yako anaishi wapi hapa jijini Dar es Salaam?”

    “Kwangu.”

    Roi alitoka kitandani, akasimama akihema kwa kasi...

    “Martha acha mambo ya utani bwana.”

    “Sina utani, anaishi na mimi pale.”

    “Mh! Kumbe una mume Martha?”

    “Ndiyo Roi. Ndiyo maana uliponiuliza nina mchumba nikakwambia sina kwa sababu nina mume. Sikutaka kukwambia siku za kwanza kwa sababu zangu binafsi.”



    “Sababu kama zipi?”

    “Nazijua mwenyewe, iko siku nitakwambia.”

    “Kama ni hivyo Martha please tuendelee kuwa kaka na dada kuanzia sasa hivi tunavyoongea, mimi si mpenzi wako tena na wala wewe si mpenzi wangu tena.”

    “Noo! Roi noo! Mimi bado nakuhitaji wewe kama mpenzi wangu. Ukaka na udada ulishakufa, we unajua.”

    “Martha…” aliita Roi.

    “Abee…”

    “Katika vitu sivitaki katika maisha yangu ni kutembea na mke wa mtu. Sitaki wala sipendi na sitamani. Kwangu mke wa mtu ni sumu kama sumu nyinginezo. Yaani wewe saa hizi ninapokuangalia nakuona kama ile sumu ya kuulia panya,” alisema Roi akiwa amekunja sura.

    “He! Hayo yote yanatokana na nini mpenzi wangu jamani?”

    “We unajua. Kumbe una mume wako halafu unatembea na mimi! We ni msaliti.”

    Martha alimlalia mapajani Roi na kuanza kulia tena kile kilio cha kwikwi.

    “Unalia nini sasa?” aliuliza Roi mikono ikiwa juu kwa maana kwamba hakuwa anataka kumshika Martha.

    “Baby,” aliita Martha kwa sauti tamu sana…

    “Nini?”

    “Kuna kitu nilitaka kujifunza kwako.”

    “Kipi?”

    “Niliamua kukudanganya ili nione kama utakubali kuendelea kuwa na mimi au la! Inaonekana wewe ni mwanaume mwaminifu, usiyetaka kuchanganya. Nimefurahi sana,” alisema Martha…

    “Martha we mwongo. Unajifanya ulikuwa unanidanganya kwa vile nimekuonesha msimamo wangu siyo? We si mkweli.”

    “Baby, unataka nifanyeje ili uamini?”

    “Mimi sijui ufanyeje! Wewe ndiyo unajua ufanyeje!”

    “Twende ukalale kwangu leo,” alisema Martha huku akimwangalia Roi kwa kutokea chini.

    Sasa Roi alishalegeza masharti. Alimshika mwilini Martha huku akimpapasapapasa sehemu mbalimbali. Mara kifuani, mara tumboni, mara kwenye nido.

    “Pengine mumeo kasafiri.”

    “Utawauliza wale wanawake.”

    “Ah! Si utawaambia hata kwa simu kwamba nikiwauliza wajibu nini!”

    “Basi twende kwako nikalale huko.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Sitaki. Si utamdanganya mumeo kwamba umekwenda kumsalimia shangazi yako.”

    “Jamani baby! Sasa nifanyeje ili uamini nilikuwa nakudanganya?”

    “Mimi sijui Martha.”

    “Haya! Sikia, basi twende kwako, chukua nguo, twende kwangu. Ukae pale hata kwa siku kadhaa hivi.”

    “Sawa. Twende.”

    Roi na Martha waliondoka mpaka nyumbani kwa Roi. Ilikuwa mara ya kwanza, Martha kuingia kwenye nyumba hiyo, akapongeza kwa jinsi ilivyo.

    Roi alibeba nguo za kubadili kwa siku tano, aliamini ndani ya siku hizo. Atajua ukweli kwa kuchunguza mambo kadhaa.

    Walianza safari hadi nyumbani kwa Martha…

    “Hilo duka lina mlinzi baby, kwa hiyo gari laza hapahapa nje,” alisema Martha. Mbele ya nyumba anayoishi kuna barabara, ng’ambo yake kuna duka.

    Ilikuwa ni dalili ya kwanza kwa Roi kuthibitisha kwamba, kweli Martha hana mume…

    “Angekuwa ana mume, asingetaka gari lilale jirani hivi,” alisema moyoni huku akifunga milango.

    Nje ya nyumba, walikaa wale wapangaji wenzake, Martha. Walipomwona Roi walimchangamkia sana…

    “Karibu kaka…mzima wewe? Za siku jamani?”

    “Njema…njema…njema sana,” Roi aliwaitikia wote kwa kuunganisha maneno.

    Walipoingia ndani, nyuma maneno yakaanza…

    “Jamani, mbona kaja na begi? Ndiyo kahamia nini?”

    “Inawezekana. Lakini jamani twende mbele na kurudi nyuma, Martha si mwanamke machepele,” alisema mmoja wa wapangaji hao.

    “Ni kweli. Ila aliwahi kuwa na kizee kimoja hivi, sijakiona muda, nadhani walizinguana,” alisema mwingine.

    Wapangaji hao walimchambua Martha mpaka wakafika kwa Roi, kwamba kwa nini anamtambulisha kama kaka yake wakati ni mpenzi wake?

    “Kile kizee alikitambulisha kuwa ni mpenzi wake, sasa huyu kijana mwenzake kwa nini anasema ni kaka yake?” aliuliza mpangaji mmoja.

    “Ukiona hivyo ujue ni mume wa mtu. Kile kizee si kilifiwaga na mke, ndiyo maana alikiweka wazi,” alisema mpangaji mwingine. Mpangaji wa tatu akatahadharisha kuwa, Martha anatoka baada ya kusikia kutembea kwake…

    “Anakuja jamani… anakuja! Nyamazeni.”

    Martha alitoka na Roi, wakasimama…

    “Jamani! Huyu bro wangu atakuwa hapa kwangu kwa siku kadhaa. Kwa hiyo msishangae mkimwona anaingia na kutoka,” alisema Martha kwa sauti ya kujiamini sana kisha akamshika mkono Roi na kurudi naye ndani huku wale wapangaji wakisema…

    “Sawa, karibu bro. Hakuna shida.”

    Nyuma, walianza tena wale wapangaji…

    “Jamani…Martha si ana chumba kimoja tu?”

    “Ndiyo.”

    “Sasa kaka yake atamlaza wapi?”

    “Si anatuvunga tu.”

    “Sasa mimi nitamkomesha,” alisema mpangaji mmoja.

    “Utamkomeshaje?”

    “Nitachukua namba yake ya simu halafu nitaanza kujigonga kwake.”

    ***

    Ulikuwa ni usiku wa kwanza kwa Martha na Roi kulala pamoja wakiwa wamefuta ukaka na udada wao.

    Martha ndiye aliyekuwa mchokozi pale kitandani. Alimshikashika Roi kwa kuanzia kichwani, akaja kifuani, akampa kidole chake kwenye kinywa, Roi akakipokea, akamlalia kifuani huku akianza kuhema kwa staili ya mahaba.

    Mara, mlango mkubwa wa kuingilia sebuleni uligongwa…

    “Mh! Martha! Si jamaa yako huyo kweli?”





    Ilipita kama dakika tatu hakuna aliyekuwa akizungumza zaidi ya kuendelea kushikana kiaina. Kilichosikika ni kuhema kwa mama Anna ambaye sasa alionekana kama tayari amechaji.

    Roi alimsimamisha, akamshika mkono na kuondoka naye…

    “Tunakwenda wapi sasa?” aliuliza mama Anna.

    “Wewe twende tu, wala usiogope,” alisema Roi, tayari akili yake ilikwishahama kabisa, kwa kumwangalia tu, ingekufanya ujue tayari penzi lilimchukua.

    JIACHIE MWENYEWE SASA…

    Safari yao ilikwenda mpaka kwenye gari la Roi, mama Anna akapanda upande wa abiria, Roi akakalia usukani na kuanza mwendo mpaka nyumbani kwa Roi.

    “Karibu sana, hapa ndiyo nyumbani kwangu,” alisema Roi na kumshangaza sana mama Anna…

    “He! Kumbe! Nyumba nzuri sana.

    Sasa kwa nini unakuja kuishi kule ambako Martha amejibana?”

    “Haitakuwa kila siku. Lakini tukubaliane jambo moja. Nimekuleta hapa, iwe siri yako wewe, sawa?” alisema Roi akiwa amesimama na mama Anna sebuleni.

    “Yaani elewa mimi ni msiri sana kama nilivyokwambia, kwa hiyo wala usiwe na wasiwasi wowote ule.”

    Roi alimpeleka chumbani mama Anna…

    “Hiki ndiyo chumba changu ninacholala,” Roi aliendelea kutambulisha…

    “Jamani! Umebakiza kuwa na mwanamke tu! Hivi, utaoa lini wewe mwanaume?”

    “Nitaoa karibuni.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ndiyo Martha sasa?”

    “Hata Martha wewe kwani pia si Martha?” alisema Roi huku akicheka kuashiria kwamba, alikuwa kwenye utani.

    Moyoni mama Anna alinuia jambo moja. Kwamba, watakapopanda kitandani kuanza mechi, aoneshe ufundi wote, chenga kwa wingi, danadana kwa sana ili ikibidi yeye sasa, amkamate kimapenzi Roi na kumpiku wajina wake, Martha…

    “Jamani, mimi bahati hiyo nitaipata kweli?” alisema mama Anna akiwa na yake moyoni.

    Ni Roi ndiye aliyemuanza mama Anna mle chumbani. Alimshika, akamvutia kwake, wakakaa wote kitandani. Alikaa Roi, mama Anna akaja juu yake. Alimkalia Roi...

    “Teh! Teh! Lakini mi mwenzako naona aibu,” alisema mama Anna huku akiuma kidole chake.

    “Aibu ya nini bwana wewe? Kwanza lazima ujue mimi naweza kuwa mumeo. Sasa mumeo utamuoneaje aibu?” alisema Roi, lakini moyoni alisema…

    “Ungekuwa una aibu ungeanza wewe kunitongoza? Acha mambo yako wewe.”

    Roi, ili kumtoa mwanamke huyo hiyo aibu, alimshika shingo, akamgeuzia kwake, akaomba denda, akapewa. Wakapeana, wakazama kwenye mahaba mazito.

    Alichofanya mama Anna, wakati wapo katikati ya denda, alipeleka mkono kwenye kifua cha Roi na kuanza kumfungua vifungo vya shati, kimoja baada ya kingine mpaka mwisho.

    Akalitoa shati pembeni, akalitupa kwenye kiti. Akahamia kwenye singilendi, akaivua mpaka usawa wa midomo, akatoa ulimi na kuivua singilendi kisha akarudisha ulimi tena.

    Alipoitupa singilendi, Roi alikuwa tumbo wazi, akajua mambo yameisha, kumbe mama Anna alikuwa bado. Wakiwa ndani ya denda, akapeleka mkono kwenye suruali, akashika sehemu ya kufungia usalama wa suruali na kupafungua, akaishusha suruali huku denda likiwa palepale.

    Ilifika mahali, mama Anna akatumia miguu kuimalizia suruali kwa chini, ikatoka kwenye miguu ya Roi, akabaki na boksa.

    Kwa Roi, aliyokuwa akifanyiwa na mama Anna yalikuwa mageni kwake. Hakuwahi kuyaona popote, hata kwa Martha mpenzi wake. Yaani denda liwepo mdomoni huku anavuliwa nguo? Kwake ilikuwa elimu mpyaa!

    Mama Anna akapeleka mkono kwenye boksa, akaivuta, ikavutika. Akaitoa na mkono mpaka usawa wa magoti, akaisindikiza chini kwa miguu na kuimalizia, ikatoka na kuangukia kwenye kapeti.

    Sasa Roi alikuwa kama alivyozaliwa huku mama Anna naye akianza kujiondoa vazi moja baada ya jingine mpaka wakawa saresare.Waliingia uwanjani huku mama Anna akipania ushindi wa kishindo. Roi yeye alitegemea kuyaona mengi zaidi. Na kweli.

    Mama Anna alijilaza kuangalia miguuni kwa Roi mpaka Roi akashangaa. Alishangaa kwa sababu alihisi mwanamke huyo hakuwa tayari kwa mchezo zaidi ya kupandishana joto la mahaba tu.

    Kumbe sivyo, mama Anna alikuwa kwenye pozi lile ili aanze kucheza mchezo kwa mashambulizi ya kuanzia katikati.

    Roi alishangaa, mama Anna anamsogelea upandeupande huku akimshikashika sehemu mbalimbali za mwili mpaka wakawa sanjari.

    Roi kuja kushtukia, mama Anna ameshaanza mchezo kwa kujihudumia mwenyewe. Roi naye akaunga mchezoni, wakaanza kusakata kabumbu huku mama Anna akiimba mashairi mazuri ya mahaba.

    Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda sehemu nyingine…

    “Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…

    “Niambie baba,” alisema…

    “Martha,” aliita Roi…

    “Sema baba nakusikiliza wewe.”

    Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…

    “Huna mwanaume mwingine?” aliuliza Roi…

    “Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…

    “Ngoja Martha…ngoja…”Mama Anna akatuliza mpira tena lakini si kwa kusimama moja kwa moja, kwa mbali alicheza…





    “Nakusikiliza dada’angu. Liseme hilo unalotaka kulisema.”

    Mama Anna alisogea tena, akanyoosha mikono yake yote na kushika mikono ya Roi…

    “Ni hivi…” alikohoa kwanza…

    SASA JIACHIE MWENYEWE…

    Roi alishtuka kidogo kule kushikwa mikono na mwanamke. Na kama mwanaume alihisi joto la mapenzi likimpanda. Akamtumbulia macho huku akihema kwa mbali…

    “Unajua wewe ni mwanaume, tena mzuri na unayevutia, si ndiyo?” alisema mama Anna…

    “Pengine wewe ndiyo unaniona hivyo dada.”

    “Ni kweli. Hivi, yule Martha kweli ni dada yako kama anavyoendelea kututambulisha kila siku?”

    Lilikuwa swali lenye mtego mkubwa kwa Roi. Moyoni aliona nusunusu, akisema siyo hajui nini kingetokea akisema ndiyo pia hakujua nini kingetokea. Akaamua kusema siyo ili kama mama Anna ana jambo la siri anataka kumwambia, amwambie.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Siyo dada yangu.”

    “Ni nani wako?”

    Roi aliamini kwa jibu lake kila kitu kiko wazi, lakini kwa vile aliulizwa alijibu…

    “Ni mchumba wangu.”

    “Ok. Ndiye utakayemuoa?”

    “Ndiyo maana yake.”

    “Ok. Mnaendana lakini. Hata mimi naunga mkono wewe kumuoa wajina wangu Martha,” alisema mama Anna mpaka Roi akashangaa, moyoni akajiuliza…

    “Ina maana hili ndilo alilotaka kuniambia mpaka akawa anakaa vizuri? Siyo hili, huyu ana lake jambo.”

    “Kumbe na wewe unaitwa Martha?” aliuliza Roi.

    “Ndiyo. Mama Anna, ni kwa sababu ya mtoto wangu tu. Naye yuko kwa baba yake, tulitengana kama mwaka wa nne sasa.”

    “Ooh! Sawa.”

    Mama Anna akamwangalia Roi kwa macho ya wizi, Roi naye alimwangalia kwa macho ya waziwazi…

    “Una lingine dada’angu?”

    Mama Anna alimwangalia Roi kwa muda kisha akatoa sauti ya chini sana…

    “Lingine mi nakupenda.”

    “Oo! Asante sana kwa kunipenda,” alisema Roi huku akimwangalia mama Anna kwa macho ya ujasiri.

    Mama Anna alipeleka tena mikono yake kwenye mikono ya Roi na kuishika, akaanza kuiminyaminya kimahaba.

    Roi akawa mtu wa kujishtukia tu, ulaini wa mikono ya mama Anna ulimuweka katika wakati mgumu, akahisi akianza kutokwa na kijasho chembamba.

    Kwa mtu yeyote aliyewaona alijua wawili hao ni wapenzi kwa jinsi walivyokaa karibu.

    “Dada Martha,” aliita Roi.

    “Abe.”

    “Tubaki kuwa dada na kaka.”

    “Ni kweli. Lakini mi nakupenda sana.”

    “Ndiyo hivyo, tayari ninaye Martha mwenzako. Akijua je?”

    “Atajuaje? Au utamwambia jamaniiii?”

    “Hapana! Si unajua dunia haina siri! Hata ukifanyia kitu chumbani, tena ukiwa peke yako, watu watajua tu, sembuse sisi dada!”

    “Kwani unataka kuniambia sisi ni utu uzima wetu tunaweza kufanya mambo mpaka yakawa hadharani?” aliuliza mama Anna huku akizidi kuviminyaminya vidole vya Roi. Sasa akawa anakikuna kiganja cha mkono wa kulia, Roi akasisimka…

    “Hu…we…zi ku…ju…a,” alisema Roi kwa kukatakata maneno yake.

    Roi tayari alishapandisha joto la mwili. Kwa ni kusema ukweli, mama Anna naye alijaliwa. Kila sehemu ya mwili wake ilikuwa ina sifa, sijui wakati wa usichana wake alikuaje kama akiwa mama wa mtoto mmoja tu ndiyo hivyo.

    Alijua vyema kuyatumia macho yake. Alipomwangalia mwanaume yalionekana kama ya mtu aliyekuwa akitaka kusinzia ‘flani hivi.

    “Hawezi bwana. Mimi nitajitahidi kufanya siri ya hali ya juu. Sitamwambia hata mtu mmoja. We niamini mimi.”

    Hivi kweli hawezi kujua? Kila ninapomfikiria, namuona kuwa mwanamke mjanjamjanja, naogopa sana,” alisema Roi, japokuwa naye alikuwa amekwishaanza kuzama katika lindi la tamaa ya mapenzi, lakini akajifanya kukaza.

    “Haki ya Mungu hatojua, niamini jamani, kweli hatojua,” alisema mama Anna.

    “Mh! Ma…Martha…”

    “Abee.”

    “Uta…weza?”

    “Kufanyaje?”

    “Ku…fi…cha si…ri?”

    “Mi ni msiri sana usinione hivi,” alisema mama Anna huku akizidi kumkuna kiganjani Roi ambaye sasa damu zilikwenda kwa kasi.

    Roi kama mwanaume rijali hakuona sababu ya kulaza damu kwa mwanamke huyo ambaye alijilengesha mwenyewe…

    “Afadhali ningemtongoza, sasa mwenyewe tu anajileta halafu nimwachie, nitakuwa si mwanaume,” alisema moyoni huku sasa na yeye akianza kumshikashika mama Anna.

    Ilipita kama dakika tatu hakuna aliyekuwa akizungumza zaidi ya kuendelea kushikana kiaina. Kilichosikika ni kuhema kwa mama Anna ambaye sasa alionekana kama tayari amechaji.

    Roi alimsimamisha, akamshika mkono na kuondoka naye…

    “Tunakwenda wapi sasa?” aliuliza mama Anna.

    “Wewe twende tu, wala usiogope,” alisema Roi, tayari akili yake ilikwishahama kabisa, kwa kumwangalia tu, ingekufanya ujue tayari penzi lilimchukua.



    Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda seyemu nyingine…

    “Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    JIACHIE KIVYAKO…

    “Niambie baba,” alisema Martha…

    “Martha,” aliita Roi…

    “Sema baba nakusikiliza wewe.”

    Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…

    “Huna mwanaume mwingine?” aliuliza Roi kwa sauti iliyojaa umakini wa hali ya juu…

    “Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…

    “Ngoja Martha…ngoja…”

    Mama Anna akatuliza mpira tena lakini si kwa kusimama moja kwa moja, kwa mbali alicheza…

    “Mimi nataka nikuoe wewe Martha…please nikubalie mama.”

    Hapo ndipo alipokuwa akipataka mama Anna, kumzidi nguvu wajina wake Martha kama alivyowaambia wapangaji wenzake.

    “Mh! Itawezekana kweli? Nahisi itakuwa ngumu baba angu,” alisema mama Anna kwa gia ya kutotaka kuonekana mrahisi…

    “Tatizo litakuwa wapi kwani?”

    “Si kwa Martha! Si umesema ndiyo unataka ufunge naye ndoa?”

    “Nimabadili mawazo Martha, amini hivyo.”

    Martha aliendelea kukataa lakini huku akiendelea na mchezo kwa staili ya kushambulia polepole, Roi akajishindwa na kutangaza kuvunja dafu lake huku akikaribishwa.

    Huku akijua Roi ameshavunja dafu, mama Anna alibadili upande bila kusubiri mapumziko, sasa Roi akawa anashambulia kutoka upande mwingine ambao awali alikuwa akizuia asifungwe.

    Hilo lilimfanya Roi kupata joto tena na hivyo kumudu mchezo kiasi kwamba alijihisi kama hakuvunja dafu tangu aanze. Mama Anna alipotangaza kuvunja dafu yeye, alitumia ufundi wa hali ya juu ikiwemo kuchezesha sauti yake kwa mahaba mazito na kumbembeleza Roi ambapo sekunde kadhaa mbele akavunja dafu.

    Wote walikuwa wakihema kwa kasi kutokana na mechi kuwa ya vuta nikuvute mpaka dakika za mwisho ambapo matokeo yalikuwa moja kwa moja.

    “Da! Martha, sijategemea ujue,” alisema Roi akiwa anajipindua pale kitandani…

    “Hukutegemea nini?”

    “Kama upo hivyo.”

    “Kwani nipoje?”

    “Da! We mwenyewe unajijua,” alisema Roi kisha akambusu mama Anna ambaye naye alitoa sauti ya hisia ya mapenzi.

    ***

    Ilikuwa saa kumi na mbili na nusu, wawili hao walishacheza mzunguko wa pili na kutoka sare ya moja kwa moja kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza.

    “Sasa itakuaje?” aliuliza Roi…

    “Kuhusu?”

    “Si tunaondoka?”

    “Kurudi kule?”

    “Yes.”

    “Sawa.”

    Walitoka kitandani wote, wakaenda kuoga wote, wakavaa, wakatoka wote. Roi aliendesha gari lakini kutokana na foleni, walifika kwa Martha saa moja na nusu usiku.

    Bila woga, Roi alifika na mama Anna akiwa ndani ya gari mpaka nje. Wakatulia kwanza kuangalia hali ya hewa, kisha mama Anna akashuka baada ya kujiridhisha kwamba hakukuwa na mashuhuda maeneo yale.

    Alianza kuingia ndani mama Anna, Roi akibaki ndani ya gari. Akapitiliza hadi kwenye chumba cha shoga yake mmoja, anaitwa Madam May ambako pia alimkuta shoga mwingine, mama Eli…

    “Tayari,” alisema mama Anna…CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Acha uongo wako bwana,” walisema wenzake…

    “Ohoo! Naapa, tayari. Nimekuja naye mpaka hapo nje, nyie subirini mtasikia akiingia…

    “Mlikuwa hotelini?” mama Eli aliuliza kwa sauti ya umbeya…

    “Kwake.”

    “Mm! Huo sasa uongo uliopitiliza,” alisema Madam May.

    “Ngoja nimtumie ujumbe halafu ajibu, ndiyo mtaamini,” alisema mama Anna huku akiandika ujumbe wa simu…

    “Baby, nimefurahi sana kwa mechi ya leo. Halafu mechi ya kuichezea nyumbani kwako kama vile ni nzuri kuliko gesti au hotelini. Nimeipenda sana.”





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog